MCHUNGAJI HANANJA ampa onyo PAPA FRANCIS dini yetu hairuhusu ushoga ,watu wenyewe hela ndio chanzo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024

Komentáře • 835

  • @halemmmbarak16
    @halemmmbarak16 Před 8 měsíci +38

    Intelligent Hananja ur no 1 in a million nobody should make u feel otherwise. Keep going Hanaja ur the best.

  • @user-ml8rd7vm5o
    @user-ml8rd7vm5o Před 8 měsíci +28

    Napenda tu kukusikiliza baba mchungaji, Mungu akutunze sana.

  • @patrickmathiasnsalanga3401
    @patrickmathiasnsalanga3401 Před 8 měsíci +44

    Wewe ni shujaa, Asante sana baba mchungaji, umesimama katika haki ya Mungu. Sema ukweli ili watu wa Mungu waokolewe, kwa kauli yako maelfu ya watu wataokolewa, na mimi nakuhakikishia kwamba lazima Mungu akulipe kwasababu ya wema huu mkubwa. Mchungaji hongera,. Mungu aendelee kutupa nguvu ili tuendelee kulifukuza giza katika maisha ya watu wake ili siku moja tuvikwe ile taji ya uzima wa milele. Wewe ni kiongozi wa watu wa Mungu.

    • @monicamollel2899
      @monicamollel2899 Před 8 měsíci +2

      Kwa kweli Ni shujaa!. Mungu akutunze akupe Manisha marefu ili uendelee kunisaidia jamii yetu ya kiafrika ijitambue na kujikwamua ktk janga hili la aibu, fedheha na uvunjifu wa maadili yetu!. Kupitia mafundisho yako wengi watazinduka na kumgeukia Mungu kwa kufuata maagizo yake!.Thanks slot, be blessed Mchng. Hananja!.

    • @user-ml6lz4no9p
      @user-ml6lz4no9p Před 8 měsíci

      Assante sana Mchungaj vipige vile vita vizr vya Iman

    • @tinapius1865
      @tinapius1865 Před 8 měsíci +2

      hakika baba umesema ukweli mtupu mungu azidi kukuinua zaidi

    • @mildredachimpota5877
      @mildredachimpota5877 Před 8 měsíci +1

      Barikiwa baba na Mungu akutunze Kwa kusimamia ukweli

    • @saidimnyani3330
      @saidimnyani3330 Před 8 měsíci +1

      Uchafu

  • @jacksonkatana5152
    @jacksonkatana5152 Před 8 měsíci +10

    Mchungaji Hananja mungu akuzidishie miaka ya kuishi ili ulimwengu uelimike kupitia wewe,,i appreciate you daddy

  • @YusufMsumi-gx4ih
    @YusufMsumi-gx4ih Před 8 měsíci +40

    Mmimi ni muislamu nkupongeza sana mzee wangu mungu na atuongoze sote somo ni zuri sana na linaendana na mafundisho yoote ya mungu na maumbile ya mwanadamu

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 Před 8 měsíci +1

      Acha kujikomba

    • @micahlucky5613
      @micahlucky5613 Před 8 měsíci

      Nimependa point yako....kuliko wale wanaodai watu wahamie uislam....cjui ikitokea shehe maarufu akajitambulisha kuwa ni shoga au ikafahamika kuwa ni shoga sasa cjui hapo napo ashauri watu wahame uislam.....maana dhambi haina dhehebu wa dini....uzinzi unafanywa na dini zote...ushoga pia wanafanya kwenye dini ukristo na uislam maana watu wanakuwa wameamua kumwasi Mungu....mfano pwani michezo hii ya kufira ippo sana

    • @YusufMsumi-gx4ih
      @YusufMsumi-gx4ih Před 8 měsíci

      Kasome tena uislamu utanielewa nilichoongea na sio dhana unayonijengea ان بعض الظن اثم hivo ndivo Allah anavosema

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Před 8 měsíci

      Wewe una roho chafffu mno jitakasae na jik😂😂​@@hijazhija316

    • @betrackjasson6698
      @betrackjasson6698 Před 8 měsíci

      Kweli kaka

  • @user-cn1od2mm6c
    @user-cn1od2mm6c Před 8 měsíci +5

    Nimebarikiwa na hekima zako umenena ukweli kabisa mafundisho ni muhimu kuliko sadaka zaidi sadaka zinanguvu lakini mafundisho kwanza watu wamjue Mungu washike imani kweli kweli, baba mchungaji barikiwa kwa ushauri mzuri 🙌

  • @TimotheoBulimwengu
    @TimotheoBulimwengu Před 7 měsíci +2

    Aminaaaaaaaah Aminaaaaaaah Aminaaaaah na Ubarikiwe sana na hakika Mungu akuongezee maarifa na uwepo wa nguvu na uweza wake maradufu ,kwajili ya ushujaa mkubwa huo

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp Před 7 měsíci +1

    Hongereni sana baba kwa uvumbuzi ulio na haki ubarikiwe san mtumishi

  • @EliyaJames-fn3dz
    @EliyaJames-fn3dz Před 8 měsíci +2

    Safi sana mchungaji Hananja wewe ni baraka sana katika kizazi hiki.Wewe ni sauti ya Mngu katika kizazi hiki

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před 8 měsíci +6

    Mtumishi wa Mungu baba yangu Hananja Mungu akubariki na akuongeze maarifa na na maisha marefu ya kuishi ili Mungu azidi kupokewa mioyoni mwetu Mungu akutie nguvu

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Před 8 měsíci +12

    Ubarikiwe Hananja
    Wapo watu hata kama
    Kuna jambo la haki
    Lakini kwa sababu ya imani yake
    Anageuza haki kua batil

  • @denisoruru-yv3fk
    @denisoruru-yv3fk Před 8 měsíci +3

    I like the fact that he quotes scriptures to support his arguments. It's our responsibility to speak against any practice that goes against the word of God and our values as a community.

  • @user-mo6uv5ew9h
    @user-mo6uv5ew9h Před 8 měsíci +3

    "Tupate wapi tena mtu kama huyu, ambaye Mungu anakaa ndani yake! Mungu akutunze Mchungaji Hananja.

  • @nyansilujoseph-pm8im
    @nyansilujoseph-pm8im Před 8 měsíci +10

    Kama umesikia vizuri dakika ya 7:52 gonga like 😂😂😂

  • @kennix6457
    @kennix6457 Před 8 měsíci +1

    Siku izi ni kutoa to kanisani ndo Cha muhimu watu wanatoa na Bado wanaendelea kuwa maskini mpaka mwisho maana hamfuzwi mambo ya maisha ,kazi mapenzi .watu wataendelea kuteseka .Asante sana mchungaji

  • @bravesilubonde4350
    @bravesilubonde4350 Před 8 měsíci +15

    Shusha namba pasteri sadaka inakuhusu

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella9651 Před 8 měsíci +3

    Mi ni muislam ila haya ni maneno ambayo hata mungu mwenyewe anafurahi kuyasikia... mungu ni mmoja tuu na wote tumetokana na adam na hawa au adam wapili Nuhu.

  • @damiankilyenyi5367
    @damiankilyenyi5367 Před 8 měsíci +3

    Yesu hakuleta dini alileta wokovu na hata waliomuua walikuwa ni viongozi wa dini ya kiyahudi. Kwa watu wengi kuabudu dini na kufuata mapokeo ya wanadamu dini zimekuwa magereza ya kufungia watu wasiujue ukweli wa neno la Mungu na wote watakwenda motoni.

  • @ammaherman3391
    @ammaherman3391 Před 8 měsíci +5

    Kama uliskiliza vizuri kwenye dakika ya 7:52 gonga like😁😆😂🤣😄😃barikiwa sana Mch. Hananja.

  • @sarambise
    @sarambise Před 8 měsíci +1

    Thanks,it is fact.. tumrudie Mungu hakika

  • @abdallahmtula9467
    @abdallahmtula9467 Před 8 měsíci +10

    Tunashukuru sana kwa maneno yako mazuri na yenye baraka tele ndani yake.

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 Před 8 měsíci +2

    Umenena vyema ukweli wote hongera sana Mchungaji. Hii dunia imeporomoka vibaya sana. Hata kama amesema nani mbona nature tu haipo hivyo, hapo ndipo ule ukweli wa imani utakapokuja kubaki suala la mtu binafsi na Mungu. Dunia inaenda wapi kutetea ushoga live!!

  • @ASALABOY
    @ASALABOY Před 8 měsíci +18

    Bongo Touch umefanya Jambo lamana sana kutuletea mchungaji kutupa Helimi mzuli asante.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇲🇿

    • @baoussenesombair8007
      @baoussenesombair8007 Před 8 měsíci

      🇲🇿🍎

    • @petsmore9955
      @petsmore9955 Před 8 měsíci

      Misinterpretation! Kubaruki alikozungumzia papa siotafsiri Hiyo.! Alisema waombewe kwa maana hiyo! Haujamwelewa papa. Acha povu!!!

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 Před 8 měsíci

      @@petsmore9955 kuwabari ni kuwatambua,wewe ni mbumbumbu,utakwenda jehanamu

    • @petsmore9955
      @petsmore9955 Před 8 měsíci

      @@odilomwemeziernest646 wewe na chungaji wako wapumbavu sana. Kwa akili na elimu yenu ndogo mnafikiri Mungu ni babu yenu na tayari mko mbinguni na mnapanga was kuingia mbinguni na wale was jehenamu. Pumbavu tena wanafiki wakubwa!
      Kile kisa cha mwanamke aliyefumaniwa kwa uzinzi Yesu alimfanyaje Kama hakumbariki?
      Someni biblia vizuri na muombe kueleweshwa pale ambapo mnapelea hamna kitu mnachoelewa nyie!
      The Catholic church is not a mushroom church like that of the pastor you claim to have spoken sensibly. In fact he is just speaking emotionally out of his little biblical knowledge.

  • @cyprianmgogo7625
    @cyprianmgogo7625 Před 8 měsíci +3

    UBARIKIWE SANA BABA MCHUNGANI UMEKEMEA KWELI KWELI ,UPO SAHIHI KOMALIA KAULI ZAKO,HULE MZEE AMEZEEKA VIBAYA HATA AMESAHAU KAMA SIKU SI NYINGI ITABIDI ATOE MAHESABU, KATIKA HILI MZEE AMEFULIA CHOONI.

  • @nassorally8139
    @nassorally8139 Před 8 měsíci +4

    Mchungaji nakukubali Sanaa japo mimi ni muislamu tena no Ustadh kabisaa lakini unauelewa mzuri na ufafanuzi mzuri wa mambo yenye kutatiza natamani wakristo wapate ufahamu na kujitambua kwa maneno yako ya hikma

  • @user-zw6hk9rl8d
    @user-zw6hk9rl8d Před 6 měsíci

    Roho matakatifu na imani ndo muongozo wa mwanadamu katika ulimwenguu huu, ubarikiwe sana mchungaji Mungu akutie nguvu zaidi Ameni kwa hakika umenena sikuweza kuamini kama kiongozi mkubwa vile angeweza kusema kauli ya vile Kuna mikoa kama mara hatujui kabisa kama mambo hayo yapo kwa hakika MUNGU ATUONGEZEE IMANI,AMEN🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MaryAmaiza-th2fo
    @MaryAmaiza-th2fo Před 8 měsíci +3

    Napenda huyu pastor,jasiri naungana na ww huo ni ushetani tu 🇰🇪🙏.

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 Před 8 měsíci +2

    Mungu akuinue mtumishi wa Mungu ,kweli cha Mungu kibaki kuwa cha Mungu na cha binadamu kibaki kuwa cha binadamu ,mm pia sikubaliani na suala la ndoa ya jinsia moja.

  • @endrewmwasomola6506
    @endrewmwasomola6506 Před 8 měsíci +4

    Mungu akulinde pastor wangu

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 Před 8 měsíci +2

    Pastor Hananja...naomba uheshimiwe🙏

  • @masoudymichael
    @masoudymichael Před 8 měsíci +3

    Mwaka umeisha vizuri kwa kuwa na watu ambao wanaweza kumchallenge kiongozi wa dini❤

  • @SmilingJellyFish-vf6xy
    @SmilingJellyFish-vf6xy Před 8 měsíci +1

    Bwana yesu. asifiwe.
    Kuomba
    Mungunibidii yeye papa
    Anataka
    Kudupotez
    Sisitunaelewa mungu
    Haduhamgaliye papa
    Atoke hapo mujinga
    Bwana yesu
    Asifiwe

  • @LovenesyMhame
    @LovenesyMhame Před 2 měsíci

    Amina mchungaji wew n kioo ch jamii unafaa kuingwa n jamii kwa mafundish yak n elim uliy nayo

  • @JaphetBigirimana-hp8ir
    @JaphetBigirimana-hp8ir Před 8 měsíci +1

    napenda huyu baba wetu hongera sana

  • @WingoAsake
    @WingoAsake Před 3 dny

    Mwenyezi mungu akupe maisha marefu mzee

  • @mayungakisinza6090
    @mayungakisinza6090 Před 8 měsíci +10

    Padri, askofu wote wapo lkn hakuna anae simama kukemea wanawaza sadaka na matoleo na kuacha ujinga kama huu uendelee

  • @ZaycargoMovers-vx6lf
    @ZaycargoMovers-vx6lf Před 8 měsíci +1

    Mchungaji uko vizuri. Ubarikiwe

  • @ConfusedDaisies-rb5
    @ConfusedDaisies-rb5 Před 8 měsíci

    Binafsi napenda sana mahubiri ya mchungaji R. Hananja, Mungu akubariki sana mtumishi

  • @ustadhsaidi3801
    @ustadhsaidi3801 Před měsícem

    Vijana Wanaopandana wao kwa wao, Wanataraji Nini Baada ya Maisha ya DUNIANI?
    Ubarikiwe Mch. HANANJA

  • @user-qt5uy9mt4y
    @user-qt5uy9mt4y Před 8 měsíci +1

    Nashukuru sana kwa kumea uchafuo kwakweli tuungane sote wenye kuelewa SoMo la mchungaji kukataa kwa maneno na kwa Sala atuondolee janga hili nashauri mtu atakayefanya ushoga ktk jamii atengwe Kila aina ya kijamii ya msingi maana mtu kama huyo ni shetani kabisa mchungaji mungu akitunze

  • @robertevarist1595
    @robertevarist1595 Před 8 měsíci +1

    Baba mchungaji Hananja unasema ukweli Mwenyezi akubariki sana, japo si wakamilifu kwa kila kitu lkn kwa hili la ndoa za jinsia moja halijubariki kamwe.

  • @hawa6052
    @hawa6052 Před 8 měsíci +6

    Hananja ukweli daima usihofu nani anasema nini hapa ukweli tu Hadi mwisho wa Dunia

  • @kitonkamanase2529
    @kitonkamanase2529 Před 8 měsíci

    Mungu yupo kazini Wote mnaunga mkono mambo ya ovyo ambayo biblia imeshasema ni dhambi Mungu anawaona sana ipo siku mtamjua tu
    Mungu baba wape nguvu watu wako wote wanaokuamini na kukutumikia kwa roho na kweli
    Mchungaji uliyefukuzwa kazi simamia haki ya neno la Mungu.
    Mungu yupo upande wako usihofu Kaza macho yako kwa Bwana atakupigania !!

  • @yusuphsitta2400
    @yusuphsitta2400 Před 8 měsíci +5

    Isa 58:1-4 SUV
    Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao. Walakini wanitafuta kila siku; hupenda kujua njia zangu; kama vile taifa waliotenda haki, wasioacha sheria ya Mungu wao

  • @rosendubi5207
    @rosendubi5207 Před 8 měsíci

    Amina , Mungu akubariki sana kwa kusema ukweli, endelea kusambaza ujumbe kwa nchi yote.

  • @pacsnomventures8016
    @pacsnomventures8016 Před 8 měsíci +1

    Mungu akubariki mchungaji

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 Před 8 měsíci +1

    Amen neno la Mungu lipo pale pale na kwa hilo tutahukumiwa kwalo

  • @user-nz4ff6dq4t
    @user-nz4ff6dq4t Před 8 měsíci +1

    Watanzania simameni kidete mkikuli tu kurusu ushoga huyi ngie Tanzania mumerusu lahana maana hiyo nilana kubwa, tangu lini mwanaume kwa mwanaume wakaowana, huo papa mjinga sana tena sana

  • @nashonkibayayu3776
    @nashonkibayayu3776 Před 8 měsíci

    Mungu akuzidishie ujasiri na kujiamini zaidi. Wachungaji wengi WAOGA. Ee Mungu inua na wengine waweze kujiamini. Siyo kila jambo ". OH! HESHIMUNI WENYE MAMLAKA, KILA MAMLA IMETOKANA KWA MUNGU"

  • @catjnyang423
    @catjnyang423 Před 8 měsíci +1

    You are one of my heroes

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 Před 8 měsíci +1

    Mungu akubariki sana mtumishi, hawa maajent tuwapinge kabisa

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 Před 8 měsíci +5

    Asante mchungaji kukemea kabisa kabisa uchafu wa huyu wakala wa ibilisi

  • @user-xl5xi1uq9z
    @user-xl5xi1uq9z Před 6 měsíci

    True ,waambie ukweli mchungaji,viongozi wengine wa dini wanaona aibu kukemea ,wamekaa kimya

  • @user-nz6xy1vs5i
    @user-nz6xy1vs5i Před 5 měsíci

    Sema kweli baba na Mungu akubariki

  • @salehothman6144
    @salehothman6144 Před 8 měsíci +11

    Wenye Dini yao washaamua ndugu zanguni ,kila mwenye akili sasa atajua wapi pa kuelekea!

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Před 8 měsíci +4

      SISI hatuendi kokote alieanguka kiimani ni YEYE mwenyewe UKRISTO ni sahihi

    • @user-kx7ob5rx4p
      @user-kx7ob5rx4p Před 8 měsíci +3

      Waroma sio wakristo

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 Před 8 měsíci

      @@user-kx7ob5rx4p Hata biblia ipo mikononi mwao na wao ndio waandishi wa mwanzo, na wamarekani, Wagiriki na Kiingereza Waingereza, Sasa ukristo umetokana na wao na hata Paul mwenyewe alikuwa Mroma au hujui yeye ndio chimbuko la ukristo Wa mataifa? Tena Paul yeye hakuwa na maono au wahai zaidi yeye alikuwa na barua na waraka, Sasa unategemea barua au waraka wa Paul kwa wagaratia iwe neno lake MUNGU? Yeye ndie mtume Wa kwanza mzungu tena Mroma

    • @gabrielsaelie8091
      @gabrielsaelie8091 Před 8 měsíci +2

      ​@@josephwilliam5813Ameshaukana ukatoliki maana ukatoliki ni lazma uwe MTII KWA PAPA. Kulila na na imani ya kikatoliki Papa hakosei na wakili wa Kristo hapa dunia ni.

    • @Secondborn_
      @Secondborn_ Před 8 měsíci +2

      Dini zote zina wenyewe mzee 😂...

  • @rosemwangi-yp9ol
    @rosemwangi-yp9ol Před 8 měsíci +5

    Nataka kuwaelezea ukweli kwamba watu wengi na media wamyongea vibaya lakini kama hujaelewa usiongee vitu usivyovijua. Utajikosea mwenye na wengine wasiolewa. Katika mafunzo ya katoliki yatuelezea vizuri Mungu kaumba mke na mume waishi pamoja kama familia yake Kikristu. Papa kasema hawa watu wapo kanisa mtu akija abarikiwe ili Mungu amusaidie kujielewa na kuishi maisha inayofaa kama kama

    • @user-jq1ny9lx4e
      @user-jq1ny9lx4e Před 8 měsíci +6

      We pia ni shoga

    • @donjb3178
      @donjb3178 Před 8 měsíci

      Tatizo una udini mwingi ndio mana hata kama jambo la hovyoo likisemwa huwezi fanya maamuzi kwasababu akili yako ishachukuliwa mateka fata njia ya Yesu ndio uzima pekee uliobakia ulimwenguni mana dini zimekuwa njia za kuruhusu mambo ya hovyoo kuwa ya heshima kitu ambacho sio sawa

    • @veeJesus
      @veeJesus Před 8 měsíci +1

      Acha udini wewe papa atakupeleka kuzimu. Acha kumtetea shetani. Mfate Mungu Soma bible papa wenu hayupo na nyie tena

    • @foroforoy2554
      @foroforoy2554 Před 8 měsíci +1

      Wanagapi wamebarikiwa wakaacha ushoga?

    • @veeJesus
      @veeJesus Před 8 měsíci

      @@foroforoy2554 swali zuri

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 Před 8 měsíci +1

    Shukran sana mchungaji hananja

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 Před 8 měsíci +6

    Ubarikiwe sana Mzee Yani papa anatureteye ushoga na yeye mwenyewe ni shoga papa kenge kahaba mwana Haram amelaniwa God help us God bless Africa 🌍 God bless 🙏

    • @levinachuwa7622
      @levinachuwa7622 Před 8 měsíci

      Mshenzi sana wewe mwenye mihemko, ukome kumtusi na kumdhihaki kiongozi wetu wa kanisa Papa Fransis. Uwe na adabu. Pope anaongea kuhusu kubariki yeyote, kuwaelekeza na kuwaombea. Hukumu ni juu ya Mungu. Wewe kama nani umhukumu! Shuwaini 😞

    • @NeemaSulle
      @NeemaSulle Před 8 měsíci

      Pole mwananyamala umeumia sana

    • @hassanyohna6121
      @hassanyohna6121 Před 8 měsíci

      Pastor uishi sana continue to multiply beyond measure.....👍

    • @hassanyohna6121
      @hassanyohna6121 Před 8 měsíci

      Pastor uishi sana continue to multiply beyond measure.....👍

  • @mathiasjames
    @mathiasjames Před 8 měsíci +3

    Barikiwa sana

  • @victoriamumwi1769
    @victoriamumwi1769 Před 8 měsíci +2

    Unapotoa comment ufikirie mara mbili, uelewe zaidi mwenzako alikuwa anamaanisha Nini, nampenda sana kumsikiliza Ananja, lakini katika hili kakurupuka kumkashifu mwenzake, arudie kusoma au kumsikiliza mara mbili hakuna sehemu Papa amekubaliana na ushoga Wala usagaji, anakemea vyote na kanisa linakemea

  • @enoszaka-tx8qw
    @enoszaka-tx8qw Před 8 měsíci

    huwa nakuelewa sana mchungaji hananja mwenyezi mungu anakuona atatenda muujiza kwako ili sauti yako ikawaguse watu wote na waache

  • @kazinzangonda230
    @kazinzangonda230 Před 8 měsíci +1

    Safi sana mchungaji aisee ninakukubali sana

  • @JumaMnyonge-js7db
    @JumaMnyonge-js7db Před 8 měsíci

    Unadanganya yesu si mwaanzilishi wa ukristu muanzilishi uyu hapa
    Matendoe ya mtume 11:28
    Wakorintho WA Kwanzaa 4:15
    Mathayo 22:26 Paul ni Mrumi wakuzaliwa
    Usimsemeye Yesu uongo tafadhali

  • @JohnmasesalutandaguraJohnmases

    Kwer tuchane pastor kwer nimekubali

  • @bonfacethepreacherinthehou7567
    @bonfacethepreacherinthehou7567 Před 8 měsíci +1

    Ndio Yesu ni mwenye imani

  • @kasigababa8596
    @kasigababa8596 Před 8 měsíci

    Asante sana Mzee wangu, Mungu akutunze

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 Před 8 měsíci +1

    Asante sana mchungaji

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 Před 8 měsíci +5

    SAFI SANA MCHUNGAJI WA KWELI...

  • @JohnmasesalutandaguraJohnmases

    Kwer tuchane pastor vijana tumekuwa washenzi no 1

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před 8 měsíci +6

    Hivi lini wokovu iko kwenye kanisa la katoliki!! Kule hamna wokovu.

    • @angelsulle7177
      @angelsulle7177 Před 8 měsíci

      Wewe ni mbwa mbwekaji hakuna anaye kuhitaji Wakatoliki ni wengi mnooooo!!!! Ukabweke huko Barabarani

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m Před 8 měsíci

      @@angelsulle7177 sawa naweza kuwa mbwa!! Sina mbaya!! Sijazangumzia uwingi, hilo sio sababu. Nazungumzia wokovu. Haipo kwenye hili kanisa la katoliki. Endelea kunitukana, ila ukweli ndo hivohivo!! Cheki ulivyo, mtu wa Mungu hawezi kumtukana mtu!! Bado hujaokoka. Ww+katoliki hamna wokovu. Oky?

  • @JackobGalish-ky3no
    @JackobGalish-ky3no Před 7 měsíci

    Mzee yuko vizuri. Japo huwa anaongea kama masihara. Tunakataaa!'😂

  • @KandidoLuvanga
    @KandidoLuvanga Před 4 měsíci

    Ananja ukosawa munguakubariki sana

  • @trecygohy7847
    @trecygohy7847 Před 8 měsíci +1

    Papa hajaluhusu ndoa ya jinsia 1 ila ameruhusu baraka zitolewe kwao bila ubaguzi na sio ndoa n sawasawa wewe mtenda dhambi unavyo kwenda kwa mchungaji wako kumuomba kuibariki nyumba n.k chako

  • @lordorcas9344
    @lordorcas9344 Před 8 měsíci

    acsente Mutu wa Mugu Ubarikiwe Kamwe 🙏🙏🙏

  • @sixberthcostantini9290
    @sixberthcostantini9290 Před 8 měsíci +1

    Mchungaji tunakuombea Mungu akuwekee ulinzi katika maisha yako mimi niliroma lakn nimehama kwasababu kuna ushetan umejificha ndan yake
    Kilichonisikitisha zaid ni papa kuruhusu ndoa za jinsia moja inasikitisha sana kuwa maamuz ya aajabu sana kiongoz mkubwa wa din anaruhusu ushetan

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 Před 8 měsíci

      Roma hauna kama wewe

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 Před 8 měsíci

      Alikufungisha wewe hiyo ndoa

    • @micahlucky5613
      @micahlucky5613 Před 8 měsíci

      Kimsingi wakristo na waumini wengi ni bendera fuata upepo...wengi huwa hatuchunguzi imani zetu tunabugia tu kisa tumezaliwa tukakuta wazazi au ndugu ni waumini...we don't take time to study the history behind....ikitokea mtu mmoja anajaribu kututoa matongotongo ya imani fake tunakuwa wakali na hata kutukana matusi...sasa huwa najiuliza kama kweli mtu unaufaham ukristo wa kweli unatoa wapi mashiko ya kuanza kumtukana mtu kisa kapingana na mtazamo wako au na kile unachokiamini...kwann usichukue muda kuchunguza madai yake.kwa roho ya upole na maombi ili Mungu akufunulie....tujifunze kunyenyekea...Ukristi na imani sio vita

  • @evangelicalmiraclesfellowship
    @evangelicalmiraclesfellowship Před 8 měsíci +1

    Ur 100% collect ,

  • @Patience763
    @Patience763 Před 8 měsíci

    Mafundisho mema mchungaji MUNGU akubariki ❤❤

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Před 7 měsíci

    Mimi kama muislamu nakuunga mkono sana mchungaji. Wazungu wamepotea njia, wasikupotezeni ndugu zetu wakristo wa Africa.

  • @user-ey6ip5lf4p
    @user-ey6ip5lf4p Před 8 měsíci +1

    Amina uko sawa maama watu wanakubali kumheshimu Binadamu kuliko Mungu.... HII NDIO SAWA NA KUKUBALI CHAPA 666

    • @user-wq6er3ux5r
      @user-wq6er3ux5r Před 8 měsíci

      Acha waseme na bado..Daniel 7:25..papa alibadili sabato,leo amebadili ndoa,kesho anabadili biblia..

  • @jasonbella7733
    @jasonbella7733 Před 7 měsíci +1

    Ukiona mtu yeyote anampinga mch hananja kwenye hii mada ujue uyo ni shoga na anapenda kuingiliwa na wanaume wenzie.

  • @user-qn1yq1pi7p
    @user-qn1yq1pi7p Před 6 měsíci

    Great job Hananja👏

  • @andreamayengo966
    @andreamayengo966 Před 8 měsíci

    Mungu aendelee kukupatia maisha marefu uzidi kutoa na kufundisha elimu na neno la Mungu Biblia Iko wazi na tunashukuru kwa kuelezea baadhi ya vifungu,,,maana alichokiongea huyu mtu ni ushetani.

  • @Bitlontravels555
    @Bitlontravels555 Před 8 měsíci

    Asante Mtumishi. Ubarikiwe sana

  • @MarywamboKanyara
    @MarywamboKanyara Před 7 měsíci

    Woo great baba nitazidi kkusikiza

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx Před 8 měsíci +1

    Hallelujah hallelujah

  • @RenatusKayoka
    @RenatusKayoka Před 10 dny

    Wambie washezi Sana wanaofanya hivo ❤

  • @tuponearon7368
    @tuponearon7368 Před 8 měsíci

    Ninachojua Yesu hakuleta dini duniani, alileta wokovu kwa kila amwaminie, dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu, mpango wa Mungu ni kumwamini Yesu apate ondoleo la dhambi (kuokoka)

  • @KhadijaKipua-dw7yz
    @KhadijaKipua-dw7yz Před 8 měsíci +3

    Mchungaji hananja huwaga nakukubali saaaana babaangu Mungu akubariki baba mimi ni muislam lakini nakukubali saana babaangu

  • @user-xl5xi1uq9z
    @user-xl5xi1uq9z Před 6 měsíci

    Kutoa baraka ni kuhalalisha kitu kiendelee ,baada ya kukemea dhambi ww unahalalisha dhambi iendelee, Yesu alikaa na wanadhambi kwa lengo la kuwapa neno la Mungu ili waache dhambi na kumjua Mungu vitu vipi hapendi ,vitu gani anapenda sio alikaa nao kwa lengo la kubariki uovu wao .Achen kutetea mambo ya kipumbavu ,Mungu hapend

  • @alsam4881
    @alsam4881 Před 8 měsíci +78

    Kuna baadhi ya binaadam ni viumbe wakorofi sana japo wamepewa akili ya kufikiri na kutafakari na kujuwa kipi kizuri na kipi kibaya, lakini bado wanafanya mambo ya kijinga na ya hovyo kabisa yasiyompendeza Mungu, Na ukiwangalia wanyama hayawani hawana akili kama ya binaadam lakini hatuoni dume akampanda dume mwenzake, au jike akampanda jike mwenzake.

    • @ananiaszinns7324
      @ananiaszinns7324 Před 8 měsíci

      Hapo Papa hamnazo

    • @Zakayo-px3sh
      @Zakayo-px3sh Před 8 měsíci +4

      Taarifa hi ni sahihi na wale maaskofu waliokua against kama Bishop Joseph Strickland wa huko texas amewafuta kazi mwezi uliopita(November). Na moja kati ya agenda za majadiliano kwenye synod;
      1. Abortion
      2. Blessing same sex marriage
      3. Ordination of women etc
      Kweli tue makin na hawa viongozi wetu

    • @kingsolomoni-xp3dv
      @kingsolomoni-xp3dv Před 8 měsíci

      esu ndie bwana na ndie binadamu aliyekuwa amefunga ufahamu wote kwenye kiganja chake yani siri yote na ndio mwenye ile ishara ya sita kiganjani yani ukikunja kiganja ukanyanyua dole gumba unapata herufi 6 ambayo ni yeye aliye umbwa siku ya 6ndio mana hamuezi kuacha kumuita mungu mkuu mmeenda mbali zaidi mkamuita yeye ni chanzo cha uhai wenu siwashangai kwasababu ndio kusudi lake au kusudi la neno nandio maana kila anae soma biblia akiongozwa na roho mnaemuita mtakatifu lazima umuone yesu nichanzo cha uhai wako (REHEMA SEMFUKWE)

    • @ajgasharia1247
      @ajgasharia1247 Před 8 měsíci +6

      Muongo ukristo kajanao Paulo yesu hakuwahi kuingia kanisani hata siku moja

    • @Ngongongalimedia
      @Ngongongalimedia Před 8 měsíci +5

      ​@@ajgasharia1247
      Unaangaika na Paul na kristo badala ya kuelewa maana

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 Před 8 měsíci +1

    Mimi ni muislamu lakini kwa kweli mzee uménena maneno mazuri sana ndugu zangu wakristo msipende kufata maneno ya wachungaji ambayo hayako katika kitabu chenu cha biblia na pia ulizeni maswali kwa wachungaji hachani kuburuzwa kama mkokoteni hacheni ujinga Mungu atawachoma moto fateni dini ya yesu.ni dini ipi msifuate dini ambazo Mungu haja ilita zindukeni hacheni hujinga someni biblia hacha kuimba sana mnapenda kuimba kuliko kupenfa Mungu

    • @micahlucky5613
      @micahlucky5613 Před 8 měsíci

      Mungu akubariki ww jamaa umenena vyema hujataka kupalilia udini kama wengine....maana dhambi ni dhambi tu haina dini nq inapaswa kukemewa

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 Před 8 měsíci +2

    Hamkumwelewa papa.
    Someni vizuri waraka wake.
    Habariki hizo ndo. Watu wamechukulia juu juu na kukurupuka. Anachomaanisha ni kwamba kama wanahitaji baraka, ambayo itawatoa huko walipo hawazuiwi kupata msaada huo.. wao ni wadhambi kama walivyo wengine

    • @HildaPaul-hm4jk
      @HildaPaul-hm4jk Před 8 měsíci

      Baraka zipi fafanua

    • @wokovumwazembe3505
      @wokovumwazembe3505 Před 8 měsíci +1

      Anakubali kubaliki mashoga unaseama hawakuelewa shetani wewe na yeye usikubali ushetani wake ametenda dhambi

    • @elephant141182
      @elephant141182 Před 8 měsíci +1

      Yesu mwenyewe hakubariki Dhabi bali alikemea na kutangaza msamaha kwa anaetubu

    • @user-sl1ko9me7u
      @user-sl1ko9me7u Před 8 měsíci

      INAFIKIRISHA SANA...HIVI KWELI HAO MAASKOFU WOTE NA WAKRISTU WANAOPINGA HILO TAMKO WA NCHI MBALIMBALI DUNIANI 'HAWAKUMUELEWA' HUYO PAPA!

  • @user-um2rx7or2k
    @user-um2rx7or2k Před 7 měsíci

    Watumishi wa Mungu wafundishe ukweli waache kueba kitabu cha mambo ya walawi 20:13 na hicho cha walawi 16:1-34,17:1-16,18:1-30,19:1-37&20:1-27

  • @stevenlugano7888
    @stevenlugano7888 Před 8 měsíci +1

    Ukristo nikumfuata kristo,,,,,Huku ukiubeba msalaba wako,,wakatoliki hamkeni mfuatane yesu,,🙏 acheni USHOGA😢😢

  • @WiselightOfficial
    @WiselightOfficial Před 8 měsíci +3

    Imani yetu ilianzishwa na Yesu.❤❤

    • @abubakarmwasumilwe7070
      @abubakarmwasumilwe7070 Před 8 měsíci

      Mh so kweli

    • @WiselightOfficial
      @WiselightOfficial Před 8 měsíci

      @@abubakarmwasumilwe7070 ulielewaa nilichocomment au umereply tu na ulisikilza yote baba hananja aliyoyazungumza Imani yetu ilianzishwa na yesu na missing ya yesu kwa kanisa ipo waz

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 Před 8 měsíci +3

    Asante sana nimepata faraja MUNGU akutie nguvu AMEN

  • @AwadhiAlfani-bd5pj
    @AwadhiAlfani-bd5pj Před 8 měsíci +3

    hahaha mzeeewanguuu naaakilisana mpakai namwagika wambie wache ujinga

  • @G.S985
    @G.S985 Před 8 měsíci

    Nakupenda Baba Mchungaji Hananja, unasemaga ukweli❤

  • @hemedykayonko4109
    @hemedykayonko4109 Před 8 měsíci +8

    Angesema muislam wauawe unhesikia dini ya kuuwana, yaani mtu acheze na kazi ya Mungu halafu watu wake tumchekee

    • @starvista823
      @starvista823 Před 8 měsíci

      Apo ndipo Imani yenu inapowapoteza huruhusiwi kumuua mdhambi zaidi ni kumuonya na kukemea aachee

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před 8 měsíci +1

      Dini ya kiislamu ni ya ugaidi

    • @hemedykayonko4109
      @hemedykayonko4109 Před 8 měsíci

      Starvista823 uzuri aliyesema na kutoa maandiko siyo muislam, kama vip mchungaji akiwa mchawi mnapaswa kumnasihi had aache na siyo kumtenga 😂😂😂

    • @hemedykayonko4109
      @hemedykayonko4109 Před 8 měsíci

      @@starvista823 halafu Wala haituumi kwasababu tunaujua ukweli kama ni dini ya kigaidi tunajuwa kama siyo tunajuwa sasa wewe baki na propaganda za wanao kuletea ushoga, mnashindwa kushika mambo ya maana mmeshikilia ugaidi

    • @hemedykayonko4109
      @hemedykayonko4109 Před 8 měsíci

      @@starvista823 kwani aliyesema na kutoa maandiko ni nani? Acheni kudanganyana mzee yaani wewe umfanie mtu anamrawiti mwanao wa kiume halafu umuachie Mungu, mambo mengine mnaongea kishabiki saana

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před 8 měsíci

    Kiongozi Hananja Mungu akutunze ❤❤❤