Women Matters: Ukikuta SMS kwenye simu ya MUMEO inasema I Love You' toka kwa mwanamke, UTAFANYAJE?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 06. 2019
  • PART TWO
    Simu ni kifaa kinachochangia kwa kiasi kikubwa kuvunja mahusiano. Lakini, unapokuta ujumbe kwenye simu ya mumeo/mpenzi wako toka kwa mwanamke ikisema 'I Love You' utafanyaje?
    Lillian Mwasha anautafuta ukweli toka kwa magwiji wa Psychology na Mahusiano, Dr. Chris Mauki wa UDSM, Dr Ellie Vd Waminian pamoja na Aunty Sadaka.
    #WomenMatters
  • Zábava

Komentáře • 406

  • @happymwanjela9409
    @happymwanjela9409 Před 5 lety +126

    Dada Lilian umenichekesha sanaaa🤗🤗😘👌👌 hakika kipindi kizuri sanaaa hakuna mfanoo👏👏💞🙌👍🌸🌸Dr.Elie,Dr. Chris mauki, Aunt Sadaka😘 like hapa kama unawakubali hawa wanasaikojia👍

    • @gloryemmanuel7884
      @gloryemmanuel7884 Před 4 lety

      Nimewakubali Sana Hawa watu

    • @luthimunuo8838
      @luthimunuo8838 Před 3 lety +1

      Kipndi hiki Ni kizuri sana.na kina umuhimu Sana kwa mtu anaependa kujifungua kitu.tatizo mnatumia kiingereza zaidi kuliko kiswahili.wengi kiingereza hatukelewi.hivyo naombeni kiswahili kitumike zaidi .na hiii itahamasisha zaidi🙏🙏🙏🙏

  • @soamesphares
    @soamesphares Před 5 lety +69

    Nashindwa kuamini kama kuna Watanzania wenye madini kiasi hiki vichwani mwao halafu vijana wa kizazi chetu ndoa zinatusumbua kiasi hiki.!!! Mnafanya kazi nzuri sana; msichoke.

    • @fatmakiruwasha2378
      @fatmakiruwasha2378 Před 4 lety +2

      Ujuwe nn wengi wameelemea kwenye muziki ndiyo maana watu km Hawa wapo washeshe sana

    • @agnessvincent1736
      @agnessvincent1736 Před 3 lety +2

      I also appreciate.wanafanya kazi nzuri mno

    • @msetikebwasi6895
      @msetikebwasi6895 Před 3 lety +2

      Huyu dr.elvid wa Amilian huwa ni hatari sana ukimfuatilia.

    • @user-nf5zx3je1l
      @user-nf5zx3je1l Před rokem +1

      Mdogo wangu leo nimelishwa sana madini

    • @salimalaquimane3077
      @salimalaquimane3077 Před rokem

      Weng kwenye mitandao wana acha kufuatilia vitu vya maana wengi wapo na udaku na v2 visivyo vya maana

  • @mohamedshaaban3297
    @mohamedshaaban3297 Před 5 lety +110

    Uyu Dr Ellie Km Hauna Akili Huwezi Kumuelewa. Jamaa Yuko Deep Kinyamaa.

  • @mariaalsaid3690
    @mariaalsaid3690 Před 3 lety +7

    Dr Ellie is an extraordinary educated person. He really knows what he is talking.

  • @gloriousn6425
    @gloriousn6425 Před 5 lety +63

    Dr Ellie’s school of thought siyo ya nchi hii(if y’all know what I mean)
    👌👌👌👌😊

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 Před 5 lety +29

    Aunty sadaka you sound soo romantic

  • @_meckmill2
    @_meckmill2 Před měsícem +1

    Bando la vijana wa makamo kuishia kwenye vitu positive like this, i sense tutakua na familia stable to the future! Much appreciated to Dr Elly, Dr Chris and Aunty Sadaka if you understand them

  • @prophetess_jblessings
    @prophetess_jblessings Před 5 lety +10

    Dr,Ellie i salute you.

  • @happyrichards319
    @happyrichards319 Před 4 lety +2

    Huyu Dr Elly sijui ameshuka from heaven??? Wooi this guy ni next level.. Ana akili vby mno.. I can imagine huyo mke wake.... Inabd umsikilize ukiwa sober na usiwe interrupted.. The guy is toooooo deep...... 👌👌👌

  • @ahmedamalj9660
    @ahmedamalj9660 Před 5 lety +19

    I am such a big fan.. All the way from Belgium..

  • @mickdadsaid2326
    @mickdadsaid2326 Před 5 lety +34

    😂😂😂😂😂 uyu jamaa anajibu maswali magum sana kwa lugha laisi sna...... nimependa sna.

  • @antonadam4231
    @antonadam4231 Před 5 lety +2

    mambo haya ni beneficial ktk maisha ya kila siku ni ktk mahusiano tu, thanks Dr. Elie

  • @ychimile
    @ychimile Před 5 lety +24

    Dr Elie... ur taking me to another universe of thinking...ure very philosophical

    • @georginapaul5013
      @georginapaul5013 Před 5 lety

      mimi naangalia matamshi hapa kwa Dr Ellie.kinge jamani kinge kwa madaha kabisa

  • @husnakh5136
    @husnakh5136 Před 3 lety +1

    Mi najifunza sana...
    Ahsanteni
    Dah ! Doctor Ellie , Doctor Chris be blessed !

  • @mytelecom2019
    @mytelecom2019 Před 5 lety +28

    MWANAMKE MWILI WAKE NI NYUMBA MWANAUME NI MPANGAJI. Asante DR

  • @maryamibrahimsaid1412
    @maryamibrahimsaid1412 Před 5 lety +14

    I wish lily would be quiet for a second and let the good doctor finish his explanations and also not interrupt and finish his words for him. With all due respect of course.

    • @ancillabura1457
      @ancillabura1457 Před 4 lety

      She is annoying one ever seen. Not even respect herself

    • @Aggrey_Nkololo
      @Aggrey_Nkololo Před 4 měsíci

      I was scrolling looking to find this comment. She is interrupting too much, but I'm so glad the good doctor knows how to get back to the lane

  • @saidhassan3967
    @saidhassan3967 Před 5 lety +5

    Dr Ellie ur the great phyilosophy doctor

  • @apostleemmanuelmabuga8148

    Plz guys Lil just give enough time to Dr Elie coz the guy is having alot of things for us to learn from Him plz plz plz guys give enough time to Dr Elie and Dr Mauki

  • @lysabantu8271
    @lysabantu8271 Před 5 lety +7

    Dr. Elie and Dr. Chris are very deep. I like the way you break down a point. I wish you did a lot more shows. Auntie Sadaka you are amazing. I like this platform. Very eye opening.

  • @queeneva3709
    @queeneva3709 Před 5 lety +8

    Nimecheka mie yaani after 4min unatakiwa umkumbushe mkeo you love her and she is alone whom make your heart beat........😍😍😍😍😍😍😘😘😘

  • @aliyambarak5024
    @aliyambarak5024 Před 5 lety +1

    Salute to you Dr Ellie, na wote mulio endesha kipindi hiki.

  • @paulinamloka2817
    @paulinamloka2817 Před 5 lety +1

    Dr Elie is soo wise... Asante Daktari

  • @zuricakes6817
    @zuricakes6817 Před 5 lety +5

    Powerful discussion 👌🏾

  • @jayma1537
    @jayma1537 Před 5 lety +2

    Thanks our legends Dr ellie and dr Chriss

  • @moonpatienceongara5607
    @moonpatienceongara5607 Před 5 lety +18

    Dr. Ellie kuna kitu ulianza kusema kuwa mapenzi mengi yanatuumiza sisi wanawake kwasababu hatuanzi na msingi mzuri. Mtu amekuja kupita sisi tunang'ang'ania mahusiano mwishowe tunaumizwa.

  • @najma3268
    @najma3268 Před 5 lety +11

    Vingi nilikua cjui kwakweli ,mmenifungua kwakweli , asanteni kwakweli

  • @ryneblm1378
    @ryneblm1378 Před 5 lety +3

    Nawapend sana jamani haswa auntsadaka en Dada sky mnanitoa sehem moja kwenda sehem nyengine, Mungu awabariki

  • @nadiakabamba7373
    @nadiakabamba7373 Před 5 lety +2

    Kwakweli muna okowa ndowa nyingi sana basi mungu awabariki sana 👌👌

  • @mayacel1391
    @mayacel1391 Před 5 lety +13

    Love this shout out to to lily,Aunt Sadat's,Dr Elly and finally Chris loving everything.God bless u guys we r learning slot from u guys.nawapenda nyote.

  • @jessymalembeka6181
    @jessymalembeka6181 Před 5 lety +4

    Lili safi sana! Kwa maswali yanatufanya tuelewe vizuriiii

  • @T1tanGamingCsgoMore
    @T1tanGamingCsgoMore Před 5 lety +9

    First time i heard this and really opening mind. Thank you very much for making me understand what's the meaning and different between man and woman.

  • @joventmushwaimi3681
    @joventmushwaimi3681 Před 5 lety +1

    Great Dk Elly Mungu akubariki

  • @shirondungu2639
    @shirondungu2639 Před 5 lety +5

    very informative discussion! a lot of explanation from the doc makes a lot of sense....

  • @williamngogo5528
    @williamngogo5528 Před 5 lety

    Dr Elly umetisha sana

  • @veronicajonathan6941
    @veronicajonathan6941 Před 5 lety

    thank you so much guys..

  • @angellymwasse5689
    @angellymwasse5689 Před 5 lety

    Nimejifunza ktu Leo... Asanten sana

  • @dativakyaruzi8769
    @dativakyaruzi8769 Před 5 lety +1

    Nazidi kuwapenda sana,nikweli mtupu hasa mazungumzo yenu kuhusu mambo yacm ya mwenzio,love uuuu mwaaa,wataalam wako sahihi kabisa, nainawezekana kabisa kuishi kama wanavoshauri namambo yanakuwa mwakeee

  • @dr.mialanotanganyika4401
    @dr.mialanotanganyika4401 Před 5 lety +1

    This is so powerful I just learn lot of things from you, I can suggest if you can write a book so that people can buy and have in their house to help tackle family problems. Doctor has emphasis some good points, like love being an ability that many people know as feeling. congratulations for doing such wonderful job that most people who want to get into marriage and those are in marriage will learn lot of things. From Australia much love and respect

  • @mbosothankyouilikeyoursong9850

    Pardo doctor yooo ozali mutu ya congo ki swaili nayo ezali lokola ba congo tika na yeba doctor merciii mingi 😘

  • @maggymm7302
    @maggymm7302 Před 5 lety +6

    This dr.Elly jmn...his voice n composure poster yke. 👌 thanks for defining n helps me understand love.. upendo sio hisia ni uwezo.

  • @stemcellstc30superlife77
    @stemcellstc30superlife77 Před 5 lety +2

    So much to learn from you. Big up🙌

  • @doreenchiragwile3424
    @doreenchiragwile3424 Před 4 lety

    Waoooi Dr. Ellie Yuko vizuri

  • @user-xd1qs1qn6t
    @user-xd1qs1qn6t Před 4 lety

    Asanteni sana nawapenda sana munaerimisha jami

  • @sophiapeter5552
    @sophiapeter5552 Před 4 lety

    Dk Ellie nakuelewa sana.kila ninapokusikiliza unaniongeza jambo ktk maisha.ubarikiwe sn.

  • @mariaalsaid3690
    @mariaalsaid3690 Před 3 lety +1

    Nimependa sana sana session ya leo. Ni me enjoy sana talk ya Uyo Dr. MashAllah

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed9939 Před 5 lety +29

    Lili tulia aisee unakatisha sana mada unadakia mada juu kwa juu, tulia mada wamalizie waongee ndipo uongee

  • @ansheerachi6197
    @ansheerachi6197 Před 5 lety

    Asante nimejifunza bingi

  • @rittaaziz4470
    @rittaaziz4470 Před rokem +1

    I LOOOOVE THIS TEAM TOGETHER JAMANI. I LISTEN TO YOU 4 SANA. SANA. I LEARN SANA NA...NACHEKA SANA.

  • @jennifermlyakalam5000
    @jennifermlyakalam5000 Před 5 lety +3

    Aisee am looking for this Dr

  • @mariaalsaid3690
    @mariaalsaid3690 Před 3 lety

    Profound discussion

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 Před 3 lety

    Asante sana

  • @leilaabdul8597
    @leilaabdul8597 Před 5 lety +2

    I love you Dr Ellie 😍😍😍

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Před 5 lety +25

    Kumbe ndo ivyo baada ya dk 4 tunauliza do you love me? Apo ndo nimeelewa nilijua ni kwang tu maan napenda sana kuuliza

    • @imamaliridhwa1884
      @imamaliridhwa1884 Před 5 lety

      Hahaha

    • @mariamkaaya214
      @mariamkaaya214 Před 5 lety +2

      lilian jeremia hata Mimi mpaka anachokaga anajibu sikupendi basi

    • @ednafiloteus5216
      @ednafiloteus5216 Před 5 lety

      Mariam Kaaya pamoja sana mimi ndo bas tena hata hanijibu tena he tell me that,, 'let me act up on u'

  • @marthaallen1164
    @marthaallen1164 Před 5 lety +2

    😍😍😍😍 thank yuu much much dr elly !!!dr chriss

  • @christinenassary2043
    @christinenassary2043 Před 4 lety

    So powerful.

  • @neemalkiswaga6126
    @neemalkiswaga6126 Před 5 lety

    Asanteh

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 Před 5 lety

    DR ELLY 🙌

  • @OmanOman-fu8xy
    @OmanOman-fu8xy Před 5 lety +1

    Asante 😍😍

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 Před 5 lety +2

    So nice maongez mashallah

  • @kamilamwitondwa8095
    @kamilamwitondwa8095 Před 4 lety +1

    Jamani hii vedio has made my day nimeipenda sana.

  • @anithakazaula9596
    @anithakazaula9596 Před 5 lety +11

    Tena simu za wanaume zinatufanya tuzishike coz mtu simu ina ma password hadi kwenye calls ... wanaume ni wazinzi by nature hata ufanye nn hawaridhiki jaman

    • @chichasam9032
      @chichasam9032 Před 4 lety

      Tuliaaaa ww

    • @hadijasalum6373
      @hadijasalum6373 Před 4 lety

      😁😁😁

    • @rosenaadolfu3259
      @rosenaadolfu3259 Před 3 lety +4

      Yani tena Mungu angeamua tu adhihirishi kati ya mwanamke na mwanaume ni akina nani malaya au wazinifu hakika wanaume wangeongoza coz mwanamke akisha olewa kuchepuka ni vigumu sana labda kuna shida ndani humo ila mwanaume hata umbebe na umbeleko wa chuma aise atakusaliti tu. Sijui ni laana gani waliyoachiwa na Mungu.

  • @PRAYAGAIN
    @PRAYAGAIN Před 5 lety +41

    Please tupate na clips fupifupi zenye kuongelea Jambo moja, mfano mda doctor Elly anaongea kuhusu love... Yeni clips zilizobeba maana inayojitegemea ziwekwe CZcams Kwaajili ya notes😂🙏

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  Před 5 lety +2

      Asante sana kwa ushauri Zena

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 5 lety +1

      @@SimuliziNaSauti dr ellie for lifetime talking taf.

    • @bahatikashinje5557
      @bahatikashinje5557 Před 4 lety

      Angalia clip za kipindi alikua kipindi cha chomoza maada ukweli wa maisha kuanzia sehem ya 31

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 Před 5 lety +4

    Huwa si commente ila napitwa vipindi vidogo sanaaa kwenye chanelle hii
    Tnx SNS kila siku tunakuwaaaaaaaaaa😍😍😍😍

  • @marystephen1183
    @marystephen1183 Před 5 lety +4

    mwanamke ni ardhi mwanaume ni anga huhuhuhu Dr Ellie Uwekwe na Mungu aisee...wote mko vzr jaman

  • @allykassim9826
    @allykassim9826 Před 5 lety +1

    Thx SnS..... Kuna watu wanajua bwana

  • @happinessngassa4864
    @happinessngassa4864 Před 5 lety

    Dr Elly napenda kukusikiliza mnooo barikiwa sana

    • @dn.n4983
      @dn.n4983 Před 5 lety +1

      Somo nzuri kuvumiliana maana utapata kodi nyumba itakuwa balaa mjini hapa hawamu tano sio mchezo mchezo

  • @makaaya_3449
    @makaaya_3449 Před 4 lety

    dr elly nimekuelewa sana

  • @devothaemmanuel1145
    @devothaemmanuel1145 Před 5 lety +3

    mr elly nimekuelewa👌

  • @jawakwibe4495
    @jawakwibe4495 Před 4 lety

    Mashauri mazuri sana

  • @cecyliakuguru6493
    @cecyliakuguru6493 Před 5 lety +4

    Mmmh kipindi kizuri sana, huyu Dr ellie jamani ahsante sana ila ukiwa, muite tena lilian huyu Dr ellie

  • @moonpatienceongara5607

    Dr. Chris na Dr. Ellie nimewaelewa sana

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto7212 Před rokem

    Dr Ellie? Mungu akubariki baba!

  • @queenlatiphamushi9554
    @queenlatiphamushi9554 Před 5 lety

    Nimesikia... well said

  • @SAMISAI.
    @SAMISAI. Před 5 měsíci

    Dr. elie is something else

  • @sadaali3207
    @sadaali3207 Před 5 lety +1

    I love what u r doing

  • @chimamychimychimamy8482

    Love this imeniinua kiakili

  • @irenecharles4248
    @irenecharles4248 Před 4 lety +1

    I real appreciate

  • @jainaboman8952
    @jainaboman8952 Před 5 lety +4

    Mashallah nimewapenda sana nimejifunza wenyenyumba mpooooo😘😘

    • @neysaleo6605
      @neysaleo6605 Před 5 lety

      Jainab Oman 😚😚😚😍

    • @faridadeus8288
      @faridadeus8288 Před 4 lety

      Jainab Oman hahahahahha una matatzo si bure wallah😂😂😂😂😂

    • @faridadeus8288
      @faridadeus8288 Před 4 lety

      Jainab Oman hahahahahha una matatzo si bure wallah😂😂😂😂😂

  • @sarahwanjala6601
    @sarahwanjala6601 Před 5 lety +1

    Kweli nimepata kujuwa sana 💪👌

  • @ashuraussein7582
    @ashuraussein7582 Před 5 lety

    Nawapnda sana💞nainjoy bala

  • @user-yy8sd9ib5b
    @user-yy8sd9ib5b Před 3 měsíci

    🎉🎉 bg ap man somo zurrrr kinouma

  • @user-qe4sg2qb9o
    @user-qe4sg2qb9o Před 4 měsíci

    Such a deep conversations 🎉

  • @angiengoti4954
    @angiengoti4954 Před 4 lety

    Kipindi ni kizuri mnooo nimejifunza a lot big up.

  • @sadahgullam8228
    @sadahgullam8228 Před 4 lety +2

    Jamani mwenyezi mungu anisaidie niweze kunyamaza navokutana na jambo jamani uwiiiii

  • @mariaalsaid3690
    @mariaalsaid3690 Před 3 lety +4

    Dr. Ellie has a website? I would love to learn more. He is such an amazing speaker

  • @davidawet3214
    @davidawet3214 Před 7 měsíci

    Asante

  • @nelsonmataba1426
    @nelsonmataba1426 Před 5 lety

    Naenjoy sanaa 😍

  • @zaynabkalombi1579
    @zaynabkalombi1579 Před 4 lety

    Asante aunt sadaka hapo kwa mume wangu akiambiwa I lv u

  • @kamandab7976
    @kamandab7976 Před 5 lety +1

    Doctor nimemfata vizuri sana na nimependa somo ili ila naswali nasija muelewa apo aliposema manaume mategemee wanawake asilimia kubwa anamaana gani na maandiko kutoka wapi ayo 🤔#SNS #women matters #Simulizi na Sauti #Doctor

  • @dayanasiwale8170
    @dayanasiwale8170 Před 4 lety

    Kipindi kizuri Sana mungu awabariki

  • @gracenkanwa1781
    @gracenkanwa1781 Před 4 lety

    Jmniii Mungu awabariki hawa dr mauki na elly

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 Před 5 měsíci

    Dr Chris umeongea vyema saana

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 Před 4 lety

    Dr elly una akil nyng sana

  • @julianakamese5268
    @julianakamese5268 Před 2 lety

    Good job❤️❤️

  • @thomasmugenyi4623
    @thomasmugenyi4623 Před 4 lety

    Very deep

  • @linahleonard3945
    @linahleonard3945 Před 5 lety

    Hichi kipindi ni kiboko yao! Big up guys you are doing so good

  • @dianamalingumu4516
    @dianamalingumu4516 Před 5 lety +1

    nimewaelewa 💞🔥🔥

  • @fefedordjuma7093
    @fefedordjuma7093 Před 5 lety +3

    ❤❤❤❤ nakosa la kusema 😢😢

  • @johnmanase2874
    @johnmanase2874 Před 5 lety

    Full of facts..tusisumbuane sasa maana wanatupa stress bure

  • @annaphilemon852
    @annaphilemon852 Před 2 lety

    I love dr Ely