THAMANI YA MWANAUME IKO KWENYE MAENEO HAYA HAPA MCH HANANJA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • Marriage Real Life Talk
    "Nafasi na Thamani ya Mwanaume katika Jamii na Familia."
    Program hii hufanyika kila Jumanne saa 1:00 Jioni
    Mahali: Ukumbi wa Mbezi Park,Tank Bovu

Komentáře • 137

  • @henrykasikao8573
    @henrykasikao8573 Před rokem +2

    Barikiwa mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri

  • @peresianamugeta1770
    @peresianamugeta1770 Před rokem +2

    Hongera mchungaji kwa mafindisho

  • @VictorNyari
    @VictorNyari Před 10 měsíci +2

    Aaaamen

  • @antonyouma298
    @antonyouma298 Před rokem +2

    God bless you servant of God

  • @abdullahyunus9235
    @abdullahyunus9235 Před rokem +2

    Kweli hananja ni mwalimu tosha katika jamiii ,nilitamani afungue kituo cha ushauri. Wa vijana juu maisha halisi katika jamii

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 2 lety +4

    Kabisaaa umepatia Wanaume Wasali ndoa ziwe Tamu

  • @sarahkadenge6705
    @sarahkadenge6705 Před 2 lety +2

    Hiyo nzuri sana baba mchungaji ila wanaume wengine hawajielewi kabisa,hawatulii hata kidogo

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Před 2 lety +2

    Hongera Mchungaji kwa kupata Mke MZURI

  • @jeanrenengbebou7989
    @jeanrenengbebou7989 Před 2 lety +6

    82 Hakuna kitu kinachoweza kutufanya tukatae Ujumbe huu. Wala jela wala mateso kwa sababu Ujumbe huu wa Mwana-Kondoo ni kitu kikubwa zaidi ambacho Mungu ametupa hapa duniani na ni kupitia kwake tutamwona Mungu. Yeye ni nira na mzigo kwa wana wa giza, lakini yeye ni umande mtamu na furaha kwa wana wa nuru.

  • @victorsabuni6801
    @victorsabuni6801 Před rokem +1

    Amen mtumishi

  • @robertmwita2522
    @robertmwita2522 Před 2 lety +9

    "MUNGU Awatunze Sana,Maana Mnafanana Kweli Kweli"

  • @kassanewstv5928
    @kassanewstv5928 Před 2 lety +4

    Mtumishi Bwana akubariki sana, Asante Sana kwa mafundisho mazuri, hakika umenibariki na kupanda mbegu mpya ndani yangu.

  • @daudielevani572
    @daudielevani572 Před rokem

    Amin mtumishi mungu akubarki mm swali lungu yesu aliowa ama akuowa

  • @blessedtumaini516
    @blessedtumaini516 Před 2 lety +1

    Barikiwa Mtu wa Mungu kwa neno na mafundisho. Mbarikiwe waandaji kutuletea hili.

  • @lilyabel2320
    @lilyabel2320 Před 2 lety +7

    Amen amen mchungaji, mungu akubariki sana

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před rokem +2

    Hananja asaidiwe na serikali ktka kuwaokoa vijana wetu❤

    • @zakayomasingoti9238
      @zakayomasingoti9238 Před 7 měsíci

      Sio vijana tu ata dunia kwa ujula saiv saiv wanawake wanajiinua na kuwanyea vichwan wanaume wanajigamba na kujimwambafai et wanaweza..mwishoe ndio dunia inaalibika

  • @zakayomasingoti9238
    @zakayomasingoti9238 Před 7 měsíci +2

    Tunakoelekea wanawake wataanza kusema kwa jina la mama

  • @julietknight6270
    @julietknight6270 Před 2 lety +8

    Amina. Nice to see Dr.Rose. Thank you Servant of GOD.

    • @faustakiwale2441
      @faustakiwale2441 Před rokem

      Amina

    • @gracekagoma3231
      @gracekagoma3231 Před rokem +1

      Jamani Raisi wetu amsaidie Huyu baba kuendeleza miradi ya kulijenga taifa ktka kuwasaidia vijana.❤Am e n

  • @samwelkadeghe2522
    @samwelkadeghe2522 Před 2 lety +2

    Mafundisho mazuri sana,
    Hongera sana

  • @mariamgodwin7186
    @mariamgodwin7186 Před rokem

    Amina

  • @jacklinamajaliwa2524
    @jacklinamajaliwa2524 Před 2 lety +2

    Mchungaji kichwa kwa kushika vifungu vya bibilia

  • @elizabethgodfreytondo3052

    Amen,watie nguvu wanaume Pastor

  • @Anifanusura
    @Anifanusura Před 8 měsíci +1

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @andrekamango8573
    @andrekamango8573 Před 2 lety

    Ikp kweli baba umeongea vizuri mwnaume akifanya chochote inawezekana umeongea mapenzi ya mungu

  • @daudisimba9180
    @daudisimba9180 Před 2 lety

    Umeongea vibaya ukianza kumfananisha Mungu umekufuru

  • @kedmonlameck8401
    @kedmonlameck8401 Před 2 lety +2

    Tunahitaji huduma zako mchungaji mala kwa mala zitufikie ubarikiwesana .

  • @mbusambasa5450
    @mbusambasa5450 Před 2 lety +3

    Amen. Asante Baba Mchungaji kwa ufunuo huu.

  • @thimothywafula7370
    @thimothywafula7370 Před 2 lety +1

    Ujumbe poa sana.

  • @LuthanJoseph-xc7fv
    @LuthanJoseph-xc7fv Před 3 měsíci

    Ubarkiwe mkuu

  • @ernestkamata2555
    @ernestkamata2555 Před 2 lety +1

    Unarikiwa sana kwa. ujumbe wa neno

  • @kedmonlameck8401
    @kedmonlameck8401 Před 2 lety

    Hongera Sana mchungaji mahubili yako ni mafundisho harisi ya yanayo endana na halihalisi ha sasa

  • @QAUM221
    @QAUM221 Před rokem

    Mm namuomb mungu akupe maish malefu hapa dunian

  • @morrisndenge9833
    @morrisndenge9833 Před 2 lety +1

    Amen Mungu akubariki Sana Kwa ujumbe huu kutoka Mbinguni

  • @melkizedekibugemwe4851
    @melkizedekibugemwe4851 Před 2 lety +2

    Baba natafuta sana mawasiliano yako. Kama umefanikiwa kuona ujumbe huu tafadhari nisaidie

  • @NoelMboya-ob2sb
    @NoelMboya-ob2sb Před rokem

    Mungu akubariki babasanaaa

  • @emmanuelbonaventura4258
    @emmanuelbonaventura4258 Před 2 lety +1

    Aminaaaa

  • @jumakataka81
    @jumakataka81 Před rokem

    Amina ❤

  • @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
    @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny Před 8 měsíci

    Amen

  • @peresianamugeta1770
    @peresianamugeta1770 Před rokem +2

    Unaeleweka mchungaji

  • @janewamaitha4930
    @janewamaitha4930 Před rokem +1

    True

  • @japhetikongo453
    @japhetikongo453 Před 2 lety

    HONGERA sana Mchungaji, MUNGU akubariki .

  • @westmanmoses541
    @westmanmoses541 Před 2 lety +2

    Ana speed ya kuongea balaa. Hongera sana

  • @ElishaKasambo-yu5jt
    @ElishaKasambo-yu5jt Před rokem

    Mungu akutunze baba

  • @lameckfund7898
    @lameckfund7898 Před rokem

    Mungu akupe uzima milele✅

  • @MohamedJuma-sj9zc
    @MohamedJuma-sj9zc Před 8 měsíci +1

    Pamoja sanaaa!!!

  • @samsonngugi7144
    @samsonngugi7144 Před rokem +1

    Good teachings pastor may the Lord bless you

  • @isaacmanyasa19
    @isaacmanyasa19 Před 2 lety

    Hallelujah,Mimi nauliza ukiwa umeowa na mwanamke aka wacha

  • @sabinajoseph9297
    @sabinajoseph9297 Před 9 měsíci

    Sure mchungaji nakupenda bure

  • @Tunu290
    @Tunu290 Před 2 lety +1

    Deep!

  • @oscarjacob8988
    @oscarjacob8988 Před 2 lety +1

    Ameeen....

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 Před 2 lety

    Ameen Baba Mchungaji Mi Nakuerewa sanaa

  • @bornkivanga
    @bornkivanga Před 11 měsíci +1

    Mafundisho mazuri saana

    • @MarriageRealLifeTalk
      @MarriageRealLifeTalk  Před 6 měsíci

      Asante sana na pia karibu uungane nasi kila siku Jumanne saa moja kamili jioni huwa tunakuwa live

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 2 lety

    Kumbe hujasoma Biblia Mungu ni Mwanaume kabisa

  • @ujenzisecondary7349
    @ujenzisecondary7349 Před 2 lety +1

    yaani mafunzo mazuri Sana na clear

  • @donasiadonasiakavishe861

    Kweli tupu jamani baba mungu akutie nguvu

  • @sauud2some471
    @sauud2some471 Před 2 lety

    Thanks 🙏🙏🙏🙏

  • @migombaelinest3500
    @migombaelinest3500 Před 2 lety

    Ubalikiwe mtumishi.

  • @christophermalilah7110

    Kumcha Mungu Ni chanzo Cha maarifa

  • @DaudiMazengoMasterDTEM
    @DaudiMazengoMasterDTEM Před 2 lety +1

    Zidi kubarikiwa mtumishi

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 2 lety +1

    Leo umewaweza Wanaobisha Kusherehekea Sikukuu za Kuzaliwa Mkombozi

  • @emanuel1269
    @emanuel1269 Před 2 lety +1

    Ameen

  • @justinefrank2892
    @justinefrank2892 Před 2 lety

    Namkubalisana mchungaji nikiskiliza mafundishoyako napatautukufu sana

  • @danielherman5319
    @danielherman5319 Před 2 lety

    Mhungaji wangu nakukubali

  • @margaretwachira6871
    @margaretwachira6871 Před rokem

    Good sermon

  • @haikaelmamuya931
    @haikaelmamuya931 Před 2 lety

    Kabisaaaaa Mchungaji

  • @learnkiswahililanguage
    @learnkiswahililanguage Před 2 lety +1

    Ana speed ila hakosei, so amazing

  • @venancemenderadkitungulu201

    Ameni kubwa

  • @benieljons5173
    @benieljons5173 Před 2 lety +1

    Amen 🙏

  • @mr.wilsonnyambaza8375
    @mr.wilsonnyambaza8375 Před 2 lety

    👏

  • @webijocktan1661
    @webijocktan1661 Před 2 lety +2

    Maneno haya yamekokolea munyu,yana radha nzuri kuyasikiliza:

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 Před 2 lety +1

    Bongo pastor mama akipenda ndoa inaharibika kabsaaaaa. Sasa kwa nini hamukuumbwa nyinyi wanaume tuuuu.

    • @Hananja.r
      @Hananja.r Před 2 lety

      Sikuelewi. Yaani katika ujumbe huu hakuna kweli hata neno moja la kujifunza?. Hapa ipo shida kweli. Barikiwa.

    • @damsonmselela2291
      @damsonmselela2291 Před 2 lety

      Hallelujah!

  • @nicodemustesha1493
    @nicodemustesha1493 Před 2 lety

    Speed balaa

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 Před 2 lety +1

    We baba wewe ubarikiwe sana. Wanaume na wanawake wakuelewe sana. Hasa wanaotafuta wachumba

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 Před 2 lety +1

    Baba ni kichwe cha Familia vile Kristo ni kichwe cha Kanisa . Lakani mamma anavyote ambavyo mme wake anahitaji. Furaha mapendo utulivu hiyo yote mme akiikosa kwa av mukewe mali haisaidie chochote

    • @MarriageRealLifeTalk
      @MarriageRealLifeTalk  Před 2 lety

      Barikiwa kwa kuendelea kufuatilia mafundisho haya mazuri tunaamini utakuwa balozi wa kuwajulisha na wengine ili waendelee na wao kufuatilia mafundisho haya ya Ndoa

  • @user-cb1ij4oq4m
    @user-cb1ij4oq4m Před rokem

    😅Ubarkiw san

  • @adelaidashayo5464
    @adelaidashayo5464 Před 2 lety

    Amina mtumishi wa Mungu

  • @joanesjulius7646
    @joanesjulius7646 Před 2 lety

    Ubarukiwe

  • @stiangabrirl
    @stiangabrirl Před rokem

    Nataka nisome vitabu vya huyu mzee aisee... ✍️

  • @maryemanuel1404
    @maryemanuel1404 Před 2 lety +4

    Wamefananaaaa...kama mtu na dadaake

  • @sayukimethod3375
    @sayukimethod3375 Před 2 lety +4

    Swali langu liko nje ya mada kidogo , binadamu wa kwanza kuubwa alikua Adamu na badae kaumbwa Hawa na badae kupata watoto wa wili Kaini na Abeli badae Kaini alimuua Abeli na kwenda kuishi nzi ya mbali na kuoa huko ,swali je? Alimuoa nan ikiwa Adam na hawa walikua na watoto wa wili Kaini na Abeli ?

    • @annenankozi8297
      @annenankozi8297 Před 2 lety +1

      Hizi Biblia tunazopewa zinaficha mambo Mengi, inahitaji UtashI kujua yaliyomo ila Walianza kuumbwa Adam na Lili, Lili akasaliti akaletwa Eva inamaana kuna vizazi Vilitolewa nje ya Eden Kabla ya Tunda Kuliwa..........Tafuta Kitabu cha Enock

    • @thomasbwire8800
      @thomasbwire8800 Před 2 lety

      Imani!! Kama unaamini waliumbwa hao wawili na vizazi vikaanzia kwao ndivyo ilivyo,kwahiyo kaini aliondoka na dada yake kuwa mke wake na iliruhusiwa,kwani Seth alioa wapi?Adam alizaa watoto wa kike pia hawakutajwa kama desturi zao na hao ndio walizaa na kaka zao Kwa ndoa za Kwanza na haikuwa dhambi,mpaka bàadaye Sana ndio Mungu alizuia ndugu wa Karibu kuoana,Kwa kusema,na alaaniwe mtu alalaye na umbu lake.........babaye...nk.

    • @thomasbwire8800
      @thomasbwire8800 Před 2 lety +1

      @@annenankozi8297 haya ni masimulizi ya kiyahudi na hayako kibiblia,kwahiyo biblia imfiche Lilith Kwa faida ya nani!!?feminists wengi shujaa wao ni huyo Lilith kwamba alimgomea adamu tendo la ndoa Kwa kudai kwamba yeye na adamu wako Sawa kwani wote wameumbwa Kwa udongo,sasa hao watoto walipatikana vipi bila tendo la ndoa?
      Ukifuata elimu iliyoko hapa duniani ukaacha neno la Mungu linasema nini utapotea na dunia ndio inapotosha ukweli sio biblia,ila wewe kama unaamini Eva ni mke wa pili wa Adam bàada ya talaka Kwa mke wa Kwanza ni juu yako.lakini Mimi naamini Kaini alioa dada yake na ilikuwa kawaida Hadi pale Mungu alipotoa katazo Kumbukumbu la Torati 27:22.

    • @geofrey4403
      @geofrey4403 Před 2 lety +3

      Adam na hawa walikuwa na watoto wawili wa kiume na mabinti kadhaa kaina aliondoka na dadaake akawa mke wake akaenda kuanzisha familia nchi ya mbali

    • @sayukimethod3375
      @sayukimethod3375 Před 2 lety +1

      @@geofrey4403 dada zake walikua wanaitwa kwa majina gan?

  • @AnordyNdunguru
    @AnordyNdunguru Před 9 měsíci

    3:24

  • @fulotweve7370
    @fulotweve7370 Před 2 lety

    Balikiwa mchungaji

  • @eliaskebaki9285
    @eliaskebaki9285 Před 2 lety

    Baba endelea kutuelimisha mtumishi

  • @amossndao574
    @amossndao574 Před rokem

    Simba yanga

  • @tulianyota7040
    @tulianyota7040 Před 2 lety +1

    Ubarikiwe baba sasa kunawanaume wengine wameokoka kweli kuhusu upande wapesa niwafichi . kuliko kumushiri kisha mke anashirikisha mudongo wake hapo unasemaje?

    • @MarriageRealLifeTalk
      @MarriageRealLifeTalk  Před 2 lety +1

      Asante kwa kuendelea kutufuatilia Swali lako litajibiwa kipindi kijacho cha Tarehe 26/4/2022. usikose kufuatilia. wataarifu na wengine ili tuendelee kujifunza pamoja

  • @tpclimitedit88
    @tpclimitedit88 Před 5 měsíci

    Ndiyo

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Před 2 lety +1

    Mafundisho yake yanatia moyo maana ndoa ni ngumu dadek

  • @clarencemaumula6821
    @clarencemaumula6821 Před 2 lety +1

    Add

    • @theresiamateru6426
      @theresiamateru6426 Před 2 lety

      Wanaume wanalala usipomwamsha haendi kanisani kuangalia familia hata chakula mwanamke usipotafuta watoto wanalala njaa

  • @daudisimba9180
    @daudisimba9180 Před 2 lety

    MUNGU HAFANANISHWI NA CHOCHOTE. NUKTA

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka7278 Před 2 lety +1

    🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

  • @Kilakuno
    @Kilakuno Před rokem

    Ubarikiwe san mtumishi wa mungu

  • @gabrielgilba2407
    @gabrielgilba2407 Před 2 lety

    Amina

  • @msafirimfyagichi5942
    @msafirimfyagichi5942 Před 2 lety

    Amen

  • @dororosakapinga9902
    @dororosakapinga9902 Před rokem

    Aminaaa 🙏

  • @vemchannel2018
    @vemchannel2018 Před 2 lety +1

    Ameeen

  • @fortportalbulletgangilonga6817

    Amina

  • @jacklinesimon9915
    @jacklinesimon9915 Před 2 lety

    Amen

  • @melvinnakhungu2504
    @melvinnakhungu2504 Před 2 lety +1

    Amina

  • @emanuelswai7696
    @emanuelswai7696 Před 2 lety

    Amen

  • @jemaaloyce8096
    @jemaaloyce8096 Před 2 lety

    Amen