Women Matters: Ni kweli Mwanaume hawezi kuwa na Mwanamke Mmoja?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 06. 2019
  • PART ONE
    Lillian Mwasha amerejea tena na #WomenMatters. Awamu hii amewakutanisha magwiji wa Psychology na Mahusiano, Dr. Chris Mauki wa UDSM, Dr Ellie Vd Waminian pamoja na Aunty Sadaka. Kwenye video hii wanazungumzia iwapo inawezekana kwa mwanaume kuwa na mwanamke mmoja tu
  • Zábava

Komentáře • 227

  • @karensalema6475
    @karensalema6475 Před 5 lety +31

    Lily please let the speakers speak and stop interrupting them 🙏🏼

  • @therapy2809
    @therapy2809 Před 5 lety +11

    Finally nilichokuwa napigania leo kimepata wasemaji👏👏👏

  • @belindaassey6228
    @belindaassey6228 Před 5 lety +9

    Ninakubali Sana Mama na Dr na Mr mauki wanaume waaminifu wapo saaana!

  • @jessymalembeka6181
    @jessymalembeka6181 Před 5 lety +12

    Dr Elly unaongea deep sana, kumwelewa inaitajika kuwa deep sana

  • @clarafussi8149
    @clarafussi8149 Před 5 lety +11

    mm lily najielewa sana maana unaongea kama muhanga yani unajaribu kuvaa viatu vya watu huku nje unafanya good

  • @zoey2635
    @zoey2635 Před 4 lety +2

    Dr chris uko vizuri sana, kwenye issue ya ndoa ,wengi wameingia kisa alimpa mtu mimba but love doesnt exist

  • @habilichenza1721
    @habilichenza1721 Před 5 lety +6

    Nafurahii sana kusikiliza hii kitu proud kwenu

  • @julietkisura7242
    @julietkisura7242 Před 5 lety +41

    Lily unaboa,,,relax Na uache MTU amalize kuongea

  • @dominickalume2891
    @dominickalume2891 Před 5 lety +7

    Safi kabisa.....Ulimwengu mwengine huu kiukweli hiki kipindi nichakipekee trust my words mko sawia#SnS#Womenmaters

  • @barakakambi1469
    @barakakambi1469 Před 5 lety +33

    Skywalker please talk to this Host of yours to be calm when the visitors are explaining some important points please it's distracting

    • @silverman6930
      @silverman6930 Před 5 lety +1

      baraka kambi I absolutely agree boss , she ain’t professional at all , let people answer the questions accordingly 🙏🏿

  • @maggymm7302
    @maggymm7302 Před 5 lety +11

    Dr.Elly.. i lov the wayyy he speaks.. slowly but surely n composed..his voice sasa!

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 5 lety

      + vile anavyosikiliza hasa pale aunty sadaka akiwa azungumza ila kiujumla aonesha ni msikilizaji mzuri!

    • @elizabethdennis4771
      @elizabethdennis4771 Před 5 lety +2

      Yan, unapata hamasa ya kumsikiliza very impressive Dr..

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 5 lety

      Elizabeth Dennis unaachaje ss kwa mfano ani!

    • @vickyshio8732
      @vickyshio8732 Před 4 lety

      Gud

  • @agapetouch903
    @agapetouch903 Před 5 lety +8

    this Goes to Lillian Mwasha.. kipindi ni kizuri sana yaani sana. Ila jaribu kuwa msikilizaji zaidi.. uliza swali moja acha wajuzi waongee. We're Not Media expert but What Ur doing is not right.. Uliza Swali moja zito kaa pembeni watu wamwage hekima.. wabadilishane mawazo na kadhalika ila jitahidi sana kuwa na maswali mafupi na mazito (yanayohitaji maelezo yanayojitosheleza) au Swali Linalojitosheleza.. na muda mwingine kaa kimya kuitikia itikia kila mara inatuondoa kwenye concentration. thank you good show...

  • @winfridaw.mwashala289
    @winfridaw.mwashala289 Před 5 lety +7

    Nachokusifu umeleta team nzuri Lilian, topic ni veeery hoooooot

  • @linahmissanga4206
    @linahmissanga4206 Před 4 lety +4

    Namfurahia sana dr ellie wangemwacha aongee mengi lkn ngenga nyingi kama lyli

    • @samwelrobeth7763
      @samwelrobeth7763 Před rokem

      Ili kupata maswali na majibu ko Yuko sahihi kujifanya anauliza uliza ni ili tupate majibu mengi mno

  • @rauhiyaomar2585
    @rauhiyaomar2585 Před 5 lety +5

    Namkubali aunty sadaka ba chrismsuki

  • @azizakwileka1686
    @azizakwileka1686 Před 4 lety +5

    Nawaelewa sanaa.... Dr Elly stay blessed papa!!😍

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 Před 5 lety +6

    Surah An Nisaa 4. 3 Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu, au wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki. Kufanya hivi ndiko kutapelekea msikithirishe wana. Tusipooa wengi ikiwa every man, one woman, hao waliobaki wafanyiwe na nani huduma za kinyumba.. Angalieni kwenye vitabu vya dini

    • @noelashaoona
      @noelashaoona Před 5 lety

      Hao wa nani mungu aliumba kila mtu nawake

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 Před 5 lety

      @@noelashaoona kila nchi population ya watu wanawake ni wengi kuliko wanaume, tukigawana mmoja mmoja, wanawake walio baki wawe Lesbian? Mungu yeye ndio Muumbaji alilijua hilo, ndio maana ya hiyo Aya.

    • @user-zl5mt6lk4n
      @user-zl5mt6lk4n Před 5 měsíci +1

      Alhamndulillah ......nlipoanza kusikiliza huyu mama nikajiona nachukia maana nlianza kuona wanapingana na Mafundisho ya Allah lkn nikasukumwa kutzama coment nmekutana na hii nimepata nguvu ya kuendelea kuskiliza......sisi waislam kila ktu tumeambiwa ktk quran Tukufu na mwanasaikolojia wetu kipenzi chetu .....mwalimu wetu mtume wetu Muhammad (s.a.w) Full stop

  • @grantsumaye8139
    @grantsumaye8139 Před 5 lety +17

    Lilian Jifunze kuwa Moderator. Unaongea kuliko wageni. Tunapenda kuwasikiliza zaidi experts. Ila panel ya Leo imekaa poa sana

    • @witneywilly
      @witneywilly Před 5 lety +1

      Nilijua nimeona mwenyewe tu aisee na mmmh zimekua za kukera as if anasikiliza ili apinge... Dah mtangazaj anaongea utasema yy ndo mgeni anachosha

    • @faaali244
      @faaali244 Před 5 lety

      I think ni mtu wa funny lili anafanya funny tu

  • @kipipakipipa5050
    @kipipakipipa5050 Před 5 lety +19

    Jamani Lilian haingilii wala hahatibu ila ni mchokozaji kwa niaba ya wanajamii wauliza maswali.

    • @ShannonSNsule
      @ShannonSNsule Před 5 lety +4

      People don't understand her at at all...she is running the show, she is actually supposed to cheer it up ask questions on our behalfs, that is what makes them talk more! Love you dada Lily! Love what your doing keep going!! Loving this!

    • @ramaaboki6255
      @ramaaboki6255 Před 5 lety

      Too much

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 5 lety +1

      @@ramaaboki6255 hpana bn, hamumuelewi wengi wenu!

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 5 lety +1

      @@ShannonSNsule kabisa ani vile na ndo hivyo apaswavyo kua

    • @janethkilonzi4260
      @janethkilonzi4260 Před 4 lety +1

      Mno maana anatuwakirisha vizur sana sana,nampenda mno

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před 4 lety +6

    It’s a good matter discussion but host try to be quiet when someone is talking,I like Dr.elly.he is smart..but interruptions makes it boaring

  • @lightnessraymos8420
    @lightnessraymos8420 Před 5 lety +16

    Mama debora yuko wapi jamani naona amemiss hapa

  • @saudaa6738
    @saudaa6738 Před 5 lety +22

    yan Leo hapo ndani upo na mabichwa sio vichwa ni balaaaa hayo mamtu hapo

    • @dominickalume2891
      @dominickalume2891 Před 5 lety

      Mimi nimefall in love 💟 na huo mdomo wa Lilian mwasha#SnS

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před 5 lety +65

    Please the host stop killing the show , when someone is talking try and stay away from the mic , you keep on making those annoying noises and is so distracting we are trying to listen and you keep making those annoying noises #PLEASE STOP 🛑

  • @gloriamalisa3033
    @gloriamalisa3033 Před 5 lety

    thanxs much

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 Před 5 lety +3

    Yani Leo mambo ni 👌👌👌👌👌👌👌

  • @juliethlyimo1110
    @juliethlyimo1110 Před 5 lety

    Dr Chris well said

  • @allykassim9826
    @allykassim9826 Před 5 lety

    Thx SnS

  • @avelinekafuru5146
    @avelinekafuru5146 Před rokem +2

    I just don't know your ages and experiences. But, what you are dealing with is beyond your knowledge and experience.
    GOD IS LOVE, AND LOVE IS GOD.
    UPENDO hauna wivu, husamehe, huvumilia, hauhusudu, hauhesabu mabaya, haujivuni, hukemea maovu, hautaki faida, husimamia kweli, hautaki dharau na kejeli, hupenda unyenyekevu, toba ya kweli, utii, kujitoa na kujitolea, IMANI NA TUMAINI KWA MUNGU. 🙏🙏🙏

  • @suedissa7500
    @suedissa7500 Před 5 lety +2

    Safii sana maukii,huyu manz anakera asee

  • @ramlaramadhan4206
    @ramlaramadhan4206 Před 5 lety +3

    I have subscribed to your channel because of#WomenMatters. Keep them coming

  • @agapetouch903
    @agapetouch903 Před 5 lety +28

    Kingine cha muhimu sana Lillian punguza maneno ya KIHUNI... Hicho kipindi ni kikubwa sana unatumia maneno ya kuhuni "Nimekusoma" huyo mama hapo ana umri wa mama zetu.. unamuita "shosti" waite kwa majina yao Please.. Kipindi hiki ni cha watu wazima "wenye mahusiano / Ndoa" hivyo tumia lugha za kusikizana na kuelwana..

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 5 lety +3

      mbn mama sadaka mara nyingine huwa anatumia + wanataka kutatua matatizo ya ndoa ambazo nyingi ni zile za kisasa yaani changa hivyo wanatembelea njia zao vijana.,nfkr hakuna tabu sana ndugu!

    • @sarahmwendi506
      @sarahmwendi506 Před 4 lety +2

      Mmmh haina Shida bhana . Maisha hayapo serious kiasi hicho .....Enjoy life si poa Sana kuji-limit limit na vitu trivial Kama misemo.....plus unaweza kukuta huyo mama Wala haoni Shida ....anyway Mara nyingi tunaongozwa na core beliefs.

    • @vickysteven1172
      @vickysteven1172 Před 5 měsíci

      Vijana wanahitaji lugha zao

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 Před 5 lety +4

    Dr Chris very true what you said .Thank you 😉👏🏾👏🏾👏🏾

  • @upendomtambo5103
    @upendomtambo5103 Před 4 lety

    Dr.Ellie nimekuelewa sana

  • @paulconrad7091
    @paulconrad7091 Před rokem

    Nimependa iyo upo sawa mama..

  • @gabrielbahat9107
    @gabrielbahat9107 Před 5 lety

    I like this matters!

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 Před 3 lety

    Dr kaongea point sana

  • @aishaelias420
    @aishaelias420 Před 5 lety +2

    Mada mzuri sana najifunza mengi

  • @witneywilly
    @witneywilly Před 5 lety +13

    Sorry dada usitumie nyinyi kwa watu walokuzid umri

  • @mugikoniiwacu296
    @mugikoniiwacu296 Před 5 lety

    Nimewapenda sana

  • @user-up1sc3kw8r
    @user-up1sc3kw8r Před 3 měsíci

    Imani ni kua na uhakika

  • @chainbre275
    @chainbre275 Před 5 lety +5

    Haya hebu sasa nisikize kimakini much love guys

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 5 lety

      huku ni kwa wakaribiao kufunga ndo na si kwa wasiyo na mpango huo!!

    • @chainbre275
      @chainbre275 Před 5 lety +1

      @@mnzavachris5423 hahahaaha wacha zako bana kwani uliambiwa ntakaa single for good?????

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 5 lety

      @@chainbre275 ndio ndo ulichoniambia

    • @chainbre275
      @chainbre275 Před 5 lety +1

      @@mnzavachris5423 huwenda ulimi uliteleza Ila kuolewa ntakuja olewa wakati wangu sahihi ukifika na sisai😂😁😜

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 5 lety

      @@chainbre275 bhasi mieh akusubiria 😊

  • @mytelecom2019
    @mytelecom2019 Před 5 lety +10

    najifunza mengi ongereni SNS/Woman matters

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Před 5 lety +2

    Yaan mwanaume akiwa n wanawake wengine tofaut na mkeo anakuwa anakuwa nao kwa starehe ila mkeo ndo anampenda sana du kwaiyo wengine anakuwa anaeatamn apo nimewaelewa sana

  • @paulinamloka2817
    @paulinamloka2817 Před 5 lety +2

    Anty Sadaka....🔥🔥🔥

  • @Unknow9473
    @Unknow9473 Před 5 lety +1

    Thanks a lot

  • @hassanothman5390
    @hassanothman5390 Před 5 lety

    Nice show

  • @suzanpeterjacob9264
    @suzanpeterjacob9264 Před 5 lety +5

    Mama Deborah yupo wapi nampenda jamani

  • @madamboss348
    @madamboss348 Před 5 lety

    Kweli

  • @msangisalha8509
    @msangisalha8509 Před 4 lety

    Wanaume wote wana tabia moja hii mada nimeipendo hongereni sana watowa mada

  • @rodgersedson9629
    @rodgersedson9629 Před 5 lety +1

    Safiiiiiiii

  • @stevemwingira2393
    @stevemwingira2393 Před 4 lety

    Napenda sana channel hii

  • @benfordmathias2140
    @benfordmathias2140 Před 5 lety +6

    Dr elly dah ikooo kichwa ni hatariii xn

  • @sharonndowo6922
    @sharonndowo6922 Před 5 lety +5

    Jamani Lil hii mada imemfanya asitulie kabisa, sio tabia yake kabisa

  • @lailatyabdallah1723
    @lailatyabdallah1723 Před 5 lety +2

    🔥🔥🔥aunt sadaka😘😘😘

  • @mwadinimohamed883
    @mwadinimohamed883 Před 5 lety +4

    Naomba aalikwe Masoud kipanya aichangie mada hiyo pia kwa upande wa wake wengi kuwa ni sahihi

    • @nagmaali3650
      @nagmaali3650 Před 5 lety

      mwadini mohamed hakunaga wanawake wengi kaka tafuta maalifa

  • @estermgaya5816
    @estermgaya5816 Před 5 lety +1

    Kipindi nnachokipenda zaidi😍😘🙈

  • @dianaroserusimbi6003
    @dianaroserusimbi6003 Před 4 lety

    Lily anadakia sana kwa mbele,..

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca Před 5 lety

    Konki sana hizi contents HEAVY DUTIES... WEKA MBALI NA WATOTO
    It’s another one ☝️.. atininiiiiiiiiiii lamba loloooooo iyooooooooo 🙌🙌🙌😂😂😂😂

  • @geraldmussa5838
    @geraldmussa5838 Před 5 lety +1

    Kipindi Kizuri ila Dada Lily jitahidi sana kutambulisha mada alafu waache watalaamu watoe elimu ambayo haipo sana kwenye jamii yetu ndio maana tunapata mitazamo hasi juu maisha ya ndoa na mahusiano.

  • @chainbre275
    @chainbre275 Před 5 lety +3

    Weweeeee maumivu yasipo kuwepo maisha yanakosa ladha

  • @therlmahweezle5529
    @therlmahweezle5529 Před 5 lety +13

    Lilian hapo anachofanya ni kuchangamsha mada
    Sasa mnataka akae kimya mwanzo mwisho kipind kinaendeshwaje

  • @user-nc2pu6jm8w
    @user-nc2pu6jm8w Před 10 měsíci

    nice

  • @mohamedidd7385
    @mohamedidd7385 Před 5 lety +11

    Huku tunakula madini tu, kongole kwenu kwa kutuletea kipindi hiki

  • @kijweninawinnie
    @kijweninawinnie Před 5 lety

    😍😍

  • @chainbre275
    @chainbre275 Před 5 lety +3

    Ila wapi bby sky Leo jamani???🌷

  • @leylahley3542
    @leylahley3542 Před 5 lety +1

    💥💥💥💥💥

  • @omaryiddy1652
    @omaryiddy1652 Před 5 lety +2

    Hapo mnakaz yakubishana kutokana na ufinyu wa maono yenu, huezi pingana na uuambaji wa Mungu, kwn mungu kamuumba mwanaume ktk maumbile yakuto ridhika na mwanamke mmoja, hata vitabu vya dini vimeeleza jambo hilo, unahisi n kwnn M/Mungu aturuhusu wanaume tuoe wana wake 4, je mnahisi Mwenyez mungu ni mzembe wakufikiria kias hicho!...masoud kipanya alitoa poit Muhimu sana nataman angekuepo hpo namkubali sana yule jamaa anaakili nyingi sana

    • @luckydavid7475
      @luckydavid7475 Před 5 lety

      Omary Iddy ebu acha huo ukuda wako Mungu yupi unaemuongelea?? Mungu angeumba mwanaume kwa maumbile hayo angetoa mbavu nne kwa Adam, aliumba mwanamke mmoja mwanaume mmojaa, angeweka hayo mapubgufu angetuwekea mfano. Hayo ni mafundisho ya muhamadi mpenda wanawake Na c Mungu

    • @kaiemujaya7697
      @kaiemujaya7697 Před 5 lety

      I beg to differ.

    • @lucyjohn7904
      @lucyjohn7904 Před 4 lety

      mungu wenu ni kipofu ndomana kawaruhusu uzinz,Mungu wetu Sisi wakristo hajaturuhusu uzinz,Mme na mke mmoja,mnaooa 4 endeleen mfike salama

    • @marymabuubakari653
      @marymabuubakari653 Před 4 lety

      Sema Stafiruwaa umekosea sana

  • @hawahussein3751
    @hawahussein3751 Před 5 lety

    Cool down da Mwasha

  • @barakaalecnathaniel3716
    @barakaalecnathaniel3716 Před 5 lety +1

    Basically Wanaume ni wengi Duniani kuliko Wanawake..Thats a statistical fact..

  • @olivaandrew3605
    @olivaandrew3605 Před 5 lety +2

    Lilian habari za kazi please naomba namba ya Dr. Elie please

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 Před 4 lety +1

    Baba yng alikuwa ana muda na sisi kuliko watu wengine

  • @suedissa7500
    @suedissa7500 Před 5 lety +5

    Aaagh,binti usilete ujuzi wako na maumivu yako hapa

  • @geraldobed9847
    @geraldobed9847 Před 5 lety +6

    unagunia kwenye mic sanaaa

  • @grantsumaye8139
    @grantsumaye8139 Před 5 lety +5

    Chris umenikosha sana hasa kwa mifano yako.

  • @fifijay5883
    @fifijay5883 Před rokem +1

    Kipindi Raha mpaka nimecheka.

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 Před 5 lety

    Nice 🔥🔥🔥🔥❤❤💞💞💕💞👏👏😜

  • @davidluje168
    @davidluje168 Před 3 lety +2

    Viingileza vingi punguzeni
    Tuwaelewe

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 Před 2 měsíci

    wataalamu mmesahau kuongelea suala la maumbile. kwa nini imekua ivyo mwanaume karuhisiwa kua na zaidi ya mmoja ila mwanamke haruhusiwi ?🤔

  • @ashaabdallah1718
    @ashaabdallah1718 Před 5 lety +2

    Sasa static zinaonesha kbs wanawake wengi afu unalazmisha 1 to 1 logically tu inajieleza... we mama in pink unalazimisha wkt ukweli sio uo...

    • @nagmaali3650
      @nagmaali3650 Před 5 lety

      asha abdallah tafuta maalifa Usijali kila kitu kinamajawabu

  • @jackieskitchentz
    @jackieskitchentz Před 5 lety +11

    HOST PUNGUZA KUINGILIA MTU AKIWA ANAONGEA , UNAKATISHA SANA...IT BORING SOMEHOW

  • @user-bw5wj8dw5q
    @user-bw5wj8dw5q Před 7 měsíci

    Mambo ya ndoa magumu tumwachie mwenyezi hivi umeoa na umekaa zaidi ya miaka 5 utaacha kutoka ?

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 Před 5 lety +8

    Mama deborah yuko wap☹

  • @mzungukiboli8153
    @mzungukiboli8153 Před 5 lety +1

    Kipindi Kizuri.mtangazaji zingatia ushauri punguza kumkatisha sn muongeaji

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 Před 5 lety +2

    Lily waache waongee acha kuwaingilia na kuwakatisha...unabore

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 Před 8 měsíci

    Inaonyesha bado umetawaliwa akili lugha unayoitumia unajificha hamna kitu hapo

  • @jimmysumbanga1691
    @jimmysumbanga1691 Před 3 lety

    tuna wasikiya sana uku kwetu ila tuko kwenye inshi ya kifarasa kingereza kina tushanganya yani mtupe kaulizuri za kiswahili

  • @chelseadiva1072
    @chelseadiva1072 Před 5 lety

    Fanya tafiti vizuri UN hawatambui hilo kuwa kuna wanawake wengi zaidi usiongee usichokijua dada fatilia vizuri ndio uongee

  • @robertgwelela2301
    @robertgwelela2301 Před 5 lety +2

    Nimebarikiwa na mifano ya Chris.inampa MTU kuelewa kwa haraka.

  • @user-hi5pg4vp2u
    @user-hi5pg4vp2u Před 5 měsíci

    Wewe mtangazaji punguza wenge kidogo, mmh, mmh, mmh ndo nini

  • @chainbre275
    @chainbre275 Před 5 lety +2

    Okay kwahio neno la love many trust one nilaukweli ???

  • @cleverjohn1969
    @cleverjohn1969 Před měsícem

    Kwanini kuna mda wanatumia kingereza? Ni kwamba kiswahili hakina vibe ama?

  • @evamarua4998
    @evamarua4998 Před 9 měsíci

    Luga gani rasmi inatumika hapo Ni kiswahil au kizungu mnatuchanganya

  • @UfalmeTV
    @UfalmeTV Před 5 lety +1

    Chriss nimekuelewa hapo kwa Displine

    • @khamiskombo5965
      @khamiskombo5965 Před 4 lety

      Jamaa yupo sawa, ila anatumia nguv nying kusema na kutete hoja zake, tuwe wakwel banaa m/me hatosheki kwa mw/ke 1...

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 Před 4 lety

    Nyie ni walafi

  • @aishaaisha2957
    @aishaaisha2957 Před 5 lety

    💕💕💕💕👏👏👏👏

  • @gracelee61
    @gracelee61 Před 5 lety +2

    Wewe host una zingua sana stay away from the mic when speakers are making points. You get too excited mpaka una miss hata Hizo points na Hizo mmmh zako zina uzi kama nini

  • @jessymalembeka6181
    @jessymalembeka6181 Před 5 lety +1

    Hapo Leo kumekamilikaaaaaasaa

  • @chainbre275
    @chainbre275 Před 5 lety +2

    Yani hapa sns mm ndo nilishakwama au sijui ndo Kuganda na sibanduki kamweeee

  • @gracedismas1108
    @gracedismas1108 Před 4 lety

    Lili ukiuliza swali acha ujibiwe ndipo uongee plz kipindi ni muhimu sana

  • @righitkileo
    @righitkileo Před měsícem

    Lili umewaalika bac wape nafas hao maprofessional waonqeee .Tulia dada