SIRI YA FICHULIWA UONGO WA MIUJIZA WANAYO IFANYA EV PASCHAL CASSIAN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • #0766998994#call0688199370 #0688199370 #

Komentáře • 414

  • @blessymaureen
    @blessymaureen Před rokem +23

    Only one in spirit will understand this man of God 😢😢😢😢😢😢preach man of God 😢😢😢🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @MosesSagonge-c3t
    @MosesSagonge-c3t Před 13 dny +2

    Mimi sikupingi lakini in vizuri sasa na wewe ukamwita Bwana ufanye hata muujiza mmoja kwa jina LA Yesu watu waone. Kukaa kukosoa tu na huku watu wanateseka in vibaya. Ebu mwambe Mungu afanye muujiza kupitia wewe sasa. Tofauti na hapo na wewe unatumia nafasi hii kujitajirisha tu kwenye mitandao. Yesu in mtenda miujiza.

  • @user-uc1fj9wg6n
    @user-uc1fj9wg6n Před 10 měsíci +7

    Mungu hashindwi na chochote ,kinyonge ndicho chenye nguvu,fahari za dunia tutaziacha,bila kuiponya roho sio mwili Mana mbinguni Kuna vzr kuliko vya duniani,mwenye masikio na asikie,Mungu anaongea na watu kupitia watumishi wake wa kweli,Mungu azidi kukulinda na kuokoa nafsi za watoto wake watiifu nakukubali Sana Sana ,huto kufa kwa Muda wa wanadamu Bali kwa muda aupendao Alie kupa pumzi ya uhai.🤝🙏

  • @user-hs2vy6ir9i
    @user-hs2vy6ir9i Před rokem +6

    Aise rafiki yangu Cassian Niko nawe sambamba sema kweli Mungu akuteteee kabisaaaa

  • @adriannebatakanwa6904
    @adriannebatakanwa6904 Před rokem +3

    Cassian Mungu Akulinde. Nilifanya kazi na GD nikatofautiana naye kwa misingi ya kimungu. Tuendelee kumuombea. Adui amemsahaulisha jinsi safari yake ilivokuwa. Alianza vizuri tu. Mungu Amrehemu.

  • @mwamrasahamaro8473
    @mwamrasahamaro8473 Před rokem +14

    MUNGU wetu tunamwombea mtumishi wako huyu pamoja na wengine wa KWELI uwalinde dhidi ya manabii wa uongo.Amen

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 Před rokem +8

    Amen barikiwa sana mtumishi, huo ndio ukweli,nafasi yanehema bado iko aje atubu Mungu anapenda 🇰🇪🇰🇪.

  • @user-oq8zj2py7e
    @user-oq8zj2py7e Před rokem +3

    Mtumikie Mungu na imani ni muhimu sana .jua kila mtu amepewa kipawa chake na imani inafanya matokeo unayoyaona kwa imani hata kivuli kinaponya . Wewe sio Mungu hubiri neno ulilojaliwa kulijua. Mungu anajua uongo na ukweli . Usihukumu au kukaa nafasi ya Mungu .

    • @StephanoChalesi-or5ol
      @StephanoChalesi-or5ol Před rokem +1

      We're ndio muongo pia umepungukiwa mwanadamu utasubiri ziki kuu inakuja Maana munaamini manabii wauongo mtakanyahishwa mafuta nakulishwa mkate

    • @sheilamaziku5980
      @sheilamaziku5980 Před rokem

      ​@@StephanoChalesi-or5olamen

  • @mediavumbi9243
    @mediavumbi9243 Před 9 měsíci +5

    Kweli kila Siku inaumiza, ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @rowenalilie993
    @rowenalilie993 Před rokem +5

    YESU,MUNGU ROHO MTAKATIFU WOTE PAMOJA NA MALAIKA WAKO HAPO WAMEKUZUNGUKA!VITA YETU SI YA DAMU NA NYAMA BALI YA ROHO NA MAJESHI YA mapepo wabaya!YESU NDIYE NA MWISHO TUNAUJUA,jehanamu ipo na MBINGUNI IPO.
    Mungu atuokoe!hapendi Kifo cha mwenye dhambi.
    Ubarikiwe sana mtumishi Paschal!

  • @dinairenge
    @dinairenge Před rokem +6

    Achakuhukumu watumishi wamungu kkangu mungu apendi kuzungumuziawatumishiwak kwanini munapenda ongea maisha ya wenzio sisitunaamini mungu wamwamposa kwasababu tunaona mukonowake nahatutachoka kwenda kawe

    • @user-qf4ok3wl2x
      @user-qf4ok3wl2x Před rokem +1

      Sasa kama yéyé haamini kama mungu iko siache kuwasengenya wezake huu jama ni mwivu wala sio mtumishi wangu huu

    • @eliasmyamba4767
      @eliasmyamba4767 Před 6 měsíci +1

      Mungu awasaidie maana naona teyale pepo limewakamata ndomana kweli linawaumiza.

    • @FestoYohana-ll4wk
      @FestoYohana-ll4wk Před 6 měsíci +1

      mbona hatuon ukiombea watu watu wakipona ww kaz kuponda watumishi wenzio

    • @WitnessSamson-qc9ie
      @WitnessSamson-qc9ie Před 4 měsíci

      Sema ukweli Hawa wote wanaokusengenya wamepofushwa ufahamu wao

    • @LovenesyMhame
      @LovenesyMhame Před 2 měsíci

      Acha kumusifia mung wa mwamuposa unajua anamutumikua mung gan sif n za mung wa mbingn tu​@@user-qf4ok3wl2x

  • @elibarikilaizer-j5y
    @elibarikilaizer-j5y Před 23 dny

    Eliyaa alimthibitishaa Mungu wa kweli Mungu akutie Nguvu Mtumwa wa Bwana

  • @dickson6684
    @dickson6684 Před rokem +4

    Mwandishi wa habari ukitoka hujaokoka hapo mmmh injiri ya uzima inaunguruma Mungu azidi kukutia mafuta ya kiroho mtumishi wa Mungu Pascal

  • @loraumuhire4755
    @loraumuhire4755 Před rokem +6

    Usiogoke Yesu Kristo yupo na wenye wanamwamini, tuko karibu kwenda nyumbani , sema ukweri Mungu atakubariki, atakupa taji rako.

  • @issakisalu9237
    @issakisalu9237 Před rokem +1

    Mungu YESU Kama mnavyomwita atakaporudi watu hawatamuona kwa sababu wakimuona watakufa kwa sababu wanadhambi hapo ndio utajua hujui, na hao aliokutana nao mwanzo huyu Mungu Yesu mnayemwita aliishi nao vipi hawakuonana.
    Au mnamzungumzia wa Tongaleni.

  • @eligiusmapunda81
    @eligiusmapunda81 Před rokem +2

    Mpaka machozi yamenitoka jinsi mtumishi wake anavyo pita katika ukweli wa biblia ili watu tuijue kweli! Wapendwa , tusipo yashika haya, amini tutadaiwa mbele za MUNGU , ubarikiwe sana mtumishi

  • @user-pv1ze9ht4e
    @user-pv1ze9ht4e Před rokem +1

    Keki ya upako..mafuta ya upako..hivyo vitu vyote nivya kishetani ,,,watu wametekwa ufahamu na nguvu za giza....uponyani wa Mungu unaweza pokea hata kwa kusoma Neno la Mungu sio mafuta wala keki ya upako..nguvu ya Mungu haipitii kwenye vyakula....waambie ukweli usipepesi macho..safi sana

  • @paschalymlangale8964
    @paschalymlangale8964 Před rokem +6

    Heri waaminio kweli maana ufalme wa mbingu ni wao mungu akubariki

  • @emmyrouchy647
    @emmyrouchy647 Před rokem +1

    Mtumishi naomba kujua kwaio walio muona Yesu wakati Yesu yupo duniani ilikuwaje... nawao si walitakiwa wafe pale pale maana ni walimuona Mungu au...nimekuelewa vibaya, pia umenichanganya umesema Musa hakuwa na dhambi alafu pia umesema Mungu alimwambia Musa kuwa hataweza kumuona maana yeye anadhambi

    • @ErickLazaro-vo8uz
      @ErickLazaro-vo8uz Před 2 měsíci

      Aisee hawa wanataka kufifisha Nguvu ya MUNGU ili watu waumizwe zaidi na mashetani,,mbona yeye haoneshi miujiza ya ukweli ya Mungu wake sasa.Watuoneshe namna ya kufanya Miujiza kumshinda shetani sasa,,Anamaanisha kuwa Shetani tu ndiye anaweza kufanya Miujiza?Eeeh.

  • @noelmbosa2736
    @noelmbosa2736 Před rokem +2

    Mungu atusaidie YESU yuko jirani mnoooo!Tudumu katika maombi peke yetu hatuwezi tuombeane wapendwa dunia imekwisha

  • @rogersndaiga5832
    @rogersndaiga5832 Před rokem +39

    Wakati wa sasa MUNGU anachekecha kanisa lake ili kupata mchele safi yaani watu safi. Cassian endelea kupiga kelele usiache, paza sauti kama tarumbeta, maana ukiacha utadaiwa.

    • @user-pf3ft9qf9q
      @user-pf3ft9qf9q Před 11 měsíci +3

      Pole baba Cassian songa mbele upo ushindi 15:40 15

  • @user-yt2lv5en4e
    @user-yt2lv5en4e Před 8 měsíci +1

    Cassian jihadhari sana mdomo wako,unafanyia nini Yesu sasa,funga mdomo na ufanye kazi ile unaona ni sawa kwa Mungu acha kumsaidia Mungu,unatafuta pesa,na itakutesa.unachuja nini Mungu ni mpana sana Cassian fanya yako acha vita.

  • @lowasameliyo4027
    @lowasameliyo4027 Před rokem +2

    Hongera Sanaa ukweli naungana na wew kusema geordavid sio nabii wa kwelii, kwanza anajisifiu Sanaa hadi anadiriki kusema Mungu wa jeodevid ndio amekuponya na sio yesu, kumbe hyu jamaa ana Mungu wake anayemjua yey mwenyewe

    • @emmyrouchy647
      @emmyrouchy647 Před rokem +1

      mbona mnasema Mungu wa Yakobo... elewa mantiki.. huwezi kula kwenu ukashukuru kwa jirani.. ata wewe ukiomba jambo kibinafsi nalikatiki unahaki ya kusema Mungu wako ni mkuu..sidhani kama inamaana unayowaza

    • @BarakaMazengo
      @BarakaMazengo Před rokem

      Umeona eee huwa anajisifu af et anaitagwa Baba nawaumini wake

  • @kobylwaho3191
    @kobylwaho3191 Před rokem +3

    Mungu akulinde usiku na mchana akufunike ulinzi thabiti shetani asikudhuru hata kidogo

  • @adamjulius9782
    @adamjulius9782 Před rokem +5

    Amina mtumishi. Yani mpaka kieleweke. Nibora kumwaga damu kama wanyama kuliko kunyamaza ezekieli 3:17-20

  • @sarahwanjiku4891
    @sarahwanjiku4891 Před rokem +3

    God bless you man of God sasa watu tuombe sana MUNGU atupee roho mtakatifu atuoneshe ukweli

  • @shadraachshadinho
    @shadraachshadinho Před rokem +5

    Wewe ni kati ya watumishi ambawo Sina mashaka nawo hata kidogo hakika mungu anakutumia vema

  • @madubimabombe25
    @madubimabombe25 Před rokem +4

    Mk 16:17-18 SUV
    Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.

  • @polycarpwingira9487
    @polycarpwingira9487 Před rokem +6

    Amen mtumishi wa mungu endelea kutuelemisha

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 Před rokem +3

    Ukiwa mkristo unayeamini neno la Mungu, usifuate miujiza. Jiamini kwa nafasi yako. Muombe Mungu akuokoe kwa changamoto unazopitia kwa maisha yako. Naye atakutetea.

    • @obinasimbeye1750
      @obinasimbeye1750 Před rokem +3

      Weglngine Mungu amewapa vipaji vya kuponya na SI Kila mtu anaponya so hata kama mkristo tunazidiana vipaji.

    • @WitnessSamson-qc9ie
      @WitnessSamson-qc9ie Před 4 měsíci +1

      Kila mtu anapaswa kuomba pindi unapopata shida Mungu anasikiliza maombi ya Kila mwanadam sio kwamba Kuna baadhi ya wanaoponya hata wewe ukiomba Kwa uaminifu Mungu hataacha kukusikiliza sema tu watu wengi Hawana ukaribu na Mungu hata akipata shida anataka aombewe

    • @ErickLazaro-vo8uz
      @ErickLazaro-vo8uz Před 2 měsíci

      Wana wa Israel waliokolewa kwa MIUJIZA MINGI pasipo miujiza hakuna wokovu ingekuwepo sasa??wewe kaa useme uombe Mungu akuokoe .utazunguka ukuta wa yeriko muda mrefu sana

  • @nakumbukwaphilemon9854
    @nakumbukwaphilemon9854 Před rokem +4

    Kwa uelewa wangu mdogo tu usitumie nguvu nyingi kuwasema wengine bali simamia neno la Mungu maana apo naona umeacha kuhubir injili unahubir majina ya watu . ukihubir injili ya kweli mbona yunakuelewa tu

    • @kevinnyambas180
      @kevinnyambas180 Před rokem

      Nyinyi ndio wale ukweli mpaka usemwe

    • @FestoYohana-ll4wk
      @FestoYohana-ll4wk Před 6 měsíci

      Acha kusema watumishi wenzio hubili injili ombea wagonjwa wapone lakin hatuon ukifanya hivyo hayo maono unayoonyeshwa niyakusema watumishi wenzio acha unafiki

    • @user-pd4cq7rr5d
      @user-pd4cq7rr5d Před 5 měsíci

      Sema ukweri mimi nakuelewa

    • @JanetteRajabu
      @JanetteRajabu Před měsícem

      Kila biashara inakompition najua unatak wafuasi anae hukumu Ni mungu pekee kwan we Ni mtakatifu? Ndo wale wale

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 Před měsícem

      @@FestoYohana-ll4wk muujiza siyo kipimo

  • @christinasebastian9546
    @christinasebastian9546 Před 10 měsíci +1

    Mungu akufunike akutunze uendelee kuihubul kweli ya mungu

  • @JaliwaMbembela
    @JaliwaMbembela Před 3 měsíci

    Mungu anawaona hawa manabii
    Mungu akubaliki baba huenda kuna watu wanaelewa hiki unachokifanya

  • @SalomeSuleman-uz8kd
    @SalomeSuleman-uz8kd Před 10 měsíci +1

    Hongera kwa kutafuta ukweli Wa mungu nakuelewa sana baba Chungaji

  • @dinairenge
    @dinairenge Před rokem +2

    Akuna mutu mwenye ashaka ona mungu mwache kukua napotoshawatu mungu ni roho

  • @marryezekiel
    @marryezekiel Před rokem +2

    Amen mtumishi wa mungu, biblia inasema uwe mwaminifu mpaka kufa

  • @adamjulius9782
    @adamjulius9782 Před rokem +8

    Tumekalibia nyumbani, sema tena kwa sauti kuu tumekalibia nyumbani 💪

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani Před rokem +1

    Tofauti ya manabii wengi wa uongo ni kutumia vitu vya mwilini, Na Nabii wa Mungu wa kweli anatumia Neno la MUNGU,.Yeremia 23:28-29.

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Před rokem +1

    Jamani IPO kazi duniani,,, MUNGU nisaidie na nipe macho ya rohoni,,,,,,, barikiwa mtumishi wa BWANA 🎉

  • @nkalugiradio8140
    @nkalugiradio8140 Před 4 měsíci

    Exactly Mtumishi wa MUNGU, mimi yalinikuta na watumishi wa mafuta , naelew unachokiongelea ,dunia imeisha niwakati wakusali kabisa tena kwa kulia sana

  • @dinairenge
    @dinairenge Před rokem

    Auwezifanya vitu vyenye mwamposa anafaaka atutaacha kuomba mungu wamwamposa kamwe dunia anamungu mkbwasana mungu wamwamposa anatenda mungu wamwamposa anaponywa mungu wamwamposa anajibu mahitaji sasa sisi mutatuchukia bure kwasababu tunaamini mungu wamwamposa aishimilele tuna mpenda mwamposa mungu amulide amuepushe na nyinyi watu wakumuongea vibaya siovizuri kilamutu abakie na himaniyake na maleziake na mwamini mungu wamwamposa sana

  • @wakayakaya6
    @wakayakaya6 Před rokem +1

    Kwa Hilo ni Siri ya Mungu .Kwa hio watu wateseke na magonjwa huyo ndie Mungu. Kama watu hupona nawapone atajua mwenyewe alietuumba

  • @ChrisantEmanuely27
    @ChrisantEmanuely27 Před 11 měsíci +2

    Mungu akulinde zaidi nakufatilia sana

  • @ochidovictor9531
    @ochidovictor9531 Před rokem +3

    Amen be blesse man of God

  • @jumamwanza8909
    @jumamwanza8909 Před rokem +2

    Call it a pure word of God,, I love it🙏🙏

  • @adorateurpaulbukuru6864
    @adorateurpaulbukuru6864 Před rokem +2

    Amen Man of GOD......
    GO on, we bihind you Sir🖊️✌️

  • @mossendoghwe317
    @mossendoghwe317 Před měsícem

    Mtumishi wa Mungu nakukubal sana jins unavyosema ukwel, kingine kipo nje ya mafundisho; earphones kama hizo zako napataje?!

  • @severinaseverinanyoni707

    Mimi nakukubali sana kwanza hakuna binadamu wa kumuona Mungu kwa dunia ya sqsa ukimuona Mungu lzm ufe

  • @JaneWaweru-hn7tp
    @JaneWaweru-hn7tp Před 4 měsíci +1

    May God raise you up to another level

  • @williammasesya2363
    @williammasesya2363 Před rokem +4

    Mtumishi wa Mungu Alie Hai yaani Yesu Christo Mimi mwenyewe niliwai kumuona unabii Kwa shs laki mbili Na hamsini Na sikupokea chochite tulipewa unabii ambao haukutimia

    • @oscanyakunga
      @oscanyakunga Před rokem

      😂🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uenda amkuwa na imani

    • @aaronswai6935
      @aaronswai6935 Před rokem

      Duh! Pole sana. Mungu akusaidie sana; muujiza huwa haubadiliishwi na muujiza wa Mungu

  • @user-me8qk9gu2y
    @user-me8qk9gu2y Před 8 měsíci

    Amina mtumish hawa wanagusa shida za watu na magonjwa ndio maana Wana kundi kubwa hasa wanawake ndio wengi Mungu tusaidie

  • @RebeccaFrancis-tb3we
    @RebeccaFrancis-tb3we Před 2 měsíci

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @immahkisuke1564
    @immahkisuke1564 Před 2 měsíci

    Amen,,,Mungu akubark sana

  • @pastorjanekanini6204
    @pastorjanekanini6204 Před rokem +2

    Naomba kukuzaidia tu wachana na wao ambao wamejichanganya maana yesu alisema wacha mangungu na ngano zimee pamoja mungu atawahukumu mwenyewe , ambia watu ukweli ule unajua kuhusu biblia wacha kujisumbua na waaubiri wa uongo mungu anawajua .

    • @happnesskitumbo5713
      @happnesskitumbo5713 Před rokem +1

      Acha awasaidie kwani ni kundi kubwa wanalolipotosha yawezekana wapo ambao wanaweza kusikia wakamgeukia Mungu wa kweli kabla Yesu hajarudi.

  • @user-hi4gd5io1w
    @user-hi4gd5io1w Před 4 měsíci

    Barikiwa mtumishi wa Yesu ni ndiye Mungu pekee Yohana 8:24

  • @MargrethMloka
    @MargrethMloka Před 3 měsíci +1

    Amina sema baba ukweli

  • @yusufbarkari2333
    @yusufbarkari2333 Před rokem +1

    We are in the New Testament dispensation. So don't mix the two samani mungu hakukuwa amemtoa mwanawe Leo hii asha mtoa na yesu huwa anawatokea watu kama vile anawatokea kina mariamu na hata wafuanzi wake nafikili urundi kwa bibilia. Yesu alipatia wafuazi wake nguvu ya kuponya wagojwa katika mathayo 10:1-3

  • @marylineboola4236
    @marylineboola4236 Před rokem

    Usiogope anaye ua mwili peke yake bali muogope anaye ua mwli na roho simameni pamoja na mtumishi wa Mungu Katekela muitetee injili ya Bwana mbarikiwe sana

  • @Mamantontine
    @Mamantontine Před 3 měsíci

    Unasema kweli Mungu akupe nguvu.manabii wa uwongo wanadanganya watu sana.

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 Před 11 měsíci +1

    Miujiza ya Mungu ni ipi? Au Mungu ni mnyonge sana hana miujiza? Nakushauri pambania karama yako uliyopewa na Mungu usipambane na karama za wenzako..

  • @jaribuchussy4496
    @jaribuchussy4496 Před rokem +1

    Jamani mafundisho hayo ni sahihi kabisa, ubarikiwe sana mtumishi.

  • @samuelmwakalinga6712
    @samuelmwakalinga6712 Před rokem +3

    AMEN MAN OF GOD

  • @jameskenzedex
    @jameskenzedex Před rokem +2

    Nmeishi kufutilia mhubiri yako kwa mua Sasa wa mwaka n yote unayoyasrma n kweli na Mungu akubariki

  • @gracepaul5901
    @gracepaul5901 Před 8 měsíci

    Paschal you're very right, some who opposes will one day agree with you

  • @user-cp6uj8pr6q
    @user-cp6uj8pr6q Před rokem +2

    2Nyakati 20:20 waaminini manabii wake ndivyo mtakavyofanikiwa

  • @Chekakidogo2
    @Chekakidogo2 Před rokem +4

    Nabarikiwa sana Mtumishi wa Mungu

  • @chazyyohana
    @chazyyohana Před rokem +4

    ingekuwa vyema kama wewe mwenye nguvu za Mungu uponye watu maana watu wanashida

    • @stanleywaweru1714
      @stanleywaweru1714 Před rokem

      uzima wa milele ni wa maana kuliko mwili wa kuisha

    • @stanleywaweru1714
      @stanleywaweru1714 Před rokem

      miujiza ni ya muda lakini ufalme wa Mungu ni wa milele

    • @furahachungu6802
      @furahachungu6802 Před rokem

      Naamini nimkristo kamili soma biblia utajua harafu muombe mungu akupe macho yarohon

    • @ErickLazaro-vo8uz
      @ErickLazaro-vo8uz Před 2 měsíci

      Atapataje sasa NGUVU kama anaipinga??

    • @ErickLazaro-vo8uz
      @ErickLazaro-vo8uz Před 2 měsíci

      Biblia inasema mtakeni BWANA MUNGU NA NGUVU ZAKE.yeye hataki.anamtaka MUNGU na udhaifu wake😅

  • @selinamrikaria6143
    @selinamrikaria6143 Před 6 měsíci +1

    Mungu akushindie vita vyako

  • @Francomsangawale
    @Francomsangawale Před 2 měsíci +1

    Mungu akutangulie kaka na azidi kukutangulia katika yoote.

  • @Yohanakilamiani-yn1pb
    @Yohanakilamiani-yn1pb Před 8 měsíci

    kwekweli mungu akubari maana Mimi sijawai kuamini awa manabii wa uwongo mungu yupo pamoja na nami nimewatoa watu wengi sana kwa manabii wa uwongo

  • @LokieLokie-ei8yz
    @LokieLokie-ei8yz Před rokem +1

    ❤Ameen mtumishi wew uko sahihi San Mungu akupiganie

  • @bahatimodestus9604
    @bahatimodestus9604 Před rokem +1

    Hongera sana mtumishi MUNGU akubariki sana

  • @pavlovbienfait6940
    @pavlovbienfait6940 Před rokem +1

    Merci vraiment pour la vérité, Dieu vous bénisse 🙌🙌🇨🇩🇨🇩

  • @We2k7
    @We2k7 Před rokem

    Usipime kukanyagisha miguuu pale ao maali ali kuanda riya. Hakuna zaidi yayale anasikiya usiku na mcana ukiubiriya. Apo utakuwa una muasi Mungu. Kama anataka kutubu akukutanye kwenye weye uri andaaa
    Asante

  • @medsonsanga4813
    @medsonsanga4813 Před rokem +2

    AMEN. Mungu wetu mwema Kila wakati 🙏

  • @kisasigala
    @kisasigala Před rokem +1

    Mungu akiwekee sana wengi tuongoke Amen

  • @hezekimwakipesile610
    @hezekimwakipesile610 Před rokem +1

    Nakubar umeongea ukweli sana tena amekuful kusema yenye ni nabii mkuu wakati nabii mkuu ni yesu tu hakuna zaidi ya yesu

    • @batashqiraa9936
      @batashqiraa9936 Před rokem +1

      Huyu hapa anasema yesu ni nabii mkuu, mwengine anasema yesu ni mungu, jee yesu wapo wangapi, maana ninavyojua mimi ktk imani Mungu ni mmoja ambaye ameumba mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake kama malaika, majini, wanadamu, wanyama, wadudu, miti, upepo, jua mwezi, bahari, samaki, Mungu ni muumba, hakuzaa wala hakuzaliwa, lkn yesu amezaliwa na Mariamu, yesu ni nabii wa Mungu sio Mungu, yesu ana damu lkn Mungu hana damu, ni vipi yesu awe mungu hlf atokee mtu aseme damu ya yesu imfunike caspian, na damu kitu kimeumbwa, jee mungu anaweza kuwa na damu???

  • @richardsangano6592
    @richardsangano6592 Před 7 měsíci +1

    Mungu azidi kukuinua

  • @minanietienne-sz8xu
    @minanietienne-sz8xu Před 7 měsíci

    Really appreciate your preaching

  • @ClemenceMakutu
    @ClemenceMakutu Před rokem

    Chapa injili ya kweli mtumishi, Mungu akubariki kufungua watu macho.

  • @saidmwatenguri4951
    @saidmwatenguri4951 Před rokem

    Pastor muongo sana sasa ikiwa watu zamani waliomuona mungu utuambie mmoja ambae alimuona mungu

  • @EsterBernardoVumo
    @EsterBernardoVumo Před 10 měsíci

    Mungu Azidi Kuwafunuli aWatumishi WaMungu.NaMungu Awarinde.Mikononi Mwa Adui.

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t Před 2 měsíci

    Mungu akutunze mtumishi

  • @josephchrizostom8437
    @josephchrizostom8437 Před rokem

    Samahan mtumishi injili inabid uisome na uilewe yohana 14 8-12 aliniona Mimi amemwona Baba maneno haya ameambiwa filipo je Kwa vile filipo alimwona Mungu je alikufa? Na kumwona si kumwona Kwa macho Yesu alivomaanisha Bali kufwata mafundisho ya Yesu ndipo utamwona Mungu na Yesu siyo Mungu ukisoma yohana 17:3 inasema Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. Ndio maana ata Yesu mwenyewe alizibitisha yeye sio Mungu Luka 18:19 Yesu akamwambia, “Mbona waniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake. Na tena ulitaka utambue vizur kwamba ukifwata mafundisho ya Yesu utamwona Mungu soma yohana 6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.

  • @SaimonMwatwabana
    @SaimonMwatwabana Před rokem +2

    Bwana akuhifadhi mpendwa wa Mungu

  • @sarahnambuya5818
    @sarahnambuya5818 Před rokem +1

    Uko sawa mtumishi nakuunga mkono

  • @user-lk3tp5cj3q
    @user-lk3tp5cj3q Před měsícem +1

    Amina barikiwa Mtumidhi

  • @LovenesyMhame
    @LovenesyMhame Před 2 měsíci

    Amen watu saiz wanatok kweny makanis yao kis kuskia miujiz tu wanatak kuombew baada y kuomb mung atusaidie

  • @doreen2038
    @doreen2038 Před rokem

    Nakuelewa sana,ni kweli muujuza wa MUNGU ni halisi,tatzo tumekuwa wavivu kuomba na kusoma neno,tunafikiri mbingu tutaiendea na miujiza,tumetekwa fahamu

    • @ErickLazaro-vo8uz
      @ErickLazaro-vo8uz Před 2 měsíci

      Ukiomba na wewe ukapewa hiyo karama ya Miujiza na Mungu wako tukuiteje??unafanya kwa mamlaka ipi?

  • @machindafadhili3186
    @machindafadhili3186 Před rokem +1

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @muriukigeoffrey4199
    @muriukigeoffrey4199 Před rokem +2

    Hii ndio injili ya kweli MUNGU akubariki

  • @fabiolamassawe6528
    @fabiolamassawe6528 Před rokem +1

    Wewe Nikichaa,kwani Yesu akuwatokea wanafunzi wake,au

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 Před 9 měsíci +1

    MUNGU HAMUOMBI YEYOTE SABABU YEYE NDIO MKUU ALIYEUMBA MBINGU NA ARDHI,VIUMBE HAI NA VISIVYO HAI. YESU SIO MUNGU KWASABABU ALIOMBA CHAKULA TOKA MBINGUNI, ALISINZIA,ALITESWA NA KUVULIWA NGUO ILA MUNGU HAJAWAHI TESWA NA KUVULIWA NGUO, ALIKUFA ILA MUNGU HAJAWAHI KUFA NA HATAKUFA MILELE, ALIZALIWA ILA MUNGU HAJAZALIWA, YESU ALIKUTA ARDHI NA MBINGU VIMESHAUMBWA, ALIFUFUA WAFU NA KUUMBA UDONGO KWA MFANO WA NDEGE NA KUUPULIZA KUWA NDEGE ILA NI KWA IDHINI YA MUNGU SIO YEYE.

  • @alicerugaitika1687
    @alicerugaitika1687 Před rokem +1

    Musa alikuwa na Dhambi pia umesahau alivyoua kule Misri!!kingine Musa alikuwa na hasira sana ni kwamba Mungu wetu ni upendo anatupenda Sanaaaaa ni kwa rehema na neema zake

  • @FestoYohana-ll4wk
    @FestoYohana-ll4wk Před 6 měsíci +1

    hubili meno lamungu ww kila siku unaponda watumishi wenzio ww msafi kwenye kujua ni mungu peke yake

  • @paulnabiikakule
    @paulnabiikakule Před 5 měsíci +1

    matayo 5:44 mimi nawaambiya wapendeni aduyi zenu matayo 22:34 amri kubwa nimapendo mutumishi wakweli hawaseme watu wingine tuhubiri enjili

  • @issakisalu9237
    @issakisalu9237 Před rokem

    Hivi ndugu zake huyu Mungu yesu kama mnavyomwita waliozaliwa na bikira Maria walikufa ote

  • @Vantende
    @Vantende Před rokem

    Rezemos para esses irmãos que o Espírito Santo ilumine os seus corações.🇲🇿🇲🇿

  • @kevinchimasia7533
    @kevinchimasia7533 Před rokem +1

    Barikiwa saana Evg.Paschal Cassian...Siku moja Mungu akijalia natamani Mungu anikutanishe nawe

  • @madubimabombe25
    @madubimabombe25 Před rokem +2

    Mungu akupe ujasiri ufunuo zaidi ili tuujue ukweli wa miujiza pia.