MCHUNGAJI HANANJA AMPA ONYO MASANJA KUISHI NA MWANAMKE MSALITI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 10. 2022
  • HUYU HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AKIZUNGUMZIA KUHUSU KUOA NDOA ZA MITALA KWA WAKRISTO BA WASIO WAKRISTO

Komentáře • 96

  • @mariamukijuu2893
    @mariamukijuu2893 Před rokem +12

    oya mwenye ndevu agonge like hapa🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @leahpeter6556
    @leahpeter6556 Před rokem +3

    Thank you so much Pastor!! this is sooooo true, no man can leave a woman( wife) to another and still the other woman who is taken by this man thinks she is loved more than the first woman!!never!!

  • @berthabahati7329
    @berthabahati7329 Před rokem +1

    Duu umeongea poeti bb mungu akubarik sn na akujalie uishi maisha maref

  • @paskalmaganga9225
    @paskalmaganga9225 Před rokem +1

    Dah kweli we unasema kweli kabisa Mwenyezi Mungu akuongoze uzidi kusema kweli🙏🏻

  • @irambonaeddy5453
    @irambonaeddy5453 Před rokem +5

    Hawa wachungaji ndiyo wanaleta shida,kwakuwafariji makahaba nawazinzi.unasema kweli Baba

  • @aldeamasuki6196
    @aldeamasuki6196 Před rokem +2

    Mchungaji umenikosha ndo ndoa za huku loliondo Mungu akutunze endelea kutupa dozi nakukubali kweli

  • @IsakaJeremia
    @IsakaJeremia Před 3 měsíci

    Amen amen mchungaji sichoki kukoment

  • @suzanalucasemanuel7006

    Amen 🙏🙏 baba mungu akubariki

  • @huldakirururu8950
    @huldakirururu8950 Před rokem +2

    Barikiwa mchungaji ,umesema ukweli wachungaji njaaa wamevunja ndoa nyingi sana.

  • @subirasimbeye8531
    @subirasimbeye8531 Před rokem +4

    Kwa kweli umenena mchungaji

  • @leticiamapunda3324
    @leticiamapunda3324 Před rokem +4

    Mchungaji neno limenibariki ubarikiwe

  • @jumakataka81
    @jumakataka81 Před rokem

    Niko Kenya nakuhuga mokono amina ❤

  • @Chris-in1vc
    @Chris-in1vc Před 6 měsíci

    Daaa ubarikiwe sana mchungaj

  • @IsakaJeremia
    @IsakaJeremia Před 3 měsíci

    Amina

  • @solomonmpuluma6616
    @solomonmpuluma6616 Před rokem

    Wewe pastor ni nomaaaa

  • @joycesanga6951
    @joycesanga6951 Před rokem +2

    Kweli Baba unaongea point tupu

  • @neemanicodemo4269
    @neemanicodemo4269 Před rokem +1

    That is the point pastor, God bless you!!! Ameen

  • @priscawilliam1983
    @priscawilliam1983 Před rokem

    Mch. Naguswa nauushauri wako Sana Ndoa yangu imengiliawa na Ndugu Mumewangu hanielewi

  • @judithgodfrey6503
    @judithgodfrey6503 Před rokem

    Safiiii Mchungaji. Barikiwa

  • @IsakaJeremia
    @IsakaJeremia Před 3 měsíci

    Ameeen

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 Před rokem +1

    Good Sana Elimu kubwa.

  • @stellakatega4910
    @stellakatega4910 Před rokem +3

    Mungu akutumze unawapa ukweli yameshatukuta okoa kizazi kijacho baba

  • @mpandawiliam5390
    @mpandawiliam5390 Před rokem

    Barikiwa sana mch:.

  • @hatibuexauty4024
    @hatibuexauty4024 Před rokem

    Ubarikiwe Xana mtumishi..

  • @Tito-dc6vy
    @Tito-dc6vy Před 7 měsíci

    Eti.mwenye.ndevu.hahahahaha.barikiwa.sana.postor

  • @oiiii3898
    @oiiii3898 Před rokem

    Amen

  • @BenderaRulenge-er7wx
    @BenderaRulenge-er7wx Před 8 měsíci

    Mimi baba yangu alikuwa na wanawake 2 amefariki akiwa na umri wa miaka 108, lakini nimezaliwa mpaka nimeoa mwanamke sijawahi kuona ugomvi wanagombana na sikujua kama kuoa wanawake wengi ni kosa.

  • @joykachwele2638
    @joykachwele2638 Před rokem +1

    kichwa mbuzi....kwingine nyau anhanhaaaaa

  • @bakarymgunda1419
    @bakarymgunda1419 Před rokem +1

    Namuelewa Sana huyu mchungaji

  • @hagaingabo3435
    @hagaingabo3435 Před rokem

    Hahaha kweli pasta

  • @IsakaJeremia
    @IsakaJeremia Před 3 měsíci

    😂😂😂pesa izi

  • @janethjeremiah2547
    @janethjeremiah2547 Před rokem +1

    Et kama marejesho😂😂😂

  • @sampeopletz1255
    @sampeopletz1255 Před rokem +5

    Kwahyo hata mchungaji nae pia kaolewa kwa kupenda hela tamaa 🤣🤣🤣🤣

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Před rokem

    Km unavyoona kuna wanaooa mmoja na wakakosa upendo kwa wtto wao ujue nakuna wenye wake mpaka 4 wanaupendo na wtto wao.

  • @michaelbennady223
    @michaelbennady223 Před rokem +1

    Nimekuelewa mchungan

  • @annangosso6680
    @annangosso6680 Před rokem +2

    Wazinzi watupu😂

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před rokem

    Mchungaji hananja naomba
    Namba yako ya simu

  • @fridasolomon6512
    @fridasolomon6512 Před rokem +1

    Hahahaha mitamba 🤣🤣🤣

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 Před rokem

    Parachichiiiiiiiiiiiii

  • @uriogilbert
    @uriogilbert Před rokem

    U 6 06

  • @itsyourboy1407
    @itsyourboy1407 Před rokem

    Malaki 2;16

  • @ismailmsisa6362
    @ismailmsisa6362 Před rokem +2

    Kwani mwanaume ana period? Mimi nnavyojua mwanaume ni mmiliki nandio mwenye maamuzi nandio anaechagua kuoa idadi ya wanawake awatakao

    • @lutufyodixon9997
      @lutufyodixon9997 Před rokem

      Biblia haijawahi kusema tuwe na mke mmoja tu
      Haijawahi kukataza

    • @rayaali7551
      @rayaali7551 Před rokem

      WACHUNGAJI KUKATAZA WENZENU WASIOWE WAKE IDADI ILIYO AMBRISHWA NA MWENYEEZI MUNGU. ILA NYIE MUNAFUGA WANAWAKE WANJE NA NYUMBA KUWAPANGIA NA WATOTO WANJE KIBAOO. UKAR NA MKE MMOJA KWANI MAMAYAKO ? KWAHIVYO. MUNAONA BORA UZINZI ? HIYO NI AMBRI YA MWENYEEZI MUNGU NA KILA KILICHO AMBRISHWA NA ALLAAH. UJUWE KINA MAANA YAKE NA THAMANI YAKE. KWAHILO MCHUNGAJI KWA LEOO SI JA KU SUPPORT

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 Před 5 měsíci

      Soma biblia bwana mke mmoja mpaka Kofi lakini unaweza kumuqcha mkeo kama muasherati lakini mwanaume akiishi na mwanamke mwingine anazini bure na mwanamke hivo hivo

  • @soudia9084
    @soudia9084 Před rokem

    Kwanini hamzungumzi na wakatoliki nao wakaoa pia.

  • @uriogilbert
    @uriogilbert Před rokem

    U 7 06

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi3459 Před 9 měsíci

    Sio kweli wapi biblia imesema make moja

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před rokem

    Kufahamiana kwa njia gani

  • @hildamhina5305
    @hildamhina5305 Před rokem

    Hahahaha wambie hao

  • @solomonmpuluma6616
    @solomonmpuluma6616 Před rokem

    Mbuzi na nyau 😀😁😂

  • @emmysam1510
    @emmysam1510 Před rokem

    Kuna mzazi na mzalishaji

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Před rokem

    Unaandikisha mke mmoja ukioa wapili ukapimwe akili lkn unaandikisha mmoja unazini na mia moja.....

    • @ledynanciajuma6390
      @ledynanciajuma6390 Před rokem

      Kabla ya kumuoa wa pili c utakuwa umemtaman na kuzini afu ndo ndoa wote ni uzinifu baba

    • @expert5898
      @expert5898 Před rokem

      Yote makosa

    • @expert5898
      @expert5898 Před rokem +1

      Hata uoe wanawake 10000 usidhani ndio utatosheka.

  • @francisdavidmwakalinga3202

    Kichwa cha habari kingine story nyingine kenge nyie

  • @vesitinarevocatus7333

    Sijasikia ilo onyo lamasanja😁

    • @olicej7837
      @olicej7837 Před rokem

      Kichwa cha habariii kingine na maneno mengne 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @wencesmarc6847
    @wencesmarc6847 Před rokem

    Hiyo story ya masanja iko wapi mmekua wajanja au ni ujinga huo Aya mwisho Leo kufatilia story za mabango kama haya

    • @joyceshile8837
      @joyceshile8837 Před rokem

      YAANI, huyo aliepost na KATIBU WA MASANJA MAREHEMU WOTE NI MOTONIII.

    • @wencesmarc6847
      @wencesmarc6847 Před rokem

      Hakika maana wametenda dhambi ya uongo kujipatia hela kwetu

  • @sampeopletz1255
    @sampeopletz1255 Před rokem +2

    Mitamba hiyo duuh

  • @aldeamasuki6196
    @aldeamasuki6196 Před rokem

    Ndoa za bandika bandua

  • @Mariah_1293
    @Mariah_1293 Před rokem

    Wazalishaji 🤣🤣🤣🤣mko wapi

  • @Roym97
    @Roym97 Před rokem +1

    🤣🤣🤣 ni Night kilabu

  • @siloomar7699
    @siloomar7699 Před rokem +2

    Mke mmoja hatoshi

    • @mussajijim574
      @mussajijim574 Před rokem +1

      Acha usenge ww

    • @siloomar7699
      @siloomar7699 Před rokem

      @@mussajijim574 Ah sasa msenge ww au mm

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 Před rokem

      Ndio maana mchungaji kasema nenda huko wanakoruhusu hajamumunya maneno!

    • @restitutanjau2585
      @restitutanjau2585 Před rokem

      Wanatosha wangapi

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Před rokem +1

      Siku unayokufa ndio fainali ya ima mke mmoja anatosha au hakukutosha. Kheri ya muisilam si mnafik unaoa mpaka wanne na wote wanakurithi kuliko wakiristo unaoa mmoja unazini na mia moja na wote ukifa wakizuka wanarithi. Ssa si uchochezi wa zinaa huu?

  • @nantaembanusurupia5674

    Kwa nini maparachichi jamani😆😆

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Před rokem +1

    Nakubaliana na wewe mchungaji tatzo waislam wa kiafrica kwenye dini wanaona suala la kuongeza mke Tu ndo dini ili Hali hao waarabu wako na mke mmoja na wanawe

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Před rokem

      Na nyie makafiri kuzini mkazaa ovyo ndio mnaona dini???

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Před rokem

      Uisilam upo wazi oa mpaka 4 ili usije ukazini ukarithisha wasiostahili. Unakuta kwa mtizamo unakataza kuhangaika hali wanajua wazi w'me wote si swa.
      Ukiristo unajua km mke mmoja hatoshi lkn unakuozesha mmoja ili uzini na unaowajua ww na wanakuhakikishia ukifa wakija watakurithi. Maana unachochea uzinzi zaidi.

    • @shukurusyriack3504
      @shukurusyriack3504 Před rokem

      @@alhamdulillah5796 wewe ndio kafiri mpuuzi Nini Kwan Kwan na ninyi mnasali vitu Gani mashetani tuu

  • @expert5898
    @expert5898 Před rokem

    Mbona mnaandika vichwa vya habari vya uongo? Mnadhani kwa kufanya hivyo mtapata subscribers?

    • @SIMULIZIZONE
      @SIMULIZIZONE  Před rokem

      Tunataka watu wakoment Kama ulivyofanya wewe

    • @expert5898
      @expert5898 Před rokem

      @@SIMULIZIZONE ili iweje?

    • @SIMULIZIZONE
      @SIMULIZIZONE  Před rokem

      @@expert5898 nitatengeneza video kukuelekeza ili siku ukija kuamua kuwa CZcamsr uelewe

    • @expert5898
      @expert5898 Před rokem

      @@SIMULIZIZONE sawa

    • @expert5898
      @expert5898 Před rokem

      @@SIMULIZIZONE kwahiyo ni bora upate comment ya mara moja kuliko kupata subscriber?

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Před rokem +1

    Mnawasoma kina Suleimani ni uisilam uo nyie mnasema mila zao. Wkt kila umma Allah aliruhusu wake wa kuoa. Ibrahim alioa 2 na wapo wengi tu walooa zaidi ya mmoja. Ssa mke mmoja mmepata wapi na Yesu hajaoa?