MCH HANANJA ATOBOA SIRI ZA MITUME NA MANABII, LEO NAONGEA UKWELI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 03. 2023

Komentáře • 246

  • @stephanomakala3984
    @stephanomakala3984 Před 8 dny

    Nami nampenda Sanaaa Mchungaji Hananja kwa ukweli uliotukuka kwa Dizi zote mbili ya Uislamu na Ukristo. Mungu amuweke zaidi atufunze zaidi.

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Před rokem +21

    😁 Mchungaji Ananja anatikisa kichwa kwa kusikitika 😁 Huyu mchungaji anaongeaga ukweli bhana

  • @kenanimwakanemela483
    @kenanimwakanemela483 Před rokem +9

    "Huduma ya kinabii ipo ila ofis ya kinabii haipo". It takes maturity in God's word to understand this, Hongera pastor

  • @amonsekajingo6996
    @amonsekajingo6996 Před 3 měsíci

    Gifted man of God . Keep it up! Such 'minds' should at times be teaching in bible colleges.

  • @hermanfrank6727
    @hermanfrank6727 Před rokem +3

    Mchungaji Hananja ninakupenda kutoka moyoni Kwa sababu ya ukweli wako kuhusu Biblia na umejitahidi kumeza maandiko,unatema nono la Mungu sio maneno.Wewe ni mfano wa kuigwa aisee❤

    • @user-nl8hs2nx9p
      @user-nl8hs2nx9p Před 6 měsíci

      Mungu akubariki Mchungaji kwa ukweli wa Mungu unaoleza.

  • @matunzojr4862
    @matunzojr4862 Před rokem +6

    huyu jamaa geneous sana mchungaj pekee aliyebaki kusimama kwenye ukweli

  • @hastatz
    @hastatz Před rokem +16

    Huyu mzee akamatwe apimwe akili asije kua ni YESU amerejea😂😂 mbona anasema ukweli sana

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 Před rokem +3

    Yupo vizuri sana na anaujuwa ukiristo karibu katika uislamu

  • @user-zz4wg1kv1b
    @user-zz4wg1kv1b Před 5 měsíci +1

    Mzee una madini mengi Sana God bless you

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 Před rokem +1

    Kwl kila mtu anawakati wake saiv n wakati wa Hananja Kutrend hakika anatrend kwa ukwl wake,....Mungu akubarik ❤️ mtumishi AMINA...

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Před rokem +4

    😂 sipingi hata kitu kimoja hapa father umemaliza kila kitu God bless you

  • @samweljumanne-wo2pu
    @samweljumanne-wo2pu Před rokem +4

    Mchungaji Hananja Ni Proffesor akili mingi kichwa kimejaa mistari mitakatifu iliyojaa ukweli ndani yake hongera baba

  • @phelisterswamalwa3295
    @phelisterswamalwa3295 Před 8 měsíci +1

    Yote yatapita Neno la Mungu litasimama litangaze muchungaji,I like it

  • @ElipendoElias-no6ki
    @ElipendoElias-no6ki Před rokem +5

    😅😅😅😅nimefurahishwa sana na maelezo ya mtumish huyu wa Mungu ana hekima yakimungu kwakwel..

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 Před rokem +1

    Mchungaji hananja upo sahihi Mungu akutunze sana!🙏🤝

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Před rokem +2

    Mchungaji Hananja, nakupenda sana kwa maelekezo.

  • @rajabamis1135
    @rajabamis1135 Před 6 měsíci

    Huyu mzee mwenzangu Hananja ni real. Ni pastor wa kweli❤

  • @ibrahimumtera7943
    @ibrahimumtera7943 Před 6 měsíci +1

    Safi saana mchungaji sana apo uko sawa mimi ni mwadventista

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 Před rokem +4

    😂😂😂😂 dah uyu mchungaji comedian sana 😅 water skukuu

  • @user-ef8py8bt6r
    @user-ef8py8bt6r Před 7 měsíci +4

    Mimi ni muislam,ila nampenda Sana huyu baba🎉

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 Před rokem +4

    Nice baba mchungaji,anabidi apewe PhD, ya heshima, na chuo kikuku

  • @lionking3015
    @lionking3015 Před rokem +3

    Napenda swagga ya huyu mzee yani anaongea kama wimbo yani anapiga verse Kisha anaweka chorus Enheeee Enheeeee😂😂

  • @lucasprochesi
    @lucasprochesi Před 8 měsíci +3

    Huyu mtu ana akili kuliko kawaida.. jinsi ya kushika hayo maandiko tu inatosha kuwa umefunuliwa

  • @yolbul1616
    @yolbul1616 Před rokem

    Daah unapendeza sana dada love from south sudaness 🇸🇸🇸🇸🇸🇸

  • @meshackkazimil6837
    @meshackkazimil6837 Před rokem +2

    Hongera sana baba! Mimi nakuelewa sana sana

  • @bonnymwajombe779
    @bonnymwajombe779 Před rokem +5

    👍very nice Hananja

  • @deekibonga
    @deekibonga Před rokem +9

    Huyu baba apewe TV tuelimishwe zaidi

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 Před rokem

      Sawa Sawa ilibidi waliona hilo japo wasafi au clouds au eatv au yeyote tuu a pate na masponsor

  • @user-lm3xb9xy6z
    @user-lm3xb9xy6z Před 5 měsíci

    Nice teaching always mchungaji

  • @georgemlonda4174
    @georgemlonda4174 Před rokem +1

    Mungu akubariki ! Cjapoteza bando langu bure

  • @gertrudenyandwi8218
    @gertrudenyandwi8218 Před 4 měsíci

    Asante sana mtumishi waMungu barikiwa sana

  • @gracesanga6489
    @gracesanga6489 Před 4 měsíci

    amina mchungaji napenda sana mafundisho yako yananitoa hatua kwenda hatua nyingine

  • @engelbertkiondo4014
    @engelbertkiondo4014 Před 8 měsíci

    mwalimu Hananja asante. watu hawasomi Biblia kabisa. wanakariri vimistari vichache

  • @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
    @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny Před 7 měsíci

    Shukrani sana mzee wetu nakukubali pia❤❤❤❤

  • @user-yk3yr2yt6o
    @user-yk3yr2yt6o Před 6 měsíci +1

    Agabo ni nabii agano jipya, ,huduma, ministry na ofisi , office, hapo ni lugha imekuchega mzee, manabii wapo na mitume wapo , isaya alienda kwa hezekia, elisha kumfufua mtoto wa mshunami, yesu aliitwa nabii, yohana 9:1___, paulo hata leso wagonjwa waliponywa , mafuta ya upako ,marko ,6:13, kwa nini musa anakabidhiwa fimbo na alitumia zaidi ya mara moja , kwanini eliya alitumia vazi zaidi ya mara moja, manabii ninachokiona wataurithi ufalme ,wachungaji wamejaa kujihesabia haki ,

  • @amissitundula8568
    @amissitundula8568 Před rokem +8

    Namuelewa sana mzee wangu

    • @jacquelinebaitani8370
      @jacquelinebaitani8370 Před rokem +1

      Mungu unaye mbona kwenda kuchukua maji? Omba Mungu wako akuponye huwezi chukua vifaa vya kiroho hata upewe kinyesi chukua upone.Maana wewe hiamini Mungu uliyenaye kama ni muweza wa yote.

    • @catherinenicander7468
      @catherinenicander7468 Před rokem

      Naye kanisa lake mbona anataka sadaka kwani,kanisa litaendeshwaje.hakuna nabii anayewalazimisha watu kutoa sadaka ni unavyoona wewe mwenyewe.kama anafunga wakati anaandama wenzake,si awaache Tu .kila MTU si atabeba mizigo wake,waache watumishi wa bwana.

  • @damasjoachim4451
    @damasjoachim4451 Před rokem

    Mchungaji umekosea sana, matendo ya Mitume inasema,imani yetu imejengwa juu ya mwamba wake Kristo mitume n'a manabii, hapo mchungaji hajatajwa, Petro aligawa vitambaa n'a kupelekwa kwa wagonjwa n'a kipona, Mchungaji unakosea sana unapokosoa maono ya watumishi wa Mungu, Yesu alitumia udongo kuweka jichoni n'a kupona n'a mengi sana, hayo ni maono unakosea sana

    • @vaghoghontweki9827
      @vaghoghontweki9827 Před 7 měsíci

      Acha kutuhumu mtu..ww ni ndugu yake Mungu hadi ufikie huko na kujua sana et.....

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před rokem +1

    Huyu ndugu anaongea ukweli Siyo mnafiki❤

  • @sostentulian9462
    @sostentulian9462 Před rokem +2

    Namkubali sana mzee hananja

  • @fredybanda2861
    @fredybanda2861 Před rokem +1

    Kkkkkkkkkkkk moto kimbunga moto kkkkkkkk niubunifu kkkkkkkk you are the best

  • @salmoncelestine6840
    @salmoncelestine6840 Před rokem

    Live long baba,,unasema ukweli siku zote.I love you

  • @tojotv6414
    @tojotv6414 Před rokem +4

    Mwandishi Leo umependeza tofauti na unavyovaaga

    • @kassianwilliam8257
      @kassianwilliam8257 Před rokem

      Hapa nimeondoka na kitu chema na kikubwa sn, asnt Baba Mchungaji.

  • @charlesmuyabi-nu9sv
    @charlesmuyabi-nu9sv Před 4 měsíci

    hongera mchunguji kwa elimu nzur

  • @rosendanshau2674
    @rosendanshau2674 Před rokem

    Uko vizuri baba unajua neno songa mbele

  • @servantofalmightygoddranth2511

    Na kuhusu mwisho wa nabii, nabii wa mwisho aliyemtabiri YESU ALIE HAI na kunyosha mapito na kitengeneza njia nabii wa mwisho ni YOHANA Mbatizaji

  • @princessprecious6995
    @princessprecious6995 Před rokem

    Upo sahihi kabisa na Mungu akutunze kabisa hujaongopa wakorinto 8.8. chakula kwaajili ya tumbo na tumbo kwaajili ya chakula tusipokula hatupungukiwi kitu tukila hatupungukiwi kitu

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před rokem +3

    Mimi ninafuatilia sana maongezi yake Hananja.Anaongea logic na mantic.Siyo mnafiki

  • @FrorianiMlandali-zi5vd

    Kweli mchungaji hananja anajua sana ukimsikilza kam wew ni kiongoz wa din unaweza ukazan anakutusi ila huo ndo ukweli na hajitungii coz vyote vipo kwnye bible

  • @AnneSampegete
    @AnneSampegete Před rokem +2

    Hii ni kweli kabisa jamani tufunguke

  • @oscarngata5672
    @oscarngata5672 Před 9 měsíci

    Mungu akubarki mchungaji❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @khalid6264
    @khalid6264 Před 10 měsíci +1

    ubarike sana ,mungu akuongoze

  • @salomedarema304
    @salomedarema304 Před 4 měsíci

    Eti kweli mtume anamikiki prado na kiyoyozi wakati paulo alijichimbia mahandaki akakaa huko yaani mmh hii mitume na manabii hewa Mungu awashughulikie

  • @gertrudenyandwi8218
    @gertrudenyandwi8218 Před 4 měsíci

    Uko vizuri sana mtumishi

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před rokem +2

    Mm nilishudia mke wa boss wangu kontena lilishika moto akatoa mafuta kila akimwaga moto unazidi zimamoto wakamwambia mama moto hauzimwi kwa mafuta

  • @sirpleasureb
    @sirpleasureb Před 6 měsíci

    binti hongera kwa kujistiri kwako

  • @florencemwanansao834
    @florencemwanansao834 Před rokem

    Mungu akubariki mchungji

  • @user-ny7vl2jr8s
    @user-ny7vl2jr8s Před 4 měsíci

    Nakubali sana mzee wangu

  • @dausonedius4100
    @dausonedius4100 Před rokem +1

    kweli kuna ukwel ndan yake baba amen

  • @dankhany3385
    @dankhany3385 Před rokem +7

    maisha marefu hananja ♡♡♡

  • @joycejackson2320
    @joycejackson2320 Před rokem

    Kufunga ni kati ya mimi na Mungu wangu!!
    na wala sio kubadilisha muda wa kula!
    Mungu aliumba mchana na usiku kwa maana kubwa! usiku viungo vinapumzika ukivifanyisha kazi havifanyi kwa sababu ndio maumbile bure utaamka umechoka kwa mzigo uliobeba!!
    Majivu Hananja ni ukumbusho tu wa kwamba mimi ni majivu na mavumbini nitarudi!
    kama wewe unavyovaa mavazi ya rangi mbalimbali ukiwa kwenye lbada kama mchungaji yana maana mbalimbali! ni ishara flan so kila mtu ana theolojia yake hatuwezi kufanana kwa kila kitu!
    cha msingi ni kutenda matendo mema yale Mungu anapenda

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 Před rokem +1

    Huo ni ukweli mtupu kuhusu dini 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏

  • @heronimomsefya3190
    @heronimomsefya3190 Před 8 měsíci

    Safi sana barikiwa daima

  • @athumanmbaraka5192
    @athumanmbaraka5192 Před 4 měsíci

    Nampendagasana uyu dingiii❤❤❤

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 Před rokem

    Ila kweli mchungaji hananja,Yani Imani za Sasa hivi ushirikina,njoo na udongo tuuombee,

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji Před 7 měsíci

    Eti uwatemi mate😅😅😂hawawatemi mate kumtemea mate mchezo hananja bn uyo mstari wabibilia wakuwatemea mate wanajifanya hawaouni wawatemee mate

  • @joycekalembo2225
    @joycekalembo2225 Před rokem

    Dah nimefarijika sana..unajitahd sana kuwaeleza wakristo ukweli,tatizo letu ckuhzi hatusomi biblia,jamani WAKRISTO BIBLIA ndio nguzo yetu sehem ya majibu yetu..jaman tusidanganyike na haya manabii wa uongo wanaotumia shetani.jaman jaman?!!

  • @mosesmtomo4311
    @mosesmtomo4311 Před 3 měsíci

    Upo vizur sana aisee

  • @fadhilichristine7734
    @fadhilichristine7734 Před rokem +1

    Amen 🙏🙏

  • @sophiamhando7281
    @sophiamhando7281 Před 6 měsíci

    Manabii wa siku hizi wanakukula hela alafu wanasema tunapeleka kwa baba ,watu wanavua hadi nguo eti nabii apite akanyage,eti na maaskari wanamlinda jamani ..
    Nachekaga mm😅😅😅😂😂😂😂

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před rokem +5

    CZcams zenu bila kumhoji huyo baba biashara hampati huyo baba mchungaji ni kiboko

  • @JaphetPeter-sc3pe
    @JaphetPeter-sc3pe Před rokem

    Ameeeeeeeeeeen mzeeeee wang,

  • @jesuspower2390
    @jesuspower2390 Před rokem +1

    Yesu hakuwa na kanisa. alikuwa akihubiri katika makutano.

  • @godwingodwin2564
    @godwingodwin2564 Před rokem +2

    Kanisa la Ukweli karibu BCIC mbezi beach jogoo

    • @haroldtarimo-wj9lw
      @haroldtarimo-wj9lw Před rokem

      La kweli kwa lipi unataka sadaka tu
      Kanisa la kweli ni wewe na Mungu wako na tena uwe imani pasi na shaka

    • @bujugoinvest8562
      @bujugoinvest8562 Před rokem

      Anasema ukweli ila anafika mahala anaji contradict mwenyewe

  • @user-ss1bj4yj2q
    @user-ss1bj4yj2q Před 8 měsíci

    Bigup Mchungaji

  • @AaziziMkambi-qf5mj
    @AaziziMkambi-qf5mj Před 6 měsíci

    Mchungaji umenifundisha jambo kubwa sana natamani nipate ata namba yako niwe nakutumia chochote kitu

  • @obotelaurent1359
    @obotelaurent1359 Před 4 měsíci

    Mashallah...

  • @juliusroko3051
    @juliusroko3051 Před rokem

    Ubarikiwe kwa ufafanuzi mzuri kuhusu mfungo Mchungani.

  • @NelsonNorman-hm9vi
    @NelsonNorman-hm9vi Před rokem +1

    Hawatotokea mitume wala manabii bali kutazaliwa watoto wenye vipawa

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před rokem

    Ahsante sa n a baba

  • @user-qc7ih4yi8p
    @user-qc7ih4yi8p Před 10 měsíci

    god bless u

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 Před 6 měsíci

    Amina kweri kabisa

  • @salmoncelestine6840
    @salmoncelestine6840 Před rokem

    Na mm siyataki haya mambo ya maji,,keki,,mafuta.Neno latosha.

  • @user-nf5zo5nm7p
    @user-nf5zo5nm7p Před 7 měsíci

    Ubarikiwe sana

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Před 6 měsíci

    Safi sana mtumishi

  • @chiaseeds6919
    @chiaseeds6919 Před rokem

    Nakukubali sana mpendwa

  • @katembenduto9560
    @katembenduto9560 Před 7 měsíci

    Mafunzo bora kwa watu bora na wenye hekima.

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 Před rokem

    Nikweli kabisaaa

  • @aloycelucas1823
    @aloycelucas1823 Před rokem

    Mtakapokwenda kuhubiri msichukue dhahabu Wala fedha!! Lakini sasahivi baadhi ya wahubiri, mbali ya kuomba hizo fedha pia huwagawa waumini wanaotoa sadaka ya Hali ya chini, ya Kati na ya juu kabisa he hii ni halali

  • @rebecca-nj6wl
    @rebecca-nj6wl Před 5 měsíci

    Ukweli mtupu lakini kwani mchungaji anaukoo na mzee majuto?

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji Před 7 měsíci

    Afu wanakuambia uwombewe unapepo ww 😂😂😅😅hananja Yani nacheka nakuelimika nikiona picha ya hananja sipiti bila yakuifungua nakuyaskiliza yote

  • @JonathanJustin-qu4pz
    @JonathanJustin-qu4pz Před 9 měsíci

    Ahsante sana

  • @damasjoachim4451
    @damasjoachim4451 Před rokem

    Kanisa lisilo la kinabii ni kitume ni sawa na hospital haina vipimo x ray n'a ultrasound nk , hizo ni chuki za watu wasio na Roho Mtakatifu, mchungaji mwinjilisti,mwalimu,tafsiri za lugha, hizo ni karama tu, mchungaji unakosea kusema uongo hadharani

  • @teniswai9689
    @teniswai9689 Před 6 měsíci

    Huyo ni konki masta mi mwenyew namkubal

  • @manjaruu1575
    @manjaruu1575 Před rokem

    Mzee we nomaa

  • @DOABIGKAY
    @DOABIGKAY Před rokem +1

    Huyu mzee si mnafki kama wanadini waongo.

  • @ashtray1512
    @ashtray1512 Před rokem

    Siwezi kwa kweli😂😂

  • @SafariMsafi-um1pz
    @SafariMsafi-um1pz Před 4 měsíci

    Na wala haikatai ting tang tingtang

  • @LuckyBoy-pp2md
    @LuckyBoy-pp2md Před rokem +17

    Poleni sana na samahani sana naona niliwakwaza wengi nawaomba mnisamehe maana sijui nilitendalo lakini by the way Karibuni kwa yesu

    • @wizdon6470
      @wizdon6470 Před rokem +4

      Acha ushamba

    • @ElipendoElias-no6ki
      @ElipendoElias-no6ki Před rokem +2

      Utajua hujui hata huyo usimuamin sana mpendwa

    • @shadraachshadinho
      @shadraachshadinho Před rokem

      Acha hizo ni tittle tu kaka dini ni wewe mwenyewe haya makanisa yatatupotosha tu wengine wananjaa zao sio watumishi wa kwel

    • @frankzagalino9687
      @frankzagalino9687 Před rokem +2

      Mimi ndo kanisa langu mtandaoni ! Vuka jordani ibada yenye nguvu za Roho mtaktfu WA Mungu.

    • @praykyara2604
      @praykyara2604 Před rokem +1

      Kweli kabisa kaka💪💪💪🙏

  • @princes6045
    @princes6045 Před rokem +1

    Manabii wengi ni tamaa tu zimewazidi na kujilimbikizia mali

  • @emanuelythomas1503
    @emanuelythomas1503 Před rokem

    Kuhusu Prado Na kiyoyoszi
    Mimi nasema huwezi kumtumikia Mungu Na ukawa masikini..kwanini mchungaji Ana haki yakuwa Na Prado Na mtue au nabii asiwe Na haki hiyo?
    MUNGU HANA UPENDELEO SI KWA MCHUNGJI,NABII,MTUME,MWALIMU,MWINJILISTI..BALI HATA WAUMINI TUNATAKIWA KUWA NA HIZO PRADO NA VIYOYOZI SAWAaa

    • @godlovemasamakibatandu2092
      @godlovemasamakibatandu2092 Před rokem

      Mchungaji ndio ana hela.umemsikia vibaya.mtume ni mwasisi kama wakina chaguevara.nyerere sio walitaka hela ila fikra zao zifiatwe.

  • @geofreymkwelele3588
    @geofreymkwelele3588 Před rokem +1

    Msema kweli