Licha ya kumchangia tafadhari aombewe sana wapo walio na habari hizi lakini hawathubutu kufungua midomo yao kwa kuwa hawako sawa na Mungu na hawaja chukuwa hatua za kumumfanya Yesu Kristo na kufanya kuwa BWANA na mwokozi wa maisha yao , wengine wanadhani muda bado wakusema hayo mambo.
Amen and Amen, wewe Casian unawito mkubwa wa kufungua funiko wale wanataka kusikia na kuona watasikua, wenye kukupinga watapitwa ,nungu akulinde na akutie Nguvu usimame kwenye nafasi yako vizuri
Tlnisiongee sana ila ukweli ana ujua aliye umba mbingu na nchi , ambaye ukisoma Mwanzo 1. 1 hapo mwanzo kulikuwa na mungu amvae mungu aliumbabingu na nchi na vitu vyote vina vyoonekana na visivyooneka , Kwa hiyo yeye ndiye aonae sirini mwa wanadamu coz aliumba Kila kitu 🙏🙏🏿
the power is in the watchman...has been prepared by the Almighty father himself the most high Jah...be cool children's and lets keep on praying to the father and ask for change because the world is on crisis knows so we have to make the change or it will be no change #watchman
Mungu wetu ni wa neema sana.Yeye hutuwazia mema kila wakati na hii ndiyo maana anamficha mtumishi wake katika kikundi cha maadui ili amfunulie uovu uliopo mle ndani na kisha kumpa ufahamu wa kutasimlia watakatifu wote ili isije hata siku moja wakakosa kubambanua ishara na uongo wa muovu huyo ambaye ni shetani kiongozi wa uasi wote duniani. Asante sana mtumishi wake Mungu kwa ujasiri wako na kwa kutuokoa sisi ambao hatuna uelewa wa hayo yote yaliyokusibu na kutusaidia ili tuepuke moto jehanamu kwa kutafuta umarufu duniani.🙏🙏🙏🇰🇪
Daaahhhhhh...!!! Nimeipenda hii habari inawafaa Sana waliopotea..,,,,!! Endelea mbele,walimpinga Musa,Elia,Yoshua,Paulo na wengine wengi,kwako isikusumbue hubiri tupone Mchg!!!!!
Ameeni MUNGU akutunze mtumishi MUNGU ni MUNGU haja wahi kushindwa lazima atushindie pia MUNGU ni mwema amekuponya kipindi ulikuwa una umwa pia MUNGU awakumbuke woote walio toa sadaka zao ukaenda kutibiwa.
Bwana yesu kristo akuwezeshe na neema yke ikutoshe ,,,Bwana Yesu kristo na. akulinde akufunike kwa damu yke takatifu mchungaji mie nakufuatila unahubili ukweli wale ambayo nivipofu macho kuelewa nivigumu muno but mungu azidii kutupa nguvu Ameni
AMEN AMEN 🙏 🙌 LAKINI BROTHER KUA MAAKINI NA HAWA WATU WA MEDIA KWA SABABU NDO WAMEANZA KUKUTAFUTA KWA WINGI HAO MAADUI WAKO WATATUMA WAO SASA KUA MAAKINI TAFADHALI
Kweli tuliozaliwa familia za huko usukani elimu zagiza tunakuwa tukizijuwa natutakuwa tulikuwa nikaisha ya kawaida ila unapokuja kukutana na kikristo ndipo utajuwa kwamba elimu hiyo si sahihi na Mungu anapenda kutumia wafu wanaomba hiyo kwamba wanakuwa kweli yagiza kubwa niuwongo hakuna kweli hata moja ila Mungu pekee anaetusaidia nakubaki salama
@@rowenalilie993 sija soma nimeishià lapili kwaiyo utaelewa ivyo ivyo mpaka hapo nimejitahidi saana wengine hawajui kabisa ivyo nashukulu MUNGU kwa yoote kwani neno lasema tushukulu kwa Kila jambo
Nimeitwa na Mungu mwaka 2000, 1,1.tarehe moja mwezi wa kwanza mwaka elfu mbili.hapo ni mwisho wa utawala wa shetani duniani,na mwanzo wa ufalme wa mbinguni hapa duniani,yaani habari njema ya ufalme,na Mjumbe wa agano duniani John Isaya Igumi nipo Tanga Handeni ninakuomba unipe nafasi ya kufundisha Neno la wakati huu, Malaki3:1-6. Isaya 41:1------.
Ninakuelewa sana ila jua kuwa Mungu hawezi kufanya jambo lolote bila kuwajulisha watumishi wake, na hii ni saa ya mjumbe wa agano duniani nikaribisheni basi msikie alicho sema Mungu juu ya dunia.
Ndugu haya simahubili mbona yesu hakuhubili maneno kama haya kwani unausiyano na mabo yakishetani juu unayaongelelea sana hubili ijili inayo tuwezesha kukaa imala katika Imani jameni Giza na Nuru zinakujia wapi uta zihubili zote kua na msimamo
Naikumbuka sana bss 2009 stagen Michael Jackson wa bongo aliimba mpaka akachana fulana, lakin ulipopanda uliimba ukamficha na ulitunzwa sana pale stagen na ule wimbo wako wa shebeleza ulioukopi ktoka kwa marhem joe mafela, leo Mungu aliemgeza sauli muuaji kuwa paulo mtume amekugeuza na wewe, usrudi hko tena kama unavyoimba sku zote Mungu akushike mkono.
What is Paschal talking about? Will someone translate the entire interview in English, please. Is Paschal, a member of the free mason and a preacher of the Gospel, at the same time, LORD helps us. I have listened to his songs for years now.
He was a member of a freemason but now he is saved by the blood of Jesus, and he sings gospel songs, so he gives the secrets of the freemason (he gives a testimony).
MTANZANIA ALIYEOLEWA NIGERIA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YA JUMBA LAO LA KIFAHARI HUKO.! czcams.com/video/9bXTiw6Qklc/video.html. MSICHANA MREMBO WA KITANZANIA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA TED JOHN ALIYEKUWA AMEOLEWA NCHINI NIGERIA NA TAJIRI MKUBWA. AELEZA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YAJUMBA LAO LA KIFAHARI LILIPO NCHINI HUMO KISHA KUKIMBIA NA WANAE. UBALOZI WA TANZANI WAMUOKOA NA KIFO KWA KUMTOROSHA USIKU NA KUREJEA TANZANIA NA WANAE WATATU, AMUOMBA RAISI SAMIA. WATANZANIA WOTE NA DIASPORA KUMSAIDIA KUHUSU WANAE AMBAO HAWAJUI KISHWAHILI HATA. CHEMBE. AONGEA NA MKOI TV, VIDEO HII HAPA, SHARE KWA KILA MTANZANIA DUNIANI KOTE ILI WAMSAIDIE DADA HUYU. COMMENT NA SUBSCRIBE MKOI TV ONILI AU KAMA UNA MAONI TUTAFUTE WHATSAPP NO +255713575718. KARIBUNI SANA
elezea uliingiaje freemasons unaongelea mambo mengine unatumalizia bando ujinga mtu unaongelea aina aja kuongea ongea sana kaka atuuhitaji stor nyingine acha ushamba wew
13days ago ndio nimeiona Sasa hv mchungaji kama ulivosema shetani akikuitaji nawe ukampa nafasi hapo panaitaji neema ya kristo iwe nawe bwana atakupigania kama Kuna mtu namfatilia Sana ni wewe mungu yupo nawe
I love free mason💙💙💙💙akuna Alie wai kuwa mwanachama akatoka maana anapata manufaa makubwa sana yaakili naakili nimafanikio nahuwa awajitangazi kama uyu jamaa anatafuta ela za CZcams
samahani nirekebishe hapo hakuna mwanajeshi kuruta - kuruta ni mwanafunzi anaeanza mafunzo halafu anakuja service man kama ngazi ya jeshi anaanza na private ni mwanajeshi kamili kabisa na mwenye sifa zote za kijeshi ikiwa uvumilivu na zingine.
Asante sana kwa ukweli Mungu akubariki sana ktk kristo Yesu asante Yesu kristo kwa kumpa roho ya ujasiri kuokoa Dunia
Licha ya kumchangia tafadhari aombewe sana wapo walio na habari hizi lakini hawathubutu kufungua midomo yao kwa kuwa hawako sawa na Mungu na hawaja chukuwa hatua za kumumfanya Yesu Kristo na kufanya kuwa BWANA na mwokozi wa maisha yao , wengine wanadhani muda bado wakusema hayo mambo.
Amen and Amen, wewe Casian unawito mkubwa wa kufungua funiko wale wanataka kusikia na kuona watasikua, wenye kukupinga watapitwa ,nungu akulinde na akutie Nguvu usimame kwenye nafasi yako vizuri
Tlnisiongee sana ila ukweli ana ujua aliye umba mbingu na nchi , ambaye ukisoma Mwanzo 1. 1 hapo mwanzo kulikuwa na mungu amvae mungu aliumbabingu na nchi na vitu vyote vina vyoonekana na visivyooneka , Kwa hiyo yeye ndiye aonae sirini mwa wanadamu coz aliumba Kila kitu 🙏🙏🏿
We need power of JESUS to push to our destiny in everything
the power is in the watchman...has been prepared by the Almighty father himself the most high Jah...be cool children's and lets keep on praying to the father and ask for change because the world is on crisis knows so we have to make the change or it will be no change #watchman
God akujalie kaka akupe ulinzi wa kutosha. Tuna barikiwa sanaa!!.
Mungu wetu ni wa neema sana.Yeye hutuwazia mema kila wakati na hii ndiyo maana anamficha mtumishi wake katika kikundi cha maadui ili amfunulie uovu uliopo mle ndani na kisha kumpa ufahamu wa kutasimlia watakatifu wote ili isije hata siku moja wakakosa kubambanua ishara na uongo wa muovu huyo ambaye ni shetani kiongozi wa uasi wote duniani.
Asante sana mtumishi wake Mungu kwa ujasiri wako na kwa kutuokoa sisi ambao hatuna uelewa wa hayo yote yaliyokusibu na kutusaidia ili tuepuke moto jehanamu kwa kutafuta umarufu duniani.🙏🙏🙏🇰🇪
Daaahhhhhh...!!! Nimeipenda hii habari inawafaa Sana waliopotea..,,,,!! Endelea mbele,walimpinga Musa,Elia,Yoshua,Paulo na wengine wengi,kwako isikusumbue hubiri tupone Mchg!!!!!
Ubarikiwe sana mwenye mungu akulinde na kukuepusha nawatuwabaya
Ameeni MUNGU akutunze mtumishi MUNGU ni MUNGU haja wahi kushindwa lazima atushindie pia MUNGU ni mwema amekuponya kipindi ulikuwa una umwa pia MUNGU awakumbuke woote walio toa sadaka zao ukaenda kutibiwa.
Amen pia nakuomba ukuje kenya ubirihi huu ujumbe
Barikiwa sana mtumishi wa mungu Kwa kutuelezea ukweli uliopo,mungu ndiye njia pekee ya ukweli...
Mwenyezi Mungu azidi kutuimarisha kwa kweli dunia ina mambo mengi mno hakika!
Mungu akubariki kwa kuwa thabit kwenye maamuzi yako, you are so strong! Stay connected always.
Amen nimebarikiwa sana kwa ushuhuda kamanda wa Yesu,tunaomba mwendelezo.
Kama unashangalia stori za Freemason wewe ni chizi
Nikushukulu Sana kwa kutoa sili za adui yetu maana umetaka kusaidia wengi. Mwenye sikio na asikie neno hili ambalo roho ayaambia makanisa
Amina, ni ufunguo tosha kwa mawaka mbalimbali katika sekita m alimbali
Bwana yesu kristo akuwezeshe na neema yke ikutoshe ,,,Bwana Yesu kristo na. akulinde akufunike kwa damu yke takatifu mchungaji mie nakufuatila unahubili ukweli wale ambayo nivipofu macho kuelewa nivigumu muno but mungu azidii kutupa nguvu Ameni
Bwana Yesu aendelee kukulinda na kukupigania.Watapigana nawe lakini hawatashinda.
AMEN AMEN 🙏 🙌 LAKINI BROTHER KUA MAAKINI NA HAWA WATU WA MEDIA KWA SABABU NDO WAMEANZA KUKUTAFUTA KWA WINGI HAO MAADUI WAKO WATATUMA WAO SASA KUA MAAKINI TAFADHALI
Umeongea ya mana ndugu
000⁰⁰⁰⁰
Kama walishindwa kumuua kipindi kile bc hawawezi
Mungu tu amtetee
Amelindwa na damu ya Yesu kwa hivo atawatambua na hawatampata
Mmh mtumishi unaonyesha unauchungu na watu wapotosha Imani ya kwel barikiwa
Amen 🙏 barikiwa Sana mimi sina mali lakinitu niombee nipate mtumishi wamungu niko hali ngumu
Daaah Mungu a2saidie akina sisi 2nayopitia kwenye maisha magumu mpaka 2naangaika mpaka kwa wachungaji ambawo upako wawo ni wa shetan
Hongera sana kaka Mungu baba ktk kristo amekuokoa kweli
Yesu kriston skyline sana nanguvuyamungo idhidi kuwa pamoja nawewe amen
Kweli tuliozaliwa familia za huko usukani elimu zagiza tunakuwa tukizijuwa natutakuwa tulikuwa nikaisha ya kawaida ila unapokuja kukutana na kikristo ndipo utajuwa kwamba elimu hiyo si sahihi na Mungu anapenda kutumia wafu wanaomba hiyo kwamba wanakuwa kweli yagiza kubwa niuwongo hakuna kweli hata moja ila Mungu pekee anaetusaidia nakubaki salama
Mungu akufunike na mukono wake🇨🇩👏🇨🇩.
Mungu akusaidie ktk maisha yako
amen!!! kwa Mungu Kila kitu kitakuwa wazi .
In the might name of Jesus amen
Safi mtumishi wamung usiogope Mungu yu nawe ata kulinda
Huyu bado hajatoka huko kama kweli wapo maana mimi sijui lakini kama ametoka angehubiri hari za ufalme wa mungu
Umetisha brother kama movie naisubiri party 6
Hao wAtu wame nisumbua saana katika maisha yangu kamà kujiunga ningesha jiunga muda lakini atukuzwe yesu wambinguni Kwa kuniokoa 😢🙏🙏
Ni YESU. SIO yesu
@@rowenalilie993 sija soma nimeishià lapili kwaiyo utaelewa ivyo ivyo mpaka hapo nimejitahidi saana wengine hawajui kabisa ivyo nashukulu MUNGU kwa yoote kwani neno lasema tushukulu kwa Kila jambo
Say YESU Bro ✍️
Na we uliwavutia na nn?
jee ulisaidik vip nina ndugu yangu wana mtisha sn kwa kumwambia wata muwan man yy aliwapigia cm na kupewa maelekezo yao lkn imekuwa ndo chanzo icho
Sio wote watakuelew baba amen ❤
Ubarikiwe sana mtumishi. Nakusikiliza kwa makini nikiwa apa bondeni Johannesburg 🇿🇦🇨🇩
🎉
Chunga pia hizi Juice zao
Uyasemayo ni ya kweli kabisa 👏👏,wale wanaotembea katika ulimwengu wa Roho wanaufahamu hiyo kabisa
Mm naogopa
Barikiwa Sana napenda Sana watu wanaochana ukweli
Amina pamoja munguatuokoe
Asante kwanifumbua mim ninamadeni mengi sana nikua nataka kujiunga 26:21
Nimeitwa na Mungu mwaka 2000, 1,1.tarehe moja mwezi wa kwanza mwaka elfu mbili.hapo ni mwisho wa utawala wa shetani duniani,na mwanzo wa ufalme wa mbinguni hapa duniani,yaani habari njema ya ufalme,na Mjumbe wa agano duniani John Isaya Igumi nipo Tanga Handeni ninakuomba unipe nafasi ya kufundisha Neno la wakati huu, Malaki3:1-6. Isaya 41:1------.
Ninakuelewa sana ila jua kuwa Mungu hawezi kufanya jambo lolote bila kuwajulisha watumishi wake, na hii ni saa ya mjumbe wa agano duniani nikaribisheni basi msikie alicho sema Mungu juu ya dunia.
Amen, Yesu tumain langu
Félicitations
Hongera Kaka kwakumpokea yesu
Ubariwe sana atadhibitika katika haki atakuwa mbali y kuonewa
Mungu akupe nguvu zaidi pasta.sio raisi kabisa
Mambo mazito kweli Asante kwa elimu
Aache uongo hawa wanakimbiria kwenye mafanikio ya haraka mwisho wa siku ndo wanakimbiria kwenye midia
Dear Nice
Wonderful story
Eu Só Bernardo Filipe Tudo bem 🤲🤲
Ndugu haya simahubili mbona yesu hakuhubili maneno kama haya kwani unausiyano na mabo yakishetani juu unayaongelelea sana hubili ijili inayo tuwezesha kukaa imala katika Imani jameni Giza na Nuru zinakujia wapi uta zihubili zote kua na msimamo
Good afternoon master please ayuta mid-day Freemasons please.
Mungu akutunze
Amen 🙏 apo sasa
Asante sana
Kaka NAKUPATA vizuri Sana ni kiwa hapa mjini Arusha I love the kind of your gospel❤
Master j alikuwa hakupenda ushinde
Arusha sehemu gani
Amiiina nachukuru
Mutumichi. Wamungu.
Mungu akubariki na akurinde
Ok
Tupe connection Sisi tukapige hela jombaaa
😂😂😂😂😂
Aitoe wapi hiyo connection tapeli muongo huyu
love you Jesus for the other two
Weee watanzania hamtaki ukweli njoo Kenya cassian
Ukweli gani wa Kenya wataka kushinda waTZ?
Naikumbuka sana bss 2009 stagen Michael Jackson wa bongo aliimba mpaka akachana fulana, lakin ulipopanda uliimba ukamficha na ulitunzwa sana pale stagen na ule wimbo wako wa shebeleza ulioukopi ktoka kwa marhem joe mafela, leo Mungu aliemgeza sauli muuaji kuwa paulo mtume amekugeuza na wewe, usrudi hko tena kama unavyoimba sku zote Mungu akushike mkono.
What is Paschal talking about?
Will someone translate the entire interview in English, please.
Is Paschal, a member of the free mason and a preacher of the Gospel, at the same time, LORD helps us.
I have listened to his songs for years now.
No he's now a gospel singer.he was a member of the freemason but now he is in Jesus.
His explaining how dark world is, he was there, first nobody is elected they have conditions, right now he's saved
He was a member of a freemason but now he is saved by the blood of Jesus, and he sings gospel songs, so he gives the secrets of the freemason (he gives a testimony).
He used to be a member but no longer a member. This is his testimony and now he's a preacher
MTANZANIA ALIYEOLEWA NIGERIA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YA JUMBA LAO LA KIFAHARI HUKO.!
czcams.com/video/9bXTiw6Qklc/video.html.
MSICHANA MREMBO WA KITANZANIA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA TED JOHN ALIYEKUWA AMEOLEWA NCHINI NIGERIA NA TAJIRI MKUBWA.
AELEZA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YAJUMBA LAO LA KIFAHARI LILIPO NCHINI HUMO KISHA KUKIMBIA NA WANAE.
UBALOZI WA TANZANI WAMUOKOA NA KIFO KWA KUMTOROSHA USIKU NA KUREJEA TANZANIA NA WANAE WATATU, AMUOMBA RAISI SAMIA.
WATANZANIA WOTE NA DIASPORA KUMSAIDIA KUHUSU WANAE AMBAO HAWAJUI KISHWAHILI HATA. CHEMBE.
AONGEA NA MKOI TV, VIDEO HII HAPA, SHARE KWA KILA MTANZANIA DUNIANI KOTE ILI WAMSAIDIE DADA HUYU.
COMMENT NA SUBSCRIBE MKOI TV ONILI AU KAMA UNA MAONI TUTAFUTE WHATSAPP NO +255713575718.
KARIBUNI SANA
Yesu tuokolee maisha yetu
Sura ni Cassian mikono ya mzungu
Mtangaze Yesu itoshe
Kazana kumuomba Mungu maana dunia ipo mwishoni
elezea uliingiaje freemasons unaongelea mambo mengine unatumalizia bando ujinga mtu unaongelea aina aja kuongea ongea sana kaka atuuhitaji stor nyingine acha ushamba wew
Amen
13days ago ndio nimeiona Sasa hv mchungaji kama ulivosema shetani akikuitaji nawe ukampa nafasi hapo panaitaji neema ya kristo iwe nawe bwana atakupigania kama Kuna mtu namfatilia Sana ni wewe mungu yupo nawe
Jamani mwendelezo bav
Ubarikiwe sana casim
Mungu tusaidie
Nakuamini sana mtumishi wa Mungu ila natamani sana nionge na wewe
Mimi nataka kujiunga na chama cha freemason
I love free mason💙💙💙💙akuna Alie wai kuwa mwanachama akatoka maana anapata manufaa makubwa sana yaakili naakili nimafanikio nahuwa awajitangazi kama uyu jamaa anatafuta ela za CZcams
Hujui usemalo MUNGU akusamehe VP na wewe umeshindwa Nini kutafuta hela CZcams
Elimu kubwa sana hii
Ivi lile jengo Lao pale posta mbona lipo wazi sana alafu bado kunawatu wanatapeliwa mashetani sio wazur
Katika ku katiliwa na Freemason ni kuna watu wanayo chapa ya MUNGU awa awakubaliwe,Wengine ni hawana Bahati,Wengine awana shuguli
Chapa ya mungu
Te encontro no meio de Moçambique e África do Sul
Aliye ndani yako ni mkuu kuliko walio nje
Amen
Naitaji kuwa mwana memba wa frimason
Kazi ipo kweli kweli 😂😂
samahani nirekebishe hapo hakuna mwanajeshi kuruta - kuruta ni mwanafunzi anaeanza mafunzo halafu anakuja service man kama ngazi ya jeshi anaanza na private ni mwanajeshi kamili kabisa na mwenye sifa zote za kijeshi ikiwa uvumilivu na zingine.
KAKA YANGU KATIKA KRISTO MUNGU AKUKUMBUKE KWA WEMA, TEMBELEA CHANNEL YANGU TUFAHAMIANE ZAIDI NA TUTASAIDIANA ILI KAZI IMALIZIKE!
Salve Luz.
Mm naona anaruka mSwali anatapatapa tu Hubiri Neno watu waokolewe
Bwana yesu aendelee kukulinda
Eh bwana tu samehe makosa yetu
Rais samia mwenyewe ni freemasonry kwahyo sisi wenyewe tunajiongoza kama makomando
Huna lolote nyooo, wala sio mtumishi wa Mungu, bado Freemason😂😂
Kabisa
Once you enter the rabbit hole there's no way back,acha uongo
Freemasonry ni watu ambao sio watu wazuri tuepukenao ndugu zang
🎉🎉❤
mimi nataka nijiunge
We ndo ulikuwaga msabato?naikumbuka sana ile BSS
Msipende kumpongeza mtu bira kujua muurizeni aritumia sh ngpi kujuunga freemason akaambiwa kua freemason wanachagua mtu
Asante nimejifunza japo siwez kuerezea nilicho jifunza, usiache kusema endelea mungu akutumie zaid mana saut Yako Niyamungu , na mungu amekutumia wewe uje utufundishe