MBOSSO amjibu ALIYEMSHUTUMU kuchukua $4k TORONTO na kutotokea 'Simjui, namuonea huruma ameibiwa'

Sdílet
Vložit

Komentáře • 95

  • @gagedamoursarusaru8079
    @gagedamoursarusaru8079 Před 16 dny +8

    Hapa Canada utapeli kwenye show iko mingi mno!

  • @paulhema5713
    @paulhema5713 Před 16 dny +18

    Mbossso anaongea ukwel ...nothing hidden there....sijui nimepatia icho kiswainglish😂😂😂.....uyo jamaa anaonekana amekurupuka

    • @pendo8082
      @pendo8082 Před 16 dny +3

      Elly hajui lolote 😂😂

    • @hashimuuhehwa4252
      @hashimuuhehwa4252 Před 16 dny

      Hapa mnashindwaje kumuelewa Elly mbona hoja yake inaeleweka kabisa!

    • @hashimuuhehwa4252
      @hashimuuhehwa4252 Před 16 dny +1

      ​@@pendo8082 Acha uongo Elly kaeleweka vizuri sanaa, labda nikuulize umeelewa nini

    • @Official83640
      @Official83640 Před 15 dny

      ​@@hashimuuhehwa4252Pck kapokea pesa nakuwapeleka pale kina Mbosso ili watu wajue km wataparfom lkn kumbe Pck hakuwaambia kina Mbosso km kala hela sijui mmeelewa ugomvi wao maana km hawaendi kuparfom hapo kwenye show walifata nn jamaa tapeli yule sasa wote wamekutana matapeli watupu hapo

    • @pendo8082
      @pendo8082 Před 15 dny

      @@hashimuuhehwa4252 kwani akiishi Toronto ndio anajua kila kitu

  • @AbdulGermany210
    @AbdulGermany210 Před 16 dny +11

    Inavyoonekana Pck kampiga huyo jamaa na wasanii hawajui chochote,ndio maana mziki wa east Africa hauendi kimataifa,

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 Před 15 dny

      Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wite inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wabakwebda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia.
      Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.

    • @imanimhagama4647
      @imanimhagama4647 Před 8 dny

      Pck ni noma alimtapeli wema sepetu penz na pesa juu itakuwa huyo elly tena ashukuru hata hajagongewa yai

  • @karirekinyana9759
    @karirekinyana9759 Před 15 dny

    Mbosso mukweli sana nampenda yulekaka jamani kalibu Danmark
    ❤❤❤❤❤

  • @latifahali8228
    @latifahali8228 Před 16 dny +5

    Kwanza Huyu mtu limbukeni tuko Uko lkn hajastarabika Ety awe mtu mkubwaaaaa

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před 16 dny +4

    Mungu kalipa maana ht ww ni tapeli ulitapeli watu kuwapeleka canada wakatuma pesa zao mwisho wa ck hakuna safar mpk leo malipo ni hap dunian

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 Před 15 dny +3

    Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia.
    Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.

  • @LeonardmpembaMsemakweli-q8s

    AFU UYO JAMAA MBONA ANAONEKANA NICHOKO UYO JAMAA WA KANADA

  • @Zenny89
    @Zenny89 Před 16 dny +5

    Hiko kijamaa ninapenda penda kujulikana sana.. Na hakuna mtu anaweza kuzuia mtu mwingine kutofanya show Nchi yeyote

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 Před 16 dny +1

    Huyu Eli,anaonekana hayuko sawa anamakasiriko ,hayuko sawa hata kwakumuangalia sura,tumsamehe Bure,maisha magumu yanamsumbua,Watanzania wazarendo tumsamehe bure

  • @strong8534
    @strong8534 Před 16 dny +7

    Sky, u dont sleep😮😮😮😮

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 Před 15 dny

      Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia.
      Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Před 16 dny +8

    Elly unaongea sana , umechanganyikiwa na life ya ughaibuni wewe, tuliza mshono.

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ Před 16 dny +1

      Umesema kweli jamaa anapayuka

    • @davidshaban7375
      @davidshaban7375 Před 16 dny

      @@ndukulusudikucho_Aisee!! yule jamaaa nilishamblock like each and everywhere 😊

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 Před 16 dny

      ​​@@ndukulusudikucho_yani mwanaume amekaa kama mtu wa mipasho 😂 anadhani atachafua majina ya hawa wasanii

  • @antonimwamahonje
    @antonimwamahonje Před 16 dny +5

    Who going to bring back your money?
    Who told you to invest for the artist you didn't have any agreement with them

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 16 dny

      We andika kiswahili basi English gani chafu hiyo

  • @pendonoor8869
    @pendonoor8869 Před 16 dny +1

    Ok. Nakwelewa lakini mbona ukatumia lugha mbaya kumjibu? Si ungesema hivi tu...pole jamani mwenzangu MuTZ!

  • @sadikilumumba1370
    @sadikilumumba1370 Před 16 dny +12

    Tusi wahamini sana wa sanii wetu wa tanzania 🇹🇿. Wana tu danganya sana 😂😂😂😂😂😂

  • @isunga1964
    @isunga1964 Před 16 dny +2

    Kama yupo Toronto basi wamekula pesa kweli wamlipe pesa kaka wa watu 😢😢😢

    • @imanimhagama4647
      @imanimhagama4647 Před 8 dny

      We matako kweli sasa kwan kuwa huko ndio lazima aperform hata kama hajalipwa au hujasikiliza vizuri maelezo pande zote mbili

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Před 16 dny +3

    Wamekutia hasara na wamekutukana Una kipara😂

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 16 dny +8

    Haaaaaa elly kaingizwa cha kike aise pole sana kijana wangu

  • @kingbyaro6016
    @kingbyaro6016 Před 14 dny

    Wewe uwe Toronto usumbufu wenu tuta kupoteza huku Acha maneno dodo 😊

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 16 dny +2

    Jamaa kichomi saaana na alazimisha umaarufu saana, mdomo wake ndio mchawi wake

  • @othinielkamyola3697
    @othinielkamyola3697 Před 16 dny +1

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @t.y.g.a_
    @t.y.g.a_ Před 15 dny

    Private Jet ee😅..hangaika ivo ivo😂🙌🏻

  • @jumamuhamed8636
    @jumamuhamed8636 Před 16 dny +7

    Tapel katapeliwa anapiga kelele tuliza futa ilo boya ww Elly jambazi

  • @t.y.g.a_
    @t.y.g.a_ Před 15 dny

    Ko nd umenuna kuambiwa una kipara ama😂😅🙌🏻

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews Před 16 dny

    Waambie ukweli

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 Před 15 dny

    Mboso kajieleza vizuri sana. Eti $4,000 .... Business class ticket yake ni zaidi ya US$5,000😂

  • @mkulimatanzania
    @mkulimatanzania Před 16 dny

    Elly ni shoga alishajeuzwa na wazungu muda simrefu ataikana nchi yake. Njaa imemponza kaacha maisha bongo kaenda fanywa mke daah

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy1590 Před 13 dny

    Sema hiyoo ya kipara imemuuma sanaa😂😂😂

  • @SadaDamas-jh2gt
    @SadaDamas-jh2gt Před 16 dny +1

    PCK ndio mchawi wa kila kitu hapo ndio maana mboso alipouliza hakufunguka

    • @imanimhagama4647
      @imanimhagama4647 Před 8 dny

      Wamuulize wema sepetu pck alimtapelu wema penzi na pesa juu

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 Před 16 dny +1

    Kwan Dollar 4000 si ni sawa na milion 10, sasa appearance tu unaikataa milion 10😂😂😂, daah sasa mimi hapa duniani nafanya nin

    • @menlandmutashobya8377
      @menlandmutashobya8377 Před 10 dny

      Dollar 4000, Kuna expenses zake, Kuna percentage ya kampunj,na Kuna asilimia yake,atabaki na ngapi

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Před 16 dny +1

    Itakuwa promota kamzunguka uyo elly

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 Před 16 dny +1

    😂😂anaijua wasafi

  • @user-fx2fn2qs3t
    @user-fx2fn2qs3t Před 16 dny +1

    Huyu jamaa anaongea ukweli sio kwamba anamuchafua nyie Tanzania munajua nikuchafua jina jamaa kaingiza pesa

  • @mudiskaina2342
    @mudiskaina2342 Před 16 dny +1

    HUYU JAMAAA NI MLEVI HAJUI ATA ANAONGEA NIN

  • @yama_virginhairthequeen1065

    😂😂😂😂😂😂😂 Tulia ww ushapigwa watu washaelekeaaaa😂😂😂😂

  • @mudiskaina2342
    @mudiskaina2342 Před 16 dny +1

    yani kama utamtizama kwa makini huyu jamaa utamjua huyu ni mlevi

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 Před 16 dny +9

    Ww jamaa ungelikuwa na akili timamu kama mwanaume haswa nasio shoga Kwa myaka yote upo Toronto ugaibunu uko ungelikuwa umesha funguwa hata viwanda 20 I chini ukaonekana mtu wa maana ila kwasababu utaandikwa kwenye kitabu Cha uzima Cha club apo sawa zuzu weee nenda kashtaki mahakamani kama unataka ulipwe Hela zako😂😂😂

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 Před 16 dny

    Hatuwez kuamn hadi hao mapromoter waseme jambo kukutetea ....
    Ila wakikaa kimya ... Kitakuramba😂😂😂😂

  • @alisalum2023
    @alisalum2023 Před 15 dny

    Elly yeye ndio tapeli nayeye katapeliwa yeye msimuamin tapeli sna sna

  • @itNeza
    @itNeza Před 16 dny

    Kijana Kaliwa pesa ndo Upara Utazidi Kuwa Mpana kichwa Kizima. 😂😎

  • @MasterVoltron-f9w
    @MasterVoltron-f9w Před 16 dny

    😂😂😂😂jamaa kapigwa 😂😂😂😂
    Na ujanja wooote wakuishi Canada kumbe limeibiwa😂😂😂😂

  • @dullahabdallah-nu1py
    @dullahabdallah-nu1py Před 15 dny

    Mapromota ndio wametapeliana,wasani hawana makosa

  • @noellahgervas90
    @noellahgervas90 Před 15 dny

    Shisha inanywewa cku hz na hamsemi???😂😂😂

  • @elijahbaraka9470
    @elijahbaraka9470 Před 15 dny

    Uyo elly anajiita professor afukaingizwa mjini . Tangu sikugani professor akawa promotor? 😂😂

  • @Bama959
    @Bama959 Před 15 dny

    Wasanii wa tz sio wa kweli kabisa

    • @imanimhagama4647
      @imanimhagama4647 Před 8 dny

      Ufala unakusumbua unaonekana limbukeni ukiona mtu anaishi ughaibuni unaona ndio wamaana ndio mnakuaga mashoga nyie kisa kujifanya mnaakili za kimamtoni

    • @Bama959
      @Bama959 Před 8 dny

      @@imanimhagama4647 hakuna mnachokijua zaidi ya uongo tu na maneno mengi pasipo kufikiria. Wewe kama haujawai kushuudia vituko vya wasani wa tz kila mara wakiwa na show nje ya Africa unatakiwa kuuliza ili uambiwe na wala usiwe kama kijifala fulani ambacho hakijielewi. Mpumbavu wewe. Tena shoga mkubwa sana wewe na ndio maana mziki wenu ni wa matusi wa na umbea tu.

  • @HassanMussa-vk3tj
    @HassanMussa-vk3tj Před 16 dny

    Mbosso unajua jimsogani uyujamaa alivoibiwa wewe umo

  • @HansChuma
    @HansChuma Před 16 dny +5

    😂😂😂😂😂 home boy mm nipo pamoja naww wasanii wakibongo mieyusho

    • @jimmyhabarugira4232
      @jimmyhabarugira4232 Před 16 dny +1

      @HansChuma. Kabla ya kumuunga mkono na kuanza kulaumu ebu fikiriya vipi utatowa hela yako bila kuongeya na muhusika? Thinking before to blame

  • @omarzinga7046
    @omarzinga7046 Před 15 dny

    Huyu tapeli😂😂😂

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 16 dny +1

    😂

  • @chrisjack4278
    @chrisjack4278 Před 15 dny

    If you know and you know exactly your home is Africa. Please stop scamming people who live in Europe. The technology here in Europe is on next level. I really hope that mbossa is not involved if he is involved. It will end up sadly not just in medias. But in life time for sure

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 Před 11 dny

    kwahiyo huyo jamaa mwwndawazimu ?? REJESHA HELA ZAWATU WEE KENGEEE

  • @user-ib7kn6fs4x
    @user-ib7kn6fs4x Před 16 dny

    Huyo jamaa asikuumisheni kichwa kwa nxa hana uwexo wakupromo mtu hasa wasanii kama mbo uyo jamaa ni porojo tu na kama hamuamini mfuatiliyeni tik tok porojo tu huyo

  • @hamisisalim8076
    @hamisisalim8076 Před 15 dny

    Sababu ya mbosso kuambiwa apitie Toronto ni kwasababu huyo promoter wake alikua amekula hela ya huyo dogo

  • @jeanpierrekwizera6400
    @jeanpierrekwizera6400 Před 16 dny

    Huyo jamaa anatafuta kiki tu , aache kuchafua majina ya watu

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 Před 16 dny

    Mbosso kama kweli kafanyeni show mmalize tofauti zenu

  • @djafro8729
    @djafro8729 Před 16 dny +4

    Mboso alifanya vibaya kutusi vifara . Mimi kipara nilihisi mbaya sana

    • @cocotz1892
      @cocotz1892 Před 16 dny +2

      😂😂😂😂 zamanı mlikuw mnauwa huko Shinyanga 😅pole sana

    • @aftapat5365
      @aftapat5365 Před 16 dny

      😂😂 pole kaka

  • @omarzinga7046
    @omarzinga7046 Před 15 dny

    Onyosha mikataba

  • @pendo8082
    @pendo8082 Před 16 dny +3

    Elly atulie hajui lolote😂😂😂😂😂

  • @awaynaaaa3490
    @awaynaaaa3490 Před 16 dny +2

    Kaumiy alipoambiw anakipara khaaa

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Před 16 dny +5

    Muombe msamaha shabiki wewe usijifanye mwerewa

  • @ndikumasabodiegovevo9091

    Ely kila siku anajifanya mjanja kakutana nawajanja wenzie kama pck