Nataman sana kukuona Baba unisheke Mkono nikiu yangu ya mda mrefu nataman uniongoze sala ya toba nitembee katka misingi ya Mungu unayopita ww ni kiu yangu Baba
Mungu wa mbinguni akubariki sana Baba kwa kuihubiri injili ya kweli. Ulindwe siku zote, na mataifa yapate kusikia mafundisho haya wapate kumrudia Muumba wao kwa toba ya kweli. Amina 🙏
Barikiwa sana mtumishi umehibiri mambo makuu na ukweli dhahiri sio wachungaji wengi wanao hubiri ijili hii ni neema kubwa iko ndani yako tusaidie tujue kweli ituweke huru much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️
Asante Mungu kwa kuzidi kufunulia watumishi wako siri za kuzimu, big up man of God. Hakika sisi wanaume tunaenda må salons naamini kwa injili hii tumepona. Nimepona kweli.
MUNGU Akubariki sana Mchungaji kutii sauti ya MUNGU hata Mimi nimekua Sikuona nguo ya ndani ya mama au ya Baba nimejifunza kutoka kwako Mtoto awezi kuomba nguo yangu ya ndani MUNGU Akubariki sana tena sana
@@mch.abiudmisholi niliwai kupata muhijiza kupitia wimbo wako wa tenda muhijiza mimba ilikuwa imepitilizza baada ya siku mbili Nika jifunguaa baada yakupitiliza wiki 3😢😢😢nakumbuka ilikuwa 210
Balikiwa Sana mtumishi mungu akujalie huo moyo wa kusema ukweli bili kujali ya watu.watumishi wengi wanachumia tumbo hawasemi ukweli wanahofia kuwapoteza waumi.
Ee mungu nirehemu sikuyajua haya yote nilijua nikosawa kiroho kumbe kuanika nguo za ndan ni dhambi asante mungu kwaajili ya mtumish wako abiudi umenitoa kwenye kusuka na surual hadi hapa ni neema wachungaji semeni yote ili tupone
Waebrania 2:3 (KJV) sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliosikia;
Ahsante Yesu kwa maonyo yako kupitia Mtumishi wako. Ila huku Ulaya watu wanahitaji haya mahubiri, maana watu wamepotoka sana! Kuonyesha miili yao kwa watoto wao ilishakua ni sehemu ya maisha ya @ siku licha ya kuvaa nusu uchi huko mitaani! Nguo zao za ndani zinatupwa tupwa hovyo hadi watoto wanazichezea!! Mungu aturehemu kwakweli!
mungu akubarik sana mchungaj wetu kik nikisikiliz mahubir yako nakuwa na amani najifunz mengi, nikikusikiliza mahubir yako hadi vinyweleo vinasisimka unaguna maish yang
CONGRATULATIONS CONGRATULATIONS FOR PREACHING THE TRUE GOSPEL HII DIO INJILI KWA SASA ×××× ...SIO KUHUBILI PESA NA UTWALIZI ... ONGEZEA NA TOMBA NA UTAKATIFU ALAFU UWAABIE YESU ANARUDI IVI KALIBUNI .
MUNGU wa mbingini azidi kukutunza sana Sana mtumishi wa Mungu alie hai, Mungu anisamehe sana Mimi tena Sana, watoto wangu wameona zangu, pia ata mimi nimeona za babangu maana namuuguza anaumwa alikua hajiwezi kabisa.
Awawesi itika Amen kwa maana awapendi kuambiwa ukweli ila ubarikiwe wewe mtumishi wa Mungu watu waache dhambi Yesu kristo Yu karibu kuja lasima ukweli usemwe
Ashukuriwe Mungu aliyefanya uzaliwe katika nchi hii;;;
Wewe ni wa thamani sana pamoja na mama Mungu wa mbinguni awatunze na kuwalinda kila siku...
Umenena vyema Sana felister ,Mungu awalinde Sana watumishi wetu hawa
Mchungaji Abiud Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu NAKUOMBEA huduma yako izidi UBARIKIWE sana Baba yangu
Ameen
Nataman sana kukuona Baba unisheke Mkono nikiu yangu ya mda mrefu nataman uniongoze sala ya toba nitembee katka misingi ya Mungu unayopita ww ni kiu yangu Baba
Injili ya kristo ni tamu sana ikihubiriwa na walio pewa na Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Wana heri kondoo uwalishao kwani wanalelewa na mchungaji wa kweli Mungu akutie nguvu mchungaji 🙏🏿🙏🏿
Ninaikubali sana injili ya huyu mtumishi wa Kristo hii ndiyo injili niliyoisikia miaka ya 80 hd leo ninampenda Yesu barikiwa mtumishi wa Mungu
Mungu nipe kaz tofaut na upakarangi ili nishi katika uwep wako
Bure uwesi kaa katika uwepo wake?
God bless kwa uamzi mzr mtii MUNGU
@@EsterNgasa-vq5zx aame
@@EsterNgasa-vq5zx aam
@@faithe4063 bless
Mungu akupe mwisho mwema baba wa watu wengi
Ee Bwana Yesu nisaidie peke yangu siwezi
Thank you for preaching the true gospel
Amina baba, Mungu anipe moyo wa Toba na zaidi kuhisikia sauti yake na kuifata.
Asante Bwana Yesu kwa kuyafunua haya kupitia mtumishi wako
Ni zamu yangu kurudishwa nimegundua dhambi yang ambayo nilichukulia vyepes Mungu asante
Neema ya Mungu ikuwezeshe.
Mchungaji mungu Akupe maisha marefu wewe unamahubili ya yesu huo ni wokovu wa kweli
Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU
Mungu wa mbinguni akubariki sana Baba kwa kuihubiri injili ya kweli. Ulindwe siku zote, na mataifa yapate kusikia mafundisho haya wapate kumrudia Muumba wao kwa toba ya kweli. Amina 🙏
Mtumishi wa
Mungu paza sauti tupone, Asante
Mungu kutupa maonyo
Asante sana baba mchungaji umeni jenga sana kwa injili ilio hai uwinuliwe mtumishi wa Bwana Mungu
Baba abiud Mungu akulinde kilcho ndn yako ni msaada Kwa kanisa LA leo
Ni kweli watu Wameuvua mwenendo Wa kale Na kuishi kisasa .Ohio yesu tusaidie.barikiwa mtumishi
ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa huduma yako
That's the spirit of Jezebel.God bless you Man of GOD
Barikiwa sana mtumishi umehibiri mambo makuu na ukweli dhahiri sio wachungaji wengi wanao hubiri ijili hii ni neema kubwa iko ndani yako tusaidie tujue kweli ituweke huru much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️
Mafunuo na mafundisho mazuri ambayo Mungu amekupa,utukufu wote kwake.Mungu akuzidishie Neema.From 🇰🇪
Mungu akutunze pastor Abiud naomba siku moja Mungu nami anikumbuke
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, Neno la Mungu ni Hakika Ndio na Kweli na Taa Mwangaza katika Maisha yetu. Neno la Leo na Mungu atu Rehemu.🙏
Mungu wanmbingun atusaidie peke yetu atuwezi eheee nalilia baba shuka utupe moyo wa nyama utuondolee moyo wa jiwe watu wako
Baba Mungu akubariki kwa ujumbe huu
Asante Mungu kwa kuzidi kufunulia watumishi wako siri za kuzimu, big up man of God.
Hakika sisi wanaume tunaenda må salons naamini kwa injili hii tumepona.
Nimepona kweli.
Amina baba unge kuwa baba yangu ninge kuwa mbali zaidi ya hapa nilipo
MUNGU Akubariki sana Mchungaji kutii sauti ya MUNGU hata Mimi nimekua Sikuona nguo ya ndani ya mama au ya Baba nimejifunza kutoka kwako Mtoto awezi kuomba nguo yangu ya ndani MUNGU Akubariki sana tena sana
Mch Abiud nakupenda Hadi mwanzo ,kuanzia nyimbo zako hadi mafundisho yako hujawahi tetea uovu
Ameen
@@mch.abiudmisholi niliwai kupata muhijiza kupitia wimbo wako wa tenda muhijiza mimba ilikuwa imepitilizza baada ya siku mbili Nika jifunguaa baada yakupitiliza wiki 3😢😢😢nakumbuka ilikuwa 210
@@mch.abiudmisholiwiki mbili
Mungu anisaindiye niweze kukaa kwa njia zake asanti kwa mafundisho amen
Natamani sana hushiliki chakula hiki Cha uzima nikizuri mno mimi nakitafuta sikipati dunia imejaa manabii wauongo tupu hakuna NENO tena.
Ubarikiwe pastor nakuombea siku Moja uwe mchungaji wa waadventista wasabato
Haya ndiyo mafundisho yenye uhai na wokovu wetu wa kweli unadhirika hapo. Jina la YESU KRISTO Lihimidiwe. AMINA.
Mafundisho ya Yesu kristo yapo kwenye vitabu fine vya injili ok?
@@GroliaKamugisha NDIYO, MCH, ANAPOSEMA HAIKUANDIKWA, IMEANDIKWA NA ALIYEBUNI HIYO DHAMBI ALISOMA vitabu yaani Biblia inapotaja TAMAA YA MWILI.
MUNGU akubaliki, akulinde, kiuhalisia mmebakia wachache sana kama wewe (God bless you.
Balikiwa Sana mtumishi mungu akujalie huo moyo wa kusema ukweli bili kujali ya watu.watumishi wengi wanachumia tumbo hawasemi ukweli wanahofia kuwapoteza waumi.
Mungu aendelee kukupa unyenyevu ili uendelee kukemea dhambi na habari za Yesu kurudi....maana tumebaki na wahubiri wachache sana.
Ubarikiwe sana baba mungu alikutumia naminikapona
Funzo lilo bora na ni ukweli kabisa mungu akubariki pasta Abuiid
Mungu akutumie zaidi kutuambia ukwel baba
Ee mungu nirehemu sikuyajua haya yote nilijua nikosawa kiroho kumbe kuanika nguo za ndan ni dhambi asante mungu kwaajili ya mtumish wako abiudi umenitoa kwenye kusuka na surual hadi hapa ni neema wachungaji semeni yote ili tupone
Ubarikiwe sana
Barikiwa kwa kujali
Waebrania 2:3 (KJV) sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliosikia;
Ameeni kwauponyaji
Amina
Barikiwa Dana Mtumishi was MUNGU songs mbele usiogope
Abiud Misholi, you are one among the chosen one. Be blessed and continue with the real gospel of Jesus Christ. I'm blessed for you❤❤❤
Praise to God
Sema Mtumishi Wa mungu tupone
Ahsante Yesu kwa maonyo yako kupitia Mtumishi wako. Ila huku Ulaya watu wanahitaji haya mahubiri, maana watu wamepotoka sana! Kuonyesha miili yao kwa watoto wao ilishakua ni sehemu ya maisha ya @ siku licha ya kuvaa nusu uchi huko mitaani! Nguo zao za ndani zinatupwa tupwa hovyo hadi watoto wanazichezea!! Mungu aturehemu kwakweli!
Amen Amen ubarikiwe sana
mungu akubarik sana mchungaj wetu kik nikisikiliz mahubir yako nakuwa na amani najifunz mengi, nikikusikiliza mahubir yako hadi vinyweleo vinasisimka unaguna maish yang
Mchungaji, waambie wanawake wafunike vichwa vyao wanapoenda mbele za Bwana. Ni maagizo ya Mungu hayo.
Na pia vifua 😨😨
Amina
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, ni kweli baba siku izi mambo yamebadilika sana🙌
Barikiwa baba nimeanza kuipenda huduma yako nilikuwa sikuelewi kabisa lakini mungu alivyo anza kusema namimi hakika naelewa mafundisho yako barikiwa
Pastor Abiudi thank you preaching very good gospel.
❤ Asante YESU kwa ujasri uliompa mtumishi wa wako, YESU Tuponye.❤
Amina baba wewe ni baraka kwa kizazi hiki tunaendelea kujifunza mengi kutoka kwako mwenye sikio na asikie neno lile Bwana aliambia makanisa.
Ubarikiwe Sana Baba mchunga
Mungu wambinguni aipiganie utumishi wako
CONGRATULATIONS CONGRATULATIONS FOR PREACHING THE TRUE GOSPEL
HII DIO INJILI KWA SASA
×××× ...SIO KUHUBILI PESA NA UTWALIZI ...
ONGEZEA NA TOMBA NA UTAKATIFU
ALAFU UWAABIE YESU ANARUDI
IVI KALIBUNI .
Wow amen
Pasipo kutubu dhambi na kuziacha kwa yesu kamwe huwezi huwezi kuishinda.Warumi 8:8
MUNGU wa mbingini azidi kukutunza sana Sana mtumishi wa Mungu alie hai, Mungu anisamehe sana Mimi tena Sana, watoto wangu wameona zangu, pia ata mimi nimeona za babangu maana namuuguza anaumwa alikua hajiwezi kabisa.
Yaani injir za huyu BABA waga nabarikiwa sana,👏👏👏🙌🙏
Mungu akubariki baba ,injiri iletayo wokovu kwa mataifa yote,,tupone kabsa
Ameen Ubarikiwe sana Na Mungu mtumishi wa Bwana!!
Kwel kabisa
Mungu atukumbuke kabisaa
Mungu turehemu watoto wako...Amina.🙏🏻
Mungu azidi kukubariki sana mtumishi Abiud
Awawesi itika Amen kwa maana awapendi kuambiwa ukweli ila ubarikiwe wewe mtumishi wa Mungu watu waache dhambi Yesu kristo Yu karibu kuja lasima ukweli usemwe
Amen Amen Amen Servant of God. May the Lord our God Protect you. Thanks for this powerful encouragement word of God
Ameen
Mungu nipe hudum
Mungu akubariki sana mtumishi kwa kwa kuubiri true Gospel of Jesus Christ keep it up...waambie ukweli ndio wakaweze kuwekwa huru❤
Ameen
Sema baba ni kweli. Mungu atusaidie sana
Mungu nisaindie , nisamehe Mimi ni mwenye dhambi natubu sasa
Mutumishi wa Mungu ubarikiwe umenibariki sana 🇨🇩 bunia ituri
Ameeen Ameeen Bwana akubariki sana mtu wa Mungu
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe baba maamuzi magumu yametufukuzisha ila tupone barikiwa baba❤❤
Mimi niambie tu mtumishi wa Mungu hakika nimemtenda Mungu uovu mwingi ole wangu mimi
Ahsante mtumishi wa Mungu , umenisaidia .
Eee mwenyezi Mungu uturehemu kwa maana tumekutenda dhambi
Mungu ashukuliwe kwa dunzo hili mtumishi wa Mungu
Mungu nipe mwisho mwema ❤❤
Mungu akubariki sana kwa mafunndisho haya hadimu duniani
Waliobaki kuihubiri KWELI ya injili kama hii ni wachache, MUNGU akubariki mtumishi.
Nakuelewa sana mtumishi Mungu
Neno lisilogoshiwa, Ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU.
Daah moyo unauma! Mungu atusaidie wat wake
Ukweli usemwe tuweze kuhurithi ufalme wa MUNGU, barikiwa sana mtumishi🇰🇪
Ameen
AMEN,Baba Mungu Akubariki
Ujumbe mdhuli sana mtumishi Wa Mungu
Powerful God bless you man of God
This is a Powerful messege .May God bless you Pastor, Amen.Philip Mgala from Malawi.Chitipa
Ameeen,
God bless you
Mungu nisamehe sikujua.
Nabarikiwa sana Mch Abiudi ipo siku kama Mungu akinijalia lazima nije nikusalimie apo kanisani
Karibu sana
shaloo baba Nikweli kabisa baba mm mwenyewe ni mwimbaji wa injili kunyoa ndiyo kazi yangu uzinzi niwakutisha Mana mm mwenyewe naona haya Sana
Mtumishi wa Mungu Ubarikiwe sana hakika hiyo ndio Injili ya kuokoa Roho na Nafsi na sio Fedha na Dhahabu❤
More Grace servant of God 🙏🙏🙏
Amen Baba mchungaji,,,,,kuingia mbinguni sio rahisi
Uko sawa mchungaji wangu
Mungu nihurumie na unipe neema kutii
Safiiiii sema na mengine