Zaburi 50: 3 Mungu wetu atakuja wala hatanyamaza, Moto utakula mbele zake, na tufani yavuma sana ikimzunguka pande zote. *MUNGU HATANYAMAZA! KWENYE CHANGAMOTO TUNAZOPITIA ATALETA CHANGAMKO! HATAKAA KIMYA BALI ATATUJIBU KUHUSU HALI TUNAZOPITIA KWENYE AFYA, UCHUMI, MAHUSIANO, NDOA NA MIKANDAMIZO YOTE YA NGUVU ZA GIZA! JINA LAKE LITATHIBITIKA JUU YETU SASA, HALELUYA!!!*
Kila mmoja ana neema yake ya pekee na haina maana kila mchunguja awe kama yeye, kuna mahali huyu mchungaji hawezi vitu fulani na mwingine anaviweza so All in all tumpe Mungu utukufu
Jaman nilikuwa wap kumjua huyu baba humu Jaman mahubir yke mazur ameeen
Uyu MCH amejaa maneno mengi ya hekima. Nampenda sana, next time endelea naye 😀
Mungu akuzidishie umri baba .
Huyu mchungaji ninoma kwa vifungu god blees him alot❤❤❤❤❤
Mch. Hongera sana kwa mashauri na nasaha nzuri sana
Uwa napenda sana mtu anayeongwa kwa kutoa mifano ndani ya vifungu vya Bible, Barikiwa Pastor Bilionea
Mchungaji huyu nampenda mno, Najifunza kila siku
Hata Mimi nilikua natamani kumuuliza kuhusu kumbukumbu alo nayo nimuulize nashukuru sana mtangazaji kumuuliza hilo swali
Mchungaji Ubarikiwe sana kwa jina la Bwana YESU KRISTO!! Lakini unamuumi mbavu mtangazaji wetu!! Shalom.
Ongera sana ninakufatilia sana na ninakupenda sana
Nakuombea 💒 rafiki yangu nafuatilia sana vipindi vyako.💪
Uyu mzee napendaga sana maneno yake
Hakika wewe mtumishi ni furaha yang siku zoteee ubarkiwe sana uishi maisha marefu
Yesu amtunze sana mtumishi wake.
Mungu akupatie miaka mingi katika Dunia hii , uko na mafundisho mazuri sana yanajenga , kimwili pia kiroho .
Ubarikiwe mchungaji sana sana
Mcgungaji Hanaja ni maktaba inayotembea kabixaa Mungu azidi kumpa afya na uwingi wa kheri kwenye Manisha ya kwakwe
The pastor resembles Catholic priests but kwa ukweli well inspired..
Balikiwa hanja penda sana🎉 wew 🎉
Huyu Mchungaji ni Very Bright, Kwa kweli wapo wachache wa aina hii.
Ubalikiwe mchungaji Mungu azidi kukuongezea umri usizeeke araka tuzidi kupa mafunzo
wachache sana
Mchungaji HANANJI ubarikiwe sana. Endelea kutufundisha habari za Maisha
Amen.Ubarikiwe sana Mchungaji.Mungu akutunze utumike kutufundisha Neno
Nakushukuru mchungaji kwa ufahamu wako wa kutisha .
Dah nimecheka sana! Asante sana Baba Mchungaji na mleta kipindi mbarikiwe sana!
Mungu awabariki sana mchungaji hananja
Pastor billionaire be blessed from Kenya..
Mchungaji Hananja, unanivunja mbavu namna unavyohamasisha kwa mafundisho yako.Asante ssna!
Uko sawa pastor
Mungu akubariki mch. wewe kweli mwalimu
Ubarikiwe hananja mungu akupe maisha marefu
God can use any one to change the world, Asante sana mtumishi wa Mungu
Aisee pastor ubarikiwe Sana
Hananja kivuluge 😇😇
Mwinjilist Mfinanga hongera Sana kwa kuwa na Rev Rich
Ubarikiwe sana, Mungu akutunze 🙏
BRO, huyo pastor ana madini hatari nimempenda sana , Mungu ambariki
pastor hananja nakupenda
Mtangazaji upo vizuriiii Nimekupenda.
Mungu akutunze mtumishi.
Mchungaji huyu namkubali sana
Mchungaji mungu akubariki
Mungu akubariki kwa mahubiri yako
Nakupenda sana mchungaji,,,Mungu akuzidishie,,,,unaongea Kama utani Ila point tupu
Ubarikiwe mtumishi.
I have learned alot in program God bless you all,your a good presenter big up saaana.
Asante mtumishi wa Mungu nimekuelewa sana
Kweli kila mtu anakitu chake kwenye maisha
Powerful
Amen mch. Hongera mshauri wa kweli
Good job bro
Nakukubali sana!
Love you pastor hananja
I wish all the best in your life pastor Hananja nice to meet you pasto i need your contact
Hongera
Amina
Hahahah Mchungaji anamaneno haki😅😅😅
Asante
Mimi nashukuru mch kwa ujumbe Nina swali kwa Nini wanaume wengine awasikilizi wake zao Bali wanasikiliza ndugu zao kulikok
Hamna dear
Akili za mtu tu....Ukimfanya akusikilize ni wewe ni vyema sana
Ongeza bidiii
Kwa kweli mtagazaji pole Kwa sababu unaweza kucheka mpaka mbavu kuuma
Safi sana
Hananja hongera upo vzr nimaktaba kweli inayotembea
Heti utaishia sungu sungu😆😆😆😆
An excellent preacher. Indeed he is talented and inspired!
anaongea maandiko sio kubwabwajaa ..aiseee.. #NampendaTu.
Kuku wa mazingaombwe! Hahaaaa.Amen barikiwa.
Mch barikiwa sana unahubiri hata siwezi sinzia ninakuelewa na ninafurahi sana
Huyu Mtangazaji yuko vizuri mno anajua kumfanyia mru Interview
Kwa kweli yaani mimi nakuelewa sana. Yaani nacheka saana huku unanifundisha.
🤣🤣🤣🤣MUNGU akubariki baba daaa nilikuwa na mawazo mpk yamekata
🤣🤣🤣 Interview hii kwakweli! Pongezi Sana!
Asante sana,Umebarikiwa.
Mungu awabarki 🤣🤣🤣🤣🤣
Zaburi 50:
3 Mungu wetu atakuja wala hatanyamaza, Moto utakula mbele zake, na tufani yavuma sana ikimzunguka pande zote.
*MUNGU HATANYAMAZA! KWENYE CHANGAMOTO TUNAZOPITIA ATALETA CHANGAMKO! HATAKAA KIMYA BALI ATATUJIBU KUHUSU HALI TUNAZOPITIA KWENYE AFYA, UCHUMI, MAHUSIANO, NDOA NA MIKANDAMIZO YOTE YA NGUVU ZA GIZA! JINA LAKE LITATHIBITIKA JUU YETU SASA, HALELUYA!!!*
Amen
Maonimazuri Sana 🙏🙏🙏🙏🤔🤔🤔🤔🤔
Dah nimecheka sn Leo 😂😂, pamoja na yote unaijua biblia
Mfinanga hii kitu ni yenyewe 😄
Huyuu jamaa anafanya Dini ionekane nyepesi 😃😃
Huyu Mchungaji huwezi kuchoka kumsikiliza ana kipawa hasa
🤣🤣Mchungaji dah
Rich hananja
Huyu mzee,namukubali USA
🙏 💙💙💚💚
Daaaa
Nampenda mchungaji Hananja, kila anachoongea anasema na maandiko ya biblia
Mtoto wake ni otty ananja jaman dahh abarikiwe sana
Jamani amenibariki kwenye kanisa lake ubungo kibangu kanisa kkkt kibangu ANANJA jaman
Mtangazaji anacheka kinoma
Hilo ndilo swali nilitarajia ,ni vipi Mchungaji mkwasi wa biblia takatifu😮😮
Hakikaa
WALE MAPASTA FEKI WA KULE KENYA WANAOWAFANYA WAUMINI WAO MAZOMBI WAMSIKILIZE HUYU BABA
Anaweza kupasua bandama uyu🤣😂🤣Huwa ananichekesha muda mwingine.
Daah 😂😂
Inabidi mtu akijiita mchungaji amsikilize mch.hananja na ajipime kama anatosha humo
Kabisa yani
Kila mmoja ana neema yake ya pekee na haina maana kila mchunguja awe kama yeye, kuna mahali huyu mchungaji hawezi vitu fulani na mwingine anaviweza so All in all tumpe Mungu utukufu
@@elishakayagwa9371 Huyu mchungaji ni hatari mzee
Kabisaa
😂😂😂😂Amen🙏
Tupatie namba ya huyu Mchungaji
kweri wachawi wanauza madawa lazima tuwakatae hilo nimelikubali
aisee😂😂
UZOEFU NI ELIMU
Mch. Bilionea Hananja, tumekusoma
Huyu jamaa binafsi huwa ninamwelewa sana
😄😄😃😃😃😃
HIKI NI KICHWA KHA😂
Ugonjwa wa roba 😂😂😂
Ameen
Mtangazaji ana mbavu jaman🤣🤣🤣
Hana mbavu.
😂😂😂 pastor nimekuelewa sana Hekima bila hela usikilizwi
Yaani acha kabisa huyu pastor ni hatari sana anaongea point tupu
Du Mch yupo vzr
Du mia tono ikichafuka ukiiosha haiwi mia na hamsini hahahah! Saluti babab
Mimi Islamic nasijawah kumuelewa mchungaj yeyote ila hanaja nimempenda kiukweli nitamtafuta nimuone live tuongee
Ubarikiwe Sana mchungaji
Kuku wa mazinga ubwe 🤣