Marko 2:27 Akawaambia, Sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato. Marko 2:28 Basi Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato pia.
Huyu mzee ukimsikiliza kwa making sanaaaa anaujua ukwel kabisa na sabato anaijua lakin anayajibu maswal kijanja sana kama mnaelewa ameulizwa kuhus Constantine ame lukaluka maana ndie ibadil sheria ya mungu na amri ya nne hajibu inavyo takiwa
@@ShijaPeter-fj6gk hahahaahaaa ujue wachungaji walifundishwa kukwepa mitego kwaiyo ni wajanja maana akuna mfanyabishara anae toa siri ya mafanikio yake kwaiyo nini fikiri apa kuna kitu kizito mshamba atakula shambani kwake na mchungaji ata kula madhabaoni kwake kwaiyo mambo mengi ni janja janja wachungaji wengi wanajua na wanalinda ugali wao
Hio siku ya ushindi ingekuwa muhimu kuitukuza na kuishangilia basi na mitume wote wangetiana moyo kama unavyosema na kusali siku hio. Mungu akusaidie uione nuru ya kweli maana hata kwa akili ya kibinadamu tu sidhani kama mwanadamu anaruhusiwa kubadili siku ya ibada. Maana hakuna alie kama Mungu.
Yes mwenyewe alipumzika siku ya Sabato, mitume hata baada ya ufufuo waliendelea kutunza Sabato wewe Nani alikuruhusu kubadili. Mathayo 5:17 Yesu alisema alitabadilishwa
Yesu aliuawa na washika Sabato... Sabato aliikuta na alienda kuwafuata huko ili kuwafundisha kweli na hakupumzika siku hiyo alufanyakazi kama kawaida ndio maana akaoneka siyo mtu wa Mungu kwa sababu hakuishika sabato...wakamuua...
Soma Mathayo 12:1-2,5,10-12,21. Marko 1:21; 2:23,24; 3:2.... Injili zote ukizisoma kwa mtizamo wa kutaka kujifunza kwa msaada wa Roho Mtakatifu utaelewa... Pumzika siku yoyote utakatifu tu Katika Kristo Yesu ndo utakaokuokoa usiende katika ziwa la moto...
Mathayo 12 Wakiwa katika mashamba ya nafaka, wanafunzi walianza kukwanyua masuke: sheria ya Mungu iliruhusu, Kumbukumbu la Torati 23:25. Huu ulikuwa uandalizi mwembamba kwa Kristo na wanafunzi wake; lakini waliridhika nayo. Mafarisayo hawakugombana nao kwa sababu ya kuchukua nafaka ya mtu mwingine, bali kwa kufanya hivyo siku ya sabato. Kristo alikuja kuwaweka huru wafuasi wake, si tu kutokana na upotovu wa Mafarisayo, bali kutoka kwa kanuni zao zisizo za kimaandiko, na kuhalalisha walichofanya. aliye mkubwa zaidi hatatimizwa matamanio yao, lakini walio duni watafikiriwa mahitaji yao. Kazi hizo ni halali katika siku ya sabato ambayo ni ya lazima, na mapumziko ya sabato ni kupotoka, si kuzuia ibada ya sabato. mahitaji ya afya na chakula yanapaswa kufanywa; lakini watumishi wanapowekwa nyumbani, na familia kuwa eneo la haraka na kuchanganyikiwa katika siku ya Bwana, kuandaa karamu kwa ajili ya wageni, au kwa ajili ya anasa, kesi ni tofauti sana. mambo kama haya, na mengine mengi ya kawaida miongoni mwa maprofesa, yanapaswa kulaumiwa. Kupumzika siku ya sabato kuliwekwa kwa ajili ya wema wa mwanadamu, Kumbukumbu la Torati 5:14. Hakuna sheria lazima ieleweke ili kupingana na mwisho wake yenyewe. na kama vile Kristo ni Bwana wa sabato, inafaa siku hiyo na kazi yake inapaswa kuwekwa wakfu kwake.
Habarii usipokee tuu , hii ifanyee Ni changamoto kwakoo, Nenda kafatilie kwa Kina Kila unachokisikia hizi Ni Nyakati za hatarii usuchukulie normal haya Mambo ukalidhika , sabato haikubadilika ipo pale pale , maana Kama imebadilika Basi Mungu Ni Mwongo, maana yeyee Ndiye aliyesema 1/ Mimi so kigeugeu (Malaki3;6) 2/ Sikuja kutangua (math 5:17) 3/ Kristo Ni Yeye yule Jana ,leo, na hata Milele. 4/Yeye si mtu aseme Uongo (Hes23;19). 5/ Imani yetu kwake haivunji Sheria yake(Rumi3;31). 6/ Sabato Ni ishara Kati ya Mungu na Mwanadamu.(Yer 20;12 ,20, pia (isay58;13) 7/ Sabato limetokana na Neno Saba , sabato Ni siku ya Saba , inamaanisha Pumziko la siku ya Saba , Ni siku iliyobarikiwa na bwana, Kisha Akaamuru Watu wote wanaojiita Israeli ya Kirohoo kuitunza na Wengine wote wanaoitwa Wanadamu wanaojua wameumbwa na Mungu, pia aliitakasa yaani aliiweka wakfu kwaajiri ya Ibada na sio vinginevyo, ushadidi wa hili si Maneno Matupu Bali Mungu mwenyewe anasema haya yotee( Mwz2;2-3, pia kut20;8, isay 58:13). Sabato ikiwa Ni siku Yoyote Ni Uongo Maana kwa mfano sio rahisi kujitengea siku yako Yoyote na kuiita Jumapili watu watakushangaa, Na hiviNdivyo ilivyo hatuwezi kuhiita siku ya Saba Ni siku Yoyote ile Mbingu zinatushangaa Sana jinsi tunavyochanganywa na Mwovu kwenye haya Mambo. Mimi ukinambia nikushaurii, ntamwambia hili tu " wew Ni Mwanadamu na Mimi pia Kama wewe, Sina nnachoweza peke angu Wala wew peke Ako , Ila tu Tuombee , na kujinyenyekeza Mungu Atufundishe kutambua hila za huyu Shetani , BILA kurudi Magotini kwake kwa Unyenyekevu hatuwezi kufanikiwa Mimi Wala wewe Rafiki yangu,, Haya Ni Madogo Aliyopanga kuyafanya Shetani, Makubwa yanakuja ,yesu alishatuonya kwa ajili ya sikuzetu hizi, UKIPATA MDA ndugu soma math24 Yote, kwa tafakari na MAOMBI Mengi , Utagundua Uongo Mkubwa anaoutaka Shetani Ni kutudanganya Imani zetu ziende kando, Mungu ATUSAIDIE mpendwa, very pain nikifikilia anachokifanya Shetani, NI MUNGU TU, BILA YEYE MTIHANI NI MGUMU SANA .
Mchungaji unasema tunatakiwa tujue jambo moja tu,la kutubu dhambi . kwani dhambi ni nini? Najua dhambi ni uasi wa sheria 10 za Mungu kwenye sheria hizo IPO na sabato .kwanini useme kuiba ni dhambi.
Mimi kwa kweli nimeenda kwenye Biblia kujua na nimekutana na hiki japo kwa udogo hivi ila kamenisaidia kumtii na kumwabudu Mungu Muumbaji. Haka hapa hebu nawe kasome katakusaidia Yohana 14:15-18; Yakobo 4:11,12,17 1Yohana 4:1
Acheni Mungu aitwe Mungu. Waasisi wa Waadventista Wasabato Elen G. White na wenzake walitabiri Yesu kurudi miaka Mingi lakini utabiri wao ulikuwa batili. Kwahiyo tumtafute Mungu maadamu anapatikana. Kama uko kinyume na Mungu nafsi iliyoko ndani Yako itakuhukumu mara moja.
Kabra ya kujua neno LA mungu jifunze kujua tabia za mungu la sivo tutanishana bule alisema usifanye sanamu lakin ktk sanduku la agano Kuna Sanam na nyoka wa Shaba aliagiza tule Kila mnyama mwanzo sula ya Tisa lakin badae akakaza. Kilajambo na wakat tujue kwanza tabia ya mungu.
Mch NDACHA ,tatizo la hao wahubiri feki ni shule -- Halafu wapo kwa ajili ya kutafuta kubishana --- " Hatuna muda wa kubishana " unaelewa anachosema Mch Hananja,kipokee kitakusaidia,hukielewi,kiache,endelea na msimamo wako --- Mungu ndiyo mhukumu wa haki.
Ndugu, sabato ni jumamosi. Hilo halina ubishi, achana na akina hananja na watumishi wote walio tayari kuusujudia utawala wa kirumi. Na ndio utakuta sikuhizi hakuna nabii wala mchungaji anaewekwa gerezani na kuuwawa kama akina Paul na Sila. Ni kwasababu wamekubali kuongea uongo ili kuufurahisha utawala wa kirumi uliokuja kubadli siku ya sabato kutoka jumamosi kwenda jumapili. Siku ni muhimu mno, na ndio sababu Mungu ameagiza watu waikumbuke hio siku na waitakase. Kwanini? Kwa sababu Mungu alijua utatokea utawala utakaowaondoa watu kwenye sabato ya kweli.
Nmchungaji unapenda kutumia maandiko. Lakini umekataa Leo maandiko kabisa. Wasomee mathayi 24 sura nne kuteremka. Tena timotheo Wa pili 4 mstari Wa Kwanza hadi Tano. Lakini Leo umekataa Mada kabisa
@@aquinomsigwa6998 hachana na kuabudu siku mfate Yesu uspotee ndiomaana mlimtuumu Bwana Yesu heti amevunja sabato kwaiyo tukisema katika ukristo hakuna wasabato tupo sawa tokeni huko Kwa wapinga kristo
Mwanzo 2:1-2 [1]Basi mbingu na nchi zikamalizika, na jeshi lake lote. [2]Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya.
Ni kweli kuhusu UTATU umejibu sawa kabisa Mungu ni mmoja ila kazi zake ndizo zinazomtambulisha katka huo utatu maana mara nyingi Mungu anjitambulisha katika wingi si Bible pekee bali hata Quran
Samahani, shituka haya Mafundisho hayakufumbui entirely, yanakufanya uwe kipofu kabisa , usiamin kachunguze Nawe pia Kama Ni kweli au laa! , Maana Shetani hutumia watu Wenye hekima wa Dunia hii wanaoaminika kuchafua jina la Bwana , Amri za Mungu Ni za Milele sio za Jana tu, Ni za Leo na kesho pia hata Milele zote
Mchungaji kumbuka kua ile ni amri af tumia mandiko na si kwamtazamo wako mchungaji af mchungaji kumbuka silaha ya mkristo ni mandiko na Mungu tunamjua kupitia mandiko
Swala la sabato kwenye Agano jipya ni tofauti na Agano la kale,baada ya Yesu kufufuka,mwanadamu hawezi kumpendaza Mungu kwa kufuata siku,Kila wakati ni ibada WAKOLOSAI 2:18 YOHANA 2:21-22 YEREMIA 31:31-34. WAEBRANIA 10.
Mwanadamu yeyote Ni hekalu la Mungu, Yani Ni nyumba aliyojenga Mungu Mwenyewe, yaani alikuumba, hivyo ndio sababu Yeye hukaa ndani yetu, isipokuwa nyumba inaweza kukaliwa na asiye na Nyumba pia(mvamizi), Ambaye Ni Shetani, Sasa suala la Maamuzi juu ya Mwenye nyumba yapo juu yake mwenyewe, isipokuwa Mungu Amesema yeyote aharibuye nay humwaribu, Hivyo Basi 1/ wew Ni hekalu, Kama Yesu tu alivyokua anajiongelea. 2/ Hilo hekalu la Mungu linamsikiliza Mungu sio vinginevyo, yaani wewe unapaswa usikilize Mungu anataka Nini. PIA, Yer31;31 , inaongelea Agano sio AMRI za Mungu Ambazo zipo tangu kuumbwa Mwanadamu alipewa Kufuata sio Agano tu, sio hivyo tu , yeremia anaongelea Agano la upatanisho wa Dhambi zetu, mfano Tulipaswa kuchinja now hatufanyi hivyo isipokuwa kwa Damu ya Yesu imekua Agano jipya la kutupatanisha na Mungu tunapovunja Amri za Mungu( yaani tunapotenda ndambi, maana "Mshahata wa dhambi Ni Mauti". Hakumaanisha "kitabu Cha Agano jipya yaani New testament Ila Anaongelea Agano yaani convenant" hivi Ni vitu viwili tofauti,, KUMBUKA TU; kitabu Cha Agano jipya na la kale Vyote kwa pamoja vinalengo Moja Vyote Ni Neno la Mungu tu la Milele, Maana Mungu Ni Mmoja na sio Kigeugeu ajigeuke Mwenyewe. Tusiache kuomba lakini tutaelewa tu mpendwaa usikate tamaa ndio safari yetu ilivyo Wala so Tambarare.
Tofauti kati ya watu wa Mungu na wasio watu wa Mungu inabainishwa na kutii neno la Mungu au kutotii neno la Mungu. Na kutotii neno la Mungu ndio dhambi yenyewe.
Aaa😂😂😂 uyu mchungaji ni Msabato sema anashindwa kujiunga na SDA moja kwa moja, kuwa Msabato ni vita Tena vita kubwa,kama huamini jaribu uone,kuingia SDA ni kuingia chumba Cha mtihani
Pole inaonesha kabisa ujui unaye Mhubiri lakin uko sahihi maanaa unatetea ilan yako maana ulipewa udhamin wa kuwa na kanisa na hao walikupa mashart ukipinga umekwishaaa
Hesabu 15:32-36 Mathayo 12:1-21 Wagalatia 2:1-21 Kwasababu ukimpa ndacha maandiko ya Yesu mwenyewe alieponya siku ya sabato atakujibu kwa andiko kuwa Yesu ndo bwana wa sabato ndo maana anamamlaka hayo , na atakuuliza wewe ni Yesu ?, Sasa hayo maandiko hapo juu ukisoma inagisia wanafunzi wa yesu ,. Na yesu alipokuwa ana paa akasema mkawafanye wote kuwa wanafunzi wangu ,. Kwahiyo wafuasi wa Yesu ni wanafunzi wa yesu , Wanaotaka maandiko , sijawahi sikia mchungaji ndacha akagusa yaha maandiko , anajua tuu akiyagusa kwa namna moja au nyingine , anajua mtu akijenga hoja kwa kwa haya maandiko mchungaji mdacha hana cha kujibia haya maandiko labda hayakatae kuwa hayapo kwenye biblia
Poleni wakristo naona mnaunga unga tu yezu hawajui nyie woote maana hakutumwa bari kwa kabila kumi na mbili za wahahudi waliopotea pia sabato iliwagusa wavuvi na walishalaaniwa waligeuzwa manguruwe na nyani hata siku moja hawa awana uwezo wa kujitetea
Tusome hapa naona kama kuna jambo Mungu anatwambia hapa, natumai ukipasoma nawe rafiki kuna jambo utasikizishwa na Mungu. Mwanzo 2:1,2 kuna chembo/nyongeza katika Kutoka 31:17
Mtangazaji nakurekebisha: katika uislam hakuna siku maalum yakuabudu.tunaabudu sku zote. Ijumaa ni siku ya waislam kukusanyika pamoja na kukumbushwa au kufahamishwa mambo mbalimbali ya dini na jamii.
Mzee Bibilia haitaki kila mtu afute akilizake bali tufuate maandiko fanya mjadala nda ndacha sasa kama ni mapokei inakuwaje wote tunafuta Bibilia na iwe na maapokeo tofauti apo ujua lazima kuna wengine wanatumia maandiko vibaya
HOJA YA USALI MJUMAPILI HAO HAWAWEZI KUITETEA KMAANDIKO BADALA YAKE WAITETEA KIMTAZAMO WAO U SI UNAMSILIKILIZA HUYO ANACHOONGEA ANAUNGA UNGA MANENO YAKE TU HAPO
Amekubari kuwa amri ya 4 ni halali kusari jumamosi ubarikiwe hananja Mambo ya kurusha jiwe yameandikwa kitabu gani acha porojo pastor Amri ziko 10 sio 9 hananja .
Porojo ni kufuata dini ilioasisiwa juu ya msingi wa uongo wa siku ya mwisho ya,dunia. Shetani ni Baba wauongo wote. 1Wakorintho 15:14 Kutoka 12:16:Unabii wa Siku ya kwanza ya juma. Mathayo 18:18. Jinsi unabii wa siku ya kwanza ya juma ulivyofunguliwa katika Agano Jipya. Wasaidie na wenzako kuwaeleza haya msiangamizwe na Helen White kwa kukosa maarifa Hosea 4:6a.
Je, mnayoyasunguza mwayatoa katika maandiko gani? Sabato imeanzia juma la kwanza ya uumbaji. Ni amri aliyoitoa Maulana. Je, tutafuata maelezo yenu au ya Mungu. Mungu alitoa kielelezo tufuate.
Alafu ukisoma mathayo 5 yote , utagundua Yesu kuna baadhi ya amri alikuwa anaziondoa kistyle yake , Sasa kama torati imesema jino kwa jino , yeye Yesu anakuja kutuambia mtu akikupiga shavu ili mgeusie na shavu lingine akupige maana yake nini kama sio kuondoa hiyo amri ya jino kwa jino ki style , Ndo maana. Ukisoma agano la kale lote na jipya lote , utagundua MUNGU kuna namna aliwachukulia watu wa kale wa agano la kale na kuna namna pia aliwachukulia watu wa agano jipya ,. Ila ukibaki na kukariri maandiko bila kielewa ndo unashikilia nira ngumu ya kale ,. Ndo maana Yesu alisema nira yake ni laini
Wakristo wanaabudu masanamu,waislam wanamwabu mwenyezi Mungu mmoja tu na wanamwabudu kila siku siyo siku moja tu,lazima uelewe we katili uliosema waislam wanaabudu majini pumbavuuuu
Hapana umekosea mwanadam hatakiwi kufuata yakwake bali mwanadam afuate alichosema mungu kama mwanadam anafuata cha kwake smpotea na ibade yake ni bure mathayo 15:8_9
@@VascoKasambala ndugu ukiambiwa ukwrl ambao uko kwenyr biblia kubali kubadilika usimwambie mtu anaekwambia ukwel et ana roho mbaya. acha kufwatilia wachungaji au viongoz wa dini . ni wakati wa kurudi kwenye biblia
Ni ngumu sana kutetea uongo,
Mungu anataka utii kwa hiyo tunfuata Mungu au maagizo ya binadamu
Yesu alienda hekaluni na kwenye masinagogi kwa ajili ya kufuata watu ili awafundishe. Hakuna sehemu Yesu alifundisha kushika sabato.
soma vizur biblia yako ndugu yangu Yesu alizitunza sabato
Vivyo hivyo hakutufunza tufanye usagaji, je kwa nini tuukemee ikiwa Yesu hakunena lolote kuhusu ushoga?
Marko 2:27 Akawaambia, Sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato.
Marko 2:28 Basi Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato pia.
KUMBE NI RAHISI TU NAMNA HIYO, TUENDELEE KUSALI SIKUYOYOTE TU
Alifundisha hadi Sabato,
pastor asante kwa hekima ya kuelezea mambo magumu kwa namna inayoeleweka zaidi
Asanteeeee sana
Sabato itatuzwa milele hata ipingwe nami kwa kumtii Mungu ninapaswa kufanya ivo kama alivyoagiza
Boiling pot of wisdom.listening from Kenya.
Huyu mzee ukimsikiliza kwa making sanaaaa anaujua ukwel kabisa na sabato anaijua lakin anayajibu maswal kijanja sana kama mnaelewa ameulizwa kuhus Constantine ame lukaluka maana ndie ibadil sheria ya mungu na amri ya nne hajibu inavyo takiwa
wabongo wengi hamna akili , mzee amefafanua vizuri sana lakini kwasababu ya ugonjwa wenu wa akili mnashindwa kufahamu kila ufafanuzi
@@ShijaPeter-fj6gk hahahaahaaa ujue wachungaji walifundishwa kukwepa mitego kwaiyo ni wajanja maana akuna mfanyabishara anae toa siri ya mafanikio yake kwaiyo nini fikiri apa kuna kitu kizito mshamba atakula shambani kwake na mchungaji ata kula madhabaoni kwake kwaiyo mambo mengi ni janja janja wachungaji wengi wanajua na wanalinda ugali wao
Nakuelewa sana mzee rich billionaire
Aise, ibada ni amri siyo kushangilia
Amina
Hio siku ya ushindi ingekuwa muhimu kuitukuza na kuishangilia basi na mitume wote wangetiana moyo kama unavyosema na kusali siku hio. Mungu akusaidie uione nuru ya kweli maana hata kwa akili ya kibinadamu tu sidhani kama mwanadamu anaruhusiwa kubadili siku ya ibada. Maana hakuna alie kama Mungu.
Mungu awabariki
Kwenye maana kuhusu sabato, maelezo hayo umechemka pastor Mungu akusaidie uelewe tuu
Yes mwenyewe alipumzika siku ya Sabato, mitume hata baada ya ufufuo waliendelea kutunza Sabato wewe Nani alikuruhusu kubadili. Mathayo 5:17 Yesu alisema alitabadilishwa
Hujaelewa wapi mbona kasema ushahidi wa maandiko
Yesu aliuawa na washika Sabato... Sabato aliikuta na alienda kuwafuata huko ili kuwafundisha kweli na hakupumzika siku hiyo alufanyakazi kama kawaida ndio maana akaoneka siyo mtu wa Mungu kwa sababu hakuishika sabato...wakamuua...
Soma Mathayo 12:1-2,5,10-12,21. Marko 1:21; 2:23,24; 3:2.... Injili zote ukizisoma kwa mtizamo wa kutaka kujifunza kwa msaada wa Roho Mtakatifu utaelewa... Pumzika siku yoyote utakatifu tu Katika Kristo Yesu ndo utakaokuokoa usiende katika ziwa la moto...
Mathayo 12
Wakiwa katika mashamba ya nafaka, wanafunzi walianza kukwanyua masuke: sheria ya Mungu iliruhusu, Kumbukumbu la Torati 23:25. Huu ulikuwa uandalizi mwembamba kwa Kristo na wanafunzi wake; lakini waliridhika nayo. Mafarisayo hawakugombana nao kwa sababu ya kuchukua nafaka ya mtu mwingine, bali kwa kufanya hivyo siku ya sabato. Kristo alikuja kuwaweka huru wafuasi wake, si tu kutokana na upotovu wa Mafarisayo, bali kutoka kwa kanuni zao zisizo za kimaandiko, na kuhalalisha walichofanya. aliye mkubwa zaidi hatatimizwa matamanio yao, lakini walio duni watafikiriwa mahitaji yao. Kazi hizo ni halali katika siku ya sabato ambayo ni ya lazima, na mapumziko ya sabato ni kupotoka, si kuzuia ibada ya sabato. mahitaji ya afya na chakula yanapaswa kufanywa; lakini watumishi wanapowekwa nyumbani, na familia kuwa eneo la haraka na kuchanganyikiwa katika siku ya Bwana, kuandaa karamu kwa ajili ya wageni, au kwa ajili ya anasa, kesi ni tofauti sana. mambo kama haya, na mengine mengi ya kawaida miongoni mwa maprofesa, yanapaswa kulaumiwa. Kupumzika siku ya sabato kuliwekwa kwa ajili ya wema wa mwanadamu, Kumbukumbu la Torati 5:14. Hakuna sheria lazima ieleweke ili kupingana na mwisho wake yenyewe. na kama vile Kristo ni Bwana wa sabato, inafaa siku hiyo na kazi yake inapaswa kuwekwa wakfu kwake.
Soma wakolosai 2:12__16
Ukweli anasema bwana wetu YESU NDIYE BWANA wa sabato
Andiko?
kwa hivyo?
Marko 2:27,28 Soma hapo rafiki.
Yes! Akili za mwanadamu haziwezi kuchunguza Mungu!
Lakini wengi wa watumishi leo wanashughuka na kuwatia moyo watu hata kama wanaendelea na dhambi
Nakubali Sana mzee wng
Exactly
UBARIKIWE HANANJA,KWA ELIMU YA JUU,VICHWA MBOVU HAWEZI KUELEWA. Marko2:28.
Habarii usipokee tuu , hii ifanyee Ni changamoto kwakoo, Nenda kafatilie kwa Kina Kila unachokisikia hizi Ni Nyakati za hatarii usuchukulie normal haya Mambo ukalidhika , sabato haikubadilika ipo pale pale , maana Kama imebadilika Basi Mungu Ni Mwongo, maana yeyee Ndiye aliyesema
1/ Mimi so kigeugeu (Malaki3;6)
2/ Sikuja kutangua (math 5:17)
3/ Kristo Ni Yeye yule Jana ,leo, na hata Milele.
4/Yeye si mtu aseme Uongo (Hes23;19).
5/ Imani yetu kwake haivunji Sheria yake(Rumi3;31).
6/ Sabato Ni ishara Kati ya Mungu na Mwanadamu.(Yer 20;12 ,20, pia (isay58;13)
7/ Sabato limetokana na Neno Saba , sabato Ni siku ya Saba , inamaanisha Pumziko la siku ya Saba , Ni siku iliyobarikiwa na bwana, Kisha Akaamuru Watu wote wanaojiita Israeli ya Kirohoo kuitunza na Wengine wote wanaoitwa Wanadamu wanaojua wameumbwa na Mungu, pia aliitakasa yaani aliiweka wakfu kwaajiri ya Ibada na sio vinginevyo, ushadidi wa hili si Maneno Matupu Bali Mungu mwenyewe anasema haya yotee( Mwz2;2-3, pia kut20;8, isay 58:13).
Sabato ikiwa Ni siku Yoyote Ni Uongo Maana kwa mfano sio rahisi kujitengea siku yako Yoyote na kuiita Jumapili watu watakushangaa, Na hiviNdivyo ilivyo hatuwezi kuhiita siku ya Saba Ni siku Yoyote ile Mbingu zinatushangaa Sana jinsi tunavyochanganywa na Mwovu kwenye haya Mambo.
Mimi ukinambia nikushaurii, ntamwambia hili tu " wew Ni Mwanadamu na Mimi pia Kama wewe, Sina nnachoweza peke angu Wala wew peke Ako , Ila tu Tuombee , na kujinyenyekeza Mungu Atufundishe kutambua hila za huyu Shetani , BILA kurudi Magotini kwake kwa Unyenyekevu hatuwezi kufanikiwa Mimi Wala wewe Rafiki yangu,, Haya Ni Madogo Aliyopanga kuyafanya Shetani, Makubwa yanakuja ,yesu alishatuonya kwa ajili ya sikuzetu hizi, UKIPATA MDA ndugu soma math24 Yote, kwa tafakari na MAOMBI Mengi , Utagundua Uongo Mkubwa anaoutaka Shetani Ni kutudanganya Imani zetu ziende kando, Mungu ATUSAIDIE mpendwa, very pain nikifikilia anachokifanya Shetani, NI MUNGU TU, BILA YEYE MTIHANI NI MGUMU SANA .
Amina sana
We nae acha uxhabiki
Ver correct🤝 ananja
Pole sana mzee somo gumu kwako
@@MeshackMisungwi-w8q ni vigum kumuelewa mchungaji Hananja, ila ukimuelewa utauona ukweli wa hiki anachokizungumzia.
Hata yeye anachokiamini na mapokeo 2 . lakin hujaagizwa na Yesu umeagizwa kostantino
Mchungaji unasema tunatakiwa tujue jambo moja tu,la kutubu dhambi . kwani dhambi ni nini? Najua dhambi ni uasi wa sheria 10 za Mungu kwenye sheria hizo IPO na sabato .kwanini useme kuiba ni dhambi.
Umepoteza wengi baz.
Somo zuri mch.
Tunawahitaji sana wazee km hawa Mungu atujaalie neema hyo ishi sana na hekima nyingi mzee ananja.
JAMANI AMRI ZIPO 10 WATU WAMEKAMATA SABATO TU KUJIFARIJI ILA WANAZINI WAO, WANATAMANI WAKE ZA WATU WAO ILA SABATO AAAAAAH
Asa Kama Kuna mtu kazini japo anatunza sabato ndo wengine tuache amri ya Mungu kisa wanaoshika wanazini?
angalia neno la Mungu linasemaje.
pia usiangalie waumini wa kisabato angalia kanisa kama mfumo linasisitiza kuazishika amri zote
Kwa hiyo wanaosali jumamosi wanafundisha kuvunja zingine
Jamani kwa yeyote aende kwenye biblia kusoma ili kujua kinachosemwa kwenye biblia imekaa vipi. Ushahidi wa kujua ukweli ni biblia tu!
Mimi kwa kweli nimeenda kwenye Biblia kujua na nimekutana na hiki japo kwa udogo hivi ila kamenisaidia kumtii na kumwabudu Mungu Muumbaji. Haka hapa hebu nawe kasome katakusaidia Yohana 14:15-18; Yakobo 4:11,12,17 1Yohana 4:1
Ni andiko gani lasema tusherehekee jumapili badala ya jmosi kwa ajili ya ushindi
Watu wanazingatia siku lakini ndani yao hawana wokovu ni kubishana tu
uko sawa mchungaji
mzee binadamu wamezoea kusikia uongo ukiwambia ukweli wana. leta siasa nakuku bali sana
Nakuelewa sana
Ubarkiwe mchungaji sana Mungu anasikia kila siku ya mungu
Mwanzo 2:1-3
Acheni Mungu aitwe Mungu. Waasisi wa Waadventista Wasabato Elen G. White na wenzake walitabiri Yesu kurudi miaka Mingi lakini utabiri wao ulikuwa batili. Kwahiyo tumtafute Mungu maadamu anapatikana. Kama uko kinyume na Mungu nafsi iliyoko ndani Yako itakuhukumu mara moja.
Kabra ya kujua neno LA mungu jifunze kujua tabia za mungu la sivo tutanishana bule alisema usifanye sanamu lakin ktk sanduku la agano Kuna Sanam na nyoka wa Shaba aliagiza tule Kila mnyama mwanzo sula ya Tisa lakin badae akakaza. Kilajambo na wakat tujue kwanza tabia ya mungu.
Ubarikiwe Baba Mchungaji umejibu yote vema uishi sanaa
@@LilianMbangwa Awp Ata Wew Umechemka
Mch NDACHA ,tatizo la hao wahubiri feki ni shule -- Halafu wapo kwa ajili ya kutafuta kubishana --- " Hatuna muda wa kubishana " unaelewa anachosema Mch Hananja,kipokee kitakusaidia,hukielewi,kiache,endelea na msimamo wako --- Mungu ndiyo mhukumu wa haki.
Ndugu, sabato ni jumamosi. Hilo halina ubishi, achana na akina hananja na watumishi wote walio tayari kuusujudia utawala wa kirumi. Na ndio utakuta sikuhizi hakuna nabii wala mchungaji anaewekwa gerezani na kuuwawa kama akina Paul na Sila. Ni kwasababu wamekubali kuongea uongo ili kuufurahisha utawala wa kirumi uliokuja kubadli siku ya sabato kutoka jumamosi kwenda jumapili.
Siku ni muhimu mno, na ndio sababu Mungu ameagiza watu waikumbuke hio siku na waitakase. Kwanini? Kwa sababu Mungu alijua utatokea utawala utakaowaondoa watu kwenye sabato ya kweli.
Mungu atakuhukumu kwa neno lake lililoandikwa yaani Biblia na wala siyo mawazo ya watu.
Nmchungaji unapenda kutumia maandiko. Lakini umekataa Leo maandiko kabisa. Wasomee mathayi 24 sura nne kuteremka. Tena timotheo Wa pili 4 mstari Wa Kwanza hadi Tano. Lakini Leo umekataa Mada kabisa
@@chillogeorge1383hawa wa zama hizi sio manabii....nabii wa mwisho alikuwa muhammad kwa waislam...na yesu kwa wakristo.
Umekwama pole acha kujitetea usijifanye kumsahihisha Mungu
Siku zote ni sawa Warumi 14:5 jibu Hilo hapo usitoke povu Kwa dhehebu lako kwenye ukristo hakuna sabato siku zote ni ibada
Acha dhambi
Iabudu siku
@@aquinomsigwa6998 hachana na kuabudu siku mfate Yesu uspotee ndiomaana mlimtuumu Bwana Yesu heti amevunja sabato kwaiyo tukisema katika ukristo hakuna wasabato tupo sawa tokeni huko Kwa wapinga kristo
@@prochesernest5439 kuabudu siku tuu kuacha dhambi Aaaah
Mwanzo 2:1-2
[1]Basi mbingu na nchi zikamalizika, na jeshi lake lote.
[2]Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya.
Akili yako ndoimeishia hapo omba uongezewe maalifa na mungu
Mungu akubali mch hananja
Ubalikiwe mtumishi
Sabato ni siku ya mapumnziko siku takatifu ya bwana
wapo watu wana abudu siku lakini maovu wanatenda tena sana
Ni kweli kuhusu UTATU umejibu sawa kabisa Mungu ni mmoja ila kazi zake ndizo zinazomtambulisha katka huo utatu maana mara nyingi Mungu anjitambulisha katika wingi si Bible pekee bali hata Quran
😮
Asante kwakutufungua Mungu akubariki
Samahani, shituka haya Mafundisho hayakufumbui entirely, yanakufanya uwe kipofu kabisa , usiamin kachunguze Nawe pia Kama Ni kweli au laa! , Maana Shetani hutumia watu Wenye hekima wa Dunia hii wanaoaminika kuchafua jina la Bwana , Amri za Mungu Ni za Milele sio za Jana tu, Ni za Leo na kesho pia hata Milele zote
Kuhusu Utatu Mtakatifu bado hujadadafua ipasavyo. Yesu ni Mwana milele yote. Uana wake haukuanzia kwenye umwilisho wake.
Naamini majibu yako ndio akili yako ya mwisho kufikiria
Ukiulizwa swali jibu kwa kujenga hoja yenye ushahidi wa maandiko
MAELEZO YAKO YAMENIFANYA NIJUE SIKU YA SABATO NI JUMAMOSI AHSANTE
Tumia Akili zako Juma mosi maana yake ni siku ya kwanza ya juma itakuwaje ni siku ya sabato?
Wewe ndo hujui chochote hata hiyo jumapili huijui maana usingesherehekea jumapili kama isingekuwa siku ya kwanza@@obedkalinga9704
Jibu kwa kunukuu maandiko we mzee
@@obedkalinga9704 🤣
@@obedkalinga9704 hicho kichwa kina akili ama uji?
Siyo
Mchungaji kumbuka kua ile ni amri af tumia mandiko na si kwamtazamo wako mchungaji af mchungaji kumbuka silaha ya mkristo ni mandiko na Mungu tunamjua kupitia mandiko
Swala la sabato kwenye Agano jipya ni tofauti na Agano la kale,baada ya Yesu kufufuka,mwanadamu hawezi kumpendaza Mungu kwa kufuata siku,Kila wakati ni ibada
WAKOLOSAI 2:18
YOHANA 2:21-22
YEREMIA 31:31-34.
WAEBRANIA 10.
nimekuelewa vizuri na umenisaidia sana natamani na wengine Yesu awafumbue akiri za wapate kuyaelewa na maandiko
kiini cha ibada kwa Mungu ni siku ya sabato
Mwanadamu yeyote Ni hekalu la Mungu, Yani Ni nyumba aliyojenga Mungu Mwenyewe, yaani alikuumba, hivyo ndio sababu Yeye hukaa ndani yetu, isipokuwa nyumba inaweza kukaliwa na asiye na Nyumba pia(mvamizi), Ambaye Ni Shetani, Sasa suala la Maamuzi juu ya Mwenye nyumba yapo juu yake mwenyewe, isipokuwa Mungu Amesema yeyote aharibuye nay humwaribu,
Hivyo Basi
1/ wew Ni hekalu, Kama Yesu tu alivyokua anajiongelea.
2/ Hilo hekalu la Mungu linamsikiliza Mungu sio vinginevyo, yaani wewe unapaswa usikilize Mungu anataka Nini.
PIA, Yer31;31 , inaongelea Agano sio AMRI za Mungu Ambazo zipo tangu kuumbwa Mwanadamu alipewa Kufuata sio Agano tu, sio hivyo tu , yeremia anaongelea Agano la upatanisho wa Dhambi zetu, mfano Tulipaswa kuchinja now hatufanyi hivyo isipokuwa kwa Damu ya Yesu imekua Agano jipya la kutupatanisha na Mungu tunapovunja Amri za Mungu( yaani tunapotenda ndambi, maana "Mshahata wa dhambi Ni Mauti".
Hakumaanisha "kitabu Cha Agano jipya yaani New testament Ila Anaongelea Agano yaani convenant" hivi Ni vitu viwili tofauti,,
KUMBUKA TU; kitabu Cha Agano jipya na la kale Vyote kwa pamoja vinalengo Moja Vyote Ni Neno la Mungu tu la Milele, Maana Mungu Ni Mmoja na sio Kigeugeu ajigeuke Mwenyewe.
Tusiache kuomba lakini tutaelewa tu mpendwaa usikate tamaa ndio safari yetu ilivyo Wala so Tambarare.
Tofauti kati ya watu wa Mungu na wasio watu wa Mungu inabainishwa na kutii neno la Mungu au kutotii neno la Mungu. Na kutotii neno la Mungu ndio dhambi yenyewe.
Aaa😂😂😂 uyu mchungaji ni Msabato sema anashindwa kujiunga na SDA moja kwa moja, kuwa Msabato ni vita Tena vita kubwa,kama huamini jaribu uone,kuingia SDA ni kuingia chumba Cha mtihani
Hapo umezingua kasome tena kuhusu sabato
Mchungaji hananja kwa mengine uko sahihi na ndio imani yetu sisi waisilamu na hio iko sawa kabisa
Pole inaonesha kabisa ujui unaye Mhubiri lakin uko sahihi maanaa unatetea ilan yako maana ulipewa udhamin wa kuwa na kanisa na hao walikupa mashart ukipinga umekwishaaa
Mmmmmmh sasa naelewa mitume na manabii hawa wanajitafutia utukufu wao.
Kwa mara ya kwanza naona mzee wetu anapanic 😂, mzee umenikata leo😢
kwa kweli unajibu sawasawa
Hesabu 15:32-36
Mathayo 12:1-21
Wagalatia 2:1-21
Kwasababu ukimpa ndacha maandiko ya Yesu mwenyewe alieponya siku ya sabato atakujibu kwa andiko kuwa Yesu ndo bwana wa sabato ndo maana anamamlaka hayo , na atakuuliza wewe ni Yesu ?, Sasa hayo maandiko hapo juu ukisoma inagisia wanafunzi wa yesu ,. Na yesu alipokuwa ana paa akasema mkawafanye wote kuwa wanafunzi wangu ,.
Kwahiyo wafuasi wa Yesu ni wanafunzi wa yesu ,
Wanaotaka maandiko , sijawahi sikia mchungaji ndacha akagusa yaha maandiko , anajua tuu akiyagusa kwa namna moja au nyingine , anajua mtu akijenga hoja kwa kwa haya maandiko mchungaji mdacha hana cha kujibia haya maandiko labda hayakatae kuwa hayapo kwenye biblia
Poleni wakristo naona mnaunga unga tu yezu hawajui nyie woote maana hakutumwa bari kwa kabila kumi na mbili za wahahudi waliopotea pia sabato iliwagusa wavuvi na walishalaaniwa waligeuzwa manguruwe na nyani hata siku moja hawa awana uwezo wa kujitetea
Hapo ni kusali Kila siku
Sasa hapo inabidi ujiulize wakati yesu yupo hai amri na sheria alizitii nyinyi shangwe baada ya kufufuka aingii akilini
Ukiona Mungu kapumzika ujuwe niwamchongo
sema hujaelewa alimpumzika vipi?.
Yeye ndo alisema alipumzika labda kama huamini Biblia ndugu
Tusome hapa naona kama kuna jambo Mungu anatwambia hapa, natumai ukipasoma nawe rafiki kuna jambo utasikizishwa na Mungu.
Mwanzo 2:1,2 kuna chembo/nyongeza katika Kutoka 31:17
Mtangazaji nakurekebisha: katika uislam hakuna siku maalum yakuabudu.tunaabudu sku zote.
Ijumaa ni siku ya waislam kukusanyika pamoja na kukumbushwa au kufahamishwa mambo mbalimbali ya dini na jamii.
kawaulize viongozi wako, mtume kawaamulisha watu wake kusali juma mosi sulatur bakar aya 144:5 na kuendelea soma yote na fafanuzi zake
Yesu ni mwana wa Mungu, Yesu anachanzo na ndio Mzaliwa wa kwanza
Imeandikwa usimukumu mtu Kwa Siku chakula, mwandamo wa mwezi Wala Sabato
Hatari, ati anasema wakati mwingine utawala wa dunia una nguvu kuliko utawala wa Mungu. Watu wa Mungu tuwe makinieeee.
Amesema, utawala wa kidunia una nafasi katika mambo ya Mungu
@@davidndyamukama3148 Sasa tuwe wasagaji kwa kuwa udunia una nafasi katika mambo ya mungu?
Waislam WANASWALI au WANAABUDU kila Siku na sio Ijumaa tu....
Ijumaa ni Siku kubwa tu ya Ibada..
Mzee Bibilia haitaki kila mtu afute akilizake bali tufuate maandiko fanya mjadala nda ndacha sasa kama ni mapokei inakuwaje wote tunafuta Bibilia na iwe na maapokeo tofauti apo ujua lazima kuna wengine wanatumia maandiko vibaya
kbs kbs umenena
Na utajuej kama unafuata kilicho sahihi?
@@venancenkoronko9250 mm najuwa maana mm na amini biblia pekee yake
Huyo anachenga za mwili,na anaelimu ya Dunia na huyo Mungu wake tumbo.
Tuewe na imani moja na ubatinzo mmoja ili tuwe na mwili wa yesu
Kwani dhambi maana yake nini,
Biblia inasema dhambi ni uasi wa sheria.
Hakuna fungu kwenye biblia linalosema kuhusu kurusha jiwe.
Nzee huyu hajui Biblia,dhambi ni uasi wa sheria ya Mungu
Mchungaji Hananja ni Mgodi unaoishi
Hapa na wewe umekwama Mzee😂😂😂
Nimekuelewa kabisa mchungaji Hananja.
Waislamu wanaabudu majini na Allah ni Giza sisi ni Nuru ijumaa ni yao sisi haitihusu
Ni giza kwa lugha gani?
Kafiri ni kafiri tu ndo maaana anaenda chooni na makaratasi,
Hata ukitawaza kwa dawa na kupiga perfume kinyeo chako..bado kitazikwa ardhini.. dini ni imani,usafi wa roho yako ndo muhimu @@ashrafnuru6402
HOJA YA USALI MJUMAPILI HAO HAWAWEZI KUITETEA KMAANDIKO BADALA YAKE WAITETEA KIMTAZAMO WAO U SI UNAMSILIKILIZA HUYO ANACHOONGEA ANAUNGA UNGA MANENO YAKE TU HAPO
Amekubari kuwa amri ya 4 ni halali kusari jumamosi ubarikiwe hananja Mambo ya kurusha jiwe yameandikwa kitabu gani acha porojo pastor Amri ziko 10 sio 9 hananja .
Porojo ni kufuata dini ilioasisiwa juu ya msingi wa uongo wa siku ya mwisho ya,dunia. Shetani ni Baba wauongo wote.
1Wakorintho 15:14
Kutoka 12:16:Unabii wa Siku ya kwanza ya juma.
Mathayo 18:18. Jinsi unabii wa siku ya kwanza ya juma ulivyofunguliwa katika Agano Jipya. Wasaidie na wenzako kuwaeleza haya msiangamizwe na Helen White kwa kukosa maarifa Hosea 4:6a.
SIKU ZOTE NI SAWA MBELE ZA MUNGU KILA MMOJA AJULIKANE KWA MUNGU ANAYEMWABUDU.
Kasema: Utawala wa kidunia una nafasi katika mambo ya Mungu. Kataja baadhi ya mambo ya ki Mungu.
Watu wangu watapotea kw kukosa maarifa
Pole mchungaji kwa kupotosha, k2 kama hukijui acha kujiaibisha sabato inaanzia mwanzo hadi ufunuo we utajificha chaka la wap ,ufunuo 14,12
@@KelvinOmbeniMathew Kaka, usidokoe dokoe baadhi ya vifungu na kuvisimamia hivyo tu. Hakikisha unasoma Biblia yoyote, soma pia na WAKOLOSAI 2:16
Ndugu soma Biblia yote.
WAKOLOSAI 2:16
amesema sawa sali unapojisikia
ukitaka kuelewa zaidi kuhusu anayosema hananja angalia, mahubiri tv, orion tv na hope channel tanzania
Je, mnayoyasunguza mwayatoa katika maandiko gani? Sabato imeanzia juma la kwanza ya uumbaji. Ni amri aliyoitoa Maulana. Je, tutafuata maelezo yenu au ya Mungu. Mungu alitoa kielelezo tufuate.
Hajawambia muach sabato ila je mnafat maandiko ya sabato ekewe kitu ndo ujibu
Nioneshe andiko Ibrahim akienda kusali jumamosi
Mungu siyo kigeugeu, malaki 3:6, yesu hakuja kutangua torati mathayo 5:17
Amri kumi ndo kiooo sabato ni amri ya mwenyezi Mungu siku ya jpli ni siku ya kwanza ya juma hiyo ni Biblia
Alafu ukisoma mathayo 5 yote , utagundua Yesu kuna baadhi ya amri alikuwa anaziondoa kistyle yake ,
Sasa kama torati imesema jino kwa jino , yeye Yesu anakuja kutuambia mtu akikupiga shavu ili mgeusie na shavu lingine akupige maana yake nini kama sio kuondoa hiyo amri ya jino kwa jino ki style ,
Ndo maana. Ukisoma agano la kale lote na jipya lote , utagundua MUNGU kuna namna aliwachukulia watu wa kale wa agano la kale na kuna namna pia aliwachukulia watu wa agano jipya ,.
Ila ukibaki na kukariri maandiko bila kielewa ndo unashikilia nira ngumu ya kale ,. Ndo maana Yesu alisema nira yake ni laini
Wakristo wanaabudu masanamu,waislam wanamwabu mwenyezi Mungu mmoja tu na wanamwabudu kila siku siyo siku moja tu,lazima uelewe we katili uliosema waislam wanaabudu majini pumbavuuuu
Ahahahaaa ila kwakwer kwan Yesu hakua anasar je, kama arkua anasar nikansa gan
KWAIYO UMEAMUA KUVUNJA AMRI YA MUNGU? KWA NINI MSIVUNJE AMRI YA 5 YA WAESHIMU BABA NA MAMA ILI SIKU ZAKO ZIPATE KUONGEZEKA.
HACHENI UPOTOSHAJI MZEE
Hakuna amli iliyovunjwa ilabiblia imegawanyika ko jitaidi kumuelewa mzee
kama unaamin dini zililetwa unapataje Imani kwenye Mungu na dhambi
Hapana umekosea mwanadam hatakiwi kufuata yakwake bali mwanadam afuate alichosema mungu kama mwanadam anafuata cha kwake smpotea na ibade yake ni bure mathayo 15:8_9
WASABATO WANAONGOZA KUA NA ROHO MBAYA TANZANIA FANYENI UTAFTI WAO WAMESHIKA SKU TU SIO MENNGINE WANAIJUA AMRI MOJA TU
@@VascoKasambala ndugu ukiambiwa ukwrl ambao uko kwenyr biblia kubali kubadilika usimwambie mtu anaekwambia ukwel et ana roho mbaya.
acha kufwatilia wachungaji au viongoz wa dini . ni wakati wa kurudi kwenye biblia
Hayo ni maneno ya chuki ukweli upo pale pale ama tii au usitii Mungu atanyosha mstari
Menimecheka😂😂😂😂😂
Wewe potosha wenye hawajui maandiko
Haya twambie wewe unayesoma na kujua neno, mitume walisali sabato ipi na wapi baada ya BWANA kufufuka na kupaa mbinguni
Jaa Roho Mtakatifu Akufundishe mengi