DR.GWAJIMA AWEKA WAZI NDOTO YA UKOMBOZI WA UCHUMI WA TANZANIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 271

  • @HAAM670
    @HAAM670 Před měsícem +14

    "Asiyemuelewa Gwajima ni adui wa Gwajima" Aisee nimechekaaaa, hiki Kichwa Watanzania kitumieni, kitumieni, kitumieni. Nawasihi, nawasihi tena ktk Jina la Bwana.

  • @HynessWilliam
    @HynessWilliam Před měsícem +4

    waooh 🥰, nakuelewa kabisa unafaa kuwa raisi kabisaaa. Mungu wetu afanye njia

  • @rehemasuleiman7469
    @rehemasuleiman7469 Před 28 dny +4

    Ameen
    Yusufu wa Tanzania Mungu akutunze

  • @farajaMezza-qn4be
    @farajaMezza-qn4be Před měsícem +3

    Mungu akulinde Gwajima; love you since day 1
    Jesus is LORD

  • @veronicakiganga4547
    @veronicakiganga4547 Před měsícem +5

    Keep it up Man of God. Fear not. Jesus is with you. Amen.

  • @menasidili-nd9tx
    @menasidili-nd9tx Před měsícem +3

    Mungu akulinde na watu wabaya na akuheshimishe

  • @user-vi2zx1qj3d
    @user-vi2zx1qj3d Před měsícem +4

    Mtumishi wa Mungu uko vizuri. Nakuunga mkono.

  • @sendemwasende4458
    @sendemwasende4458 Před měsícem +5

    Mapenzi ya Mungu lazima yatimie... nani anabisha 👏👏

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 Před měsícem +1

      Mimi sibishi kwanza mama muoga amna anachokifanya kilasiku mama ata muda wa kumpa mapenzi mme wakeaupati akae pembembeni

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Před měsícem +2

    Mch.Gwajima nmekuelewa vzr sana...tupo pamoja

  • @veronicakiganga4547
    @veronicakiganga4547 Před měsícem +9

    Naam! Huyu ndio Raisi wa Tz.

  • @user-zm7kk1tr5l
    @user-zm7kk1tr5l Před měsícem +10

    Wasukuma tujuwane akiri kubwa sana

    • @valenakomba9218
      @valenakomba9218 Před měsícem

      Hapa haongelei ukabila. Anaongelea maneno ya Mungu. (Mipango ya Mungu.)❤❤❤

  • @emmanuelmwailenge8887
    @emmanuelmwailenge8887 Před měsícem +6

    Aminaaa, ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU.

  • @nathanmao159
    @nathanmao159 Před měsícem +6

    Hii nchi itakombolewa na msukuma❤

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 Před měsícem +9

    Kupititia mzee Gwajima nilianza kazi ya kilimo kwetu Congo, na pia nafuga na naendelea na mengine mengi Cheers 🥂✊✊

  • @UswegeJohn-ov3ym
    @UswegeJohn-ov3ym Před měsícem +5

    GWAJIMA DESERVES TO BE THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA!!
    MAY THE ALMIGHTY GOD BE WITH HIM!!!

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 Před měsícem +6

    Haya mazombi yenye uchu wa madaraka yatamletea fitina huyu mtumishi,pengine hata kumuwinda ili yampoteze.Mungu ayaangaze majitu haya mafisadi.

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Před 27 dny +2

    Kabisaaa Baba hapo umeongea point tupu,Mungu akuongoze ufikie hatima yako Mr president 2025 in Jesus name

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Před 27 dny +2

    Kweli kabisaaaaaa

  • @esterjackson7918
    @esterjackson7918 Před měsícem +12

    My God😢....hichi kichwa tuko nacho nchi hii miaka yote hii na hatujui, 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tumependelewa sana

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni Před měsícem +7

    Ivi kweli Watanzania tupewe nini tena zaidi GWAJIMA

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Před 27 dny +2

    Big wisdom MOG

  • @yusuphmbilinyi3913
    @yusuphmbilinyi3913 Před měsícem +2

    Mungu katika jina laYesu tupate mtu mwenye roho wa Mungu kama huyu. Yusuph mkombozi wetu

  • @marybukuku1494
    @marybukuku1494 Před měsícem +4

    Ameen Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, Mungu Anisamehe saaana pale nilipo kunenea maneno mabaya ulipojiunga na ccm, kumbe Mungu ananjia zake za kumpitisha mtu aliye mkusudia kua kiongozi kura yangu iko wazi kwako, namshangilia Mungu wangu kwa mahubiri ya leo, kura yangu ya urias kwa gwajima ubunge chadema

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious6493 Před 21 dnem +2

    haleluyaaaaaaaaa haleluyaaaaa tunawahitaj wa namna hii

  • @franksingano9504
    @franksingano9504 Před měsícem +3

    Amen Mtumishi Mapenzi ya Mungu yatimiee🎉🎉🎉

  • @samuelbahati7976
    @samuelbahati7976 Před měsícem +2

    Mungu amekujaliya hekima na maarifa God bless you.

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 Před měsícem +6

    Moja kati ya zawadi kubwa Mungu kaipa nchi hii ni Huyu Baba! The Bad thing ni kwamba Bado kama nchi hatujamtumia ipasavyo

  • @Francis-wh9np
    @Francis-wh9np Před měsícem +4

    God bless you Gwajima

  • @rehemakipesile4930
    @rehemakipesile4930 Před měsícem +3

    Mungu amlinde Gwajima kwaajili ya Taifa la Tanzania.

  • @feddymwanga5462
    @feddymwanga5462 Před měsícem +7

    Mungu Fanya yatupasayo lakini kwa amani

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před měsícem +6

    Huyu ndio Rais

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 Před 20 dny +2

    Amen mtumishi

  • @user-ou3up6rp4u
    @user-ou3up6rp4u Před měsícem +12

    Gwajima mtumishi wa BWANA Ushauli wangu 2025 nenda kachukue form ya Urais tutakuchagua uje kuiamsha Tanzania kiuchumi.Na Bwana Mungu akawe pamoja nawe maana yeye amekuchagua Amina.

  • @norahfrank
    @norahfrank Před měsícem +5

    Amina,Amina. Haya ni maono makubwa sana ya huyu Mtumishi wa Mungu

  • @HAAM670
    @HAAM670 Před měsícem +6

    "Asiyemuelewa Gwajima ni adui wa Gwajima" Aisee nimechekaaa, Watanzania kitumien8 hiki Kichwa, kitumieni, Kitumieni. Nawasihi, nawasihi tena kitumieni. Tuweke siasa na uroho wa madaraka pembeni, tukitumieni hichi kichwa

  • @davidolomi9362
    @davidolomi9362 Před měsícem +1

    Mungu amlinde hiyo ni vita kubwa anaenda kupambana na matajiri waliozoeya kuinyonya nchi na kujisahau na kudhani wao ni matajiri halali

  • @juliusmakula1659
    @juliusmakula1659 Před měsícem +3

    Hongera mchungaji Gwajima.

  • @josephmallya5525
    @josephmallya5525 Před měsícem +2

    Ambae hanielewi ndo adui yangu asante baba gwajima

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 Před měsícem +1

    Mungu akubariki sana❤mtumishi wa Mungu

  • @Piscesblair
    @Piscesblair Před měsícem +1

    Hicho ndicho kilimo cha kimkakati strategic agriculture planning ambacho Waziri wa Kilimo alitakiwa ajikite katika mtazamo huo. Hongera sana Askofu.

  • @chiefnumborecords4819

    A member of parliament has a great ability to speak, think and act for the benefit of the country and his people, even the prime minister, the president, etc. This hurts me until tears come out of my eyes, but there is only one day, God will answer our prayer, we are a poor nation that is oppressed and harassed by our people, give us our votes ourselvesGod will only show them work

  • @evancegidion9155
    @evancegidion9155 Před měsícem +5

    una akili nyingi mtumishi Mungu aachilie lango la kutumika kwa faida ya nchi

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp Před měsícem +1

    Hongera sana Mh Gwajima. Mimi nawashangaa VIIONGOZI WETU WAPO TU KUTUIBIA Fedha, Madini, Ardhi,.Na hata WANAO TAKA UONGOZI huwezi kusikia mipango YAO YA KULETA MAENDELEO. WANATAFUTA NAFASI NA KUWAZA KUTOZA KODI NA TOZO KWA RAIA MASKINI. WATANZANIA TUWAPIME KWA HOJA ZA KUTULETEA MAENDELEO.

  • @edithjosephat7155
    @edithjosephat7155 Před měsícem +1

    Nakuelewa Sana pastor Hallelujah

  • @BENISiMBY
    @BENISiMBY Před měsícem +2

    Tunakuombea gwajima mungu akulinde

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Před 27 dny +1

    You’re right MOG

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Před 27 dny +1

    Wasibakie kwa jina la Yesu

  • @PAMBEMASAKA-vv2tp
    @PAMBEMASAKA-vv2tp Před měsícem +1

    Mungu alinde na akupe kitengo mhim ktk tz ili tz ikainuke kwa mawazo na maono yako hayo

  • @JumaMapinda
    @JumaMapinda Před měsícem +1

    Amina mungu akulinde hadi pale siku utakapokuwa rais wa tz

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma8693 Před měsícem +1

    Haya mawazo yako juu sana, Nayatamani kwa utukufu wa Mungu

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 Před měsícem +2

    Mungu ni Mkuu naona hapa kuna jambo!!!

  • @mathiasmuhochi435
    @mathiasmuhochi435 Před měsícem +1

    Ubarikiwe Mchungaji kwa somo zuri

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Před měsícem +4

    Kweli baba

  • @malackedson7706
    @malackedson7706 Před 14 dny +2

    Safi.

  • @cornelioelibariki190
    @cornelioelibariki190 Před měsícem +1

    Sema mtumishi

  • @KihomoMpangala
    @KihomoMpangala Před měsícem +1

    Ni kweli pasipo maono taifa linasngamia. We need not only motivation teachings but also committed leadership of Magufuli caliber

  • @evancegidion9155
    @evancegidion9155 Před měsícem +4

    Wapigaji ndio hawawezi kabisa kukuelewa, Ee mungu tusaidie tupate viongozi wenye akili na maono

    • @evancegidion9155
      @evancegidion9155 Před měsícem

      Pia hata train ingefungiwa hiyo mitungi umeme watuachie wananchi kuutumia na kufanya bei ikapungua kuliko ilivyo sasa umeme tuliousubilia wa bwawa tulilohakikishiwa utakuwa mwingi bei zitashuka, cha ajabu ndio mabei yameanza kulipuka hata faida ya huo umeme kuongezeka wananchi hatuioni ni kama umekuja tunyonya zaidi ya huo mdogo uliokuwepo. Mungu tusaidie

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Před 27 dny +1

    Hallelujah

  • @emmanuelmogela5871
    @emmanuelmogela5871 Před 6 dny

    Amen karibu mteule wa Mungu

  • @user-bw1wn3sz4z
    @user-bw1wn3sz4z Před měsícem +2

    Gwajima akiwa Rais ntafurahi ingawa mimi ni murundi

  • @francoisemashimango8177
    @francoisemashimango8177 Před 28 dny +1

    Ubarikiwe sana baba, kwa mawanzo manzuri ya kuponya inch zetu za African, siyo Tanzania tu wewe umeletwa na MUNGU ili uwe msaada kwa taifa zetu Zaki African, mahana leo kama tunaangaikiya uku maulaya ni kwa sababu tuna kosa watu kama wewe. Wenye akili timamu Ubarikiwe sana na MUNGU akufunike kwa damu yake mm si Tanzania Ila. Umenigusa sana

  • @MarkoShilabi-w4i
    @MarkoShilabi-w4i Před 2 dny

    Maono mazuri sana kwa taifa letu,Mungu authibitishe unabii kweli anafaa kuwa raisi

  • @user-cq8nd4ek8w
    @user-cq8nd4ek8w Před měsícem +2

    Amina Baba!

  • @rahma6189
    @rahma6189 Před 28 dny +1

    Mungu angekupaisha ukawa raisi

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb Před měsícem +1

    Barikiwa Mtumishi wa Mungu

  • @tbreakerboysir5031
    @tbreakerboysir5031 Před měsícem +1

    Amen

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem +1

    Akili kubwa! Mawazo mazuri ya hali ya juu ambayo hayajawahi kufikiriwa na kiongozi yeyote tangu baada ya Nyerere.

  • @VolvoMwamakula-ci2we
    @VolvoMwamakula-ci2we Před měsícem +1

    Saf sn Mungu akupe afya ukachukue form 2025 uwe rais wa hii nchi na utapita tu tumechoka sn na siasa za uwongo gwajima nakuelewa sn

  • @barryhezron2764
    @barryhezron2764 Před měsícem +1

    Hallelujah🔥🔥🔥

  • @michaelm.mwalusako3724
    @michaelm.mwalusako3724 Před 18 dny +1

    Bwana Ametupa nchi na Anatuagiza kuilima na kuitunza. Neno hilo ni la kinabii. Jambo hilo kwa neema na rehema za Mungu inawezekana kabisa.
    Suala zima ni kuazimia kufanya hivyo kwa nia moja.
    KWA NEEMA YA BWANA INAWEZEKANA KABISA KUILETA TANZANIA MPYA, TANZANIA ANAYOIKUSUDIA MUNGU.

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Před 29 dny +1

    Nakuelewa sana hadi naogopa

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před měsícem +1

    Ameeeen . 😮

  • @luciadominik1626
    @luciadominik1626 Před měsícem +1

    Namwombea sana huyu Baba MUNGU wangu wa mbinguni amtunze

  • @user-uo4ui9zu6y
    @user-uo4ui9zu6y Před měsícem +4

    Hakika anafaa kuwa kiongozi ili hayo yote yatimie.

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před měsícem

      Lbd kiongozi wa kanisa lkn sio wa Tanzania

    • @user-uo4ui9zu6y
      @user-uo4ui9zu6y Před měsícem

      @@mwawekomiuda9779 akili yako haina akili... tumia akili vzr utakuwa umechanganyikiwa...

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před měsícem

      @@user-uo4ui9zu6y kama wewe ambavyo umedata. Yaani imani yako ya kanisani unataka kuingiza katika nchi nzima? Ww ndio una matatizo . Hana uwezo wa kuongoza nchi. Serikali ina watu wake. Haiburuzwi hovyo.

  • @mmassycharles409
    @mmassycharles409 Před 20 dny +1

    Huyu jamaa anafaa kuwa rais, kwa mawazo haya nchi itapiga hatua kimaendeleo.

  • @reginaruta3249
    @reginaruta3249 Před měsícem +2

    Tumuombe Mungu watanzania atupe mtu atakayeivusha nchi hii.

    • @user-yw3ex6qk5d
      @user-yw3ex6qk5d Před měsícem

      Atupe mara ngapi ndugu yangu tumeshapewa tayari ww endelea kung'oa waliokaa kwenye nafasi yake.

  • @AzizaMohhamed
    @AzizaMohhamed Před 18 dny +1

    Ameeeee

  • @user-ce3oo1bl3z
    @user-ce3oo1bl3z Před měsícem +1

    Aminaaa

  • @ramadhaniathumani1025
    @ramadhaniathumani1025 Před měsícem +3

    Mbs zangu hazijaend bure!mapenzi ya mungu yatimie!

  • @user-gc8vb3gv8c
    @user-gc8vb3gv8c Před měsícem +1

    Damu ya Yesu ikifunike mtumishi wa Mungu. Jembe halimtupi mtu

  • @BraisoniMsewa
    @BraisoniMsewa Před 6 dny

    Niwakati sasa wakukuombea ili upate nafasi yakuendeleza au kuyatumia mawazoyako mungu akupe nafasi naamini tutapata mtu sahihi katika nchiyetu sikuchache zijazo

  • @ablahamkizo472
    @ablahamkizo472 Před 24 dny +1

    100/100

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma8693 Před měsícem +1

    Yaani Hii ndio akili

  • @reginaldmassawe6417
    @reginaldmassawe6417 Před 9 dny

    🙏 Amina

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Před měsícem +5

    Kweli iko wazi

  • @yamungungendu4839
    @yamungungendu4839 Před měsícem +1

    Kwa Jina la Yesu uwe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

  • @maryjerome6160
    @maryjerome6160 Před 14 dny

    Mtumishi wa Mungu uko vzr sana, nchi hii ni wewe ndo unayeiweza sana, nimesikiliza unabii wa mzungu kule kenya kuhusiana na rais ajaye, nimegundua ni wewe, yote aliyoyasema wewe ndo unayo. Kura zetu zote ni kwako baba.

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw Před dnem

    Gwajima una akili ya kuzaliwa na moyo usio wa binagsi. Naamini Mungu amekuita uje uijenge Tanganyka upya

  • @venancymsukwa6431
    @venancymsukwa6431 Před měsícem +3

    Huyu mtu ni hazina ya nchi huhitaji kutumia akili nyingi kumwelewa kama tunaipenda nchi yetu tumpe nchi kama alivyo pewa yusufu alie tafsiri ndoto this is the time to arise and shine

  • @ezekiamandele3772
    @ezekiamandele3772 Před 4 hodinami

    Ni rahisi kuzungumza vitendo sasa

  • @aloycemaps5430
    @aloycemaps5430 Před 9 dny

    Wow

  • @HildaMdegela
    @HildaMdegela Před měsícem

    Ameeeeeeeniiiiiiiiiiiiiii dadiiiiiiii

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances Před měsícem +1

    ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉
    Stay Blessed Gwajima Hakika Unastahili Kabisa Kuwa Rais "

  • @zachariasumisumi4907
    @zachariasumisumi4907 Před měsícem +1

    Amina

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-96 Před měsícem +3

    😂😂😂😂😂 baba gwajima tunamsubiri kwa hamu tunaitaji nguvu ya mungu si vingine

  • @ellgodfather282
    @ellgodfather282 Před 29 dny

    Bwana Yesu fanya njia kwajili huyu mtu

  • @user-yw3ex6qk5d
    @user-yw3ex6qk5d Před měsícem

    Tunaye gwaji wa taifa oyeee oyeee oyeee gwajima kweli, kweli, kweli, kweli, kweli, kweli kweli gwajima❤❤

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před měsícem

    Tunamkaribisha kwa mikono miwili.❤❤❤❤

  • @gadimbajo
    @gadimbajo Před 21 dnem

    Huyu muheshimiwa ni wa kuzingatiwa sana.

  • @rosekennedy2075
    @rosekennedy2075 Před měsícem +1

    ❤❤