Women Matters: Ukikuta SMS kwenye simu ya MUMEO inasema I Love You' toka kwa mwanamke, UTAFANYAJE?
Vložit
- čas přidán 25. 06. 2019
- PART TWO
Simu ni kifaa kinachochangia kwa kiasi kikubwa kuvunja mahusiano. Lakini, unapokuta ujumbe kwenye simu ya mumeo/mpenzi wako toka kwa mwanamke ikisema 'I Love You' utafanyaje?
Lillian Mwasha anautafuta ukweli toka kwa magwiji wa Psychology na Mahusiano, Dr. Chris Mauki wa UDSM, Dr Ellie Vd Waminian pamoja na Aunty Sadaka.
#WomenMatters - Zábava
Dada Lilian umenichekesha sanaaa🤗🤗😘👌👌 hakika kipindi kizuri sanaaa hakuna mfanoo👏👏💞🙌👍🌸🌸Dr.Elie,Dr. Chris mauki, Aunt Sadaka😘 like hapa kama unawakubali hawa wanasaikojia👍
Nimewakubali Sana Hawa watu
Kipndi hiki Ni kizuri sana.na kina umuhimu Sana kwa mtu anaependa kujifungua kitu.tatizo mnatumia kiingereza zaidi kuliko kiswahili.wengi kiingereza hatukelewi.hivyo naombeni kiswahili kitumike zaidi .na hiii itahamasisha zaidi🙏🙏🙏🙏
Nashindwa kuamini kama kuna Watanzania wenye madini kiasi hiki vichwani mwao halafu vijana wa kizazi chetu ndoa zinatusumbua kiasi hiki.!!! Mnafanya kazi nzuri sana; msichoke.
Ujuwe nn wengi wameelemea kwenye muziki ndiyo maana watu km Hawa wapo washeshe sana
I also appreciate.wanafanya kazi nzuri mno
Huyu dr.elvid wa Amilian huwa ni hatari sana ukimfuatilia.
Mdogo wangu leo nimelishwa sana madini
Weng kwenye mitandao wana acha kufuatilia vitu vya maana wengi wapo na udaku na v2 visivyo vya maana
Uyu Dr Ellie Km Hauna Akili Huwezi Kumuelewa. Jamaa Yuko Deep Kinyamaa.
😂😂😂😂😂🙌☝☝
Hahaha
Jamaa anatisha,inabidi uwe makini kumsikiliza ili umuelewe
Deep mno.. Ana akili balaa..
Ndugu wewe acha tuu Mara yakwanza sikuwa namwelewa kbsa ila kwasasa Duuu namwelewa mnooo🥰🥰🥰😘😘
Dr Ellie is an extraordinary educated person. He really knows what he is talking.
Dr Ellie’s school of thought siyo ya nchi hii(if y’all know what I mean)
👌👌👌👌😊
Yaaan he speaks wth senses ths guy..👌👌
Very deep deep deep!!!
Aunty sadaka you sound soo romantic
Bando la vijana wa makamo kuishia kwenye vitu positive like this, i sense tutakua na familia stable to the future! Much appreciated to Dr Elly, Dr Chris and Aunty Sadaka if you understand them
Dr,Ellie i salute you.
Huyu Dr Elly sijui ameshuka from heaven??? Wooi this guy ni next level.. Ana akili vby mno.. I can imagine huyo mke wake.... Inabd umsikilize ukiwa sober na usiwe interrupted.. The guy is toooooo deep...... 👌👌👌
I am such a big fan.. All the way from Belgium..
😂😂😂😂😂 uyu jamaa anajibu maswali magum sana kwa lugha laisi sna...... nimependa sna.
mambo haya ni beneficial ktk maisha ya kila siku ni ktk mahusiano tu, thanks Dr. Elie
Dr Elie... ur taking me to another universe of thinking...ure very philosophical
mimi naangalia matamshi hapa kwa Dr Ellie.kinge jamani kinge kwa madaha kabisa
Mi najifunza sana...
Ahsanteni
Dah ! Doctor Ellie , Doctor Chris be blessed !
MWANAMKE MWILI WAKE NI NYUMBA MWANAUME NI MPANGAJI. Asante DR
Ndo ivyo
The MVP
Umeonaee, PATAMU HAPO🤪🤪🤪
The MVP
@@lilianjeremia1024 aya nimekubali klee
@@RamazaniMulongeca zaidi ya utamu broo
I wish lily would be quiet for a second and let the good doctor finish his explanations and also not interrupt and finish his words for him. With all due respect of course.
She is annoying one ever seen. Not even respect herself
I was scrolling looking to find this comment. She is interrupting too much, but I'm so glad the good doctor knows how to get back to the lane
Dr Ellie ur the great phyilosophy doctor
Plz guys Lil just give enough time to Dr Elie coz the guy is having alot of things for us to learn from Him plz plz plz guys give enough time to Dr Elie and Dr Mauki
Dr. Elie and Dr. Chris are very deep. I like the way you break down a point. I wish you did a lot more shows. Auntie Sadaka you are amazing. I like this platform. Very eye opening.
Nimecheka mie yaani after 4min unatakiwa umkumbushe mkeo you love her and she is alone whom make your heart beat........😍😍😍😍😍😍😘😘😘
Noma sana
Salute to you Dr Ellie, na wote mulio endesha kipindi hiki.
Dr Elie is soo wise... Asante Daktari
Powerful discussion 👌🏾
Thanks our legends Dr ellie and dr Chriss
Dr. Ellie kuna kitu ulianza kusema kuwa mapenzi mengi yanatuumiza sisi wanawake kwasababu hatuanzi na msingi mzuri. Mtu amekuja kupita sisi tunang'ang'ania mahusiano mwishowe tunaumizwa.
?!
Vingi nilikua cjui kwakweli ,mmenifungua kwakweli , asanteni kwakweli
Nawapend sana jamani haswa auntsadaka en Dada sky mnanitoa sehem moja kwenda sehem nyengine, Mungu awabariki
Kwakweli muna okowa ndowa nyingi sana basi mungu awabariki sana 👌👌
Love this shout out to to lily,Aunt Sadat's,Dr Elly and finally Chris loving everything.God bless u guys we r learning slot from u guys.nawapenda nyote.
Mko vizur kwakweli
Kipindi hiki waoooo
Are u kenyan
Lili safi sana! Kwa maswali yanatufanya tuelewe vizuriiii
First time i heard this and really opening mind. Thank you very much for making me understand what's the meaning and different between man and woman.
Pamoja Sana nimependa
Great Dk Elly Mungu akubariki
very informative discussion! a lot of explanation from the doc makes a lot of sense....
Dr Elly umetisha sana
thank you so much guys..
Nimejifunza ktu Leo... Asanten sana
Nazidi kuwapenda sana,nikweli mtupu hasa mazungumzo yenu kuhusu mambo yacm ya mwenzio,love uuuu mwaaa,wataalam wako sahihi kabisa, nainawezekana kabisa kuishi kama wanavoshauri namambo yanakuwa mwakeee
This is so powerful I just learn lot of things from you, I can suggest if you can write a book so that people can buy and have in their house to help tackle family problems. Doctor has emphasis some good points, like love being an ability that many people know as feeling. congratulations for doing such wonderful job that most people who want to get into marriage and those are in marriage will learn lot of things. From Australia much love and respect
Pardo doctor yooo ozali mutu ya congo ki swaili nayo ezali lokola ba congo tika na yeba doctor merciii mingi 😘
This dr.Elly jmn...his voice n composure poster yke. 👌 thanks for defining n helps me understand love.. upendo sio hisia ni uwezo.
Upendo ni nini?....thank u Dr Ellie
@@elizabethdennis4771 upendo is love in English
So much to learn from you. Big up🙌
Waoooi Dr. Ellie Yuko vizuri
Asanteni sana nawapenda sana munaerimisha jami
Dk Ellie nakuelewa sana.kila ninapokusikiliza unaniongeza jambo ktk maisha.ubarikiwe sn.
Nimependa sana sana session ya leo. Ni me enjoy sana talk ya Uyo Dr. MashAllah
Lili tulia aisee unakatisha sana mada unadakia mada juu kwa juu, tulia mada wamalizie waongee ndipo uongee
hhhh..huyo ndo kiungo na vichekesho vyote, binafsi anifurahisha sn ani!
@@mnzavachris5423 ewaaaaaah
Stella Sungusia na wewe umeona hilo enh!
mi mwenyew nakasirika.... anamkatisha mtu sana•
Lily ni mtu anaielewa kazi yake vizuri sana. ndio maana vipindi vyake hupendeza
Asante nimejifunza bingi
I LOOOOVE THIS TEAM TOGETHER JAMANI. I LISTEN TO YOU 4 SANA. SANA. I LEARN SANA NA...NACHEKA SANA.
Ilove this team together
Aisee am looking for this Dr
Profound discussion
Asante sana
I love you Dr Ellie 😍😍😍
Kumbe ndo ivyo baada ya dk 4 tunauliza do you love me? Apo ndo nimeelewa nilijua ni kwang tu maan napenda sana kuuliza
Hahaha
lilian jeremia hata Mimi mpaka anachokaga anajibu sikupendi basi
Mariam Kaaya pamoja sana mimi ndo bas tena hata hanijibu tena he tell me that,, 'let me act up on u'
😍😍😍😍 thank yuu much much dr elly !!!dr chriss
So powerful.
Asanteh
DR ELLY 🙌
Asante 😍😍
So nice maongez mashallah
Jamani hii vedio has made my day nimeipenda sana.
Tena simu za wanaume zinatufanya tuzishike coz mtu simu ina ma password hadi kwenye calls ... wanaume ni wazinzi by nature hata ufanye nn hawaridhiki jaman
Tuliaaaa ww
😁😁😁
Yani tena Mungu angeamua tu adhihirishi kati ya mwanamke na mwanaume ni akina nani malaya au wazinifu hakika wanaume wangeongoza coz mwanamke akisha olewa kuchepuka ni vigumu sana labda kuna shida ndani humo ila mwanaume hata umbebe na umbeleko wa chuma aise atakusaliti tu. Sijui ni laana gani waliyoachiwa na Mungu.
Please tupate na clips fupifupi zenye kuongelea Jambo moja, mfano mda doctor Elly anaongea kuhusu love... Yeni clips zilizobeba maana inayojitegemea ziwekwe CZcams Kwaajili ya notes😂🙏
Asante sana kwa ushauri Zena
@@SimuliziNaSauti dr ellie for lifetime talking taf.
Angalia clip za kipindi alikua kipindi cha chomoza maada ukweli wa maisha kuanzia sehem ya 31
Huwa si commente ila napitwa vipindi vidogo sanaaa kwenye chanelle hii
Tnx SNS kila siku tunakuwaaaaaaaaaa😍😍😍😍
mwanamke ni ardhi mwanaume ni anga huhuhuhu Dr Ellie Uwekwe na Mungu aisee...wote mko vzr jaman
Thx SnS..... Kuna watu wanajua bwana
Dr Elly napenda kukusikiliza mnooo barikiwa sana
Somo nzuri kuvumiliana maana utapata kodi nyumba itakuwa balaa mjini hapa hawamu tano sio mchezo mchezo
dr elly nimekuelewa sana
mr elly nimekuelewa👌
Mashauri mazuri sana
Mmmh kipindi kizuri sana, huyu Dr ellie jamani ahsante sana ila ukiwa, muite tena lilian huyu Dr ellie
Dr. Chris na Dr. Ellie nimewaelewa sana
Dr Ellie? Mungu akubariki baba!
Nimesikia... well said
Dr. elie is something else
I love what u r doing
Love this imeniinua kiakili
I real appreciate
Mashallah nimewapenda sana nimejifunza wenyenyumba mpooooo😘😘
Jainab Oman 😚😚😚😍
Jainab Oman hahahahahha una matatzo si bure wallah😂😂😂😂😂
Jainab Oman hahahahahha una matatzo si bure wallah😂😂😂😂😂
Kweli nimepata kujuwa sana 💪👌
Nawapnda sana💞nainjoy bala
🎉🎉 bg ap man somo zurrrr kinouma
Such a deep conversations 🎉
Kipindi ni kizuri mnooo nimejifunza a lot big up.
Jamani mwenyezi mungu anisaidie niweze kunyamaza navokutana na jambo jamani uwiiiii
Dr. Ellie has a website? I would love to learn more. He is such an amazing speaker
Asante
Naenjoy sanaa 😍
Asante aunt sadaka hapo kwa mume wangu akiambiwa I lv u
Doctor nimemfata vizuri sana na nimependa somo ili ila naswali nasija muelewa apo aliposema manaume mategemee wanawake asilimia kubwa anamaana gani na maandiko kutoka wapi ayo 🤔#SNS #women matters #Simulizi na Sauti #Doctor
Kipindi kizuri Sana mungu awabariki
Jmniii Mungu awabariki hawa dr mauki na elly
Dr Chris umeongea vyema saana
Dr elly una akil nyng sana
Good job❤️❤️
Very deep
Hichi kipindi ni kiboko yao! Big up guys you are doing so good
nimewaelewa 💞🔥🔥
❤❤❤❤ nakosa la kusema 😢😢
Full of facts..tusisumbuane sasa maana wanatupa stress bure
I love dr Ely