"Asiyemuelewa Gwajima ni adui wa Gwajima" Aisee nimechekaaaa, hiki Kichwa Watanzania kitumieni, kitumieni, kitumieni. Nawasihi, nawasihi tena ktk Jina la Bwana.
Ameen Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, Mungu Anisamehe saaana pale nilipo kunenea maneno mabaya ulipojiunga na ccm, kumbe Mungu ananjia zake za kumpitisha mtu aliye mkusudia kua kiongozi kura yangu iko wazi kwako, namshangilia Mungu wangu kwa mahubiri ya leo, kura yangu ya urias kwa gwajima ubunge chadema
Gwajima mtumishi wa BWANA Ushauli wangu 2025 nenda kachukue form ya Urais tutakuchagua uje kuiamsha Tanzania kiuchumi.Na Bwana Mungu akawe pamoja nawe maana yeye amekuchagua Amina.
"Asiyemuelewa Gwajima ni adui wa Gwajima" Aisee nimechekaaa, Watanzania kitumien8 hiki Kichwa, kitumieni, Kitumieni. Nawasihi, nawasihi tena kitumieni. Tuweke siasa na uroho wa madaraka pembeni, tukitumieni hichi kichwa
A member of parliament has a great ability to speak, think and act for the benefit of the country and his people, even the prime minister, the president, etc. This hurts me until tears come out of my eyes, but there is only one day, God will answer our prayer, we are a poor nation that is oppressed and harassed by our people, give us our votes ourselvesGod will only show them work
Hongera sana Mh Gwajima. Mimi nawashangaa VIIONGOZI WETU WAPO TU KUTUIBIA Fedha, Madini, Ardhi,.Na hata WANAO TAKA UONGOZI huwezi kusikia mipango YAO YA KULETA MAENDELEO. WANATAFUTA NAFASI NA KUWAZA KUTOZA KODI NA TOZO KWA RAIA MASKINI. WATANZANIA TUWAPIME KWA HOJA ZA KUTULETEA MAENDELEO.
Pia hata train ingefungiwa hiyo mitungi umeme watuachie wananchi kuutumia na kufanya bei ikapungua kuliko ilivyo sasa umeme tuliousubilia wa bwawa tulilohakikishiwa utakuwa mwingi bei zitashuka, cha ajabu ndio mabei yameanza kulipuka hata faida ya huo umeme kuongezeka wananchi hatuioni ni kama umekuja tunyonya zaidi ya huo mdogo uliokuwepo. Mungu tusaidie
Ubarikiwe sana baba, kwa mawanzo manzuri ya kuponya inch zetu za African, siyo Tanzania tu wewe umeletwa na MUNGU ili uwe msaada kwa taifa zetu Zaki African, mahana leo kama tunaangaikiya uku maulaya ni kwa sababu tuna kosa watu kama wewe. Wenye akili timamu Ubarikiwe sana na MUNGU akufunike kwa damu yake mm si Tanzania Ila. Umenigusa sana
Bwana Ametupa nchi na Anatuagiza kuilima na kuitunza. Neno hilo ni la kinabii. Jambo hilo kwa neema na rehema za Mungu inawezekana kabisa. Suala zima ni kuazimia kufanya hivyo kwa nia moja. KWA NEEMA YA BWANA INAWEZEKANA KABISA KUILETA TANZANIA MPYA, TANZANIA ANAYOIKUSUDIA MUNGU.
@@user-uo4ui9zu6y kama wewe ambavyo umedata. Yaani imani yako ya kanisani unataka kuingiza katika nchi nzima? Ww ndio una matatizo . Hana uwezo wa kuongoza nchi. Serikali ina watu wake. Haiburuzwi hovyo.
Niwakati sasa wakukuombea ili upate nafasi yakuendeleza au kuyatumia mawazoyako mungu akupe nafasi naamini tutapata mtu sahihi katika nchiyetu sikuchache zijazo
Mtumishi wa Mungu uko vzr sana, nchi hii ni wewe ndo unayeiweza sana, nimesikiliza unabii wa mzungu kule kenya kuhusiana na rais ajaye, nimegundua ni wewe, yote aliyoyasema wewe ndo unayo. Kura zetu zote ni kwako baba.
Huyu mtu ni hazina ya nchi huhitaji kutumia akili nyingi kumwelewa kama tunaipenda nchi yetu tumpe nchi kama alivyo pewa yusufu alie tafsiri ndoto this is the time to arise and shine
"Asiyemuelewa Gwajima ni adui wa Gwajima" Aisee nimechekaaaa, hiki Kichwa Watanzania kitumieni, kitumieni, kitumieni. Nawasihi, nawasihi tena ktk Jina la Bwana.
waooh 🥰, nakuelewa kabisa unafaa kuwa raisi kabisaaa. Mungu wetu afanye njia
Ameen
Yusufu wa Tanzania Mungu akutunze
Mungu akulinde Gwajima; love you since day 1
Jesus is LORD
Keep it up Man of God. Fear not. Jesus is with you. Amen.
Mungu akulinde na watu wabaya na akuheshimishe
Mtumishi wa Mungu uko vizuri. Nakuunga mkono.
Mapenzi ya Mungu lazima yatimie... nani anabisha 👏👏
Mimi sibishi kwanza mama muoga amna anachokifanya kilasiku mama ata muda wa kumpa mapenzi mme wakeaupati akae pembembeni
Mch.Gwajima nmekuelewa vzr sana...tupo pamoja
Naam! Huyu ndio Raisi wa Tz.
Wasukuma tujuwane akiri kubwa sana
Hapa haongelei ukabila. Anaongelea maneno ya Mungu. (Mipango ya Mungu.)❤❤❤
Aminaaa, ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU.
Hii nchi itakombolewa na msukuma❤
Watu wa.ziwa magharibi ni vichwa.
Ni kweli kabisa
Kupititia mzee Gwajima nilianza kazi ya kilimo kwetu Congo, na pia nafuga na naendelea na mengine mengi Cheers 🥂✊✊
Safi kabisa
❤❤❤
Pia kupitia ujasiri wake alinihamasisha kusoma degree na nikamaliza kwa neema ya Mungu
GWAJIMA DESERVES TO BE THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA!!
MAY THE ALMIGHTY GOD BE WITH HIM!!!
Haya mazombi yenye uchu wa madaraka yatamletea fitina huyu mtumishi,pengine hata kumuwinda ili yampoteze.Mungu ayaangaze majitu haya mafisadi.
Kabisaaa Baba hapo umeongea point tupu,Mungu akuongoze ufikie hatima yako Mr president 2025 in Jesus name
Kweli kabisaaaaaa
My God😢....hichi kichwa tuko nacho nchi hii miaka yote hii na hatujui, 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tumependelewa sana
Ivi kweli Watanzania tupewe nini tena zaidi GWAJIMA
Big wisdom MOG
Mungu katika jina laYesu tupate mtu mwenye roho wa Mungu kama huyu. Yusuph mkombozi wetu
Ameen Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, Mungu Anisamehe saaana pale nilipo kunenea maneno mabaya ulipojiunga na ccm, kumbe Mungu ananjia zake za kumpitisha mtu aliye mkusudia kua kiongozi kura yangu iko wazi kwako, namshangilia Mungu wangu kwa mahubiri ya leo, kura yangu ya urias kwa gwajima ubunge chadema
haleluyaaaaaaaaa haleluyaaaaa tunawahitaj wa namna hii
Amen Mtumishi Mapenzi ya Mungu yatimiee🎉🎉🎉
Mungu amekujaliya hekima na maarifa God bless you.
Moja kati ya zawadi kubwa Mungu kaipa nchi hii ni Huyu Baba! The Bad thing ni kwamba Bado kama nchi hatujamtumia ipasavyo
God bless you Gwajima
Mungu amlinde Gwajima kwaajili ya Taifa la Tanzania.
Mungu Fanya yatupasayo lakini kwa amani
Huyu ndio Rais
NDIYEEE NDIYEEE NDIYE.
Amen mtumishi
Gwajima mtumishi wa BWANA Ushauli wangu 2025 nenda kachukue form ya Urais tutakuchagua uje kuiamsha Tanzania kiuchumi.Na Bwana Mungu akawe pamoja nawe maana yeye amekuchagua Amina.
Amina,Amina. Haya ni maono makubwa sana ya huyu Mtumishi wa Mungu
"Asiyemuelewa Gwajima ni adui wa Gwajima" Aisee nimechekaaa, Watanzania kitumien8 hiki Kichwa, kitumieni, Kitumieni. Nawasihi, nawasihi tena kitumieni. Tuweke siasa na uroho wa madaraka pembeni, tukitumieni hichi kichwa
Mungu amlinde hiyo ni vita kubwa anaenda kupambana na matajiri waliozoeya kuinyonya nchi na kujisahau na kudhani wao ni matajiri halali
Hongera mchungaji Gwajima.
Ambae hanielewi ndo adui yangu asante baba gwajima
Mungu akubariki sana❤mtumishi wa Mungu
Hicho ndicho kilimo cha kimkakati strategic agriculture planning ambacho Waziri wa Kilimo alitakiwa ajikite katika mtazamo huo. Hongera sana Askofu.
A member of parliament has a great ability to speak, think and act for the benefit of the country and his people, even the prime minister, the president, etc. This hurts me until tears come out of my eyes, but there is only one day, God will answer our prayer, we are a poor nation that is oppressed and harassed by our people, give us our votes ourselvesGod will only show them work
una akili nyingi mtumishi Mungu aachilie lango la kutumika kwa faida ya nchi
Hongera sana Mh Gwajima. Mimi nawashangaa VIIONGOZI WETU WAPO TU KUTUIBIA Fedha, Madini, Ardhi,.Na hata WANAO TAKA UONGOZI huwezi kusikia mipango YAO YA KULETA MAENDELEO. WANATAFUTA NAFASI NA KUWAZA KUTOZA KODI NA TOZO KWA RAIA MASKINI. WATANZANIA TUWAPIME KWA HOJA ZA KUTULETEA MAENDELEO.
Nakuelewa Sana pastor Hallelujah
Tunakuombea gwajima mungu akulinde
You’re right MOG
Wasibakie kwa jina la Yesu
Mungu alinde na akupe kitengo mhim ktk tz ili tz ikainuke kwa mawazo na maono yako hayo
Amina mungu akulinde hadi pale siku utakapokuwa rais wa tz
Haya mawazo yako juu sana, Nayatamani kwa utukufu wa Mungu
Mungu ni Mkuu naona hapa kuna jambo!!!
Ubarikiwe Mchungaji kwa somo zuri
Kweli baba
Safi.
Sema mtumishi
Ni kweli pasipo maono taifa linasngamia. We need not only motivation teachings but also committed leadership of Magufuli caliber
Wapigaji ndio hawawezi kabisa kukuelewa, Ee mungu tusaidie tupate viongozi wenye akili na maono
Pia hata train ingefungiwa hiyo mitungi umeme watuachie wananchi kuutumia na kufanya bei ikapungua kuliko ilivyo sasa umeme tuliousubilia wa bwawa tulilohakikishiwa utakuwa mwingi bei zitashuka, cha ajabu ndio mabei yameanza kulipuka hata faida ya huo umeme kuongezeka wananchi hatuioni ni kama umekuja tunyonya zaidi ya huo mdogo uliokuwepo. Mungu tusaidie
Hallelujah
Amen karibu mteule wa Mungu
Gwajima akiwa Rais ntafurahi ingawa mimi ni murundi
Ubarikiwe sana baba, kwa mawanzo manzuri ya kuponya inch zetu za African, siyo Tanzania tu wewe umeletwa na MUNGU ili uwe msaada kwa taifa zetu Zaki African, mahana leo kama tunaangaikiya uku maulaya ni kwa sababu tuna kosa watu kama wewe. Wenye akili timamu Ubarikiwe sana na MUNGU akufunike kwa damu yake mm si Tanzania Ila. Umenigusa sana
Maono mazuri sana kwa taifa letu,Mungu authibitishe unabii kweli anafaa kuwa raisi
Amina Baba!
Mungu angekupaisha ukawa raisi
Barikiwa Mtumishi wa Mungu
Amen
Akili kubwa! Mawazo mazuri ya hali ya juu ambayo hayajawahi kufikiriwa na kiongozi yeyote tangu baada ya Nyerere.
Saf sn Mungu akupe afya ukachukue form 2025 uwe rais wa hii nchi na utapita tu tumechoka sn na siasa za uwongo gwajima nakuelewa sn
Hallelujah🔥🔥🔥
Bwana Ametupa nchi na Anatuagiza kuilima na kuitunza. Neno hilo ni la kinabii. Jambo hilo kwa neema na rehema za Mungu inawezekana kabisa.
Suala zima ni kuazimia kufanya hivyo kwa nia moja.
KWA NEEMA YA BWANA INAWEZEKANA KABISA KUILETA TANZANIA MPYA, TANZANIA ANAYOIKUSUDIA MUNGU.
Nakuelewa sana hadi naogopa
Ameeeen . 😮
Namwombea sana huyu Baba MUNGU wangu wa mbinguni amtunze
Hakika anafaa kuwa kiongozi ili hayo yote yatimie.
Lbd kiongozi wa kanisa lkn sio wa Tanzania
@@mwawekomiuda9779 akili yako haina akili... tumia akili vzr utakuwa umechanganyikiwa...
@@user-uo4ui9zu6y kama wewe ambavyo umedata. Yaani imani yako ya kanisani unataka kuingiza katika nchi nzima? Ww ndio una matatizo . Hana uwezo wa kuongoza nchi. Serikali ina watu wake. Haiburuzwi hovyo.
Huyu jamaa anafaa kuwa rais, kwa mawazo haya nchi itapiga hatua kimaendeleo.
Tumuombe Mungu watanzania atupe mtu atakayeivusha nchi hii.
Atupe mara ngapi ndugu yangu tumeshapewa tayari ww endelea kung'oa waliokaa kwenye nafasi yake.
Ameeeee
Aminaaa
Mbs zangu hazijaend bure!mapenzi ya mungu yatimie!
🤣🤣🤣🤣🤣🙏🙏 support gwajima
Ameeen kubwa sana ndugu yangu
Damu ya Yesu ikifunike mtumishi wa Mungu. Jembe halimtupi mtu
Niwakati sasa wakukuombea ili upate nafasi yakuendeleza au kuyatumia mawazoyako mungu akupe nafasi naamini tutapata mtu sahihi katika nchiyetu sikuchache zijazo
100/100
Ulishinda zamani tu bado kukabidhiwa kiti
Yaani Hii ndio akili
🙏 Amina
Kweli iko wazi
Kwa Jina la Yesu uwe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mtumishi wa Mungu uko vzr sana, nchi hii ni wewe ndo unayeiweza sana, nimesikiliza unabii wa mzungu kule kenya kuhusiana na rais ajaye, nimegundua ni wewe, yote aliyoyasema wewe ndo unayo. Kura zetu zote ni kwako baba.
Gwajima una akili ya kuzaliwa na moyo usio wa binagsi. Naamini Mungu amekuita uje uijenge Tanganyka upya
Huyu mtu ni hazina ya nchi huhitaji kutumia akili nyingi kumwelewa kama tunaipenda nchi yetu tumpe nchi kama alivyo pewa yusufu alie tafsiri ndoto this is the time to arise and shine
Ni rahisi kuzungumza vitendo sasa
Wow
Ameeeeeeeniiiiiiiiiiiiiii dadiiiiiiii
❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉
Stay Blessed Gwajima Hakika Unastahili Kabisa Kuwa Rais "
Amina
😂😂😂😂😂 baba gwajima tunamsubiri kwa hamu tunaitaji nguvu ya mungu si vingine
Bwana Yesu fanya njia kwajili huyu mtu
Tunaye gwaji wa taifa oyeee oyeee oyeee gwajima kweli, kweli, kweli, kweli, kweli, kweli kweli gwajima❤❤
Haleluyaaaaaa
Tunamkaribisha kwa mikono miwili.❤❤❤❤
Huyu muheshimiwa ni wa kuzingatiwa sana.
❤❤