ONA MAFUNDISHO YA ZINAA YALIVYO KUMBA KANISA EV PASCHAL CASSIAN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 07. 2024
  • #0766998994 #call0688199370 #
  • Zábava

Komentáře • 76

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z Před 21 dnem +11

    Hallelujah Hallelujah,
    Ni wakati wa toba na matengenezo
    ukitubu, na kutengeneza na Bwana. kukaa katika kauli na sheria za Mungu utainuliwa bila kupokezwa baraka za uongo. Wachungaji wa mchongo ambao wameenea kila mahali na kuhubiri kubarikiwa wanawalaani wengi sana utabariki aje mtu aliyeasi na kumwambia pokea mchumba, nyumba, gari haiwezekani kupokea chochote kama wewe mwenyewe dhambi.
    Ukishatubu na kuomba rehema kwa Bwana omba kama ni mke au ni mume na kwakweli roho wa Bwana atakuelekeza mpaka kwa yule aliye wa kwako. Lakini mahusiano yeyote bila kuwa na msingi kwa Kristo mtasalitiana.
    Ubarikiwe sana mtumishi kanisa liko topeni watu wamefungwa katika maneno za watu na hawako tena katika NENO la Kristo. Ni wakati wa kurejea kwa Bwana ni sekude chache na Kristo atareje

  • @upendoshija2235
    @upendoshija2235 Před 21 dnem +9

    MUNGU wa Mbinguni akulinde mtumishi çasian adui asikuguse kwa jina la yesu

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z Před 21 dnem +4

    Tukirejea katika injili ya TOBA kwa hakika kila mmoja atakuwa salama. Kila mmoja ataenenda kwa hofu ya Mungu na kutunza uaminifu wa Mungu mahali popote.
    Ubarikiwe sana mtumishi.
    Asate kwa neno hili nimepiga hatua ingine mbele.🎉

  • @maxinenaibei
    @maxinenaibei Před 19 dny +1

    Listening from Kenya be blessed I always follow your teachings

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Před 20 dny +1

    Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah umeubiri INJILI YAKWELI

  • @joycefaida6548
    @joycefaida6548 Před 20 dny +1

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu🙏🙏,,,,,nabarikiwa Sanaa na na pia unanifundisha na kunikemea pale nimekosea🙏🙏,,,
    Mungu akutunze daima🌎

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591 Před 21 dnem +1

    Amena Mungu akubariki sana Ev Paschal Mungu akupe nguvu🎉🎉🎉🎉

  • @MaryMnjamche
    @MaryMnjamche Před dnem

    Barikiwa mtumishi kazi yako njema

  • @DanielNasibu
    @DanielNasibu Před 15 dny

    Ubalikiwe mtumishi wewe ni sauti iliae nyikani mungu aendelee kukupigania ❤❤❤

  • @JacklineMroso-gy6ej
    @JacklineMroso-gy6ej Před 21 dnem +5

    Njia pekee ya kumwona Yesu ni kutubu dhambi na kuacha

  • @ImaniKalinga-z8e
    @ImaniKalinga-z8e Před 21 dnem +1

    Hallelujah!!! Tuwapate wapi wasema kweli kama huyu ndani ya makanisa!!!!!!

  • @Deborah-dl4ug
    @Deborah-dl4ug Před 17 dny

    Hii ndio injili tunayoitaka, barikiwa mtumishi wa Mungu Caccian

  • @bhavinjani4415
    @bhavinjani4415 Před 21 dnem +2

    Amen sana hakika Mungu akubariki

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai4691 Před 21 dnem +1

    Amen ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @JosephTherathini
    @JosephTherathini Před 21 dnem +1

    Oooh hiii ni injili ya kwel .Mungu akubaliki

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj Před 21 dnem +4

    bwana asifiwe sana mtumishi wa Mungu akubariki sana

  • @user-ep9by3ui1v
    @user-ep9by3ui1v Před 21 dnem +1

    Ubarikiwe mtumishi wa bwana 🙌

  • @PastroryMasanja
    @PastroryMasanja Před 19 dny

    Bwana yesu asifiwe mtumishi wa Mungu aliye hai
    Ubarikiwe sana na Mungu akulinde sana

  • @user-kl6zb6so3i
    @user-kl6zb6so3i Před 21 dnem +1

    Amen sema tupone Mtumishi wa Mungu.

  • @user-pp1mp2sr6b
    @user-pp1mp2sr6b Před 20 dny

    Kaka paschal nakuombeya kwa mungu akupe afya njema ili uzidi kutufungu tuokoke

  • @sianagodson3690
    @sianagodson3690 Před 19 dny

    Ujumbe wenye nguvu, tunakuombea upaze sauti zaidi,kila mwenye mwili asikie neno la Mungu ambalo Roho anakumbusha kanisa.

  • @GodfreyMakala
    @GodfreyMakala Před 2 dny

    Mungu akubarik sana kaka

  • @user-gj2gc4en3t
    @user-gj2gc4en3t Před 21 dnem +1

    Sema kweli mtu wa mungu tuko pamoja, asante nakutizama kutoka mombasa

    • @TatuOmar001
      @TatuOmar001 Před 21 dnem

      Atammi niko OO1 Abarikiwe sana mtumishi wa mungu 🙏🙏👏👏👏

  • @maxinenaibei
    @maxinenaibei Před 19 dny

    Hoping by grace of God you'll come Kenya expecially my.elgon

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c Před 21 dnem

    Mungu wangu nisaidie kunyenyekea. Miguuni Pako unisamehe maovu yangu.nitubu Toba ya kweli.Aminaaaa.

  • @user-ef7pn5wt7g
    @user-ef7pn5wt7g Před 20 dny

    Hakika Kila mtumishi anashika mahali pake ili ajaze kanisa... pascal Mungu akutunze wewe ni sauti iliyotumwa kuleta matengenezo....Mungu akulinde daima

  • @Zawadijoelmkonda
    @Zawadijoelmkonda Před 21 dnem +1

    kwajina la yesu mitego na shauri za adui shetani zishindwe Amina mungu akulinde

    • @SafiAkinyi8361
      @SafiAkinyi8361 Před 20 dny

      Yesu ama YESU MUNGU ama MUNGU c mungu tafadhali ama c yesu

  • @tausipaschel155
    @tausipaschel155 Před 19 dny

    Amina mtumishi wa Bwana unachokisema ni kweli kabisa

  • @erickchaula5084
    @erickchaula5084 Před 21 dnem

    Amina mtumishi mungu aendelee kukuinua na kukuweka viwango vya juu ili uendelee kutukumbusha juu ya kumtumikia mungu

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Před 20 dny

    Yan nilikua namuuliza Mungu naifanyaje Huduma yangu zaidi nimepata nyongeza zaidi...yakufanya kazi ya Injili zaidi.....

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Před 20 dny

    Naumenipa kitu chakuongezea katika huduma yangu barikiwa Sana mtu wa Mungu aliye HAI.....

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 Před 16 dny

    Mungu akubaliki sana 🙏

  • @kalungirugoye2607
    @kalungirugoye2607 Před 21 dnem +2

    Go go goooooooooo Ev.!

  • @brianshomi722
    @brianshomi722 Před 21 dnem +1

    Hii nilikuwa naisubilia injili ya namna hii❤

  • @AdamJulius-z5i
    @AdamJulius-z5i Před 21 dnem +1

    YESU tusaidie tuvuke salama, maana injili imevamiwa.

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 Před 21 dnem +1

    Twende twende twendeeee Aminaaaaa ✊✊✊🙏🙏

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Před 20 dny

    Kutubu dhambi kunakupa mpenyo wa Maisha uwiiiiiiii barikiwa Man of GOD

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika Před 21 dnem +1

    Mm hakuna mafundisho ya kweli zaidi ya mafanikio eee BWANA sababisha moyo wangu kuwa na Toba ya kweli kweli kabisa kusema kweli umeitwa na BWANA MUNGU atusaidie kuyashika mafundisho ya kweli ya MUNGU

  • @laurentbulabo5002
    @laurentbulabo5002 Před 18 dny

    Hakika mtu huyu anafundisha kweli ya Mungu, ni ngumu sana katika kizazi hiki. Kumuelewa

  • @ChristinaSanga-pl5jm
    @ChristinaSanga-pl5jm Před 15 dny

    Piga kelele usiache mtumwa wa Bwana ni kweli injili ya kuacha dhambi haihubiriwi tena Mungu atusaidie turudi kwenye toba

  • @godfrelykitundu3323
    @godfrelykitundu3323 Před 20 dny

    Napenda injili ya namna hii

  • @LovenessAugustino-he7xh
    @LovenessAugustino-he7xh Před 21 dnem

    Amen sana🙏.. Mtumishi wa Mungu

  • @user-yb2uh9vc9w
    @user-yb2uh9vc9w Před 19 dny

    Amen mtumish wa Mola

  • @GodloveMwaijande
    @GodloveMwaijande Před 21 dnem +2

    Niukwel mtupu

  • @user-wz6zb7wh1n
    @user-wz6zb7wh1n Před 21 dnem

    Amen 🙏🙏🙏🙏 iende mbele injili ya toba

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Před 20 dny

    Leo nimekuelewa sanaaaaaaaaaaaa huko kwingine sikuelewagi

  • @EzekiaMwaiga
    @EzekiaMwaiga Před 17 dny

    Amena balikiwa pia

  • @user-cr6fc7nt8k
    @user-cr6fc7nt8k Před 21 dnem

    Amen amen

  • @MargrethMloka
    @MargrethMloka Před 18 dny

    Amina❤❤🎉🎉

  • @MichaelWallace-sz7mu
    @MichaelWallace-sz7mu Před 18 dny

    Wapatikane wapi watumishi Kama huyu,Hali imekua mbaya ndani ya Kanisa duniani.

  • @rosemassawe4187
    @rosemassawe4187 Před 21 dnem

    Barikiwa tuambie tupone

  • @nyangiboke
    @nyangiboke Před 20 dny

    Msema kweli anachukiwa ninachojua wewe si waulimwengu huu kaza mwendo baba

  • @selegioelias9076
    @selegioelias9076 Před 21 dnem

    Yes ssss

  • @thembarikiwa
    @thembarikiwa Před 21 dnem

    Great is HIS NAME JESUS

  • @user-fh7gu7eb2d
    @user-fh7gu7eb2d Před 20 dny +1

    habari ya mahusiano ipo ndani ya biblia,kwa hiyo sio dhambi kufundisha,toba,mafanikio,mahusiano,utumishi nk,lakini msingi ni kristo mafanikio ndani ya yesu sio dhambi,kanisa linatakiwa kufundishwa,watu wapate maarifa,kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi,watu wakishaokoka wanafundishwa mafundisho kuyashika yote alitufundisha ila ukihubiri toba ndiyo msingi maana ni kristo,mafundisho ya ndoa ,utumishi,kuwaleta watu kwa yesu nk ,paulo na petro wamefundisha sana mahusianona kufanya kazi

  • @RamondLema-po6py
    @RamondLema-po6py Před 21 dnem +2

    HUU NDIO MUDA TUNAHITAJI KWELI WALA SII FARAJA

  • @angelamos2261
    @angelamos2261 Před 21 dnem

    Mtumishi hio Shirt inakubana mwili

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Před 20 dny

    Kweli tumebaki na pesa na bikini aaaa shetani hana adabu tz ole wetu MUNGU MIKANISA YA AJABU IMEJAA NA KUJICHUBUA NA MIKOPE NA MASENGENYO KIBAO

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Před 20 dny

    Ukinikuta nahubiri stand au wapi Injili yangu ni Toba tu.....wananichekaga wanaona sina content
    Ila sibadilishi nahubiri TOBA TU

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před 21 dnem

    Wewe mnona ulimuacha.mke wako. Kakuuguza wee alafu umemuacha

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 Před 20 dny

      Mbona alieleza hafanyi kazi maana alipata shida kwenye uume wake alipopata ajali , mke wake kaona aondoke

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 Před 20 dny

      Barikiwa saana KWA KAZI YA MUNGU ALIYE HAI

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 Před 16 dny

    🤝🙇😭😭😭 tunapotezwa jmn huku kwenye makanisa yetu,,,😭😭😭 MUNGU tusaidie Dunia inawayawaya 😭😭😭 natamani nisimame nihubiri neno la Mungu kanisani kwangu MUNGU niinue😭😭😭🙏 YESU kristo nitie nguvu 😭😭😭😔😔😔

  • @CarolineNafula-rx8bs
    @CarolineNafula-rx8bs Před 21 dnem

    Amen

    • @JeniNachega
      @JeniNachega Před 21 dnem

      Mbinguni ni kwa watu wario tubu dhambi nakuziacha usipo tubu wewe ni wamotoni

  • @dicksonmangah1648
    @dicksonmangah1648 Před 21 dnem

    Amen mtumishi,thambi haikemewi siku hizi makanisani .

  • @rosewacharo3336
    @rosewacharo3336 Před 8 dny

    Amen... barikiwa