Video není dostupné.
Omlouváme se.

BIDEN ahutubia taifa na kulaani jaribio la kuuawa TRUMP

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 07. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 36

  • @BakarAlshiraziy
    @BakarAlshiraziy Před měsícem +2

    Wana GPS naomba unisaidie hili kwa nini ilipotokea hili tukio hakuna hata kiongozi mmoja wa dunia ambae katumia meno kua uliofanyika ni UGAIDI na wamesema ni vurugu za kisiasa tu hii inakuwaje ????

  • @consult_alex9411
    @consult_alex9411 Před měsícem +7

    Duuh hadi milango ya white house inalia aisee 2:23 , kumbe sio wangu tuu..😅😅😅

  • @denisrenatus4935
    @denisrenatus4935 Před měsícem +2

    Sns hamlali jaman muda wote mnapiga kaz tu

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ Před měsícem +2

    Kama walimshitaki kwa kesi za kusingiziwa za wanawake wanaojiuza , basi nae apambanie hapo Biden atoke na chama lake la vita

  • @AnangisyeMbughi-xw4ky
    @AnangisyeMbughi-xw4ky Před měsícem +2

    Biden asijisafishe juu ya hili,Mimi nafikiria ndiye aliyepanga kumuua mpinzani wake,kawaida siasa ni mchezo mchafu,jaribio limefeli anajisafisha,upuuzi mtupu.

  • @sajasiver
    @sajasiver Před měsícem +1

    Yangu macho

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 Před měsícem +1

    Huo ndio mpasuko utakaotesa marekani kwa zaidi muongo mmoja

  • @kafitiwilliam8358
    @kafitiwilliam8358 Před měsícem

    Safi sana

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Před měsícem +1

    😂 vurugu za kisiasa ,,ila ,awasemi ,ni ugaidi wazungu wajanja

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 Před měsícem +1

    Shingo haipindi ata chini, awa wenzetu wa tofauti sana😅

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 Před měsícem +2

    niiiiiiyeye

  • @user-rk9gr9yf3i
    @user-rk9gr9yf3i Před měsícem +1

    Gaidi wa kimarekani alifanya jaribio kutaka kumuuwaa Trump

  • @OlgaChirezi-qt1pg
    @OlgaChirezi-qt1pg Před měsícem

    Wana juwa kila kitu hao mwaka huuu Baden atapigwachini

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před měsícem

    team TRUMP tijuwane hapa 🤸🤸🤸❤️❤️❤️❤️❤️

  • @aminaali792
    @aminaali792 Před měsícem

    Wanatupotezea time waache uongo tunawajuwa ni wao wao wanataka kumpoteza Biden 🙄but Allah has more plans 🤲🏼🤦🏽‍♀️

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana Před měsícem

    Wanajuwana

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před měsícem +2

    Mbona hapa haja kosea kuongea 😂😂😂😂au anajizima data

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 Před měsícem

    Mpuuzi mmoja uyu ndo waliopanga njama kameona akatoboi kwa trump vinataka kumuua na trump atawachana tu we subili akae sawa

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 Před měsícem +1

    Kenge tu huyu Biden

  • @ThomasMgwabati-cj1zh
    @ThomasMgwabati-cj1zh Před měsícem +1

    Kama wenyewe kwa wenyewe mnauwana mtaweza kusimsmia amani ya dunia nyie nikwazo kwa dunia likikuwa suala la muda tu kujionyesha kuwa nyie nimashetani mwacheni mwamba putini awe kilanja waamani duniani

  • @malkiawagiza1327
    @malkiawagiza1327 Před měsícem

    Biden anapaswa kujiondoa kwa hiari kwani ameshapoteza uchaguzi. Kwa bahati mbaya hadi sasa hajatoa dalili yoyote kwamba atafikiria kujiuzulu 😂

  • @hemedisufiani3219
    @hemedisufiani3219 Před měsícem

    Huuuu ndo mwisho wako kaka shetani umeeka 😅😅😅😅 una chako umeuwa watu wengi na bado kaka malipo ni apa apa duniani japokua unasema amna mungu ila tunasubili mwisho wenu 😂😂😂😂😂

  • @besteva499
    @besteva499 Před měsícem

    Kumbe kina hakirii 😂😂😂ira kinajifanya chizi furani

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Před měsícem

    Amna kitu ni mpango yake wewe chako kwasababu unajua kabisa atakupita

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Před měsícem

    Nyie acheni kusema kwamba Biden anahusika, mnadhani huko ni kama Afrika?
    Wahusika wa tukio waliuawa pale pale, Amerika ukikosea hata kwa wizi wa kukwepa kodi unaenda mahakamani hata kama ni Rais.

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt Před měsícem

      Bob michezo michafu kwenye siasa sio Africa tuu na ndomana huwa wanasingiziana sana makesi ya kipuuzi ili mmoja apoteze ushawishi!hiyo ndo maana ya siasa ni mchezo mchafu mtu yupo tayari mpaka kukutoa roho kwa sababu ya nyadhfa!hivyo kaa ukijua Marekani sio mbinguni mjomba!!

    • @MwanahamisHussein-dp2if
      @MwanahamisHussein-dp2if Před měsícem

      muongo unajitia mjuaji