Davido achukizwa na Sophia aliyedai hana malezi mazuri ya watoto na Ifeanyi kufariki ni uzembe wake

Sdílet
Vložit

Komentáře • 17

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i Před 8 dny +2

    Sijapenda kumuingixa ifenye maana anamuumiza chiiii ba bora katoa hiyo kauri chioma ana watoto laa sivyo ingekuuja zaidi

  • @user-lk9rh5xp4u
    @user-lk9rh5xp4u Před 8 dny

    Ooooh

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 7 dny

    Ana wivu uyu

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 Před 8 dny +1

    Baby Mama drama

  • @user-dc2uo9bf4y
    @user-dc2uo9bf4y Před 7 dny

    Huyo dada ni wivu skuzote alikua wapi

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 Před 8 dny

    Awaowe wote ma Bby mamaz wake🤣🤣🤣 problem solved

    • @pengefeza2563
      @pengefeza2563 Před 7 dny

      Mungu aliumba mwanaume mmoja tu na mwanamke mmoja tu zaidi ya hiyo ni kazi za shetani za kumpinga Mungu na kuanza kuingiza tamaa zake.😊

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 Před 8 dny +2

    Sophia or sophie move on

    • @hopechidera
      @hopechidera Před 8 dny +1

      Me nadhani ana mapenzi sana kwa Davido ndomana ku move on kunamushinda kama baby mamas wengine wa Davido...

    • @akimanaarlene851
      @akimanaarlene851 Před 8 dny

      @@hopechiderahuo ni mzee kwa davido ndio mana 😂😂😂

    • @zainabuabdul7852
      @zainabuabdul7852 Před 8 dny +4

      Davido ndo hajamove on na ukitaka kujua hilo tu Davido alimtolea vitisho tiwa savage kwa kuwa tu karibu na sophia na kisa cha Davido kustop kumuhudumia mtoto ni sophia kuwa na mahusiano na tajiri mmoja huko Nigeria ...sasa nani Haja move on hapo .....fatilieni mwanzo kwanza ndo muhukumu Davido ana makosa sana tuu

    • @nantaliamwema8083
      @nantaliamwema8083 Před 8 dny

      Ww nae nitimu Sofia fatilia vizur story Yao yamqusiano kama alimpenda nawakat Sofia alijirahisisha mwenyewe😅​@@zainabuabdul7852

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Před 8 dny

      @@zainabuabdul7852100 %