MCH. HANANJA ATOA SOMO KUHUSU SABATO YA JUMAMOSI AUNGANA NA USTADHI DANIEL KUMPA SOMO MCH. NDACHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • MAMBO YA SABATO NA JUDAISM HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AMETUELEZA KWA KIREFU UMUHIMU WA SABATO NA JINSI ILIVYO NGUMU AFRICA KUWA MSABATO

Komentáře • 527

  • @danielmarwa5122
    @danielmarwa5122 Před 21 dnem +4

    Ni ngumu sana kutetea uongo,
    Mungu anataka utii kwa hiyo tunfuata Mungu au maagizo ya binadamu

  • @davidndyamukama3148
    @davidndyamukama3148 Před 24 dny +9

    Yesu alienda hekaluni na kwenye masinagogi kwa ajili ya kufuata watu ili awafundishe. Hakuna sehemu Yesu alifundisha kushika sabato.

    • @zakayomwalongo9330
      @zakayomwalongo9330 Před 23 dny +1

      soma vizur biblia yako ndugu yangu Yesu alizitunza sabato

    • @WAVELENGTH-tp1tm
      @WAVELENGTH-tp1tm Před 16 dny

      Vivyo hivyo hakutufunza tufanye usagaji, je kwa nini tuukemee ikiwa Yesu hakunena lolote kuhusu ushoga?

    • @davidthomas2985
      @davidthomas2985 Před 8 dny

      Marko 2:27 Akawaambia, Sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato.
      Marko 2:28 Basi Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato pia.

    • @NgewaCompany
      @NgewaCompany Před 6 dny

      KUMBE NI RAHISI TU NAMNA HIYO, TUENDELEE KUSALI SIKUYOYOTE TU

    • @unathanmakenge937
      @unathanmakenge937 Před dnem

      Alifundisha hadi Sabato,

  • @memorataedson7895
    @memorataedson7895 Před měsícem +4

    pastor asante kwa hekima ya kuelezea mambo magumu kwa namna inayoeleweka zaidi

  • @petercharles7959
    @petercharles7959 Před 12 dny +2

    Asanteeeee sana

  • @user-qq3ve3px5u
    @user-qq3ve3px5u Před 3 dny +2

    Sabato itatuzwa milele hata ipingwe nami kwa kumtii Mungu ninapaswa kufanya ivo kama alivyoagiza

  • @timothykiptoo8166
    @timothykiptoo8166 Před 19 dny

    Boiling pot of wisdom.listening from Kenya.

  • @ShijaPeter-fj6gk
    @ShijaPeter-fj6gk Před 18 dny +4

    Huyu mzee ukimsikiliza kwa making sanaaaa anaujua ukwel kabisa na sabato anaijua lakin anayajibu maswal kijanja sana kama mnaelewa ameulizwa kuhus Constantine ame lukaluka maana ndie ibadil sheria ya mungu na amri ya nne hajibu inavyo takiwa

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 8 dny

      wabongo wengi hamna akili , mzee amefafanua vizuri sana lakini kwasababu ya ugonjwa wenu wa akili mnashindwa kufahamu kila ufafanuzi

    • @frankkitomary3878
      @frankkitomary3878 Před 5 dny

      @@ShijaPeter-fj6gk hahahaahaaa ujue wachungaji walifundishwa kukwepa mitego kwaiyo ni wajanja maana akuna mfanyabishara anae toa siri ya mafanikio yake kwaiyo nini fikiri apa kuna kitu kizito mshamba atakula shambani kwake na mchungaji ata kula madhabaoni kwake kwaiyo mambo mengi ni janja janja wachungaji wengi wanajua na wanalinda ugali wao

  • @AbdallahMpwatile
    @AbdallahMpwatile Před měsícem +2

    Nakuelewa sana mzee rich billionaire

  • @mwlfau60
    @mwlfau60 Před 10 dny +1

    Aise, ibada ni amri siyo kushangilia

  • @user-jc1do5gf3w
    @user-jc1do5gf3w Před měsícem +1

    Amina

  • @rachelvictor1044
    @rachelvictor1044 Před 17 dny +1

    Hio siku ya ushindi ingekuwa muhimu kuitukuza na kuishangilia basi na mitume wote wangetiana moyo kama unavyosema na kusali siku hio. Mungu akusaidie uione nuru ya kweli maana hata kwa akili ya kibinadamu tu sidhani kama mwanadamu anaruhusiwa kubadili siku ya ibada. Maana hakuna alie kama Mungu.

  • @Jonathankaghese
    @Jonathankaghese Před měsícem

    Mungu awabariki

  • @BoazJacob-y1t
    @BoazJacob-y1t Před 22 dny +1

    Kwenye maana kuhusu sabato, maelezo hayo umechemka pastor Mungu akusaidie uelewe tuu

  • @sabatomafwele1495
    @sabatomafwele1495 Před měsícem +4

    Yes mwenyewe alipumzika siku ya Sabato, mitume hata baada ya ufufuo waliendelea kutunza Sabato wewe Nani alikuruhusu kubadili. Mathayo 5:17 Yesu alisema alitabadilishwa

    • @sospeterlaurent4428
      @sospeterlaurent4428 Před měsícem

      Hujaelewa wapi mbona kasema ushahidi wa maandiko

    • @charlesmpambwe5055
      @charlesmpambwe5055 Před 23 dny

      Yesu aliuawa na washika Sabato... Sabato aliikuta na alienda kuwafuata huko ili kuwafundisha kweli na hakupumzika siku hiyo alufanyakazi kama kawaida ndio maana akaoneka siyo mtu wa Mungu kwa sababu hakuishika sabato...wakamuua...

    • @charlesmpambwe5055
      @charlesmpambwe5055 Před 23 dny

      Soma Mathayo 12:1-2,5,10-12,21. Marko 1:21; 2:23,24; 3:2.... Injili zote ukizisoma kwa mtizamo wa kutaka kujifunza kwa msaada wa Roho Mtakatifu utaelewa... Pumzika siku yoyote utakatifu tu Katika Kristo Yesu ndo utakaokuokoa usiende katika ziwa la moto...

    • @johncharlesmasaibenjaminsa3511
      @johncharlesmasaibenjaminsa3511 Před 13 dny

      Mathayo 12
      Wakiwa katika mashamba ya nafaka, wanafunzi walianza kukwanyua masuke: sheria ya Mungu iliruhusu, Kumbukumbu la Torati 23:25. Huu ulikuwa uandalizi mwembamba kwa Kristo na wanafunzi wake; lakini waliridhika nayo. Mafarisayo hawakugombana nao kwa sababu ya kuchukua nafaka ya mtu mwingine, bali kwa kufanya hivyo siku ya sabato. Kristo alikuja kuwaweka huru wafuasi wake, si tu kutokana na upotovu wa Mafarisayo, bali kutoka kwa kanuni zao zisizo za kimaandiko, na kuhalalisha walichofanya. aliye mkubwa zaidi hatatimizwa matamanio yao, lakini walio duni watafikiriwa mahitaji yao. Kazi hizo ni halali katika siku ya sabato ambayo ni ya lazima, na mapumziko ya sabato ni kupotoka, si kuzuia ibada ya sabato. mahitaji ya afya na chakula yanapaswa kufanywa; lakini watumishi wanapowekwa nyumbani, na familia kuwa eneo la haraka na kuchanganyikiwa katika siku ya Bwana, kuandaa karamu kwa ajili ya wageni, au kwa ajili ya anasa, kesi ni tofauti sana. mambo kama haya, na mengine mengi ya kawaida miongoni mwa maprofesa, yanapaswa kulaumiwa. Kupumzika siku ya sabato kuliwekwa kwa ajili ya wema wa mwanadamu, Kumbukumbu la Torati 5:14. Hakuna sheria lazima ieleweke ili kupingana na mwisho wake yenyewe. na kama vile Kristo ni Bwana wa sabato, inafaa siku hiyo na kazi yake inapaswa kuwekwa wakfu kwake.

  • @daudmasungwa1577
    @daudmasungwa1577 Před 11 dny +2

    Soma wakolosai 2:12__16

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 Před měsícem +6

    Ukweli anasema bwana wetu YESU NDIYE BWANA wa sabato

  • @ELIASFELIX-bq2nc
    @ELIASFELIX-bq2nc Před 22 dny

    Yes! Akili za mwanadamu haziwezi kuchunguza Mungu!

  • @AlfaMwahasanga-j1q
    @AlfaMwahasanga-j1q Před měsícem +2

    Lakini wengi wa watumishi leo wanashughuka na kuwatia moyo watu hata kama wanaendelea na dhambi

  • @user-tr2mf3hp5s
    @user-tr2mf3hp5s Před 29 dny

    Nakubali Sana mzee wng

  • @DerickMotondi-cr7fq
    @DerickMotondi-cr7fq Před 20 dny

    Exactly

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880 Před měsícem +3

    UBARIKIWE HANANJA,KWA ELIMU YA JUU,VICHWA MBOVU HAWEZI KUELEWA. Marko2:28.

    • @PASKALILUANDA
      @PASKALILUANDA Před 14 dny

      Habarii usipokee tuu , hii ifanyee Ni changamoto kwakoo, Nenda kafatilie kwa Kina Kila unachokisikia hizi Ni Nyakati za hatarii usuchukulie normal haya Mambo ukalidhika , sabato haikubadilika ipo pale pale , maana Kama imebadilika Basi Mungu Ni Mwongo, maana yeyee Ndiye aliyesema
      1/ Mimi so kigeugeu (Malaki3;6)
      2/ Sikuja kutangua (math 5:17)
      3/ Kristo Ni Yeye yule Jana ,leo, na hata Milele.
      4/Yeye si mtu aseme Uongo (Hes23;19).
      5/ Imani yetu kwake haivunji Sheria yake(Rumi3;31).
      6/ Sabato Ni ishara Kati ya Mungu na Mwanadamu.(Yer 20;12 ,20, pia (isay58;13)
      7/ Sabato limetokana na Neno Saba , sabato Ni siku ya Saba , inamaanisha Pumziko la siku ya Saba , Ni siku iliyobarikiwa na bwana, Kisha Akaamuru Watu wote wanaojiita Israeli ya Kirohoo kuitunza na Wengine wote wanaoitwa Wanadamu wanaojua wameumbwa na Mungu, pia aliitakasa yaani aliiweka wakfu kwaajiri ya Ibada na sio vinginevyo, ushadidi wa hili si Maneno Matupu Bali Mungu mwenyewe anasema haya yotee( Mwz2;2-3, pia kut20;8, isay 58:13).
      Sabato ikiwa Ni siku Yoyote Ni Uongo Maana kwa mfano sio rahisi kujitengea siku yako Yoyote na kuiita Jumapili watu watakushangaa, Na hiviNdivyo ilivyo hatuwezi kuhiita siku ya Saba Ni siku Yoyote ile Mbingu zinatushangaa Sana jinsi tunavyochanganywa na Mwovu kwenye haya Mambo.
      Mimi ukinambia nikushaurii, ntamwambia hili tu " wew Ni Mwanadamu na Mimi pia Kama wewe, Sina nnachoweza peke angu Wala wew peke Ako , Ila tu Tuombee , na kujinyenyekeza Mungu Atufundishe kutambua hila za huyu Shetani , BILA kurudi Magotini kwake kwa Unyenyekevu hatuwezi kufanikiwa Mimi Wala wewe Rafiki yangu,, Haya Ni Madogo Aliyopanga kuyafanya Shetani, Makubwa yanakuja ,yesu alishatuonya kwa ajili ya sikuzetu hizi, UKIPATA MDA ndugu soma math24 Yote, kwa tafakari na MAOMBI Mengi , Utagundua Uongo Mkubwa anaoutaka Shetani Ni kutudanganya Imani zetu ziende kando, Mungu ATUSAIDIE mpendwa, very pain nikifikilia anachokifanya Shetani, NI MUNGU TU, BILA YEYE MTIHANI NI MGUMU SANA .

  • @PaulRuben-eu5nh
    @PaulRuben-eu5nh Před měsícem +1

    Amina sana

  • @jastinmkoba
    @jastinmkoba Před 16 dny

    Ver correct🤝 ananja

  • @MeshackMisungwi-w8q
    @MeshackMisungwi-w8q Před měsícem

    Pole sana mzee somo gumu kwako

    • @ScardySangah
      @ScardySangah Před 26 dny

      @@MeshackMisungwi-w8q ni vigum kumuelewa mchungaji Hananja, ila ukimuelewa utauona ukweli wa hiki anachokizungumzia.

  • @loycealex3475
    @loycealex3475 Před 15 dny +1

    Hata yeye anachokiamini na mapokeo 2 . lakin hujaagizwa na Yesu umeagizwa kostantino

  • @ivanbusumbiro6429
    @ivanbusumbiro6429 Před 29 dny +2

    Mchungaji unasema tunatakiwa tujue jambo moja tu,la kutubu dhambi . kwani dhambi ni nini? Najua dhambi ni uasi wa sheria 10 za Mungu kwenye sheria hizo IPO na sabato .kwanini useme kuiba ni dhambi.

  • @paulmutuajustus5277
    @paulmutuajustus5277 Před měsícem +2

    Umepoteza wengi baz.

  • @AneckAdronico-p2k
    @AneckAdronico-p2k Před měsícem +2

    Somo zuri mch.

  • @fredlyimo1263
    @fredlyimo1263 Před 28 dny +1

    Tunawahitaji sana wazee km hawa Mungu atujaalie neema hyo ishi sana na hekima nyingi mzee ananja.

  • @KOLASCLASSICDESIGNS
    @KOLASCLASSICDESIGNS Před měsícem +6

    JAMANI AMRI ZIPO 10 WATU WAMEKAMATA SABATO TU KUJIFARIJI ILA WANAZINI WAO, WANATAMANI WAKE ZA WATU WAO ILA SABATO AAAAAAH

    • @user-wg6pg9bg8v
      @user-wg6pg9bg8v Před měsícem +2

      Asa Kama Kuna mtu kazini japo anatunza sabato ndo wengine tuache amri ya Mungu kisa wanaoshika wanazini?

    • @zakayomwalongo9330
      @zakayomwalongo9330 Před 23 dny +1

      angalia neno la Mungu linasemaje.
      pia usiangalie waumini wa kisabato angalia kanisa kama mfumo linasisitiza kuazishika amri zote

    • @danielmarwa5122
      @danielmarwa5122 Před 21 dnem +1

      Kwa hiyo wanaosali jumamosi wanafundisha kuvunja zingine

    • @MnadaMayonga
      @MnadaMayonga Před 16 dny

      Jamani kwa yeyote aende kwenye biblia kusoma ili kujua kinachosemwa kwenye biblia imekaa vipi. Ushahidi wa kujua ukweli ni biblia tu!

    • @johncharlesmasaibenjaminsa3511
      @johncharlesmasaibenjaminsa3511 Před 13 dny

      Mimi kwa kweli nimeenda kwenye Biblia kujua na nimekutana na hiki japo kwa udogo hivi ila kamenisaidia kumtii na kumwabudu Mungu Muumbaji. Haka hapa hebu nawe kasome katakusaidia Yohana 14:15-18; Yakobo 4:11,12,17 1Yohana 4:1

  • @AMINAJOAKIMU-k4m
    @AMINAJOAKIMU-k4m Před 17 dny +1

    Ni andiko gani lasema tusherehekee jumapili badala ya jmosi kwa ajili ya ushindi

  • @panduafricangiant4902
    @panduafricangiant4902 Před měsícem +2

    Watu wanazingatia siku lakini ndani yao hawana wokovu ni kubishana tu

  • @DavidMujimba
    @DavidMujimba Před měsícem

    uko sawa mchungaji

  • @user-tl4mp6ho2r
    @user-tl4mp6ho2r Před 2 dny

    mzee binadamu wamezoea kusikia uongo ukiwambia ukweli wana. leta siasa nakuku bali sana

  • @GodfreyMwendawila-ff7on
    @GodfreyMwendawila-ff7on Před měsícem

    Nakuelewa sana

  • @PaulRuben-eu5nh
    @PaulRuben-eu5nh Před měsícem +3

    Ubarkiwe mchungaji sana Mungu anasikia kila siku ya mungu

  • @ELIASFELIX-bq2nc
    @ELIASFELIX-bq2nc Před 22 dny

    Acheni Mungu aitwe Mungu. Waasisi wa Waadventista Wasabato Elen G. White na wenzake walitabiri Yesu kurudi miaka Mingi lakini utabiri wao ulikuwa batili. Kwahiyo tumtafute Mungu maadamu anapatikana. Kama uko kinyume na Mungu nafsi iliyoko ndani Yako itakuhukumu mara moja.

  • @user-ov6nq2wp6w
    @user-ov6nq2wp6w Před 28 dny

    Kabra ya kujua neno LA mungu jifunze kujua tabia za mungu la sivo tutanishana bule alisema usifanye sanamu lakin ktk sanduku la agano Kuna Sanam na nyoka wa Shaba aliagiza tule Kila mnyama mwanzo sula ya Tisa lakin badae akakaza. Kilajambo na wakat tujue kwanza tabia ya mungu.

  • @LilianMbangwa
    @LilianMbangwa Před 16 dny

    Ubarikiwe Baba Mchungaji umejibu yote vema uishi sanaa

    • @SimonGWiliam
      @SimonGWiliam Před 12 dny

      @@LilianMbangwa Awp Ata Wew Umechemka

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Před měsícem +2

    Mch NDACHA ,tatizo la hao wahubiri feki ni shule -- Halafu wapo kwa ajili ya kutafuta kubishana --- " Hatuna muda wa kubishana " unaelewa anachosema Mch Hananja,kipokee kitakusaidia,hukielewi,kiache,endelea na msimamo wako --- Mungu ndiyo mhukumu wa haki.

    • @chillogeorge1383
      @chillogeorge1383 Před měsícem +1

      Ndugu, sabato ni jumamosi. Hilo halina ubishi, achana na akina hananja na watumishi wote walio tayari kuusujudia utawala wa kirumi. Na ndio utakuta sikuhizi hakuna nabii wala mchungaji anaewekwa gerezani na kuuwawa kama akina Paul na Sila. Ni kwasababu wamekubali kuongea uongo ili kuufurahisha utawala wa kirumi uliokuja kubadli siku ya sabato kutoka jumamosi kwenda jumapili.
      Siku ni muhimu mno, na ndio sababu Mungu ameagiza watu waikumbuke hio siku na waitakase. Kwanini? Kwa sababu Mungu alijua utatokea utawala utakaowaondoa watu kwenye sabato ya kweli.

    • @georgesamweli9852
      @georgesamweli9852 Před měsícem +2

      Mungu atakuhukumu kwa neno lake lililoandikwa yaani Biblia na wala siyo mawazo ya watu.

    • @solomonmugao4733
      @solomonmugao4733 Před měsícem

      Nmchungaji unapenda kutumia maandiko. Lakini umekataa Leo maandiko kabisa. Wasomee mathayi 24 sura nne kuteremka. Tena timotheo Wa pili 4 mstari Wa Kwanza hadi Tano. Lakini Leo umekataa Mada kabisa

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před měsícem

      ​@@chillogeorge1383hawa wa zama hizi sio manabii....nabii wa mwisho alikuwa muhammad kwa waislam...na yesu kwa wakristo.

  • @mkoyitz2448
    @mkoyitz2448 Před měsícem +4

    Umekwama pole acha kujitetea usijifanye kumsahihisha Mungu

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Před měsícem +1

      Siku zote ni sawa Warumi 14:5 jibu Hilo hapo usitoke povu Kwa dhehebu lako kwenye ukristo hakuna sabato siku zote ni ibada

    • @aquinomsigwa6998
      @aquinomsigwa6998 Před měsícem

      Acha dhambi

    • @aquinomsigwa6998
      @aquinomsigwa6998 Před měsícem

      Iabudu siku

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Před měsícem

      @@aquinomsigwa6998 hachana na kuabudu siku mfate Yesu uspotee ndiomaana mlimtuumu Bwana Yesu heti amevunja sabato kwaiyo tukisema katika ukristo hakuna wasabato tupo sawa tokeni huko Kwa wapinga kristo

    • @judithminja770
      @judithminja770 Před měsícem

      @@prochesernest5439 kuabudu siku tuu kuacha dhambi Aaaah

  • @user-rh4ou2kx6h
    @user-rh4ou2kx6h Před 12 dny

    Mwanzo 2:1-2
    [1]Basi mbingu na nchi zikamalizika, na jeshi lake lote.
    [2]Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya.

  • @laickwilinerd5375
    @laickwilinerd5375 Před měsícem +1

    Akili yako ndoimeishia hapo omba uongezewe maalifa na mungu

  • @BenardPaul-t4x
    @BenardPaul-t4x Před měsícem +3

    Mungu akubali mch hananja

  • @JonasMathias-s6m
    @JonasMathias-s6m Před měsícem

    Ubalikiwe mtumishi

  • @LameckBoniphace
    @LameckBoniphace Před 5 dny

    Sabato ni siku ya mapumnziko siku takatifu ya bwana

  • @user-tl4mp6ho2r
    @user-tl4mp6ho2r Před 2 dny

    wapo watu wana abudu siku lakini maovu wanatenda tena sana

  • @user-px7qw3hs2h
    @user-px7qw3hs2h Před měsícem

    Ni kweli kuhusu UTATU umejibu sawa kabisa Mungu ni mmoja ila kazi zake ndizo zinazomtambulisha katka huo utatu maana mara nyingi Mungu anjitambulisha katika wingi si Bible pekee bali hata Quran

  • @user13375
    @user13375 Před měsícem

    😮

  • @rahma6189
    @rahma6189 Před měsícem +2

    Asante kwakutufungua Mungu akubariki

    • @PASKALILUANDA
      @PASKALILUANDA Před 14 dny

      Samahani, shituka haya Mafundisho hayakufumbui entirely, yanakufanya uwe kipofu kabisa , usiamin kachunguze Nawe pia Kama Ni kweli au laa! , Maana Shetani hutumia watu Wenye hekima wa Dunia hii wanaoaminika kuchafua jina la Bwana , Amri za Mungu Ni za Milele sio za Jana tu, Ni za Leo na kesho pia hata Milele zote

  • @frimatuslupimo2031
    @frimatuslupimo2031 Před 13 dny

    Kuhusu Utatu Mtakatifu bado hujadadafua ipasavyo. Yesu ni Mwana milele yote. Uana wake haukuanzia kwenye umwilisho wake.

  • @Ayyub_Semtawa
    @Ayyub_Semtawa Před měsícem +11

    Naamini majibu yako ndio akili yako ya mwisho kufikiria
    Ukiulizwa swali jibu kwa kujenga hoja yenye ushahidi wa maandiko

  • @user-ux7kg2bw9l
    @user-ux7kg2bw9l Před 26 dny +4

    MAELEZO YAKO YAMENIFANYA NIJUE SIKU YA SABATO NI JUMAMOSI AHSANTE

    • @obedkalinga9704
      @obedkalinga9704 Před 19 dny

      Tumia Akili zako Juma mosi maana yake ni siku ya kwanza ya juma itakuwaje ni siku ya sabato?

    • @nelsonshillah6618
      @nelsonshillah6618 Před 16 dny

      Wewe ndo hujui chochote hata hiyo jumapili huijui maana usingesherehekea jumapili kama isingekuwa siku ya kwanza​@@obedkalinga9704

    • @nelsonshillah6618
      @nelsonshillah6618 Před 16 dny +1

      Jibu kwa kunukuu maandiko we mzee

    • @WAVELENGTH-tp1tm
      @WAVELENGTH-tp1tm Před 16 dny

      @@obedkalinga9704 🤣

    • @WAVELENGTH-tp1tm
      @WAVELENGTH-tp1tm Před 16 dny

      @@obedkalinga9704 hicho kichwa kina akili ama uji?

  • @magrethyoseph3034
    @magrethyoseph3034 Před 19 dny

    Siyo

  • @PaulChambala
    @PaulChambala Před měsícem

    Mchungaji kumbuka kua ile ni amri af tumia mandiko na si kwamtazamo wako mchungaji af mchungaji kumbuka silaha ya mkristo ni mandiko na Mungu tunamjua kupitia mandiko

  • @lwezaurawilliam4498
    @lwezaurawilliam4498 Před měsícem +1

    Swala la sabato kwenye Agano jipya ni tofauti na Agano la kale,baada ya Yesu kufufuka,mwanadamu hawezi kumpendaza Mungu kwa kufuata siku,Kila wakati ni ibada
    WAKOLOSAI 2:18
    YOHANA 2:21-22
    YEREMIA 31:31-34.
    WAEBRANIA 10.

    • @pascopaul909
      @pascopaul909 Před měsícem

      nimekuelewa vizuri na umenisaidia sana natamani na wengine Yesu awafumbue akiri za wapate kuyaelewa na maandiko

    • @zakayomwalongo9330
      @zakayomwalongo9330 Před 23 dny

      kiini cha ibada kwa Mungu ni siku ya sabato

    • @PASKALILUANDA
      @PASKALILUANDA Před 14 dny

      Mwanadamu yeyote Ni hekalu la Mungu, Yani Ni nyumba aliyojenga Mungu Mwenyewe, yaani alikuumba, hivyo ndio sababu Yeye hukaa ndani yetu, isipokuwa nyumba inaweza kukaliwa na asiye na Nyumba pia(mvamizi), Ambaye Ni Shetani, Sasa suala la Maamuzi juu ya Mwenye nyumba yapo juu yake mwenyewe, isipokuwa Mungu Amesema yeyote aharibuye nay humwaribu,
      Hivyo Basi
      1/ wew Ni hekalu, Kama Yesu tu alivyokua anajiongelea.
      2/ Hilo hekalu la Mungu linamsikiliza Mungu sio vinginevyo, yaani wewe unapaswa usikilize Mungu anataka Nini.
      PIA, Yer31;31 , inaongelea Agano sio AMRI za Mungu Ambazo zipo tangu kuumbwa Mwanadamu alipewa Kufuata sio Agano tu, sio hivyo tu , yeremia anaongelea Agano la upatanisho wa Dhambi zetu, mfano Tulipaswa kuchinja now hatufanyi hivyo isipokuwa kwa Damu ya Yesu imekua Agano jipya la kutupatanisha na Mungu tunapovunja Amri za Mungu( yaani tunapotenda ndambi, maana "Mshahata wa dhambi Ni Mauti".
      Hakumaanisha "kitabu Cha Agano jipya yaani New testament Ila Anaongelea Agano yaani convenant" hivi Ni vitu viwili tofauti,,
      KUMBUKA TU; kitabu Cha Agano jipya na la kale Vyote kwa pamoja vinalengo Moja Vyote Ni Neno la Mungu tu la Milele, Maana Mungu Ni Mmoja na sio Kigeugeu ajigeuke Mwenyewe.
      Tusiache kuomba lakini tutaelewa tu mpendwaa usikate tamaa ndio safari yetu ilivyo Wala so Tambarare.

  • @georgesamweli9852
    @georgesamweli9852 Před měsícem

    Tofauti kati ya watu wa Mungu na wasio watu wa Mungu inabainishwa na kutii neno la Mungu au kutotii neno la Mungu. Na kutotii neno la Mungu ndio dhambi yenyewe.

  • @stephenjuma1971
    @stephenjuma1971 Před 7 dny

    Aaa😂😂😂 uyu mchungaji ni Msabato sema anashindwa kujiunga na SDA moja kwa moja, kuwa Msabato ni vita Tena vita kubwa,kama huamini jaribu uone,kuingia SDA ni kuingia chumba Cha mtihani

  • @frankpatroba4821
    @frankpatroba4821 Před 8 dny

    Hapo umezingua kasome tena kuhusu sabato

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Před měsícem

    Mchungaji hananja kwa mengine uko sahihi na ndio imani yetu sisi waisilamu na hio iko sawa kabisa

  • @evaristgamba4204
    @evaristgamba4204 Před 12 dny

    Pole inaonesha kabisa ujui unaye Mhubiri lakin uko sahihi maanaa unatetea ilan yako maana ulipewa udhamin wa kuwa na kanisa na hao walikupa mashart ukipinga umekwishaaa

  • @ELIASFELIX-bq2nc
    @ELIASFELIX-bq2nc Před 22 dny

    Mmmmmmh sasa naelewa mitume na manabii hawa wanajitafutia utukufu wao.

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 Před měsícem

    Kwa mara ya kwanza naona mzee wetu anapanic 😂, mzee umenikata leo😢

  • @isayalemberua9195
    @isayalemberua9195 Před měsícem

    kwa kweli unajibu sawasawa

  • @joseaugust2805
    @joseaugust2805 Před měsícem

    Hesabu 15:32-36
    Mathayo 12:1-21
    Wagalatia 2:1-21
    Kwasababu ukimpa ndacha maandiko ya Yesu mwenyewe alieponya siku ya sabato atakujibu kwa andiko kuwa Yesu ndo bwana wa sabato ndo maana anamamlaka hayo , na atakuuliza wewe ni Yesu ?, Sasa hayo maandiko hapo juu ukisoma inagisia wanafunzi wa yesu ,. Na yesu alipokuwa ana paa akasema mkawafanye wote kuwa wanafunzi wangu ,.
    Kwahiyo wafuasi wa Yesu ni wanafunzi wa yesu ,
    Wanaotaka maandiko , sijawahi sikia mchungaji ndacha akagusa yaha maandiko , anajua tuu akiyagusa kwa namna moja au nyingine , anajua mtu akijenga hoja kwa kwa haya maandiko mchungaji mdacha hana cha kujibia haya maandiko labda hayakatae kuwa hayapo kwenye biblia

  • @sudihammad7387
    @sudihammad7387 Před 10 dny

    Poleni wakristo naona mnaunga unga tu yezu hawajui nyie woote maana hakutumwa bari kwa kabila kumi na mbili za wahahudi waliopotea pia sabato iliwagusa wavuvi na walishalaaniwa waligeuzwa manguruwe na nyani hata siku moja hawa awana uwezo wa kujitetea

  • @AudaxNgarama
    @AudaxNgarama Před 21 dnem +1

    Hapo ni kusali Kila siku

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 Před měsícem +1

    Sasa hapo inabidi ujiulize wakati yesu yupo hai amri na sheria alizitii nyinyi shangwe baada ya kufufuka aingii akilini

  • @abdallahhamisiiddi4513
    @abdallahhamisiiddi4513 Před 22 dny +3

    Ukiona Mungu kapumzika ujuwe niwamchongo

    • @mabulageorge7942
      @mabulageorge7942 Před 17 dny

      sema hujaelewa alimpumzika vipi?.

    • @mabulageorge7942
      @mabulageorge7942 Před 17 dny

      Yeye ndo alisema alipumzika labda kama huamini Biblia ndugu

    • @johncharlesmasaibenjaminsa3511
      @johncharlesmasaibenjaminsa3511 Před 13 dny

      Tusome hapa naona kama kuna jambo Mungu anatwambia hapa, natumai ukipasoma nawe rafiki kuna jambo utasikizishwa na Mungu.
      Mwanzo 2:1,2 kuna chembo/nyongeza katika Kutoka 31:17

  • @ahz6907
    @ahz6907 Před měsícem +1

    Mtangazaji nakurekebisha: katika uislam hakuna siku maalum yakuabudu.tunaabudu sku zote.
    Ijumaa ni siku ya waislam kukusanyika pamoja na kukumbushwa au kufahamishwa mambo mbalimbali ya dini na jamii.

    • @NgewaCompany
      @NgewaCompany Před 6 dny

      kawaulize viongozi wako, mtume kawaamulisha watu wake kusali juma mosi sulatur bakar aya 144:5 na kuendelea soma yote na fafanuzi zake

  • @emmanuelpeter6742
    @emmanuelpeter6742 Před měsícem

    Yesu ni mwana wa Mungu, Yesu anachanzo na ndio Mzaliwa wa kwanza

    • @emmanuelpeter6742
      @emmanuelpeter6742 Před měsícem

      Imeandikwa usimukumu mtu Kwa Siku chakula, mwandamo wa mwezi Wala Sabato

  • @user-gg9xo8lf8w
    @user-gg9xo8lf8w Před 25 dny

    Hatari, ati anasema wakati mwingine utawala wa dunia una nguvu kuliko utawala wa Mungu. Watu wa Mungu tuwe makinieeee.

    • @davidndyamukama3148
      @davidndyamukama3148 Před 24 dny

      Amesema, utawala wa kidunia una nafasi katika mambo ya Mungu

    • @WAVELENGTH-tp1tm
      @WAVELENGTH-tp1tm Před 16 dny

      @@davidndyamukama3148 Sasa tuwe wasagaji kwa kuwa udunia una nafasi katika mambo ya mungu?

  • @abdallahsiraji9919
    @abdallahsiraji9919 Před 23 dny

    Waislam WANASWALI au WANAABUDU kila Siku na sio Ijumaa tu....
    Ijumaa ni Siku kubwa tu ya Ibada..

  • @JanethAnton-fx1mk
    @JanethAnton-fx1mk Před měsícem +2

    Mzee Bibilia haitaki kila mtu afute akilizake bali tufuate maandiko fanya mjadala nda ndacha sasa kama ni mapokei inakuwaje wote tunafuta Bibilia na iwe na maapokeo tofauti apo ujua lazima kuna wengine wanatumia maandiko vibaya

  • @JohnMashamba
    @JohnMashamba Před měsícem

    Huyo anachenga za mwili,na anaelimu ya Dunia na huyo Mungu wake tumbo.

  • @AlexMungathia
    @AlexMungathia Před měsícem

    Tuewe na imani moja na ubatinzo mmoja ili tuwe na mwili wa yesu

  • @danielmarwa5122
    @danielmarwa5122 Před 21 dnem +1

    Kwani dhambi maana yake nini,
    Biblia inasema dhambi ni uasi wa sheria.
    Hakuna fungu kwenye biblia linalosema kuhusu kurusha jiwe.

  • @isacklyanga5835
    @isacklyanga5835 Před 24 dny +3

    Nzee huyu hajui Biblia,dhambi ni uasi wa sheria ya Mungu

  • @williamgabrielmassawe3654
    @williamgabrielmassawe3654 Před měsícem +1

    Mchungaji Hananja ni Mgodi unaoishi

  • @pascalmoga2522
    @pascalmoga2522 Před 11 dny

    Hapa na wewe umekwama Mzee😂😂😂

  • @ELIASFELIX-bq2nc
    @ELIASFELIX-bq2nc Před 22 dny

    Nimekuelewa kabisa mchungaji Hananja.

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi3459 Před měsícem +1

    Waislamu wanaabudu majini na Allah ni Giza sisi ni Nuru ijumaa ni yao sisi haitihusu

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j Před měsícem

      Ni giza kwa lugha gani?

    • @ashrafnuru6402
      @ashrafnuru6402 Před měsícem

      Kafiri ni kafiri tu ndo maaana anaenda chooni na makaratasi,

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před měsícem

      Hata ukitawaza kwa dawa na kupiga perfume kinyeo chako..bado kitazikwa ardhini.. dini ni imani,usafi wa roho yako ndo muhimu ​@@ashrafnuru6402

  • @NgewaCompany
    @NgewaCompany Před 6 dny

    HOJA YA USALI MJUMAPILI HAO HAWAWEZI KUITETEA KMAANDIKO BADALA YAKE WAITETEA KIMTAZAMO WAO U SI UNAMSILIKILIZA HUYO ANACHOONGEA ANAUNGA UNGA MANENO YAKE TU HAPO

  • @JohariLozano
    @JohariLozano Před měsícem +1

    Amekubari kuwa amri ya 4 ni halali kusari jumamosi ubarikiwe hananja Mambo ya kurusha jiwe yameandikwa kitabu gani acha porojo pastor Amri ziko 10 sio 9 hananja .

    • @Wamisangi
      @Wamisangi Před měsícem

      Porojo ni kufuata dini ilioasisiwa juu ya msingi wa uongo wa siku ya mwisho ya,dunia. Shetani ni Baba wauongo wote.
      1Wakorintho 15:14
      Kutoka 12:16:Unabii wa Siku ya kwanza ya juma.
      Mathayo 18:18. Jinsi unabii wa siku ya kwanza ya juma ulivyofunguliwa katika Agano Jipya. Wasaidie na wenzako kuwaeleza haya msiangamizwe na Helen White kwa kukosa maarifa Hosea 4:6a.

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 Před měsícem

      SIKU ZOTE NI SAWA MBELE ZA MUNGU KILA MMOJA AJULIKANE KWA MUNGU ANAYEMWABUDU.

  • @davidndyamukama3148
    @davidndyamukama3148 Před 24 dny

    Kasema: Utawala wa kidunia una nafasi katika mambo ya Mungu. Kataja baadhi ya mambo ya ki Mungu.

  • @Abudulungazah-zf8ii
    @Abudulungazah-zf8ii Před 29 dny +1

    Watu wangu watapotea kw kukosa maarifa

  • @KelvinOmbeniMathew
    @KelvinOmbeniMathew Před 28 dny +2

    Pole mchungaji kwa kupotosha, k2 kama hukijui acha kujiaibisha sabato inaanzia mwanzo hadi ufunuo we utajificha chaka la wap ,ufunuo 14,12

    • @ibrahimwigina
      @ibrahimwigina Před 28 dny +1

      @@KelvinOmbeniMathew Kaka, usidokoe dokoe baadhi ya vifungu na kuvisimamia hivyo tu. Hakikisha unasoma Biblia yoyote, soma pia na WAKOLOSAI 2:16

    • @ibrahimwigina
      @ibrahimwigina Před 28 dny

      Ndugu soma Biblia yote.
      WAKOLOSAI 2:16

    • @lwiticomwalukumba4148
      @lwiticomwalukumba4148 Před 23 dny

      amesema sawa sali unapojisikia

  • @stevenwilliam2704
    @stevenwilliam2704 Před 7 dny

    ukitaka kuelewa zaidi kuhusu anayosema hananja angalia, mahubiri tv, orion tv na hope channel tanzania

  • @RichardMachuki
    @RichardMachuki Před měsícem +1

    Je, mnayoyasunguza mwayatoa katika maandiko gani? Sabato imeanzia juma la kwanza ya uumbaji. Ni amri aliyoitoa Maulana. Je, tutafuata maelezo yenu au ya Mungu. Mungu alitoa kielelezo tufuate.

    • @Mchitaman-vs1lc
      @Mchitaman-vs1lc Před 26 dny

      Hajawambia muach sabato ila je mnafat maandiko ya sabato ekewe kitu ndo ujibu

    • @frimatuslupimo2031
      @frimatuslupimo2031 Před 13 dny

      Nioneshe andiko Ibrahim akienda kusali jumamosi

  • @JeremiahMtaki-u5t
    @JeremiahMtaki-u5t Před 22 dny

    Mungu siyo kigeugeu, malaki 3:6, yesu hakuja kutangua torati mathayo 5:17

  • @samsonpopat1474
    @samsonpopat1474 Před 22 dny

    Amri kumi ndo kiooo sabato ni amri ya mwenyezi Mungu siku ya jpli ni siku ya kwanza ya juma hiyo ni Biblia

  • @joseaugust2805
    @joseaugust2805 Před měsícem

    Alafu ukisoma mathayo 5 yote , utagundua Yesu kuna baadhi ya amri alikuwa anaziondoa kistyle yake ,
    Sasa kama torati imesema jino kwa jino , yeye Yesu anakuja kutuambia mtu akikupiga shavu ili mgeusie na shavu lingine akupige maana yake nini kama sio kuondoa hiyo amri ya jino kwa jino ki style ,
    Ndo maana. Ukisoma agano la kale lote na jipya lote , utagundua MUNGU kuna namna aliwachukulia watu wa kale wa agano la kale na kuna namna pia aliwachukulia watu wa agano jipya ,.
    Ila ukibaki na kukariri maandiko bila kielewa ndo unashikilia nira ngumu ya kale ,. Ndo maana Yesu alisema nira yake ni laini

  • @MbendaHalfan
    @MbendaHalfan Před měsícem

    Wakristo wanaabudu masanamu,waislam wanamwabu mwenyezi Mungu mmoja tu na wanamwabudu kila siku siyo siku moja tu,lazima uelewe we katili uliosema waislam wanaabudu majini pumbavuuuu

  • @membeomkaya6767
    @membeomkaya6767 Před měsícem

    Ahahahaaa ila kwakwer kwan Yesu hakua anasar je, kama arkua anasar nikansa gan

  • @machindafadhili3186
    @machindafadhili3186 Před měsícem +2

    KWAIYO UMEAMUA KUVUNJA AMRI YA MUNGU? KWA NINI MSIVUNJE AMRI YA 5 YA WAESHIMU BABA NA MAMA ILI SIKU ZAKO ZIPATE KUONGEZEKA.
    HACHENI UPOTOSHAJI MZEE

    • @sospeterlaurent4428
      @sospeterlaurent4428 Před měsícem

      Hakuna amli iliyovunjwa ilabiblia imegawanyika ko jitaidi kumuelewa mzee

  • @rickiefisher1085
    @rickiefisher1085 Před 29 dny

    kama unaamin dini zililetwa unapataje Imani kwenye Mungu na dhambi

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele Před měsícem

    Hapana umekosea mwanadam hatakiwi kufuata yakwake bali mwanadam afuate alichosema mungu kama mwanadam anafuata cha kwake smpotea na ibade yake ni bure mathayo 15:8_9

  • @VascoKasambala
    @VascoKasambala Před měsícem +5

    WASABATO WANAONGOZA KUA NA ROHO MBAYA TANZANIA FANYENI UTAFTI WAO WAMESHIKA SKU TU SIO MENNGINE WANAIJUA AMRI MOJA TU

    • @zakayomwalongo9330
      @zakayomwalongo9330 Před 23 dny +1

      @@VascoKasambala ndugu ukiambiwa ukwrl ambao uko kwenyr biblia kubali kubadilika usimwambie mtu anaekwambia ukwel et ana roho mbaya.
      acha kufwatilia wachungaji au viongoz wa dini . ni wakati wa kurudi kwenye biblia

    • @danielmarwa5122
      @danielmarwa5122 Před 21 dnem +1

      Hayo ni maneno ya chuki ukweli upo pale pale ama tii au usitii Mungu atanyosha mstari

  • @jastinmkoba
    @jastinmkoba Před 16 dny

    Menimecheka😂😂😂😂😂

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 Před měsícem +3

    Wewe potosha wenye hawajui maandiko

    • @denismugisha2
      @denismugisha2 Před měsícem

      Haya twambie wewe unayesoma na kujua neno, mitume walisali sabato ipi na wapi baada ya BWANA kufufuka na kupaa mbinguni

    • @petercharles7959
      @petercharles7959 Před 12 dny

      Jaa Roho Mtakatifu Akufundishe mengi