MCHUNGAJI HANANJA USIOE MWANAMKE ALIYEZALIA NYUMBANI AU MSOMI KUKUZIDI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • HUYU HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AKIELEZEA HATARI YA KUOA MWANAMKE ALIYEZALISHWA TAYARI AU MSOMI SANA

Komentáře • 163

  • @NuruNgole
    @NuruNgole Před rokem +7

    Mungu akupe hekima mchungaji. Nipoit tena ukweli mtupu

  • @yohanajoseph5773
    @yohanajoseph5773 Před rokem +3

    Eheeee safi sana mchungaji kwa kuelimisha hananja namukubari sana

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 Před rokem +10

    Tena kuna aibu kubwa mwanaume kutunzwa na mwanamke.Katika kitu cha kuogopa katika kuoa nikuoa mwanamke mwenye elimu ya juu kukizidi na mwenye pesa kukuzidi.Utajuta katika maisha.Hii ni hekima.

    • @user-bm2tr7sn9e
      @user-bm2tr7sn9e Před 7 měsíci

      Nikweli kwa mtazamo wako lakin Kama mtu kakupenda awezi kukudharau hata siku moja

    • @Angle-bw4jr
      @Angle-bw4jr Před 6 měsíci

      Upo vzr mkuu wangu

  • @user-nm4de1nj7d
    @user-nm4de1nj7d Před 7 měsíci +6

    Tuliozaa tunasema iviii tupo makini sana na familia zetu atukuzaa kwabahati mbaya ila mungu alitupa zawadi kumbukeni hilo alafu tukiacha huwa tunaacha kweli lakini mnatufikilia vibaya mungu apenfi ebu wazungumzieni waliotoa mimba ndo muwajadili

    • @Maalim_Samatta
      @Maalim_Samatta Před 7 měsíci

      😂😂😅

    • @hamzamfyagidzi6344
      @hamzamfyagidzi6344 Před 7 měsíci

      Mnasahau nyinyi kama mlitelekezwa
      Mnapigaga Rivas
      Mnakumbushiaga nyinyi
      Yani mkipishana kidogo2
      Tayari ana mtafuta mzazi mwenzie
      Wana wake hamwamini

    • @mush337
      @mush337 Před 6 měsíci

      Yule mtoto anafaa kufukuzwa jinsi Ibrahim alifukuza ismaili

  • @danaseb1620
    @danaseb1620 Před 7 měsíci

    hongera mchungaji kwa point za ukwel kuhusu kuoa waliozaa use na kifua kuvumilia wakati wenza wakiwasiliana

  • @official_dicksonmunga
    @official_dicksonmunga Před rokem +44

    Ukiowa Mwanamke mwene mtoto bro jua umenunua kiwanja chenye migogoro

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 Před rokem +4

      Siyo kweli inafutana na akili ya mwanamke mwenyewe anayeolewa.. katika kujitambua na kujiheshimu.. akili ya mwanamke mwenyewe....

    • @dayana5513story
      @dayana5513story Před rokem

      😂😂😂

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před rokem

      kabisa

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 Před rokem +2

      😂 kiwanja cha urithi chenye mgogoro

    • @frenkfarm1139
      @frenkfarm1139 Před rokem

      hahahahahahaha jamani nikichekesho ila nihatali sanaa kwenye maisha ya mutu nafsi namwili pia tue makini

  • @mikathedon
    @mikathedon Před rokem +3

    Kumbe watu wa mungu wa ukweli Bado wapo duniani...mungu akuzidishie afya pastor Hananja..upendo mwingi sana kutoka KENYA

  • @BabaakeBabaake-br9ux
    @BabaakeBabaake-br9ux Před rokem +1

    Nakukubari mchungaji asante kwa somo

  • @user-zh8gi5ut6y
    @user-zh8gi5ut6y Před rokem +2

    Sawa kabisa

  • @johnpetro1069
    @johnpetro1069 Před 7 měsíci

    Uliongea point sana mzee wangu🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙌🏾

  • @AkumuIbrahim
    @AkumuIbrahim Před 9 měsíci +1

    Jamani ndoa hiz nijuomba mungu tu unaweza kumlea mtoto wamwanaume vizuri tu lkn utaobekana unambyamyasa mungu aingilie kt

  • @SephaniaPaul
    @SephaniaPaul Před 12 dny

    Hakika baba umenjaa hekima na kinywa chenye hekima hujaa marifa

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 Před rokem +2

    Kuoa Ke mwenye mzazi mwenzake au kuolewa na Me mwenye mzazi mwenzake uwe na moyo mpana!!!
    Ingia kwenye ndoa ya namna hiyo ukiwa unalitambua hilo!

  • @emmanueljudas4522
    @emmanueljudas4522 Před 8 měsíci +1

    😅😅😅dah Mchungaji upo juu sana kwa hekima.

  • @morrismkuba5755
    @morrismkuba5755 Před rokem +2

    Yuko na point japo ni uingie ndoani ukiwa unalijua hilo hamna shida.

  • @cliffdenis144
    @cliffdenis144 Před 6 měsíci +1

    Mchungaji apa kachemsha sio sir wengine ni kosa tu la ujana wakati anakuwa maana tukiwahukumu wadada kisha ivo je wanaume waliowazadhalisha nao iwe ivo ivo

  • @fatymnyama2839
    @fatymnyama2839 Před rokem +7

    Hehehehe mzee wangu unanikosha napata raha Sanaa wenzako wanakuja na prado ww hata guta huna wanakutuma fungatulubai

  • @user-xz8mm5kt5m
    @user-xz8mm5kt5m Před 6 měsíci +1

    As long as hamukemei zinaa single mamas wataongezeka every day! Ajabu kabisa huyu ni kiongozi lakini haoni kosa la watu kuzini kuwa ndo sababu ya haya matatizo!

    • @magdalenashayo1256
      @magdalenashayo1256 Před 6 měsíci

      Sijui anaongea upuuzi gani hapo,eti waliozalishwa wasiolewe,Mungu amsamehe, uzao wake upo liwapate hili analoongea.

  • @fikiriseleman3460
    @fikiriseleman3460 Před rokem +3

    Hahahah noma sana

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před rokem +4

    Mwanamke ana asili yakudanganywa ndo maana nyoka alimfutwa yeye bustani ya eden,mwanamke akakubali, sasa kwa mazingira ya sasa nyoka ndo huyo mwanaume anae kuja kumdanganya mwanamke

  • @MsafiriSaid-wk4ny
    @MsafiriSaid-wk4ny Před 4 měsíci

    Nikweli baba

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Před rokem +1

    Narudi pale pale uislamu haujaacha kitu ukiona mwanamke mwenye watoto sheria ya dini umesema vizuri mchungaji anashindwa kuwaakataza wasizini anasema ukizaa naye kabla ya ndowa umuowe sio ashauri waowane kwanza ndio wazae

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před rokem +2

    Inategemea tu lakini tumeolewa tumezaa tumeolewa tenaa na hakuna shida yoyote munaonana pale inapobidi tu labda iwe wanatakana wenyewe hapo hata wasingezaa bora mutafute mabikira labda

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 Před 7 měsíci

    Pastor ananja jamani aki Sasa kama Mimi nko na watoto wawili baba tofauti gaaiii ntaolewa kweli

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Před 6 měsíci +1

    Huju yamaa namfuatlia sana huwa anawalimisha wakristo wenzie japo hawataki wanampinga

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe4203 Před rokem +1

    Ohoooo unavunja simu ahahahahaha daaaah

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před rokem +2

    👏👏👏

  • @Othmansheby
    @Othmansheby Před 7 měsíci

    Kweli hii ilinitokea mm kweli siwezi hata wanawake waishe dunian

  • @kapelotz9967
    @kapelotz9967 Před rokem +3

    Ukwel asilimia mia 1000000 mana ndo mwixho waxiku ukienda ukweni utaambiwa kaxafixhe mabanda ya kuku yamechafuka huku wenzio wanakunywa maji ya afya na Azam mango pembeni

  • @sharifaoctavian6478
    @sharifaoctavian6478 Před rokem +7

    Hata kuolewa na mwanaume mwenye watoto aaliwazaa mtihani kwa wanawake tena hatari sana wamama hao simu mda wote ukiuliza maswala ya mtoto mzazi mwenzangu Mmh hilo swala mtihani tena afadhali ukute mwanaume hamtaki huyo mzazi mwenzake Lin kama sivyo mnajua hamna amani kabisa hata kama mwanamke ameolewa bado anamtaka mzazi mwenzie

    • @joyce55727
      @joyce55727 Před rokem

      Tena mtihan sana ndugu mim yalinikuta 😭adi saiz kuolewa naogopa

    • @amazingvideo4761
      @amazingvideo4761 Před rokem

      @@joyce55727
      Mkuu pole nini milikukuta mkuu

  • @adibilsalum9580
    @adibilsalum9580 Před rokem +4

    Mwamba anaakili sanaaa japo nikamateja schoki kumsikiliza

  • @hijamaulidi7382
    @hijamaulidi7382 Před 10 měsíci +2

    Kila mtu anahaaki jmn kikubwa mipaka mbona watu wanaishi. Tatizo mmekariri

  • @user-ii2ks1jf2d
    @user-ii2ks1jf2d Před 7 měsíci +2

    Na kama aliolewa akashindwana na mwanaume alie muoa halafu wakawa walikua na watoto...

    • @user-rn6ej2fs1l
      @user-rn6ej2fs1l Před 2 měsíci

      Nione kaburi la baba watoto wake kwanza ndo nimuoe

  • @saidishineni7966
    @saidishineni7966 Před 7 měsíci

    Hakika unazungumza facty mchungaji

  • @elshamotieno9876
    @elshamotieno9876 Před rokem +3

    kutoka nairobi kenya naunga mkono na nikweli

  • @mbonimanakisenya4178
    @mbonimanakisenya4178 Před rokem +4

    Hahahaha mwanaume akiwa na mtoto hakuna tatizo

  • @mako331
    @mako331 Před rokem +2

    Hekima iliyoko kwenye hiki kichwa ni level ingine, na uwazi

  • @bernardgeofrey1830
    @bernardgeofrey1830 Před 10 měsíci +1

    Mi mchungaji huyu anaongea kama anachekesha ila anaongea uharisia kabisa Mungu amuongezee umri wa kuishi

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz Před 4 měsíci

    unajidai unaeleza siasa ,kumbe mihemko tu..😀😀

  • @MchagaUk
    @MchagaUk Před rokem +3

    Hata wanaume wenye watoto njee yaani hata kama aliachana na mama mtoto Kwa maugomvi ipo siku watarudiana tena huyo mama mtoto akiona mwanaume anamwanamke anayempa Amani mwenyewe anakuwa mpole anakuwa na wivu na ipo siku watarudiana au kuwasiliana na kuzaa tena.

    • @MchagaUk
      @MchagaUk Před rokem +1

      Tena wanaume ndo wako weak balaa Bora mwanamke aliyezaa aliachana na mwanaume ameacha ila wanaume akiitwa Tu mtoto anaumwa basi

  • @maryodhiambo8434
    @maryodhiambo8434 Před rokem +7

    🤣🤣🤣🤣🤣😂😂 wacha ni cheke tuu sina maoni sisi tuliyea Zaliyea nyumbani

    • @annalyimo8462
      @annalyimo8462 Před rokem

      Hapana hakuna kitu kama hicho

    • @habibalukinga1575
      @habibalukinga1575 Před rokem

      Hamna dear kuna watu wameolewa na waliozaa nao na wakaachwa na wakapata wanaume wanaowapenda na wanaishi kama familia ya mtu mmoja ni kumuomba tu mungu akupe unachostaili kipenzi

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 Před rokem +5

    Kuowa mwanamke aliyezalishwa ni balaa tupu.... Unaleta balaa nyumbani...

  • @Antipasmsabaha123
    @Antipasmsabaha123 Před 7 měsíci

    Si kila aliye zalia nyumbani ndo mmbaya tu,roho mbaya ni kwa mtu mmbaya tu awe mama ao baba aiza awe mtoto

  • @KelvinBakar-vg9uk
    @KelvinBakar-vg9uk Před 6 měsíci

    Yan we achatu, cjui tufanyeje wengne tulishanasa

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 Před rokem

    mh, hii balaa

  • @kyalomutinda4238
    @kyalomutinda4238 Před 7 měsíci

    Ila huyu Mchungaji bwana wee... 😂 😂 😂! Kama ushauri kama vichekesho vilee... 🤣!

  • @juliasipatrisi8048
    @juliasipatrisi8048 Před 7 měsíci +1

    Kwani lazima uishi na mtoto, kama inawezekana mshaur mkeo ampeleke kukaa na babake inakuwa rahis tu

    • @hamzamfyagidzi6344
      @hamzamfyagidzi6344 Před 7 měsíci

      Akimpigia sm mtoto wake kazidiwa hataenda kumwuguza
      Yani hapo hakuna afadhari
      Uzuri wawanawake hakunaga mtoto mbaya
      Hatakama baba wamtoto ni mbaya kisigani
      Hapo nawakubali .

    • @arafathswaleh
      @arafathswaleh Před 6 měsíci

      Kkkk kabisa kaka kwa hilo huyu akupatia inawezekana ukaishi na mke mwenyewe mtoto na kisitokee chochote

  • @stevenfumbi9566
    @stevenfumbi9566 Před rokem +2

    Naunga mkono hoja asilimia 100

  • @MsafiriSaid-wk4ny
    @MsafiriSaid-wk4ny Před 4 měsíci

    Hta mimi ilo tatizo limenkta pastor

  • @GULF444
    @GULF444 Před rokem +1

    Na dume mweny.aliezalisha na mke kweda kwao je????

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 Před rokem +2

    Kwakweli mm siwezi kuoa mwanamke mwenyewe mtoto, Kwan Ni matatizo makubwa

    • @happilicioussteven9544
      @happilicioussteven9544 Před rokem +1

      Usiongee maneno ukamaliza,,, chizi mzuri kama hatoki kwny familia yenu kaka... Omba sana Mungu na uombee sana kesho ya watoto wako hasa km una watoto wa kike.!!! Jiulize je ungekuwa mzazi wa mtt wa kike ambaye amezalishwa na bado yupo nyumbani je km mzazi ungefurahi kuona anakosa mtu wa kumuoa kwa sababu amezalishwa na mtu mwingine waliyeshindwana.???

    • @user-bm2tr7sn9e
      @user-bm2tr7sn9e Před 8 měsíci

      Kabisa

    • @lucasmangora23
      @lucasmangora23 Před 7 měsíci

      ​@@happilicioussteven9544ndio...akome na iwe fundisho kwa wengine ..amtafute aliemzalisha

    • @user-uv8mr2gn4h
      @user-uv8mr2gn4h Před 6 měsíci

      wanasahau kujua hilo

  • @user-ge8xv4vg1f
    @user-ge8xv4vg1f Před 7 měsíci

    Mwanaume naye je sitakuwa shida

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz Před 4 měsíci

    Huyu pastor anatuchana live, hakuna kupindisha. ni ukweli kabisa tuache huruma huruma! oa ujipime unaweza kukaa na aliyezalia nyumbani??

  • @PatrickSanka
    @PatrickSanka Před rokem +1

    ❤❤❤😅😅😅😮😮😮

  • @user-tx4ze8kq3x
    @user-tx4ze8kq3x Před 7 měsíci

    Mimi siwezi hata Kama wanaume wameisha duniani huo.ni.utumwa hujawahi zaa .unaitwa Bibi maana .unaishi Babu mtu

  • @charlesjohn5792
    @charlesjohn5792 Před rokem +2

    Hii changamoto ndo nipo nayo saa hii aisee sielewei nimwoe au vipi

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj Před rokem +1

    Nihatari

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 Před 6 měsíci

    Nawanao ogoza kwakuolewa niwalio zaa

  • @josephatbwakome5711
    @josephatbwakome5711 Před 7 měsíci

    Mzee anatema madini kama ya level ya PhD holder.😂😂😂😂

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Před rokem +2

    Baba Point Tupu

  • @user-el7ec6ls9s
    @user-el7ec6ls9s Před 7 měsíci

    Mzee ana fact huyu yaan simpingi

  • @martinkassuku8159
    @martinkassuku8159 Před rokem +5

    Huyu anazeeka na Hana mtoto acha aendelee kutafuta

    • @noelymwakasege2428
      @noelymwakasege2428 Před rokem +1

      Una akili wew mafundisho yake uyu mzee ni mazuli san

    • @nkolekwajohn
      @nkolekwajohn Před rokem +1

      Hapa nasema na Mimi Kama Mchungaji, ukweli hatuwezi kuwahukumu wanawake walio zaliya nyumbani, ukweli nikwamba asilimia kubwa walidanganywa na wanaume, hapa wanaume ndo janga kubwa, ila nataka kusema hivi ndoa Ni makubaliano ya wawili hawa na mapatano yao

    • @maslaseif8186
      @maslaseif8186 Před rokem +2

      @@nkolekwajohn hajasema eti mwanamke alie zalia kwao kwamba wanatabia mbaya hapana. Kaleta tu mifano ya madhara yake huko mbele kwenye ndoa.

    • @alfredndau9195
      @alfredndau9195 Před 8 měsíci

      ​@@maslaseif8186
      kwa hiyo wanawake waliozalia nyumbani hawana haki ya kuolewa?
      Ila wanaume waliozaa nje wao ni sawa?
      Kuna wanawake waliozalio nyumbani wanatabia nzuri kuliko walioolewa na kuzaa ndani ya ndoa.
      Kila mtu ana historia yake tuache ubaguzi,ila ni muhimu kusisitiza watu wazae bada ya kuoa/kuolewa.

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 7 měsíci

    🤣🤣🤣🤣 Nimekupat mtumishi

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv Před 7 měsíci

    Ipo siku mtawakuta mbinguni hao waliozalia nyumbani Mawazo ya Mungu sio ya mwanadamu ,Bora yule aliyezalia nyumbani kuliko yule anayetoa mimba

  • @owenjuniorkravecki7874

    Mwanzo wa game ni 0-0

  • @taifaonlinetv.3670
    @taifaonlinetv.3670 Před rokem +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅🤚

  • @faudhkhamis2292
    @faudhkhamis2292 Před rokem +2

    Kwani walio zaa wenyewe wanasemaje

  • @modestaulambale606
    @modestaulambale606 Před rokem +3

    Hamna sio kweri, we Yaani mtu amenizalisha amenisaliti hajaniowa tena NIENDELEE kuwasiliana isaidiee nini, Si kweri inawezekana kuwa tumeachana hata kama hajakufa

    • @smilemediatz
      @smilemediatz Před rokem

      wew tulia kama umezalia nyumbani imekula kwako

    • @omyjy4819
      @omyjy4819 Před rokem

      Imekula

    • @rithamlacha5403
      @rithamlacha5403 Před rokem +2

      Ni kweli dear mi nilizaa lkn nikapata mume nikaolewa vizuri tu, sema watu wana kashfa sana afadhali kuzaa kuliko kutoa toa mimba ili usionekane na mtoto

    • @moriskalegeleshusha2619
      @moriskalegeleshusha2619 Před 8 měsíci

      Siku akikutaka utamkataa?

  • @missphilip-vh2xp
    @missphilip-vh2xp Před rokem

    Na mwanaume Je akiwa na mtot ina kuwa Je🙈

    • @mush337
      @mush337 Před 6 měsíci

      Tangu uzaliwe hujawai sikia jibu la swali hili ama ni kiburi tu ndicho kinakusumbua,sikiza kisa cha Ibrahim

  • @nathanmao159
    @nathanmao159 Před rokem +2

    😂😂😂😂😁

  • @patrickakali4289
    @patrickakali4289 Před 7 měsíci

    Mafuzo kamili nmebambika

  • @KelvinBakar-vg9uk
    @KelvinBakar-vg9uk Před 6 měsíci

    Kutoka imekuwa ngumu

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe4203 Před rokem +1

    Ahahahahaha kama nisingezaa nae nisingemuoa daaaah huyu pastor kipedo

  • @gracedamas5883
    @gracedamas5883 Před rokem +1

    😂😂😂

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir Před rokem +17

    Mimi nimeoa mwanamke mwenye mtoto ..!!
    Moto wake ni balaa
    Vijana ambao hamjaoa msifanye makosa niliyofanya mimi Kaka enu.
    Nawaombeni sana .. 🙏
    Usijaribu kujiingiza kwenye huu mtihani mkubwa ...
    Mkinisikiliza mimi basi mtakuja nishukuru baadae..
    Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni sawa sawa kuingilia familia ya Mwanaume mwingine kabisaa.. 😅😅
    Kubali ku share mke wako wa ndoa na Baba wa mtoto wake ..

  • @CalvinMagafu
    @CalvinMagafu Před 11 měsíci

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @elizabethmsulah379
    @elizabethmsulah379 Před rokem +1

    😄😄😄😄