MCHUNGAJI HANANJA ATOA SOMO KWA BIBI HARUSI WA SIKU MOJA NA BWANA HARUSI NDOA NI VITA KUBWA LAZIMA..

Sdílet
Vložit

Komentáře • 24

  • @marryngaiza2061
    @marryngaiza2061 Před 29 dny +3

    Jamani napendaga maneno ya busara ya huyu mchungaji Hananji, heri yao wapatanishi.

  • @aminahamad3428
    @aminahamad3428 Před měsícem +3

    Yohana usikubali kufeli kenric anataka ufeli lkn usikubali huo ni mtihani kakuletea uyo bwege

  • @JoyceNdunguru-lg1ug
    @JoyceNdunguru-lg1ug Před měsícem +1

    😂😂😂 Kweli kabisa,.Mungu akubariki Mchungaji.

  • @pammymoraamoraa6702
    @pammymoraamoraa6702 Před měsícem +3

    Mchungaji umeogea kama watu milioni ukweli mtupu , mungu awalageze warudiane , means habari kazi is ya kutafuta ushauri kwa wote

  • @NassorKhamis-l6r
    @NassorKhamis-l6r Před měsícem

    Nampenda sana mchungaji Ananja huongea busara na hekma sana

  • @RizikiMakayaShabani
    @RizikiMakayaShabani Před 24 dny

    Mungu akulinda sana baba yangu nakuhelewa sana kbs

  • @عايشهعمان
    @عايشهعمان Před měsícem

    Kabisa umeongea vizuri

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 9 dny

    Mzee hujui mafundisho ya Yesu ktk hiyo alipoletewa mwanamke mzinifu , nikwamba alikuwa anadhihakiwa tu ili atiwe hatiani , walikuwa wanamjaribu ainekane kavunja sheria , Mussa alisema MWANAUME NA MWANAMKE WAZINIFU WAPIGWE MAWE MPAKA WAFE ... lkn hawa waliokuwa wanamjaribu Yesu walimletea MWANAMKE MZINIFU .... akajua hila yao ni kumtia hatiani ndio akawajibu asiye na dhambi awe wa kwanza kumrushia jiwe KWASABABU MWANAMKE HAWEZI KUZINI PEKE YAKE . WANGELETA MWANAMKE NA MWANAUME HAPO WANGEPIGWA MAWE MPK WAFE KAMA SHERIA INAVYOSEMA .
    hata uhalali wa kulipa kodi ilikuwa kumtega tu aingie hatiani lkn akawapangua😂😂😂😂😂 . HIZI MISTARI ZINAMAANA SANA ILA WACHUNGAJI WANAPOTOSHA SANA

  • @PaskaliaTuji
    @PaskaliaTuji Před 22 dny

    Kweli watu wanawtakia mabaya kuwa. Makin yohana

  • @user-vo7so5st8b
    @user-vo7so5st8b Před 28 dny

    Mrudie tuu kwasababu ilikuwa nje ya ndoa

  • @glorykulley4338
    @glorykulley4338 Před 29 dny

    Yohana mrudie mkeo huyo kashajifunza atakuwa bora kuliko yeyote yule tena.

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Před 25 dny

    Heri wapatanishi maana hao wataitwa waana wa Mungu

  • @user-pw2sw1sk1b
    @user-pw2sw1sk1b Před měsícem

    Unavunja ndoa kwa picha za x wangetafakari sna waja.wana visa sana

  • @user-lt6hf4ts3v
    @user-lt6hf4ts3v Před 28 dny

    Kweli jaman miniliwahi kuona mtu anatoa zawadi ya mkuki watu walishanga ems alimrudisha hakutoa

  • @YorandaBonephas
    @YorandaBonephas Před 23 dny

    Ila bibi harusi alivaa sale nabwana wazamani pia wakapiga picha nasiku yandowa alikuwepo kwenye harusi je hapo kuna kuachana hatakama ameolewa?.

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 Před měsícem

    Hakuna ndoa hapo

  • @user-lk3dc3je3i
    @user-lk3dc3je3i Před 25 dny

    Yohana mrudie mke wako ,huyo jamaa alieleta zawadi yapicha aliamua tu kuaribu, Wala huyo mke awezi kuku salit tena

  • @JacqueJoseph
    @JacqueJoseph Před 28 dny

    Naitaji namba yamshungaji anandja

  • @mwanamkeshujaabongoflavama7180

    Kaongea uzuri sana

  • @user-od1et5ii1k
    @user-od1et5ii1k Před měsícem

    Mbona hapo hakuna ndoa use ulikuwa mchezo wa kuigiza tu jamani

  • @JacqueJoseph
    @JacqueJoseph Před 28 dny

    Mnisaaidie namba yake

  • @ShukurMkan
    @ShukurMkan Před měsícem

    Inaumiza baba unakuta mtu ana kazi unapambana mpk mtu anapata arafu anakuacha