@@hashimuuhehwa4252Pck kapokea pesa nakuwapeleka pale kina Mbosso ili watu wajue km wataparfom lkn kumbe Pck hakuwaambia kina Mbosso km kala hela sijui mmeelewa ugomvi wao maana km hawaendi kuparfom hapo kwenye show walifata nn jamaa tapeli yule sasa wote wamekutana matapeli watupu hapo
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wite inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wabakwebda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
Ww jamaa ungelikuwa na akili timamu kama mwanaume haswa nasio shoga Kwa myaka yote upo Toronto ugaibunu uko ungelikuwa umesha funguwa hata viwanda 20 I chini ukaonekana mtu wa maana ila kwasababu utaandikwa kwenye kitabu Cha uzima Cha club apo sawa zuzu weee nenda kashtaki mahakamani kama unataka ulipwe Hela zako😂😂😂
Ufala unakusumbua unaonekana limbukeni ukiona mtu anaishi ughaibuni unaona ndio wamaana ndio mnakuaga mashoga nyie kisa kujifanya mnaakili za kimamtoni
@@imanimhagama4647 hakuna mnachokijua zaidi ya uongo tu na maneno mengi pasipo kufikiria. Wewe kama haujawai kushuudia vituko vya wasani wa tz kila mara wakiwa na show nje ya Africa unatakiwa kuuliza ili uambiwe na wala usiwe kama kijifala fulani ambacho hakijielewi. Mpumbavu wewe. Tena shoga mkubwa sana wewe na ndio maana mziki wenu ni wa matusi wa na umbea tu.
If you know and you know exactly your home is Africa. Please stop scamming people who live in Europe. The technology here in Europe is on next level. I really hope that mbossa is not involved if he is involved. It will end up sadly not just in medias. But in life time for sure
Huyo jamaa asikuumisheni kichwa kwa nxa hana uwexo wakupromo mtu hasa wasanii kama mbo uyo jamaa ni porojo tu na kama hamuamini mfuatiliyeni tik tok porojo tu huyo
Hapa Canada utapeli kwenye show iko mingi mno!
Mbossso anaongea ukwel ...nothing hidden there....sijui nimepatia icho kiswainglish😂😂😂.....uyo jamaa anaonekana amekurupuka
Elly hajui lolote 😂😂
Hapa mnashindwaje kumuelewa Elly mbona hoja yake inaeleweka kabisa!
@@pendo8082 Acha uongo Elly kaeleweka vizuri sanaa, labda nikuulize umeelewa nini
@@hashimuuhehwa4252Pck kapokea pesa nakuwapeleka pale kina Mbosso ili watu wajue km wataparfom lkn kumbe Pck hakuwaambia kina Mbosso km kala hela sijui mmeelewa ugomvi wao maana km hawaendi kuparfom hapo kwenye show walifata nn jamaa tapeli yule sasa wote wamekutana matapeli watupu hapo
@@hashimuuhehwa4252 kwani akiishi Toronto ndio anajua kila kitu
Inavyoonekana Pck kampiga huyo jamaa na wasanii hawajui chochote,ndio maana mziki wa east Africa hauendi kimataifa,
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wite inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wabakwebda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia.
Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
Pck ni noma alimtapeli wema sepetu penz na pesa juu itakuwa huyo elly tena ashukuru hata hajagongewa yai
Mbosso mukweli sana nampenda yulekaka jamani kalibu Danmark
❤❤❤❤❤
Kwanza Huyu mtu limbukeni tuko Uko lkn hajastarabika Ety awe mtu mkubwaaaaa
Mungu kalipa maana ht ww ni tapeli ulitapeli watu kuwapeleka canada wakatuma pesa zao mwisho wa ck hakuna safar mpk leo malipo ni hap dunian
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia.
Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
AFU UYO JAMAA MBONA ANAONEKANA NICHOKO UYO JAMAA WA KANADA
Muha ya uyo
Haeleweki😂😂
Unaona mbari jamaa ni kipusa
Hiko kijamaa ninapenda penda kujulikana sana.. Na hakuna mtu anaweza kuzuia mtu mwingine kutofanya show Nchi yeyote
Huyu Eli,anaonekana hayuko sawa anamakasiriko ,hayuko sawa hata kwakumuangalia sura,tumsamehe Bure,maisha magumu yanamsumbua,Watanzania wazarendo tumsamehe bure
Sky, u dont sleep😮😮😮😮
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia.
Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
Elly unaongea sana , umechanganyikiwa na life ya ughaibuni wewe, tuliza mshono.
Umesema kweli jamaa anapayuka
@@ndukulusudikucho_Aisee!! yule jamaaa nilishamblock like each and everywhere 😊
@@ndukulusudikucho_yani mwanaume amekaa kama mtu wa mipasho 😂 anadhani atachafua majina ya hawa wasanii
Who going to bring back your money?
Who told you to invest for the artist you didn't have any agreement with them
We andika kiswahili basi English gani chafu hiyo
Ok. Nakwelewa lakini mbona ukatumia lugha mbaya kumjibu? Si ungesema hivi tu...pole jamani mwenzangu MuTZ!
Tusi wahamini sana wa sanii wetu wa tanzania 🇹🇿. Wana tu danganya sana 😂😂😂😂😂😂
Kama yupo Toronto basi wamekula pesa kweli wamlipe pesa kaka wa watu 😢😢😢
We matako kweli sasa kwan kuwa huko ndio lazima aperform hata kama hajalipwa au hujasikiliza vizuri maelezo pande zote mbili
Wamekutia hasara na wamekutukana Una kipara😂
😂😂😂
Haaaaaa elly kaingizwa cha kike aise pole sana kijana wangu
Wewe uwe Toronto usumbufu wenu tuta kupoteza huku Acha maneno dodo 😊
Jamaa kichomi saaana na alazimisha umaarufu saana, mdomo wake ndio mchawi wake
❤❤❤❤❤❤❤
Private Jet ee😅..hangaika ivo ivo😂🙌🏻
Tapel katapeliwa anapiga kelele tuliza futa ilo boya ww Elly jambazi
Ko nd umenuna kuambiwa una kipara ama😂😅🙌🏻
Waambie ukweli
Mboso kajieleza vizuri sana. Eti $4,000 .... Business class ticket yake ni zaidi ya US$5,000😂
Elly ni shoga alishajeuzwa na wazungu muda simrefu ataikana nchi yake. Njaa imemponza kaacha maisha bongo kaenda fanywa mke daah
dahh yule jamaa simuelewagii kabisaa
Sema hiyoo ya kipara imemuuma sanaa😂😂😂
PCK ndio mchawi wa kila kitu hapo ndio maana mboso alipouliza hakufunguka
Wamuulize wema sepetu pck alimtapelu wema penzi na pesa juu
Kwan Dollar 4000 si ni sawa na milion 10, sasa appearance tu unaikataa milion 10😂😂😂, daah sasa mimi hapa duniani nafanya nin
Dollar 4000, Kuna expenses zake, Kuna percentage ya kampunj,na Kuna asilimia yake,atabaki na ngapi
Itakuwa promota kamzunguka uyo elly
😂😂anaijua wasafi
Huyu jamaa anaongea ukweli sio kwamba anamuchafua nyie Tanzania munajua nikuchafua jina jamaa kaingiza pesa
HUYU JAMAAA NI MLEVI HAJUI ATA ANAONGEA NIN
😂😂😂😂😂😂😂 Tulia ww ushapigwa watu washaelekeaaaa😂😂😂😂
yani kama utamtizama kwa makini huyu jamaa utamjua huyu ni mlevi
Ww jamaa ungelikuwa na akili timamu kama mwanaume haswa nasio shoga Kwa myaka yote upo Toronto ugaibunu uko ungelikuwa umesha funguwa hata viwanda 20 I chini ukaonekana mtu wa maana ila kwasababu utaandikwa kwenye kitabu Cha uzima Cha club apo sawa zuzu weee nenda kashtaki mahakamani kama unataka ulipwe Hela zako😂😂😂
Hatuwez kuamn hadi hao mapromoter waseme jambo kukutetea ....
Ila wakikaa kimya ... Kitakuramba😂😂😂😂
Elly yeye ndio tapeli nayeye katapeliwa yeye msimuamin tapeli sna sna
Kijana Kaliwa pesa ndo Upara Utazidi Kuwa Mpana kichwa Kizima. 😂😎
😂😂😂😂jamaa kapigwa 😂😂😂😂
Na ujanja wooote wakuishi Canada kumbe limeibiwa😂😂😂😂
Mapromota ndio wametapeliana,wasani hawana makosa
Shisha inanywewa cku hz na hamsemi???😂😂😂
Uyo elly anajiita professor afukaingizwa mjini . Tangu sikugani professor akawa promotor? 😂😂
Wasanii wa tz sio wa kweli kabisa
Ufala unakusumbua unaonekana limbukeni ukiona mtu anaishi ughaibuni unaona ndio wamaana ndio mnakuaga mashoga nyie kisa kujifanya mnaakili za kimamtoni
@@imanimhagama4647 hakuna mnachokijua zaidi ya uongo tu na maneno mengi pasipo kufikiria. Wewe kama haujawai kushuudia vituko vya wasani wa tz kila mara wakiwa na show nje ya Africa unatakiwa kuuliza ili uambiwe na wala usiwe kama kijifala fulani ambacho hakijielewi. Mpumbavu wewe. Tena shoga mkubwa sana wewe na ndio maana mziki wenu ni wa matusi wa na umbea tu.
Mbosso unajua jimsogani uyujamaa alivoibiwa wewe umo
😂😂😂😂😂 home boy mm nipo pamoja naww wasanii wakibongo mieyusho
@HansChuma. Kabla ya kumuunga mkono na kuanza kulaumu ebu fikiriya vipi utatowa hela yako bila kuongeya na muhusika? Thinking before to blame
Huyu tapeli😂😂😂
😂
If you know and you know exactly your home is Africa. Please stop scamming people who live in Europe. The technology here in Europe is on next level. I really hope that mbossa is not involved if he is involved. It will end up sadly not just in medias. But in life time for sure
kwahiyo huyo jamaa mwwndawazimu ?? REJESHA HELA ZAWATU WEE KENGEEE
Matako ww acha makasiriko shoga ww
Huyo jamaa asikuumisheni kichwa kwa nxa hana uwexo wakupromo mtu hasa wasanii kama mbo uyo jamaa ni porojo tu na kama hamuamini mfuatiliyeni tik tok porojo tu huyo
Sababu ya mbosso kuambiwa apitie Toronto ni kwasababu huyo promoter wake alikua amekula hela ya huyo dogo
Huyo jamaa anatafuta kiki tu , aache kuchafua majina ya watu
Mbosso kama kweli kafanyeni show mmalize tofauti zenu
Mboso alifanya vibaya kutusi vifara . Mimi kipara nilihisi mbaya sana
😂😂😂😂 zamanı mlikuw mnauwa huko Shinyanga 😅pole sana
😂😂 pole kaka
Onyosha mikataba
Elly atulie hajui lolote😂😂😂😂😂
Kaumiy alipoambiw anakipara khaaa
Muombe msamaha shabiki wewe usijifanye mwerewa
Ely kila siku anajifanya mjanja kakutana nawajanja wenzie kama pck
Amuulize wema sepetu😂😂😂