Women Matters (PT 3): Mwanamke ukitongozwa, uchukue muda gani kumkubali Mwanaume? Unaweza kumuanza?
Vložit
- čas přidán 12. 07. 2019
- Kutongozwa ni kitu ambacho mwanamke hawezi kukiepuka. Lakini iwapo mwanaume aliyemtongoza amempenda, achukue muda gani kumkubali? #WomenMatters imeliweka mezani kulijadili
- Auta a dopravní prostředky
Wakina dada tujitambuwe
Ahsante WOMEN MATTERS
Jamani hapo wanawake kutongoza embu muwaeleweshe, wahakikishe wanatongoza bachelor na sio kutongoza waume za watu. Washindwe kwa jina la YESU!
😂😂😂😂😂 nimecheka
😂😂😂
😀😀😀😀😘
Aaa nimechekaa et wakueleweshe
Kweli,,
Waaaaaaooooh woman matters ni motoooo hongereni nawafatilia sanaa
THE PAIN OF CHASIN I LIKE THAT
Waaaaooo what is amaizing lesson 😘😘😘😘
Napenda sana hiki kipindi! Najifunza mengi mno! Mbarikiwe sana
Mama zetu mnajua sana mmeongea point nmefurai kuongelea masuala ya maisha tunayopitia asa vijana wa leo,Thanx sns kwa elimu.
Jamani wamama zangu najutiya nafsi yangu sana tena sana mungu nisaidiye naskia moyo wangu unavuja uchungu ila kwahili somo nachukua fursa hii niyifanyie kazi mungu niwezeye nipate ufahamu zaidi na hekma amiinaaa
Ameen ameen ikawe kheri
Amen
nawapenda sana mungu awabariki zaidi
Mashaallah nice mama teri
Habari zenu wa mama zetu hii show imekuwa kali sana natamani nikuje tupige mjadala pamoja nimefurahi pia sisi tunaweza towa mambo mazuri hapo
Wamama nyie ni konki , Mashaallah Allah awaweke inshaallah
mmetisha sana mama zangu nawapenda mie😍😍😍😚
Hongereni sana wamama mko juuuuuuuu
Mama Terry schikamooo uko super
Shukrani wakina mama
Sawa mama Terry Leo umenimalizaaa
Amennnnnnnnnnn mbarikiwe mnooo
Mama Terry 🙌
Uku mambo ni nouma, mama Terry kiboko
Kipind hichi nilipidena hasa mada hii inayoongelewa lili"huyo kanikosa hyo kaniposa"
Nampenda mama kaisi
I like the show but can you please talk one by one sometime hatuasikii mzuri because mnaongea same time. This show has changed my life 👍👍👍
To talk one by one can't be easy cz they are only ladies unless there could be atleast one man. That is is the nature of life
Innallah Maaswabirin hahahaha
Nyie wanawake mungu anawaona. Yaani tuwe kama Swala? Aya Bwana. Mi nilikuwa kama Swala pia.
Nice show😃😃😃😃😃👍👍👍👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌
Mamaaaa Terry😙😙😙😙😙
Mama terry 🔥😍
Et tengeneza mazingira Mtoto wakike vp
Mama Terry muhuni sana weweee 🤣🤣😂😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️ ndio mambo gani unatufundisha mapaka shume 🏃♀️🏃♀️😂😂
Mama kaisi nimekuelewa Sana Ni kweli siku his vifo vimekua vingi
MaMa Terry! Wooow! Where were you?
Bora mmeongea yeah Mwanamke anatongoza tena vizur tu🤣🤣🤣 wengine Eti oooh unajishushaa🙄 unajishusha my🦶
lakin hawakusema kumueleza kabisa ......
Nawapenda nyote jamani frm kenya😘😘😘
Wakitongozwa tu njaa inaanza kuwauma, kuomba omba hela, shida kibao, ovyooo.
😂😂😂
Mama zangu mmeongea ❤️🙏🏽
Eeeh mama kaisi unaongea point na hisia
Jamani part 2 siioni
Mama Kaisi nimekupata
Kiroho mbaya hivihivi😀😀mama Terry....
Mama kaisi upo vzr mama
Hongereni ila nimechokiona tu nikuwa mnawajua wanaume kwa asilimia 25 tu. Sisi tupo na mbinu nyingi sana kikubwa Mungu atufanye tuwe wakweli tu tuache usanii kwa wasichana kwani nasi ndugu zetu na watoto wetu watakuja kufanyiwa hivyo sijui tutajisikiaje.
Hahahaha namba ya simu?......
sawa sawa nice one hata mimi ninasitaaga sana 🤔😂
👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Duuuh Ni zaidi ya elimu
Mama Deborah unasisitizaga jamani
KITU KIMOJA KINANIHUDHI NA LILIAN HATAKI KUSIKILIZA
Nimempenda mtu mzima hapo, anavutia sana. 😂😂😂😂😂😂
aise kizazi cha pakashume unapanda bodaboda mwenyewe hadi unaingia room kwake unamkuta kaa anakusubiri
Mama terry my ribs 😂😂😂😂 ulipataje namba yake ya simu?! Mpaka ukaiwrong?! 🤣🤣🤣🤣
😂😁😀Hakili na Mahalifa
😂😂😂😂😂😂Nic
mama terry though 😂😂😂
Kama mwanaume hana hela ya kukupeleka hotelini?
HAYO YOTE MMEONGEA NI KWELI LAKINI KUNA WALE AMBAO WAMETONGOZANA WAKAKUBALIANA KUJA KUISHI PAMOJA NA MAMBO KWAO YAKAWA MAZURI LAKINI WAZAZI(WA MMOJA) WANAKUJA KUKATAA KWA MISINGI YA KABILA
No ya simuuuuuu🤣😂🤣🤣
Mi nilkuwa km swala
Mama tery nataka namba yako wsp
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️
Myauuu 👿😈
😍😘😘
Samahani wamama je naweza pata number za Whatsapp kama munazo naomba ju nahitaji kuzungumuza kwa kirefu nakama kunauwezekano sijui kama naweza kuandika yangu ya Whatsapp yangu naomba samahani
Mtafute babysky Instagram
sorry rong number 😂😂😂😂
kwa hiyo mnawafundisha watunyime sio....ha..ha..na kwa jinsi mlivyo wengi duniani wala hatuna muda wa kuwafukuzia mda mrefu......tunatafuta hela kwanza mtajileta wenyewe tu
😁😁😁😁😁😁😁nakuunga mkono mkuu
Hahahah....
Kweli kabsa my wajina hatuna uwo muda hasa kwa nchi hii ya Tanzania watasubiri kidogo me zangu mambele tu
You will get your type.
Tumeolewa na heshima zetu, tena tunaheshimiwa Sana
Yani mimi nafuatilia umbea siku zote ila nimewasikiliza leo sijutii kuwasikiliza nawapenda sana mama zangu
KITU KIMOJA KINANIHUDHI NA LILIAN HATAKI KUSIKILIZA
Siku hiyo hiyo mimba,
Mi nilkuwa km swala
Lakini mwisho ukawindwa😄😄😄
@@stevenngaitv7001 hahaha kwa shiiiida sana
nawapenda mungu awabariki