I've never been attentive to pastor Tony preachings but i think he's so much into celebrities world he loves to associate with those kinds, he maybe be have his valid reasons and i pray that the darkness from that side may not overpower the anointing in him if there is any
Ubarikiwe na Bwana Yesu Mch. Cassian kwa kufanya kazi ya mhubiri wa Injili. Mtumishi wa Mungu hapaswi kuwainua watu wenye roho ya Mpinga Kristo, watungao na kupenda nyimbo zenye uwezo mkubwa wa "mind & spiritual pollution", kuwainua katika madhabahu ya Kristo ni jambo la upotofu. Watoto wamemezwa na nyimbo chafu, vyombo vya habari, vyombo vya usafiri, kila mahali, "mind pollutants are at work", sasa hata kanisani kwa watumishi wa Mungu jamanii?! Hapana. Mambo haya ynapaswa kukemewa kwa neno la hekima.
Mungu akuzidishe paschal, unaifanya kazi yake vizuri na usione uko pekeako ktk kusema kweli, pambana sana na uovu bila kusita maana MUNGU amejisazia wengine wa kuungana na wewe ktk kusema ukweli... Amen
Pst ton alijificha nilimutambua mwaka mumoja uliopita kashajichanganya kitambo, but wewe mtumishi mungu Akulinde na tunakuombea na tunakupenda sana sana niko Mombasa kenya
MKOMBOZI MITIMINGI HERBAL CLINIC UPONYEKE NAWE UKAFANYIKE SHUHUDA KWA WATU WENGINE TUNA DAWA ZA ASILI ZA TIBA MBALI MBALI ZILIZOTHIBITIKA KUWEZA KUTIBU MAGONJWA MBALI MBALI KAMA VILE :kina dada huyo HAPA MITIMINGI TRADITIONALCLINIC Anatibu fangasi sungu ukeni na U.T.I sungu (2)P. I . D .Maumivu wakati wa tendo la ndoa na halafu mbaya ukeni . (3) Mirija ya uzazi uliolegea . (4)Maumivu ya tumbo chini ya kitovu na changu (5)UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME (6)BAWASIRI AU HEMORRHOIDS ) BAWASIRI YA NDANI NA NJE (7)PRESHA ,SUKARI NGIRI N.K (8)LIFE CARE;dawa ya asili yenye uwezo wakuboresha kinga za mwili ni msaada pia kwa wenye virusi vya ukimwi _dawa zote zina kibali cha wizara ya afya kitengo cha tiba mbadala WASILIANA NASI KUPATA DAWA piga 0673060366 WhatsApp ♥
Kuwataja Hao aliwataja aliwataja katika angle ya kumaanisha kwamba Hao wasanii wanauwezo wa kumrudia na kumtumikia Mungu sema basi tu ni kwamba hawajui,maana yesu alikuja kwa wenye dhambi kwa hiyo na Hao wasanii Wana nafasi ya kubadilika,na pia kama wanaweza kushawishika wakatunga nyimbo ya kumsifu Mungu haitokua na shida yoyote,so wakati wa mungu ni wakati sahihi so anajaribu kuwashawishi wake kundini like kuwin their soul.. so ulitakiwa uanze mwanzo wa kongamano mwanzo mwisho,sasa kama atakua amekosea labda kwa angle za level za kitumishi kwenye vyama vyenu huko..,so shida sio Nani kaimba ila ni nini kimeimbwa,ndio maana rahabu kahaba nae alitumiwa kufanya kazi ya Mungu,so it's possible kwa uelewa wangu mdogo
Mimi hungojea sana mungu anifunulie wahubili wa uongo, tena na wale wa ukweli , kabla ya kutaja mtu, Kisha niedee hizo kondoo hizo simepotea ,Dunia inahitaji unabii wa mungu Ili injili ikubalike bele za mungu
Kanisa la Sasa tunashindwa kutofautisha mhubiri na inspirational speaker.kisa Kuna kamstari ka Biblia tunadhani ni mhubiri .Hakika Mungu atupe macho ya kuona maana tuna macho ya kutazama tuu huku fahamu zetu zikiwa zimefungamana na kutazama
Barikiwa sana mtumishi, Endelea kuwakosoa watumishi wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Wengi ni matapeli kwa sasa, wamepotosha asili ya Neno la Mungu. Wamekalia mafanikio, sio Neno lakweli la Mungu. Wanaendelea kupoteza utakatifu wa Tanzania katika uso wa Mungu.
You make me cry 😭 every i listen 👂🏾 your preaching 😭 i hope my kids will never leave my teaching 😢 Eeh MUNGU saidia watoto wangu.kwa jina la YESU KRISTO naomba 😭🙏🏾🙏🏾🙏🏾Amena
Nimegundua mtu kukosa unyenyekevu mbele za Mungu akiwa madhabahuni huwa kuna kujisahau na kwenda nje ya mstari wa kweli aloo.watumishi tujifunze kumentain annoint bila hivyo ni hatari tutaongea ya kwetu.hongera paskali kws hapo nakupongeza
@@tujajackson8142 ni kweli Mungu akimutambulisha mtu kwa watu badala ya kumuachia Mungu utukufu anaupokea yeye Mungu anakaa pembeni tunaanza kuona madhaifu yake maana aliyemsitiri anaondoka
Huyo mpuuzi tangu alipojiunga na ma charlatan kina Ubert angel, kina Bushiri waabudu mashetani ndio amepotezwa kabisa. My Brethren, kanisa limevamiwa na mashetani mbwa mwitu wakali. Pasipo maarifa ya kiroho umekwisha na kuangamia kabisa.
Ni kweli kabisa alipojiunga na ubert Angle basi ikawa mwisho wangu wa kumfuatilia, wale wana mikataba na shetani ili kuwapoteza wengi. Alianza vizuri sana lkn mmmh
Watching from Kenya,tuweni makini maana hatujui siku wala saa ya kuja kwake Yesu 🙏 tunaweza sema mmoja ni mkweli kuliko mwengine lakini siku moja yaja😂😂 hukumu itamkuta kila mtu..lets be wise 🙏
Kukosoa sawa ila kusifia Aaaaaaaaaaah........ WATU TUMEOKOKA, TUMEACHA POMBE, SIGARA, Hutukuti Kidimbwi, hatukeshi COUNTER, saiv tunakesha LEADER'S CLUB kwa MUNGU hamuon hlo. MAN of GOD fundisha neno, acha kufundisha kupitia mifano ya huduma za watu 😢😢,. Ingia CHEMBA MUOMBEEEE KAM UNAHC ANAKOSEA,. Utakuw hauna tofauti na MAFARISAYO sas
Acha kuponda watumishi wewe siku ya mwisho ukifika mbinguni hautaulizwa uliwaponda watumishi wangapi utaulizwa, how many souls have you win so sir I respect you go and win souls, achana na watumishi maana haujui wamewekewa reveletion gani
2Wakoritho 6:4 bali katika kila neno tujipatie sifa njema, kama watumishi wa Mungu; katika saburi nyingi, katika dhiki, katika misiba, katika shida; 14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? 15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini? 16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. 17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.
Mwanasiasa yukoje na muhibiri yukoje,siasa ni kuleta Maendeleo kwa watu bila kuumiza wengine na kutaza kufanya mabaya hali kadhalika dini ni vivyo hivyo
Mungu anatumia watu wake, kuonya na kurekebishana ili sote tuende mbinguni, hapendi tuanze vizuri na tumalize vibaya anaumia sana mungu baba, sababu anatupenda saaaana kama baba
P T ...nakutambua sana baba keep the real gospel in town lazima utasemwa baba muhimu wako mahusiano yako na MUNGU wako#sisi ni wale tunaosaidiwa na bwana
Hubirini injiri, msikae kukosoana, Nan kasema nn au kafanya nn, tunamuda mchache Yesu yukaribu kuja, na Kama mkristo mwenzako kakosea ungemfata binafsi na sio kutuhubiria sis kumuhusu, unapohubiri ww hubiri kweli ya MUNGU watu wamjue MUNGU na wajue kupambanua kila mmoja Kwa binafsi yake kupitia Roho mtakatifu, mfate umwambie Kwamba ndugu yangu Hapa unakosea
Mungu tutie nguvu safari ya mbinguni ni Ngumu sana Mungu atusaidie tuanze na roho tumalize na roho😢,, niwengi walianza na roho ila sas wamejikuta wanamaliza na mwili😢
Wakristu wengi wamejificha katika msemo huu: Hukumu ni ya Bwana. Soma 1Wakorintho 5:12 _Maana yanihusu nini kuwahukumu wale walio nje? Ninyi hamwahukumu hao walio ndani? For what have I to do to judge them also that are without? do not ye judge them that are within? Ko kama huu Pasta Tony ni wa ndani tuna ruksa ya kumkanya na kumkemea kwa nguvu zote maana hao wa nje watajuana na Mungu. Jonas MANIRAKIZA mwinjilisti kutoka Bujumbura Burundi 🇧🇮
KUMUELEWA MY SPIRITUAL FATHER PASTOR TONY NEEDS A SPECIAL GRACE NA AKILI😌 ,GO LISTEN TO THE FULL SERMONS!!!!, HIZI CLIPS MNAKATA KAKIPANDE FROM THE SERMON KUTUMIA KUKOSOA NA KUFUNDISHA WATU..KWAN UMEKOSA UJUMBE😂 YANI INASIKITISHA SANA !!!!! US THOSE WHO UNDERSTAND HIM WE ARE GRATEFUL TO GOD TO BE ABLE TO HONOR SUCH GRACE IN OUR LIVES 🙏
Kwan jamn pastor ..kapola kavamiwa na roho chafuuu.. wallah alkua mzurii saana at maandiko...na alkua anasema ukweli..saah ameshakuwa naye Christina shusho dah😢😢😢😢
@@RyanElias1bado hawajajua jmn natamani wapitie mafundisho ya PT mimi yamenibadilisha maisha yangu kwa asilimia zote kabisa maana yeye anafundisha mtu ujielewe na ujue kujiombea na kuweka imani katika kila unalofanya… watu wengi wanapenda mambo ya miujiza ya kuwekewa mikono lakini sisi watu wa mkuyuni tunaamini katika kufunga na kujiombea wenyewe katika kila tunalofanya
Ur need An extra Capacity and revelations kuelewa PT ameitwa kwaajili ya nani na kwaajili ya nini, and by the way Kwa muda Ambao nmemfahamu na kumfatilia, I have no ubishi, The man is Blessed 📌📌 Wale mnaoanza kumfahamu Leo Acha muendelee kubishana Huku mitandaoni😅
God continue exposing the bad apples 🍎 to the body of Christ. Too much love of money is root of all evil. God you never fail to me by ashamed my anemias, thank lord for answering my preyer, mtawajua kwa matendo yao.yangu macho, asante kwa kuinua watu kuongea on my behalf. Inua wengine ili jina lako lisije likatukanywa.
Huna akili weye mwenye uko unasema wenzako Weye njo aujui kweli kabisa Mimi napenda mapasta wanaosema kweli siyo wewe unaye kosowa wenzako Pasta tony u'are right ▶️▶️👍👍👍👍👍😂
@@veeJesusyaniiii seriously mtu anaandaa sermon kumcritisize mwingine🙌🏾🙌🏾🙌🏾did God sent these men to judge other ni huzuni kwanini usiplay nafasi yako , ubiri injiliii eeeeeiiiiiiiiiiiiiii looking at this fyuuuuuu
Naona ameandika pastor Tonny ili apate viewers alafu atangaze kununua vyombo. Maana kwenye ufalme wa Mungu ni kuutangaza ufalme sio kumkandamiza mmoja ili wewe ujiinue Yesu hakufanya hivi.
Hawa akina Natasha, christina shusho, pastor tony, libido ya wachawi na wengineo ndio wachungaji wa dini moja mpya ya dunia nzima nayoitwa chistislam, msishangae,unyakuo umekaribia sana wateule mzidi kujitakasa na wadhambi acha tu wazidi sana kuzitenda
Ni Kweli Huenda anakosea Lakni Inapaswa Kumuombea Na Kumuonya Wewe Na Yeye Ila sio Kumuonya Ivi public Sio Jambo La Upendo Wa kiMungu Anayotaka Uyo Ni Mtumishi Mwenzio Wa Mungu Then Usihukumu Usije Ukahukumiwa Kikubwa ni KUWAOMBEA Hawa Watumishi Ili Waje Kusimama Kama Wewe 🙏
Ukipata nafasi piamsikilize Mchungaji Abiudi na Ev Daniel kwa kweli utakuwa kiroho,utumishi wa kwelii ni kukemea dhambi,kuhubiri kuhusu toba na msamaha,Roho Mtakatifu na kumrudia Mungu.
True, mimi nilimskiza pastor Tony first time in 2020, na alikuwa mnyenyekevu sana, na alihubiri kwa spirit. But nikajikuta sina hamu tena kuskiza mahubiri kutoka kwake🇰🇪
Umejitahidi kuongea, ila nadhani ungekuwa na lengo la kumuonya ungemtafuta inbox na kumueleza haya, mm nadhani unatafuta attention ya watu au kutrend kama yeye, mm nazungumza nikiwa siyo muumini wa Tonny wala muumini wako....cdhani kama umefanya vizuri, jitahidi kuubiri bila kuwasema watu ili Mungu awabadilishe na cyo kumuattack mtumishi yeyote....kama umeliona hili gonga like hapa na itawasaidiq watumishi wengine wahubiri watu wabadilishwe na c kusemana kama kina harmonize na kina diamond na kina kajala
Cassian yuko sahihi kwasababu yeye alisema hadharani na watu wengi wamesikia je akimwambia kwa siri hao waliosikia hilo somo la upotovu watajuaje kama hilo somo sio sahihi?, kumsema hadharani inamponya yeye na wote tunaomfuatilia pst Tony ili tujue kapotoka, mi nampenda pst Tony sana ila kuna vitu haendi sawa.
Ton.anaanza kusifiaa wasanii wa dunia kma nabii mkuu no dev kisongo Arusha wanamsujudia kma mungu wao..na wakiweka nyimbo za Amonais na wengne wengi..wakicheza madhabahuni....n nabii wao
I've never been attentive to pastor Tony preachings but i think he's so much into celebrities world he loves to associate with those kinds, he maybe be have his valid reasons and i pray that the darkness from that side may not overpower the anointing in him if there is any
Golden comment❤
❤❤
Amen Amen
Ubarikiwe na Bwana Yesu Mch. Cassian kwa kufanya kazi ya mhubiri wa Injili. Mtumishi wa Mungu hapaswi kuwainua watu wenye roho ya Mpinga Kristo, watungao na kupenda nyimbo zenye uwezo mkubwa wa "mind & spiritual pollution", kuwainua katika madhabahu ya Kristo ni jambo la upotofu. Watoto wamemezwa na nyimbo chafu, vyombo vya habari, vyombo vya usafiri, kila mahali, "mind pollutants are at work", sasa hata kanisani kwa watumishi wa Mungu jamanii?! Hapana. Mambo haya ynapaswa kukemewa kwa neno la hekima.
Mungu akuzidishe paschal, unaifanya kazi yake vizuri na usione uko pekeako ktk kusema kweli, pambana sana na uovu bila kusita maana MUNGU amejisazia wengine wa kuungana na wewe ktk kusema ukweli... Amen
Kusema ukweli ni kuhubiri injili sio kukosoa watumishi kama humuelewi mtu kaa kimya mnajichumiaga ma laana hivi hivi
Hukumu ni ya Bwana. Sisi yetu ni kuitangaza na kuifunua kweli ya Kristo Yesu
Pst ton alijificha nilimutambua mwaka mumoja uliopita kashajichanganya kitambo, but wewe mtumishi mungu Akulinde na tunakuombea na tunakupenda sana sana niko Mombasa kenya
Muonye,mkemee,mkaripie waziwazi bila kuogopa kitu chochote Paulo anamuagiza Timotheo kufanya hivyo Amen!!
Amina Amina
MKOMBOZI MITIMINGI HERBAL CLINIC UPONYEKE NAWE UKAFANYIKE SHUHUDA KWA WATU WENGINE TUNA DAWA ZA ASILI ZA TIBA MBALI MBALI ZILIZOTHIBITIKA KUWEZA KUTIBU MAGONJWA MBALI MBALI KAMA VILE :kina dada
huyo HAPA MITIMINGI TRADITIONALCLINIC
Anatibu fangasi sungu ukeni na U.T.I sungu
(2)P. I . D .Maumivu wakati wa tendo la ndoa na halafu mbaya ukeni .
(3) Mirija ya uzazi uliolegea .
(4)Maumivu ya tumbo chini
ya kitovu na changu
(5)UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
(6)BAWASIRI AU HEMORRHOIDS )
BAWASIRI YA NDANI NA NJE
(7)PRESHA ,SUKARI NGIRI N.K
(8)LIFE CARE;dawa ya asili yenye uwezo wakuboresha kinga za mwili ni msaada pia kwa wenye virusi vya ukimwi _dawa zote zina kibali cha wizara ya afya kitengo cha tiba mbadala
WASILIANA NASI KUPATA DAWA piga 0673060366 WhatsApp ♥
Wewe na familia Yako mtakemewa waziwazi mpaka mshangae
Kwanza n kosa kubwa sana mbele za mungu kuimba nyimbo za dunia madhabahun haiwezekan kinywa ichoicho kitoe maji masafi na machafu. Enhe mola tusaidie
Kindly give us scriptures too
Kuwataja Hao aliwataja aliwataja katika angle ya kumaanisha kwamba Hao wasanii wanauwezo wa kumrudia na kumtumikia Mungu sema basi tu ni kwamba hawajui,maana yesu alikuja kwa wenye dhambi kwa hiyo na Hao wasanii Wana nafasi ya kubadilika,na pia kama wanaweza kushawishika wakatunga nyimbo ya kumsifu Mungu haitokua na shida yoyote,so wakati wa mungu ni wakati sahihi so anajaribu kuwashawishi wake kundini like kuwin their soul.. so ulitakiwa uanze mwanzo wa kongamano mwanzo mwisho,sasa kama atakua amekosea labda kwa angle za level za kitumishi kwenye vyama vyenu huko..,so shida sio Nani kaimba ila ni nini kimeimbwa,ndio maana rahabu kahaba nae alitumiwa kufanya kazi ya Mungu,so it's possible kwa uelewa wangu mdogo
Afadhali umekiri kwa uelewa mdogo
umenena vyema
Bora ungenyamaza tu
Mimi hungojea sana mungu anifunulie wahubili wa uongo, tena na wale wa ukweli , kabla ya kutaja mtu, Kisha niedee hizo kondoo hizo simepotea ,Dunia inahitaji unabii wa mungu Ili injili ikubalike bele za mungu
Kanisa la Sasa tunashindwa kutofautisha mhubiri na inspirational speaker.kisa Kuna kamstari ka Biblia tunadhani ni mhubiri .Hakika Mungu atupe macho ya kuona maana tuna macho ya kutazama tuu huku fahamu zetu zikiwa zimefungamana na kutazama
You are right , this is 100% truee
Mtumishi wa Mungu Asante nashukuru. Naomba uniwezeshe kuchanga chochote kwa kazi hii ya mtumishi wako.
Barikiwa sana mtumishi,
Endelea kuwakosoa watumishi wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Wengi ni matapeli kwa sasa, wamepotosha asili ya Neno la Mungu. Wamekalia mafanikio, sio Neno lakweli la Mungu. Wanaendelea kupoteza utakatifu wa Tanzania katika uso wa Mungu.
Thank you, God, for this Revelation message 🙏🏾 it’s 1:28 am 7/7/2024 watching this beautiful message… Ubarikiwe sana Mtumishi
🇺🇸
You make me cry 😭 every i listen 👂🏾 your preaching 😭 i hope my kids will never leave my teaching 😢
Eeh MUNGU saidia watoto wangu.kwa jina la YESU KRISTO naomba 😭🙏🏾🙏🏾🙏🏾Amena
Isaya 54:13
Nimegundua mtu kukosa unyenyekevu mbele za Mungu akiwa madhabahuni huwa kuna kujisahau na kwenda nje ya mstari wa kweli aloo.watumishi tujifunze kumentain annoint bila hivyo ni hatari tutaongea ya kwetu.hongera paskali kws hapo nakupongeza
Hii imewakuta hata manabii wengi. Wapo waliofika sehemu wakajisahau na Mungu akawakataa
@@tujajackson8142 ni kweli Mungu akimutambulisha mtu kwa watu badala ya kumuachia Mungu utukufu anaupokea yeye Mungu anakaa pembeni tunaanza kuona madhaifu yake maana aliyemsitiri anaondoka
Mungu akubariki sana Paschal unahubiri injili ya kweli be blessed man
Huyo mpuuzi tangu alipojiunga na ma charlatan kina Ubert angel, kina Bushiri waabudu mashetani ndio amepotezwa kabisa. My Brethren, kanisa limevamiwa na mashetani mbwa mwitu wakali. Pasipo maarifa ya kiroho umekwisha na kuangamia kabisa.
Tru
True
Ni kweli kabisa alipojiunga na ubert Angle basi ikawa mwisho wangu wa kumfuatilia, wale wana mikataba na shetani ili kuwapoteza wengi. Alianza vizuri sana lkn mmmh
Alikuwa kijana mzuri sana Tony, sijui nn kimempeleka kubadili mafundisho yake
@@apostle_AngazaGNpesa
Umeongea ktk ukomavu sana kiimani Mungu akutunze akufiche mikononi mwake
Ww kweli ni mtumwa wa Mungu. Hakika ww ni nuru. Hakika. Paschal uinuliwe juu Mbinguni. Amen.
Asante mtumishi ..ni hatari kuizoea madhabahu
Watching from Kenya,tuweni makini maana hatujui siku wala saa ya kuja kwake Yesu 🙏 tunaweza sema mmoja ni mkweli kuliko mwengine lakini siku moja yaja😂😂 hukumu itamkuta kila mtu..lets be wise 🙏
Apo umenena
Kuwa makini haimaanishi kutosema kweli ya Kristo. Acha aseme kilichosahihi kwani yeye hayuko responsible kwako bali kwa anayemtumikia
Yesu aliufia ulimwengu mzima,Tony uzidi kwenda mbele
Nabarkiwa kwa mafundisho yako mchungaji pascal,mungu akupe maisha marefu,
Yesu anarudi jamani, tusaidiane, ukiona mwenzako anaenda tofauti na maagizo, na amri za mungu ,tuonyane sisi kwa siku,Mungu baba anatupenda sanaa
Kweli hali ni mbaya mno tuombeane
Kukosoa sawa ila kusifia Aaaaaaaaaaah........ WATU TUMEOKOKA, TUMEACHA POMBE, SIGARA, Hutukuti Kidimbwi, hatukeshi COUNTER, saiv tunakesha LEADER'S CLUB kwa MUNGU hamuon hlo. MAN of GOD fundisha neno, acha kufundisha kupitia mifano ya huduma za watu 😢😢,. Ingia CHEMBA MUOMBEEEE KAM UNAHC ANAKOSEA,. Utakuw hauna tofauti na MAFARISAYO sas
Hakika
Hawaoni namna Pastor Tony anavyookoa watu wamekalia kujudge tu
Mungu akubarik sana mjoli wa Bwana,, akupe nguvu na maono Zaid amen
Acha kuponda watumishi wewe siku ya mwisho ukifika mbinguni hautaulizwa uliwaponda watumishi wangapi utaulizwa, how many souls have you win so sir I respect you go and win souls, achana na watumishi maana haujui wamewekewa reveletion gani
Wewe revelation ya Paschal unaijua? Je kama hicho anachokifanya ndio revelation yake
2Wakoritho 6:4 bali katika kila neno tujipatie sifa njema, kama watumishi wa Mungu; katika saburi nyingi, katika dhiki, katika misiba, katika shida;
14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?
15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?
16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.
Kifupitu mtumishii miniko nanyimbo zako zotee napenda sana unachokihubiri kupitia njia ya nyimboo Mungu akubarikii
😢😢😢😢God katikati ya ghadhabu kumbuka rehema😢❤
Hivi Toni ni mtumishi wa Mungu au inspirational speaker ili baadae awe Mwana siasa
umeona mbali sana! religion sikuizi ni stepping stone tu!
Mwanasiasa yukoje na muhibiri yukoje,siasa ni kuleta Maendeleo kwa watu bila kuumiza wengine na kutaza kufanya mabaya hali kadhalika dini ni vivyo hivyo
Man of God,kama humuelewi mtu anae sema yeye ni mtumishi wa Mungu kwa kukosa mafunuo,nyamaza usiseme vitu huna uhakika.....laana nyingne zinaepukika
Uko busy kujadili maisha ya mutu wakati maisha yako mwenyewe ya nakushinda unaacha kushuulikia ndoa yako au watoto wako wewe uko busy kujadili mutu
🤗@@SisterDuu
Paschal YESU akutunze tu.nakwel hatuchangamani.
Mungu anatumia watu wake, kuonya na kurekebishana ili sote tuende mbinguni, hapendi tuanze vizuri na tumalize vibaya anaumia sana mungu baba, sababu anatupenda saaaana kama baba
Wewe unayedhani umesimama angalia ......... I respect anointing ya Kapola God keep you man of God 🙏 hata Yesu alikosolewa sana na mafarisayo 😅
Pastor Casian. Be blessed. Endelea kuihubiri KWELI.
P T ...nakutambua sana baba keep the real gospel in town lazima utasemwa baba muhimu wako mahusiano yako na MUNGU wako#sisi ni wale tunaosaidiwa na bwana
Hubirini injiri, msikae kukosoana, Nan kasema nn au kafanya nn, tunamuda mchache Yesu yukaribu kuja, na Kama mkristo mwenzako kakosea ungemfata binafsi na sio kutuhubiria sis kumuhusu, unapohubiri ww hubiri kweli ya MUNGU watu wamjue MUNGU na wajue kupambanua kila mmoja Kwa binafsi yake kupitia Roho mtakatifu, mfate umwambie Kwamba ndugu yangu Hapa unakosea
Well done
Ubarukiwe na Mungu sanaa MWalimu @Cassian
Ni mapepo muchafu inawaongoza awa wantu, brother pascal,ayifayi kumwita ule kijana pasta,asistahili ,kwitiwa pasta.
Mungu akubariki sana Cassian umenena vyema sana, sasa wahubiri wanaangalia pesa tu
Mungu tutie nguvu safari ya mbinguni ni Ngumu sana Mungu atusaidie tuanze na roho tumalize na roho😢,, niwengi walianza na roho ila sas wamejikuta wanamaliza na mwili😢
Mungu akupe uvumilivu na mwoyo mugumu manaa hiyi kazi ningumu sana❤️❤️❤️
MUNGU AKUBARIKI BRO CASIAN.... WEWE NI POLISI WA KIROHO. NAKUOMBEA SANA NA NAKUPENDA SANA KWA UKWELI WAKO WA 100%
Ameeeeen!!! Mtumish wa Mungu, lihubirini neno, Onya, karipia na kukemea pia. Natumai Mungu wa mbinguni yupo pamoja na ww
Amen ameni tena ameni nabarikiwa mno MUNGU wa mbinguni akutunze baba
Amenii mpendw fanya kazi ya MUNGU Na ss watumw wa mungu tunaomb mungu atup nguv ya kuijua kwel
MUNGU mbariki Pastor Tony
Sisi wamkuyuni
Ubarikiwe mtumishi. naona injili za Paulo zinarudi Mungu wa Mbingu na nchi amrudishe huyo pastor kwenye mstari naona waz anaptea
Pastor tonny haowatu achananao.Kama umeshindwa kuwahubiria injili ya kuwaleta acha
Baba Mungu akukumbuke hatuwezi kufanya ibada pamoja sio kwelivijana wetu walianza vizuri wanamaliza vibaya
MUNGU akutunze mno baba umeongea ukweli kabisa😢💯
Akiwa mbishi amuulize Godluck Gozbert na ule wimbo wake wa amenyoa Denge.
Baada ya pale kila akijititutumua hola.
Mungu sio wa Utani
Wakristu wengi wamejificha katika msemo huu: Hukumu ni ya Bwana. Soma 1Wakorintho 5:12 _Maana yanihusu nini kuwahukumu wale walio nje? Ninyi hamwahukumu hao walio ndani?
For what have I to do to judge them also that are without? do not ye judge them that are within?
Ko kama huu Pasta Tony ni wa ndani tuna ruksa ya kumkanya na kumkemea kwa nguvu zote maana hao wa nje watajuana na Mungu.
Jonas MANIRAKIZA mwinjilisti kutoka Bujumbura Burundi 🇧🇮
Amina mtumish wa mungu 🙏 MUNGU azid kukutia nguvu ya kukemea wanaopotosha neno la mungu
KUMUELEWA MY SPIRITUAL FATHER PASTOR TONY NEEDS A SPECIAL GRACE NA AKILI😌 ,GO LISTEN TO THE FULL SERMONS!!!!, HIZI CLIPS MNAKATA KAKIPANDE FROM THE SERMON KUTUMIA KUKOSOA NA KUFUNDISHA WATU..KWAN UMEKOSA UJUMBE😂 YANI INASIKITISHA SANA !!!!! US THOSE WHO UNDERSTAND HIM WE ARE GRATEFUL TO GOD TO BE ABLE TO HONOR SUCH GRACE IN OUR LIVES 🙏
Hawa vijana wana siri kubwa sana mwanzo alianza vizuri sasa hivi amejifunua enyi mliohama tag eagt holiness klpt rudini haraka mnapotea watoto wetu
Sana yaani walidanganya wenginila sasa YESU KAWAUMBUA
Wapentecost nao siku hizi ni wajanja wajanja tu,wanavaa kama wadunia na vibinti malaya malaya ndiyo viimba choir,
@@FridayMwassani kweli kbs.lkn sio wote ila wengi wao mmhhh
Ko eagt irudi kwa tag
Kwan jamn pastor ..kapola kavamiwa na roho chafuuu.. wallah alkua mzurii saana at maandiko...na alkua anasema ukweli..saah ameshakuwa naye Christina shusho dah😢😢😢😢
Namuona mbarikiwa mwakipesile. Barikiwa baba
Amen barikiwa Sana mtumishi wa Mungu. Ni sahihi kabisaaa Mungu atusaidie sana tupone
Mungu akubariki sanaa
hello handsome😂 kabla hujasema zaidi kuhusu PT naomba pitia shuhuda za siku ya alhamisi😊 ubarikiwe mtumishi
God Bless you my Sister……………. They dont understand what we learn Yet
@@RyanElias1bado hawajajua jmn natamani wapitie mafundisho ya PT mimi yamenibadilisha maisha yangu kwa asilimia zote kabisa maana yeye anafundisha mtu ujielewe na ujue kujiombea na kuweka imani katika kila unalofanya… watu wengi wanapenda mambo ya miujiza ya kuwekewa mikono lakini sisi watu wa mkuyuni tunaamini katika kufunga na kujiombea wenyewe katika kila tunalofanya
Tunaojua tunajua na haturudi nyuma wacha tuendelee kumtetea Pt wetu kwasababu tunajua vile ametutoa wapi kiimani
😂😂😂😂😂😂 sisi wa mkuyuni wala atuna shida wenyewe
Mimi najiuliza kama kumrekebisha pt kwanini awake picha ambayo haiendani na somo
Asante Sana maana me mafundisho anayoyafundisha huaga siyapokeagi vzur roho yangu inakataaga kabisa yani
😂😂😂Ukiona hivyo ujue hakuna ujumbe uliotumwa kwa ajili yako kupitia yeye.
Tonny ulianza na roho umemaliza na mwili diamond your brother Mungu tusaidie kanisa lako limekia nyumba ya biashara
Ubarikiwe sana mtumishi yaan Asante sana YESU nisaidie 😭😭😭
Sisi wa mkuyuni tunaosaidiwa na BWANA tu like hapa
Kwani Tony ni pastor!mi namuona kama motivational speaker.....anachohubiri sio Habari za wokovu na kwenda mbinguni....
Mi pia nlijua hivo et
Mbona anajiita pastor 😂😂
Nia yake iliyojificha inajitokeza taaaaaratibu ,na tabia ya mtu ijifichayo nikama spring ilijibana,kwahiyo kadiri muda ukisogea hujiachia.
Cha MUNGU kinaonekana tu..at kma kitachelewa vilevile n ibilis kaz yake itaonekna
Hii ndiyo injili sasa mbarikiwa sana mtumishi wa mungu
Mungu akubariki sana mtumishi pascal casian
Ur need An extra Capacity and revelations kuelewa PT ameitwa kwaajili ya nani na kwaajili ya nini, and by the way Kwa muda Ambao nmemfahamu na kumfatilia, I have no ubishi, The man is Blessed 📌📌
Wale mnaoanza kumfahamu Leo Acha muendelee kubishana Huku mitandaoni😅
Kweli kbs Dav...😂 ngoja inaitaji akili nyingne kumuelewa Pastor Tony kaitwa kwaajir ya watu gan maana sio kila mtu atamuelewa .
nabarikiwa
God continue exposing the bad apples 🍎 to the body of Christ. Too much love of money is root of all evil. God you never fail to me by ashamed my anemias, thank lord for answering my preyer, mtawajua kwa matendo yao.yangu macho, asante kwa kuinua watu kuongea on my behalf. Inua wengine ili jina lako lisije likatukanywa.
God never fail me. Correction on my abave statement 😅😅😂😂😂 yangu macho na maombi👀👀👀👀
Mungu akutunze nakukutetea katika huduma nuru yakoizidi kung'aa
Huyo Tona kapola hana adhi ya kuitwa pastor unakosea,huyo ni motivation speaker asi halibu watu kupitia neno la Mungu.
we em kasafishe kalio ndo uje apa ucoment fala ww
Sijui Yesu akirudi itakuaje? maana watu wanaanza vizuri badae wananichanganya vibaya mno...Mungu akulinde Casiani
Nawewe unajifanya Mungu sasa kwenda huko
Amen amen ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
Huna akili weye mwenye uko unasema wenzako
Weye njo aujui kweli kabisa
Mimi napenda mapasta wanaosema kweli siyo wewe unaye kosowa wenzako
Pasta tony u'are right ▶️▶️👍👍👍👍👍😂
Pôle na kazi kaka 🤝🙏
aty mzee wa wachaw 😂😂😂 nani mwingine kasikia hili neno😅 gonga like
Shida Sana , Mtumishi Mungu akutunze
Roho ya bwana iko juu yako mtumishi wa Mungu
Daah Ila mafundisho ya Pastor tonny.... Huwa nayapenda hunipa ujasili Sana...... Hasa kwenye Biashara Huwa najiamini na kuwa huru....
Naomba nikushauri. Mfuate Pastor Tony usiwaskilize hawa mbweha wanaacha kuhubiri injili wanamuubiri Tony
@@veeJesusyaniiii seriously mtu anaandaa sermon kumcritisize mwingine🙌🏾🙌🏾🙌🏾did God sent these men to judge other ni huzuni kwanini usiplay nafasi yako , ubiri injiliii eeeeeiiiiiiiiiiiiiii looking at this fyuuuuuu
Naona ameandika pastor Tonny ili apate viewers alafu atangaze kununua vyombo. Maana kwenye ufalme wa Mungu ni kuutangaza ufalme sio kumkandamiza mmoja ili wewe ujiinue Yesu hakufanya hivi.
Alafu muwe mnasikiliza kitu mwanzo mwisho ndio muwe mnalaumu mtu akikosea Kwan Ni vibaya kumkosoa
@@veeJesuskuna spiritual understanding ukikosa huwezikujua kipi sahihi na kipi sio. Usiite watumishi mbweha ikiwa kiroho chako hakijakomaa nakushauri tu mpendwa
Mungu atusamehe sana
Nikweli wanamakosq ila ungewaombeq wawe kama wewe au zaidi nasio kuwasema bila kuwaombeq anaeukumu ni mungu tu nao wewe🎉❤
Nini maana ya kemea, karipia onya?
@@stevenalex9121 nani sasa Mungu au wewe usie kuwa na mbingu?
Hajahukumu anakemea
Hawa akina Natasha, christina shusho, pastor tony, libido ya wachawi na wengineo ndio wachungaji wa dini moja mpya ya dunia nzima nayoitwa chistislam, msishangae,unyakuo umekaribia sana wateule mzidi kujitakasa na wadhambi acha tu wazidi sana kuzitenda
Huyu pascal ameletwa na Mungu
😂😂😂Aty mungu
😂😂😂😅😅😅😅
Mungu afungue macho ya roho jmn Mambo yanatisha.
Mungu akulinze mtumishi Paschal.Mungu alikuleta duniani na kukuacha hai kwa ajili ya nyakati hizi ili Uonyeshe njia bila kupepesa macho.
Ni Kweli Huenda anakosea Lakni Inapaswa Kumuombea Na Kumuonya Wewe Na Yeye Ila sio Kumuonya Ivi public Sio Jambo La Upendo Wa kiMungu Anayotaka Uyo Ni Mtumishi Mwenzio Wa Mungu Then Usihukumu Usije Ukahukumiwa Kikubwa ni KUWAOMBEA Hawa Watumishi Ili Waje Kusimama Kama Wewe 🙏
Ukipata nafasi piamsikilize Mchungaji Abiudi na Ev Daniel kwa kweli utakuwa kiroho,utumishi wa kwelii ni kukemea dhambi,kuhubiri kuhusu toba na msamaha,Roho Mtakatifu na kumrudia Mungu.
Mt watu Sasa wanafunguliwa kupitia mahubili yako
Ameni Ev Daniel. Is My Daddy Be Blessed
Daniel nani jmn nimfuatilie@@PaulFidel-fi3sh
Kweli shetani yupo kazini Mungu tusaidie
Safi mtumishi zifunguwe fahamu za watanzania tusipende miujiza kuliko kulisoma neno
Pasta tonny alianza vizur lakini asa iv kabadilika
Baada ya kuja ubert angel naona ndipo alipoangukia na anamwita baba yake wa Imani.
True, mimi nilimskiza pastor Tony first time in 2020, na alikuwa mnyenyekevu sana, na alihubiri kwa spirit. But nikajikuta sina hamu tena kuskiza mahubiri kutoka kwake🇰🇪
Ameanzaa kulewa sifa ndio maana
Acha inafiki ujawahi kumskiliza tony. Watu wa tony hawajawahi kuhama@@annewanjiru818
Mbona wengine tunamuelewa na tunafata mafunzo yake mazuri na tunaacha mabaya yake cus hakuna aliyekamilika
Ukweli tupu pastor, mungu akubariki.
Umejitahidi kuongea, ila nadhani ungekuwa na lengo la kumuonya ungemtafuta inbox na kumueleza haya, mm nadhani unatafuta attention ya watu au kutrend kama yeye, mm nazungumza nikiwa siyo muumini wa Tonny wala muumini wako....cdhani kama umefanya vizuri, jitahidi kuubiri bila kuwasema watu ili Mungu awabadilishe na cyo kumuattack mtumishi yeyote....kama umeliona hili gonga like hapa na itawasaidiq watumishi wengine wahubiri watu wabadilishwe na c kusemana kama kina harmonize na kina diamond na kina kajala
Hao walio yapokea tayari.. nani atawaambia sio sahihi.
Casian ana deal na nguvu ya mtandao...kuharibu na Kutengeneza.
Cassian yuko sahihi kwasababu yeye alisema hadharani na watu wengi wamesikia je akimwambia kwa siri hao waliosikia hilo somo la upotovu watajuaje kama hilo somo sio sahihi?, kumsema hadharani inamponya yeye na wote tunaomfuatilia pst Tony ili tujue kapotoka, mi nampenda pst Tony sana ila kuna vitu haendi sawa.
Msikilize vizuri mwinjilisti kaka, alafu soma biblia, "ya hadharani yanakemewa hadharani..."
Wewe mwenyewe umemalizia Kwa kuombea like...Dah! Dhambi inayofanyika hadharani hukemewa hadharani Ndugu yangu!
Amepotosha hadharani akemewe hadharani hii ni Biblia Petro alikemewa hadharani na Yesu tena kwakusema Shetani rudi nyuma.
MAHUBIRI YAKIWASHINDA ,MSIHONE HAYA ;HACHENI .
USIWATUMIKIYE MABWANA WAWILI ENYI WAGALATIYA ,...NANI KAWAROGA.😢😢😢😢😢😂😂😂😂
AMAKWELI MUNGU ANACHEKA.
Kwa mwandiko huu Pastor Tony huwezi kumuelewa
Watumishi wa baali.....wamejaa kila kona 😢
Aisee sio mchezo, hayo ndo madhara ya kujichanganya na yale mataifa Mungu aliyokataza.
Wamejaa kweli ila Pastor Tony sio mmoja wao.
Hakika tunamtaka bwana na nguvu zake.
Ton.anaanza kusifiaa wasanii wa dunia kma nabii mkuu no dev kisongo Arusha wanamsujudia kma mungu wao..na wakiweka nyimbo za Amonais na wengne wengi..wakicheza madhabahuni....n nabii wao
😭😭😭 Kwa Sasa hata Mimi simuelewi baadhi ya ma pastor wanapotosha sana watu😭😭😭
Naam mtumishi wa Mungu aliye hai