KANISA TAG KUPOTOKA CASSIAN ALIONYA NA ASIKOFU MTOKA MBALI EV PASCHAL CASSIAN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 911

  • @uwezoseleman5530
    @uwezoseleman5530 Před měsícem +13

    Uamsho wa TAG hauleti mabadiriko kiroho, wana TAG ni mashahidi kwakweli baada ya uamsho tunabaki kama tulivyo, uamsho halisi tunatakiwa tulirudie neno na tuyaache yale yasiyo adili. Tumeongeza tu masherehe na maadhimisho mengi ya vikundi vya kanisani kwa lengo la kuwanufaisha wachungaji tu. Pastor Magembe Mungu akuweke mpaka uuone wakovu ktk TAG Amen🙏

    • @stevetobsmedia
      @stevetobsmedia Před měsícem

      unafanya jambo zuri sana kuhubiri Mtumishi wa Mungu na tunafurahishwa na mahubiri yako kama roho za watu zinaponywa ila unapomtaja kiongozi yeyote wa taasisi yeyote ile hakikisha una fact za kusema maana bila kua na fact uta haribu moja picha za nyimbo ulizotumia kuunganisha kwenye video siyo za siku ya maadhimisho yaliyofanyika uwanja wa uhuru ni sherehe za vijana zilifanyika iringa nakuwekea link hizi ili upate cha kuongeza kwenye mahubiri yako ili ubalance mahubiri yako usitafute tu kukemea bila kua na uhakika na unachokisema kwa maana mbiu ya uamsho inapigiwa parapanda na bishop mtoka mbali na anafanya ivyo kwa makanisa yote ya CPCT sio TAG pekee naomba kwa unyenyekevu usimtamke Askofu kama unaongea na mtoto mdogo wakati uhakika wa unachokisema hauna sio kwa ubaya ila kujenga ufalme kama una hubiri kweli ya kristo Mungu akupe neema ya kujua hili fanya tafiti.
      1. czcams.com/video/fJawvWhwJf4/video.htmlsi=eQUmOkg4jQnj0zCy
      2. czcams.com/video/xDXPSDIu948/video.htmlsi=wvjId9xByV4TyDuS
      3. czcams.com/video/rEoUMUaYmMs/video.htmlsi=zPNS49oPFVaH7wwV
      Haya ni mahubiri ya askofu Mtokambali na ni jinsi gani anapambana na dhambi ni jinsi gani anaugua kwa dhambi tafadhari sana usitumie mahubri vibaya kusimanga watu mualike roho mtakatifu akupe ujumbe wa kusema sio kupotosha na kutafuta views ili upate pesa brother tubu ukaione mbingu maana shetani ni baba wa uongo.

  • @The-Sword-Of-Endtimes
    @The-Sword-Of-Endtimes Před měsícem +19

    Amen 🙏 ubarikiwe Sana Ndugu yangu katika KRISTO YESU.Sema kweli YESU yupo pamoja nawe🙏🙏🙏🥺🥺

  • @rosemarymwanitega7926
    @rosemarymwanitega7926 Před měsícem +18

    Yaani mchungaji Moses Magembe Mungu ampe maisha marefu na azidi kumtia nguvu

    • @erickmutungi8792
      @erickmutungi8792 Před měsícem +2

      AMINA KUBWA!

    • @user-sh8xp5dn3w
      @user-sh8xp5dn3w Před měsícem +5

      Amen, Ni mchungaji wangu mimi hapa majumba sita … Tunamtukuza MUNGU kwa ajili yake

    • @user-un2td1no5f
      @user-un2td1no5f Před měsícem

      Yaani kwa kweli Mungu amuweke Moses Magembe​@@user-sh8xp5dn3w

  • @justerkamala3933
    @justerkamala3933 Před měsícem +10

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu 🎉kwakuendelea kuitetea injili ya kweli ktk kristo Yesu

  • @IRENEGRACEFORD
    @IRENEGRACEFORD Před měsícem +13

    Uweza wa Yesu kristo ukifunike sana mtumishi wa Bwana.
    Maana injili yako ni kama ya mitume walivyochukiwa kwa sababu ya ukweli.
    ENDELEA KUONYA NA KUKEMEA NA KUELEKEZA KWA JINA LA YESU KRISTO.

    • @PeterMahona-zd3oz
      @PeterMahona-zd3oz Před měsícem

      MUNGU akubaliki nikweli TAG nichangamoto wakezao. Niviongozi nivio lakini 😢😢😢

    • @EmmanuelKiula
      @EmmanuelKiula Před měsícem

      😂😂😂😂😂, ......!!!!!!

  • @user-mq5cg3me9h
    @user-mq5cg3me9h Před měsícem +2

    Nakushukuru Mungu kwa kuwa umeamua kusema Tena na mtumishi huyu, maana Baba yetu mpendwa Zakary Kakobe alipafundisha SoMo la Mavazi ya kikahaba hata wapentekosye walimpinga, Asante Roho mtakatifu kwa kuwa unazidi kuwatumia hata hawa waliokaa kimssasya kulirekebisha kanisa ktk nyakati hizo za kumaliza. , Watumishi wa Mungu sikieni

  • @ndavadumayai4250
    @ndavadumayai4250 Před měsícem +5

    Mungu akubariki Paschal ni kweli TAG ipo pabaya sana sema kiburi cha uzima kinalidanganya kanisa,😢😢😢

    • @amaniabel952
      @amaniabel952 Před měsícem

      Hivi nini kigezo cha kwako mtumishi mzur kabisaa kuanza kuhukumu etie wana kiburi ??

    • @PaulMwenda-w9v
      @PaulMwenda-w9v Před 26 dny

      Jiangalie na weeeee kwanza

  • @lukasemmanuel4614
    @lukasemmanuel4614 Před měsícem +2

    Amina utukufu kwa Bwana Yesu Kristo
    Yesu Kristo mwenyewe alisema kwamba yeye aniaminiye na kufanya mapenzi ya Mungu hawezi kupotea milele

  • @evangelistpetropiason6202
    @evangelistpetropiason6202 Před měsícem +13

    Chapa injili kamanda huo ndio wito ulioitiwa barikiwa sana

  • @user-ef7pn5wt7g
    @user-ef7pn5wt7g Před měsícem +1

    Nashukuru Mungu Kwa ajili ya hili ....Kuna watu wako straight sana...Mzee maghembe na baadhi ya wachungaji vinana kama katekela...Mungu amewaleta kurudisha kanisa katika mstari...pascal ...sema kweli maana msema kweli ni mpenzi wa Mungu...njoo na huku eagt mtumishi wa Mungu ufichue yasiyo ya Mungu

    • @JonasAmon-q3z
      @JonasAmon-q3z Před měsícem

      Hakika mpendwa Amieli katekela.ameletwa na Bwana yesu.alikuja kufanya mkutano kanisan kwetu aise tulimuona Mungu na nguvu zake.sema Kuna wengne hushupaza shingo zao hawakosi.anaokoa yule mtumishi sana🙏🙏🙏

  • @maryfonga2200
    @maryfonga2200 Před měsícem +6

    Mtumishi wa Mungu hongera kwa kazi njema, BWANA azidi kukujaza mafuta na wingu lake likufunike daima mpaka ukamilishe kazi aliyokuitia. Atakae sikia na kutii na atii maana kuna ambao Mungu amewakusudia kupitia ujumbe wako wamgeukie Mungu, ila asiyetaka kutii huyo ni wa shetani. Maana imeandikwa "wanamasikio lakini hawasikii, wana macho lakini hawaoni" watakao sikia na kutii hao ndio waliokusudiwa na Mungu

    • @stevetobsmedia
      @stevetobsmedia Před měsícem

      unafanya jambo zuri sana kuhubiri Mtumishi wa Mungu na tunafurahishwa na mahubiri yako kama roho za watu zinaponywa ila unapomtaja kiongozi yeyote wa taasisi yeyote ile hakikisha una fact za kusema maana bila kua na fact uta haribu moja picha za nyimbo ulizotumia kuunganisha kwenye video siyo za siku ya maadhimisho yaliyofanyika uwanja wa uhuru ni sherehe za vijana zilifanyika iringa nakuwekea link hizi ili upate cha kuongeza kwenye mahubiri yako ili ubalance mahubiri yako usitafute tu kukemea bila kua na uhakika na unachokisema kwa maana mbiu ya uamsho inapigiwa parapanda na bishop mtoka mbali na anafanya ivyo kwa makanisa yote ya CPCT sio TAG pekee naomba kwa unyenyekevu usimtamke Askofu kama unaongea na mtoto mdogo wakati uhakika wa unachokisema hauna sio kwa ubaya ila kujenga ufalme kama una hubiri kweli ya kristo Mungu akupe neema ya kujua hili fanya tafiti.
      1. czcams.com/video/fJawvWhwJf4/video.htmlsi=eQUmOkg4jQnj0zCy
      2. czcams.com/video/xDXPSDIu948/video.htmlsi=wvjId9xByV4TyDuS
      3. czcams.com/video/rEoUMUaYmMs/video.htmlsi=zPNS49oPFVaH7wwV
      Haya ni mahubiri ya askofu Mtokambali na ni jinsi gani anapambana na dhambi ni jinsi gani anaugua kwa dhambi tafadhari sana usitumie mahubri vibaya kusimanga watu mualike roho mtakatifu akupe ujumbe wa kusema sio kupotosha na kutafuta views ili upate pesa brother tubu ukaione mbingu maana shetani ni baba wa uongo.

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 Před měsícem +9

    Nakubaliana na wewe Cassian, mwenyezi Mungu azidi kukutumia.

    • @stevetobsmedia
      @stevetobsmedia Před měsícem

      unafanya jambo zuri sana kuhubiri Mtumishi wa Mungu na tunafurahishwa na mahubiri yako kama roho za watu zinaponywa ila unapomtaja kiongozi yeyote wa taasisi yeyote ile hakikisha una fact za kusema maana bila kua na fact uta haribu moja picha za nyimbo ulizotumia kuunganisha kwenye video siyo za siku ya maadhimisho yaliyofanyika uwanja wa uhuru ni sherehe za vijana zilifanyika iringa nakuwekea link hizi ili upate cha kuongeza kwenye mahubiri yako ili ubalance mahubiri yako usitafute tu kukemea bila kua na uhakika na unachokisema kwa maana mbiu ya uamsho inapigiwa parapanda na bishop mtoka mbali na anafanya ivyo kwa makanisa yote ya CPCT sio TAG pekee naomba kwa unyenyekevu usimtamke Askofu kama unaongea na mtoto mdogo wakati uhakika wa unachokisema hauna sio kwa ubaya ila kujenga ufalme kama una hubiri kweli ya kristo Mungu akupe neema ya kujua hili fanya tafiti.
      1. czcams.com/video/fJawvWhwJf4/video.htmlsi=eQUmOkg4jQnj0zCy
      2. czcams.com/video/xDXPSDIu948/video.htmlsi=wvjId9xByV4TyDuS
      3. czcams.com/video/rEoUMUaYmMs/video.htmlsi=zPNS49oPFVaH7wwV
      Haya ni mahubiri ya askofu Mtokambali na ni jinsi gani anapambana na dhambi ni jinsi gani anaugua kwa dhambi tafadhari sana usitumie mahubri vibaya kusimanga watu mualike roho mtakatifu akupe ujumbe wa kusema sio kupotosha na kutafuta views ili upate pesa brother tubu ukaione mbingu maana shetani ni baba wa uongo.

  • @christopherkaroli9365
    @christopherkaroli9365 Před měsícem +17

    Mungu atusaidie sana shetani anazidi kuyateka makanisa

    • @stevetobsmedia
      @stevetobsmedia Před měsícem

      unafanya jambo zuri sana kuhubiri Mtumishi wa Mungu na tunafurahishwa na mahubiri yako kama roho za watu zinaponywa ila unapomtaja kiongozi yeyote wa taasisi yeyote ile hakikisha una fact za kusema maana bila kua na fact uta haribu moja picha za nyimbo ulizotumia kuunganisha kwenye video siyo za siku ya maadhimisho yaliyofanyika uwanja wa uhuru ni sherehe za vijana zilifanyika iringa nakuwekea link hizi ili upate cha kuongeza kwenye mahubiri yako ili ubalance mahubiri yako usitafute tu kukemea bila kua na uhakika na unachokisema kwa maana mbiu ya uamsho inapigiwa parapanda na bishop mtoka mbali na anafanya ivyo kwa makanisa yote ya CPCT sio TAG pekee naomba kwa unyenyekevu usimtamke Askofu kama unaongea na mtoto mdogo wakati uhakika wa unachokisema hauna sio kwa ubaya ila kujenga ufalme kama una hubiri kweli ya kristo Mungu akupe neema ya kujua hili fanya tafiti.
      1. czcams.com/video/fJawvWhwJf4/video.htmlsi=eQUmOkg4jQnj0zCy
      2. czcams.com/video/xDXPSDIu948/video.htmlsi=wvjId9xByV4TyDuS
      3. czcams.com/video/rEoUMUaYmMs/video.htmlsi=zPNS49oPFVaH7wwV
      Haya ni mahubiri ya askofu Mtokambali na ni jinsi gani anapambana na dhambi ni jinsi gani anaugua kwa dhambi tafadhari sana usitumie mahubri vibaya kusimanga watu mualike roho mtakatifu akupe ujumbe wa kusema sio kupotosha na kutafuta views ili upate pesa brother tubu ukaione mbingu maana shetani ni baba wa uongo.

  • @miriamimani4986
    @miriamimani4986 Před měsícem +1

    Mimi nahitaji kuokoka kwa kweli, sihitaji kujitetea kwa lolote, Mungu nirehemu mimi, nisamehe mimi, nifungue mimi, nahitaji uniokoe kwa damu ya Yesu Kristo, Amina.

  • @emmanuelmwalembe-yd1cz
    @emmanuelmwalembe-yd1cz Před měsícem +5

    Amina mkuu,Mungu azidi kukusaidia na kukutia nguvu kwa ajili ya kazi hii ya utumishi

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 Před měsícem +37

    Yes mzee magembe ana hubiri injiri ya kweri

  • @bujagajeremiah4308
    @bujagajeremiah4308 Před měsícem +4

    Uongozi ni jalala, Baba Askofu Mtokambali Mungu na akutie nguvu sisi tunakuombea uwe na moyo wa ushujaa..
    Kanisa lazima lipigie hiyo hatua ya kusemwa sana maana lina taswira ya YESU KRISTO aliye hai, Hata Yesu wetu alisemwa mno na mpaka leo bado anasemwa sana..

    • @zainaluoga1666
      @zainaluoga1666 Před měsícem +1

      hasemwi huu ni ukweli mtupu.

    • @pilotimani
      @pilotimani Před měsícem +1

      Ndugu yako ni kweli kuwaombea viongozi lakini kukemewa ni muhimu sana kwani wanaweza kusikia ukweli na kubadilika wakiwa hai kwani kwa mungu rehema ipo duniani na sio ukifa sasa unaona kanisa limelala sio swala la ushabiki ni muda kanisa la bwana liamke naongea hio kama mtoto nikiokuwa na kuwekwa wakfu ndugu zetu wengi wanaelekea upotevuni kwa wachungaji kutokemea dhambi

    • @dicksondkaganga1290
      @dicksondkaganga1290 Před měsícem

      Amen!

    • @mwlekartiesmwankenja3602
      @mwlekartiesmwankenja3602 Před měsícem

      ​@@dicksondkaganga1290kipimo gani umetumia kupima kuwa TAG ina taswira ya Yesu Kristo? Endelea kujidanganya.

    • @alexdominic9201
      @alexdominic9201 Před měsícem

      Kama ulikuepo uwanjani hakika utajua huyu mtumishi anaongelea nini

  • @ChristinaCharles-py1ct

    Asante mtumishi kwa ujumbe wa mzuri. Haya ni madhai go u.

  • @TracyMlimi-iv8fp
    @TracyMlimi-iv8fp Před měsícem +7

    Mtumishi Mungu akubariki lakni sidhani kama ulichofanya ni jambo la busara, wewe kama mtumishi ambaye uko concerned with how things are going uko TAG, kitu cha busara ambacho ungeweza fanya ni kwenda kwa uongozi wa TAG especially huo wa juu wa Mtokambali ulioutarget, ukamuelezea unavyoona ni sawa lakn sio kuja kuchafua kanisa huku mana sidhan kama umezunguka makanisa yote ya TAG ya nchi nzima. Yan you’re talking as if someone sent you to dirtify the church, na upo kisiasa zaidi🙌 If you are looking for followers, find another way to do so na sio kuharibu ushuhuda wa makanisa mengine. Hubiri injili, Leta watu kwa Yesu, acha siasa.

    • @perezrnb7822
      @perezrnb7822 Před měsícem +1

      Point umesema kweli kama kwel nia ni kuliponya kanisa angeweza kuongea na uongoz wa juu ila ukiaangalia ni kama ka mtarget mtu kwa mtu mwenye ufahamu unaona kabxa ni kama katumwa hivi anyway Mungu atusaidie sana Uamusho sio kwa TAG Tu makanisa yote ya kipentekoste tunaitaji uamsho wa kweli ule wa kina mzee kulola ambao wengi skuiz wamebaki kusimuliwa habari zile

    • @TracyMlimi-iv8fp
      @TracyMlimi-iv8fp Před měsícem

      @@perezrnb7822Ni kweli, sasa huku watu wanachoangalia wao ni idadi kubwa ya watu ipo upande gan, hawaoni kama hiki sio sawa alichokifanya huyu mtumishi

    • @daudimwenzegule
      @daudimwenzegule Před měsícem +1

      Huyu pascal anatafuta hela kwa watazamaji ndo maana ameweka M pesa Tigo pesa nk

    • @elizabethkibona3088
      @elizabethkibona3088 Před 24 dny +1

      Na wew pasko tumechoka na maneno yako ebu vaa viatu vyake uone kama ungeweza Acha kelele omba kwaajir ya askofu ndo ningekuona umeongea point unafikir kuongoza watu wazima ni kazi ndogo ?

    • @YohanaChege
      @YohanaChege Před 6 dny

      😢😢😢😢

  • @IsakaKiyalo-s3v
    @IsakaKiyalo-s3v Před měsícem +1

    Asante mtumishi kwa kutukumbusha kweli ya mungu kuwa mungu anataka nini kweli watumishi wa sikuhizi tunafanya injili kimzaa sana

  • @HagaiSwila-z6f
    @HagaiSwila-z6f Před měsícem +3

    Mungu atusaidie sana maana viongozi wengi hasa maaskofu wamekosa unyenyekevu ndio maana hawasikii maonyo wamesahau kwamba sisi sote ni makuhani kwamba mungu anamtumia kila mtu ili kulionya kanisa sasa ni kwamba simama tu kusema kweli mwinjilisti mungu anapendweza na kweli

  • @elizabethkaiche17
    @elizabethkaiche17 Před měsícem +7

    Sisi wenyewe tunatakiwa kuwaombea Viongozi wetu ili mambo yaende sawa , ukiona mambo hayaendi sawa kabla ya kumwangalia Mchungaji wako, wetu,watoto wa Mchungaji je Umejitoa kwa kiasi gani kuwaombea hao watumishi wa Mungu ,maana niwanadamu tu kama sisi wanahitaji KUINULIWA KWENYE MAOMBI apo tumekumbushwa kama watu tuliookoka kuwainua watumishi wa Mungu ili Waendelee kukazia palipolegea . Tunashukuru tumepokea yunahitaji neema ya Mungu ili tuzidikukaza palipolegea ,MUNGU AZIDI KUWATIA NGUVU WATUMISHI WA MUNGU .

    • @user-rd3hk5qt5p
      @user-rd3hk5qt5p Před měsícem

      Tukumbushane waenda mbinguni

    • @danielyohane824
      @danielyohane824 Před měsícem

      Swala la TAG kwa dini lilianza ilipotungwa sheria ya ikiwa Mch atajitenga na Hiyo dini atakabidhi mali zote na washirika aondoke kama alivyo. Kwamba mchungaji anaanza huduma akiomba mwavuli TAG amekubali kuja mateka pamoja na mali na Washirika wake. Hivi ni katiba ya kifisadi kamili usiofaa popote duniani. Tangu wakati huo likaanza kupita fundisho kuwa TAG ndio mahali sahihi. Upotoshaji huu unaenda mbali zaidi hata kuaminisha kuwa mtu asiye M-TAG hajaokoka. Leo TAG ni dini ya 3 Tanzania, kati ya UKristo, na ni dini ya 4 kati ya Dini zote Tanzania. Wakati taarifa hiyo iliposomwa waumini wa tawi moja dogo kijijini liliokuwa likiongozwa na Askofu fulani walishangilia sana. Niliporudi kumuuliza Mungu nini hiki, akanionyesha niko Katholiki. Na akaniamuru kuondoka Niliomba rehema na kuondoka. Ikiwa viongozi wamekengeuka halafu tukasema tuwaombee tu, tutajibiwa na mashetani siku zote na ndio maana leo walokole wengi tumedharaulika kwa kujifanya unyenyekevu. Tatizo likionekana mwambie Mungu kisha simama katika zamu yako. Onya karibia kemea bila kujali watasema eti umewagusa masihi wa Bw. Maana Watumishi wengi hujificha kwa hilo andiko. Washughulikie utajiokoa nafsi yako kama Mlinzi. Barikiwa na Bwana

  • @FrankKasonso
    @FrankKasonso Před měsícem +4

    Mungu azidi kukupa maneno yakusema kama alivyo mwambia Yeremia umenibariki sana

  • @user-mq5cg3me9h
    @user-mq5cg3me9h Před měsícem +1

    Enyi watu wa Mungu acheni kutetea uovu. Mueleweni Mch Magembe na mbadilike ili kanisa lipone maana mtadaiwa Roho za watu hao. Msijali kujaza maje!!ngo maana ktk kuendelea kufundisha mafundisho manyonge. Mtadaiwa ogopeni

  • @respichiusk.rweyemamu632
    @respichiusk.rweyemamu632 Před měsícem +16

    Makanisa yote ya Kipentekoste wajitafakari sana tena sana,mkakati wa shetani watu wa freemason walishatoa kafara zao kuimarisha agano lao la dunia kuingia kanisani na kanisa kuingia duniani.Muulizeni Pastor Amieli Katekela.

    • @stevetobsmedia
      @stevetobsmedia Před měsícem

      unafanya jambo zuri sana kuhubiri Mtumishi wa Mungu na tunafurahishwa na mahubiri yako kama roho za watu zinaponywa ila unapomtaja kiongozi yeyote wa taasisi yeyote ile hakikisha una fact za kusema maana bila kua na fact uta haribu moja picha za nyimbo ulizotumia kuunganisha kwenye video siyo za siku ya maadhimisho yaliyofanyika uwanja wa uhuru ni sherehe za vijana zilifanyika iringa nakuwekea link hizi ili upate cha kuongeza kwenye mahubiri yako ili ubalance mahubiri yako usitafute tu kukemea bila kua na uhakika na unachokisema kwa maana mbiu ya uamsho inapigiwa parapanda na bishop mtoka mbali na anafanya ivyo kwa makanisa yote ya CPCT sio TAG pekee naomba kwa unyenyekevu usimtamke Askofu kama unaongea na mtoto mdogo wakati uhakika wa unachokisema hauna sio kwa ubaya ila kujenga ufalme kama una hubiri kweli ya kristo Mungu akupe neema ya kujua hili fanya tafiti.
      1. czcams.com/video/fJawvWhwJf4/video.htmlsi=eQUmOkg4jQnj0zCy
      2. czcams.com/video/xDXPSDIu948/video.htmlsi=wvjId9xByV4TyDuS
      3. czcams.com/video/rEoUMUaYmMs/video.htmlsi=zPNS49oPFVaH7wwV
      Haya ni mahubiri ya askofu Mtokambali na ni jinsi gani anapambana na dhambi ni jinsi gani anaugua kwa dhambi tafadhari sana usitumie mahubri vibaya kusimanga watu mualike roho mtakatifu akupe ujumbe wa kusema sio kupotosha na kutafuta views ili upate pesa brother tubu ukaione mbingu maana shetani ni baba wa uongo.

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 Před měsícem +3

      Wewe ndo umezungumza point katika comments zote nilizopitia.kumbe unamfatilia yule mtumishi.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před měsícem

      Asante saana

    • @fredgonga
      @fredgonga Před měsícem

      kweli kabisa Amieli aliongea sana kwa undani, shetani halali

    • @masweto
      @masweto Před měsícem

      Huyu mtokambali ni anjent

  • @ElineMakundi
    @ElineMakundi Před dnem

    Kweli kbs usemayo , umemsahahu mchungaji katekela geita moja hiyo ni 🔥

  • @user-lk5it5zy6m
    @user-lk5it5zy6m Před měsícem +4

    Sema ukweli mtumishi wa Mungu tuko pamoja ❤❤

  • @sallymlagalila4026
    @sallymlagalila4026 Před měsícem +1

    Mungu atusaidie sana..... maana angetupa nafasi ya kuhukumu ingekuwa taabu sana....... mm haya nayaita majungu kwa sababu unadeal na mtu mmoja amba yupo ndani ya uwezo wako kumwambia et

  • @user-mo4dq6vb9u
    @user-mo4dq6vb9u Před měsícem +5

    Sio Magembe tu, wapo wengi sema tu hawajapata nafasi ya kuwa kwenye media kulingana na hali za ki uchumi.

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc Před měsícem +6

    Ev Pasco,Casian,Mungu akuzidishie kila baraka,Mtoka Mbali pamoja na badhi ya wachungaji wanalipeleka kanisa moyoni bila kujua,,Umefika wakati wa matengenezo mapya

  • @LucasLaizer-if2du
    @LucasLaizer-if2du Před měsícem +6

    Nakufuatialia sana mtumshi wa mungu nikiwa arusha natamani nikuone siku Moja mtumshi

  • @user-sn2dq2tz2k
    @user-sn2dq2tz2k Před měsícem +6

    Sem tu maana hali ni mbaya MUNGU akubariki sana BABA

  • @charlesrweyemamu8352
    @charlesrweyemamu8352 Před měsícem +4

    Very well spoken,stay blessed!

  • @SolomonSamwel-z2m
    @SolomonSamwel-z2m Před 16 dny

    God bless you man of God by speaking True Evangelistic

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9h Před měsícem +6

    Mchungaji Katekela anaeleza namna walipokua kuzim kazi walichokua wanafanya kwa ajili ya kupotosha makanisa ya kipendekoste tunaona yanayotendeka sasa

  • @PaulLuziga-bn1zv
    @PaulLuziga-bn1zv Před měsícem +2

    Ubarikiwa sana Mtumishi wa Bwana. Na Mungu zaidi kukutumia 🎉

  • @daniellambert8903
    @daniellambert8903 Před měsícem +10

    Mungu akubariki sana pastor na ukaendelee kuhubir injili ya kweli

  • @anociatafungameza
    @anociatafungameza Před 18 dny

    Askofu Mtokambali yuko vizuri sana, na ndiyo maana tuna miaka 13 ya moto wa uamsho ili Roho mtakatifu atutengeneze. Naipenda sana TAG. Imenilea vyema kiimani na sasa naendelea vizuri. Utukifu ni kwa Bwana.

  • @nemitv7850
    @nemitv7850 Před měsícem +3

    Casian Mungu akubariki sana, i wish to meet you one day.

  • @user-uk5so4en5o
    @user-uk5so4en5o Před měsícem +1

    Amina ubalikiwe sana mimekuelewa Sana Mungu akutunze Sana uzidi kutwambis ukweli na ukweli utabakia kua ukweli 🙏🙏🙏🏽🙏🏽

  • @user-gh4ym7ji8v
    @user-gh4ym7ji8v Před měsícem +3

    Mungu wa mbingu na nchi uturehemu Ee BABA YETU. Unatuonya YESU KRISTO mwokozi wetu, tusaidie kuelewa BABA, tusishupaze shingo zetu zikavunjika Ee BWANA.

    • @FidesKimati
      @FidesKimati Před měsícem

      Amesema Kweli tupu,😢 kanisa la TAG liko hatarini kuelekea kwenye udinu

  • @geofreydamas1697
    @geofreydamas1697 Před měsícem +1

    Kuabudu kunamleta Mungu karibu na nyimbo za kuabudu na tenzi za rohoni .But siyo hayo mapigo ya kidunia

  • @PeterDeogratias
    @PeterDeogratias Před měsícem +3

    Asante mtumishi ,,kabisaaa kabisa , TAG tag tag tusipo ludi tunakufa. Asante mtumishi

  • @florencekasambula6497
    @florencekasambula6497 Před měsícem +5

    MUNGU ANATUPENDA TAG NDOMANA AMETUMA MJUMBE WAKE❤❤❤❤

    • @user-pq5fb6ip7w
      @user-pq5fb6ip7w Před měsícem

      Haswaàa mie nimemwelewa ni ukweli mtupu

    • @EdwinMbwilo-fj6bf
      @EdwinMbwilo-fj6bf Před měsícem

      Wakati umetimia TAG tubadilike maana hali ni mbaya sana tumefika mahali pabaya Wachungaji wanalogana na kuwekeana sumu ajabu!

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 Před měsícem +23

    Hata Mimi ni m TAG nimeona unayo sema ni kweli natamani Mungu angenipa kibali na Mimi niseme na Dunia na kanisa pia😭😭😭🙌

    • @sarahamri1620
      @sarahamri1620 Před měsícem

      Unaroho wa Mungu bado nenda kanisa la casian ,vp we umeacha kujipamba

    • @Shirimaneema
      @Shirimaneema Před měsícem +1

      Acha ngano na magugu yakue pamoja Yesu atakapokuja atapepeta mwenyewe. Ngano Ni wake waliomchagua Yesu kama MWOKOZI wao. Na magugu waliochagua njia za shetani hivyo tujiandae.

    • @JohnMakongo-tg3ms
      @JohnMakongo-tg3ms Před měsícem +1

      ​@@Shirimaneema na wewe uliyesema magugu na ngano yakuwe pamoja nawe wawaza kishetani ???ngano ijulikana

    • @user-tj8ds4iq5w
      @user-tj8ds4iq5w Před měsícem

      kibari.unacho tayali dada sema tu na wewe

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 Před měsícem

      Mpaka Yesu anarudi ndani ya tasisi yoyote ya kidini,dhehebu,hakutakosa wenye dhambi.hata hao wasiyovaa mawigi wapo wadhambi wakubwa,hata wale wanaovaa dela wapo wadhambi na wanafiki wakubwa.

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 Před měsícem +1

    Wachungaji wengi wa TAG wako kawaida sana wameuacha witu wao, wameigeukia Dunia

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Před měsícem +6

    Sio mzee Maghembe tu tupo wengi tuliobaki salaam usiseme amebaki Maghembe sisi tupowengi

    • @yuzzob
      @yuzzob Před měsícem

      Taa ikiwaka itaonekana tu. Barikiwa

    • @basilisamsaka8469
      @basilisamsaka8469 Před měsícem +2

      Usikike kama magembe

    • @BeatriceMlowe-iz5uj
      @BeatriceMlowe-iz5uj Před měsícem

      Ameen bila kumsahau baba yangu THOBIASI THAMBIKENI forest yakwanza mbeya❤

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 Před měsícem

      WEW ANAKUJUA NAN? MAGEMBE HAPO ANATUMIKA KMA MFANO MAANA ANAJULIKANA

    • @joelnjenza8320
      @joelnjenza8320 Před měsícem

      ​@@BeatriceMlowe-iz5ujeeeh tambikeni yuko vizuri

  • @annastaziangowi4036
    @annastaziangowi4036 Před měsícem +1

    Mungu akutie nguvu akuongezee ujasiri, hakika yanayoonekana hasa mavazi yanatisha. Shetani amepofusha fikra zao wasiifikilie kweli Kwa kufuata Namna ya Dunia hii.

  • @patrickgirigo3144
    @patrickgirigo3144 Před měsícem +15

    Njia (Methods) za kupelekwa INJILI zinaweza kubadilika lakini UJUMBE wa Habari Njema za Yesu Kristo ukabakia ule ule" . Utamaduni lazima ubadilike kulingana na Jamii husika; TAG ya 1980 kamwe haiwezi kuwa TAG ya 2024; RC catholic hata sasa wana Charismatic/Uamsho. Kanisa letu zuri la TAG kinaendelea Vizuri chini ya Baba Askofu Mtokambali

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před měsícem

      Wewe ni kipofu.
      Neno halibadiliki na mazingira hata milele.
      2WAKORINTHO 6:16
      16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
      Sanamu ni kitu kilichotengenezwa kwa kuiga kilichoumbwa na Mungu. (Nywele bandia (sanamu ya nywele - Nywele halisi zilishaumbwa tayari n.k)
      HUO NDIYO UKWELI

    • @AnnaSimon-yx9hh
      @AnnaSimon-yx9hh Před měsícem +2

      YESU KRISTO NI YEYE YULE JANA LEO HATA MILELE, NENO LA MUNGU HALIBADILIKI HATA KAMA SISI TUBADILIKE. NDIYO YAKE NI NDIYO NA HAPANA YAKE NI HAPANA.

    • @emmanuelIsack-yv8gr
      @emmanuelIsack-yv8gr Před měsícem

      Hii ni kutafakari tuangarie sana dunia isiingie kanisani, haya mambo yanahitaji HEKIMA sana.
      Msifuatishe NAMNA ya dunia hii, ni NAMNA gani ya dunia

    • @KsaC711
      @KsaC711 Před měsícem

      1 timotheo 5:20

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před měsícem +2

      @@KsaC711
      20 Wale wadumuo kutenda dhambi uwakemee mbele ya wote, ili na wengine waogope.
      1 Timotheo 5:20

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Před 19 dny

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu,siku hizi hakuna nyimbo zinazoshusha utukufu wa Mungu,utakuta wimbo mwanzo mwisho hauna hata neno moja la Mungu kutoka kwenye Biblia

  • @AgnesKalinga-if3uf
    @AgnesKalinga-if3uf Před měsícem +12

    ......inatia huruma sana badala ya Magembe kupumzika sasa vijana wafanye kazi, ndo kwanza akiangalia anaona moto wa kigeni unapamba moto madhabahuni. Atafika kwa Yesu amechoka sana huyu mzee!

  • @geoffreymagessa289
    @geoffreymagessa289 Před měsícem +1

    Ni kweli wametoka ktk misingi ya Neno la kweli ya Mungu.

  • @CatherineMkumbo
    @CatherineMkumbo Před měsícem +3

    Ubarikiwe sana mungu kukupa macho ya rohoni kuyaona haya walio wa rohoni watajua na kujifunza

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před měsícem

      Tatizo Letu Ni kumfumgia Mungu ndani sehemu mdogo kama Kiota cha njiwa.

  • @elizabethkaiche17
    @elizabethkaiche17 Před měsícem +1

    Ebrania 5:13 - 14 Chakula kigumu ni kwa ajili ya watu waliokomaa ....... Mungu tutie nguvu .

  • @michaelmapile4794
    @michaelmapile4794 Před měsícem +8

    huu ni ukweli tu .. kunamahali nimewahi kuhubiri mavazi nilikemewa sana........na ni ujumbe wa MUNGU kabisa na umekuja kwa mda sahihi

  • @enithamtela3280
    @enithamtela3280 Před 7 dny

    Kwa Sasa hayo yakiguswa tu inaonekana ni kupitwa na wakati na ushamba, Ee Mungu tusaidie!

  • @RozaliaSanka-kv5dy
    @RozaliaSanka-kv5dy Před měsícem +4

    Mungu akubariki Sana,Shida watasikia lkn hawataelewa

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 Před měsícem +2

    Sio tu wapentekote, ila makanisa yote ulimwenguni kwa jumla. Wachungaji hawaneni kuhusu matengenezo, wamekua wapotoshaji iliwajinufaishe.
    Kanisani lazima kukifunika kichwa chako ili kuonyesha hekima mbele za mungu.
    Injili ya matengenezo ilikuwepo enzi za zama za kina Paulo. Ni wachache wanaohubiri kwa kikamilifu jinsi unavyosema, ila wengi wao wapo kwa ajili ya tamaa zao wenyewe.

  • @BonepherceMichael
    @BonepherceMichael Před měsícem +3

    Amina mtumishi wa MUNGU aliye hai, akubariki, Akutunze, na kukulinda. Zaidi MUNGU Aliye hai azidi kukupatia maonyo, kukemea, na kukaripia maovu kwa wana wa Mungu. Ni kweli kanisa linapoteza mwelekeo.

  • @user-jl1fq6qm9q
    @user-jl1fq6qm9q Před měsícem +1

    Kwakweli ubarikiwe sana mtumishi WAMUNGU 🙏 Mimi siangalii cheoo chochote lakini tumebaki na mozesi magembe tu haya mengine yameoza kabisa nawe MUNGU ukubaliki sana soma kweri Hadi YESU aludi

    • @user-un2td1no5f
      @user-un2td1no5f Před měsícem

      Kweli kabisa tumebaki na Magembe

    • @user-jl1fq6qm9q
      @user-jl1fq6qm9q Před měsícem

      MUNGU azidi kukufintanga uwe hivyohivyo usibadilike hata kama watakupanga wewe Songa mbele katika jina RAYESU

  • @ContentClam-df1vy
    @ContentClam-df1vy Před měsícem +3

    Mtumish mungu akubrk saana nyimbo zako zime nijenga saana

  • @judithpaul-kz4ov
    @judithpaul-kz4ov Před měsícem +1

    MUNGU akurehemu Sana wewe una hata ekima ndani yako awa ndo watu wasio na wazazi wa kiroho hiii ndo shida TAG fire tupo vzr Sana tusonge Mbele

  • @husseinkibona3277
    @husseinkibona3277 Před měsícem +3

    Mungu akubariki mtumishi kwa kuwa na macho ya Rohoni

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Před 15 dny

    Nimeangalia mpaka mwisho nikagundua ni ushamba wa kimitazamo wala usijiegeshe kwenye Imani maana na imani ipo iliyopotosha usitulazimishe kwenda kama unavyotaka

  • @Ministerjamesmikoma
    @Ministerjamesmikoma Před měsícem +4

    Sema Hekima ya Mtoka Mbali ni kubwa Sana Kuliko Ninyi Siumeona Hajibu kitu Mzee Wa Watu..

    • @omuze1290
      @omuze1290 Před měsícem

      Hekima ipi? Afanyie kazi ushauri huu kwa kuondoa miungu ya kigeni ndani ya kanisa kama alivyofanya mfalme Hezekia. Hii ndiyo itakuwa hekima.

    • @erickmahay3411
      @erickmahay3411 Před měsícem +3

      Kukaa kimya huku kanisa linaharibika ndio hekima?mimi ni Wa TAG naona kabisa ujumbe unatuhusu

    • @erickmahay3411
      @erickmahay3411 Před měsícem +1

      Atajibu nini dawa imemuingia

    • @BeatriceMlowe-iz5uj
      @BeatriceMlowe-iz5uj Před měsícem

      Anajua mikataba ya kimapepo aliyo isainii kuiuza TAG kwa mashetani bora EAGT

    • @BeatriceMlowe-iz5uj
      @BeatriceMlowe-iz5uj Před měsícem

      ​@@erickmahay3411hapo sasa 😂

  • @DamianKunzugala
    @DamianKunzugala Před 11 dny

    Amen sema ukweli tupone wanafanya mambo ya ajabu sana makanisani wakisema daudi alicheza hawajui alicheza vipi

  • @user-cl5yq6ne3q
    @user-cl5yq6ne3q Před měsícem +10

    Rushwa za zawadi zimewapofusha macho ya kiroho hivyo wengi hawaoni!!!!!!

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 Před měsícem +1

      Wewe umewapa ngapi zilizowapofusha?

    • @m.m.tvmbebamaono
      @m.m.tvmbebamaono Před měsícem

      Amesema kweli

    • @Emmadav1
      @Emmadav1 Před měsícem

      ⁠anafikiri kwa kufanya hivyo atapata attention. Kama yeye sio mTAG ameyaona wapi hayo mavazi? Wameingia kwenye huduma kupiga hela na hawana kitu kichwani

    • @emmanuelrweikiza6117
      @emmanuelrweikiza6117 Před měsícem

      Kwa anayeonywa hana haja ya kujitetea kwani wewe huoni maajabu yanayoendelea kwenye kqnisa cha msingi ni kila mmjo kuangalia alicho nacho maana hali ya kanisa ni mbaya mnoo​@@Emmadav1

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před měsícem

      ​@@Emmadav1Wewe ni M TAG bali wengine hatutaki hata kidogo kuwa WA TAG.
      Ni bahati mbaya sana kuwa M TAG.
      Bali yafuta kuwa mwanafunzi (MATHAYO 28: 18-20)

  • @anociatafungameza
    @anociatafungameza Před 18 dny

    Hata Mch. Magembe tunayapokea mafundisho yake na yanaendelea kututegeneza, Maana TAG ina vyombo vya kila aina kwa ajili ya utukifu wa Mungu.

  • @frankbutati8343
    @frankbutati8343 Před měsícem +4

    Sauti ya MTU aliaye nyikan, wakusikia asikie hakuna hila ndan yake

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara1950 Před měsícem +2

    Hata watoto wa watumishi mavazi yao hamtukuzi Mungu, na wazazi wao wanaona wala hawakemei!! wajali tu kuhesabu sadaka.....

  • @kibona_graphixstudio
    @kibona_graphixstudio Před měsícem +6

    PASTOR VIPI SIKU UKIONGELEA MAZURI YAO PEKEE,
    NAONA HUWA UNAFOCUS TU NA MABAYA YA MTU

    • @Vido_Media_Swahili
      @Vido_Media_Swahili Před měsícem

      Hatujifunzi kutokana na mazuri, tunajifunza kutokana na makosa. Ukiambiwa mazuri huwezi kujifunza, ukiambiwa makosa yako utajirekebisha. Ndicho anachokifanya huyu mtu. N:B USIAMINI KILA ROHO, ZIJARIBUNI KWANZA MUONE KAMA ZINATOKANA NA MUNGU

    • @kibona_graphixstudio
      @kibona_graphixstudio Před měsícem

      @@Vido_Media_Swahili 🤣🤣🤣
      Kwahiyo yeye kazi yake ni kutafuta makosa ya watu tu ndo aongee

    • @oscardosantos4202
      @oscardosantos4202 Před měsícem

      Injili ni kuwaambia watu uovu wao ili wauache

    • @jofreyalmasmsungu9583
      @jofreyalmasmsungu9583 Před měsícem

      Huyu hana habari njema ametumwa habari mbaya tu cjui ni Mtumishi wa nani

    • @jofreyalmasmsungu9583
      @jofreyalmasmsungu9583 Před měsícem

      ​@@kibona_graphixstudionabii gani anatabiri baada ya kuona hayo ni mjungu tu

  • @judithmwamakula6535
    @judithmwamakula6535 Před 18 dny

    Amen. Ubarikiwe

  • @amanisanga3251
    @amanisanga3251 Před měsícem +4

    Mimi ni mch. TAG. nimipokea hili. Japo naamini Ask Mtokmbali ni mnyenyekevu ungemfata ofisini. Kumbuka tag ni baba wa wa Pentecost

    • @erickmahay3411
      @erickmahay3411 Před měsícem +1

      Akuna hicho kitu yanaharibika hadharani yasemwe hadharani

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před měsícem +1

      Hakunaga kitu kiitwacho Baba wa pentekoste, maana siku ya pentekoste ilikuwepo kabla ya TAG na ndiposa tumeona kuwa mitume walijazwa siku hiyo ya Pentekoste, hata TAG hakuwepo

    • @pilotimani
      @pilotimani Před měsícem

      Amina pia kumbuka yesu alisisitiza unyenyekevu na hakuna aliye mkubwa au mdogo wote ni sawa je unafikili kwa phd ya baba askofu angeweza kumsikiliza ndugu pasko ambaye huenda bachelor ya theolojia huenda hana ni ngumu muhimu ujumbe umefika kila mtu BWANA MUNGU kamleta kama mkemeaji na wala tusimchukie ila ni ukweli mimi nimezaliwa na kukulia TAG Lakini na shangaa kwanini mambo yakidunia yameangamiza kanisa la bwana wa mama wanajipamba na kusuka tofauti na neno la Bwana umbea na masengenyo yamejaa na pia mziki wa kidunia kama ma sebene na nyinginezo style za kucheza ambazo Biblia imekataza kumwabudu MUNGU kama wengine wanavyomwambuni yaani wapagani sasa unashindwa kutofautisha kati ya watu wa Mungu kuanzia mavazi , namna ya kuongea mtazamo , mziki wa kidunia , na watu wa Mungu tunapotea Wa mama wengi hawaendi mbinguni MUNGU ANAANGALIA MOYO , MWILI, NAFSI NA ROHO KIMOJA kikinajisika hatuwezi kumwona mungu , mambo kama, chrismass na mwaka mpya sherehe za kidunia, kuvaa pete za nduo , eleni na mapambo , pete , wanawake kusuka nywele, jamani acheni ubishi eti paulo au Peter alikuwa analiambia kanisa la zamani kikubwa ni maonyo ya sisi wote kuliko wachungaji msiongee ukweli kisa mapokeo alafu watu wakifa waende motoni itakuwa mmezulumu na kuwakosea sana NDUGU ZANGU TAG kanisa langu tubadilike mbinguni hakiingii kilichokinyonge

    • @josephsimbeye5305
      @josephsimbeye5305 Před měsícem

      huyu sijui ametumwa na hao mtume amechanganyikiwa kuona watu wengi asikofu huwa mda mwingi yupo dodoma na moro na dar na namba simu zipo anatafuta kitu gan na kama ana maoni angemtafuta kwa njia yoyote hapo

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před měsícem

      @@josephsimbeye5305
      1TIMOTHEO 5:20 20 Wale wadumuo kutenda dhambi uwakemee mbele ya wote, ili na wengine waogope.
      UOVU HAUKEMEWI KWA SIRI BALI HADHARANI ILI NA WENGINE WAOGOPE.
      MAANA MADHARA YALETWAYO NA WACHUNGAJI VIPOFU WA TAG NI MAKUBWA SANA YA KUWATUPA KONDOO KUZIMU KULIKO HESHIMA YA MTU BINAFSI.
      ACHA UNAFIKI WA TUMBONJ HUO.

  • @JesusismyLord-o5u
    @JesusismyLord-o5u Před měsícem

    Amina, hata Mimi nilisukumwa sana kumuonya huyu mtokambali na Juzi nilimtumia ujumbe Facebook kwenye messenger, wanafanya maigizo kanisani siku za sikukuu zao za wamama waimba nyimbo za kuabudu kwa midundo ya sebene na singeli, hawaonyi watu waache mawigi na mapambo wanawake hawafuniki vichwa wakiwa madhabahuni, kanisa limekataa kweli ya neno la Mungu, wanawake wanapewa uchungaji kitu ambacho ni kinyume na neno la Mungu.
    OLE WAKO MTOKAMBALI USIPOTUBU NA KURUDI KATIKA MSINGI WA KWELI YA NENO LA MUNGU, HUKUMU YA MUNGU INAKUJA

  • @jacksonbarnaba9088
    @jacksonbarnaba9088 Před měsícem +4

    mwenyezi mungu atusaidie ktk hili.

  • @josephjoel9391
    @josephjoel9391 Před měsícem

    Barikiwa mtumishi wa Mungu songea mbele katika kunena kweli ya Kristo tupo katika nyakati za mwisho na za hatari Mungu akubark maana ukisasa na udunia umlivamia kanisa la leo

    • @PhilbertLameck
      @PhilbertLameck Před 20 dny

      Injili yakweli huanziq nyumbani mke wako mbona alikuw anayavaa hayo huku unahubili hvy hvy watu wanakupongeza lakin ww pia tukuambie ukweli hunahekimq ktk hayo kama unaujumbe unamhusu mtu siumwambie yeye maana unampomtaja mtu niujunbe unaonhusu yeye iweje kumsema kwenye mtandao hunahekimq kabisa wala busara casianno yaan ww Kila mtu akiinuka kufanya jambo jema bas uko kinyume naye aisee nikweli unahubili lakin hekima kwako hakuna kabisa

  • @DanielNasibu
    @DanielNasibu Před měsícem +6

    Paschal ubalikiwe nikweli Dunia Iko makanisa mungu atuhulumie

  • @musamally-uh1ry
    @musamally-uh1ry Před měsícem +1

    Tuzid sana kumuomba MUNGU na roho mtakatifu watuongoze vyema na watusaidie sana Bwana wa majesh tusamehe sana tunaanza upya.

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 Před měsícem +3

    Leo umepiga kombora kubwa sana ,safi sana

  • @EmmanuelSanga-ts8fk
    @EmmanuelSanga-ts8fk Před 10 dny

    Kwamaono niliyowa kuona ningumu kuona ufalme siko kujulisha maono niliyoona maana ningumu kuamini ila lengo ni kujulisha ninacho fahamu kuhusu ufalme wa Mungu

  • @mchungajiegidiuskategile5773
    @mchungajiegidiuskategile5773 Před měsícem +7

    Mimi ni Mchungaji wa TAG Kwa hapa nakupa ongera Sana uwo ndo ukweli

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 Před měsícem

      TAG ya wapi?

    • @user-pq5fb6ip7w
      @user-pq5fb6ip7w Před měsícem

      ​@@bahatimshali2731Tanzania Kuna TAG ngapi?

    • @ErnestAdriano-lw7fe
      @ErnestAdriano-lw7fe Před měsícem

      Acha upastor mfate uyo n kanisan kwako atujiten😂😂😂 be careful waheshimu mamlka so be care full akuna mtu alikuja uchi kule eti upo pamoja nae😂😂😂 je TAG ya marekani simsingesema awajaokoka siku nilitakan uje uone

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před měsícem

      Upo sahihi

  • @tungarazalucas1478
    @tungarazalucas1478 Před měsícem +2

    KUSANYIKO HILI NA UAMSHO HUU UMELALUA KUZIMU NA FREEMANSON HAKUKALIKI NI MOTOOOO WA YESU NA UZIDI KUWAKA. MTOKA MBALI BABA CHANJA MBUGA MAPEPO YANAANZA KUPIGA KELELE

  • @zacharianyanda5424
    @zacharianyanda5424 Před měsícem +4

    Mungu akubariki wewe ni kama Mikaya. Unawaonya wakubwa sijui kama watakubali
    Mungu awasaidie.

  • @chanilasumbuko
    @chanilasumbuko Před měsícem

    Bwana Yesu Kristo akutie nguvuu daima Mtumishi wa Mungu, Hakika hatakuacha Simama kwa zamu yako na Mungu atakutetea🎉

  • @EmmanuelMwanjala
    @EmmanuelMwanjala Před měsícem +8

    Acha dharau wewe Pascal usimdharau Askofu mkuu wa TAG kiasi hicho hata kama una jambo la kusema si kwa uwasilishaji usio na nidhamu kiasi hicho wewe na Mbarikiwa sijui nini kinawasumbua, ajidhaniae kuwa amesimama aangalie......

    • @edsonndomba1049
      @edsonndomba1049 Před měsícem +3

      Hajamdharau amesema kweli kabisa

    • @aldomlowe2587
      @aldomlowe2587 Před měsícem +1

      Ukisoma kitabu Cha Yeremia chote utajua namna manabii wakweli wanavyofikisha ujumbe. Wengi hawakumuelewa na hata wakijijini kwake. Lakini ndio Mungu alikuwa alisema na taifa. Kwa ukaidi wao wa kuona kuwa Wana hadhi kubwa kuliko Yeremia wakadharau wakapata adhabu kwa Bwana. Tubadilike tuu

    • @KsaC711
      @KsaC711 Před měsícem +1

      1 timotheo 5:20 Casian ni mtumishi nabii wa kweli wa Mungu aliye hai

    • @KsaC711
      @KsaC711 Před měsícem +1

      Ezekiel 2:1.... .4

  • @laurentjeromekwai9445
    @laurentjeromekwai9445 Před měsícem +4

    Nina kupinga katika maeneo mawili
    1. Mahubiri yako yamejawa na kutajataja majini ya nani amefanya kosa gani na nani yuko sahihi . Angaza na wewe kurekebisha hapo palipobomoka kwa kufundisha vizuri neno la MUNGU na kulichambua .
    2. Hatutakiwi kutafsri NENO la MUNGU kimihemko hivyo , yaani unatafsiri kuwa kujipamba kwenu kusiwe kwa nje maana yake ni hiyo uliyoisema ..? Mmmh ..!! Roho mtakatifu akuongoze kikamilifu kwenye kulitafsiri neno .
    Mwisho : Ninakukubali sanaa sanaa ,roho wa MUNGU akusaidie sanaa kukufunulia maandiko yake matakatifu ili uwezi kufanya uwasilishaji usio na mihemko wala mawaaa
    AMEN _✍

    • @BlandinKalistus
      @BlandinKalistus Před měsícem +1

      Kwani wewe hutaki injil iliyonyooka ? Umezoea injili za vificho ww😮

    • @oscardosantos4202
      @oscardosantos4202 Před měsícem +1

      Injili ni kunyooka sio konakona,,

    • @AnnaSimon-yx9hh
      @AnnaSimon-yx9hh Před měsícem

      Heri anayesema kweli sasa maana baada ya kifo ni hukumu,, ni Bora niumie sasa ili niwe salama baadae , MBINGU ya MUNGU inaviwango vyake hvyo usipotoshe watu kwa mapenzi yako mwenyewe maana Huna MBINGU, mwenye mbingu anavigezo vyake , NENO LA MUNGU ,LISILOPINDA. UBARIKIWE MTUMISHI CASSIAN SONGA MBELE MUNGU YU UPANDE WAKO

  • @ruganoantony
    @ruganoantony Před měsícem +1

    Amen Mtumishi kweli injiri Bila kupepesa mcho

  • @amaniyona3134
    @amaniyona3134 Před měsícem +3

    Nikweri yaani hawaeleweki ushuhuda sijawahi ona storituuu yaani hakun kitu

  • @EverineMandia
    @EverineMandia Před měsícem

    Mungu akulinde Sana nami ninazidi kukuombea kwa kuwa unanifundisha vitu vingi ubalikiwe San mtumishi

  • @erickmsimbe5424
    @erickmsimbe5424 Před měsícem +4

    Sio TAG peke yake ujumbe huu ni kwa wote waliomwamini Kristo Yesu kanisa turudi kwenye msingi Yesu anarudi

    • @CatherineMbatta
      @CatherineMbatta Před měsícem

      Kabisa kama unaonya wakrusto wote hapo sawa ila ukisema TAG hapo ni kama ana chuki binafsi ,oonye kanisa lote kwa jumla sio TAG Tu,kingine kwenye mziki atuachie wa TAG wenyewe yeye ni msabato tangia lini msabato akajua tenzi??? Kingine yeye mwenyewe ni muimbaji beet zake zikoje???

    • @kessedyngole8063
      @kessedyngole8063 Před měsícem +1

      Kweli waumini tutengeneze roho zetu na tuwe kielelezo kwa tabia na mavazi yetu .Mungu atuwezeshe kuwa kielelezo cha MWILI WA KRISTO.

    • @emmanuelrweikiza6117
      @emmanuelrweikiza6117 Před měsícem

      ​@@CatherineMbatta kwani ukisoma yale makanisa ya kitabu cha ufunuo yaliwakilisha kipindi cha kanisa lakini pia yaliambiwa makanisa halisi kwa majina nao huenda walisema ni chuki za mzee YOHANA cha msingi tutengeneze na ukionywa unatakiwa kufurahi maana unapedwa na Mungu

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před měsícem

      ​@@CatherineMbatta
      Wewe chukua ya kuponya nafsi yako. Usiumie moyo eti TAG imehubiriwa.
      Maana mahubiri haya ya sasa ni maalum kwa TAG, na wengineo watafuatia ama wamekwisha hubiriwa

  • @user-is9sd4mz9d
    @user-is9sd4mz9d Před měsícem

    Jaman wainjilisti wanapotukemea ktk mabaya tusiseme wanahukumu, cha msingi ni kujitathimin kama kinachozungumzwa ni kweli au sio kweli, na kisha kufanya matengenezo, tusiwe wabishi na kufanya mabishano yasiyo na faida, ahsanten na Mungu awabariki.

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz Před měsícem +3

    Mimi nimTAG nitajitahidi. Kwanafasiyangu. Watu niwagumu mungu. Wabwanayesu anisaidi .weweunasema kweli mtumishi

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz Před měsícem +1

    Mtokambali. Mfante nyayozamagembe jitahidi. Kiongoziwangu tunakupenda. Namungu anakupenda

  • @tinnerphillip615
    @tinnerphillip615 Před měsícem +4

    Hivi wewe mtumishi au unatumikishwa,hivi wewe ninani nahata kazi Yako imekuwa kuhukumu wengine,niwapi pameandikwa nakukupa mamlaka yakutuhukumu,wewe hiyo kweli unayoijua niipi naninani amekuthibitisha wewe kuinua kweli,mbona umekosa mahubili yakueleweka?jirekebishe kaka unatuboa.

    • @emmanuelrweikiza6117
      @emmanuelrweikiza6117 Před měsícem +1

      Hata yohana alipokuwa anawaambia tubuni mkaiamini injiri watu walisema anahakumu na hata wakamtafuta kumuua cha msingi angalia njia zako kama upo sawa kaza mwendo na kama kunamashaka ni kutengeneza na si kuboreka ukweli ndo huo kanisa halipo vizr

    • @oscardosantos4202
      @oscardosantos4202 Před měsícem +1

      Injili haiji kama unavyotaka wewe,, ayo ni maonyo kutoka kwa Mungu.

    • @shungulotv.6016
      @shungulotv.6016 Před měsícem

      Kaa chini ujitafakari ndugu,
      Karibu UWATA pia utubu dhambi na kuziacha

    • @PaulLuziga-bn1zv
      @PaulLuziga-bn1zv Před měsícem +1

      Watu wa Rohoni huyatambua mambo ya Rohoni. Ila wewe naona kama hujamuelewa Mtumishi.

    • @zabibusaidi1404
      @zabibusaidi1404 Před měsícem

      Huyo sio mtumishi anatumikishwa kukosoa angehubiri tumsikie

  • @saraisak2104
    @saraisak2104 Před měsícem +2

    Sasa nafikiri hayo sio mahubiri huo ulikuwani ushauri tuu au ukosoaji kwani KATIKA dunia hii woteni TAG unaposema mtokambali hamuungi mkono magembe wakatihuo unamuambi,mtokambali au dunia kanuni yakinabii nikumfikia Mtu, KANISA kwamaonyo, Mimi niseme aonavyo mtu nafsini mwake

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před měsícem

      Itakusaidia nini, unafiki huu? Yaani hata ukiiba, ama ukikaa uchi dhambi itategemea na uonavyo moyoni mwako?

  • @JohnMfundo
    @JohnMfundo Před měsícem +3

    Jamani kwa unyenyekevu wa baba yetu mtokambali mi namkubali tu

    • @geraldmakalala6091
      @geraldmakalala6091 Před měsícem +1

      Unamkubali vipi?
      Wakati Mungu amemtuma mtumishi wake kuwa wanahubiri injili nusu?

    • @giftpaul2957
      @giftpaul2957 Před měsícem

      Tunamuelewa saaaaana Mzee Mtokambali

    • @EdithaKiulu-ub8wd
      @EdithaKiulu-ub8wd Před měsícem

      ​​@@geraldmakalala6091Unauwakika katumwa Na Mungu? Kwa nn hakusema kabra ya maadhmisho kufanyika? Alisubir akusanye kasoro ndo aseme? Kama angetumwa basi asingetumia hivyo vikasoro vyenye amesema? Maana najua Mungu ni mnyenyekevu Sio wa kumuagza mtu na afanye vituko zenye ANAFANYA! Kama izi

  • @UswegeJohn-ov3ym
    @UswegeJohn-ov3ym Před měsícem

    Sawa kabisa,hao ni viongozi wachumia tumbo tu,Walimtesa Mtumishi wa kweli MOSES KULOLA KWA kumtesa na kumfunga gerezani kama mhalifu kisa kuchumia tumbo tu.
    TAG wamebaki na kiburi cha uzima tu,wakidhani wao ndio wanamjua MUNGU peke yao na wengine wote wanawaita IMANI POTOFU.
    LAANA YA MOSES KULOLA ITAWATAFUNA TU MSIPOTUBU,!

  • @user-zs7wn3xe7o
    @user-zs7wn3xe7o Před měsícem +5

    Anaekuonya anakupenda. Mungu atusamehe.

  • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
    @AlphaxardMRusweka-jr1wi Před 6 hodinami

    kwa kweli kama byimbo ndo hivyo,mmmmh ,HAPANA bana.wajifunze kwa wasabato

  • @ChikondiMadaliso
    @ChikondiMadaliso Před měsícem +8

    Magembe anauchugu ametoka mbare jamani mungu atuhurumie