Women Matters: Ni kweli Mwanaume hawezi kuwa na Mwanamke Mmoja?
Vložit
- čas přidán 25. 06. 2019
- PART ONE
Lillian Mwasha amerejea tena na #WomenMatters. Awamu hii amewakutanisha magwiji wa Psychology na Mahusiano, Dr. Chris Mauki wa UDSM, Dr Ellie Vd Waminian pamoja na Aunty Sadaka. Kwenye video hii wanazungumzia iwapo inawezekana kwa mwanaume kuwa na mwanamke mmoja tu - Zábava
Lily please let the speakers speak and stop interrupting them 🙏🏼
Finally nilichokuwa napigania leo kimepata wasemaji👏👏👏
Ninakubali Sana Mama na Dr na Mr mauki wanaume waaminifu wapo saaana!
hata mm ani!
Dr Elly unaongea deep sana, kumwelewa inaitajika kuwa deep sana
mm lily najielewa sana maana unaongea kama muhanga yani unajaribu kuvaa viatu vya watu huku nje unafanya good
Dr chris uko vizuri sana, kwenye issue ya ndoa ,wengi wameingia kisa alimpa mtu mimba but love doesnt exist
Nafurahii sana kusikiliza hii kitu proud kwenu
Lily unaboa,,,relax Na uache MTU amalize kuongea
mbn yu saw tu asee
Ili maswali yake na tupate majibu,ko Yuko sawa kabisa
Ni kweli yani anamswali mazuri lakini anapapala sana kuliko Anti Sadaka
Safi kabisa.....Ulimwengu mwengine huu kiukweli hiki kipindi nichakipekee trust my words mko sawia#SnS#Womenmaters
Skywalker please talk to this Host of yours to be calm when the visitors are explaining some important points please it's distracting
baraka kambi I absolutely agree boss , she ain’t professional at all , let people answer the questions accordingly 🙏🏿
Dr.Elly.. i lov the wayyy he speaks.. slowly but surely n composed..his voice sasa!
+ vile anavyosikiliza hasa pale aunty sadaka akiwa azungumza ila kiujumla aonesha ni msikilizaji mzuri!
Yan, unapata hamasa ya kumsikiliza very impressive Dr..
Elizabeth Dennis unaachaje ss kwa mfano ani!
Gud
this Goes to Lillian Mwasha.. kipindi ni kizuri sana yaani sana. Ila jaribu kuwa msikilizaji zaidi.. uliza swali moja acha wajuzi waongee. We're Not Media expert but What Ur doing is not right.. Uliza Swali moja zito kaa pembeni watu wamwage hekima.. wabadilishane mawazo na kadhalika ila jitahidi sana kuwa na maswali mafupi na mazito (yanayohitaji maelezo yanayojitosheleza) au Swali Linalojitosheleza.. na muda mwingine kaa kimya kuitikia itikia kila mara inatuondoa kwenye concentration. thank you good show...
ani na yy awe km sisi tena!!
Nachokusifu umeleta team nzuri Lilian, topic ni veeery hoooooot
Namfurahia sana dr ellie wangemwacha aongee mengi lkn ngenga nyingi kama lyli
Ili kupata maswali na majibu ko Yuko sahihi kujifanya anauliza uliza ni ili tupate majibu mengi mno
Namkubali aunty sadaka ba chrismsuki
Nawaelewa sanaa.... Dr Elly stay blessed papa!!😍
Surah An Nisaa 4. 3 Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu, au wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki. Kufanya hivi ndiko kutapelekea msikithirishe wana. Tusipooa wengi ikiwa every man, one woman, hao waliobaki wafanyiwe na nani huduma za kinyumba.. Angalieni kwenye vitabu vya dini
Hao wa nani mungu aliumba kila mtu nawake
@@noelashaoona kila nchi population ya watu wanawake ni wengi kuliko wanaume, tukigawana mmoja mmoja, wanawake walio baki wawe Lesbian? Mungu yeye ndio Muumbaji alilijua hilo, ndio maana ya hiyo Aya.
Alhamndulillah ......nlipoanza kusikiliza huyu mama nikajiona nachukia maana nlianza kuona wanapingana na Mafundisho ya Allah lkn nikasukumwa kutzama coment nmekutana na hii nimepata nguvu ya kuendelea kuskiliza......sisi waislam kila ktu tumeambiwa ktk quran Tukufu na mwanasaikolojia wetu kipenzi chetu .....mwalimu wetu mtume wetu Muhammad (s.a.w) Full stop
Lilian Jifunze kuwa Moderator. Unaongea kuliko wageni. Tunapenda kuwasikiliza zaidi experts. Ila panel ya Leo imekaa poa sana
Nilijua nimeona mwenyewe tu aisee na mmmh zimekua za kukera as if anasikiliza ili apinge... Dah mtangazaj anaongea utasema yy ndo mgeni anachosha
I think ni mtu wa funny lili anafanya funny tu
Jamani Lilian haingilii wala hahatibu ila ni mchokozaji kwa niaba ya wanajamii wauliza maswali.
People don't understand her at at all...she is running the show, she is actually supposed to cheer it up ask questions on our behalfs, that is what makes them talk more! Love you dada Lily! Love what your doing keep going!! Loving this!
Too much
@@ramaaboki6255 hpana bn, hamumuelewi wengi wenu!
@@ShannonSNsule kabisa ani vile na ndo hivyo apaswavyo kua
Mno maana anatuwakirisha vizur sana sana,nampenda mno
It’s a good matter discussion but host try to be quiet when someone is talking,I like Dr.elly.he is smart..but interruptions makes it boaring
Mama debora yuko wapi jamani naona amemiss hapa
yan Leo hapo ndani upo na mabichwa sio vichwa ni balaaaa hayo mamtu hapo
Mimi nimefall in love 💟 na huo mdomo wa Lilian mwasha#SnS
Please the host stop killing the show , when someone is talking try and stay away from the mic , you keep on making those annoying noises and is so distracting we are trying to listen and you keep making those annoying noises #PLEASE STOP 🛑
john silver man umeonaee
Kweli inatutoa kabisa
You're right I'm joining them in conversation
Me pia ameniboa
😁😁😁😁
thanxs much
Yani Leo mambo ni 👌👌👌👌👌👌👌
Dr Chris well said
Thx SnS
I just don't know your ages and experiences. But, what you are dealing with is beyond your knowledge and experience.
GOD IS LOVE, AND LOVE IS GOD.
UPENDO hauna wivu, husamehe, huvumilia, hauhusudu, hauhesabu mabaya, haujivuni, hukemea maovu, hautaki faida, husimamia kweli, hautaki dharau na kejeli, hupenda unyenyekevu, toba ya kweli, utii, kujitoa na kujitolea, IMANI NA TUMAINI KWA MUNGU. 🙏🙏🙏
Safii sana maukii,huyu manz anakera asee
I have subscribed to your channel because of#WomenMatters. Keep them coming
Kingine cha muhimu sana Lillian punguza maneno ya KIHUNI... Hicho kipindi ni kikubwa sana unatumia maneno ya kuhuni "Nimekusoma" huyo mama hapo ana umri wa mama zetu.. unamuita "shosti" waite kwa majina yao Please.. Kipindi hiki ni cha watu wazima "wenye mahusiano / Ndoa" hivyo tumia lugha za kusikizana na kuelwana..
mbn mama sadaka mara nyingine huwa anatumia + wanataka kutatua matatizo ya ndoa ambazo nyingi ni zile za kisasa yaani changa hivyo wanatembelea njia zao vijana.,nfkr hakuna tabu sana ndugu!
Mmmh haina Shida bhana . Maisha hayapo serious kiasi hicho .....Enjoy life si poa Sana kuji-limit limit na vitu trivial Kama misemo.....plus unaweza kukuta huyo mama Wala haoni Shida ....anyway Mara nyingi tunaongozwa na core beliefs.
Vijana wanahitaji lugha zao
Dr Chris very true what you said .Thank you 😉👏🏾👏🏾👏🏾
Dr.Ellie nimekuelewa sana
Nimependa iyo upo sawa mama..
I like this matters!
Dr kaongea point sana
Mada mzuri sana najifunza mengi
Sorry dada usitumie nyinyi kwa watu walokuzid umri
Nimewapenda sana
Imani ni kua na uhakika
Haya hebu sasa nisikize kimakini much love guys
huku ni kwa wakaribiao kufunga ndo na si kwa wasiyo na mpango huo!!
@@mnzavachris5423 hahahaaha wacha zako bana kwani uliambiwa ntakaa single for good?????
@@chainbre275 ndio ndo ulichoniambia
@@mnzavachris5423 huwenda ulimi uliteleza Ila kuolewa ntakuja olewa wakati wangu sahihi ukifika na sisai😂😁😜
@@chainbre275 bhasi mieh akusubiria 😊
najifunza mengi ongereni SNS/Woman matters
Yaan mwanaume akiwa n wanawake wengine tofaut na mkeo anakuwa anakuwa nao kwa starehe ila mkeo ndo anampenda sana du kwaiyo wengine anakuwa anaeatamn apo nimewaelewa sana
Anty Sadaka....🔥🔥🔥
huyo moto
Thanks a lot
Nice show
Mama Deborah yupo wapi nampenda jamani
Kweli
Wanaume wote wana tabia moja hii mada nimeipendo hongereni sana watowa mada
Safiiiiiiii
Napenda sana channel hii
Dr elly dah ikooo kichwa ni hatariii xn
Sana. Na usipotuliza akili unaeza usimuelewe.yuko vizur
yah uwez muelew usipotuliza akili cz anaongea deep xn
Jamani Lil hii mada imemfanya asitulie kabisa, sio tabia yake kabisa
🔥🔥🔥aunt sadaka😘😘😘
Naomba aalikwe Masoud kipanya aichangie mada hiyo pia kwa upande wa wake wengi kuwa ni sahihi
mwadini mohamed hakunaga wanawake wengi kaka tafuta maalifa
Kipindi nnachokipenda zaidi😍😘🙈
Lily anadakia sana kwa mbele,..
Konki sana hizi contents HEAVY DUTIES... WEKA MBALI NA WATOTO
It’s another one ☝️.. atininiiiiiiiiiii lamba loloooooo iyooooooooo 🙌🙌🙌😂😂😂😂
Kipindi Kizuri ila Dada Lily jitahidi sana kutambulisha mada alafu waache watalaamu watoe elimu ambayo haipo sana kwenye jamii yetu ndio maana tunapata mitazamo hasi juu maisha ya ndoa na mahusiano.
Kazi yake huyu ni kuibua hoja
Weweeeee maumivu yasipo kuwepo maisha yanakosa ladha
Lilian hapo anachofanya ni kuchangamsha mada
Sasa mnataka akae kimya mwanzo mwisho kipind kinaendeshwaje
eti.,mi naona yu freshi kbs!
Meona yuko vizur sana jaman Lilian
nice
Huku tunakula madini tu, kongole kwenu kwa kutuletea kipindi hiki
😍😍
Ila wapi bby sky Leo jamani???🌷
💥💥💥💥💥
Hapo mnakaz yakubishana kutokana na ufinyu wa maono yenu, huezi pingana na uuambaji wa Mungu, kwn mungu kamuumba mwanaume ktk maumbile yakuto ridhika na mwanamke mmoja, hata vitabu vya dini vimeeleza jambo hilo, unahisi n kwnn M/Mungu aturuhusu wanaume tuoe wana wake 4, je mnahisi Mwenyez mungu ni mzembe wakufikiria kias hicho!...masoud kipanya alitoa poit Muhimu sana nataman angekuepo hpo namkubali sana yule jamaa anaakili nyingi sana
Omary Iddy ebu acha huo ukuda wako Mungu yupi unaemuongelea?? Mungu angeumba mwanaume kwa maumbile hayo angetoa mbavu nne kwa Adam, aliumba mwanamke mmoja mwanaume mmojaa, angeweka hayo mapubgufu angetuwekea mfano. Hayo ni mafundisho ya muhamadi mpenda wanawake Na c Mungu
I beg to differ.
mungu wenu ni kipofu ndomana kawaruhusu uzinz,Mungu wetu Sisi wakristo hajaturuhusu uzinz,Mme na mke mmoja,mnaooa 4 endeleen mfike salama
Sema Stafiruwaa umekosea sana
Cool down da Mwasha
Basically Wanaume ni wengi Duniani kuliko Wanawake..Thats a statistical fact..
Lilian habari za kazi please naomba namba ya Dr. Elie please
Baba yng alikuwa ana muda na sisi kuliko watu wengine
Aaagh,binti usilete ujuzi wako na maumivu yako hapa
unagunia kwenye mic sanaaa
Mpaka inaboa
Nampenda sanaa Lilian
Chris umenikosha sana hasa kwa mifano yako.
Kipindi Raha mpaka nimecheka.
Nice 🔥🔥🔥🔥❤❤💞💞💕💞👏👏😜
Viingileza vingi punguzeni
Tuwaelewe
wataalamu mmesahau kuongelea suala la maumbile. kwa nini imekua ivyo mwanaume karuhisiwa kua na zaidi ya mmoja ila mwanamke haruhusiwi ?🤔
Sasa static zinaonesha kbs wanawake wengi afu unalazmisha 1 to 1 logically tu inajieleza... we mama in pink unalazimisha wkt ukweli sio uo...
asha abdallah tafuta maalifa Usijali kila kitu kinamajawabu
HOST PUNGUZA KUINGILIA MTU AKIWA ANAONGEA , UNAKATISHA SANA...IT BORING SOMEHOW
Anaboa
@@wahidawahida6675 no bn
Hapana ndio vizur ananogesha na ndio anachokonoa vya ndan zaid ndio tunazd kujifunza
Mambo ya ndoa magumu tumwachie mwenyezi hivi umeoa na umekaa zaidi ya miaka 5 utaacha kutoka ?
Mama deborah yuko wap☹
Shoooni😂
Kipindi Kizuri.mtangazaji zingatia ushauri punguza kumkatisha sn muongeaji
Lily waache waongee acha kuwaingilia na kuwakatisha...unabore
Inaonyesha bado umetawaliwa akili lugha unayoitumia unajificha hamna kitu hapo
tuna wasikiya sana uku kwetu ila tuko kwenye inshi ya kifarasa kingereza kina tushanganya yani mtupe kaulizuri za kiswahili
Fanya tafiti vizuri UN hawatambui hilo kuwa kuna wanawake wengi zaidi usiongee usichokijua dada fatilia vizuri ndio uongee
Nimebarikiwa na mifano ya Chris.inampa MTU kuelewa kwa haraka.
Wewe mtangazaji punguza wenge kidogo, mmh, mmh, mmh ndo nini
Okay kwahio neno la love many trust one nilaukweli ???
Kwanini kuna mda wanatumia kingereza? Ni kwamba kiswahili hakina vibe ama?
Luga gani rasmi inatumika hapo Ni kiswahil au kizungu mnatuchanganya
Chriss nimekuelewa hapo kwa Displine
Jamaa yupo sawa, ila anatumia nguv nying kusema na kutete hoja zake, tuwe wakwel banaa m/me hatosheki kwa mw/ke 1...
Nyie ni walafi
💕💕💕💕👏👏👏👏
Wewe host una zingua sana stay away from the mic when speakers are making points. You get too excited mpaka una miss hata Hizo points na Hizo mmmh zako zina uzi kama nini
Hapo Leo kumekamilikaaaaaasaa
Yani hapa sns mm ndo nilishakwama au sijui ndo Kuganda na sibanduki kamweeee
Bora tugande tu
Lili ukiuliza swali acha ujibiwe ndipo uongee plz kipindi ni muhimu sana
Lili umewaalika bac wape nafas hao maprofessional waonqeee .Tulia dada