Dhambi mpya Hiihapa : Mch Abiud Misholi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Hudba

Komentáře • 410

  • @felistervenance8863
    @felistervenance8863 Před 15 dny +18

    Ashukuriwe Mungu aliyefanya uzaliwe katika nchi hii;;;
    Wewe ni wa thamani sana pamoja na mama Mungu wa mbinguni awatunze na kuwalinda kila siku...

    • @jonathandulle8921
      @jonathandulle8921 Před 15 dny +3

      Umenena vyema Sana felister ,Mungu awalinde Sana watumishi wetu hawa

  • @apostlepetermponzi8690
    @apostlepetermponzi8690 Před 14 dny +10

    Mchungaji Abiud Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu NAKUOMBEA huduma yako izidi UBARIKIWE sana Baba yangu

  • @tunugujobu3255
    @tunugujobu3255 Před 5 dny +2

    Nataman sana kukuona Baba unisheke Mkono nikiu yangu ya mda mrefu nataman uniongoze sala ya toba nitembee katka misingi ya Mungu unayopita ww ni kiu yangu Baba

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye414 Před 14 dny +15

    Injili ya kristo ni tamu sana ikihubiriwa na walio pewa na Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye414 Před 14 dny +10

    Wana heri kondoo uwalishao kwani wanalelewa na mchungaji wa kweli Mungu akutie nguvu mchungaji 🙏🏿🙏🏿

  • @safieltemuofficial5375
    @safieltemuofficial5375 Před 6 hodinami

    Ninaikubali sana injili ya huyu mtumishi wa Kristo hii ndiyo injili niliyoisikia miaka ya 80 hd leo ninampenda Yesu barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @kichwachafamilia
    @kichwachafamilia Před 15 dny +47

    Mungu nipe kaz tofaut na upakarangi ili nishi katika uwep wako

  • @BarakaMathew-zv1yy
    @BarakaMathew-zv1yy Před 15 dny +12

    Mungu akupe mwisho mwema baba wa watu wengi

  • @VeronicaEdesiusBernard
    @VeronicaEdesiusBernard Před 14 dny +10

    Ee Bwana Yesu nisaidie peke yangu siwezi

  • @user-ed4hn1kv2q
    @user-ed4hn1kv2q Před 13 dny +6

    Thank you for preaching the true gospel

  • @user-xy8pv6pp8b
    @user-xy8pv6pp8b Před dnem

    Amina baba, Mungu anipe moyo wa Toba na zaidi kuhisikia sauti yake na kuifata.

  • @yohanachenge82
    @yohanachenge82 Před dnem

    Asante Bwana Yesu kwa kuyafunua haya kupitia mtumishi wako

  • @neemakawogo5479
    @neemakawogo5479 Před 11 dny +4

    Ni zamu yangu kurudishwa nimegundua dhambi yang ambayo nilichukulia vyepes Mungu asante

  • @user-fq9mx6fx1r
    @user-fq9mx6fx1r Před 14 dny +3

    Mchungaji mungu Akupe maisha marefu wewe unamahubili ya yesu huo ni wokovu wa kweli

  • @maernov4257
    @maernov4257 Před 13 dny +1

    Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU

  • @evadanielgunze977
    @evadanielgunze977 Před 10 dny +1

    Mungu wa mbinguni akubariki sana Baba kwa kuihubiri injili ya kweli. Ulindwe siku zote, na mataifa yapate kusikia mafundisho haya wapate kumrudia Muumba wao kwa toba ya kweli. Amina 🙏

  • @FabiolaAntony-up7ih
    @FabiolaAntony-up7ih Před 12 dny +2

    Mtumishi wa
    Mungu paza sauti tupone, Asante
    Mungu kutupa maonyo

  • @user-sg7hj3ik2k
    @user-sg7hj3ik2k Před 14 dny +1

    Asante sana baba mchungaji umeni jenga sana kwa injili ilio hai uwinuliwe mtumishi wa Bwana Mungu

  • @jakoboamon9402
    @jakoboamon9402 Před dnem

    Baba abiud Mungu akulinde kilcho ndn yako ni msaada Kwa kanisa LA leo

  • @catherinemutindi5031
    @catherinemutindi5031 Před 10 dny +1

    Ni kweli watu Wameuvua mwenendo Wa kale Na kuishi kisasa .Ohio yesu tusaidie.barikiwa mtumishi

  • @SamweliMshana-sk1fx

    ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa huduma yako

  • @user-xd7uj8sz5w
    @user-xd7uj8sz5w Před 14 dny +2

    That's the spirit of Jezebel.God bless you Man of GOD

  • @eunicesemere5555
    @eunicesemere5555 Před 10 dny

    Barikiwa sana mtumishi umehibiri mambo makuu na ukweli dhahiri sio wachungaji wengi wanao hubiri ijili hii ni neema kubwa iko ndani yako tusaidie tujue kweli ituweke huru much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️

  • @samuelthiga4776
    @samuelthiga4776 Před 10 dny

    Mafunuo na mafundisho mazuri ambayo Mungu amekupa,utukufu wote kwake.Mungu akuzidishie Neema.From 🇰🇪

  • @geofreymwasaka2602
    @geofreymwasaka2602 Před 9 dny

    Mungu akutunze pastor Abiud naomba siku moja Mungu nami anikumbuke

  • @henrychfestobrown
    @henrychfestobrown Před 10 dny

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, Neno la Mungu ni Hakika Ndio na Kweli na Taa Mwangaza katika Maisha yetu. Neno la Leo na Mungu atu Rehemu.🙏

  • @Melinajohn330
    @Melinajohn330 Před 9 hodinami

    Mungu wanmbingun atusaidie peke yetu atuwezi eheee nalilia baba shuka utupe moyo wa nyama utuondolee moyo wa jiwe watu wako

  • @AmosTanganyika
    @AmosTanganyika Před 2 dny

    Baba Mungu akubariki kwa ujumbe huu

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 Před 12 dny

    Asante Mungu kwa kuzidi kufunulia watumishi wako siri za kuzimu, big up man of God.
    Hakika sisi wanaume tunaenda må salons naamini kwa injili hii tumepona.
    Nimepona kweli.

  • @ElishaBenson
    @ElishaBenson Před 11 dny +1

    Amina baba unge kuwa baba yangu ninge kuwa mbali zaidi ya hapa nilipo

  • @anchilankobelelwa9735
    @anchilankobelelwa9735 Před 21 hodinou

    MUNGU Akubariki sana Mchungaji kutii sauti ya MUNGU hata Mimi nimekua Sikuona nguo ya ndani ya mama au ya Baba nimejifunza kutoka kwako Mtoto awezi kuomba nguo yangu ya ndani MUNGU Akubariki sana tena sana

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Před 12 dny +2

    Mch Abiud nakupenda Hadi mwanzo ,kuanzia nyimbo zako hadi mafundisho yako hujawahi tetea uovu

    • @mch.abiudmisholi
      @mch.abiudmisholi  Před 11 dny

      Ameen

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe Před 6 dny

      ​@@mch.abiudmisholi niliwai kupata muhijiza kupitia wimbo wako wa tenda muhijiza mimba ilikuwa imepitilizza baada ya siku mbili Nika jifunguaa baada yakupitiliza wiki 3😢😢😢nakumbuka ilikuwa 210

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe Před 6 dny

      ​@@mch.abiudmisholiwiki mbili

  • @LucyLucy-q2e
    @LucyLucy-q2e Před 5 dny

    Mungu anisaindiye niweze kukaa kwa njia zake asanti kwa mafundisho amen

  • @isaacjosephjoseph2733
    @isaacjosephjoseph2733 Před 11 dny +2

    Natamani sana hushiliki chakula hiki Cha uzima nikizuri mno mimi nakitafuta sikipati dunia imejaa manabii wauongo tupu hakuna NENO tena.

  • @SinaidaKiswaga
    @SinaidaKiswaga Před 6 dny

    Ubarikiwe pastor nakuombea siku Moja uwe mchungaji wa waadventista wasabato

  • @augenmagabila3081
    @augenmagabila3081 Před 13 dny +12

    Haya ndiyo mafundisho yenye uhai na wokovu wetu wa kweli unadhirika hapo. Jina la YESU KRISTO Lihimidiwe. AMINA.

    • @GroliaKamugisha
      @GroliaKamugisha Před 12 dny

      Mafundisho ya Yesu kristo yapo kwenye vitabu fine vya injili ok?

    • @augenmagabila3081
      @augenmagabila3081 Před 11 dny

      @@GroliaKamugisha NDIYO, MCH, ANAPOSEMA HAIKUANDIKWA, IMEANDIKWA NA ALIYEBUNI HIYO DHAMBI ALISOMA vitabu yaani Biblia inapotaja TAMAA YA MWILI.

  • @ChangalaweSamwel
    @ChangalaweSamwel Před 6 dny

    MUNGU akubaliki, akulinde, kiuhalisia mmebakia wachache sana kama wewe (God bless you.

  • @PaschalJohn-f4t
    @PaschalJohn-f4t Před 7 dny

    Balikiwa Sana mtumishi mungu akujalie huo moyo wa kusema ukweli bili kujali ya watu.watumishi wengi wanachumia tumbo hawasemi ukweli wanahofia kuwapoteza waumi.

  • @loveandrew9694
    @loveandrew9694 Před 14 dny +1

    Mungu aendelee kukupa unyenyevu ili uendelee kukemea dhambi na habari za Yesu kurudi....maana tumebaki na wahubiri wachache sana.

  • @JescaMgunga
    @JescaMgunga Před 7 dny

    Ubarikiwe sana baba mungu alikutumia naminikapona

  • @gggghhhbh5755
    @gggghhhbh5755 Před 12 dny +1

    Funzo lilo bora na ni ukweli kabisa mungu akubariki pasta Abuiid

  • @JENIPHAIBRAHIM
    @JENIPHAIBRAHIM Před 12 dny +2

    Mungu akutumie zaidi kutuambia ukwel baba

  • @LindaJohn-fy1in
    @LindaJohn-fy1in Před 14 dny +8

    Ee mungu nirehemu sikuyajua haya yote nilijua nikosawa kiroho kumbe kuanika nguo za ndan ni dhambi asante mungu kwaajili ya mtumish wako abiudi umenitoa kwenye kusuka na surual hadi hapa ni neema wachungaji semeni yote ili tupone

  • @OmbenOmary
    @OmbenOmary Před 2 dny

    Barikiwa Dana Mtumishi was MUNGU songs mbele usiogope

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyanga Před 13 dny +1

    Abiud Misholi, you are one among the chosen one. Be blessed and continue with the real gospel of Jesus Christ. I'm blessed for you❤❤❤

  • @ShedrackKitule
    @ShedrackKitule Před 20 hodinami

    Sema Mtumishi Wa mungu tupone

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb Před 14 dny

    Ahsante Yesu kwa maonyo yako kupitia Mtumishi wako. Ila huku Ulaya watu wanahitaji haya mahubiri, maana watu wamepotoka sana! Kuonyesha miili yao kwa watoto wao ilishakua ni sehemu ya maisha ya @ siku licha ya kuvaa nusu uchi huko mitaani! Nguo zao za ndani zinatupwa tupwa hovyo hadi watoto wanazichezea!! Mungu aturehemu kwakweli!

  • @user-ke3ne5ws8z
    @user-ke3ne5ws8z Před 2 dny

    Amen Amen ubarikiwe sana

  • @user-zr2tf8ej7m
    @user-zr2tf8ej7m Před 6 dny

    mungu akubarik sana mchungaj wetu kik nikisikiliz mahubir yako nakuwa na amani najifunz mengi, nikikusikiliza mahubir yako hadi vinyweleo vinasisimka unaguna maish yang

  • @Inkubutembo7779
    @Inkubutembo7779 Před 14 dny +11

    Mchungaji, waambie wanawake wafunike vichwa vyao wanapoenda mbele za Bwana. Ni maagizo ya Mungu hayo.

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 Před 13 dny

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, ni kweli baba siku izi mambo yamebadilika sana🙌

  • @AnethSam
    @AnethSam Před 11 dny

    Barikiwa baba nimeanza kuipenda huduma yako nilikuwa sikuelewi kabisa lakini mungu alivyo anza kusema namimi hakika naelewa mafundisho yako barikiwa

  • @ReubenSimwanza
    @ReubenSimwanza Před 11 dny

    Pastor Abiudi thank you preaching very good gospel.

  • @AidaRaphael
    @AidaRaphael Před 12 dny

    ❤ Asante YESU kwa ujasri uliompa mtumishi wa wako, YESU Tuponye.❤

  • @kizuben
    @kizuben Před 13 dny

    Amina baba wewe ni baraka kwa kizazi hiki tunaendelea kujifunza mengi kutoka kwako mwenye sikio na asikie neno lile Bwana aliambia makanisa.

  • @SamwelMchungaj
    @SamwelMchungaj Před 10 dny

    Ubarikiwe Sana Baba mchunga
    Mungu wambinguni aipiganie utumishi wako

  • @PaulNdonga-ns1vd
    @PaulNdonga-ns1vd Před 11 dny +1

    CONGRATULATIONS CONGRATULATIONS FOR PREACHING THE TRUE GOSPEL
    HII DIO INJILI KWA SASA
    ×××× ...SIO KUHUBILI PESA NA UTWALIZI ...
    ONGEZEA NA TOMBA NA UTAKATIFU
    ALAFU UWAABIE YESU ANARUDI
    IVI KALIBUNI .

  • @jeremiashimwela8718
    @jeremiashimwela8718 Před 4 dny

    Pasipo kutubu dhambi na kuziacha kwa yesu kamwe huwezi huwezi kuishinda.Warumi 8:8

  • @user-dn6tu7zq2h
    @user-dn6tu7zq2h Před 9 dny

    MUNGU wa mbingini azidi kukutunza sana Sana mtumishi wa Mungu alie hai, Mungu anisamehe sana Mimi tena Sana, watoto wangu wameona zangu, pia ata mimi nimeona za babangu maana namuuguza anaumwa alikua hajiwezi kabisa.

  • @mahirmohd1931
    @mahirmohd1931 Před 14 dny +1

    Yaani injir za huyu BABA waga nabarikiwa sana,👏👏👏🙌🙏

  • @SikujuaEmmanuel-fj4mg
    @SikujuaEmmanuel-fj4mg Před 12 dny

    Mungu akubariki baba ,injiri iletayo wokovu kwa mataifa yote,,tupone kabsa

  • @andrewkasongo1368
    @andrewkasongo1368 Před 14 dny

    Ameen Ubarikiwe sana Na Mungu mtumishi wa Bwana!!

  • @SitaPuntu
    @SitaPuntu Před 6 dny +1

    Kwel kabisa

  • @user-dy5zs9dp7d
    @user-dy5zs9dp7d Před 7 dny

    Mungu atukumbuke kabisaa

  • @martinmligo302
    @martinmligo302 Před 11 dny

    Mungu turehemu watoto wako...Amina.🙏🏻

  • @EvelynMwaipungu
    @EvelynMwaipungu Před 7 dny

    Mungu azidi kukubariki sana mtumishi Abiud

  • @faithe4063
    @faithe4063 Před 14 dny +1

    Awawesi itika Amen kwa maana awapendi kuambiwa ukweli ila ubarikiwe wewe mtumishi wa Mungu watu waache dhambi Yesu kristo Yu karibu kuja lasima ukweli usemwe

  • @jothammakenzi934
    @jothammakenzi934 Před 12 dny

    Amen Amen Amen Servant of God. May the Lord our God Protect you. Thanks for this powerful encouragement word of God

  • @PaulSayi-li5eb
    @PaulSayi-li5eb Před 5 dny

    Mungu nipe hudum

  • @dominicmuoki
    @dominicmuoki Před 11 dny

    Mungu akubariki sana mtumishi kwa kwa kuubiri true Gospel of Jesus Christ keep it up...waambie ukweli ndio wakaweze kuwekwa huru❤

  • @caritasmushi8896
    @caritasmushi8896 Před 15 dny

    Sema baba ni kweli. Mungu atusaidie sana

  • @mutindamuthama4124
    @mutindamuthama4124 Před 10 dny

    Mungu nisaindie , nisamehe Mimi ni mwenye dhambi natubu sasa

  • @MimyBinenunyer
    @MimyBinenunyer Před 10 dny

    Mutumishi wa Mungu ubarikiwe umenibariki sana 🇨🇩 bunia ituri

  • @rebecca-nj6wl
    @rebecca-nj6wl Před 11 dny

    Ameeen Ameeen Bwana akubariki sana mtu wa Mungu

  • @Lilianmbeyu-ev2rw
    @Lilianmbeyu-ev2rw Před 11 dny

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @emmilianamlewa3239
    @emmilianamlewa3239 Před 10 dny

    Ubarikiwe baba maamuzi magumu yametufukuzisha ila tupone barikiwa baba❤❤

  • @christinaisanguisangu2974

    Mimi niambie tu mtumishi wa Mungu hakika nimemtenda Mungu uovu mwingi ole wangu mimi

  • @naomichristopher3941
    @naomichristopher3941 Před 13 dny

    Ahsante mtumishi wa Mungu , umenisaidia .

  • @user-ru4sj5lp8b
    @user-ru4sj5lp8b Před 12 dny

    Eee mwenyezi Mungu uturehemu kwa maana tumekutenda dhambi

  • @elwinsimumba
    @elwinsimumba Před 12 dny

    Mungu ashukuliwe kwa dunzo hili mtumishi wa Mungu

  • @stellahokworo3947
    @stellahokworo3947 Před 15 dny

    Mungu nipe mwisho mwema ❤❤

  • @user-wo2ht2ei9o
    @user-wo2ht2ei9o Před 13 dny

    Mungu akubariki sana kwa mafunndisho haya hadimu duniani

  • @StivinWambuto-zy5ft
    @StivinWambuto-zy5ft Před 14 dny +1

    Waliobaki kuihubiri KWELI ya injili kama hii ni wachache, MUNGU akubariki mtumishi.

  • @PhilmonAkonaay-yw5ll
    @PhilmonAkonaay-yw5ll Před 14 dny +1

    Nakuelewa sana mtumishi Mungu

  • @mariahyera3737
    @mariahyera3737 Před 14 dny

    Neno lisilogoshiwa, Ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU.

  • @MeshackmarwaKihengu-in3sn

    Daah moyo unauma! Mungu atusaidie wat wake

  • @user-nx9qt3tp5s
    @user-nx9qt3tp5s Před 12 dny +1

    Ukweli usemwe tuweze kuhurithi ufalme wa MUNGU, barikiwa sana mtumishi🇰🇪

  • @jescakazungu5027
    @jescakazungu5027 Před 12 dny

    AMEN,Baba Mungu Akubariki

  • @hbwayesuphilibert-lv1kg

    Ujumbe mdhuli sana mtumishi Wa Mungu

  • @luciamajula4719
    @luciamajula4719 Před 12 dny

    Powerful God bless you man of God

  • @PhilipMgala
    @PhilipMgala Před 13 dny

    This is a Powerful messege .May God bless you Pastor, Amen.Philip Mgala from Malawi.Chitipa

  • @olivaerasto6669
    @olivaerasto6669 Před 14 dny +1

    Mungu nisamehe sikujua.

  • @PeterClaude-ym2nw
    @PeterClaude-ym2nw Před 14 dny +1

    Nabarikiwa sana Mch Abiudi ipo siku kama Mungu akinijalia lazima nije nikusalimie apo kanisani

  • @ItikaWito
    @ItikaWito Před 13 dny

    shaloo baba Nikweli kabisa baba mm mwenyewe ni mwimbaji wa injili kunyoa ndiyo kazi yangu uzinzi niwakutisha Mana mm mwenyewe naona haya Sana

  • @kingsonkambey1436
    @kingsonkambey1436 Před 14 dny +1

    Mtumishi wa Mungu Ubarikiwe sana hakika hiyo ndio Injili ya kuokoa Roho na Nafsi na sio Fedha na Dhahabu❤

  • @NewlifeChavakaliVihigabh7xp

    More Grace servant of God 🙏🙏🙏

  • @Zimnana-rp6dq
    @Zimnana-rp6dq Před 14 dny

    Amen Baba mchungaji,,,,,kuingia mbinguni sio rahisi

  • @lukasemmanuel4614
    @lukasemmanuel4614 Před 12 dny +1

    Uko sawa mchungaji wangu

  • @florencekwamboka9717
    @florencekwamboka9717 Před 15 dny +1

    Mungu nihurumie na unipe neema kutii

  • @IlakozePaulo
    @IlakozePaulo Před 8 dny

    Safiiiii sema na mengine