SINDANO YA MOTO KWA WAFANYABIASHARA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024

Komentáře • 85

  • @Happy-z8u5f
    @Happy-z8u5f Před 23 dny +1

    Ubarikiwe baba niwatumishi wachache wanaongea haya👍

  • @denisbongore3098
    @denisbongore3098 Před 2 měsíci +6

    Yesu naomba unibadilish niache dhambi ya mazoea naomba neema ya kukuheshimi ili niweze kuwa mwaminifu kwako

  • @motivatorngoma4816
    @motivatorngoma4816 Před 2 měsíci +3

    Hii injili imetoka katika moyo, roho na akili halisi ya Yesu Kristo. Ubarikiwe Pastor.

  • @jamessimkonda-ox8cb
    @jamessimkonda-ox8cb Před 2 měsíci +4

    Mungu akubaliki misholi nakupenda kutoka moyoni mungu akusaidie uje sumbawanga utoe injili

  • @tituslucas2348
    @tituslucas2348 Před 2 měsíci +2

    Wewe ni mfano wangu! Niombee naitwa Titus Lucas najenga kanisa niombee nimalize Baba!!

  • @Happy-z8u5f
    @Happy-z8u5f Před 23 dny

    😢 Yesu aliponye kanisa lake

  • @williamftairo3475
    @williamftairo3475 Před měsícem +1

    Ubarikiwe sana mtumishiwaMungu. Injili hii inatakiwa kuwafikia wengisana.

  • @agnesskyando4018
    @agnesskyando4018 Před měsícem +1

    Ubarikiwe Kwa injili unayohubiri mchungaji hiyo injili hakuna anayehubiri naipenda kuisikia na kuiishi

  • @mahirmohd1931
    @mahirmohd1931 Před 2 měsíci +1

    Injiri safi kbsa 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 injiri kama izi kwa Dunia tulio nayo ni zakutafta sana..yote kwa yote barikiwa sana baba MUNGU azidi kukutumia 🙏

  • @JoyceAmon-y7d
    @JoyceAmon-y7d Před 2 měsíci +3

    Yesu tuokoe wakati tunapozani kuwa tupo salama kumbe adui anatumia kazi ya mikono yetu kututenga na Mungu eeh Mungu tusaidie😢

  • @stephanongindo-zi4sx
    @stephanongindo-zi4sx Před 5 dny

    Ubarikiwe

  • @Melinajohn330
    @Melinajohn330 Před měsícem

    Mundu nakulilia ingia ndani ya moyo wangu roho ya uwoga roho ya uwongo kila roho zote za uwovu nazikataa kwa damu ya yesu

  • @jeremykamwela1229
    @jeremykamwela1229 Před měsícem

    Mungu akubariki sana, ukweli kanisani liambiwe mtumishi, watu waamue wenyewe A au B

  • @rhinakiza
    @rhinakiza Před 2 měsíci

    Sema kweli baba mimi mwenyewe mwizi wa kikumi😭😭😭🙏🏼 Yesu wangu ni semehe

  • @DanielChomo
    @DanielChomo Před 2 měsíci +1

    Asante sana kwa kuweka wazi mambo yayobeba asilimia kuu katika maisha yetu .

  • @lebahatiminyali8136
    @lebahatiminyali8136 Před měsícem +2

    Huyu Mtumishi Mungu amtunze mno.

  • @omanqqwe4061
    @omanqqwe4061 Před 2 měsíci +1

    Mungu akubariki baba

  • @nicholausrwezaura1971
    @nicholausrwezaura1971 Před 2 měsíci

    Natamani sana niwe mshirika wako Injili hivi naipenda sana

  • @user-bd6ci7tn4y
    @user-bd6ci7tn4y Před 2 měsíci +1

    Amen uniombee

  • @happyalbert5089
    @happyalbert5089 Před 2 měsíci +1

    Barikiwa baba

  • @AgnessIbrahim-nt1kr
    @AgnessIbrahim-nt1kr Před 2 měsíci

    Amen amen,, Mungu akubariki sana

  • @agnesyjoseph3906
    @agnesyjoseph3906 Před 2 měsíci +1

    Asantee mtumishi kwa kutwambia ukweli ili tuwe salama

  • @user-mn9gf8co6z
    @user-mn9gf8co6z Před 5 dny

    Yaan baadaye ya kutoka ndio unasema baada ya kubadilisha biashara Kodi ya mungu asilimia 10 ya selikali asimia 18 wew nimkisto unabidi ulipe zote umepata 50,0000, hapo ya bwana 50000 , bado asilimia 18 ya selikali

  • @user-fk4mq4ou6k
    @user-fk4mq4ou6k Před 2 měsíci

    Mungu akutunzee mchungaji.

  • @gabriellmbwille184
    @gabriellmbwille184 Před měsícem

    Aminaaaaaa mtumishiii

  • @pastoremmanuelmwabulambo8260

    Mathayo 17:24-27;Warumi 13:7-Hiki ni kipindi cha kuliandaa kanisa Takatifu, pia nimecheka😂😂😂😂😂😂 autaki kufa tena, Ubarikiwe sana Mtumishi.

  • @straitnews3441
    @straitnews3441 Před měsícem

    Hapa ni wengi noma san

  • @barakamhenga6195
    @barakamhenga6195 Před 2 měsíci

    Hakika siku za mwisho zimekaribia na watumishi wa MUNGU wa viwango hivi hawapo kabisa duniani,,,
    Mungu azidi kukupaka mafuta ya shangwe.

  • @super_boy_tz
    @super_boy_tz Před 2 měsíci

    Mchungaji mungu azidi kukupa mzima tufaidi mahubili yako.
    Mungu athurumie

  • @rerisamba
    @rerisamba Před měsícem

    Jamani haya ndio mahubiri sasa manake kuna watu wengi hawajui ukweli Jamani na ukivunja sheria moja umevunja zote

  • @user-fk2co4qn8s
    @user-fk2co4qn8s Před měsícem

    Amin mtumishi

  • @michaelassam5789
    @michaelassam5789 Před měsícem

    Mungu Baba , kwenye zile 10 na mimi nina zangu 100 😭😭😭😭😭😭

  • @hamurabani5386
    @hamurabani5386 Před 2 měsíci

    Amen and Amen

  • @annabenson9885
    @annabenson9885 Před měsícem

    Amen

  • @TumainSlaa
    @TumainSlaa Před 4 dny

    Baba ahsànt ninakupat barabarah

  • @BillionairesPrinting
    @BillionairesPrinting Před 2 měsíci +1

    Hapa mtumishi Mungu atusaidie sana

  • @happyalbert5089
    @happyalbert5089 Před 2 měsíci

    Amen amen amen

  • @EdwinMbwilo-fj6bf
    @EdwinMbwilo-fj6bf Před 2 měsíci +2

    Mch unachotaka ni utakatifu naomba ukae nao wafanyabiashara ulionao humo ndani uwaulize kwa nini wanadanganya ndipo utoe hilo tamko lako, maana chanzo ni TRA wenyewe vinginevyo tuliookoka tusifanye biashara.

    • @user-ti8fw5wm8f
      @user-ti8fw5wm8f Před měsícem

      Chanzo ni watu wa TRA

    • @user-gq5lo3id6z
      @user-gq5lo3id6z Před měsícem

      Aliyeokoka kweli kweli akajazwa na Roho Mtakatifu akapokea nguvu ya Roho Mtakatifu huyo anaishi kwa mapenzi na kwa sheria ya Roho wa MUNGU anayeishi ndan yake Roho Mtakatifu n mtakatifu ina maana dhambi na uchafu wowote haumo ndani yake uongo, wizi na hofu ya kidunia si tabia ya Roho wa MUNGU aliye hai ukiona mtu anaogopa kusema ukweli na ameokoka Roho wa MUNGU hayupo ndani yake na haujui ukuu wa MUNGU anaentaja. TRA n ndogo saaaana kwa MUNGU mfanyabiashara inabid ajue hilo. Et mtu aseme uongo chanzo TRA!!!!! Walokole tutasubiri sana baraka za Baba yetu kama tunafanyabiashara kwa kutosimama ktk kweli! Bwana Yesu Alisema tukiijua kweli kweli itatuwrka huru sasa inakuwaje mtu anajifunga ktk dhamb ya uongo kwa kubanwa na TRA

  • @eliyasamwel1087
    @eliyasamwel1087 Před měsícem

    Amen kubwa

  • @andrewmukuru6357
    @andrewmukuru6357 Před 2 měsíci

    Asante kwa ukweli,ni dawa ya ajabu!!!

  • @utakatifunahaki5095
    @utakatifunahaki5095 Před 2 měsíci

    😂😂😂😂😂Imeingia hiyo baba chiiiii!! 😂😂

  • @kasangagregory5747
    @kasangagregory5747 Před 2 měsíci

    Mmmmh Mungu niokoe

  • @user-bd6ci7tn4y
    @user-bd6ci7tn4y Před 2 měsíci

    Ni past bonn kutoka kenya uniombee

  • @emmanuelmanga3478
    @emmanuelmanga3478 Před 2 měsíci

    Hapo mtumishi umeshukiwa na roho kwelikweli

  • @StanleyMwaipopo
    @StanleyMwaipopo Před 2 měsíci

    Amina mtumishi umeongea ukweli

  • @shukraniwillisoni8512
    @shukraniwillisoni8512 Před 2 měsíci

    Ubarikiwe baba

  • @RuthKerubo-ux5br
    @RuthKerubo-ux5br Před 2 měsíci

    True gospel am telling you pastors don't tell the truth God use me to tell the truth

  • @GodifreyFuras
    @GodifreyFuras Před měsícem

    We utatupeleka mbinguni kiukweli sema ndo hivyo hatuelewi

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher072 Před 2 měsíci

    Amina.

  • @flm1530
    @flm1530 Před 2 měsíci

    Kweli kabisa

  • @MarrySalama
    @MarrySalama Před 2 měsíci

    Ameeeeeen

  • @TeleziaSimbeye-fm3zw
    @TeleziaSimbeye-fm3zw Před měsícem

    😂😂😂 Abiud!!!!!!!!!!

  • @EmanuelSolomon-ij1is
    @EmanuelSolomon-ij1is Před 2 měsíci +1

    ❤💪💪

  • @evelynmollel9720
    @evelynmollel9720 Před 2 měsíci +1

    Sindano imeingia hata kama inauma watu wapone. bado kuna wafanyabiashara wanaotumia mizani isiyo ya haki

    • @user-gq5lo3id6z
      @user-gq5lo3id6z Před měsícem +1

      😂😂😂😂😂 na ni walokole uwiiii MUNGU sema nasi tupone na kuzifaidi hazina za mbingun ulizotuwekea

  • @lawrencemsangi3837
    @lawrencemsangi3837 Před 2 měsíci +1

    Mtumishi unachokiongea ni kweli lakini ukweli mazingira ya kodi kwenye nchi yetu Ndo yanasababisha yote hayo imagine ulipe Leseni, ulipe makadirio TRA kwa wale wanaofanya biashara zinazo toka nje ya nchi mzigo ukifika bandarini au mpakani kuna kodi za mipakani zinazo umiza hawa watu wao wataishije?

    • @lawrencemsangi3837
      @lawrencemsangi3837 Před 2 měsíci

      Serikali iangalie wafanyibiashara hawana Furaha kwenye maisha yao

  • @istermariol2158
    @istermariol2158 Před 2 měsíci

    Huyu Roho wa Bwana ndani yake

  • @festusmutiso476
    @festusmutiso476 Před 2 měsíci

    Dawa iooo

  • @user-zg4bt4it2p
    @user-zg4bt4it2p Před 2 měsíci

    Seba wawiza, napandeka isomo lyakunilanga hatale noo

  • @rozinaikonko6477
    @rozinaikonko6477 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😅😅😅😅😢😢😢😢

  • @BillionairesPrinting
    @BillionairesPrinting Před 2 měsíci

    Wengi ss ni wezi

  • @LucasKaik-xt8qe
    @LucasKaik-xt8qe Před 2 měsíci

    Hapo sasa naanza kukuelewa.

  • @CastoryKapinga-nb7ht
    @CastoryKapinga-nb7ht Před 2 měsíci

    UYU MZEEW ABARIKIWE KABAKI YEYE TU MẞEMA KWELI WENXAKE WOTE ASILIMIA KUBWA WANAPITIWA NA EURO

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 Před měsícem

    Ukiona mtu ni muhalifu au anatabia fulani ujue kuna mahali kairithi haijaanzia kwake, hawa tunaosema viongozi ni wahalifu kuliko wananchi

  • @alphaxadackim
    @alphaxadackim Před měsícem

    ✍️✍️

  • @hebronijaluomahuvi1025
    @hebronijaluomahuvi1025 Před 2 měsíci

    ❤❤❤

  • @AgnessIbrahim-nt1kr
    @AgnessIbrahim-nt1kr Před 2 měsíci

    Hahahaaa

  • @hebronijaluomahuvi1025
    @hebronijaluomahuvi1025 Před 2 měsíci

    utaishi

  • @elijahayoyi7191
    @elijahayoyi7191 Před 2 měsíci

    Nahisi uchungu wa moyo

  • @mbilikadyson
    @mbilikadyson Před 2 měsíci

    Sindano ya moto

  • @mwambakibucheche1119
    @mwambakibucheche1119 Před 2 měsíci

    Duuh!!?

  • @lucymsigwa443
    @lucymsigwa443 Před 2 měsíci

    Mtaji wangu ni ml20,faida napata 200000,kodi inachukuliwa kwenye ml20 nitafika hapo kweli

    • @abdulllyhussein3224
      @abdulllyhussein3224 Před měsícem

      Kwakwel Yan hata mm najitafakar sana... !!! TRA WATASABABISHA MBINGUNI TUSIINGIE

  • @regnethmtemanyongo2237
    @regnethmtemanyongo2237 Před 2 měsíci

    ❤😅❤

  • @Happy-z8u5f
    @Happy-z8u5f Před 23 dny

    Ubarikiwe baba niwatumishi wachache wanaongea haya👍

  • @nicholausrwezaura1971
    @nicholausrwezaura1971 Před 2 měsíci

    Amen and Amen

  • @AbihudiMbekomize-uy7kp
    @AbihudiMbekomize-uy7kp Před měsícem

    Amen