BISHOP NGONYANI ATOAA ELIMU JUU YA SABATO NA KUJADILI ANAYOYASEMA MCH. NDACHA JUU YA AMRI ZA MUNGU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • SIKU YA SABATO IMEKUWA NA MJADALA MREFU NA HAPA TULIPATA WASAA KUJADILIANA NA BISHOP NGONYANI KUHUSU SABATO NA KWA BAHATI ALIWEZA KUTUFUNGULIA MAMBO MUHIMU YANAYOIBUA HAMASA YA KUJIFUNZA ZAIDI

Komentáře • 394

  • @MikaMika-ve1ip
    @MikaMika-ve1ip Před 17 dny +2

    Yesu ndiye mwenyewe wa sabato.

  • @costantineevarist5110
    @costantineevarist5110 Před měsícem +7

    Wanaompongeza wengi Awasomi Bblia wanasomewa tu:

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi7282 Před 4 dny

    Asante askofu ngonyani kwa ufafanizi mfupi lkn wenye tija nafikili kunashida yawatu wasikuhizi kumuelewa mtu lkn umeeleweka sana

  • @maximilianswitbert2826
    @maximilianswitbert2826 Před měsícem +3

    Yohana 5:15-18Yesu anaponya mtu siku ya sabato ila Wayahudi wanataka kumuua lakini Yesu anajibu"Baba yangu anatenda kazi hata sasa(yaani ktk sabato) kwahyo wote wanaomwamini Yesu Kristo hawashiki siku wala amri kumi bali katika upendo iliyo amri mpya na kuu n sheria ya kifalme kwa watoto wa ufalme Mungu wa mbinguni.Yakobo 2:8.Yahweh Elohim awabariki sana

    • @jjtm164
      @jjtm164 Před měsícem

      Kweli

    • @williamjamanda8892
      @williamjamanda8892 Před měsícem

      @@maximilianswitbert2826 kutenda kazi ya kuokoa nafsi siku ya sabato mm naona sio makosa

  • @elishasilas723
    @elishasilas723 Před měsícem +3

    We bi shop kumbe we ni kiongozi wa vipofu utakuja juta siku ya hasira yake Mungu Ukweli unaeleza wazi halafu baadae unazipinga umejitam ulisha kwa elimu nyingiii za kidini kumbe we ni wakala wa shetani

  • @mussaamani4468
    @mussaamani4468 Před měsícem +5

    Ukinipenda utazishika amri zangu... Hili nimojawapo ya fundisho alilolifindisha Yesu...acha kupotosha watu... Kwa kutumia uongo ukichanganya na ukweli kidogo....hata shetani alotumia tu neno "eti". Kua na hofu na Mungu 😊

  • @MikaMika-ve1ip
    @MikaMika-ve1ip Před 17 dny +1

    Sabato ni ya Mungu siyo ya wayahudi wayahadi walipewa tu. Usimwingilie Mungu au Yesu.

  • @JoshuaMutesa
    @JoshuaMutesa Před 5 dny

    Bishop hakosei wanaokosea walio shika amli moja tu wakati zko 10 Kama kweli watu washike amri zote 10 watu wanatenda zambi mno halafu wanajificha kwenye sabato mungu anataka roho Safi ukiwa na roho safii hutotenda zambi na mungu atakupenda hatokuuliza kuhusu sabato

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m Před měsícem +4

    Big up ngonyani upo vzur sana ndg yangu

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 Před 21 dnem +1

    Mwanadamu mwenye akili ndogo hawezi kuzijua siri za Mungu,mpaka Roho wa kristo amfunulie, ndiomana walimu wengi wa neno la Mungu watapata hukumu kubwa mno kwasababu walitafrisi neno la Mungu kwa akili zao ndogo sio Roho mtakatifu,Neno la Mungu ni siri za Mungu, ni Roho wa kristo ndie anaweza kukufunulia siri za Mungu ,katika neno lake,msikulupuke kuwa walimu wengi wa Neno la Mungu,kama huna nguvu za Mungu,niatari mno kwa walimu wa uongo ,mwisho wao,waliopewa thamana ya kufundisha neno la Mungu ,niwale tu waliokolewa na Yesu kristo na wakapokea nguvu za Roho mtakatifu,
    Hambae hajaokolewa na Yesu kristo,alifu anafundisha neno la Mungu huyo ni Muongo,anapotosha watu,maana wao wanatafrili Ukristo kama Dini , Ukristo sio Dini bali niuweza unaomfanya mwamini aishi Hapa Duniani kama Mungu,ukristo unamfanya mwamini kuwa mtawala kuwa mmiliki katika ulimwengu wa roho ,hata katika mwili, mkristo halisi kapewa nguvu ya kutisha na kutawala ,falume zilizokinyume na utawala wa Mungu katika ulimwengu wa roho,

  • @MashakaSimon-e6h
    @MashakaSimon-e6h Před 25 dny

    Yohana 14:15 mkinipenda mtazishika amri zangu sasa kama hakuna amri Yesu anasema tukimpenda tutazishika amri zipi km hakuna amri

  • @amedesamki425
    @amedesamki425 Před měsícem +4

    Bishop ngonyani anapotosha watu Yesu alishuhudia kwamba hakuja kubadilisha amri za Mungu bali kutimiliza na wakatoliki ndiyo walipiga maarufu sabato kwenye a.d. 364 halafu Yesu alikufa Jumatano saa 9 siyo Ijumaa na kufufuka jumamosi saa 9 na sabato siyo ya wayahudi ni ya Mungu mwenyewe

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 Před měsícem

      @@amedesamki425 hapo hakuna mchungaji wa Bishop ni mnafiki tu

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 Před měsícem

      Acha bangi wewe

    • @user-du3pd7gb4c
      @user-du3pd7gb4c Před měsícem

      ​@@msemakweli243 Unahitaji msaada wa kiroho Huyo mtumishi ni mlokole anacho kijibu ndo sahihi Kunavitu vingine Kama hujaokoka Huwezi kujuwa ,mfano Nikuulize hili swali wewe!! soma andiko hili na unipe jibu unalielewaje hili hili andiko Matendo 8:14-16 Matendo 19:1-6 Kwanza muulize baba yako wa kiroho halafu waulize Walokole uone majibu yake !!! Baba yako wa kiroho hawezi kukupa jibu fasaha ni Walokole TU watakupa jibu sahihi

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 Před měsícem +4

    Duh Bishop ubarikiwe sana kwa ufafanuzi uliotoa. Mtu wa kawaida tu ambaye hajafika hata darasa la saba amekuelewa ambao hawajakuelewa ni wale wenye hofu ya mnyama wamekula sumu ya fundisho la mnyama kiasi cha kushindwa kuelewa maandiko mengine. . Tuombeane mungu azidi kutufungua.

    • @user-wm9hr7fx9l
      @user-wm9hr7fx9l Před měsícem

      Hakuna kitu hapo hajui chochote huyo

    • @Last403
      @Last403 Před měsícem

      Hujui lolote huyu anapotosha watu ameegemea kwenye dhehebu la sabato kuliko maandiko,

    • @Last403
      @Last403 Před měsícem

      Muulize akwambie andiko lipi linalosema siku ya sabato ni jumamos uone kama hajaanza kuleta adithi kuliko kukuonesha hilo andiko, halipo hilo andiko yeye katoa wapi

  • @Moses-t7t
    @Moses-t7t Před měsícem +1

    1 Yohana 5:3
    [3]Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri zake; wala amri zake si nzito.
    For this is the love of God, that we keep his commandments: and his commandments are not grievous.

  • @DenisEliya_4
    @DenisEliya_4 Před měsícem +4

    Huyu bishop CV nyingi maarifa zero ,YESU mwenyewe anasema Yohana 14:15 ,mkinipenda mtazishika amri zangu,pia YESU alifundisha kuhusu amri soma Mathayo 19:16-17.Anajikinga katika kivuli Cha neema ,pasipo kujua neema yenyewe inatukataza kataa ubaya ,ubaya unatokana na nini kama sio amri😀😀.Huyu anawelewa mdogo katika maandiko.Pia Mathayo 20:24 Yesu mwenyewe anasema "Ombeni kukimbia kwenu kusiwe siku za baridi au SIKU YA SABATO."Hiyo hapo sabato sasa YESU ameitaja.

  • @OtienoKoyi
    @OtienoKoyi Před 28 dny +1

    Wewe unasema tena mwalimu, ! Loh

  • @PeterMulwa-s1q
    @PeterMulwa-s1q Před 21 hodinou

    Yesu alisema yeye ndiye Bwana wa sabato

  • @cosmassisa5256
    @cosmassisa5256 Před 4 dny

    Soma Waebrania 4:1-13 mtaelewa vizuri

  • @samsonpopat1474
    @samsonpopat1474 Před 16 dny +2

    Pole sana ngonyani kwa uelewa wako huo naamini ipo siku utadaiwa kupotosha biblia sabato itakuwepo hata baada ya watu wa Mungu kukombolewa ktk inchi mpya soma isaya66:22_23

  • @zakazakazi-fn6zy
    @zakazakazi-fn6zy Před 27 dny +1

    Mungu habadiliki akiswma amesema je unaandiko lolote kuhusu kuabudu j pili plz lete andikoo

  • @BesmmarckMwenelwar
    @BesmmarckMwenelwar Před 20 dny +1

    Kwani sabato ni ya wayahudi kwa ajili ya Mungu? na wala sii ya Mungu kwa ajili Yao? kwa sababu mimi ninacho kielewa ndani ya Biblia ni kwamba Mungu Ali jifanyiya sabato kama pumuziko tu na sifa kwa ajili ya uumbaji na Tena siyo kama kuipa siku jina ya sabato. Yesu alipo Kuja aliwakuta wayahudi wameishikiya na kuielewa sabato isivyo hata aka jaribu kuwa elimisha kwa kina hili swala la sabato lakini kwa sababu baazi hawakuwa na uhakika kwamba ndiye masihi ikabidi wa mushutumu kama walivyo ijuwa sabato na kuielewa. Kwa wayahudi hai kukuwa siku kwenda ma Hali wala siku yaku iruhusu kazi yoyote tuifanyao kwa mikono yetu sisi na kupitiliza hata huduma nyingi nyingine za Mungu. Tujiulize je Mungu ana weza kataa tusipomwe siku ya sabato mbona hata wasabato wana hesabu uleponyaji wa yule Mama kama ishara moja wapo ambazo Yesu alizifanya ama wasabato leo wakikataa kama sii ishara moja wapo wakubaliye leo kama wamemukataa Yesu mweye

  • @Moses-t7t
    @Moses-t7t Před měsícem +2

    1 Yohana 5:3
    [3]Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri zake; wala amri zake si nzito.

    • @filexbenefits5612
      @filexbenefits5612 Před měsícem

      My friend it may not matter how many verses of evidence you gona represent to Sunday observant, it is very hard to deliver someone who claimed to be theologist.

    • @jjtm164
      @jjtm164 Před měsícem

      Kwanini uliambiwa usizini?
      Ni kwasababu ya kukosa upendo, amri kumi zote hutimozwa kwa neno Moja upendo

  • @PhilipoAwe
    @PhilipoAwe Před 16 dny

    Amri kumi hazikuwepo embu kasome mwanzo 26:5 Ibrahim alifanyeje

  • @samuelmweipongwe140
    @samuelmweipongwe140 Před 23 dny

    Pendo ndio utimilifu wa sheria, Anajinadi amesomea sijui nini na nini huko ila ameshinda kujua utimilifu wa sheria unakamilika katika Pendo au je hakusoma kitabu cha warumi 13:9?
    Warumi 13:9
    [9]Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
    Ikiwa kama amri hizo zimeingia katika kumpenda jirani je zile nne hazipo katika kumpenda Mungu? Mafundishe watu Neno la Mungu kwa matakwa yenu ili muonekane mna uhodari wa neno hilo, mtachomwa moto kwa kupotosha maandiko, na tena niwaambie mtaingia sana ka ajili ya mliowapotosha. Badilikeni acheni mihemko ya kiitikadi

  • @yohanaMarco-e4j
    @yohanaMarco-e4j Před 16 dny

    Ulianza vizuri kweli mkuu huku mwisho ndo umeongea pumba kabisa someni aise hawatu msipo soma hamtatoboa

  • @ernestbensonmwamengo1642

    The Sabbath is still binding 🇮🇱 today... Jewish are still keeping sabbath even today.....

  • @Rastermirish
    @Rastermirish Před 10 hodinami

    Alivunja na yeye ndio bwana wa sabato na ata walimshtaki kuwa kuvunja sabato

  • @lugendondayanse4910
    @lugendondayanse4910 Před 17 dny

    Ambaye hakuelewi ni suala la ufahamu mdogo wa mambo ya Mungu

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p Před 25 dny

    Jumapili kumbe mmepewa na mpagani costantine mroma poleni sana 😢

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 Před 21 dnem

    Tafri ya sabato katika agano jipya nikupumzika kabulini ukitaka kupumzika unatakiwa,ufe upumzike kama Yesu kristo alipopumzika siku ya sabato kabulini,

  • @olweyokennedy266
    @olweyokennedy266 Před měsícem +1

    Revelation 14:14; here is the patience of saints; here are those who keep the commandments of God and the faith of Jesus

    • @AdiemoFrenardB
      @AdiemoFrenardB Před měsícem

      hapo ni wakati wa dhiki kuu ndugu soma sura yote uielewe.

  • @user-go1rl6bb1z
    @user-go1rl6bb1z Před měsícem +1

    Huyu bishop nimemsikiliza yuko right kabisa.wanao ishika sabato bado wako kwa sheria. Na torat imekua kiongozo kuteleta kwa kristo wagal 3:24.

  • @frankmock4928
    @frankmock4928 Před měsícem +2

    Na mwazilishiwa sabato ni mungu sio elen g

  • @MussaDaudi-ex3ww
    @MussaDaudi-ex3ww Před 25 dny

    Huwezi kuishi bila kukosea duniani hakuna mkamilifu ,huwezi kushika amri ukazitimiza

  • @hassanmbojelah934
    @hassanmbojelah934 Před 19 dny

    Yesu anasema ukinipenda utazishika amri zangu, kama amri ziliondolewa kwa nini Yesu aseme hivyo, nadhani Bishop unajipotosha kwa Yesu aliyetoa amri, pia tutahukumiwa kupitia amri sasa ikiwa amri hazipo basi hakuna hukumu. Waambie watu wa ukweli, kuna ukweli umesema wazi kuwa ibadan ni jumamosi, unajichanganya unaposema kuwa Yesu alivunja sabato, Yesu ndiye Bwana wa sabato alikuwa anawaonyesha wayahudi kuwa siku ya jumamosi ni siku ya kutenda mema, aliuliza swali having ng'ombe wako akitumbukia ktk shimo utamuacha, jibu ni kwamba haiwezekani, Yesu alikuwa sahihi kuponya siku ya sabato, sabato ya millennium kama Nabii Isaya 66 alivyosema, wewe kiongozi dini wafundishe watu ukweli wa Kristo, Yesu alisema hajaja kutangua torati, Mungu akusaidie mtumishi.

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 Před 21 dnem

    Bisho na wewe na wasabato wote mupo kwenye andiko sio Roho, ,wote mumetoka nje na Neno la Jehovah,kuna msabato wa mwilini na msabato wa kiroho,musa aliongoza wasabato wa mwilini,Yesu kristo yeye anawaongoza wasabato wa kiroho, wasabato wa kiroho ndio waliopata,pumziko la Haki, kwasababu ,Mungu amewafanya kuwa wafalume na makuhani, Hawawezi tena kuwa watumwa, wa sheria,kwasababu kuhani na mfalume hao ndio wanaotunga sheria,kwajili ya watumwa,wanaofwata sheria Ya kuitunza sabato ya jumamosi au jumapili Hao ni watumwa, wapo chini ya sheria,mtumwa wa sheria anatembea na Hukumu ya mfalume na kuhani asipo shika sheria, kwa mujibu ya mandiko matakatifu ,yamewakata wale wanaojiesabia haki kwa matendo ya sheria ,maana katika sheria mwanadamu wa asili ya mwilini alianguka katika bustani ya Edeni,sasa katika agano jipya tunae adamu wa pili alietunga sheria na kuishinda sheria ambae ni Yesu kristo aliezaliwa kwa Roho, mtakatifu,Ambae ni kuhani Mkuu na mfalume wa wafalume, nikimanisha kuwa ni mfalume wa wafalume kwa wale waliopata ufalume kwake kwa kuzaliwa kwa Roho mtakatifu,sisi tuliozaliwa kwa njia ya Roho mtakatifu sio viumbe ,kama waliovyo viumbe wanadamu wa kawaida,kwasababu kwa muonekano wa nje tunaonekana kama wanadamu wakawaida lakini kwa muonekano wa ndani yetu sisi tunaonekana kama ,miungu ambao sio wa kawaida katika ulimwengu huu,wanadamu waliozaliwa na kwa mwili,hao nisawa na viumbe vingine alivyo viumba Mungu ,nguluwi sugura mbuzi, Hawawezi kufanana na kiumbe kilichozaliwa kwa Roho mtakatifu,nikodemu alitamani sana viumbe vilivyo zaliwa kwa Roho ndomaana alimwendea Yesu kristo usiku akimwambia nifanyeje ili ningie katika ufalume wa Mungu,Yesu akamwambia mtu asipozaliwa kwa Roho,hawezi kuingia katika ufalume wa Mungu,
    Sikia mpendwa,niviumbe tu vilivyozaliwa kwa Roho vitakao weza kuingia katika ufalume wa Mungu,wanadamu wanao amini Dini zao ,Kuliko kuamini nguvu ya Mungu iliyotuzaa sisi na tumefanyika kuwa wana wa Mungu ,Hawo Nivigumu kuingia kwenye ufalume wa Mungu, maana wao neno la Mungu wanalitafri kwa kili za kibinadamu ,sio kwanjia ya kufunuliwa Roho mtakatifu,

  • @willymwaipaja6783
    @willymwaipaja6783 Před 11 dny

    Sabato ni siku ya utukufu wa Mungu alidumba kwa siku 6. Kuifuta sabato yaani siku ya 7 ni kumwondolea mtmbaji sabato aliyoibariki na kuitakasa ni kudharau ukuu wake

  • @moseskatega8441
    @moseskatega8441 Před 5 dny

    Tuliishi kivyetu kabla hatujavamiwa na wakiloni Wazungu na Waarabu.Tuachane nao

  • @user-nm6vb5zt4b
    @user-nm6vb5zt4b Před měsícem +2

    Hakuna andiko hata moja inayosema kuwa mitume wali abudu siku ya kwanza ya juma ahipo.

    • @nyimbozakuabudu2650
      @nyimbozakuabudu2650 Před měsícem

      @@user-nm6vb5zt4b siku ya 49 baada ya kufufuka kristo ni siku gani ?

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA Před měsícem

    Asante sana

  • @DennisWaweru-ml4lf
    @DennisWaweru-ml4lf Před měsícem +2

    Amesema yesu hakufunza amri kumu .ebu someni (marko10:19)muone muongo wa mchana

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 Před měsícem

      @@DennisWaweru-ml4lf hayo maneno Yesu alizungumza kipindi cha sheria , au kipindi cha neema

    • @jjtm164
      @jjtm164 Před měsícem

      Yesu hakufundisha amri kumi Bali aliuliza swali kuonyesha upungufu wa Sheria na vile isingeweza kumkamilisha mwanadamu. Marko 10:19 soma uone ni nini kilochotokea licha ya kwamba alikuwa ameshika sheria (usisome kipengele kimoja)

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 Před 21 dnem

    Sabato katika agano lake kwa washika sheria wamelaniwa ,katika agano jipya sabato ,ni uzima wa sheria Ya Mungu kwa wale wanaookolewa na Bwana Yesu,

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m Před 2 hodinami

    Kwenda tu kuokota mana jmos ilikatwaza Tena na Mungu mwenyewe Sasa unasemaje kwenda shamba kuvuna isiwe kosa hivyo mtangazaji unajielewa!?

  • @RebeccaBhoke
    @RebeccaBhoke Před 23 dny

    Nimegundua kua wachungaji wengi wanaifahamu kweli ila wanajitoa fahamu kwa ajili ya kupotosha watu

  • @chachatimasinyakega2201
    @chachatimasinyakega2201 Před měsícem +2

    Pia katika Ufunuo 14:12 tunaambiwa kwamba "hapo ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu na iman ya Yesu." Je, ni amri zipi zinazorejewa hapa? Je, imani ya Yesu ni ipi?

    • @jjtm164
      @jjtm164 Před měsícem

      Amri mbili za yesu

  • @JacksonSimbwye
    @JacksonSimbwye Před měsícem +1

    Mkate utatupeleka wengi jehanam,unasema ukweli halafu unaukana,yakobo2:10

  • @EvansonOnyiego
    @EvansonOnyiego Před měsícem +2

    Huyu Bishop haelewi maandiko kabisa, amri ni za Mungu Wala sio za wayaudi anavyo dai . Amri ya sabato ilikuwepo kabla ya wayaudi. Je Cain alipomwua nduguye alivunja amri Gani? Yusufu alipojizuia kuzini na make wa mfalme alipojizuia kuvunja amri ipi? Wewe bishop ruhusu Kristo akufundishe Wala sio thiologia za wanadamu!

  • @DanielmeshackiShabani

    Kweli mchungaji nikimeo

  • @user-gf9yt8nl9t
    @user-gf9yt8nl9t Před 28 dny

    MIMI NAULIZA MBONA HAMUONGELEI NABII ELEN G. WHITE ALIEANZISHA SABATO BABA ASKOFU.....SASAHIV SIO MUDA WA KUTAFUTA WATU NI MUDA WA KUONGOKA UKWELI KWAHIO.......UONGO WA ELEN G. WHITE TUNAUJUA SANAA KWAHIO HATUJIIII

  • @ernestbensonmwamengo1642

    Huyu jamaaa ni muongo polojo tupu. Kipindi cha adamu kulikuwa amri kutokula tunda...ni amri...adhabu ni kifo,...amriii zinapima utiifu wetu kwa Mungu. Neema inatukataza kutenda ubaya....

  • @peteronjenga9954
    @peteronjenga9954 Před měsícem +2

    Huyu mchungaji hajielewi kamwe. Yesu hajawahi vunja sabato. Wayahundi walishutumu yesu bure. hata pia walimshutumu alijitoshanisha na mungu kwa kujita mwana wa Mungu, ina maana kwa hilo yesu sio mwana wa Mungu??...Mungu aliweka pumuziko iwe siku ya Saba, Nae nwanadamu akaweke siku ya kwanza ya juma...sasa ni ju yako uti Mungu au uti mwanadamu..

    • @cosmasmwaitete5004
      @cosmasmwaitete5004 Před měsícem

      Usilmaumu huyu askofu Kama una hoja lete hapa hoja sio kumlaumu wasabato acheni uzushi, sikiliza maelezo sio kulaumu wakatoliki ,costantino hakubadlisha siku Ila kutokana na wakristo waliokuwa wanasali jumapili naye akaokoka na kutoa agizo la kupimzika siku ya jumapili

    • @BartolomeuHenrique-mx1fn
      @BartolomeuHenrique-mx1fn Před měsícem

      @@peteronjenga9954 YESU ndie sábado,sio siku úkimpata YESU umepata kupumuzika

    • @user-rn2fs5jg6n
      @user-rn2fs5jg6n Před měsícem

      Hakika dini ya haki mbele ya Mwenyezimungu ni Uislam. Muendelee kufarakana na kitabu chenu kilichochakachuliwa. Mara sabato ni amri ya 4 mara ni ya 3, tumuelewe nani?

  • @ernestbensonmwamengo1642

    Wachungaji waongo Mch. Ndacha amewaumbua sasa wanahaha....uongo wa ibada ya jumapili katika biblia haupo. Ni agizo la mwanadamu...

  • @faustinazawadi2947
    @faustinazawadi2947 Před měsícem

    Bishop uko.sawa. agano.jipya .imeanza baada ya kifo cha yesu

  • @moseskatega8441
    @moseskatega8441 Před 5 dny

    Sisi sio Wayahudi

  • @raphaelsiumbu9439
    @raphaelsiumbu9439 Před 24 dny

    1:07
    YESU HAKUVUNJA SABATO
    Wazo kama hilo ni kauli ya shetani

  • @PascasMathew
    @PascasMathew Před měsícem

    Asante sama leo umeliweka sawa , mwenye kuelew atakuwa ameelewa

  • @DavidMatata
    @DavidMatata Před měsícem

    Nimekuelewa vizuri sana mtumishi wa Lord Jesus Christ.. Blessed.

    • @kakamulwa5980
      @kakamulwa5980 Před měsícem

      Mubiri WA uwogo wewe

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 Před měsícem +2

      Kama umemuelewa huyo basi uwezo wako wa kufikiri ni mdogo

    • @DavidMatata
      @DavidMatata Před měsícem +1

      @@msemakweli243 Thanks!God bless you!

    • @tacysage8967
      @tacysage8967 Před měsícem

      Huyo anaeleweka kwa watu wasio na mahalifa ya kumjua Mungu

  • @victorcampbell2659
    @victorcampbell2659 Před 8 dny

    Yaani huyu Mwandishi duuuuhh!!

  • @eliasmwassi8104
    @eliasmwassi8104 Před 27 dny

    du unsjifanya kama hujui, ungejibu swali ni lazima kuishika au isishikwe

  • @ernestbensonmwamengo1642

    Naomba huyo msemaji wafanye mdahalo na Ndacha...hawezi kutoboa....hawezi kabisa. Na mada iwe ipi ya kweli kati ya jumamosi na jumapili.......

  • @ernestbensonmwamengo1642

    Watu wanapimzika jumapili hawajui biblia....wala Quran. Kwani biblia na Quran zinaamrisha watu wote kupimzika siku ya SABATO..

  • @erastonrugabao
    @erastonrugabao Před měsícem

    Uyu mongo saana tena saana, hajuwi maandiko ndo sababu anaendelea kupptosha watu n'a mafundisho ya uwongo. Tangu mwanzo mpaka mwishp hajatoa andiko ambalo Yesu mwenyewe anavunja sabato. Anasahau kuwa YESU mwenyewe ndo baba wa sabato, vipi alivunje tena. Huyu anastahili kufunzwa n'a pasta NDACHA amuelimishe kidini ao kiblia.

  • @onkobawesley3477
    @onkobawesley3477 Před měsícem +1

    Kwa kumpenda ni kwa kusishika amri za Mungu

  • @ibrahimj.kanyata3518
    @ibrahimj.kanyata3518 Před 24 dny

    Sabato iliwekwa kwa ajili ya faida yetu wenyewe.
    Marko 2:27
    [27]Akawaambia, Sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato.
    And he said unto them, The sabbath was made for man, and not man for the sabbath:

  • @philemongekonge4635
    @philemongekonge4635 Před 15 dny

    Askofu ukweli ni kuwa unakwepa ukweli kwa kujichanganya

  • @remmymassawe8640
    @remmymassawe8640 Před měsícem

    Hiyo jumamosi iko ktk kalenda ya mrumi ya siku 365na kalenda ya kinabii siku 360 massa yametofautiana duniani hatuko siku moja hiyo walipewa ways hudi pia siku ya saba na ya kwanza zote kulikuwa na kusanyiko takatuful

  • @elishasilas723
    @elishasilas723 Před měsícem

    Elewa Amri kumi zitadum milele Wala Yesu hakuziondoa Amri kumi zote ndiyo tabia ya Mungu Kama unazikataa elimu yako ya dini haina maana Sabato siyo ya wayaudi Wayaudi waliikuta chimbuko la Sabato ni Uhumbaji Soma kitabu Cha Mwanzo sehem ya Uhumbaji Sabato kakabidhiwa Adam Wayaudi wanakumbushwa tu kutoka 20 na pili hakuna unyakuo kuja kwa Yesu kila jicho litamwona

  • @ernestbensonmwamengo1642

    Huyu muhubiriii ni muongo kweli kweli. Anajua sabato ni jumamosi ila anapindisha...hajui hata hizo mbili hazijui...eti ziliishia msalabani.....

  • @georgeasalla8542
    @georgeasalla8542 Před měsícem

    Ebu tuambie kama kuna neno SABATO kwenye kitabu cha mwanzo,

  • @NDIMANGWAMICHAEL
    @NDIMANGWAMICHAEL Před 23 dny

    Sabato niya Mungu mwenyewe adamu alikua myahudi

  • @frankmock4928
    @frankmock4928 Před měsícem +1

    😢nilikuwa sijawajuwa mabalozi wa shetani niliposoma bibilia ndonikawajuwa mabalozi wa shetani na hawa wanaojiita maaskofu

  • @khammadjeffa515
    @khammadjeffa515 Před měsícem +1

    Sasa huku ndo kuchanganyikiwa kwa viongozi wa dini ya Kirkliston!!

    • @bibletv9818
      @bibletv9818 Před měsícem

      @@khammadjeffa515 ndiyo dini gani hiyo?

  • @ayengobenjamin8014
    @ayengobenjamin8014 Před měsícem +1

    Unamsingizia Yesu kuvunja Amir ya Mungu. Umekufuru kuliko!!

  • @Shindikahelmani
    @Shindikahelmani Před měsícem

    Umejitahidi sana ngonyani kumkana YESU na haki yake ya kulipia dai la dhambi

  • @solomonmugao4733
    @solomonmugao4733 Před měsícem

    Huyu ni kama mpotovu. Mbona unawambia wa kwake kanisani( kwake) wasiwe waasherati. Mbona kristo aliwambia watu wakizishika amrizake yeye ni wake

  • @simonbundala6382
    @simonbundala6382 Před měsícem +1

    Kusoma maandiko ni jambo la kwanza na kuelewa ni jambo lingine na ndiyo muhimu sana.

  • @marcodavid4183
    @marcodavid4183 Před měsícem

    Upo vizuri askofu ngonyani.

  • @moseskatega8441
    @moseskatega8441 Před 5 dny

    Hayo masdishi hayatuhusu sisi

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880 Před měsícem +1

    BARIKIWA NGONYANI KWA ELIMU SAHIHI, VICHWA MBOVU HAWEZI KUELEWA.

  • @jeanbb1385
    @jeanbb1385 Před 29 dny

    Atuko kipindi cha sheria, kwa iyo tuibe,tuzini, na machafu Mengine, uyu ajielewi anapotosha tu.

  • @jjtm164
    @jjtm164 Před měsícem +1

    Bishop anaongea kweli

  • @user-ro3er6hq5s
    @user-ro3er6hq5s Před 16 dny

    Ww nitapeli mjinga huna maana yohana 15 :14 alisema mkinipenda mtazishika anti zangu

  • @maximilianswitbert2826
    @maximilianswitbert2826 Před měsícem

    Kutoka 12:16"Siku ya kwanza(jumapili) kutakuwa kwenu na kusanyiko takatifu,na siku ya saba(jumamosi)kutakuwa kusanyiko takatifu haitafanywa kazi yoyote katika siku hizo,Kumbe hata Musa ktk Torati Yahweh Elohim alimuamuru Musa awambie Israeli wapumzike siku hizo ambapo Mungu aliziwekwa kwa wakati wake.

    • @maximilianswitbert2826
      @maximilianswitbert2826 Před měsícem

      Kwahyo hizi siku Mungu aliziweka kwa makusudi yake yote

    • @maximilianswitbert2826
      @maximilianswitbert2826 Před měsícem

      Kuhusu amri katika agano jipya..Yohana 15:12-15,.Yesu Kristo alituachia amri mpya nayo ni hii Yohana 13:34-35,Pia watu wafahamu kuwa Pendo halimfanyii jirani neno baya,basi Pendo ndilo utimilifu wa sheria.Warumi 13:10,Kwahyo Sheria na amri zote z Torati zimefingwa ndani ya Pendo katika Kristo Yesu hivyo tunapoishi ndani ya upendo wa Kristo tunakuwa tunatimiza Sheria na amri zote.

    • @raphaelsiumbu9439
      @raphaelsiumbu9439 Před 24 dny

      HIYO SIO JUMAPILI
      Hiyo ni siku ya kwanxa kati ya siku saba za kula mikate isiyotiwa chachu

  • @djskadi7355
    @djskadi7355 Před měsícem +1

    Kama Bishop ndu yuko iviii basi ni bora kuwa chizi kuliko kumsikiliza uyuuu jamaaa ajui kitu kabisaa dah 🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️

  • @FeristaKoku-it9nx
    @FeristaKoku-it9nx Před měsícem

    Mwambahuyu nimpotoshaji kama Yesu alivyo pambana nashetani kwa maandiko huyu ni wakala was shetani

  • @NICKSONMWAKHA
    @NICKSONMWAKHA Před 18 dny

    Mungu haangalii siku Bali matendo fanya kazi siku sita ya saba sabato iwe jumatatu ama ijuma

  • @moseskatega8441
    @moseskatega8441 Před 5 dny

    Hizo zenu ni dini za kikoloni.Mtu apumzike kwa raha zake.

  • @user-dn9np8sp8g
    @user-dn9np8sp8g Před měsícem

    Huyu muheshimiwa amefundishwa na watu co roho wa mungu hapo amevaa kofia ya ukristo ila ni wakala wa shetani na mafundisho yake ndio alio nayo

  • @Emanuelzablon
    @Emanuelzablon Před měsícem

    Tusomeni biblia wenyewe tuachane na maswala ya kuwasubiria viongozi wa kanisa kutusomea biblia, hatusomi ndo mana wanatudanganya.

  • @zakazakazi-fn6zy
    @zakazakazi-fn6zy Před 27 dny

    Kwahiyo amri aliandikiwa nan na sheria za Mungu aliletewa nan duuuuuuh

  • @FeristaKoku-it9nx
    @FeristaKoku-it9nx Před měsícem

    Kwahiyo kwa mafundisho yako kuzini kwa kipindihiki nihalali

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880 Před měsícem +2

    UPENDO NDIO AMRI KUU, UMEBEBA AMRI ZOTE KUMI

    • @filexbenefits5612
      @filexbenefits5612 Před měsícem

      Go back and read again bro they are two greatest laws to depend all ten and what are this two, read Matthew 22:36:39 love your God and Your neighbor, now if you love God you will do His will like first four laws tells you 4th been keep sabbath.

  • @Moses-t7t
    @Moses-t7t Před měsícem +1

    Maneno ya mwisho ya kutangaza kitabu ati Yesu atakuja kutawala dunia kwa miaka 1000 si kweli maana iyo siku walio na dhambi watakufa na wasiyo na dhambi wataenda mbinguni. kwahy duniani hakutakuwa mtu yeyote labda mizoga pekee. Huyu askof hajui n

  • @vayaulashedrack5994
    @vayaulashedrack5994 Před měsícem +1

    Thiologia siyo Biblia. Hayo ni mapokeo tu ya kibinadamu ambayo hayana mchango wowote kwenye maandiko ya biblia. Wengi huwa ni wakristo wazuri kabla ila akienda kusoma theology anachanganyikiwa kabisa

  • @NuelBenIsrael
    @NuelBenIsrael Před 18 dny

    WEWE BABA NI MUONGO, PAULO ALIFUNDISHA SHERIA.
    “Tusemeje, basi? Torati ni dhambi? Hasha! Walakini singalitambua dhambi ila kwa sheria; kwa kuwa singalijua kutamani, kama torati isingalisema, Usitamani.

    - Warumi 7:7 (Biblia Takatifu)

  • @EmanuelWagondela
    @EmanuelWagondela Před 16 dny

    Viongozi kama hawa ni shida tu anaelezea vzr mwanzo mwandishi anamuuliza anapanic
    Somen maandiko ndugu zangu mkowasikilzq watu kama hawa mbingu hamtaiona kasema mwenyewe vzr kitabu cha wa ibrania 4:9 kinasema imesaria raha ya sabato kwa watu wa mungu afu mwsho anakana
    Kitabu cha ufunuo kipo wazi
    Wazishikao amri na imani ya yesu kristo ni wapi hao kama syo sisi wanadamu

  • @costantineevarist5110
    @costantineevarist5110 Před měsícem +2

    Muongo Sana uyo 😅😅

    • @AdiemoFrenardB
      @AdiemoFrenardB Před měsícem

      leta hoja zako ili kuthibitisha uongo wake.

  • @gilbertmahembasise1011
    @gilbertmahembasise1011 Před měsícem

    Bi shop usipotoshe watu wa Mungu,,juma pili haikuwahi kuwa siku ya ibadani kwa wakristo isipokuwa ilikuwa Ni siku ya mungu jua

  • @user-dz2si2we9x
    @user-dz2si2we9x Před 10 dny

    Watakao mkubali huyu ni wake ambao hawasomi biblia!!.

  • @WilsonNjeru-xe2ge
    @WilsonNjeru-xe2ge Před 27 dny

    Bishop tafadhali naomba quote Bibilia umeongea sana akili yako