Video není dostupné.
Omlouváme se.

PHINA ajilipua ‘JAY MELODY nakupenda’, afunguka RUBY alivyomblock baada ya COLLABO yao 'Nilishangaa'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 07. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 33

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem +3

    Nimekupenda sana phina wewe unashukrani sana mtu akikufanyia wema ausahau unasema ukwel na unashukuru safiiiiiiiiiiiiiiiiii sana kwa hilo phina..mim nishabiki yako.. nakukubali sana na nyimbo zako nzuri sana haziboi..
    .utafika mbali nimekupa baraka zang as ur fans

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain Před měsícem +4

    Dah.. ila wasukuma.. mkaona mtupige interview yeny 1h n' half😅🙌❤🔥

  • @uiptv365
    @uiptv365 Před měsícem +1

    Phina yuko vizuri sana 💯💯🙌🏽❤️

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Před měsícem +2

    Phina anaongea vizuri,hana makuzi wala hafichi kua alikua broke katika situation flani.Ila ingekua wengine full mishauo!

  • @mkodojoseph-kt8wd
    @mkodojoseph-kt8wd Před měsícem +5

    Brother Sky nilikua Singida ndichi ndichi huko maeneo ya Mkalama nmerudi kufika Nduguti naona umestepup na New Studio, Hongera sana bro.....
    By the way when was the official launch....?

  • @user-ly6xz5zf7n
    @user-ly6xz5zf7n Před měsícem +6

    ila Ruby mkorofi 😂😂😂kila mtu lazima wapishane watu wafupi wana matatizo sana

  • @empafricatv
    @empafricatv Před měsícem +2

    Sns ninumber Moja Tz na Africa mashariki

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 Před měsícem +6

    Brother SKY SNS tunawakubali sana ninaushauli kama ungeuzingatia itakuanoma sana kwako na faida kwa TAIFA kwaujumla mfano hapo nyuma ya TV ungeweka picha za utalii mfano tv ingekua inaonyeaha mbuga za wanyama mlima Kilimanjaro maziwa kisiwa cha Zanzibar nakazalika 🇹🇿🇹🇿🇿🇦🌍

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca Před měsícem +1

      Mawazo yako bro nimazuri, ila sasa kumbuka anayeojiwa hapo nimsanii anayeitaji kutangazwa kwa faida ya TAIFA. Sky angeweka hivo unasema, namimi ningekuja kusema kwanini hajaweka nyimbo zaMsanii anayeojiwa brother, ndo hivo.. kuusu utalihii hapo ataweka wakati anazungumzia maswala ya inchi kwa ujumla… ahsante kwa usikivu mwema… Respect

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Před měsícem +1

      we naye tuondolee upuuz wako hapa .kuna sehemu za kuangalia hayo madude..pita hivi

    • @shaabanmfaume6102
      @shaabanmfaume6102 Před měsícem

      Weka chanel yako uoneshage wewe ni ushauri tu na mm😂😂

  • @safari23
    @safari23 Před měsícem

    We need a Lauren Hill like reggae song from you Phina. You have a lot of potential girl.

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein9971 Před měsícem +1

    Interview nzuri

  • @shukrankabuka2948
    @shukrankabuka2948 Před 14 dny

    Mh mbona kama I see Vanessa on that guy ❤

  • @pedroblakesmusic
    @pedroblakesmusic Před 12 dny

    Otile 🔥🔥

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Před měsícem +1

    Ruby anarchies chafuw sn

  • @danielmacharia9603
    @danielmacharia9603 Před 11 dny

    Wakenya tunafuatilia Sana mambo mingi ya dunia

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o Před měsícem

    Ongera SNS ❤

  • @empafricatv
    @empafricatv Před měsícem

    🔥

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem

    Daimond naomba msapoti phina wetu mana anastaili anakipaji na bado hanataji we akutosha...mpe mtaji angalau ili impush or msain ili umpush mana anakipaji sana na bado kifainensho bado hajakaa sawa... daimond najua hushindwi nakuomba ufanye kitu kwa phina apo ili gurudumu liende mbali

    • @svt3
      @svt3 Před měsícem

      Kupana sapoti sio mbaya ila wasanii na wanadamu kwa ujumla wengi ukisha wasapoti wana zharau za juu saana huyu phina alitambulishwa na Ritha ila kujulikana kidogo na ka hit song 1 au mbili wala hata salamu hampatie uliza uelezewe

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před měsícem

    Gombeeee. Gombeee.wangapi😂😂😂😂.

  • @ngarathecomedian5743
    @ngarathecomedian5743 Před měsícem +3

    Comment yangu msiiguse 😊

    • @FocusNyari
      @FocusNyari Před měsícem

      Nimeigusa eeeeh unasemajeeh

  • @globalNote-o1c
    @globalNote-o1c Před měsícem

    Ila Phina eti kasema wilagaaah, daaah

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Před měsícem

    Vipi kuhusu Lod music?

  • @sund2553
    @sund2553 Před měsícem +1

    Mkoti umejaa machata ya Masonic

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Před měsícem

      Anajikutaaaaaa mjanjaaaa kmbe ata nguv za kuwafikia hao fremason hana …kututishiaaa maishaaa pyeeeeeee

    • @HorebuKasuku-zz8cj
      @HorebuKasuku-zz8cj Před měsícem

      😂😂​@@mwanaidimussa

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Před měsícem

      @@HorebuKasuku-zz8cj wanatuchoshaa

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Před měsícem

      @@HorebuKasuku-zz8cj vinakeraaa hiv viwatu

  • @Milanorock
    @Milanorock Před měsícem +2

    ❤❤❤wasanii wakali wanawake.
    Ruby.
    Maua Sama.
    Phina.
    Kale katoto kadogo kaa Tid.
    Halafu hap wengine