ORODHA YA MANABII WAKUZIM HII HAPA EV PASCHAL CASSIAN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • #0766998994 #call0688199370 #0788871769 $

Komentáře • 126

  • @msambwajoseph
    @msambwajoseph Před 4 měsíci +4

    Pole ongeza Imani Wenda huamini kama mungu anaumwa❤ jifunze kwanza Vita so yao ni ya bwana usishindane na mwenye kibali ashapewa jifunze katokea wapi unahukumu tuuu agano la mungu ni la mungu tuui kama kila kitu kizuri ni kuzimu back hatuna mungu acha mungu ainuliwe maaana wakwako hatujamwona naishala hizi zitaaambatana na wamwaminio tunakpenda Ila Vita ni ya bwana labda upambane na mungu😢😢😢

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 Před 4 měsíci

      Exactly

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před 4 měsíci

      😂 kwakweli wa kwake hatujamuona

    • @yusterlucass
      @yusterlucass Před 4 měsíci

      Mungu gani wa chini au maana Munguwet aliy juu Mbingni tunatumia herufi kubwa huyo hatumjui

    • @EnaraMfwango
      @EnaraMfwango Před 4 měsíci

      Mm unajua xiwaelew mtumish wa mung akimtumia nabii wa uong ken mnamchukuliaj mung yy mnazn anafany mamb madog madog ndy mxem mtumixh wa mung mung nimkuu jaman naawz xhul mwenyew atuxaidie xhid zet anatumia watumixh wak kututatulia xhid zet na mwampox mung akimtumia Kam alivy kuw akiwatumia wakinaelia,elixh,samweli na mtum yohn na Petro ximtaxem ni maxhetan juen kuxom bible achn kujadil kit uxich kijua alf nilaan kuwaxem watumixh wamug mung ndy atawahukum anajua wap walio wak ww mtu Kam mm kaa kimya xaw

  • @daimamhingq6885
    @daimamhingq6885 Před měsícem

    Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu kwa huduma nzuri na kuufunua ukweli

  • @johnmsaki7920
    @johnmsaki7920 Před 4 měsíci +7

    USISEME WATUMISHI WA MUNGU VIBAYA MUNGU ALIEWAPA KAMA MWAMPOSA MUNGU AMEMPA KIBALI NA KARAMA WATU WANAPONA KWA JINA LA YESU

  • @meryevance6744
    @meryevance6744 Před 4 měsíci +2

    Ww unaakiri kwsbb imeandikwa hv watu wangu wanaagamia kwa kokosa maahalifa km inalipa fanya hata ww mwenyewe unatafuta pesa kupitia kuwasema watumishi wa Mungu ww nimpuuzi

    • @masumbkomndeme3321
      @masumbkomndeme3321 Před 4 měsíci

      Q​@WAZUSHIMEDIA47

    • @abdallahmmary8591
      @abdallahmmary8591 Před 4 měsíci

      Mmmmmmmm aaaaaaasss😂😂😂😂😂 😂

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 Před 4 měsíci +1

      Ni LAANA kuwasema vibaya Watumishi wa Mungu,please hao wote MN hapo juu ni True genuine and great servants of the most high God of Heaven

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g Před 4 měsíci +4

    Baba omba kibari acha kuchafua watu mwamposa vs apostor aviti ndo habari ya mjini sema usemavyo hatuhami pambana na halo yako

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail Před 4 měsíci +1

      Kwanza ktk hiyo orodha ebu atutolee mwamposa hapo na sijui kwanini watu wengine wanaacha kuhubiri neno la mungu kazi kuwahukumu watumishi wa mungu wanaingilia kazi ya mungu tu💔🤔

    • @geekilimba8362
      @geekilimba8362 Před 4 měsíci

      Watu wanapenda miujiza jamani

  • @theresiamateru6426
    @theresiamateru6426 Před 3 měsíci +1

    Kweli ni matapeli Mungu awalaani hasa mwamposa

  • @mrfantastic8364
    @mrfantastic8364 Před 4 měsíci +4

    Kama una karama nenda kamtumikie Mungu uponye watu kwa jina la Yesu. Kukosoa kosoa tu haijengi, wengine unawakosoa ni watumishi wa Mungu halisi

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před 4 měsíci

      SI ndo hapo
      Kazi kupoteza Muda hapa
      Mungu mwenyewe ndo atahukumu
      Ndo mama Yesu alisema acha magugu na ngano vikue pamoja Bwana wa mavuno akija itafahamika tu

  • @user-lx8nl8hh3f
    @user-lx8nl8hh3f Před 4 měsíci +4

    Mm nakubali matapel ila kutosoma kwetu biblia kuna tuponza

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 Před 4 měsíci +2

    NJAAA ,BANGI,UMASKINI NDIO TABIA ZA KUONGELEA WATUMISHI MBEAA MKU WA WEW

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail Před 4 měsíci +1

      😂😂😂😂😅nimecheka Kwa nguvu mungu anisamehe

  • @SalomeNasiuma-em6wr
    @SalomeNasiuma-em6wr Před 4 měsíci +2

    Wewe bwana uko mjinga acha upumbavu kama huna kazi nenda ukalime kwenu

  • @HelakridiWella
    @HelakridiWella Před měsícem

    Waumini wa hayo makanisa huwaambiii kituuu😂😂😂😂 Wamerogwaa yan🙌🙌🙌🙌🙌

  • @Blessedone349
    @Blessedone349 Před 4 měsíci

    Repent and prepare the way for the coming of the Messiah.
    Are you aware that everyday you are moving closer to your grav? How will you appear before God.
    Repent of homosexuality, nudity, witchcraft, lust, corruption, devil-worshipping, hatred, etc. GOD is not a joke.
    The prayers on your burial day won't save your soul.

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 Před 4 měsíci +1

    Sipendi majitu yanayoongelea watumishi wa mungu

    • @ShinjeMackenzie
      @ShinjeMackenzie Před 4 měsíci +1

      Siyo hupendi ww ni miongoni mwa wajinga wengi ambao maarifa kwenu ni tatizo mtu anakuambia yeye aliongea na Mungu uso kwa uso na wew unasadiki tukuiteje kama siyo punguani ni nan ww

    • @savinosalamba9174
      @savinosalamba9174 Před 4 měsíci +1

      @@ShinjeMackenzie mbumbu wankuzimu uliyelaaniwa,ogopa sana mtu haangalii story yote anakata kata,ili kuharibia sifa wenzake,

    • @savinosalamba9174
      @savinosalamba9174 Před 4 měsíci +1

      @@ShinjeMackenzie mapumbavu ya Dunia yaliyolaaaniwa ndio husema mambo ya watu ,wenye hakili na hekima ukaa kimya na kufanya mambo yao

  • @meryevance6744
    @meryevance6744 Před 4 měsíci +1

    Ww mwenyewe unahata ofu ya Mungu usoni kwako

  • @stellakazungu-gn7nk
    @stellakazungu-gn7nk Před 4 měsíci +2

    Kuhani Musa ndo habari ya mjini

  • @AnitaErenest
    @AnitaErenest Před 4 měsíci +1

    Wew mkaka uta laaniwa acha kusema watumishi wa mungu

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz Před měsícem

    asante mtumishi hao nimbwamwitu hao

  • @user-ms4dq9pv3e
    @user-ms4dq9pv3e Před 4 měsíci

    Kama unahisi huduma za watu wa Mungu zinakukera kaa kimya usiseme watumishi wa Mungu mwamposa hakuua watu jua chanzo ys kitu kabla ya kusema na ukiendelea kusema watumishi wa Mungu Mungu afunge hicho kinywa chako milele kwa Jins la Yesu

  • @BernadethaRobert
    @BernadethaRobert Před 4 měsíci

    Huenda unachokisema kinamashiko lakini ulikofikia ni mbali Kaka hayo mamlaka ya kuhukumu watu hao umeyatoa wapi? Iyo KAZI mwachie mwenyezi mungu mwenyewe😮😮😮😮😮😮

  • @user-dm6xi9xo5o
    @user-dm6xi9xo5o Před 4 měsíci +1

    Nenda na wewe uko kuzimu ili upate nguvu tena kona mkutukana kuhani musa huyu ni jitu la mbinguni utakufaa ohio we endelea kuish na mapokeo tena usimfananishe kuhani musa panyawwww

  • @marymwapiya1274
    @marymwapiya1274 Před 5 měsíci +4

    Jana nimeona eti kina supu ya upako kwa suguye Ha haha ukute siyo supu ni damu za watu ,watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa

    • @aminajuma1156
      @aminajuma1156 Před 5 měsíci +2

      Aiseeh kweli kabisa yaani kila kukicha wanadanganya Kwa staili tofauti tofauti Mungu turehemu 😢😢watu wanaangamia Kwa kukosa maarifa

    • @user-ew4qf9ud4v
      @user-ew4qf9ud4v Před 5 měsíci

      N​@@aminajuma1156pia Kwa kiboko ya wachawi Kuna fagio la upako na ungo wa upako kama sijasahau

    • @abelmbata37
      @abelmbata37 Před 5 měsíci +2

      Hivi neno upako linawachanganya sana ee. Hivi kwani we huombei chakula na kama unaombea ukisema chakula ulichoombea kina upako kuna tatizo?

    • @aminajuma1156
      @aminajuma1156 Před 5 měsíci

      @@abelmbata37 wewe nawe ndio kishwani hamna kitu ndio yote mnaibiwa bule Baki kanisani kwako soma neno acha kufata upepo amka uliko lala

    • @abelmbata37
      @abelmbata37 Před 5 měsíci

      @@aminajuma1156 jifunze kumtafuta Mungu. Ukitaks kumjua Mungu ruhusu moyo wako acha kuwa na mambo hasi. Unaweza ukafikir unajua kumbe unaowaona ndo wanajua kukiliko. Shida ya watu tunamwabudu Mungi kwa akili zetu badala ya Moyo.
      Mtafute Yesu naye awe ndani yako ukifika hapo kila kitu kinacho kuzunguka kinakuwa na nguvu ya Mungu yaani upako.

  • @ClementMaico-vq6fs
    @ClementMaico-vq6fs Před 4 měsíci +1

    Videos

  • @IsaacNdeda
    @IsaacNdeda Před 29 dny

    Pole sana kwa kweli ufahamu wako ni mdogo sana for example have done thorough research on the prophet Owuor...have you visited the many people healed in his meetings...are you aware that even the international tv BBC did a through research and made a follow-up on the many healed in the meetings HIV,cripples,blind,deaf...healed without giving a penny...what about the powerful message of rapture of the church,resurrection and eternal judgment...I mean are you sobber enough...why dare to mock the mouth piece of God... even with the help of the internet, you can easily do a follow-up...please be careful,and born again properly for the Messiah is coming...

  • @Blessed-cd9lg
    @Blessed-cd9lg Před 4 měsíci

    VIPI KAMA KATIKA WATUMISHI ULIOWAWEKA PICHANI KUNA AMBAO WANAMTUMIKIA MUNGU KTK KWELI MA WANAVUNA NAFSI NYINGI KWA KRISTO!! UNAFIKIRI HUKUMU YA MUNGU ITAKUACHA???????

  • @EvelinQueen
    @EvelinQueen Před 4 měsíci

    Lkn pamoja na kumponza huyu aliesema haya hata Yesu alisema watakuja manabii wa uongo kwa jina langu na watapoteza wengi na hata wateule ko wakati wakuchangamka ww uliemjua huyu Yesu wa kweli ili usije kupotea kwa ajili ya hawo watu waliotabiliwa na tayari tuanona wameshatokea asomaye na afahamu

  • @AlnordGozonga-gw2sb
    @AlnordGozonga-gw2sb Před 4 měsíci

    Huyu mwandishi mjinga sana kwakweli unachafua amani na imani ya mtu

  • @LatifaMtika
    @LatifaMtika Před 4 měsíci +1

    Me nishuhuda wa kanisa la kimara temboni nimetendewa tena sijapangwa na ukiambiwa chawa wa kuhuni mussa richad mwacha nimimi apa

  • @EvelinQueen
    @EvelinQueen Před 4 měsíci

    Tumtete Yesu kristo tusiwatetee manabii hawa maana hata hyo unaemwamini huwez jua maana kilichonyuma yake ebu watu wa kizazi hiki tufunguke macho tuone tulikofikia na utakapojua ulikofika utajua anaekuongoza ninani bila kujua majira hatutajua nabii tunaemfata ni wa namna gani

  • @MohamedKhalidiMfina-mt1qc
    @MohamedKhalidiMfina-mt1qc Před 4 měsíci

    Wakrito mnanini lakini mbona hamshituki mnaambiwa ukweli lakini bado hawa ni manabii wauongo mlitaka hao manabii wa uongo waje kwa sura ipi ndio muelewe

  • @davidjoshua129
    @davidjoshua129 Před měsícem

    Hao manabii huko dunia nyingine hawapo ni huku Tu Africa?

  • @FlorenceKhaoma
    @FlorenceKhaoma Před 4 měsíci

    Kweli yesu hakuja kuangamiza alikuja kuokoa mbona awor😢 yuasema yeye alileta corona

  • @razimatushinde
    @razimatushinde Před měsícem

    Poleeeeeee goropha yako imebunguliwa.nawe ni miongoni mwa wandawazimu umebakiza kitu kimoja tuu kuvua nguo.

  • @ShinjeMackenzie
    @ShinjeMackenzie Před 4 měsíci

    Yaani kibwetele hakufanya kosa kuwachoma moto wakristo wapumbavu kule Uganda hata hapa kwetu tz ipo siku atatokea kibwetele ayachome moto makristo majinga majinga yanayouzalilisha ukristo maana yanaambiwa lakini hayasikii

  • @upendocalistus3184
    @upendocalistus3184 Před 4 měsíci

    Usihukumu usije ukahukumiwa, we ni nani usiyeondoa boriti kwenye jicho lako mwenyewe unaangalia kibanzi kwenye jicho la wengine, mnagiki wewe

  • @BoazDillu
    @BoazDillu Před měsícem

    😂😂 Yesu atarudi wapi sasa? Maana kila mtu anajiona yuko sawa kivyake,kila mtu anajifanya najua kilakitu hv mbingu ziko ngapi mmh kazi ipo.

  • @marthariri8723
    @marthariri8723 Před 4 měsíci

    Huyo anazema ukweli kabisa ni wanabii wauongo ,ukweli una set watu free!!!!

  • @DeusRamadhan
    @DeusRamadhan Před měsícem

    Huo ni ukweli wamejivika ngozi ya kondoo wakati ni mbwa mwitu watu wasome biblia ndipo watangundua hao matapeli

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 Před 4 měsíci

    Mpumbav na wew pia

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g Před 4 měsíci +1

    Hatukutataki

  • @user-ul1jt5py9q
    @user-ul1jt5py9q Před 4 měsíci

    Soma matayo 24:1_10

  • @pjmaarifa3528
    @pjmaarifa3528 Před 4 měsíci +1

    Hubiri yako

  • @pjmaarifa3528
    @pjmaarifa3528 Před 4 měsíci

    Wewe sema yko

  • @colletamutheu7887
    @colletamutheu7887 Před 4 měsíci

    Religious extremism is s real rsp in Africa

  • @LilianArani
    @LilianArani Před 4 měsíci

    Weeeeeeeee! Kuna pande hutakanyaga ndugu yangu chunga!!!

  • @emmyphilibert1906
    @emmyphilibert1906 Před 4 měsíci

    Najizuiamno nisihukumu 😭😭😭😭😭

  • @AlnordGozonga-gw2sb
    @AlnordGozonga-gw2sb Před 4 měsíci

    Acheni kuandika upumbavu wenu,mpumbafu waache watu wamungu waendelee kuweka amani duniani,fanya wewe basi usimuchambue m2 usiyemjua acheni ufara

  • @musaliaeugene7975
    @musaliaeugene7975 Před 4 měsíci

    Mbona kuwasema wengine hata kama ni waongo hukumu ni ya mungu Acheni hizo mungu ndiye muhukumu😏😏

  • @ChristinaSebastian-nh2kp
    @ChristinaSebastian-nh2kp Před 3 měsíci

    Nawewe si ufanye ys jwsko

  • @JOELMWANGI-dm7rl
    @JOELMWANGI-dm7rl Před 5 měsíci

    Kisa usichokijua ni kama usiku wa kiza. Na ukiona zinduna na ambari ipapo.kunao utofauti mkubwa sana baina ya manabii wa kuzimuni Kama ulivyo utangulizi wako na nabii wa ukweli.Utawajua kwa matendo yao. Soma kumbukumbu ya torati 18:18 na kuendelea.

  • @MagrethStanley
    @MagrethStanley Před 4 měsíci

    achana na kuhani musa kama unajipenda wewe kaka 0:39

  • @noorlenetv
    @noorlenetv Před 4 měsíci +1

    We unatafuta laana tu, kwanini umewaweka watumishi wa MUNGU na hujawaelezea tuhuma zao? Kutaka hela za youtube kusikuingize kwenye laana wewe na kizazi chako, huwezi kumuongelea vibaya Mtumishi wa Mungu halafu ukabaki Salama, maana utakiwa pia imemudhihaki Mungu mwenyewe aliyemtuma

    • @ShinjeMackenzie
      @ShinjeMackenzie Před 4 měsíci

      Watumishi wa shetani wala si Mungu wa kweli kuuza mafuta na maji uwe mtumishi wa Mungu jidanganye

  • @PapaSabiti
    @PapaSabiti Před 4 měsíci +1

    Uko mwizi wewe achana na mwamposa ww

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z Před 5 měsíci

    Hizi ni nyakati za mwisho, yote yaliyofichika yatafichuliwa. Mungu achezewi watapatakichapo hawataamini.

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 Před 4 měsíci +1

      Usisapoti ujinga wa kuwasema vibaya Watumishi wa Mungu,ni laana hiyo ndugu be careful

    • @user-ii1qk9xn9z
      @user-ii1qk9xn9z Před 4 měsíci

      @@patsonkyando1732 unafikiri ni kila mmoja anayejiita Mtumishi ni wa Bwana Yesu. Tunawajua kwa Roho sio kwa macho ya nyama tu! Ni mbwa mwitu ni vile wamevaa ngozi ya kondoo.

    • @user-ii1qk9xn9z
      @user-ii1qk9xn9z Před 4 měsíci

      @patsonkyando1732 walizi wake ni vipofu, wote pia hawana maarifa; wote ni MBWA walio bubu, hawawezi kulia; huota ndoto, hulala hupenda usigizi. Isaiah 56:10. Bibilia inasema ni Mbwa sababu kazi yao ni kufaidi vitumbo tu! Kazi ni kuhubiri baraka, na mafuta na vitambaa na mahitaji; Kama Yesu alisulubishwa kwa ajili ya ujinga huo pekee wa mahitaji basi inamaana kazi ya msalaba haina maana na wokovu ni bure. Wamepotea njia walafi hawa, hawashibi kamwe, wamefunga nafsi za wana wa Mungu kazi yao ni kuwatolea matoleo na hawashibi, wasio fahamu neno. Funguka macho ni nyakati za Mwisho

    • @YustoMlay-cv4zb
      @YustoMlay-cv4zb Před 4 měsíci

      IPO siku tu devil worshipers

  • @user-lt8id9lv4x
    @user-lt8id9lv4x Před 4 měsíci

    Yuko sahihi

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z Před 5 měsíci

    Eeeh Mungu turehemu

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 Před 4 měsíci

    Kwa kweli wachungaji wengi ni wachawi anapiga mateke kama brusilii

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 Před 4 měsíci

    Wewe mtu muongo😢😢😢😢

  • @josephogada8530
    @josephogada8530 Před 3 měsíci

    Pumbav zenu wote ,mkasome biblia vzr hasa Matayo 24 ,Mungu awaponye ,kaka em waambie hao wajinga wanyamaze kmy mkasome Matayo 24!!!

  • @elizabethmushi7424
    @elizabethmushi7424 Před 4 měsíci

    Mbona kila siku unawahubiri .watu badala ya kumuhubiri Kristi watu wamufuate??

  • @bensonsemo9258
    @bensonsemo9258 Před 4 měsíci

    Do you know prophet owour is promised Elijah. Be careful with him because all HIS teaching are plainly clear that is God sent.

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Před 4 měsíci

    Hafai kuishi huyu

  • @oliviernsengiyumva7076
    @oliviernsengiyumva7076 Před 4 měsíci

    Tumuajiye mngu2

  • @omwekesiaofficial
    @omwekesiaofficial Před 4 měsíci

    Umeubiwa nini na hao?,umesahau uhusiano wako na shietani tutakuanika hivi karibu juu Siri zako najua

  • @user-sz6qc5fh3q
    @user-sz6qc5fh3q Před 4 měsíci

    Usiogope kaka endelea kusema kweli

  • @ShinjeMackenzie
    @ShinjeMackenzie Před 4 měsíci

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa .kweli kabisa nyie mnaompinga paschal mbona mmepungukiwa na maarifa kiasi hiki hao kwenu ni watumishi wa Mungu kweli nimeamini wajinga ndio waliwao paschal waanike wasenge hao

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee Před 4 měsíci

    Wanaotoa povu limewapata.😂😂😂😂😂😂

  • @Malemajrtv
    @Malemajrtv Před 4 měsíci

    Akili huna

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před 4 měsíci

    Hahaha
    Kwamba we neir wa kweli wengine wa uongo?
    Tukuamini kwa sbb gani?
    As for me, namuamini Mungu tu aliyejifunua kupitia YESU kristo
    Sbb hata watumishi wote watajibu kutokana na assignment zao ,so kupoteza kuda kusema yule wa uongo yuoe wa kweli ni kupoteza muda ti
    Mtafute Mumgu wewe binafsi

  • @stephenokingo3716
    @stephenokingo3716 Před 4 měsíci

    You will account for what you are saying

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 Před 5 měsíci

    Hell is waiting for them. Wataenda kwa miguu na watafika wamechoka. Not that am perfect, but waache kulaghai watu.

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 Před 4 měsíci

    Unakenua kenua TU kwenye CZcams

  • @danielkamau2554
    @danielkamau2554 Před 4 měsíci

    Let God judge but not you , how sure a you they are free k heel ,

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu Před 4 měsíci

    na watu wanapiga makofi vipofu na wafu hai

  • @mahijamikael3652
    @mahijamikael3652 Před 4 měsíci

    Umefika kuzimu??

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 Před 5 měsíci

    Tuweni makini.

  • @cethycherono7856
    @cethycherono7856 Před 4 měsíci

    Who are you to judge are you the one who called them

  • @user-wl3cj1dz8o
    @user-wl3cj1dz8o Před 4 měsíci

    ❤❤❤❤

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 Před 4 měsíci

    Wajinga hawaishagi, hata ukianza kuwauwa, utashangaa utapofika mwisho, utakaporudi mwanzo utawakuta waliopo ni wengi kuliko uliowauwa

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 Před 4 měsíci

    Ukalime bro mashamba kibao

  • @user-qe7or5jc1u
    @user-qe7or5jc1u Před 5 měsíci

    Achana na watumishi wa mumgu

  • @ClementMaico-vq6fs
    @ClementMaico-vq6fs Před 4 měsíci

    Ngono

  • @anthonyyalanda11
    @anthonyyalanda11 Před 4 měsíci

    Unaye mbishia huyu jamaa,wewe ndiye mjinga,siyo ukubari kila ujinga,wajinga hamsomi biblia,hawa manabii lazimwa wakemewe wanawadanya nyie mnaoabudu manabii badala ya kumwabudu Mungu

  • @GRACE-ru2nn
    @GRACE-ru2nn Před 4 měsíci

    Mjinga tuu wewe

  • @kentkizzy
    @kentkizzy Před 4 měsíci

    wewe kaka umekosa kazi yakufanya nibola ilobando lako ukalitumia kutafuta kazi pole sana