Mchungaji Hananja ninakupenda kutoka moyoni Kwa sababu ya ukweli wako kuhusu Biblia na umejitahidi kumeza maandiko,unatema nono la Mungu sio maneno.Wewe ni mfano wa kuigwa aisee❤
Agabo ni nabii agano jipya, ,huduma, ministry na ofisi , office, hapo ni lugha imekuchega mzee, manabii wapo na mitume wapo , isaya alienda kwa hezekia, elisha kumfufua mtoto wa mshunami, yesu aliitwa nabii, yohana 9:1___, paulo hata leso wagonjwa waliponywa , mafuta ya upako ,marko ,6:13, kwa nini musa anakabidhiwa fimbo na alitumia zaidi ya mara moja , kwanini eliya alitumia vazi zaidi ya mara moja, manabii ninachokiona wataurithi ufalme ,wachungaji wamejaa kujihesabia haki ,
Mungu unaye mbona kwenda kuchukua maji? Omba Mungu wako akuponye huwezi chukua vifaa vya kiroho hata upewe kinyesi chukua upone.Maana wewe hiamini Mungu uliyenaye kama ni muweza wa yote.
Naye kanisa lake mbona anataka sadaka kwani,kanisa litaendeshwaje.hakuna nabii anayewalazimisha watu kutoa sadaka ni unavyoona wewe mwenyewe.kama anafunga wakati anaandama wenzake,si awaache Tu .kila MTU si atabeba mizigo wake,waache watumishi wa bwana.
Mchungaji umekosea sana, matendo ya Mitume inasema,imani yetu imejengwa juu ya mwamba wake Kristo mitume n'a manabii, hapo mchungaji hajatajwa, Petro aligawa vitambaa n'a kupelekwa kwa wagonjwa n'a kipona, Mchungaji unakosea sana unapokosoa maono ya watumishi wa Mungu, Yesu alitumia udongo kuweka jichoni n'a kupona n'a mengi sana, hayo ni maono unakosea sana
Upo sahihi kabisa na Mungu akutunze kabisa hujaongopa wakorinto 8.8. chakula kwaajili ya tumbo na tumbo kwaajili ya chakula tusipokula hatupungukiwi kitu tukila hatupungukiwi kitu
Kweli mchungaji hananja anajua sana ukimsikilza kam wew ni kiongoz wa din unaweza ukazan anakutusi ila huo ndo ukweli na hajitungii coz vyote vipo kwnye bible
Kufunga ni kati ya mimi na Mungu wangu!! na wala sio kubadilisha muda wa kula! Mungu aliumba mchana na usiku kwa maana kubwa! usiku viungo vinapumzika ukivifanyisha kazi havifanyi kwa sababu ndio maumbile bure utaamka umechoka kwa mzigo uliobeba!! Majivu Hananja ni ukumbusho tu wa kwamba mimi ni majivu na mavumbini nitarudi! kama wewe unavyovaa mavazi ya rangi mbalimbali ukiwa kwenye lbada kama mchungaji yana maana mbalimbali! ni ishara flan so kila mtu ana theolojia yake hatuwezi kufanana kwa kila kitu! cha msingi ni kutenda matendo mema yale Mungu anapenda
Dah nimefarijika sana..unajitahd sana kuwaeleza wakristo ukweli,tatizo letu ckuhzi hatusomi biblia,jamani WAKRISTO BIBLIA ndio nguzo yetu sehem ya majibu yetu..jaman tusidanganyike na haya manabii wa uongo wanaotumia shetani.jaman jaman?!!
Manabii wa siku hizi wanakukula hela alafu wanasema tunapeleka kwa baba ,watu wanavua hadi nguo eti nabii apite akanyage,eti na maaskari wanamlinda jamani .. Nachekaga mm😅😅😅😂😂😂😂
Mtakapokwenda kuhubiri msichukue dhahabu Wala fedha!! Lakini sasahivi baadhi ya wahubiri, mbali ya kuomba hizo fedha pia huwagawa waumini wanaotoa sadaka ya Hali ya chini, ya Kati na ya juu kabisa he hii ni halali
Kanisa lisilo la kinabii ni kitume ni sawa na hospital haina vipimo x ray n'a ultrasound nk , hizo ni chuki za watu wasio na Roho Mtakatifu, mchungaji mwinjilisti,mwalimu,tafsiri za lugha, hizo ni karama tu, mchungaji unakosea kusema uongo hadharani
Kuhusu Prado Na kiyoyoszi Mimi nasema huwezi kumtumikia Mungu Na ukawa masikini..kwanini mchungaji Ana haki yakuwa Na Prado Na mtue au nabii asiwe Na haki hiyo? MUNGU HANA UPENDELEO SI KWA MCHUNGJI,NABII,MTUME,MWALIMU,MWINJILISTI..BALI HATA WAUMINI TUNATAKIWA KUWA NA HIZO PRADO NA VIYOYOZI SAWAaa
Nami nampenda Sanaaa Mchungaji Hananja kwa ukweli uliotukuka kwa Dizi zote mbili ya Uislamu na Ukristo. Mungu amuweke zaidi atufunze zaidi.
😁 Mchungaji Ananja anatikisa kichwa kwa kusikitika 😁 Huyu mchungaji anaongeaga ukweli bhana
"Huduma ya kinabii ipo ila ofis ya kinabii haipo". It takes maturity in God's word to understand this, Hongera pastor
Gifted man of God . Keep it up! Such 'minds' should at times be teaching in bible colleges.
Mchungaji Hananja ninakupenda kutoka moyoni Kwa sababu ya ukweli wako kuhusu Biblia na umejitahidi kumeza maandiko,unatema nono la Mungu sio maneno.Wewe ni mfano wa kuigwa aisee❤
Mungu akubariki Mchungaji kwa ukweli wa Mungu unaoleza.
huyu jamaa geneous sana mchungaj pekee aliyebaki kusimama kwenye ukweli
Huyu mzee akamatwe apimwe akili asije kua ni YESU amerejea😂😂 mbona anasema ukweli sana
Hey you spare my ribs
For sure 😂😂😂😂
Keel ndgu yang
😂😂😂😂
😂😂😂😂 nimefurah sana comment ako😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yupo vizuri sana na anaujuwa ukiristo karibu katika uislamu
Mzee una madini mengi Sana God bless you
Kwl kila mtu anawakati wake saiv n wakati wa Hananja Kutrend hakika anatrend kwa ukwl wake,....Mungu akubarik ❤️ mtumishi AMINA...
😂 sipingi hata kitu kimoja hapa father umemaliza kila kitu God bless you
Mchungaji Hananja Ni Proffesor akili mingi kichwa kimejaa mistari mitakatifu iliyojaa ukweli ndani yake hongera baba
Yote yatapita Neno la Mungu litasimama litangaze muchungaji,I like it
😅😅😅😅nimefurahishwa sana na maelezo ya mtumish huyu wa Mungu ana hekima yakimungu kwakwel..
Mchungaji hananja upo sahihi Mungu akutunze sana!🙏🤝
Mchungaji Hananja, nakupenda sana kwa maelekezo.
Huyu mzee mwenzangu Hananja ni real. Ni pastor wa kweli❤
Safi saana mchungaji sana apo uko sawa mimi ni mwadventista
❤❤❤nimefarijika na ujumbe wako muadventista
😂😂😂😂 dah uyu mchungaji comedian sana 😅 water skukuu
Mimi ni muislam,ila nampenda Sana huyu baba🎉
Nice baba mchungaji,anabidi apewe PhD, ya heshima, na chuo kikuku
Napenda swagga ya huyu mzee yani anaongea kama wimbo yani anapiga verse Kisha anaweka chorus Enheeee Enheeeee😂😂
😂😂😂 akh eeeeh
Huyu mtu ana akili kuliko kawaida.. jinsi ya kushika hayo maandiko tu inatosha kuwa umefunuliwa
Daah unapendeza sana dada love from south sudaness 🇸🇸🇸🇸🇸🇸
Hongera sana baba! Mimi nakuelewa sana sana
👍very nice Hananja
Huyu baba apewe TV tuelimishwe zaidi
Sawa Sawa ilibidi waliona hilo japo wasafi au clouds au eatv au yeyote tuu a pate na masponsor
Nice teaching always mchungaji
Mungu akubariki ! Cjapoteza bando langu bure
Asante sana mtumishi waMungu barikiwa sana
amina mchungaji napenda sana mafundisho yako yananitoa hatua kwenda hatua nyingine
mwalimu Hananja asante. watu hawasomi Biblia kabisa. wanakariri vimistari vichache
Shukrani sana mzee wetu nakukubali pia❤❤❤❤
Agabo ni nabii agano jipya, ,huduma, ministry na ofisi , office, hapo ni lugha imekuchega mzee, manabii wapo na mitume wapo , isaya alienda kwa hezekia, elisha kumfufua mtoto wa mshunami, yesu aliitwa nabii, yohana 9:1___, paulo hata leso wagonjwa waliponywa , mafuta ya upako ,marko ,6:13, kwa nini musa anakabidhiwa fimbo na alitumia zaidi ya mara moja , kwanini eliya alitumia vazi zaidi ya mara moja, manabii ninachokiona wataurithi ufalme ,wachungaji wamejaa kujihesabia haki ,
Namuelewa sana mzee wangu
Mungu unaye mbona kwenda kuchukua maji? Omba Mungu wako akuponye huwezi chukua vifaa vya kiroho hata upewe kinyesi chukua upone.Maana wewe hiamini Mungu uliyenaye kama ni muweza wa yote.
Naye kanisa lake mbona anataka sadaka kwani,kanisa litaendeshwaje.hakuna nabii anayewalazimisha watu kutoa sadaka ni unavyoona wewe mwenyewe.kama anafunga wakati anaandama wenzake,si awaache Tu .kila MTU si atabeba mizigo wake,waache watumishi wa bwana.
Mchungaji umekosea sana, matendo ya Mitume inasema,imani yetu imejengwa juu ya mwamba wake Kristo mitume n'a manabii, hapo mchungaji hajatajwa, Petro aligawa vitambaa n'a kupelekwa kwa wagonjwa n'a kipona, Mchungaji unakosea sana unapokosoa maono ya watumishi wa Mungu, Yesu alitumia udongo kuweka jichoni n'a kupona n'a mengi sana, hayo ni maono unakosea sana
Acha kutuhumu mtu..ww ni ndugu yake Mungu hadi ufikie huko na kujua sana et.....
Huyu ndugu anaongea ukweli Siyo mnafiki❤
Namkubali sana mzee hananja
Kkkkkkkkkkkk moto kimbunga moto kkkkkkkk niubunifu kkkkkkkk you are the best
Live long baba,,unasema ukweli siku zote.I love you
Mwandishi Leo umependeza tofauti na unavyovaaga
Hapa nimeondoka na kitu chema na kikubwa sn, asnt Baba Mchungaji.
hongera mchunguji kwa elimu nzur
Uko vizuri baba unajua neno songa mbele
Na kuhusu mwisho wa nabii, nabii wa mwisho aliyemtabiri YESU ALIE HAI na kunyosha mapito na kitengeneza njia nabii wa mwisho ni YOHANA Mbatizaji
Upo sahihi kabisa na Mungu akutunze kabisa hujaongopa wakorinto 8.8. chakula kwaajili ya tumbo na tumbo kwaajili ya chakula tusipokula hatupungukiwi kitu tukila hatupungukiwi kitu
Mimi ninafuatilia sana maongezi yake Hananja.Anaongea logic na mantic.Siyo mnafiki
Kweli mchungaji hananja anajua sana ukimsikilza kam wew ni kiongoz wa din unaweza ukazan anakutusi ila huo ndo ukweli na hajitungii coz vyote vipo kwnye bible
Hii ni kweli kabisa jamani tufunguke
Mungu akubarki mchungaji❤❤❤❤❤❤❤❤
ubarike sana ,mungu akuongoze
Eti kweli mtume anamikiki prado na kiyoyozi wakati paulo alijichimbia mahandaki akakaa huko yaani mmh hii mitume na manabii hewa Mungu awashughulikie
Uko vizuri sana mtumishi
Mm nilishudia mke wa boss wangu kontena lilishika moto akatoa mafuta kila akimwaga moto unazidi zimamoto wakamwambia mama moto hauzimwi kwa mafuta
😂😂😂😂😂
binti hongera kwa kujistiri kwako
Mungu akubariki mchungji
Nakubali sana mzee wangu
kweli kuna ukwel ndan yake baba amen
maisha marefu hananja ♡♡♡
Kufunga ni kati ya mimi na Mungu wangu!!
na wala sio kubadilisha muda wa kula!
Mungu aliumba mchana na usiku kwa maana kubwa! usiku viungo vinapumzika ukivifanyisha kazi havifanyi kwa sababu ndio maumbile bure utaamka umechoka kwa mzigo uliobeba!!
Majivu Hananja ni ukumbusho tu wa kwamba mimi ni majivu na mavumbini nitarudi!
kama wewe unavyovaa mavazi ya rangi mbalimbali ukiwa kwenye lbada kama mchungaji yana maana mbalimbali! ni ishara flan so kila mtu ana theolojia yake hatuwezi kufanana kwa kila kitu!
cha msingi ni kutenda matendo mema yale Mungu anapenda
Huo ni ukweli mtupu kuhusu dini 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏
Safi sana barikiwa daima
Nampendagasana uyu dingiii❤❤❤
Ila kweli mchungaji hananja,Yani Imani za Sasa hivi ushirikina,njoo na udongo tuuombee,
Eti uwatemi mate😅😅😂hawawatemi mate kumtemea mate mchezo hananja bn uyo mstari wabibilia wakuwatemea mate wanajifanya hawaouni wawatemee mate
Dah nimefarijika sana..unajitahd sana kuwaeleza wakristo ukweli,tatizo letu ckuhzi hatusomi biblia,jamani WAKRISTO BIBLIA ndio nguzo yetu sehem ya majibu yetu..jaman tusidanganyike na haya manabii wa uongo wanaotumia shetani.jaman jaman?!!
Upo vizur sana aisee
Amen 🙏🙏
Manabii wa siku hizi wanakukula hela alafu wanasema tunapeleka kwa baba ,watu wanavua hadi nguo eti nabii apite akanyage,eti na maaskari wanamlinda jamani ..
Nachekaga mm😅😅😅😂😂😂😂
CZcams zenu bila kumhoji huyo baba biashara hampati huyo baba mchungaji ni kiboko
Sasa Sasa unapinga asihojiwe ?
Ameeeeeeeeeeen mzeeeee wang,
Yesu hakuwa na kanisa. alikuwa akihubiri katika makutano.
kanisa manake nini?
Wewe nawe uliza uelewe Nini maana ya neno Kanisa labda nukusaidie Kanisa Ni watu sio jengo
Kanisa la Ukweli karibu BCIC mbezi beach jogoo
La kweli kwa lipi unataka sadaka tu
Kanisa la kweli ni wewe na Mungu wako na tena uwe imani pasi na shaka
Anasema ukweli ila anafika mahala anaji contradict mwenyewe
Bigup Mchungaji
Mchungaji umenifundisha jambo kubwa sana natamani nipate ata namba yako niwe nakutumia chochote kitu
Mashallah...
Ubarikiwe kwa ufafanuzi mzuri kuhusu mfungo Mchungani.
Hawatotokea mitume wala manabii bali kutazaliwa watoto wenye vipawa
Ahsante sa n a baba
god bless u
Amina kweri kabisa
Na mm siyataki haya mambo ya maji,,keki,,mafuta.Neno latosha.
Ubarikiwe sana
Safi sana mtumishi
Nakukubali sana mpendwa
Mafunzo bora kwa watu bora na wenye hekima.
Nikweli kabisaaa
Mtakapokwenda kuhubiri msichukue dhahabu Wala fedha!! Lakini sasahivi baadhi ya wahubiri, mbali ya kuomba hizo fedha pia huwagawa waumini wanaotoa sadaka ya Hali ya chini, ya Kati na ya juu kabisa he hii ni halali
Ukweli mtupu lakini kwani mchungaji anaukoo na mzee majuto?
Afu wanakuambia uwombewe unapepo ww 😂😂😅😅hananja Yani nacheka nakuelimika nikiona picha ya hananja sipiti bila yakuifungua nakuyaskiliza yote
Ahsante sana
Kanisa lisilo la kinabii ni kitume ni sawa na hospital haina vipimo x ray n'a ultrasound nk , hizo ni chuki za watu wasio na Roho Mtakatifu, mchungaji mwinjilisti,mwalimu,tafsiri za lugha, hizo ni karama tu, mchungaji unakosea kusema uongo hadharani
Huyo ni konki masta mi mwenyew namkubal
Mzee we nomaa
Huyu mzee si mnafki kama wanadini waongo.
Siwezi kwa kweli😂😂
Na wala haikatai ting tang tingtang
Poleni sana na samahani sana naona niliwakwaza wengi nawaomba mnisamehe maana sijui nilitendalo lakini by the way Karibuni kwa yesu
Acha ushamba
Utajua hujui hata huyo usimuamin sana mpendwa
Acha hizo ni tittle tu kaka dini ni wewe mwenyewe haya makanisa yatatupotosha tu wengine wananjaa zao sio watumishi wa kwel
Mimi ndo kanisa langu mtandaoni ! Vuka jordani ibada yenye nguvu za Roho mtaktfu WA Mungu.
Kweli kabisa kaka💪💪💪🙏
Manabii wengi ni tamaa tu zimewazidi na kujilimbikizia mali
Kuhusu Prado Na kiyoyoszi
Mimi nasema huwezi kumtumikia Mungu Na ukawa masikini..kwanini mchungaji Ana haki yakuwa Na Prado Na mtue au nabii asiwe Na haki hiyo?
MUNGU HANA UPENDELEO SI KWA MCHUNGJI,NABII,MTUME,MWALIMU,MWINJILISTI..BALI HATA WAUMINI TUNATAKIWA KUWA NA HIZO PRADO NA VIYOYOZI SAWAaa
Mchungaji ndio ana hela.umemsikia vibaya.mtume ni mwasisi kama wakina chaguevara.nyerere sio walitaka hela ila fikra zao zifiatwe.
Msema kweli