NYIMBO HIZI ZA MASHETANI ZA IMBWA MAKANISANI KOTE TAZAMA. EV PASCHAL CASSIAN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 04. 2023
  • #0788871769 #0766998994 #call0688199370 #0688199370 #

Komentáře • 1K

  • @benjaminkapelah7664
    @benjaminkapelah7664 Před rokem +138

    Naomba Kama wewe unamjua Mungu unayemuabudu Mungu wa kweli gonga like

    • @DEBORAHMASANJA-yz3go
      @DEBORAHMASANJA-yz3go Před 3 dny

      Paschal sema baba wewe ni spika ya Mungu sema tu kile Mungu anacho kuelekeza kusema

  • @emmylema5911
    @emmylema5911 Před 11 měsíci +22

    Amen nilikuwa nime miss mahubiri ya Mchungaji Kulola ila sasa naona Mungu anakutumia kukaripia kama Mzee Kulola amen!

  • @godisable2098
    @godisable2098 Před rokem +33

    Mungu nisamee kweli nime imba izo wimbo ni rehemu Yesu Christo

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 Před rokem +22

    Mtumishi wa Mungu hapo pameharibika sana Bado hapaja kemewa vizuri
    Pakemee sana hapo shetani kajificha hapo.BWANA Aendelee kukuhifadhi.

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Před rokem +13

    [Danieli 12:4] Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie muhuri kitabu, hata wakati wa mwisho; wengi wataenda mbio huko na huko, na maarifa yataongezeka.
    Sisi tunaoijua siri hii ya Mungu bado kitambo kidogo kimebakia. Na hayo yoote hayana budi kutokea maana yalishanenwa na manabii, hakuna pa kujitetea siku itakapofika !! Ndani ya makanisa zipo biashara zinaendelea, yoote hayo yalikuwepo hata nyakati za Yesu !! Mkristo unayejielewa pindua meza zao na usimame katika haki nayo haki yako itadhihirika siku ile !! Nakutia moyo mtumishi wa Mungu endelea kuwa sauti nyikani watakaokusikia watazitengeneza njia zao ! BARIKIWA

  • @chamimdesa148
    @chamimdesa148 Před rokem +37

    Kwa asiyemuelewa hawezi elewa kitu, hao waimbaji wengi hawana makanisa maalumu ya kuabudu, pia hawana Wachungaji wa Kiroho wa kuwaongoza. Pia ukifuatilia wengi wameachana na wenzi wao Kwa kisingizio Cha Ufunuo,
    Huyu Mtumishi ni kama KANYE WEST, rapper wa Marekani anayehubiri Injili sana Kwa Sasa, ingawa watu hawamuelewi kama alivyo huyu. Namuombea Mungu aendelee kumtumia nasisi tuendelee kumsaport siyo kutext tu. Be blessed

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 Před rokem +1

      Kanye west sio mtumishi wa Mungu, ni wale wale tu. Anajitukuza yeye sana mpaka anajita ye

    • @chamimdesa148
      @chamimdesa148 Před rokem

      @@dostovan5142 ni kweli siyo Mtumishi wa madhabahuni, but anatangaza the will of God, kuitwa Mtumishi siyo lazima uvae joho, as long as you declare the will of God, ww ni Mtumishi wa Mungu.

    • @yudachelango6824
      @yudachelango6824 Před rokem

      Kanye west ni mhubiri

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Před rokem

      Hayo makanisa bila nyimbo waumini watakuwa hawatowi sadaka

    • @mercymumwi2788
      @mercymumwi2788 Před rokem +1

      ​@@chamimdesa148 Mungu gani

  • @LIGHTNESSISAYAMOLLEL
    @LIGHTNESSISAYAMOLLEL Před 7 dny +5

    Mimi bado sijakuelewa.daudi alimchezea mungu mpaka vazi likachanika.tena nyimbo nzuri tu.na maneno ni ya mungu.ww tafuta sadaka Acha kazi waimbaji isonge mbele.nawao ni watumishi.

    • @marthafransi9868
      @marthafransi9868 Před 6 dny

      Haswaaaaa ahubiri Kwa namna yake sio kuwaponda wenzie mi watu wa hivyo siamini Huduma zao

    • @DjShalom-uw6sk
      @DjShalom-uw6sk Před 4 dny

      Uyu ni pasta mgani anafuraga injili

    • @dennismorogoro6759
      @dennismorogoro6759 Před 3 dny

      Anasema ukweli kabisa na elewa daudi alicheza kwanini sio mungu ni majensi wake

  • @kaburajeanmarie1030
    @kaburajeanmarie1030 Před rokem +23

    Amen, barikiwa mtumishi wa Mungu, nafurahishwa Sana na huduma zako, Mungu akutie nguvu

  • @LebonKulumouche-mv9oh
    @LebonKulumouche-mv9oh Před rokem +9

    Mimi napatikana congo Kinshasa iyo mafundisho ni kweli Baba barikiwa na Mungu kwa iyo kazi nzuri unayo ifanya na kumbuka Muchungaji wangu alipigiwaka na wa yibaji kwa sababu ya kuwaonya ju ya dansi za kukata kiuno na wengine waka jitenga wenyewe

  • @ivanf.lekule5618
    @ivanf.lekule5618 Před rokem +29

    Uvaaji wao tu, utajua sio nyimbo za kumsifu Mungu.

    • @MauridErias
      @MauridErias Před měsícem +3

      Nikweli kabisa Yani me mwenyewe uwa naumia sana kiukweli Wala asemi uwogo kabisa

    • @josephkisinza6243
      @josephkisinza6243 Před 10 dny

      Aami 26:😂😂45

    • @DeboraMwanja-fr6mu
      @DeboraMwanja-fr6mu Před 4 dny

      Kweli kabisa mi nikionaga tu mavazi yao nazima wimbo sisikilizi

  • @felisianliheta3155
    @felisianliheta3155 Před rokem +12

    Nimekuelewa Sana mtumishi kuna kitu umenifungua maana nilikua siju ila Leo umenifungua na nimekuelewa. Mungu akubariki sana

  • @maryupendo8706
    @maryupendo8706 Před rokem +10

    Christina shusho ulianza vizuri,,omba Sana Mungu umalize salama uelekeako siko.

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu Před 10 měsíci +42

    Nashukuru Mungu kumbe si mimi tu nisiyekubali hii nyimbo nazinginezo kumbe ni roho wa Mungu,amina barikiwa mtumishi napata ufahamu kwa mafundisho yako may God keep you for his will

    • @zephaniamanembe6929
      @zephaniamanembe6929 Před 9 měsíci +2

      Ubarikiwe na bwana

    • @user-oz2nd5ol7x
      @user-oz2nd5ol7x Před 3 měsíci +1

      I thought am confused,but now have learned something

    • @neemasanga5273
      @neemasanga5273 Před měsícem +1

      Nitajuwaje mchungaji wakweli

    • @lilianmbeyu
      @lilianmbeyu Před měsícem

      @@neemasanga5273 nikusaidie na vitu kidogo,awe mtumiaji wa neno kwa wingi,haombei watu mabaya hata kama wamekosa bali ni mwenye kuonya kwa upendo,anatumia maombi Sana katika ibada zake,hatumii vitambaa maji chumvi au mafuta mengine inabidi uhusishe maombi ili Mungu ajifunue kwako kma kujua kma anaongozwa na roho au la.

    • @drmahwa8166
      @drmahwa8166 Před měsícem

      Msipo silim hanana usalaama

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 Před rokem +30

    Powerful message, Good preaching 👏

  • @faustinebakulu5892
    @faustinebakulu5892 Před rokem +17

    Isaya 58
    1 Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.

  • @Saidi1581
    @Saidi1581 Před 11 měsíci +8

    Unasema ukweli maana zina mvuto waki shetani atakama hutaki kucheza haijalishi wewe ni Mtumishi lazima utashangaa una anza kucheza unasema ukweli mtupu Mtumishi wa mungu kama wapo watumisha ambao wanatangaza injili ya kweli wewe niwa kwanza Mtumishi wa
    Mungu Pascal cassian ubarikiwe saaana Amen🙏

  • @celineachieng4963
    @celineachieng4963 Před rokem +9

    Kenya hunishangaza ya Kwanza nivile wanavaa wakituimbia hizi nyimbo natuna ignore .ama ukiongea watu wanakuangalia kama ambaye umechanganyikiwa...Sono langu ni, nikiona roho yangu imekataa, sitalazimisha juu wengine Hawaoni..Mungu atusamehe kwasababu na dabodabo nimeongoza Sana but yerusalema roho ilikataa toka mwanzo. Ahsante.

  • @emmanuelmgeni273
    @emmanuelmgeni273 Před rokem +24

    Ujumbe huu umeubaliki moyo wang na nimejifunza sana, barikiwa mtumishi wa MUNGU, na MUNGU azidi kukutumia Kila siku tupate kupona ameni

  • @rosemongi5273
    @rosemongi5273 Před rokem +11

    Ni kweli kabisa leo umenifungua pakubwa sana kwa sababu makanisa yaliyo mengi ndivyo yalivyo hadi roho inauma ukiwatizama watoto wetu wanavyokata viuno kanisani kwa kweli sio sawa 😭😭😭😭

    • @allanmwita2226
      @allanmwita2226 Před rokem

      Rose ni aibu sana watu wanacheza hovyo kanisani huku vijana wamevaa nguo za kubana na wanavyo cheza utafikiri wanaenda kuzimu

  • @user-hs3us5fi3f
    @user-hs3us5fi3f Před 4 měsíci +3

    Shukrani Sana mutu wa Mungu kwa maneno Mazuri Sana baikiwa zaidi katika jina la yesu Kristo aliye hai , Samuel toka Congo DRC/Bukavu

  • @deborahjeremia6856
    @deborahjeremia6856 Před rokem +8

    Sema tupone mtumishi wa Mungu,kweli kuna nyimbo hazibariki hazigusi moyo,ee Mungu utusaidie

  • @GLORYCHOIR1
    @GLORYCHOIR1 Před rokem +7

    Daaaaah 😭😭😭😭😭 YESU atusaidie makanisa Yameingiliwaa sana mapiano, tarabu zinapigwa makanisani uuuh ni hatari sanaa

  • @abelmwebraniammennonite
    @abelmwebraniammennonite Před rokem +6

    This is true,
    Angalia nimekuweka leo juu ya na juu ya falme, ili kung'oa, na kubomoa, na kujaribu, na kuangamiza, ili kupanda na kujenga,
    Go ahead mtumishi, Mungu akutangulie ,tunajifunza kupitia wewe

    • @user-yg5ef1kz3v
      @user-yg5ef1kz3v Před měsícem

      Amina😢

    • @BerthaMmari-kc2bi
      @BerthaMmari-kc2bi Před 29 dny

      Nguo za waimbaji wa kike ni shiiida. Hawapendi kuvaa nguo ndefu wanapenda fupi na ni lazima ziwabane

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem +4

    Wameambiwa wasitaje jina Yesu kwenye nyimbo zao za injili

  • @janeluhinda9955
    @janeluhinda9955 Před rokem +6

    MUNGU akubariki sana na azidi kukutumia ili uzidi kutufundisha maana watu wengi hawajui mitego anayoitumia shetani kupotosha watu.

  • @phenymanga949
    @phenymanga949 Před rokem +4

    Amen mtumishi wa Mungu kwa elimu hiyo ya kiungu.God bless you.sister pheny from mombasa.huwa nakufuatilia Sana kwa mahubiri yako na uimbaji wako.umenitoa mahalo na naonanikielekea mahali

  • @BuzakeYvonne-cc4ge
    @BuzakeYvonne-cc4ge Před 3 dny

    Na kushukuru mutumishi kwa ufafa muzi wa nyimbo za nyimbo ambazo hatuwezi imba mungu akubariki na akuvuviye mengi

  • @beatricemwasunda5027
    @beatricemwasunda5027 Před rokem +4

    Ninakuelewa saana mtumishi Mungu aliyekupa hayo mafunuo azidi KUKUATAMIA,kwa kadri ya kusudi lake🙏

  • @kingabriellairashoboye1489
    @kingabriellairashoboye1489 Před měsícem +3

    Yesu Kristo wa Nazarethi akubariki na Akulinde sana. Hongera. Tunakuombea Yesu Atakuwezesha

  • @annewanyonyi-nb1zh
    @annewanyonyi-nb1zh Před rokem +7

    Asante Mtumishi wa Mungu kwa kunielewesha ili nisijitie doa kuukumbatia kila wimbo pasipo kuelewa mtindo na mfumo wa wimbo
    wenyewe katika mantik ya ukristo.
    Mwenyezi Mungu atupe neema na ufahamu kubainisha ila za shetani makanisani na maovu yote ili tuwe tayari kumpa sifa Bwana wetu Yesu Kristo katika roho na kweli amen.🙏🙏🙏

  • @farajamkundi6664
    @farajamkundi6664 Před měsícem +4

    Zichunguzeni hizo roho kama zinatokana na Mungu au lahh,,maana kuna wakati shetani hujifanya malaika wa nuru ili awapoteze kuzimu watu,tuwe makini sana aisee

  • @yusuphshimei
    @yusuphshimei Před rokem +5

    BWANA akubariki sana na kukuinua zaidi asante kwa ujunbe huu umeondoa pazia lililokuwa limefunika macho yangu kuhusu waimbaji wa nyakati hizi

  • @leticiacharles2662
    @leticiacharles2662 Před rokem +4

    Mungu akulinde mtumishi leo umenijibu maswali yangu,nilikua najiuliza nimziki gani unafaa kwa kumsifu Mungu?cku hizi hadi cngeli, amapiano yanapigwa na wa2 wanafurahia yaan uezi tofautisha nyimbo za kidunia na kiroho.

  • @janetmakari9359
    @janetmakari9359 Před rokem +6

    Nimebarikiwa sana ni hayo maneno yako aki na My God bless you 🙏 Amen hallelujah

  • @kennethirungu6906
    @kennethirungu6906 Před 27 dny +2

    True man of God, may God protect you from the evil and preach the gospel of jesus christ in jesus name.

  • @user-wy1jb6or7n
    @user-wy1jb6or7n Před 16 dny +2

    Asante mtumishi...tulifunzwq haya kanisani😢😢😢😢Yesu Kristo tusaidie😢😢

  • @josephnjogu9341
    @josephnjogu9341 Před rokem +5

    Everything is God and all is God, Satan is the absence of good vice, lets not give that absence prominence and create what we are calling satan. we should love one another and praise God all the time, judging is creating satan.

  • @barakakings
    @barakakings Před rokem +3

    Oooh Ooh My God is Good, everything double double. Ndio kilicho imbwa ila hatusikii vizuri tuna sikia neno kama my God is gudo sababu ya rafudhi ya walio imba,ni wayoruba we mzee.

    • @rockevarist4299
      @rockevarist4299 Před rokem

      Tatizo la kuwa kiroho kuliko Mungu ndo kinacho msumbuwa , alie muweka juge wa wana mziki wa gospel ni nani.

  • @LucyWambui-qr1pw
    @LucyWambui-qr1pw Před 27 dny +1

    Wah Asante sana mtumishi wa mungu kwanzia leo sitasikiliza nyimbo za kidunia tena kama vile diamond rayvanny n zinginezo kwanza hio yerusalemu naipenda sana lakini kwanzia leo nimeacha glory and honor be to God Ameeeen 🙏🙏🙏

  • @MercyKooro-og7xe
    @MercyKooro-og7xe Před 2 dny

    Amen,God bless you pastor,kanisa zimechanganyikiwa,na pastors wengi waingia ushetani si pastor.But God wil deal with them accordingly.

  • @judyogwora7965
    @judyogwora7965 Před měsícem +3

    Hapo ni kweli,hebu angalia mtu ako kwa madhabahu ya Cape,hana hata dhamili ya kujihukumu mwenyewe.ladies with offshoulder dresses in the altar,waah dunia kwisha

  • @LuhekeloMahenge-cm7ji
    @LuhekeloMahenge-cm7ji Před rokem +7

    Ubarikiwe.kaka ki ukweli mzk uliopo saizi makanisan wazee hatuambulii preiz inaimba sifa ambazo wazee tunashidwa hata kuziitikia hizo nyimbo

  • @NeemaMuguya-tr1rf
    @NeemaMuguya-tr1rf Před rokem +6

    Ubarikiwe baba uishi kwaajili ya kazi ya mungu

    • @remitharwezaura9977
      @remitharwezaura9977 Před rokem

      @Neema Baba yetu jina lake linaanza kuandikwa kwa herufi kubwa, iwe mwanzo wa sentesi au katikati mwa sentesi "Mungu"

  • @oswardndihokubwayo80
    @oswardndihokubwayo80 Před rokem +10

    Asante kwa ujumbe huu muhimu wakutukumbusha tusifuate mkumbo wa dunia. Ubarikiwe sana CASSIAN

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před rokem

      @Rosemary Nyagawa muziki wote chanzo chake shetani mbinguni hakuna mpiga vinanda mumepotoshwa vibaya

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před rokem

      @Rosemary Nyagawa sasa lini uloona msikitini munapigwa kaswida si kila siku wanaambiwa ni haramu na husikii msikitini kaswida anayetaka kupiga hukooo atajuana na Allah kama wapiga ngoma wengine ila makanisani mimi hapa nipo jirani na kanisa wewee he hapatoshi uwanja wa disko unapumzika kama hapa

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před rokem

      @Rosemary Nyagawa ni lazima nikukumbushe ukikataa wewe kataa ila hivo na yapo waziii matendo makanisani uchafu mtupuu wanawake uchiii eti yupo kwa mungu ndo mana makanisani zinaa imetawala kila mtu na demu wake na pakipigwa ngoma wanademuka hatarii kila mtu anamchezea mpenzi wake amuone

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před rokem

      @Rosemary Nyagawa hayo mengine mumechomekewa tu mupotee vizuri walotengeneza bibilia unafikiri wajinga wameiteka dunia sasa hivi maovu yao yapo wazi wazi ndo mana hata hao wazungu wanakimbia hio dini ni ushetani mtupu ukiangalia matendo yao unajua hapa hapana kitu hakuna nabii alocheza magoma wote walikuwa wacha mungu ngoma mwenzake shetani na yesu aliyakataa hataki hata kusikia lakini munafurahisha nafsi zenu tu

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před rokem

      @Rosemary Nyagawa Mimi jicho langu naliona eti lipo sawa sawa halitikisiki ndo nikaona lakwako haliposawa wenzenu miili inafukuliwa huko kenya kwa kumchezea shetani kanisa zima kushnehi ushetani mtupu

  • @mkojeragodsonofficial4664

    Kweli hi inadhihirisha shetani anafanya kazi kwa kasi Sana dunia taari imeingia kanisani.
    1> nilikua nafikiria tyu just mawazo Kama Mungu asingemtumia huyu mtumishi kufunua haya Nani mwingine angekua na ujasiri.
    2> Wengine wanadhani ni Kiki au anataka ku trending sawa lakini vipi Kama ni kweli haya anayoyazungumzia itakuaje kwako wewe pamoja na nabiii wako?
    3> Wote tumeshuhudia aliyo yapitia pia na anachozungumza nimefatilia kwa MDA mrefu nakufanya analysis INAWEZEKANA 99% anayoyazungumzia nikweli.
    4> Kuna link Kati ya maisha yake na anachokihubiri siwezi kuelezea kwa kina Sana lakini kazi yake ni kubwa Sana anayoifanya.

    • @irenemuia2718
      @irenemuia2718 Před rokem +2

      Amina,kweli kabisa ,HAPA ni walio na masikio ya kiroho na macho ya kiroho ,huyu ametumwa na MUNGU Wenye wat asikie watageuka ,MUNGU ATUSAIDIE wote ❤

    • @chamimdesa148
      @chamimdesa148 Před rokem +3

      Kwa asiyemuelewa hawezi elewa kitu, hao waimbaji wengi hawana makanisa maalumu ya kuabudu, pia hawana Wachungaji wa Kiroho wa kuwaongoza. Pia ukifuatilia wengi wameachana na wenzi wao Kwa kisingizio Cha Ufunuo,
      Huyu Mtumishi ni kama KANYE WEST, rapper wa Marekani anayehubiri Injili sana Kwa Sasa, ingawa watu hawamuelewi kama alivyo huyu. Namuombea Mungu aendelee kumtumia nasisi tuendelee kumsaport siyo kutext tu. Be blessed

  • @medsonsanga4813
    @medsonsanga4813 Před rokem +3

    Amen gospel. Nyingi za Leo zinaimbwa uharisia wa kimwili hazina ukiroho mtu anachukuaq mstari mmoja kweenye Biblia anaweka misitari kumi ya kidunia yaan maneno yanayo vuma mitaania ndio anaweka. Kwenye Gospel hapo hapo na midundo ya kwaito mapiano kama yote Azidi kutufumbua ubarikiwe sana. 👋👋

  • @bernadetteshukuru9154
    @bernadetteshukuru9154 Před rokem +1

    Amen amen amen sema kweli yote wame sumbuwa watu kwanyimbo zawo za uwongo na kuwapotosha watu kwa ujinga na upumbafu wawo wa mashetani Mungu awa urumiya

  • @nanyamanganga3868
    @nanyamanganga3868 Před rokem +20

    More grace man of God ,,I really love your teaching and your songs be blessed always 🙏🏼

  • @alicejumaa89
    @alicejumaa89 Před rokem +9

    Amen! Amen! Amen!... be blessed man of God.. oooh may God protect you bcoz this must lead to a strong spiritual and physical war.. but Jesus Christ is our protector.i get you from Kenya.

    • @faithturere9928
      @faithturere9928 Před rokem +1

      Amen. Pastor be blessed

    • @zephaniahmuhanda8158
      @zephaniahmuhanda8158 Před rokem

      Pastor you are right... I been asking myself why is it that after this heavy dance people sleep off when the preaching begins...? Kumbe hii ndio sababu

  • @thomasrobi44
    @thomasrobi44 Před měsícem +1

    Asante kwa ujumbe mzuri,umebariki moyo wangu, Mungu wangu tusaidie 🙏

  • @CatherineSteven-hb3yf

    Amen mungu azidi kukutunza kwaajili ya watanzania uzidi kutukumbusha jinsi ya kumtumikia mungu

  • @PK_wa_ndambuki
    @PK_wa_ndambuki Před rokem +4

    Amen mtumishi hapo ni kweli watu waache kutingisha kiuno kanisani

  • @LoiceWangila-fv5cr
    @LoiceWangila-fv5cr Před rokem +3

    Amen brother, nakubaliana nawe asilimia mia Moja. Kupitia kwa mafundisho haya naenda mbali.

  • @OscarFrancis-mx7iy
    @OscarFrancis-mx7iy Před 5 dny

    Wao wataimba kwa uwongo ila sisi tutaimba kwa roho wa kweliiii na sound tutatumia izoizo na hivo vyombo vya kutengeza music ni hao hao wametengeneza.....hata izo nguo ulizo vaa wametengeza wao kama vipi toa hizo nguo utembee uchi ni hivo viatu utembee pekupeku maana ni za kishetani hiyo alama ya (v )hapo tai inapo kaa ni alama ya kishetani...wafundishe watu maarifa ya kupambana na shetani wazidi kumjua mungu..sound za music haziusiani na mungu..mungu anaangalia matendo ingekuwa mungu anaangalia hivi vitu hata utube tusinge kuona ndugu huu ni mtandao wa kuzimu...huna maaaaaaarifa kabisaaaa

  • @TravisNgondo
    @TravisNgondo Před měsícem +2

    Nakukubari sana mtumishi wa mungu paschar Cassian, uko sahihi,

  • @josephnyakundi2196
    @josephnyakundi2196 Před rokem +11

    Very true the church has fallen Messiah is coming very soon 😢

  • @JumaFupi-lh6cr
    @JumaFupi-lh6cr Před rokem +5

    MUNGU azidi kukuinua mtumishi
    Amen

  • @ahaziyothambahalaye5858
    @ahaziyothambahalaye5858 Před 2 měsíci +1

    ubalikiwe sana mwijilisti mungu akupe nguvu uzidi kuwaambia haoo wapiga kristo hasa wanaijifanya waimbaj wa nyimbo za injiri na manabi wa hovyo

  • @selinageogre2881
    @selinageogre2881 Před 5 měsíci +1

    Amina sana tunamshukuru
    Mungu aliekutuma mjumbe wake tupone Kwa jina la
    Yesu

  • @pavlovbienfait6940
    @pavlovbienfait6940 Před rokem +4

    God bless you my big brother Pastor 🔥🔥🇨🇩🇨🇩👏

  • @Raphaelbless
    @Raphaelbless Před rokem +4

    Mtumishi wangu tuko nyuma yako kwa maombi

  • @user-ul7xj3fp7w
    @user-ul7xj3fp7w Před 3 měsíci +1

    Amen barikiwa mwanawa Mungu asante sana Nami eee Mungu anisaidie nimwabudu kwa roho na kweli nimaombi yangu

  • @user-servodeJesus
    @user-servodeJesus Před 3 měsíci +1

    Ameeeen mtumishi,shangwe kwa Yesu kristo,nakupata kutoka Mozambique

  • @janeluhinda9955
    @janeluhinda9955 Před rokem +4

    Huwo wimbo wa kwanza wanaimba "my god is good" wakimaanisha; mungu wangu ni mzuri (mungu wake yenye anayeimba). Neno "good" (gud) wanalitamka gudo kwa lafudhi za watu wa magharibi mfano Nigeria.

    • @paulinakiswaga7505
      @paulinakiswaga7505 Před rokem

      Shida sio maneno ya wimbo shida ni beat ya wimbo na namna wanavyocheza beat la wimbo huo nila nyimbo za kidunia na jinsi wanavyo cheza sio waki Mungu cjui kama nimejaribu kukuelewesha

    • @everlynenanzala576
      @everlynenanzala576 Před 9 dny

      😂😂 watu wamebaki kutafuta likes u tube

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před rokem +21

    Amen.
    Mungu akubariki sana. Watu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa Hosea 4 :6..
    Mimi sasa hivi nasikiliza nyimbo za kizamani zile za mapigo ulyankulu na waimbaji wa zamani sio hawa wanaocheza kama magenge ya WCB na wenzio.

    • @billionairef897
      @billionairef897 Před rokem +2

      Hata na mimi piya

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Před rokem +2

      Amosi 5
      23 Niondoleeni kelele za nyimbo zenu;
      kwa maana sitaki kuzisikia sauti za
      vinanda vyenu
      Mungu hataki kelele msikilize kabisa sawa ehee

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před rokem +1

      Nyimbo zipo sana tu
      Ila wapo wachache ambao wako nje ya line
      Km una Roho Mtakatifu utajua tu wala hupati shida

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Před rokem

      @@christinewomanoffaith5479 Hosea 9
      7 Siku za kupatilizwa zimekuja, siku
      za kulipa zimefika; Israeli atayajua
      hayo; huyo nabii ni mpumbavu, huyo
      mtu mwenye roho ana wazimu; kwa
      sababu ya wingi wa uovu wako, na
      kwa sababu uadui umekuwa mkubwa
      Biblia inasema huyo mtu mwenye roho ana wazimu kwa sababu ya wingi wa uwovu wake sasa kila kitu unatudanganya unasema kiroho unataka tuwe na wazimu

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před rokem

      @@christinewomanoffaith5479 mungu wa kweli hapendi nyimbo

  • @hasanygodda9242
    @hasanygodda9242 Před rokem +2

    Barikiwa mtumishi ,,,Asante yesu masikio yangu hakika yamesikia 💪💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @eunicepilly802
    @eunicepilly802 Před rokem +2

    Asante sana Mtumishi wa MUNGU kwa ujumbe huu Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi utujulishe mengi tu siyo yajua

  • @bonifacemuthui5124
    @bonifacemuthui5124 Před rokem +12

    Which is oldest...gospel dance or secular dance? Who is copying who? Dance for your God as much as you can mindset is different. Personal thinking and God's wisdom are different. Sifu like Daniel, I don't see anything wrong or evil with those songs.

  • @alainmuhigirwa5151
    @alainmuhigirwa5151 Před rokem +4

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana. 100% right. 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦🇿🇦

  • @nancyisoyi8164
    @nancyisoyi8164 Před 10 měsíci +1

    AMEN AMEN AMEN ASANTE SANA KWA KUTUELIMISHA MUNGU AKUONGEZEE NGUVU MAARIFA UFAHAMU NA REHEMA ZAKE ZIZIDI KUKUFUNIKA🙏🏾

  • @Pascalnday-y9l
    @Pascalnday-y9l Před 4 dny

    Pasteur wangu Mungu akuwezeshe nanguvu yaku tuhubiri tupate kusikiya nakuacha

  • @AdmiroCristiano-xe8bj
    @AdmiroCristiano-xe8bj Před rokem +15

    God bless you my young brother 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @hillarymaende9872
      @hillarymaende9872 Před rokem

      Amen Amen 🙏 mung u azidi kukulinda na kukupigania kwa maana ulimwengu ulimo wakati wa sasa ni ulinwengu wafita,mungu akufunije man of God asanti kwa kutuelimisha ambayo hatujuwi

    • @kennethngoleka
      @kennethngoleka Před rokem

      Mimi sioni tatizo wa hizo nyimbo,ninaimani sisi binaadam tunatokea ktk maeneo tofauti,ukitaka kumvuta aliyopo Toka ktk mashetani mchote kupitia njia aliyopo na umtie ktk kundi lako kwa neno la uzima la beans,atabadilika tu,njia za kufikisha neno la bwana.

  • @happinesskwamboka1540
    @happinesskwamboka1540 Před rokem +2

    Powerful and inspiring message my brother,may the Lord protect you and continue to lift you up to continue saying the truth,people will never like the truth they will always reject the truth,God bless you my brother 🙏🙏🙏

  • @RebeccaAsha-cc9vw
    @RebeccaAsha-cc9vw Před rokem +2

    Amen pastor ni true kabisa,mungu atusamehe kabisa

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115

    Amina..Mungu akuinue ili iendelee kufungua kweli Watu waokoke

  • @mor177
    @mor177 Před rokem +3

    God have mercy on us... We have gone out your ways. May God Forgive us! B blessed pastor

  • @GiftMpundu-sy9cb
    @GiftMpundu-sy9cb Před rokem +3

    My Almighty God please have mercy on me , for I was no aware to risen from this kind of songs

  • @zaituniomollo
    @zaituniomollo Před 11 měsíci +1

    Amen amen endelea kusema ukweli ili tupone na kumgeukia Mungu Hakuna mchungaji anaependa kunena ukweli maanake wote tumeekewa giza mbele yetu naye shetani Haruno

  • @ELIASOINGEI-ir2ch
    @ELIASOINGEI-ir2ch Před rokem +2

    Amen mtumishi BWANA YESU ubarikiwe mno.

  • @zipporahshore9688
    @zipporahshore9688 Před rokem +5

    Amen be blessed man of God

  • @suvenkanyolo6104
    @suvenkanyolo6104 Před rokem +3

    Umbarikiwe sana kabisa Mtumishi wa Mungu❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @cecilia.godfrey
    @cecilia.godfrey Před rokem +2

    Aminaaaaa mtumishi mungu akubarik uzidi kutufunza zaidi

  • @stamilinyakunga
    @stamilinyakunga Před rokem +2

    Ahsante mtumishi kwa mafundisho mazuri nimepona.

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 Před rokem +6

    Very true story...watching from arabs

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 Před rokem +10

    Powerful message God bless you and protect you

  • @DhekanaNyiro-b7k
    @DhekanaNyiro-b7k Před 11 dny

    ASante sana kwa maubiri na Mungu atusamehe sana kwani tunaimba hii wimbo pasipo ku jua ni dugu toka Congo Drc.

  • @elisubiraelica3916
    @elisubiraelica3916 Před rokem

    Eee Bwana yesu nisamehe mmi nimecheza Sana nyimbo hizo Ata kanisani zimejaa,, nasikia mpka kutetemeka roho yangu,, Ila namtukuza Mungu aliyejuu ya mbingu zote anayetupenda hataki tupotee ktk upotovu uliojificha anaufichua uovu wa shetani,,,

  • @BenjaminGitonga-tj1qv
    @BenjaminGitonga-tj1qv Před rokem +4

    True man of God,l agree

  • @hannahmaina-hb4pj
    @hannahmaina-hb4pj Před rokem +3

    True man of God. Be blessed

  • @HareneKipande
    @HareneKipande Před rokem +1

    Mungu akubariki sana sema kweli japo nigumu kuamini lakini Mungu akulinde

  • @judithbett420
    @judithbett420 Před 5 dny

    Asante sana mtumishi wa Mungu kwa mafunzo mazuri sana.

  • @MariamPastorJane
    @MariamPastorJane Před rokem +12

    Go on my brother your doing good job for this generation

    • @perfectpixelsstudio3603
      @perfectpixelsstudio3603 Před rokem

      Tatizo mnamhubiri Sana shetani nani alikwambia kukata mauno ni dhambi 😅😅😅😅😅😅😅

  • @mwanzavictor7551
    @mwanzavictor7551 Před rokem +6

    Keep it up and I wish you more of God's grace in Jesus Christ of Nazareth might name.

  • @AmuriEzekiel-bb1kc
    @AmuriEzekiel-bb1kc Před 4 měsíci

    AMEN ubarikiwe sana Mtumishi wa BWANA YESU KRISTO Asante sana kwa kutuambia ukweli uzidishiwe mara dufu .

  • @rozariaexavery7159
    @rozariaexavery7159 Před 24 dny +1

    Tumshukuru Mungu Kwa kumtuma mtumishi wake kutufungua🙏

  • @mikidadimpagama
    @mikidadimpagama Před rokem +9

    Hallelujah. Amen

  • @williumteete2626
    @williumteete2626 Před rokem +8

    Don't judge. Yaache ngano na magugu yakue pamoja. Sijasema mimi, hiyo biblia unayoshika ndio imesema hivyo. Biblia hiyo pia unayoshika inasema mtashangaa siku ya Mwisho makahaba watawatangulia mbele ya kiti cha enzi.
    Lakini pia tujiulize katika hali ya kawaida, dancing style ya mbinguni nani anaijua? Nani amewahi kuwaona huko mbinguni wanachezaje? Mziki wa shetani ni upi?
    Natamani watumishi wajikite kwenye kuwasaidia watu kwa namna yoyote wamjue Mungu.

    • @manasendubula-zn8fl
      @manasendubula-zn8fl Před rokem +1

      Mziki wa leo makanisani na Wearing style pia usisahau kaka imekuwa balaa. Ukisubiri issue ya makahaba kwenda mbinguni 🤔 hiyo ni sawa, lkn ukiyafanya kwa kujua utakuwa kwenye risk kubwa.

    • @lilianjoseph9256
      @lilianjoseph9256 Před rokem +2

      Kadhalika Roho nae hutusaidia udhaifu wetu....Roho mtakatifu akiwa ndani ako anakuongoza kila kitu

    • @manasendubula-zn8fl
      @manasendubula-zn8fl Před rokem +1

      @@lilianjoseph9256 Lakini pia Roho mtakatifu anakaa mahali safi, unaweza fikiri upo rohoni kumbe ulishaanguka zamani. Mungu atusaidie kwa sababu tumebaki tunaabudu kwa mazoea. Vilivyokuwa vinakatazwa makanisani sasa hivi ndivyo vimeshika hatamu. Watu wanasema hii ni kawaida .... Mazoea🤔😭

    • @lilianjoseph9256
      @lilianjoseph9256 Před rokem +2

      Yes kaka uko sahihi mm nlimuelekexa kaka apo juu kwamba tutajuaje styl ya kucheza ya mbingun jib n kwamba Roho Mtakafitu anatufunulia mambo yote ila shida n kwamba watu now wanajiongoza wenyew na sio Roho Mtakatifu.....pia mafundsho yamekua adimu makanisani ndo maana tunakundi kubwa la watu wanaomtaja Mungu na hawamjui! Na makansani wanaingia na kuendeleza dhambi pasipo kujua wapo kifungoni

    • @nellynaire8771
      @nellynaire8771 Před rokem

      True...
      Watumishi as much as they know the difference. Mtuambie msiki ya kishetani na pia ya kiungu... Isituachee tuu ka tumechanganyikiwa...

  • @wiganmamboleo5341
    @wiganmamboleo5341 Před rokem +1

    Asante pastor nimekuelewa katika SOMO hili Mungu akubaliki sana Ila pia ninalo swali kuhusiana an Hilo la nyimbo nakubali ana nalo nkwa asilimia 100% Lakin swali je na Upande wa kucheza tuko Sawa maana kuna style nyingi zimeingia katika kucheza watu wakisema tunamchezeay Mungu alie hai je hapo je tunaenenda Sawa ama kunamakosa??

  • @judymoraa8618
    @judymoraa8618 Před 11 dny

    Halleluuuuujah🔥sisemi kitu ila mungu akubariki zaidi na zaidi mtumishi for opening my eyes wauh👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏.

  • @neemakweli461
    @neemakweli461 Před rokem +3

    Ubarikiwe na bwana YESU