MILANGO YA KUINGILIA MAPEPO MAJINI MSHETANI EV PASCHAL CASSIAN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • #paschalcassian #call0688199370 #watsp_status #

Komentáře • 227

  • @benithomligo9074
    @benithomligo9074 Před rokem +30

    Ninani awezaye kunena injili ngumu kama hii kwa kizazi hiki, Mtumishi Mungu akutie nguvu ,

    • @furahajastin8649
      @furahajastin8649 Před rokem +1

      Hakika mtumishi 🌲 wenye matunda ndiyo hupingwao mawe.tufundishe maana tunaangamia kwa kukosa maarifa

    • @elizathomas7442
      @elizathomas7442 Před rokem +1

      Wapo ndo huyo moja wapo mpdwa

    • @FrankwasafiJustin-fn6pm
      @FrankwasafiJustin-fn6pm Před rokem +2

      Mungu pia akurinde kwa sababu mimi niliona kama hivyo unavyo sema hii injili imenibadirisha maoni na muelekeo

  • @mauwasafi3430
    @mauwasafi3430 Před měsícem

    Barikiwa sana baba wangu mungu akulide sana

  • @MorineKamwera
    @MorineKamwera Před 6 měsíci +1

    Natamani sana Tanzania ingekuwa hata na wasema kweli ya Mungu ata watano walio kama wewe tusinge kuwa hapa tulipo.... maana mda mwingine mpaka nafikiria kuwa hivi Mungu alisha tuacha kwenye nchi hii ...kwa sababu ya uwepo wa Roho zote chafu zitokazo kuzimu... nawaomba sana watanzania wenzangu tushikamane pamoja katika kuiombea nchi yetu ya Tanzania ili istawaliwe na manabii wa uongo na Mungu atawabaliki sana ..Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ASHERIYOSIAANDREA
    @ASHERIYOSIAANDREA Před 6 dny

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @ElizabethMakwaia
    @ElizabethMakwaia Před měsícem

    Barikiwa mtumishi. Sio wengi wanakwenda vivijini kuhubiri kwa kuwa hakuna sadaka. Lkn wewe unahubiri neno la uzima na wala sio maokoto. Hakika barikiwa na Bwana wetu YESU KRISTO MNAZARET ALIYE HAI. AMEN.🙏

  • @AnneCherotich-gj9eg
    @AnneCherotich-gj9eg Před rokem

    Mchungaji usiwaogope waabudu mapepo au shetani wasikiapo mahubiri mazito, yenye nguvu na ukweli bayana kama huu utakapowafikia .Simama imara na itetee injili ya kweli ya Mwenyezi Mungu kwa kuwa unabii ulioandikwa na kutabiri nyakati umetimia na nyakati hizi ni hatari na za mwisho.Ole mimi nitakaye ghairi injili kama hii kwa maana ipo siku,injili hii haitakuwepo tena.Thank you Lord for using your servant in a very special way amen. 🙏

  • @jemaluvanda9443
    @jemaluvanda9443 Před rokem +2

    Ubarikiwe mtumishii namm nlkuwa uko lakin tang naskiliza mahubiri nmebadrika Mung akubarikii sana

  • @honeyshemweta1166
    @honeyshemweta1166 Před rokem +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU sema kweli yote wengi watakushambulia lkn kaza buti BWANA YESU yupo pamoja nawe, achana nao wanaotaka mafundisho yakubembeleza pasuaaah Mimi nakukubali sana. MUNGU akutunze

  • @daisyakhini9331
    @daisyakhini9331 Před rokem +8

    Ameeen, Ameen mwinjilist, nakupata vyema sana, mungu azidi kukaa ndani mwako na kukufumulia zaidi, acha tumushukuru kwa makuu yake, alikua na kusudi kukutoa pale na kukurudisha kwake ili uponye roho zilizo kaa kwa giza, Amen barikiwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @christopherkaroli9365
    @christopherkaroli9365 Před rokem +4

    Mtumishi wa Mungu anayehubiri kweli ya neno la Mungu anajulikana tu, Mungu akutie nguvu mtumishi uendelee kuinena kweli yote.

  • @irenejoram8687
    @irenejoram8687 Před měsícem

    Barikiwa mtumishi, hakika wewe ni mtumishi wa Mungu aliyehai

  • @shukurusyriack3504
    @shukurusyriack3504 Před rokem +2

    Mungu akutie nguvu mtumish wa Mungu, najua unapitia wakati mgumu katika kazi hii Mungu akutie nguvu sana na akuwezeshe kuongea ukweli wote

  • @angiringalyimo365
    @angiringalyimo365 Před rokem +4

    Yes pascal wewe ni Mhubiri wa kweli! Mola akutangulie, akutetee

  • @simonlaizer6261
    @simonlaizer6261 Před rokem +1

    Asanteeeeeh 🙏 bwana yesu Kwa kuwafunuli watumishi wako mambo haya

  • @advelalumanyika5754
    @advelalumanyika5754 Před rokem +5

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU unanibariki mnoo kwa neno

  • @pastorisraelhaki3426
    @pastorisraelhaki3426 Před rokem +1

    Barikiwa mtumishi wa Mungu, hio ndio kazi tunayo ifanya hapa namibia, tunapingwa mchana kutwa, tunaitaji maombi yenu.

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 Před rokem +4

    Amen Amen powerful preaching 🙏

  • @kaburajeanmarie1030
    @kaburajeanmarie1030 Před rokem +1

    Mungu akubariki na akulinde,mtumishi, ni nyakati za mwisho , Mungu akubariki

  • @bahatikinyamagoha3703
    @bahatikinyamagoha3703 Před rokem +1

    Hakika mungu awe nguzo ya roho yako hakuna anayeweza kusema kishujaa namna hii mungu akubariki sana mtumishi akupe nguvu ili wasikie walio potea amen

  • @christinamkongwa3407
    @christinamkongwa3407 Před rokem +2

    Mungu Akutunze ,Akulinde ,akuzingilie Kila Mahali ,Ulinzi wa Mungu Baba uonekane kwako Kila saa Kila Dakika Mungu awe Mwaminifu kwako Asikupungukie Milele Ameni

  • @saramuna1173
    @saramuna1173 Před rokem +2

    Huyu Mtumishi yuko sahihi .. Mungu akulinde na kukuficha maana vita yako ni kubwa kwa vile unausema ukweli

  • @ayubujoseph
    @ayubujoseph Před rokem +1

    Barikiwa mtumishi wa MUNGU Kwa neno zuri la MUNGU hakika ni injili yenye ufunuo mkubwa sana kuhusu Dunia ya Sasa, MUNGU atujalie kuishinda Dunia hii na tutashinda katika Jina la YESU KRISTO Amen.

  • @thomasmtindya6477
    @thomasmtindya6477 Před rokem +1

    Mungu akulinde kila wanao kuwazia mabaya Mungu akawageuzie kibao

  • @annerdograsipetro4941
    @annerdograsipetro4941 Před rokem +2

    Mtumishi nakuelewa sana Mungu azidi kukuinua unatufundisha vitu ambavyo atujawai kufundishwa

  • @ElishaMwashiuya-rz4dn

    Mungu akubalik sana maana kizaz hik hakuna awezae kuhubli injli iliyo kwel , nakwambia ukweli kwamba atatokea mutu wa kuhubli kweli tena Hadi kizaz chako Cha nne4 hatakama utajua haupo utaona huko uliko, mungu akubalik milele amina

  • @MsafiliPascal
    @MsafiliPascal Před 6 měsíci

    Mtumishi Mbarikiwe kwakutuonya kwasababu wengi wame potea kwami ujiza ambazo zimetokea

  • @Crabtree1844
    @Crabtree1844 Před rokem

    Kweli kuna tamaa kusikia injili. Waone vile watoto, wazazi mpaka watoto wachanga wamesimama kusikiliza ujumbe. Ah Yesu mwokozi tusamee dhambi kwa hisani yako. Naomba msamaa.

  • @EmmanuelMwangesile-gb8iq
    @EmmanuelMwangesile-gb8iq Před 10 měsíci

    Mungu akulinde sana mtumishi sambaza hiyo injili leta huku daar

  • @macrinycostantine4821

    Hakika namshukuru Mungu kwakwel urembo umenipita kushoto nilitobolewa ckio kbl cjajitambua nikatoboa pua ila cjui kuvaa heren wala kipini Mungu atutie nguv

  • @irenekiwale5352
    @irenekiwale5352 Před rokem +2

    Ahsante kwa ujumbe mtumishi wa Mungu,Mungu akubariki sana jamani.

  • @leontinebinlydi9459
    @leontinebinlydi9459 Před rokem +1

    Amina kubwa mtumishi usemayo nikweli kabisa baba 🙌🙏Mungu akubariki sana 🙌🙏

  • @kassebo
    @kassebo Před rokem +4

    Umeongea ukweli. Mtumishi Wa MUNGU ✍️. Ubarikiwe Sana ✍️✍️✍️✍️

    • @apostlej.rministiryprophet2219
      @apostlej.rministiryprophet2219 Před rokem

      Ukweli upi ?
      Kwamba dawa za nywele ni mimba changa?
      Hereni ni milango ya kuzimu?
      Mikufu ni milango ya kuzimu?
      Huyu ni MUONGO na anafanya Watu wasionaelim ambayo hawajawahi kutoka hata nje ya wilaya Yao

  • @owenomwanawayesu6961
    @owenomwanawayesu6961 Před rokem +2

    Endelea kuhubiri ukweli kabisa…Barikiwa !

  • @AishaEduardMbwambo-ux2dp

    Yesu akulinde nakukufiche kwenye mbavu zake shetani asikuone

  • @saidibaraka931
    @saidibaraka931 Před rokem +1

    mungu akubariki sana mtumishi wa mungu

  • @HellenBotondo-gd9wx
    @HellenBotondo-gd9wx Před rokem

    Mungu atusaidie jaman shetanmbunifu lakin tumuombe mungu atuponye nahaya Hellen butondo mikese moro

  • @francischipangapole7671
    @francischipangapole7671 Před rokem +2

    amen mtumishi wa MUNGU, ubarikiwe sana

  • @janeyhaule809
    @janeyhaule809 Před rokem +1

    Amina Mungu yupo tuwe makini sana

  • @user-vc1hx7mw7c
    @user-vc1hx7mw7c Před rokem

    Mungu akubarikisana naakuzidishie masiku kabisa pasta

  • @braysondamson5969
    @braysondamson5969 Před rokem +5

    Barikiwaaaa

  • @veronikampate9848
    @veronikampate9848 Před rokem +1

    Mungu akbariki tumishi wa mungu usiongope kulisema neno la mungu nakupenda sana natamani uje serengeti 🙏🙏🙏🙏

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyanga Před rokem

    In every step we take Jesus is ahead of us. Let's not give up because of some hindrances put ahead of us. Jesus is aware of our situations. Ev. Paschal Cassian, I'm in touch with you in preaching the Gospel of Jesus Christ. Holy Spirit take more of us and give more of you, in Jesus' name.......!!!

  • @marianapeter861
    @marianapeter861 Před rokem +2

    AMEN MTUMISHI WA MUNGU mafundisho yako yananifungua Sanaa ...endelea kutufundisha tupone.

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj Před měsícem

    Usiongope kaka au dada maana hawoo wanafiki kunamusho Mungu anajuwa mudaa hii kwaiyo anajichia tu ili sisi tupatee changamoto

  • @dainesykalinga7133
    @dainesykalinga7133 Před rokem +2

    Amen Amen Barikiwa mno Mtumishi kwa Mungu.

  • @fredykisamu9156
    @fredykisamu9156 Před rokem +1

    Bwana yesu asifiwe Na akubariki Na kukupigania

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula Před rokem

    ukweli mchungu lkn lazima uupate ivo ulemavu haudumu milele mungu wetu ni mwanifu Amina babangu

  • @musafiribahati8295
    @musafiribahati8295 Před rokem +1

    Mungu akuongeze nguvu

  • @LukasiMganga
    @LukasiMganga Před 3 měsíci

    Mubalikiwa

  • @VictorPenti-kx3of
    @VictorPenti-kx3of Před rokem

    Watumishi wa uongo lazima waambiwe ukweli,Asante cassian

  • @AndreaMsemwa
    @AndreaMsemwa Před 3 měsíci

    Fanya kazi yako alie kutuma mungu

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 Před rokem +1

    Halleluyha ukweli kabisa Mutumishi wa Mungu watu tufunguke macho

  • @LilianNasike-hx1yw
    @LilianNasike-hx1yw Před měsícem

    Amen

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Před rokem +3

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa kutufungua akili zetu Bwana akufunike na damu yake takatifu

  • @AnithaNgobya-vi2nc
    @AnithaNgobya-vi2nc Před rokem

    Safi sana mtumishi ukweli mtupu ila mtu aelewe hadi Yesu ajifunue mwenyewe haswaa naziombea akili za wasikilizaji zifunguliwe kwa jina la Yesu ndo tutapata mabadriko

  • @joselynendamage8712
    @joselynendamage8712 Před rokem +5

    Amen amen 🙏

  • @johnmuhagama6291
    @johnmuhagama6291 Před rokem +1

    Amin amin munjilist mungu akubaliki sana kuwafungua wat

  • @user-kl6zb6so3i
    @user-kl6zb6so3i Před 5 měsíci

    Sema tupone Ameena

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 Před rokem +1

    Asante kwa kuniletea ukweli wako🔥🔥.

  • @yesuanikumbukejanuary8363

    wana wake tuna mwitaji BWANA saana atusaidie maana mhmhmhmh sijui ninani atakae okoka kwakipindi hiki sijui MUNGU atusaidie tuishi maisha ya kumpendeza MUNGU.

  • @PatientMusaada
    @PatientMusaada Před měsícem

    MUNGU akupe mwisho muzuri kuliko mwanzo uendeleye kusema kweli .

  • @jacoboboniface9996
    @jacoboboniface9996 Před rokem +4

    Ubalikiwe mtumishi naulinzi uwe pamoja nawe

  • @mamichiza9172
    @mamichiza9172 Před rokem +2

    Amen mtumishi

  • @shukranimwanawanyali5168

    Hongera mtumishi kwakusema ukweli

  • @lilianwanjala8728
    @lilianwanjala8728 Před rokem +1

    Ameen ameen and ameen

  • @shantaleasanimatu6682

    Amena sana Ubarikiwe sana mtumishi

  • @joelleligate8586
    @joelleligate8586 Před rokem

    Amen MUNGU Wa kweli akuongoze babaa

  • @servantmichael73
    @servantmichael73 Před rokem

    Yesu akutie nguvu. Hii niinjili ya matengenezo na watu wamekalia dini et dhehebu la kipentekoste huku wameshakufa

  • @simonmdune9066
    @simonmdune9066 Před rokem

    Wallai mm hakuna mwimbaji mwenye naona hakika anaimbaga ukweli na kufunza vile shetani anatutumia bila kujua .Mungu akubariki kkaangu endelea kutoboa siriiii kbixa watu wapende wasipende ukweli usemwe

  • @BetinaMwaijengo
    @BetinaMwaijengo Před 3 měsíci

    Mungu akushindinye baba

  • @farajafleva
    @farajafleva Před rokem

    Nilikuwa sikwamini ila sasa nakuelewa mungu akutie nguvu..nakukubali 100%

  • @user-di6gq1qi6w
    @user-di6gq1qi6w Před 5 měsíci

    Ubarikiwe una Sema kweli

  • @aimeebusime5849
    @aimeebusime5849 Před rokem

    Amen MUNGU akufiche

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Před rokem +1

    Yaani we MTU wa MUNGU ubalikiwe mnooo na MUNGU ALINDE FAMILIA YAKO AAA HAYA NDO MANENO YA MUNGU WETU ALIE HAI shetani Hana ADABU anatutesa mno na madhambi haya KUVAA miwigi milangi na nikope na nguo za ajabu WW MTU WA MUNGU ULINDWE SANA

  • @ntabyoetienne2508
    @ntabyoetienne2508 Před rokem +2

    Kaongeya tu mambo hayaeleweki hata kidogo utamaliziya kesho kwa nini mafuta ya nyele n'a mimba binakutana wapi omba Roho wa Mungu akupe maneno ya kuhubiri ndugu

  • @msuvasimon557
    @msuvasimon557 Před rokem

    Mungu muumba wa vitu vyote atulinde

  • @upendoupendo4622
    @upendoupendo4622 Před rokem +3

    Duuuh!!, Yesu utusaidie kwakweli maana Kwa akili zetu za kibinadam ni ngum

  • @stellahokworo3947
    @stellahokworo3947 Před rokem +1

    Amen amen glory to Jesus

  • @robartmaiko7759
    @robartmaiko7759 Před rokem +2

    mungu akibaliki

  • @BerylSeer1
    @BerylSeer1 Před rokem +4

    Amen 🙏

  • @neemanabwangu1469
    @neemanabwangu1469 Před rokem +4

    Amen amen Mtumishi 🙏🏿🙏🏿

  • @Joelhaongaofficial
    @Joelhaongaofficial Před rokem +5

    Ameen ameeen ameen

  • @joshuwazaningo2101
    @joshuwazaningo2101 Před rokem +1

    Ubarkiwe mutumshi wamungu 🙏🤝

  • @leontinamujinga8937
    @leontinamujinga8937 Před rokem +4

    Amen amen and amen 🙏

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 Před rokem +1

    Yeshua Messiah na aturehemu na atuhurumie

  • @user-kv7hq5mb6m
    @user-kv7hq5mb6m Před rokem

    Wasabato wako sawa,urembo ni ibada za miungu,ee mungu tusaidie

  • @guediamulimbi2204
    @guediamulimbi2204 Před rokem +3

    Hujambo mchungaji, nakufata toka Congo(DRC) Yale unasema ni ukweli kabisa Bwana Yesu atusaidiye saana. Endeleeni kusema ukweli ili nafsi za watu ziokolewe, hasa wanawake.

  • @doreen2038
    @doreen2038 Před rokem

    mahubiri haya yamekuwa adimu sana,watu wametekwa na pokea gari,pokea nyumba,alafu unarithi vitu vinavyoharibika,alafu unakosa umilele usio haribika

  • @suzanalucasemanuel7006

    Mungu atusamehe sana jaman

  • @AdamuTobias
    @AdamuTobias Před 2 měsíci

    Amina

  • @pavlovbienfait6940
    @pavlovbienfait6940 Před rokem

    Sois béni 🔥🔥🇨🇩🙌

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 Před 10 měsíci +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 shamba la babu la katani Mungu tusamhee

  • @tukumbukegebhusega6716

    Barikiwa mtumishi

  • @aliaalia
    @aliaalia Před rokem

    Mungu wa Mbinguni akuliiiinde na akufiche ndani ya damu yake, Ilo ndilo ombi langu kwa baba wa Mbinguni

  • @user-gs7ib9ei4j
    @user-gs7ib9ei4j Před 4 měsíci

    HIYO SIYO INJILI

  • @jumakapesa2940
    @jumakapesa2940 Před rokem

    Nakupenda sana Paschal. Lakini kwenye hili umethibitisha Elimu ndogo na ufunuo dhaifu

  • @edwinmbwilo6128
    @edwinmbwilo6128 Před rokem +4

    Liko kanisa linalokwenda mbinguni na lipo kanisa litakalo baki duniani.

  • @rehemadeus
    @rehemadeus Před rokem +1

    Ameni🙏🙏🙏🙏💪

  • @kayokasabas7579
    @kayokasabas7579 Před rokem

    Yah kwel mtumishi

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687 Před rokem

    Mungu atuwezeshe sote wana wake