[Danieli 12:4] Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie muhuri kitabu, hata wakati wa mwisho; wengi wataenda mbio huko na huko, na maarifa yataongezeka. Sisi tunaoijua siri hii ya Mungu bado kitambo kidogo kimebakia. Na hayo yoote hayana budi kutokea maana yalishanenwa na manabii, hakuna pa kujitetea siku itakapofika !! Ndani ya makanisa zipo biashara zinaendelea, yoote hayo yalikuwepo hata nyakati za Yesu !! Mkristo unayejielewa pindua meza zao na usimame katika haki nayo haki yako itadhihirika siku ile !! Nakutia moyo mtumishi wa Mungu endelea kuwa sauti nyikani watakaokusikia watazitengeneza njia zao ! BARIKIWA
Kwa asiyemuelewa hawezi elewa kitu, hao waimbaji wengi hawana makanisa maalumu ya kuabudu, pia hawana Wachungaji wa Kiroho wa kuwaongoza. Pia ukifuatilia wengi wameachana na wenzi wao Kwa kisingizio Cha Ufunuo, Huyu Mtumishi ni kama KANYE WEST, rapper wa Marekani anayehubiri Injili sana Kwa Sasa, ingawa watu hawamuelewi kama alivyo huyu. Namuombea Mungu aendelee kumtumia nasisi tuendelee kumsaport siyo kutext tu. Be blessed
@@dostovan5142 ni kweli siyo Mtumishi wa madhabahuni, but anatangaza the will of God, kuitwa Mtumishi siyo lazima uvae joho, as long as you declare the will of God, ww ni Mtumishi wa Mungu.
Mimi bado sijakuelewa.daudi alimchezea mungu mpaka vazi likachanika.tena nyimbo nzuri tu.na maneno ni ya mungu.ww tafuta sadaka Acha kazi waimbaji isonge mbele.nawao ni watumishi.
Mimi napatikana congo Kinshasa iyo mafundisho ni kweli Baba barikiwa na Mungu kwa iyo kazi nzuri unayo ifanya na kumbuka Muchungaji wangu alipigiwaka na wa yibaji kwa sababu ya kuwaonya ju ya dansi za kukata kiuno na wengine waka jitenga wenyewe
Nashukuru Mungu kumbe si mimi tu nisiyekubali hii nyimbo nazinginezo kumbe ni roho wa Mungu,amina barikiwa mtumishi napata ufahamu kwa mafundisho yako may God keep you for his will
@@neemasanga5273 nikusaidie na vitu kidogo,awe mtumiaji wa neno kwa wingi,haombei watu mabaya hata kama wamekosa bali ni mwenye kuonya kwa upendo,anatumia maombi Sana katika ibada zake,hatumii vitambaa maji chumvi au mafuta mengine inabidi uhusishe maombi ili Mungu ajifunue kwako kma kujua kma anaongozwa na roho au la.
Unasema ukweli maana zina mvuto waki shetani atakama hutaki kucheza haijalishi wewe ni Mtumishi lazima utashangaa una anza kucheza unasema ukweli mtupu Mtumishi wa mungu kama wapo watumisha ambao wanatangaza injili ya kweli wewe niwa kwanza Mtumishi wa Mungu Pascal cassian ubarikiwe saaana Amen🙏
Kenya hunishangaza ya Kwanza nivile wanavaa wakituimbia hizi nyimbo natuna ignore .ama ukiongea watu wanakuangalia kama ambaye umechanganyikiwa...Sono langu ni, nikiona roho yangu imekataa, sitalazimisha juu wengine Hawaoni..Mungu atusamehe kwasababu na dabodabo nimeongoza Sana but yerusalema roho ilikataa toka mwanzo. Ahsante.
Ni kweli kabisa leo umenifungua pakubwa sana kwa sababu makanisa yaliyo mengi ndivyo yalivyo hadi roho inauma ukiwatizama watoto wetu wanavyokata viuno kanisani kwa kweli sio sawa 😭😭😭😭
This is true, Angalia nimekuweka leo juu ya na juu ya falme, ili kung'oa, na kubomoa, na kujaribu, na kuangamiza, ili kupanda na kujenga, Go ahead mtumishi, Mungu akutangulie ,tunajifunza kupitia wewe
Amen mtumishi wa Mungu kwa elimu hiyo ya kiungu.God bless you.sister pheny from mombasa.huwa nakufuatilia Sana kwa mahubiri yako na uimbaji wako.umenitoa mahalo na naonanikielekea mahali
Asante Mtumishi wa Mungu kwa kunielewesha ili nisijitie doa kuukumbatia kila wimbo pasipo kuelewa mtindo na mfumo wa wimbo wenyewe katika mantik ya ukristo. Mwenyezi Mungu atupe neema na ufahamu kubainisha ila za shetani makanisani na maovu yote ili tuwe tayari kumpa sifa Bwana wetu Yesu Kristo katika roho na kweli amen.🙏🙏🙏
Zichunguzeni hizo roho kama zinatokana na Mungu au lahh,,maana kuna wakati shetani hujifanya malaika wa nuru ili awapoteze kuzimu watu,tuwe makini sana aisee
Mungu akulinde mtumishi leo umenijibu maswali yangu,nilikua najiuliza nimziki gani unafaa kwa kumsifu Mungu?cku hizi hadi cngeli, amapiano yanapigwa na wa2 wanafurahia yaan uezi tofautisha nyimbo za kidunia na kiroho.
Everything is God and all is God, Satan is the absence of good vice, lets not give that absence prominence and create what we are calling satan. we should love one another and praise God all the time, judging is creating satan.
Oooh Ooh My God is Good, everything double double. Ndio kilicho imbwa ila hatusikii vizuri tuna sikia neno kama my God is gudo sababu ya rafudhi ya walio imba,ni wayoruba we mzee.
Wah Asante sana mtumishi wa mungu kwanzia leo sitasikiliza nyimbo za kidunia tena kama vile diamond rayvanny n zinginezo kwanza hio yerusalemu naipenda sana lakini kwanzia leo nimeacha glory and honor be to God Ameeeen 🙏🙏🙏
Hapo ni kweli,hebu angalia mtu ako kwa madhabahu ya Cape,hana hata dhamili ya kujihukumu mwenyewe.ladies with offshoulder dresses in the altar,waah dunia kwisha
@Rosemary Nyagawa sasa lini uloona msikitini munapigwa kaswida si kila siku wanaambiwa ni haramu na husikii msikitini kaswida anayetaka kupiga hukooo atajuana na Allah kama wapiga ngoma wengine ila makanisani mimi hapa nipo jirani na kanisa wewee he hapatoshi uwanja wa disko unapumzika kama hapa
@Rosemary Nyagawa ni lazima nikukumbushe ukikataa wewe kataa ila hivo na yapo waziii matendo makanisani uchafu mtupuu wanawake uchiii eti yupo kwa mungu ndo mana makanisani zinaa imetawala kila mtu na demu wake na pakipigwa ngoma wanademuka hatarii kila mtu anamchezea mpenzi wake amuone
@Rosemary Nyagawa hayo mengine mumechomekewa tu mupotee vizuri walotengeneza bibilia unafikiri wajinga wameiteka dunia sasa hivi maovu yao yapo wazi wazi ndo mana hata hao wazungu wanakimbia hio dini ni ushetani mtupu ukiangalia matendo yao unajua hapa hapana kitu hakuna nabii alocheza magoma wote walikuwa wacha mungu ngoma mwenzake shetani na yesu aliyakataa hataki hata kusikia lakini munafurahisha nafsi zenu tu
@Rosemary Nyagawa Mimi jicho langu naliona eti lipo sawa sawa halitikisiki ndo nikaona lakwako haliposawa wenzenu miili inafukuliwa huko kenya kwa kumchezea shetani kanisa zima kushnehi ushetani mtupu
Kweli hi inadhihirisha shetani anafanya kazi kwa kasi Sana dunia taari imeingia kanisani. 1> nilikua nafikiria tyu just mawazo Kama Mungu asingemtumia huyu mtumishi kufunua haya Nani mwingine angekua na ujasiri. 2> Wengine wanadhani ni Kiki au anataka ku trending sawa lakini vipi Kama ni kweli haya anayoyazungumzia itakuaje kwako wewe pamoja na nabiii wako? 3> Wote tumeshuhudia aliyo yapitia pia na anachozungumza nimefatilia kwa MDA mrefu nakufanya analysis INAWEZEKANA 99% anayoyazungumzia nikweli. 4> Kuna link Kati ya maisha yake na anachokihubiri siwezi kuelezea kwa kina Sana lakini kazi yake ni kubwa Sana anayoifanya.
Kwa asiyemuelewa hawezi elewa kitu, hao waimbaji wengi hawana makanisa maalumu ya kuabudu, pia hawana Wachungaji wa Kiroho wa kuwaongoza. Pia ukifuatilia wengi wameachana na wenzi wao Kwa kisingizio Cha Ufunuo, Huyu Mtumishi ni kama KANYE WEST, rapper wa Marekani anayehubiri Injili sana Kwa Sasa, ingawa watu hawamuelewi kama alivyo huyu. Namuombea Mungu aendelee kumtumia nasisi tuendelee kumsaport siyo kutext tu. Be blessed
Amen gospel. Nyingi za Leo zinaimbwa uharisia wa kimwili hazina ukiroho mtu anachukuaq mstari mmoja kweenye Biblia anaweka misitari kumi ya kidunia yaan maneno yanayo vuma mitaania ndio anaweka. Kwenye Gospel hapo hapo na midundo ya kwaito mapiano kama yote Azidi kutufumbua ubarikiwe sana. 👋👋
Amen amen amen sema kweli yote wame sumbuwa watu kwanyimbo zawo za uwongo na kuwapotosha watu kwa ujinga na upumbafu wawo wa mashetani Mungu awa urumiya
Amen! Amen! Amen!... be blessed man of God.. oooh may God protect you bcoz this must lead to a strong spiritual and physical war.. but Jesus Christ is our protector.i get you from Kenya.
Pastor you are right... I been asking myself why is it that after this heavy dance people sleep off when the preaching begins...? Kumbe hii ndio sababu
Wao wataimba kwa uwongo ila sisi tutaimba kwa roho wa kweliiii na sound tutatumia izoizo na hivo vyombo vya kutengeza music ni hao hao wametengeneza.....hata izo nguo ulizo vaa wametengeza wao kama vipi toa hizo nguo utembee uchi ni hivo viatu utembee pekupeku maana ni za kishetani hiyo alama ya (v )hapo tai inapo kaa ni alama ya kishetani...wafundishe watu maarifa ya kupambana na shetani wazidi kumjua mungu..sound za music haziusiani na mungu..mungu anaangalia matendo ingekuwa mungu anaangalia hivi vitu hata utube tusinge kuona ndugu huu ni mtandao wa kuzimu...huna maaaaaaarifa kabisaaaa
Huwo wimbo wa kwanza wanaimba "my god is good" wakimaanisha; mungu wangu ni mzuri (mungu wake yenye anayeimba). Neno "good" (gud) wanalitamka gudo kwa lafudhi za watu wa magharibi mfano Nigeria.
Shida sio maneno ya wimbo shida ni beat ya wimbo na namna wanavyocheza beat la wimbo huo nila nyimbo za kidunia na jinsi wanavyo cheza sio waki Mungu cjui kama nimejaribu kukuelewesha
Amen. Mungu akubariki sana. Watu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa Hosea 4 :6.. Mimi sasa hivi nasikiliza nyimbo za kizamani zile za mapigo ulyankulu na waimbaji wa zamani sio hawa wanaocheza kama magenge ya WCB na wenzio.
@@christinewomanoffaith5479 Hosea 9 7 Siku za kupatilizwa zimekuja, siku za kulipa zimefika; Israeli atayajua hayo; huyo nabii ni mpumbavu, huyo mtu mwenye roho ana wazimu; kwa sababu ya wingi wa uovu wako, na kwa sababu uadui umekuwa mkubwa Biblia inasema huyo mtu mwenye roho ana wazimu kwa sababu ya wingi wa uwovu wake sasa kila kitu unatudanganya unasema kiroho unataka tuwe na wazimu
Which is oldest...gospel dance or secular dance? Who is copying who? Dance for your God as much as you can mindset is different. Personal thinking and God's wisdom are different. Sifu like Daniel, I don't see anything wrong or evil with those songs.
Amen Amen 🙏 mung u azidi kukulinda na kukupigania kwa maana ulimwengu ulimo wakati wa sasa ni ulinwengu wafita,mungu akufunije man of God asanti kwa kutuelimisha ambayo hatujuwi
Mimi sioni tatizo wa hizo nyimbo,ninaimani sisi binaadam tunatokea ktk maeneo tofauti,ukitaka kumvuta aliyopo Toka ktk mashetani mchote kupitia njia aliyopo na umtie ktk kundi lako kwa neno la uzima la beans,atabadilika tu,njia za kufikisha neno la bwana.
Powerful and inspiring message my brother,may the Lord protect you and continue to lift you up to continue saying the truth,people will never like the truth they will always reject the truth,God bless you my brother 🙏🙏🙏
Amen amen endelea kusema ukweli ili tupone na kumgeukia Mungu Hakuna mchungaji anaependa kunena ukweli maanake wote tumeekewa giza mbele yetu naye shetani Haruno
Eee Bwana yesu nisamehe mmi nimecheza Sana nyimbo hizo Ata kanisani zimejaa,, nasikia mpka kutetemeka roho yangu,, Ila namtukuza Mungu aliyejuu ya mbingu zote anayetupenda hataki tupotee ktk upotovu uliojificha anaufichua uovu wa shetani,,,
Don't judge. Yaache ngano na magugu yakue pamoja. Sijasema mimi, hiyo biblia unayoshika ndio imesema hivyo. Biblia hiyo pia unayoshika inasema mtashangaa siku ya Mwisho makahaba watawatangulia mbele ya kiti cha enzi. Lakini pia tujiulize katika hali ya kawaida, dancing style ya mbinguni nani anaijua? Nani amewahi kuwaona huko mbinguni wanachezaje? Mziki wa shetani ni upi? Natamani watumishi wajikite kwenye kuwasaidia watu kwa namna yoyote wamjue Mungu.
Mziki wa leo makanisani na Wearing style pia usisahau kaka imekuwa balaa. Ukisubiri issue ya makahaba kwenda mbinguni 🤔 hiyo ni sawa, lkn ukiyafanya kwa kujua utakuwa kwenye risk kubwa.
@@lilianjoseph9256 Lakini pia Roho mtakatifu anakaa mahali safi, unaweza fikiri upo rohoni kumbe ulishaanguka zamani. Mungu atusaidie kwa sababu tumebaki tunaabudu kwa mazoea. Vilivyokuwa vinakatazwa makanisani sasa hivi ndivyo vimeshika hatamu. Watu wanasema hii ni kawaida .... Mazoea🤔😭
Yes kaka uko sahihi mm nlimuelekexa kaka apo juu kwamba tutajuaje styl ya kucheza ya mbingun jib n kwamba Roho Mtakafitu anatufunulia mambo yote ila shida n kwamba watu now wanajiongoza wenyew na sio Roho Mtakatifu.....pia mafundsho yamekua adimu makanisani ndo maana tunakundi kubwa la watu wanaomtaja Mungu na hawamjui! Na makansani wanaingia na kuendeleza dhambi pasipo kujua wapo kifungoni
Asante pastor nimekuelewa katika SOMO hili Mungu akubaliki sana Ila pia ninalo swali kuhusiana an Hilo la nyimbo nakubali ana nalo nkwa asilimia 100% Lakin swali je na Upande wa kucheza tuko Sawa maana kuna style nyingi zimeingia katika kucheza watu wakisema tunamchezeay Mungu alie hai je hapo je tunaenenda Sawa ama kunamakosa??
Naomba Kama wewe unamjua Mungu unayemuabudu Mungu wa kweli gonga like
Paschal sema baba wewe ni spika ya Mungu sema tu kile Mungu anacho kuelekeza kusema
Amen nilikuwa nime miss mahubiri ya Mchungaji Kulola ila sasa naona Mungu anakutumia kukaripia kama Mzee Kulola amen!
Mungu nisamee kweli nime imba izo wimbo ni rehemu Yesu Christo
Mwenyezi mungu atu rehemu maana tulinaswa kwenye mitego za kishetani
Nimeelewa Mtumishi wa MUNGU
Mtumishi wa Mungu hapo pameharibika sana Bado hapaja kemewa vizuri
Pakemee sana hapo shetani kajificha hapo.BWANA Aendelee kukuhifadhi.
Amen
[Danieli 12:4] Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie muhuri kitabu, hata wakati wa mwisho; wengi wataenda mbio huko na huko, na maarifa yataongezeka.
Sisi tunaoijua siri hii ya Mungu bado kitambo kidogo kimebakia. Na hayo yoote hayana budi kutokea maana yalishanenwa na manabii, hakuna pa kujitetea siku itakapofika !! Ndani ya makanisa zipo biashara zinaendelea, yoote hayo yalikuwepo hata nyakati za Yesu !! Mkristo unayejielewa pindua meza zao na usimame katika haki nayo haki yako itadhihirika siku ile !! Nakutia moyo mtumishi wa Mungu endelea kuwa sauti nyikani watakaokusikia watazitengeneza njia zao ! BARIKIWA
Kwa asiyemuelewa hawezi elewa kitu, hao waimbaji wengi hawana makanisa maalumu ya kuabudu, pia hawana Wachungaji wa Kiroho wa kuwaongoza. Pia ukifuatilia wengi wameachana na wenzi wao Kwa kisingizio Cha Ufunuo,
Huyu Mtumishi ni kama KANYE WEST, rapper wa Marekani anayehubiri Injili sana Kwa Sasa, ingawa watu hawamuelewi kama alivyo huyu. Namuombea Mungu aendelee kumtumia nasisi tuendelee kumsaport siyo kutext tu. Be blessed
Kanye west sio mtumishi wa Mungu, ni wale wale tu. Anajitukuza yeye sana mpaka anajita ye
@@dostovan5142 ni kweli siyo Mtumishi wa madhabahuni, but anatangaza the will of God, kuitwa Mtumishi siyo lazima uvae joho, as long as you declare the will of God, ww ni Mtumishi wa Mungu.
Kanye west ni mhubiri
Hayo makanisa bila nyimbo waumini watakuwa hawatowi sadaka
@@chamimdesa148 Mungu gani
Mimi bado sijakuelewa.daudi alimchezea mungu mpaka vazi likachanika.tena nyimbo nzuri tu.na maneno ni ya mungu.ww tafuta sadaka Acha kazi waimbaji isonge mbele.nawao ni watumishi.
Haswaaaaa ahubiri Kwa namna yake sio kuwaponda wenzie mi watu wa hivyo siamini Huduma zao
Uyu ni pasta mgani anafuraga injili
Anasema ukweli kabisa na elewa daudi alicheza kwanini sio mungu ni majensi wake
Amen, barikiwa mtumishi wa Mungu, nafurahishwa Sana na huduma zako, Mungu akutie nguvu
Mimi napatikana congo Kinshasa iyo mafundisho ni kweli Baba barikiwa na Mungu kwa iyo kazi nzuri unayo ifanya na kumbuka Muchungaji wangu alipigiwaka na wa yibaji kwa sababu ya kuwaonya ju ya dansi za kukata kiuno na wengine waka jitenga wenyewe
Uvaaji wao tu, utajua sio nyimbo za kumsifu Mungu.
Nikweli kabisa Yani me mwenyewe uwa naumia sana kiukweli Wala asemi uwogo kabisa
Aami 26:😂😂45
Kweli kabisa mi nikionaga tu mavazi yao nazima wimbo sisikilizi
Nimekuelewa Sana mtumishi kuna kitu umenifungua maana nilikua siju ila Leo umenifungua na nimekuelewa. Mungu akubariki sana
Christina shusho ulianza vizuri,,omba Sana Mungu umalize salama uelekeako siko.
Nashukuru Mungu kumbe si mimi tu nisiyekubali hii nyimbo nazinginezo kumbe ni roho wa Mungu,amina barikiwa mtumishi napata ufahamu kwa mafundisho yako may God keep you for his will
Ubarikiwe na bwana
I thought am confused,but now have learned something
Nitajuwaje mchungaji wakweli
@@neemasanga5273 nikusaidie na vitu kidogo,awe mtumiaji wa neno kwa wingi,haombei watu mabaya hata kama wamekosa bali ni mwenye kuonya kwa upendo,anatumia maombi Sana katika ibada zake,hatumii vitambaa maji chumvi au mafuta mengine inabidi uhusishe maombi ili Mungu ajifunue kwako kma kujua kma anaongozwa na roho au la.
Msipo silim hanana usalaama
Powerful message, Good preaching 👏
Isaya 58
1 Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
Mwenyezi Mungu Akubariki mtumwa wa Bwana Yesu Kristo
Amen
Unasema ukweli maana zina mvuto waki shetani atakama hutaki kucheza haijalishi wewe ni Mtumishi lazima utashangaa una anza kucheza unasema ukweli mtupu Mtumishi wa mungu kama wapo watumisha ambao wanatangaza injili ya kweli wewe niwa kwanza Mtumishi wa
Mungu Pascal cassian ubarikiwe saaana Amen🙏
Kenya hunishangaza ya Kwanza nivile wanavaa wakituimbia hizi nyimbo natuna ignore .ama ukiongea watu wanakuangalia kama ambaye umechanganyikiwa...Sono langu ni, nikiona roho yangu imekataa, sitalazimisha juu wengine Hawaoni..Mungu atusamehe kwasababu na dabodabo nimeongoza Sana but yerusalema roho ilikataa toka mwanzo. Ahsante.
Back to pentecost at all cost
😢
Ujumbe huu umeubaliki moyo wang na nimejifunza sana, barikiwa mtumishi wa MUNGU, na MUNGU azidi kukutumia Kila siku tupate kupona ameni
Mungu akufiche kwandamu ya Yesu
Sababu unaiangusha ngome ya shetani
Kweli kabisa
Ni kweli kabisa leo umenifungua pakubwa sana kwa sababu makanisa yaliyo mengi ndivyo yalivyo hadi roho inauma ukiwatizama watoto wetu wanavyokata viuno kanisani kwa kweli sio sawa 😭😭😭😭
Rose ni aibu sana watu wanacheza hovyo kanisani huku vijana wamevaa nguo za kubana na wanavyo cheza utafikiri wanaenda kuzimu
Shukrani Sana mutu wa Mungu kwa maneno Mazuri Sana baikiwa zaidi katika jina la yesu Kristo aliye hai , Samuel toka Congo DRC/Bukavu
Sema tupone mtumishi wa Mungu,kweli kuna nyimbo hazibariki hazigusi moyo,ee Mungu utusaidie
Daaaaah 😭😭😭😭😭 YESU atusaidie makanisa Yameingiliwaa sana mapiano, tarabu zinapigwa makanisani uuuh ni hatari sanaa
This is true,
Angalia nimekuweka leo juu ya na juu ya falme, ili kung'oa, na kubomoa, na kujaribu, na kuangamiza, ili kupanda na kujenga,
Go ahead mtumishi, Mungu akutangulie ,tunajifunza kupitia wewe
Amina😢
Nguo za waimbaji wa kike ni shiiida. Hawapendi kuvaa nguo ndefu wanapenda fupi na ni lazima ziwabane
Wameambiwa wasitaje jina Yesu kwenye nyimbo zao za injili
MUNGU akubariki sana na azidi kukutumia ili uzidi kutufundisha maana watu wengi hawajui mitego anayoitumia shetani kupotosha watu.
Amen mtumishi wa Mungu kwa elimu hiyo ya kiungu.God bless you.sister pheny from mombasa.huwa nakufuatilia Sana kwa mahubiri yako na uimbaji wako.umenitoa mahalo na naonanikielekea mahali
Na kushukuru mutumishi kwa ufafa muzi wa nyimbo za nyimbo ambazo hatuwezi imba mungu akubariki na akuvuviye mengi
Ninakuelewa saana mtumishi Mungu aliyekupa hayo mafunuo azidi KUKUATAMIA,kwa kadri ya kusudi lake🙏
Yesu Kristo wa Nazarethi akubariki na Akulinde sana. Hongera. Tunakuombea Yesu Atakuwezesha
Asante Mtumishi wa Mungu kwa kunielewesha ili nisijitie doa kuukumbatia kila wimbo pasipo kuelewa mtindo na mfumo wa wimbo
wenyewe katika mantik ya ukristo.
Mwenyezi Mungu atupe neema na ufahamu kubainisha ila za shetani makanisani na maovu yote ili tuwe tayari kumpa sifa Bwana wetu Yesu Kristo katika roho na kweli amen.🙏🙏🙏
Soma Zaburi 150: 1
Zichunguzeni hizo roho kama zinatokana na Mungu au lahh,,maana kuna wakati shetani hujifanya malaika wa nuru ili awapoteze kuzimu watu,tuwe makini sana aisee
BWANA akubariki sana na kukuinua zaidi asante kwa ujunbe huu umeondoa pazia lililokuwa limefunika macho yangu kuhusu waimbaji wa nyakati hizi
Mungu akulinde mtumishi leo umenijibu maswali yangu,nilikua najiuliza nimziki gani unafaa kwa kumsifu Mungu?cku hizi hadi cngeli, amapiano yanapigwa na wa2 wanafurahia yaan uezi tofautisha nyimbo za kidunia na kiroho.
Nimebarikiwa sana ni hayo maneno yako aki na My God bless you 🙏 Amen hallelujah
True man of God, may God protect you from the evil and preach the gospel of jesus christ in jesus name.
Asante mtumishi...tulifunzwq haya kanisani😢😢😢😢Yesu Kristo tusaidie😢😢
Everything is God and all is God, Satan is the absence of good vice, lets not give that absence prominence and create what we are calling satan. we should love one another and praise God all the time, judging is creating satan.
Oooh Ooh My God is Good, everything double double. Ndio kilicho imbwa ila hatusikii vizuri tuna sikia neno kama my God is gudo sababu ya rafudhi ya walio imba,ni wayoruba we mzee.
Tatizo la kuwa kiroho kuliko Mungu ndo kinacho msumbuwa , alie muweka juge wa wana mziki wa gospel ni nani.
Wah Asante sana mtumishi wa mungu kwanzia leo sitasikiliza nyimbo za kidunia tena kama vile diamond rayvanny n zinginezo kwanza hio yerusalemu naipenda sana lakini kwanzia leo nimeacha glory and honor be to God Ameeeen 🙏🙏🙏
Amina 🙏
Amen,God bless you pastor,kanisa zimechanganyikiwa,na pastors wengi waingia ushetani si pastor.But God wil deal with them accordingly.
Hapo ni kweli,hebu angalia mtu ako kwa madhabahu ya Cape,hana hata dhamili ya kujihukumu mwenyewe.ladies with offshoulder dresses in the altar,waah dunia kwisha
Ubarikiwe.kaka ki ukweli mzk uliopo saizi makanisan wazee hatuambulii preiz inaimba sifa ambazo wazee tunashidwa hata kuziitikia hizo nyimbo
Ubarikiwe baba uishi kwaajili ya kazi ya mungu
@Neema Baba yetu jina lake linaanza kuandikwa kwa herufi kubwa, iwe mwanzo wa sentesi au katikati mwa sentesi "Mungu"
Asante kwa ujumbe huu muhimu wakutukumbusha tusifuate mkumbo wa dunia. Ubarikiwe sana CASSIAN
@Rosemary Nyagawa muziki wote chanzo chake shetani mbinguni hakuna mpiga vinanda mumepotoshwa vibaya
@Rosemary Nyagawa sasa lini uloona msikitini munapigwa kaswida si kila siku wanaambiwa ni haramu na husikii msikitini kaswida anayetaka kupiga hukooo atajuana na Allah kama wapiga ngoma wengine ila makanisani mimi hapa nipo jirani na kanisa wewee he hapatoshi uwanja wa disko unapumzika kama hapa
@Rosemary Nyagawa ni lazima nikukumbushe ukikataa wewe kataa ila hivo na yapo waziii matendo makanisani uchafu mtupuu wanawake uchiii eti yupo kwa mungu ndo mana makanisani zinaa imetawala kila mtu na demu wake na pakipigwa ngoma wanademuka hatarii kila mtu anamchezea mpenzi wake amuone
@Rosemary Nyagawa hayo mengine mumechomekewa tu mupotee vizuri walotengeneza bibilia unafikiri wajinga wameiteka dunia sasa hivi maovu yao yapo wazi wazi ndo mana hata hao wazungu wanakimbia hio dini ni ushetani mtupu ukiangalia matendo yao unajua hapa hapana kitu hakuna nabii alocheza magoma wote walikuwa wacha mungu ngoma mwenzake shetani na yesu aliyakataa hataki hata kusikia lakini munafurahisha nafsi zenu tu
@Rosemary Nyagawa Mimi jicho langu naliona eti lipo sawa sawa halitikisiki ndo nikaona lakwako haliposawa wenzenu miili inafukuliwa huko kenya kwa kumchezea shetani kanisa zima kushnehi ushetani mtupu
Kweli hi inadhihirisha shetani anafanya kazi kwa kasi Sana dunia taari imeingia kanisani.
1> nilikua nafikiria tyu just mawazo Kama Mungu asingemtumia huyu mtumishi kufunua haya Nani mwingine angekua na ujasiri.
2> Wengine wanadhani ni Kiki au anataka ku trending sawa lakini vipi Kama ni kweli haya anayoyazungumzia itakuaje kwako wewe pamoja na nabiii wako?
3> Wote tumeshuhudia aliyo yapitia pia na anachozungumza nimefatilia kwa MDA mrefu nakufanya analysis INAWEZEKANA 99% anayoyazungumzia nikweli.
4> Kuna link Kati ya maisha yake na anachokihubiri siwezi kuelezea kwa kina Sana lakini kazi yake ni kubwa Sana anayoifanya.
Amina,kweli kabisa ,HAPA ni walio na masikio ya kiroho na macho ya kiroho ,huyu ametumwa na MUNGU Wenye wat asikie watageuka ,MUNGU ATUSAIDIE wote ❤
Kwa asiyemuelewa hawezi elewa kitu, hao waimbaji wengi hawana makanisa maalumu ya kuabudu, pia hawana Wachungaji wa Kiroho wa kuwaongoza. Pia ukifuatilia wengi wameachana na wenzi wao Kwa kisingizio Cha Ufunuo,
Huyu Mtumishi ni kama KANYE WEST, rapper wa Marekani anayehubiri Injili sana Kwa Sasa, ingawa watu hawamuelewi kama alivyo huyu. Namuombea Mungu aendelee kumtumia nasisi tuendelee kumsaport siyo kutext tu. Be blessed
Amen gospel. Nyingi za Leo zinaimbwa uharisia wa kimwili hazina ukiroho mtu anachukuaq mstari mmoja kweenye Biblia anaweka misitari kumi ya kidunia yaan maneno yanayo vuma mitaania ndio anaweka. Kwenye Gospel hapo hapo na midundo ya kwaito mapiano kama yote Azidi kutufumbua ubarikiwe sana. 👋👋
Amen amen amen sema kweli yote wame sumbuwa watu kwanyimbo zawo za uwongo na kuwapotosha watu kwa ujinga na upumbafu wawo wa mashetani Mungu awa urumiya
More grace man of God ,,I really love your teaching and your songs be blessed always 🙏🏼
Amen! Amen! Amen!... be blessed man of God.. oooh may God protect you bcoz this must lead to a strong spiritual and physical war.. but Jesus Christ is our protector.i get you from Kenya.
Amen. Pastor be blessed
Pastor you are right... I been asking myself why is it that after this heavy dance people sleep off when the preaching begins...? Kumbe hii ndio sababu
Asante kwa ujumbe mzuri,umebariki moyo wangu, Mungu wangu tusaidie 🙏
Amen mungu azidi kukutunza kwaajili ya watanzania uzidi kutukumbusha jinsi ya kumtumikia mungu
Amen mtumishi hapo ni kweli watu waache kutingisha kiuno kanisani
Amen brother, nakubaliana nawe asilimia mia Moja. Kupitia kwa mafundisho haya naenda mbali.
Wao wataimba kwa uwongo ila sisi tutaimba kwa roho wa kweliiii na sound tutatumia izoizo na hivo vyombo vya kutengeza music ni hao hao wametengeneza.....hata izo nguo ulizo vaa wametengeza wao kama vipi toa hizo nguo utembee uchi ni hivo viatu utembee pekupeku maana ni za kishetani hiyo alama ya (v )hapo tai inapo kaa ni alama ya kishetani...wafundishe watu maarifa ya kupambana na shetani wazidi kumjua mungu..sound za music haziusiani na mungu..mungu anaangalia matendo ingekuwa mungu anaangalia hivi vitu hata utube tusinge kuona ndugu huu ni mtandao wa kuzimu...huna maaaaaaarifa kabisaaaa
Nakukubari sana mtumishi wa mungu paschar Cassian, uko sahihi,
Very true the church has fallen Messiah is coming very soon 😢
MUNGU azidi kukuinua mtumishi
Amen
ubalikiwe sana mwijilisti mungu akupe nguvu uzidi kuwaambia haoo wapiga kristo hasa wanaijifanya waimbaj wa nyimbo za injiri na manabi wa hovyo
Amina sana tunamshukuru
Mungu aliekutuma mjumbe wake tupone Kwa jina la
Yesu
God bless you my big brother Pastor 🔥🔥🇨🇩🇨🇩👏
Mtumishi wangu tuko nyuma yako kwa maombi
Amen barikiwa mwanawa Mungu asante sana Nami eee Mungu anisaidie nimwabudu kwa roho na kweli nimaombi yangu
Ameeeen mtumishi,shangwe kwa Yesu kristo,nakupata kutoka Mozambique
Huwo wimbo wa kwanza wanaimba "my god is good" wakimaanisha; mungu wangu ni mzuri (mungu wake yenye anayeimba). Neno "good" (gud) wanalitamka gudo kwa lafudhi za watu wa magharibi mfano Nigeria.
Shida sio maneno ya wimbo shida ni beat ya wimbo na namna wanavyocheza beat la wimbo huo nila nyimbo za kidunia na jinsi wanavyo cheza sio waki Mungu cjui kama nimejaribu kukuelewesha
😂😂 watu wamebaki kutafuta likes u tube
Amen.
Mungu akubariki sana. Watu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa Hosea 4 :6..
Mimi sasa hivi nasikiliza nyimbo za kizamani zile za mapigo ulyankulu na waimbaji wa zamani sio hawa wanaocheza kama magenge ya WCB na wenzio.
Hata na mimi piya
Amosi 5
23 Niondoleeni kelele za nyimbo zenu;
kwa maana sitaki kuzisikia sauti za
vinanda vyenu
Mungu hataki kelele msikilize kabisa sawa ehee
Nyimbo zipo sana tu
Ila wapo wachache ambao wako nje ya line
Km una Roho Mtakatifu utajua tu wala hupati shida
@@christinewomanoffaith5479 Hosea 9
7 Siku za kupatilizwa zimekuja, siku
za kulipa zimefika; Israeli atayajua
hayo; huyo nabii ni mpumbavu, huyo
mtu mwenye roho ana wazimu; kwa
sababu ya wingi wa uovu wako, na
kwa sababu uadui umekuwa mkubwa
Biblia inasema huyo mtu mwenye roho ana wazimu kwa sababu ya wingi wa uwovu wake sasa kila kitu unatudanganya unasema kiroho unataka tuwe na wazimu
@@christinewomanoffaith5479 mungu wa kweli hapendi nyimbo
Barikiwa mtumishi ,,,Asante yesu masikio yangu hakika yamesikia 💪💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante sana Mtumishi wa MUNGU kwa ujumbe huu Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi utujulishe mengi tu siyo yajua
Which is oldest...gospel dance or secular dance? Who is copying who? Dance for your God as much as you can mindset is different. Personal thinking and God's wisdom are different. Sifu like Daniel, I don't see anything wrong or evil with those songs.
I support you
Yeah I was looking for this comment
Yeye mwenyewe hajatoka bado uko
You don't see anything wrong possibly bcos you won't look hard enough.
Pascal's statement is with those who are in God's vision Ameen
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana. 100% right. 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦🇿🇦
AMEN AMEN AMEN ASANTE SANA KWA KUTUELIMISHA MUNGU AKUONGEZEE NGUVU MAARIFA UFAHAMU NA REHEMA ZAKE ZIZIDI KUKUFUNIKA🙏🏾
Pasteur wangu Mungu akuwezeshe nanguvu yaku tuhubiri tupate kusikiya nakuacha
God bless you my young brother 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Amen Amen 🙏 mung u azidi kukulinda na kukupigania kwa maana ulimwengu ulimo wakati wa sasa ni ulinwengu wafita,mungu akufunije man of God asanti kwa kutuelimisha ambayo hatujuwi
Mimi sioni tatizo wa hizo nyimbo,ninaimani sisi binaadam tunatokea ktk maeneo tofauti,ukitaka kumvuta aliyopo Toka ktk mashetani mchote kupitia njia aliyopo na umtie ktk kundi lako kwa neno la uzima la beans,atabadilika tu,njia za kufikisha neno la bwana.
Powerful and inspiring message my brother,may the Lord protect you and continue to lift you up to continue saying the truth,people will never like the truth they will always reject the truth,God bless you my brother 🙏🙏🙏
Amen pastor ni true kabisa,mungu atusamehe kabisa
Amina..Mungu akuinue ili iendelee kufungua kweli Watu waokoke
God have mercy on us... We have gone out your ways. May God Forgive us! B blessed pastor
My Almighty God please have mercy on me , for I was no aware to risen from this kind of songs
Amen amen endelea kusema ukweli ili tupone na kumgeukia Mungu Hakuna mchungaji anaependa kunena ukweli maanake wote tumeekewa giza mbele yetu naye shetani Haruno
Amen mtumishi BWANA YESU ubarikiwe mno.
Amen be blessed man of God
Umbarikiwe sana kabisa Mtumishi wa Mungu❤❤❤❤❤❤❤❤
Aminaaaaa mtumishi mungu akubarik uzidi kutufunza zaidi
Ahsante mtumishi kwa mafundisho mazuri nimepona.
Very true story...watching from arabs
Powerful message God bless you and protect you
Hallelujah,barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
ASante sana kwa maubiri na Mungu atusamehe sana kwani tunaimba hii wimbo pasipo ku jua ni dugu toka Congo Drc.
Eee Bwana yesu nisamehe mmi nimecheza Sana nyimbo hizo Ata kanisani zimejaa,, nasikia mpka kutetemeka roho yangu,, Ila namtukuza Mungu aliyejuu ya mbingu zote anayetupenda hataki tupotee ktk upotovu uliojificha anaufichua uovu wa shetani,,,
True man of God,l agree
True man of God. Be blessed
Mungu akubariki sana sema kweli japo nigumu kuamini lakini Mungu akulinde
Asante sana mtumishi wa Mungu kwa mafunzo mazuri sana.
Go on my brother your doing good job for this generation
Tatizo mnamhubiri Sana shetani nani alikwambia kukata mauno ni dhambi 😅😅😅😅😅😅😅
Keep it up and I wish you more of God's grace in Jesus Christ of Nazareth might name.
AMEN ubarikiwe sana Mtumishi wa BWANA YESU KRISTO Asante sana kwa kutuambia ukweli uzidishiwe mara dufu .
Tumshukuru Mungu Kwa kumtuma mtumishi wake kutufungua🙏
Hallelujah. Amen
Don't judge. Yaache ngano na magugu yakue pamoja. Sijasema mimi, hiyo biblia unayoshika ndio imesema hivyo. Biblia hiyo pia unayoshika inasema mtashangaa siku ya Mwisho makahaba watawatangulia mbele ya kiti cha enzi.
Lakini pia tujiulize katika hali ya kawaida, dancing style ya mbinguni nani anaijua? Nani amewahi kuwaona huko mbinguni wanachezaje? Mziki wa shetani ni upi?
Natamani watumishi wajikite kwenye kuwasaidia watu kwa namna yoyote wamjue Mungu.
Mziki wa leo makanisani na Wearing style pia usisahau kaka imekuwa balaa. Ukisubiri issue ya makahaba kwenda mbinguni 🤔 hiyo ni sawa, lkn ukiyafanya kwa kujua utakuwa kwenye risk kubwa.
Kadhalika Roho nae hutusaidia udhaifu wetu....Roho mtakatifu akiwa ndani ako anakuongoza kila kitu
@@lilianjoseph9256 Lakini pia Roho mtakatifu anakaa mahali safi, unaweza fikiri upo rohoni kumbe ulishaanguka zamani. Mungu atusaidie kwa sababu tumebaki tunaabudu kwa mazoea. Vilivyokuwa vinakatazwa makanisani sasa hivi ndivyo vimeshika hatamu. Watu wanasema hii ni kawaida .... Mazoea🤔😭
Yes kaka uko sahihi mm nlimuelekexa kaka apo juu kwamba tutajuaje styl ya kucheza ya mbingun jib n kwamba Roho Mtakafitu anatufunulia mambo yote ila shida n kwamba watu now wanajiongoza wenyew na sio Roho Mtakatifu.....pia mafundsho yamekua adimu makanisani ndo maana tunakundi kubwa la watu wanaomtaja Mungu na hawamjui! Na makansani wanaingia na kuendeleza dhambi pasipo kujua wapo kifungoni
True...
Watumishi as much as they know the difference. Mtuambie msiki ya kishetani na pia ya kiungu... Isituachee tuu ka tumechanganyikiwa...
Asante pastor nimekuelewa katika SOMO hili Mungu akubaliki sana Ila pia ninalo swali kuhusiana an Hilo la nyimbo nakubali ana nalo nkwa asilimia 100% Lakin swali je na Upande wa kucheza tuko Sawa maana kuna style nyingi zimeingia katika kucheza watu wakisema tunamchezeay Mungu alie hai je hapo je tunaenenda Sawa ama kunamakosa??
Halleluuuuujah🔥sisemi kitu ila mungu akubariki zaidi na zaidi mtumishi for opening my eyes wauh👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏.
Ubarikiwe na bwana YESU