ONYO KWA WAKENYA MUOGOPEN HUYU PASTAR NGAN'GA SHETANI ANAMTUMIA EV PASCHAL CASSIN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • #0766998994 #call0688199370 #call0688199370 #

Komentáře • 180

  • @CynthiaAcheza
    @CynthiaAcheza Před 3 měsíci +3

    Very true dunia imeisha shetani ametawala ,nikumuweka Mungu mbele hili atuonyeshe njia kamilifu,be blessed 🙏 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @gracekivuva-nc9lp
    @gracekivuva-nc9lp Před 9 měsíci +23

    Barikiwa sana nakubaliana nawe kabsa ju hta akisikia hii habari hile matusi ataachilia utashagaa na anajiita pastor. I surpot you, from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 Před 9 měsíci +16

    Wacha nihubiri nawe kwa njia hii ya kidole kwa wakenya wenzangu. Huu ni ukweli. Wakenya tuamke,😢😢😢 tumelala sana.

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z Před 9 měsíci +6

    Wana heri hao wazishikao amri za Mungu...
    Sikieni mafundisho, mpate hekima, wala msiikatae. Wachungaji wote wa kenya ujumbe ndio huo, Mungu ametumana kwenu... na msikatae.
    Kanisa za Town kenya karibia zote watumishi wanatumiwa na ibilisi....
    Amen Amen 🙏 mtumishi Umepata kibali kwa Bwana....Ni hekima ya Mungu inayokuongoza ni wewe tu mwenye ufahamu wa kweli.
    Zidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote. Ukijua kazi yako si ya bure, haijalishi jinsi kazi yako inyoonekana kuwa ngumu au isiyo na maana kwa wasioamini Mungu, ina maana kwa Mungu. Kwa sababu inamletea utukufu, na kwa sababu hiyo si bure. Mungu azidi kukuinua from glory to another... Mungu ako pamoja

  • @felesianyangasi
    @felesianyangasi Před 9 měsíci +4

    🇰🇪 Asante kwa ujumbe huu wa kweli.Wakenya wawe waangalifu.Hapa kina Ng'ang'a ni wengi

  • @damarisnyaata
    @damarisnyaata Před 9 měsíci +3

    Wakenya tumefamiwa jameni
    Mungu tulehemu nikubaya sasa
    Ukweli mtupu
    Be blessed pastor.

  • @RobertpixmasterPixmaster
    @RobertpixmasterPixmaster Před 2 měsíci

    Asante kwaajili ya tahadhali. Mungu akuinue kabsa

  • @ev_abediespoir490
    @ev_abediespoir490 Před 9 měsíci +1

    Amen, amen Mtumishi wa Mungu, ubarikiwe sana tena saaaaaaana kwa mafunuo hayo, Mungu azidi kukulinda kwa kazi yako ya Injili kwa kuwaokoa watu

  • @erickrao
    @erickrao Před 9 měsíci +3

    Very good man of God this is true story kabisa wambie wawache upuzi warudie bwana YESU 🇰🇪😭😭😭

  • @mercynjeri6275
    @mercynjeri6275 Před 9 měsíci +7

    Paster wajungaji wengi Kenya ni mapepo tupu wambie ukweri usiwabebeleze 🇰🇪🇰🇪

    • @daisyakhini9331
      @daisyakhini9331 Před 9 měsíci +3

      Saana n wengi, ad tym niliona et Rose mhando amekuja kuombewa nae, hapo ndo nilijua ukweli kumbe Rose na ng'ang'a wanacheza kimoja

    • @KilonzoMutuku-hi6rs
      @KilonzoMutuku-hi6rs Před 8 měsíci

      Ww ukona utafiti ngani,??? Fanya utafiti ujue Kenya iko mbele sana

  • @OyengelaMariam-wk6qm
    @OyengelaMariam-wk6qm Před 9 měsíci +3

    Anamtusi fala na ng'ombe, Asante sana Pastor Mungu akutie nguvu 🙏🙏🙏

  • @sakakajouf5900
    @sakakajouf5900 Před 9 měsíci +7

    Napenda unavyo ongea ukwel,,naomba mungu akutie nguvu na akupiganie kw kila njia na alinde familia yako

  • @jacklinewahome2416
    @jacklinewahome2416 Před 9 měsíci +2

    Hongera.. Mtumishi..passical cassian huku Kenya matapeli dio wengi.

  • @mshaisharon3608
    @mshaisharon3608 Před 9 měsíci +2

    🇰🇪God I in Jesus name I ask for forgiveness for all defilement in the church and believers, we have sinned as a Nation we humbly ask for your mercy. we are sorry Lord Jesus 😭😭😭

  • @annettemalechela7543
    @annettemalechela7543 Před 9 měsíci +2

    Hatamtumishi wa Mungu Moses Kulola alisema mtumishi wa Mungu akae mbali na vitu hivi:
    1- uzinzi
    2- kupenda fedha

  • @Deboraclementgm
    @Deboraclementgm Před 9 měsíci +2

    Amen Amen mutumishi Ni kweli anamatusi Sana Uyo pastor

  • @naamangidion
    @naamangidion Před 9 měsíci +3

    Mungu akutie nguvu Akulinde , akutunze , Mahubiri yako yanatuponya wengi sana Ubarikiwe Aminaa #@passical cassian

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu8718 Před 9 měsíci +1

    Hii ni huzuni kweli wakenya turudi kwa magoti tuombe rehema kwa Mungu.Tuliombee taifa letu nimekuwa chukizo kwa Mungu.Matengenezo !matengenezo!matengenezooooooo!!!!!

  • @kimsi682
    @kimsi682 Před 6 měsíci

    Asante kwa kwa haya yote. Ni kweli huyu pastor anaukali usioeleweka. Mungu ampadirishe. Pia, Mungu akubariki sana!

  • @roselyneezekiel
    @roselyneezekiel Před 2 měsíci

    Barikiwa sana mtumishi... Mafunzo yako yananiwezesha kuepuka mengi sana. Mungu akulinde kila wkt.🇰🇪🇰🇪

  • @godfreyfesto2490
    @godfreyfesto2490 Před 4 měsíci

    Mungu akubariki siku zote

  • @JosephSimiyu
    @JosephSimiyu Před 9 měsíci +1

    Mungu tusamehe sisi watumishi wako kutoka Taifa la Kenya

  • @esthermurunga3659
    @esthermurunga3659 Před 5 měsíci

    Mungu tusaidia sisi wanawako

  • @simonmdune9066
    @simonmdune9066 Před 9 měsíci +3

    😭😭😢🙏 Mungu naomba utusamehe mana kweli tumemuacha Mungu wakenya kama kunae mtu anampenda Mungu akiona clip za huyu mtumishi aezi pita au kumaliza siku bila kutazama huyu mtumishi 😭

  • @ElijahAmon-uq6zk
    @ElijahAmon-uq6zk Před 9 měsíci +2

    Ubarikiwe sana na mungu kaka mungu azidi kukupaka mafuta yake matakatifu

  • @joannekesa1835
    @joannekesa1835 Před 9 měsíci +1

    Waaaa MUNGU atusaidie ubarikiwe mtumishi wa MUNGU 🇰🇪

  • @rosewacharo3336
    @rosewacharo3336 Před 9 měsíci +1

    Barikiwa pascal.......waambie wasikie

  • @user-jk7yg8lb4k
    @user-jk7yg8lb4k Před 7 měsíci

    Amen mchungaji ni ujumbe kutoka kwa Christo Yesu, wakenya tuitambue sauti ya Yesu

  • @mwinzilavincent3774
    @mwinzilavincent3774 Před 9 měsíci +3

    Ata Anesema Kanisa ni yake .. sio ya mungu.. na ni viosk amefungua sio kanisa

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591 Před 9 měsíci +1

    Barikiwa sana kwa injiri nzito Mungu akufiche viganjani mwake.😊

  • @sakakajouf5900
    @sakakajouf5900 Před 9 měsíci +3

    Asante poster hapo umeongea,,,,but umemsaau Ezekiel odero

  • @PASCOJELEMIA
    @PASCOJELEMIA Před 12 dny

    asante sana kwaukwel

  • @diana56-lorient
    @diana56-lorient Před 9 měsíci +2

    BWANA YESUS ASIFIWA SANA, ASANTI SANA MTUMISHI, MUNGU AKUBARIKI SANA, 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇨🇵🇨🇵

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula Před 9 měsíci

    Nyanyua sim upate hela itoke wp fanya kazi tuacheni mafundiso yasiofaa mafundisho mema haya hapa mtazame huyu mtumishi upone kiroho kimwili hata kiafia barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @user-dd4zf2ne6f
    @user-dd4zf2ne6f Před 8 měsíci

    Amen mutumishi wa mungu akubariki na akuinu na akulinde akubariki Niko Kenya

  • @user-jj5dz3ro6c
    @user-jj5dz3ro6c Před 9 měsíci +2

    Amen barikiwa mtumishi🇰🇪🇰🇪

  • @user-rq9ne8vj6x
    @user-rq9ne8vj6x Před 8 měsíci +2

    Wambie.ukweli. mtumishi

  • @user-et6bz6dz4j
    @user-et6bz6dz4j Před 9 měsíci +2

    Ongeza volume kbs,mm sijawai kumpenda Wala kusikia maubiri na nyimbo zake.. Asante kwa kusema ukweli..barikiwa!

  • @ShimirimanaJolie-uo3wl
    @ShimirimanaJolie-uo3wl Před 6 měsíci

    Mungu.akubariki..nikweli..yesu.kristo..wakati..alikuwa....duniyani..awakumukubali..mungu.akusayidiye.baba

  • @dorcasasia2819
    @dorcasasia2819 Před 9 měsíci +1

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu have a blessed day

  • @user-wv5cq5kt7b
    @user-wv5cq5kt7b Před 9 měsíci

    Amen mtu wa Mungu ubarkiwe sana nakwelewa sana Asante 🙏🙏🙏

  • @AnordyNyoka
    @AnordyNyoka Před 3 měsíci +1

    Kwelii kabisaaaaa

  • @mercynjeri6275
    @mercynjeri6275 Před 9 měsíci +1

    Shallom hapo nakubariana na ww mtumishi wa mungu hapa Kenya tunahitaji mungu sana ushikome kuwabia baka yesu alundi amen🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-ci6vl1fb9u
    @user-ci6vl1fb9u Před 9 měsíci +1

    This is very true evangelist Cassian, may God continue blessing you. Let him hear this voice to have his own decision later. Either to change for God or remain threr & known to be a false pastor.
    Very abusive false pastor ng'ang'a.
    Supporting from Kenya.😢

  • @brackythechosen3629
    @brackythechosen3629 Před 9 měsíci +1

    Amen ukweli huo, wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tuwe macho

  • @RobertWasike-hv2ex
    @RobertWasike-hv2ex Před 6 měsíci

    Mimi pia ni mkenya lakini nakubaliana na wewe, Kenya churchs ni kama maduka ya kulevya,ata heri mlevi kuliko kanisa lililoko Kenya,haswa sana kwenye mji mkuu Nairobi

  • @GMD820
    @GMD820 Před 9 měsíci +3

    Mtumishi wa Mungu Pascal ongeza volume coz uko hundred pasent nimeishi apa u ni mwak 13 sijaipata watumishi wanosema ukweli an that's why niliacha kwenda church nikikuja home ndio mi huendal kanisa naishi uku tu sababu ya watoto other wise 😢

  • @RobertpixmasterPixmaster
    @RobertpixmasterPixmaster Před 2 měsíci

    Asante kwaajili ya ukweli

  • @NANA-xf1ec
    @NANA-xf1ec Před 9 měsíci +1

    Amen Amen na mungu awe nawe 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @OyengelaMariam-wk6qm
    @OyengelaMariam-wk6qm Před 9 měsíci +1

    Amen Amen Amen pastor

  • @michaeljm-dz7nh
    @michaeljm-dz7nh Před 9 měsíci +1

    Amen barikiwa sana mtumishi 🙏

  • @owenmlagala7855
    @owenmlagala7855 Před 9 měsíci +1

    Napenda Sana Mafundisho yako

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official1 Před 7 měsíci

    Shetani amewateka wengi,muone vile alivyo na bado anawashiriki kwa hili kanisa jamani, watu wamepotea 😢 mungu atuhurumie na atuletee watumishi wake wa ukweli mungu atuhurumie ,mtumishi wa mungu mimi hapa nimeshindwa hata kenda kanisani

  • @ChristinaCharles-py1ct
    @ChristinaCharles-py1ct Před 9 měsíci

    Mungu akubariki sana mchungaji cassian

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima5281 Před 9 měsíci +1

    Jamaa anawaita watu ng'ombe na wanacheka....tatizo kubwa naona ni hao wanaomsikiliza.

  • @ruthmuja7792
    @ruthmuja7792 Před 5 měsíci

    Watumishi wengi wa Mungu walianza vizuri, tatizo baraka za kifedha na Mali ziongezekapo ndipo viroja huanza

  • @NuruMbongo
    @NuruMbongo Před 9 měsíci

    Ubarikiwe Mungu akupe ulinzi na ngome unasema yaliyopo ameni

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Před 9 měsíci

    We PASCHAL WE NI MTU WA HOVYO SIO KILA MCHUNGAJI AKIKOSEA ANATUMIWA NA SHETANI

  • @nasembakihara3024
    @nasembakihara3024 Před 8 měsíci

    Mungu aendelee kukutumia vilivyo

  • @virginiakanana7677
    @virginiakanana7677 Před 7 měsíci

    Mungu amenipa maono yake Kila mara aki

  • @lucynjeri1889
    @lucynjeri1889 Před 9 měsíci

    Barikiwa kwa kunena ukweli.Malaika wa mungu wazidi kukulinda.

  • @laurentwilson-db4ir
    @laurentwilson-db4ir Před 9 měsíci +2

    Amen 🙏🙏 Mtumishi 🙏🙏

  • @agnesmbula5261
    @agnesmbula5261 Před měsícem

    Amina

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u Před 9 měsíci

    Mahubiri yadharau nakufedhehesha eti nimahubiri kutokakwaMungu nawafuasi wske wasigunduekitu hatahapatunao .wenyekutishia raiawema naserikalizinawaangaliatu kanakwambawao sheria zasrikali haziwahusu.

  • @sakakajouf5900
    @sakakajouf5900 Před 9 měsíci +2

    Kofia yake iko na chapa ya illuminate

  • @Franckmulaj-Officiel
    @Franckmulaj-Officiel Před 9 měsíci

    Amen amen tuwezi kuogopa kwa maana ule eko ndani yetu nimukuu

  • @gigxjr9754
    @gigxjr9754 Před 9 měsíci

    Aca wakutukane ata YESU kristo alitukanwa, wew Songa Mbele tu

  • @agnes7675
    @agnes7675 Před 8 měsíci

    AMEN

  • @kyalonicholas1707
    @kyalonicholas1707 Před 9 měsíci

    Ndio MTUMISHI wa Mungu waambie washirika wafunguke Kwa hekima ya Mungu

  • @HarrietKaichwumia
    @HarrietKaichwumia Před 2 měsíci

    Harriet nasema hasante kwa kunifungua macho

  • @simonmdune9066
    @simonmdune9066 Před 9 měsíci +1

    Nilikua nalia bt apa tunaanza usiku usiku wa manane 😂😂😂😂nimejikuta nacheka

    • @evalineeghwa3932
      @evalineeghwa3932 Před 9 měsíci

      😂😂😂hii ndio comment nilikuwa naangalia ety usiku WA manane

  • @simonmdune9066
    @simonmdune9066 Před 9 měsíci +2

    Ameeen 🙏😢

  • @user-jf2jc5gm1h
    @user-jf2jc5gm1h Před 9 měsíci

    Barikiwa mtumishi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @adylineamutamwa959
    @adylineamutamwa959 Před 9 měsíci +2

    Na watu wanamiminika kule kama maji Ezekiel Sasa ndo next wataje wote wakristo wafunguke macho

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA Před 9 měsíci +1

    Uko sawa hapo

  • @KahwegeAimee
    @KahwegeAimee Před 9 měsíci

    Mungu akubariki sana

  • @eliaisack156
    @eliaisack156 Před 3 měsíci

    Amen

  • @neemawekab2306
    @neemawekab2306 Před 9 měsíci +3

    Why calling people ng’ombe heti kisa kavaa mtumba mungu azidi kuheremu watu kweli na watu wana cheka 😢

    • @violetnasimiyu8718
      @violetnasimiyu8718 Před 9 měsíci

      Imagine people are laughing 😮 wote wamepotea na wametekwa na wala hapana asemae rudisha.

    • @mariamswedi1140
      @mariamswedi1140 Před 9 měsíci

      wamefungwa ufahamu wao hawawezi kutafakari amecheza na akili zao

  • @annacyril5832
    @annacyril5832 Před 9 měsíci +1

    Next time tutajie wachungaji wa Mungu ndio twende kuswali huko.

  • @amalalmalki3730
    @amalalmalki3730 Před 9 měsíci

    Unasema ukweli mtumishi wa mungu,mm ni mkenya but yale ninaona ni mungu atuhurumie sana

  • @faridashabanifaridashabani5950

    Mungu atusaidie jamani Yani wakenya jamani ata naogopa kwenda kanisani nasema Bora niombe nikiwa home Mungu liangalie taifa la Kenya 🙏😭

    • @KilonzoMutuku-hi6rs
      @KilonzoMutuku-hi6rs Před 8 měsíci

      Usiamini uyu nambii kwanza shiriki kanisa lake tuone nae okoje

  • @ObviousKatuka
    @ObviousKatuka Před 9 měsíci

    Amen Toka 🇿🇲 amen

  • @utawalarecordstudiosnairob5929

    MUNGU wa mbinguni akutie nguvu

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula Před 9 měsíci

    Mimi sina shida na huyo mzee hapo umenena kweli ng'ang'a posrt ni comedian

  • @uwimanadady6563
    @uwimanadady6563 Před 9 měsíci +2

    Iyo kweli ni shetani kabisa

  • @user-jf2jc5gm1h
    @user-jf2jc5gm1h Před 9 měsíci

    Mungu akutie nguvu

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima5281 Před 9 měsíci

    Hosea 4:6

  • @monnymuhia7370
    @monnymuhia7370 Před 9 měsíci +1

    Atakaye hukumu ni Mungu pekeee... tuache kuhukumiana ...mbona commander peke yake ndiye mbaya?

  • @felistuswanjiku7242
    @felistuswanjiku7242 Před 9 měsíci

    Wtz muliacha uchawi kwasa twambie lakini haponikweli

  • @janelulambo3957
    @janelulambo3957 Před 9 měsíci +1

    Obaba wa mbingun mlinde mchugaji pascal,damu yake ilio mwagika pale msalaban ikakufunike wewe na familia yako,na mapigo Yao wanayo kupiga nayo yakashindwe nayakawarudie wenyewe

  • @bettywanjala5630
    @bettywanjala5630 Před 8 měsíci +1

    Aeeeeeeeeeeen

  • @dorcasasia2819
    @dorcasasia2819 Před 9 měsíci

    Ni kweli tunapaswa kujiweka tayari kusoma Neno la Mungu nakuzijaribu hizi roho ziko wazi kabisa sijui ni nini kinacho wafanya kwenda kwa huyu mtu Eee BWANA YESU tupd kushinda Kila jaribu

  • @daudilangat6123
    @daudilangat6123 Před 8 měsíci

    Wwe umetumaa kuàmb8a mapastor katili ukwel tunahuri nawe Hawa wakumia mafuta vitambaa ni feki xana na shida wanawapenda juu wamefunikwa majo

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před 9 měsíci

    Siyo wachungaji tu hata waimbaji wa nyimbo za injili wa kenya mimi huwa siwaelewi mfano ringtone,bahati,willy paul na huyu aliyeimba unipanye uzima anasuka rasta au diledi wanawake wanavaa suruali za kubana sasa najifukilia hivi hawa kweli wameokoka?

  • @CHRISMACHOMBE
    @CHRISMACHOMBE Před 9 měsíci

    Muda wakuomba nakupaza saut

  • @sakakajouf5900
    @sakakajouf5900 Před 9 měsíci +1

    Nikweli mtumishi matusi kwake nikama chakula,,,na anatukana wa2 wazima na bado wanaendelea kwenda hapo

  • @thevoiceofchampions
    @thevoiceofchampions Před 8 měsíci

    JE PASTORS WAGANI NI WA MUNGU APA KENYA PLIZ TUAMBIE TUENDE KWAO

  • @HassanNguta-ue9xw
    @HassanNguta-ue9xw Před 4 měsíci

    Enyewe pastor nganga anakosea

  • @KilonzoMutuku-hi6rs
    @KilonzoMutuku-hi6rs Před 8 měsíci

    Mm ni mshirika wa iyo kanisa, so ww mwanzo atujui unashiriki kanisa gani?? Pia mm ufuata maubiri yako sana, lakini away watumisi wa Mungu unavyo wapiga, pia mm nakushuku sana ww ni nabii muongo

  • @GidionMwaki-rp1oc
    @GidionMwaki-rp1oc Před 9 měsíci

    Amina mtu wa Mungu