PAT5)FREE MASON WANACHUKUWA WENYE SIFA HIZI TU BILA HIZO HAWAWEZI EV PASCHAL CASSIAN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 04. 2023
  • #0788871769 #0766998994 #call0688199370 #0688199370 #

Komentáře • 287

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 Před rokem +12

    Asante sana kwa ukweli Mungu akubariki sana ktk kristo Yesu asante Yesu kristo kwa kumpa roho ya ujasiri kuokoa Dunia

  • @DavidMakvok
    @DavidMakvok Před 4 měsíci +5

    Licha ya kumchangia tafadhari aombewe sana wapo walio na habari hizi lakini hawathubutu kufungua midomo yao kwa kuwa hawako sawa na Mungu na hawaja chukuwa hatua za kumumfanya Yesu Kristo na kufanya kuwa BWANA na mwokozi wa maisha yao , wengine wanadhani muda bado wakusema hayo mambo.

  • @emilyrissling9703
    @emilyrissling9703 Před 5 měsíci +2

    Amen and Amen, wewe Casian unawito mkubwa wa kufungua funiko wale wanataka kusikia na kuona watasikua, wenye kukupinga watapitwa ,nungu akulinde na akutie Nguvu usimame kwenye nafasi yako vizuri

  • @user-xh1uu2bd9p
    @user-xh1uu2bd9p Před měsícem +3

    Tlnisiongee sana ila ukweli ana ujua aliye umba mbingu na nchi , ambaye ukisoma Mwanzo 1. 1 hapo mwanzo kulikuwa na mungu amvae mungu aliumbabingu na nchi na vitu vyote vina vyoonekana na visivyooneka , Kwa hiyo yeye ndiye aonae sirini mwa wanadamu coz aliumba Kila kitu 🙏🙏🏿

  • @paskalimichael3994
    @paskalimichael3994 Před 6 měsíci +9

    We need power of JESUS to push to our destiny in everything

    • @mosesandera6970
      @mosesandera6970 Před 6 měsíci

      the power is in the watchman...has been prepared by the Almighty father himself the most high Jah...be cool children's and lets keep on praying to the father and ask for change because the world is on crisis knows so we have to make the change or it will be no change #watchman

  • @AdamMathias-db2jq
    @AdamMathias-db2jq Před 9 měsíci +5

    God akujalie kaka akupe ulinzi wa kutosha. Tuna barikiwa sanaa!!.

  • @annewanyonyi-nb1zh
    @annewanyonyi-nb1zh Před rokem +10

    Mungu wetu ni wa neema sana.Yeye hutuwazia mema kila wakati na hii ndiyo maana anamficha mtumishi wake katika kikundi cha maadui ili amfunulie uovu uliopo mle ndani na kisha kumpa ufahamu wa kutasimlia watakatifu wote ili isije hata siku moja wakakosa kubambanua ishara na uongo wa muovu huyo ambaye ni shetani kiongozi wa uasi wote duniani.
    Asante sana mtumishi wake Mungu kwa ujasiri wako na kwa kutuokoa sisi ambao hatuna uelewa wa hayo yote yaliyokusibu na kutusaidia ili tuepuke moto jehanamu kwa kutafuta umarufu duniani.🙏🙏🙏🇰🇪

  • @user-rn2ud7yh1q
    @user-rn2ud7yh1q Před rokem +5

    Daaahhhhhh...!!! Nimeipenda hii habari inawafaa Sana waliopotea..,,,,!! Endelea mbele,walimpinga Musa,Elia,Yoshua,Paulo na wengine wengi,kwako isikusumbue hubiri tupone Mchg!!!!!

  • @TosigwegeraisonMwakisenjele
    @TosigwegeraisonMwakisenjele Před 6 měsíci +3

    Ubarikiwe sana mwenye mungu akulinde na kukuepusha nawatuwabaya

  • @yesuanikumbukejanuary8363

    Ameeni MUNGU akutunze mtumishi MUNGU ni MUNGU haja wahi kushindwa lazima atushindie pia MUNGU ni mwema amekuponya kipindi ulikuwa una umwa pia MUNGU awakumbuke woote walio toa sadaka zao ukaenda kutibiwa.

  • @gabrieljemawo7828
    @gabrieljemawo7828 Před rokem +9

    Amen pia nakuomba ukuje kenya ubirihi huu ujumbe

  • @TheMvenTvfamily
    @TheMvenTvfamily Před rokem +5

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu Kwa kutuelezea ukweli uliopo,mungu ndiye njia pekee ya ukweli...

  • @mitaocamilliusthegreatest7517

    Mwenyezi Mungu azidi kutuimarisha kwa kweli dunia ina mambo mengi mno hakika!

  • @ReginaMasalu-hk8ho
    @ReginaMasalu-hk8ho Před 11 měsíci +3

    Mungu akubariki kwa kuwa thabit kwenye maamuzi yako, you are so strong! Stay connected always.

  • @Chekakidogo2
    @Chekakidogo2 Před rokem +14

    Amen nimebarikiwa sana kwa ushuhuda kamanda wa Yesu,tunaomba mwendelezo.

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 Před 6 měsíci

      Kama unashangalia stori za Freemason wewe ni chizi

  • @adamjulius9782
    @adamjulius9782 Před rokem +14

    Nikushukulu Sana kwa kutoa sili za adui yetu maana umetaka kusaidia wengi. Mwenye sikio na asikie neno hili ambalo roho ayaambia makanisa

  • @kamgishaisaya4763
    @kamgishaisaya4763 Před 8 měsíci +2

    Amina, ni ufunguo tosha kwa mawaka mbalimbali katika sekita m alimbali

  • @bettymuhonja9967
    @bettymuhonja9967 Před 6 měsíci

    Bwana yesu kristo akuwezeshe na neema yke ikutoshe ,,,Bwana Yesu kristo na. akulinde akufunike kwa damu yke takatifu mchungaji mie nakufuatila unahubili ukweli wale ambayo nivipofu macho kuelewa nivigumu muno but mungu azidii kutupa nguvu Ameni

  • @johnemmanuel7805
    @johnemmanuel7805 Před rokem +4

    Bwana Yesu aendelee kukulinda na kukupigania.Watapigana nawe lakini hawatashinda.

  • @SafiAkinyi8361
    @SafiAkinyi8361 Před rokem +140

    AMEN AMEN 🙏 🙌 LAKINI BROTHER KUA MAAKINI NA HAWA WATU WA MEDIA KWA SABABU NDO WAMEANZA KUKUTAFUTA KWA WINGI HAO MAADUI WAKO WATATUMA WAO SASA KUA MAAKINI TAFADHALI

  • @JenipherJoachimu
    @JenipherJoachimu Před 18 dny

    Mmh mtumishi unaonyesha unauchungu na watu wapotosha Imani ya kwel barikiwa

  • @Muislaelmumina
    @Muislaelmumina Před 10 měsíci +2

    Amen 🙏 barikiwa Sana mimi sina mali lakinitu niombee nipate mtumishi wamungu niko hali ngumu

  • @user-dh9gb8yn7y
    @user-dh9gb8yn7y Před 8 měsíci +1

    Daaah Mungu a2saidie akina sisi 2nayopitia kwenye maisha magumu mpaka 2naangaika mpaka kwa wachungaji ambawo upako wawo ni wa shetan

  • @michaelmwalimu6057
    @michaelmwalimu6057 Před rokem +2

    Hongera sana kaka Mungu baba ktk kristo amekuokoa kweli

  • @FistonMarc
    @FistonMarc Před 2 měsíci

    Yesu kriston skyline sana nanguvuyamungo idhidi kuwa pamoja nawewe amen

  • @madam-florensialutego
    @madam-florensialutego Před rokem +3

    Kweli tuliozaliwa familia za huko usukani elimu zagiza tunakuwa tukizijuwa natutakuwa tulikuwa nikaisha ya kawaida ila unapokuja kukutana na kikristo ndipo utajuwa kwamba elimu hiyo si sahihi na Mungu anapenda kutumia wafu wanaomba hiyo kwamba wanakuwa kweli yagiza kubwa niuwongo hakuna kweli hata moja ila Mungu pekee anaetusaidia nakubaki salama

  • @ByamunguErnest-jc7kd
    @ByamunguErnest-jc7kd Před rokem +2

    Mungu akufunike na mukono wake🇨🇩👏🇨🇩.

  • @user-wi2vr4bt1t
    @user-wi2vr4bt1t Před 4 měsíci +1

    Mungu akusaidie ktk maisha yako

  • @peterodongo7847
    @peterodongo7847 Před 7 měsíci +1

    amen!!! kwa Mungu Kila kitu kitakuwa wazi .

  • @thomasamri
    @thomasamri Před rokem +5

    In the might name of Jesus amen

  • @MamaBarakha-no3bj
    @MamaBarakha-no3bj Před rokem +7

    Safi mtumishi wamung usiogope Mungu yu nawe ata kulinda

  • @VictoryMesu
    @VictoryMesu Před 14 hodinami

    Huyu bado hajatoka huko kama kweli wapo maana mimi sijui lakini kama ametoka angehubiri hari za ufalme wa mungu

  • @AgathaPesambili
    @AgathaPesambili Před rokem +3

    Umetisha brother kama movie naisubiri party 6

  • @mosesmwailenge5192
    @mosesmwailenge5192 Před rokem +41

    Hao wAtu wame nisumbua saana katika maisha yangu kamà kujiunga ningesha jiunga muda lakini atukuzwe yesu wambinguni Kwa kuniokoa 😢🙏🙏

    • @rowenalilie993
      @rowenalilie993 Před rokem +6

      Ni YESU. SIO yesu

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 Před rokem +4

      @@rowenalilie993 sija soma nimeishià lapili kwaiyo utaelewa ivyo ivyo mpaka hapo nimejitahidi saana wengine hawajui kabisa ivyo nashukulu MUNGU kwa yoote kwani neno lasema tushukulu kwa Kila jambo

    • @chrithicksambo2287
      @chrithicksambo2287 Před rokem +1

      Say YESU Bro ✍️

    • @user-xq3xr9ui1w
      @user-xq3xr9ui1w Před rokem

      Na we uliwavutia na nn?

    • @zaitunjuma870
      @zaitunjuma870 Před rokem

      jee ulisaidik vip nina ndugu yangu wana mtisha sn kwa kumwambia wata muwan man yy aliwapigia cm na kupewa maelekezo yao lkn imekuwa ndo chanzo icho

  • @RegineBuloze
    @RegineBuloze Před měsícem +1

    Sio wote watakuelew baba amen ❤

  • @alainmuhigirwa5151
    @alainmuhigirwa5151 Před rokem +9

    Ubarikiwe sana mtumishi. Nakusikiliza kwa makini nikiwa apa bondeni Johannesburg 🇿🇦🇨🇩

  • @paulinewambui6763
    @paulinewambui6763 Před rokem +9

    Chunga pia hizi Juice zao

  • @milkambithe4622
    @milkambithe4622 Před rokem +4

    Uyasemayo ni ya kweli kabisa 👏👏,wale wanaotembea katika ulimwengu wa Roho wanaufahamu hiyo kabisa

  • @RebeccaMwaja-je7jk
    @RebeccaMwaja-je7jk Před rokem +3

    Barikiwa Sana napenda Sana watu wanaochana ukweli

  • @yaduniamapitotz26
    @yaduniamapitotz26 Před rokem +3

    Amina pamoja munguatuokoe

  • @AgnessChalles
    @AgnessChalles Před měsícem +1

    Asante kwanifumbua mim ninamadeni mengi sana nikua nataka kujiunga 26:21

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani Před rokem +8

    Nimeitwa na Mungu mwaka 2000, 1,1.tarehe moja mwezi wa kwanza mwaka elfu mbili.hapo ni mwisho wa utawala wa shetani duniani,na mwanzo wa ufalme wa mbinguni hapa duniani,yaani habari njema ya ufalme,na Mjumbe wa agano duniani John Isaya Igumi nipo Tanga Handeni ninakuomba unipe nafasi ya kufundisha Neno la wakati huu, Malaki3:1-6. Isaya 41:1------.

    • @mjumbewaaganoduniani
      @mjumbewaaganoduniani Před rokem +3

      Ninakuelewa sana ila jua kuwa Mungu hawezi kufanya jambo lolote bila kuwajulisha watumishi wake, na hii ni saa ya mjumbe wa agano duniani nikaribisheni basi msikie alicho sema Mungu juu ya dunia.

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 Před rokem +11

    Amen, Yesu tumain langu

  • @issabaraka2850
    @issabaraka2850 Před rokem +4

    Félicitations

  • @user-gk8vg4ow2i
    @user-gk8vg4ow2i Před 3 měsíci

    Hongera Kaka kwakumpokea yesu

  • @HebronMwasomola-iq1eg
    @HebronMwasomola-iq1eg Před 2 měsíci

    Ubariwe sana atadhibitika katika haki atakuwa mbali y kuonewa

  • @JosueMumbereVasugha
    @JosueMumbereVasugha Před měsícem

    Mungu akupe nguvu zaidi pasta.sio raisi kabisa

  • @collinsmercy3971
    @collinsmercy3971 Před rokem +6

    Mambo mazito kweli Asante kwa elimu

  • @MayalaDieseloil
    @MayalaDieseloil Před 3 měsíci +1

    Aache uongo hawa wanakimbiria kwenye mafanikio ya haraka mwisho wa siku ndo wanakimbiria kwenye midia

  • @MariamElias-qz9tk
    @MariamElias-qz9tk Před 3 měsíci +1

    Dear Nice

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 Před 9 měsíci +1

    Wonderful story

  • @user-rh9fd5or4r
    @user-rh9fd5or4r Před rokem +1

    Eu Só Bernardo Filipe Tudo bem 🤲🤲

  • @user-ll3zu8lz4y
    @user-ll3zu8lz4y Před 7 měsíci

    Ndugu haya simahubili mbona yesu hakuhubili maneno kama haya kwani unausiyano na mabo yakishetani juu unayaongelelea sana hubili ijili inayo tuwezesha kukaa imala katika Imani jameni Giza na Nuru zinakujia wapi uta zihubili zote kua na msimamo

  • @ChalitoAssumaneAssumane
    @ChalitoAssumaneAssumane Před 2 měsíci

    Good afternoon master please ayuta mid-day Freemasons please.

  • @israelmlabwa9783
    @israelmlabwa9783 Před rokem +2

    Mungu akutunze

  • @Muislaelmumina
    @Muislaelmumina Před 10 měsíci +1

    Amen 🙏 apo sasa

  • @PeterPhilemonNzigula
    @PeterPhilemonNzigula Před 6 dny

    Asante sana

  • @mkojeragodsonofficial4664

    Kaka NAKUPATA vizuri Sana ni kiwa hapa mjini Arusha I love the kind of your gospel❤

  • @SmilingJellyFish-vf6xy
    @SmilingJellyFish-vf6xy Před 7 měsíci

    Amiiina nachukuru
    Mutumichi. Wamungu.

  • @joshuacosmas681
    @joshuacosmas681 Před rokem

    Mungu akubariki na akurinde

  • @cobilmaster5221
    @cobilmaster5221 Před rokem +3

    Tupe connection Sisi tukapige hela jombaaa

  • @LeisaJonikaporua-lx4be
    @LeisaJonikaporua-lx4be Před 11 měsíci +1

    love you Jesus for the other two

  • @veronicahkhaikwa4929
    @veronicahkhaikwa4929 Před rokem +2

    Weee watanzania hamtaki ukweli njoo Kenya cassian

    • @Crabtree1844
      @Crabtree1844 Před rokem

      Ukweli gani wa Kenya wataka kushinda waTZ?

  • @davibphilipo5425
    @davibphilipo5425 Před 10 měsíci

    Naikumbuka sana bss 2009 stagen Michael Jackson wa bongo aliimba mpaka akachana fulana, lakin ulipopanda uliimba ukamficha na ulitunzwa sana pale stagen na ule wimbo wako wa shebeleza ulioukopi ktoka kwa marhem joe mafela, leo Mungu aliemgeza sauli muuaji kuwa paulo mtume amekugeuza na wewe, usrudi hko tena kama unavyoimba sku zote Mungu akushike mkono.

  • @maryncudo4526
    @maryncudo4526 Před 11 měsíci +9

    What is Paschal talking about?
    Will someone translate the entire interview in English, please.
    Is Paschal, a member of the free mason and a preacher of the Gospel, at the same time, LORD helps us.
    I have listened to his songs for years now.

    • @edinamkomwa953
      @edinamkomwa953 Před 11 měsíci +4

      No he's now a gospel singer.he was a member of the freemason but now he is in Jesus.

    • @KarenKetura
      @KarenKetura Před 11 měsíci +2

      His explaining how dark world is, he was there, first nobody is elected they have conditions, right now he's saved

    • @user-kn3ll6ju8b
      @user-kn3ll6ju8b Před 11 měsíci +2

      He was a member of a freemason but now he is saved by the blood of Jesus, and he sings gospel songs, so he gives the secrets of the freemason (he gives a testimony).

    • @bujamoviesonline8553
      @bujamoviesonline8553 Před 10 měsíci +2

      He used to be a member but no longer a member. This is his testimony and now he's a preacher

    • @MkoiTvTz
      @MkoiTvTz Před 10 měsíci

      MTANZANIA ALIYEOLEWA NIGERIA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YA JUMBA LAO LA KIFAHARI HUKO.!
      czcams.com/video/9bXTiw6Qklc/video.html.
      MSICHANA MREMBO WA KITANZANIA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA TED JOHN ALIYEKUWA AMEOLEWA NCHINI NIGERIA NA TAJIRI MKUBWA.
      AELEZA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YAJUMBA LAO LA KIFAHARI LILIPO NCHINI HUMO KISHA KUKIMBIA NA WANAE.
      UBALOZI WA TANZANI WAMUOKOA NA KIFO KWA KUMTOROSHA USIKU NA KUREJEA TANZANIA NA WANAE WATATU, AMUOMBA RAISI SAMIA.
      WATANZANIA WOTE NA DIASPORA KUMSAIDIA KUHUSU WANAE AMBAO HAWAJUI KISHWAHILI HATA. CHEMBE.
      AONGEA NA MKOI TV, VIDEO HII HAPA, SHARE KWA KILA MTANZANIA DUNIANI KOTE ILI WAMSAIDIE DADA HUYU.
      COMMENT NA SUBSCRIBE MKOI TV ONILI AU KAMA UNA MAONI TUTAFUTE WHATSAPP NO +255713575718.
      KARIBUNI SANA

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 Před rokem +7

    Yesu tuokolee maisha yetu

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 Před 10 měsíci +1

    Sura ni Cassian mikono ya mzungu

  • @magrethstany2032
    @magrethstany2032 Před 7 měsíci

    Mtangaze Yesu itoshe

  • @AndreaMsemwa
    @AndreaMsemwa Před měsícem

    Kazana kumuomba Mungu maana dunia ipo mwishoni

  • @abdallahsaidi7729
    @abdallahsaidi7729 Před 9 měsíci

    elezea uliingiaje freemasons unaongelea mambo mengine unatumalizia bando ujinga mtu unaongelea aina aja kuongea ongea sana kaka atuuhitaji stor nyingine acha ushamba wew

  • @mikael1656
    @mikael1656 Před rokem +1

    Amen

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula Před rokem

    13days ago ndio nimeiona Sasa hv mchungaji kama ulivosema shetani akikuitaji nawe ukampa nafasi hapo panaitaji neema ya kristo iwe nawe bwana atakupigania kama Kuna mtu namfatilia Sana ni wewe mungu yupo nawe

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 Před rokem +1

    Jamani mwendelezo bav

  • @WillBat-gc9ex
    @WillBat-gc9ex Před 7 měsíci

    Ubarikiwe sana casim

  • @user-cg9df5nt1f
    @user-cg9df5nt1f Před 2 měsíci

    Mungu tusaidie

  • @florenceokullo6049
    @florenceokullo6049 Před rokem +2

    Nakuamini sana mtumishi wa Mungu ila natamani sana nionge na wewe

  • @user-qy1fv6rm7v
    @user-qy1fv6rm7v Před 4 měsíci

    Mimi nataka kujiunga na chama cha freemason

  • @user-qt2mu1cn3t
    @user-qt2mu1cn3t Před 4 měsíci

    I love free mason💙💙💙💙akuna Alie wai kuwa mwanachama akatoka maana anapata manufaa makubwa sana yaakili naakili nimafanikio nahuwa awajitangazi kama uyu jamaa anatafuta ela za CZcams

    • @IMANIMWAITEGE-ve8gr
      @IMANIMWAITEGE-ve8gr Před 2 měsíci

      Hujui usemalo MUNGU akusamehe VP na wewe umeshindwa Nini kutafuta hela CZcams

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 Před rokem +1

    Elimu kubwa sana hii

  • @djoe8266
    @djoe8266 Před rokem

    Ivi lile jengo Lao pale posta mbona lipo wazi sana alafu bado kunawatu wanatapeliwa mashetani sio wazur

  • @familykabange6328
    @familykabange6328 Před 6 měsíci +1

    Katika ku katiliwa na Freemason ni kuna watu wanayo chapa ya MUNGU awa awakubaliwe,Wengine ni hawana Bahati,Wengine awana shuguli

  • @samyjoseph2732
    @samyjoseph2732 Před rokem

    Te encontro no meio de Moçambique e África do Sul

  • @kevinchimasia7533
    @kevinchimasia7533 Před rokem +2

    Aliye ndani yako ni mkuu kuliko walio nje

  • @user-jm4pp6vt9i
    @user-jm4pp6vt9i Před 5 měsíci

    Naitaji kuwa mwana memba wa frimason

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před rokem +1

    Kazi ipo kweli kweli 😂😂

  • @manethmwiyanja2452
    @manethmwiyanja2452 Před 11 měsíci

    samahani nirekebishe hapo hakuna mwanajeshi kuruta - kuruta ni mwanafunzi anaeanza mafunzo halafu anakuja service man kama ngazi ya jeshi anaanza na private ni mwanajeshi kamili kabisa na mwenye sifa zote za kijeshi ikiwa uvumilivu na zingine.

  • @themessengertz1237
    @themessengertz1237 Před rokem +1

    KAKA YANGU KATIKA KRISTO MUNGU AKUKUMBUKE KWA WEMA, TEMBELEA CHANNEL YANGU TUFAHAMIANE ZAIDI NA TUTASAIDIANA ILI KAZI IMALIZIKE!

  • @ChalitoAssumaneAssumane
    @ChalitoAssumaneAssumane Před 2 měsíci

    Salve Luz.

  • @bupemoreen9974
    @bupemoreen9974 Před 6 měsíci

    Mm naona anaruka mSwali anatapatapa tu Hubiri Neno watu waokolewe

  • @jacksonjeizh2n353
    @jacksonjeizh2n353 Před rokem +2

    Bwana yesu aendelee kukulinda

  • @MarckMasudi-qq4oi
    @MarckMasudi-qq4oi Před 11 měsíci +1

    Eh bwana tu samehe makosa yetu

  • @GoldvanJackson
    @GoldvanJackson Před 3 měsíci

    Rais samia mwenyewe ni freemasonry kwahyo sisi wenyewe tunajiongoza kama makomando

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 Před 8 měsíci +1

    Huna lolote nyooo, wala sio mtumishi wa Mungu, bado Freemason😂😂

  • @Nyakyusa_Prince
    @Nyakyusa_Prince Před 7 měsíci

    Once you enter the rabbit hole there's no way back,acha uongo

  • @GoldvanJackson
    @GoldvanJackson Před 3 měsíci

    Freemasonry ni watu ambao sio watu wazuri tuepukenao ndugu zang

  • @Ntomolapagu255
    @Ntomolapagu255 Před 23 dny +1

    🎉🎉❤

  • @user-ry9vx8yv7u
    @user-ry9vx8yv7u Před rokem +1

    mimi nataka nijiunge

  • @roseombay2086
    @roseombay2086 Před rokem

    We ndo ulikuwaga msabato?naikumbuka sana ile BSS

  • @MayalaDieseloil
    @MayalaDieseloil Před 3 měsíci

    Msipende kumpongeza mtu bira kujua muurizeni aritumia sh ngpi kujuunga freemason akaambiwa kua freemason wanachagua mtu

  • @ElishaMwashiuya-rz4dn
    @ElishaMwashiuya-rz4dn Před rokem +1

    Asante nimejifunza japo siwez kuerezea nilicho jifunza, usiache kusema endelea mungu akutumie zaid mana saut Yako Niyamungu , na mungu amekutumia wewe uje utufundishe