#PART

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • #PART 2: "UKIONA MWANAMKE AMECHEPUKA, KUNA MLANGO MWANAUME AMEFUNGUA"- MCHUNGAJI HANANJA |HARD TALK
    KWENYE sehemu ya pili ya HARD TALK ya Mtumishi wa Mungu na Mwandishi wa vitabu nchini Lilian Mwasha amezungumza na Mchungaji Richard Hananja ambaye ameeleza mengi juu ya maisha ya mwanadamu.
    Mchungaji Hananja ameeleza mazito juu ya ushirikina na namna alivyowahi kuchezewa na washirikina bila kumuweza...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 100

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem +5

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE UWE WA KWANZA KUONA:🏾 bit.ly/3MraYdQ

  • @farajashaban1073
    @farajashaban1073 Před rokem +18

    Nakubali na maisha yangu yanakwenda kwa falsafa zake huyu mchungaji ndio mchungaji wangu pendwa pamoja na pastor Mgogo

  • @inviolatamalifa6871
    @inviolatamalifa6871 Před rokem +11

    Hongera kwa tumbo lililokuzaa Baba unatufundisha mengi asante kwako

  • @Bbwaoy
    @Bbwaoy Před rokem +10

    Point hii “ kuna vitu una kufa navyo kama siri yako na Mungu wako”.

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Před rokem +3

    Binafsi nimesikiliza Viongozi wengi wa Dini. Kwa huyu Mchungaji nimemkubali Salute kwake Napenda Sana anavyoelezea mambo mbalimbali kwa ustadi mkubwa. Big up Mchungaji wangu wa Karne hii kwangu mimi.

  • @claramrosso2566
    @claramrosso2566 Před rokem +6

    Jamani sister Lily nakupendaga vipindi vyako vzr na vile ulivyo mrembooo mmwaaaa!

  • @bryfrancis7879
    @bryfrancis7879 Před rokem +11

    Best interview,I enjoyed Big time,Maswali yameulizwa vizuri,most interesting thing there was a gap between Q&A,most interviewers,they always interrupt interviewee,Congrats to You Sis,your level ni ya juu sana

  • @devothamwinyi4288
    @devothamwinyi4288 Před rokem +5

    Dada Lilian nakupenda sana mpaka natamani kusikiliza vipindi vyako muda woooote. Nakupenda na umependeza mpendwa hongera sanaaaaa

  • @biashaqtr-xd2mf
    @biashaqtr-xd2mf Před měsícem

    Mashallah Mwenye Enzi mungu akuzidishie hikma zaidi hivyo busara.

  • @mossesisaack5066
    @mossesisaack5066 Před rokem +2

    Nimejifunza sana dada Lilian kupitia mazungumzo yako na mchungaji Hananja.Mungu awabariki sana

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před rokem +2

    Best interview ever mchungaji umeniua dhambi kabisa mm ndo nifunzwe na baba angu sikuwahi ambiwa niwe Malia Lia ovyo hata nipate magumu vipi Wala kupiga magoti mwiko kabisa mm napigiwa goti na MKE wangu.. na Bible umeandikwa enyi wanawake watiini waume zenu na enyi waume wapendeni wake zenu.

  • @ebenezerchurchsupremetv9490

    Yesu kristo alisema niwaambialo sirini lisemeni nuruni,mlisikialo gizani lihubirini juu ya dari

  • @tonykaribu6705
    @tonykaribu6705 Před rokem +3

    Mchungaji Hananja yuko vizuri kwa Neno

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před rokem +3

    Hiyo ya bange hiyoo nimecheka sana hili linamkuta mchungaji masanja kila kitu ulichapiwa mwanamke

  • @sospeteriganjagabriel7944

    Mch. Hananja, nakukubali sana Baba, hongera pia kwa kipaji cha uelewa wa neno la Mwenyezi Mungu kwa ufasaha katika vifungu husika

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Před rokem +5

    Mchungaji ubarikiwe, umenibariki sana🙏

  • @drsilo
    @drsilo Před rokem +4

    Niliisubiria sannnna huyu jamaa tumtengezee.. Sanamu kariakoo

  • @HappinessGomezulu
    @HappinessGomezulu Před 5 měsíci

    Raha sana kujifunza na Mchungaji hananja Barikiwa sana

  • @pastorvincent9851
    @pastorvincent9851 Před rokem +2

    Mrudishe tafadhali Lilian huyo mzee. Mungu akubariki!

  • @brunomwacha8880
    @brunomwacha8880 Před rokem +7

    Part 3 jaman mzee ana madinii njia inatokaa hii

  • @kazungubinti
    @kazungubinti Před 10 měsíci +1

    Be blessed pastor 🙏🙏

  • @aureliayuktankabebwa5066

    Nimependa sana hii conversation🙏🏾,MUNGU atusaidie.Dada Lily your so Blessed🙏🏾

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před rokem +1

    Mahojiano ya
    G Hando
    S.Jabir
    L Mwasha
    Ndo Mahojiano Mazuri mno wanajua jinsi ya kuuliza Maswali ya Kujenga..
    Big up sana Kwenu

  • @annalyamuya3160
    @annalyamuya3160 Před rokem +2

    huyu mzee ana hekima sana

  • @timothmatiku6115
    @timothmatiku6115 Před měsícem

    Naamini hii sio dira ya maendeleo 2050. Naamini hawa sio designer wa nchi. Mwezeshe mwanaume.

  • @user-exauceimani
    @user-exauceimani Před 9 měsíci

    u barikiwe sana mchungaji na dada mtangazaji

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před rokem +1

    Huyu ni mchungaji kweli Kila anacho ongea anatoka reference ya vifungu kwenye bible

  • @AzaelNdoliki
    @AzaelNdoliki Před měsícem

    Hatalii sana uko poa sana

  • @muhsinirasuli2473
    @muhsinirasuli2473 Před rokem +2

    Asante sana Mchungaji umeeleweka sana

  • @kulwamigo9127
    @kulwamigo9127 Před rokem +1

    Ahsante,nimejifunza!

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 Před rokem +6

    🤣🤣🤣 Lilian congratulations maswali mazuri sana majibu mazuri sana.

  • @user-ho4lh9yk7h
    @user-ho4lh9yk7h Před 6 měsíci

    Amen

  • @susancharles1660
    @susancharles1660 Před 9 měsíci

    Huyu mchungaji nimempenda 😊

  • @MAGOHABENEDICTOTv
    @MAGOHABENEDICTOTv Před rokem +4

    AMEN pastor

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před rokem +3

    Uko sahihi mzee

  • @irakozegracia183
    @irakozegracia183 Před rokem +2

    👏👏👏👏Mubarikiwe Na Mungu

  • @yuathmtenzi2114
    @yuathmtenzi2114 Před rokem +2

    Shukrani hard talk

  • @kapelotz9967
    @kapelotz9967 Před rokem

    Uyu ndie mchungaji anae ijua kazi yake

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n Před 3 měsíci

    madini juu ya madini

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Před 26 dny

    Nakukubali mchungaji nakufatilia nikiwa dubai 😂😂😂😂

  • @laurentnkoko9122
    @laurentnkoko9122 Před rokem

    Nikweli kabisa mchungaji

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 Před rokem +2

    Beautiful Lilian 😍

  • @rasheedford241
    @rasheedford241 Před rokem +1

    God bless u all❤❤ good interview ever

  • @lovenesslukas5360
    @lovenesslukas5360 Před rokem +2

    Baba kama baba

  • @annamulungu2876
    @annamulungu2876 Před rokem +5

    Ila baba, usisahau kwamba kama mume ni MC kwa mfano anaweza tu kurudi saa nane usiku nyumbani na nikampokea kwa amani.

  • @smartboythefighter9256
    @smartboythefighter9256 Před rokem +1

    This is really interview

  • @sarahwawuda5164
    @sarahwawuda5164 Před rokem +7

    🤣🤣🤣🤣mchungaji msema kweli huku wanivunja mbavu mie

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Před rokem

    Jamani hananja anaakili sana

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Před rokem +1

    Kweli kabisa mchungaji Namkumbuka Mwalimu wetu toka Goshen University College Marekani Dr Norman Cloud aliwahi kutufundisha juu ya "Ukweli umizao", Kwamba sio kila ukweli husemwa hadhalani ukweli mwingine hubakizwa kuepusha shali.,hii ndiyo hekima,"Sema kweli tupu lakini usiseme yote" Magumu tubu katika chumba chako cha siri wewe na Mungu wako ili usilete farakano kanisani au katika jamii unayoishi.Mepesi yasiyo kwaza tubu hadhalani au kwa yule uliyemkosea. Hii ndiyo busara ya ki-Mungu.

  • @halfankipande9903
    @halfankipande9903 Před měsícem

    Ongera xn mchungaji hananja

  • @WTC492
    @WTC492 Před rokem +1

    Lilian nakupenda

  • @joshuamariki3798
    @joshuamariki3798 Před rokem

    Good job

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Před rokem

    Safi Pastor

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Před rokem +6

    Wanaume gani hao wanaobeba maswali sijui majibu ya uchumi na wako busy kutafuta wanawake wenye kipato kukwepa majukumu

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Před rokem

      Cyo hao sasa waliotengenezwa na mungu

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před rokem

      @@vickydan2869 so wameumbwa na nani. Wameumbwa na Mungu Ila wamekengeika na ndio wapo.

    • @MujuniKamugisha
      @MujuniKamugisha Před 5 měsíci

      ​@@sarahgaula2220bakhresa mo dewji ,gsm,msukuma,kishimba,
      David mlokozi ,

  • @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
    @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny Před 8 měsíci

    Amazing 😂😂😂😂

  • @richardrwechungura2798

    Umepiga mwingi @Lilian junkets Mchungaji

  • @jenipherj2456
    @jenipherj2456 Před rokem +3

    dada Llilian aki hakuna intrview umewahi kufanya ukacheka kama hii😀😀😀

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 Před rokem +3

    😂😂😂😂Dada kwa huyo mpakwa mafuta utacheka hadi ujambe, yaani huyu mzee wallah unajivunia mbele za watu, Mungu akuweke Mchungaji

  • @neemaburetha8011
    @neemaburetha8011 Před 11 měsíci +1

    Mtumishi wa MUNGU Lilian mwasha nina shida na wewentakupajez?

  • @benardwankoka3447
    @benardwankoka3447 Před rokem

    Hahaaa unanibariki sana

  • @unjuinkuganda1991
    @unjuinkuganda1991 Před rokem

    MY G

  • @mariasmith4301
    @mariasmith4301 Před rokem

    Ameeen nimekuelewa Mchungaji, Asanteee 😂😂😂😂😂

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 Před rokem +7

    Huyu mzee biblia yote ipo kichwani, kifungu kwa kifungu, yaani yakiandaliwa mashindano pengine hata Africa yupo peke yake

  • @rachelnadeau3484
    @rachelnadeau3484 Před rokem +1

    Nimecheka hiyo 😄👆

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 Před rokem +2

    Kuwa mwanaume ni neema mwanaume unatakiwa kuwa mwanaume hao wanao piga magoti ni wavulana sio wanaume

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před rokem

      Kupiga magoti ni mavitu wakipuuzi tu ambayo juzi juzi tu tumeangalia kwenye tv leo tunaiga nakujifanya tunalia, siamini miaka 20 iliyopita kuna mtz alipiga magoti kumvisha mtu pete, tunakurupuka mnoo kuiga vitu ambavyo hata hatujui yalipotokea

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 Před rokem +1

    HII SIO HARD TALK......TUSIHARIBU MAANA......HAYA NI MAZUNGUMZO TENA YA KAWAIDA SANA....

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před rokem

    Pilipili alilia

  • @tausinguvuyamaombi3879
    @tausinguvuyamaombi3879 Před rokem +1

    Hahahaaa!nyumba kama studio?

  • @Bless-b.DL-babyofficial8769

    Please one day bring afande sele for the next interview

  • @vivianbampikya4484
    @vivianbampikya4484 Před rokem +1

    Tutasimama wote aise...kwani magoti lazima?

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před rokem +3

    Huyu mtumishi nimemkubali kabisa, yuko vizuri kuliko hao matapeli wengine wa injili. Party tafadhali.

  • @yeslord2276
    @yeslord2276 Před rokem +3

    🤣🤣🤣🤣uwiiiii nacheka vibaya mno

  • @user-rf8gp4ec6d
    @user-rf8gp4ec6d Před 9 měsíci +1

    Mtu wangu 🇺🇸🇺🇸🇺🇸 nakuitaji tena 😂😂😂😂😂😂

  • @tumkithemr933
    @tumkithemr933 Před rokem +1

    Huyu mzee namkubali saana ananitia nguvu ktk mapambano yangu! Huyu ni miongon mwa wanamapinduz na falsafa za mabadiriko ktk mbongo yangu asseeee!! Well

    • @issayasosolo6033
      @issayasosolo6033 Před rokem

      Kabisa huwà haliwataki watumiaji wanao toa afundisho ya namna hii! Wanataka wachungaji wanao hubiri habari za sadaka Basi mengine utajijuwa mwenyewe, Ya kijitonyama alijitokeza mchungaji Kama huyu wakamliba barua Ila nguvu ya waumini ikafanya Kazi yake,

  • @zachariagutawemo1291
    @zachariagutawemo1291 Před 6 měsíci

    Dad iz Helen vp😂

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před rokem

    Dah bange hilo kila kitu bange kkkk

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před rokem

    Kkkkkmjiskie watoto wa mwaka elf2 wahaki sawa mwanaume anapiga goti mwanamke kaa juu yakiti...ndio mana ndo nyingi mnaendeshwa kwa hiyo ukitaka kuishi kaulize kwa waisalam kwann mwanaume akishagmfunha ndoa muda wakwanza kumsomea dua mkewa kwann hukanyaga miguu wa mwanamke namuwekea mikononkichwa

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Před rokem

    Matonge semi trailer😂😂😂😂😂

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před rokem +1

    Kitabu kinaitwa Darling what?? Sikuelewa kabisa

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 Před rokem

    Wanaopiga magoti niwajinga

  • @NtanunuraWillsonBaru
    @NtanunuraWillsonBaru Před rokem

    Hizo ni tamaduni za west wanaume wanabebeleza kwanza hawatoi mahali na mwanamke anakuwa na wa chumba zaidi ya mmoja ana pesa ana nyumba na usafiri kila kitu. Ndio maana miji dume unapiga magoti kwani kuna jitu limebunda. Ukimucha yupo pembeni anaendeleza.

  • @MyMercy84
    @MyMercy84 Před rokem +1

    Maoni yangu ni kwamba, uhuru wa mtu ni wake, akijisikia kumpigia goti sawa, akijisikia kulia sawa maana wapenzi watazamaji hawajui wametoka naye wapi na kwann machozi yanamtoka... Kha

    • @tuzopeter8132
      @tuzopeter8132 Před rokem +1

      Niko na wewe....!

    • @gospelamani1968
      @gospelamani1968 Před rokem

      Hili swala la uhuru ndio changamoto inayotutesa mpaka sasa.kwamaana hiyo uhuru wa mtu kuwa shoga ni sawa?
      Ebu tusimame kwenye misingi ya kimungu.
      Kwaiyo swala la uhuru sio sahii

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem +1

    Ukioa malaya ni lazima achepuke tu

  • @rennyleo4874
    @rennyleo4874 Před rokem

    Mc pilipili alilia