#BREAKING

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 360

  • @ChristinaKilianNyoni-xb7lk
    @ChristinaKilianNyoni-xb7lk Před 29 dny +43

    Lisu ni mmoja tu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @HamisiSamweli
    @HamisiSamweli Před 29 dny +18

    ❤❤ Tindu and mbowe + all member of M4C

  • @mickgeofreyjoachim1580
    @mickgeofreyjoachim1580 Před 29 dny +34

    Strong announcement big up the up coming president!!!

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s Před 29 dny +15

    Hongera saaana. Chadema

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 Před 29 dny +25

    Hongera sana sana Chadema

  • @user-cz5sd6ys8i
    @user-cz5sd6ys8i Před 29 dny +16

    Mungu tuonaomba haki yetu

  • @mosessamwel1179
    @mosessamwel1179 Před 29 dny +13

    A very good decision maker

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Před 29 dny +19

    Tundu Lissu always has Solution

    • @petromasunga3715
      @petromasunga3715 Před 29 dny

      Muache Raisi wetu afanye kazi Tunampenda Hata Magufuli amekufa tunampenda pumuzika Kwa Amani kipenzi chetu, Jonh ,hawa sagosi wanaopiga kelele za bule

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Před 29 dny +31

    Kwa hali hii wanaipa kura moja kwa moja Chadema ila hawajijuii huo ni udhaifu mkubwa sana

  • @user-ww9iq9ds3p
    @user-ww9iq9ds3p Před 29 dny +7

    Da mungu ibariki tanzania mungu ibariki chadema

  • @CharlesMulaki-j8h
    @CharlesMulaki-j8h Před 29 dny +8

    Pole Sana makamanda

  • @peterndunguru185
    @peterndunguru185 Před 29 dny +6

    Very good CHADEMA. Naiunga mkono.

  • @oscarmfugale2138
    @oscarmfugale2138 Před 29 dny +8

    Big up lissu

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 Před 29 dny +6

    We are together with you forever great speech we never sleep we will fight for our right.

  • @danielkanso
    @danielkanso Před 29 dny +6

    Ila police big up maana tulio kuwa hatujui chochote mpaka tumejua cdm big up

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s Před 29 dny +15

    Huzuni Sana kwakweli sijui upinzani wamekosa nini. Maskini. Wananchi tunatesaka Sana. Mama. 😭😭

  • @dullahkalanjedullahkalanje1422

    Lissu tunakuamini sana ujawahi kuwa chawa kama wengine maisha magumu watu wanasifia ujinga

  • @PasakaNicholas-wm5mn
    @PasakaNicholas-wm5mn Před 29 dny +9

    Mh Lissu tumechoka!

  • @justiceshelukindo
    @justiceshelukindo Před 29 dny +4

    great honourable

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před 29 dny +14

    Wasiojulikana wamejitambulisha wenyewe bila kujielewa.

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Před 29 dny +9

    Police kuwe watulivu maana hapo nchi ya kivita .hongeren makamanda sisi sote tuko NYUMA yenu msiogop MUNGU Anaonamnavyowatetea WATANZANIA.

  • @AlphaMagomba
    @AlphaMagomba Před 29 dny +5

    Kamanda nakuelewa sana juu ya kupambana kwako

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Před 29 dny +3

    ❤❤❤❤❤❤Mungu ni mwema kila wakati..

  • @EMANUELMUSHI-kk4df
    @EMANUELMUSHI-kk4df Před 29 dny +11

    Dah! Aisee! Sijui tuna matatizo gani watanzania

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 Před 22 dny

      Usiseme watanzania tuna matatizo gani sema wakoloni ccm Wana matatizo gani

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 Před 22 dny

      Daah mmetsha Sana tena bila vimon'go mon'go

  • @fikiaupeo
    @fikiaupeo Před 29 dny +3

    We have a long way this country. Lakini IPO siku tutashinda

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 Před 29 dny +11

    Hawa askar cdhan kama wanapemda kufanya Ivo ila naamin wanatetea 2 ajira zao jaman

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 Před 29 dny +1

      Je watafanya kazi bila kupewa maelekezo?

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 29 dny +3

      😢jalary sio kweli wanatetea AJIRA bali ni maboya, hawa wanaishi maisha magumu under this government, wanawatesa kweli na kuwaibia hadi fedha za kufa na kuzikana halafubwanatufanyia figisu watetezi wa maslahi na haki zao, hopeless kwelikweli....😢

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 29 dny

      ​@@edwinalexander1170eti wanafanya bila maelekezo'
      Kwa hiyo wao hawajaona uhalisia wa jambo hadi wanasimuliwa eti wasimamishe?
      Kwa hiyo wao ni remote controlled KIASI Cha kukubali hata kile ambaocho hawakiamini?
      Unataka kisema wakielekezwa wabake mama na dada na shangazi zao watabaka eti maelekezo kutoka juu?....
      Watanzania tushikamane, "injustice anywhere is a threat to just everywhere"
      Chekeni na kuongoza Mateso ya CSM Leo, kesho kwenu

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 29 dny +2

      Hivi visasi vitalipwa tu, ni swala la muda

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 Před 29 dny +4

    Hii serikali yakijinga sanaaa "sasa watu wamefanya nini"

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Před 29 dny +1

    Poleni ndugu mungu atawaletea tu

  • @sr.elizabethmbuligwe5540
    @sr.elizabethmbuligwe5540 Před 29 dny +5

    Si waende kumtafuta makonda yupo wapi?

  • @isacktesha6659
    @isacktesha6659 Před 29 dny +1

    Hongereni sanaaaa ,

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Před 29 dny +2

    Samia ana ndimi mbili , anasema ndio na hapana kwa pamoja

  • @elishamwaitebele
    @elishamwaitebele Před 29 dny +2

    Mkuu 👏🏼🙌

  • @joshuarose6756
    @joshuarose6756 Před 28 dny

    Lissu ❤

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 Před 29 dny +4

    Hiki kichwa hatar

  • @user-hj1nk2wu1n
    @user-hj1nk2wu1n Před 28 dny

    Hongera sana makamanda kwa kutupapania mungu yupo

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt Před 29 dny +1

    Asante

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před 29 dny +3

    Mungu awape ujasir mana hii nchi wanataka wote tuwe na hoja moja akil moja muelekeo mmoja itikad moja haiwezekani huu ni ujinga ukiwa na itikad tofaut ww ni mhalifu ni mhaini unatumika ni mhuni unavunja sheria yan ujinga na uchawa ndo vimetamalak

    • @mindicarrashid3131
      @mindicarrashid3131 Před 29 dny

      Nenda kaungane nao kwenye maandamano, sio uwaunge mkono kwenye mtandao, cheza na dola uone moto

    • @ericlowasa3097
      @ericlowasa3097 Před 29 dny

      ​​@@mindicarrashid3131Na wewe acha uchawa

    • @rabsonchisumo6640
      @rabsonchisumo6640 Před 29 dny

      ​@@mindicarrashid3131wewe nae andazi

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py Před 29 dny +3

    kichwa. Cha sheria hiki

  • @kiatu
    @kiatu Před 29 dny +4

    Duh nchi hii inaendeshwa kishamba mno.

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe Před 25 dny

    Lissu on fireee

  • @godfreykahabi1964
    @godfreykahabi1964 Před 29 dny +24

    Rais wa mioyo ya watanzania mhe Tundu Antipas Mugwahi Lissu

    • @user-xn1ly2yx7j
      @user-xn1ly2yx7j Před 29 dny +3

      Ni rais wako wewe sio watanzania wote hapana .Hatutaki maneno yasio na maana mbele yetu.Unawasema eti na buti zao ,je wewe kama ukiwa kiongozi utawavalisha nini.?.Usitukane rais wetu mama yetu .Huna lolote lile .Watanzania asije akawadanganya nyie mnao fuata tundulisu anasehemu ya kukimbilia.je wewe utaenda wapi.Usitukane raisi wewe ni nani mbele ya Sheria ya nchi hii?

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 29 dny +3

      ​@@user-xn1ly2yx7jmbona unajilazimisha kutumika na kutumia mavi kufikiri wewe bogas.
      Wewe na wenzio mnaposema mama wa taifa' mmekubaliana na nani, ACHA UCHAWI na ubabaishaji

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 Před 29 dny +3

      ​@@user-xn1ly2yx7jWewe Ni kiazi,Haki inavunjwa na Wewe unatetea upuuzi!?

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před 29 dny +1

      Kundulissu ni rais wako na mama yako

    • @godfreykahabi1964
      @godfreykahabi1964 Před 29 dny

      @@walidmgonja3644 unatobwa kuma la mama yako msenge mpya ww wakuingizie chupa.manina zako mkundu mkubwa uanjaamba tu

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise Před 29 dny +3

    Natamani kuwa mbeya Ila nipo mbali

  • @jastininjano262
    @jastininjano262 Před 28 dny

    Ccm hta wawe milion100 wakasome kwa lisu jamaa noma sana daa kipaj na shule

  • @seurililayon
    @seurililayon Před 28 dny

    Sasa hifi tanzania imekuwa nchi ya mateka

  • @AmisiAbdu
    @AmisiAbdu Před 29 dny +3

    Hiyo kauli tata sana kwa wenye uelewa wataelewa kua hii dunia ni mapito tu.

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho Před 28 dny

    Sugu aniambie hiyo tishet naipataje. DEIWAKA WORLD.

  • @user-ti8fn1wn1w
    @user-ti8fn1wn1w Před 29 dny

    Asante rais

  • @EvancyMwanilunga
    @EvancyMwanilunga Před 28 dny

    He! Wengi wa wanambeya hatukuwa na habari..ila tumejua kupitia magari ya kivita na askari wenye silaha

  • @user-px1gd4de7k
    @user-px1gd4de7k Před 29 dny +4

    Hv hao mapolice bei ya mafuta ya kula haiwahusu? Acheni watu waseme ukweli ndoo ya lita10 ilikuwa ikiuzwa 25000 , 24000. Leo 50000 hd 60000 wao wanajitia upofu

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před 29 dny +3

    Kamba siku zote hukatikia pabovu.

  • @elishamwaitebele
    @elishamwaitebele Před 29 dny +2

    Babu tusimulie hadithi 😂😂😂🎉

  • @fahdizahor8792
    @fahdizahor8792 Před 28 dny

    Mnalotafuta n kuichafua hii nchi hamna lolote chadema njaa inawasumbua

  • @MsasuSanweli
    @MsasuSanweli Před 29 dny +1

    Hawa ccm wameishiwa pumzi mapemaaa

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u Před 29 dny

    Mwakauu wataua Sana laia

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před 29 dny +2

    Yaani Hawa tutakula sahani Moja sisi tumeisha amuwa Kwa lolote hii inchi ni ya kwetu

  • @chademageorge8086
    @chademageorge8086 Před 29 dny +6

    Ongera sana chadema kwa kuwatetea watanzania

  • @SaidUwesu-n1x
    @SaidUwesu-n1x Před 27 dny

    Siamini ktk siasa ila kamanda lisu nakukubali

  • @sarahezekiel5170
    @sarahezekiel5170 Před 24 dny

    Sijafurahishwa na kupigwa kwa Watanzania wenzetu hawa,wasomi wenzetu,wenye mawazo mema.Vyama vingi ndo viwe vita na chuki? It hurts so much.Mch.Sarah Ezekiel Mwamgogwa

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo Před 29 dny +4

    Mnawapa kiki chadema bureee.Polisi vs chadema kwa kosa gani? Je kama kuna taarifa za kiintelijensia za uvunjifu wa sheria si yafanywe kisheria waziwazi?.

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 29 dny +1

      😢sasa hawataki yafanyike waziwazi kama walivyowaruhusu kisheria

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 Před 29 dny +3

      Interejensia ingekuwa inafanyakazi basi uhalifu usingekuepo Tz.. maana kila jambo lingekuwa linajulikana mapema kabla ya uharifu kutimia..

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 29 dny

      ​@@venancemwanya4212🎉

  • @noelluchiba3660
    @noelluchiba3660 Před 29 dny +1

    Hahaha Risu bana ,eti nan kama mama😅

  • @jacksonlucas9322
    @jacksonlucas9322 Před 29 dny +2

    No need of FFU

  • @APILET
    @APILET Před 29 dny +4

    Hau tutakuwa mabusi na magereza yao💯💯💯

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před 29 dny +5

    Raisi Samia ajitafakari sana. Utawatekaje watu ? Ndo hivi utekaji unafanyika Tanganyika. Sasa mmejiweka wazi mnavyoteka wa Tanganyika. Hii inaonyesha Dunia nzima. Mnajitangazia wazi wazi serikali yako inahusika moja kwa moja mnatwateka wa Tanganyika.Ni aibu kubwa kimataifa. Aibu kubwa sana sana. Mnaliaibisha Taifa letu.
    What a shame Samia.

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před 28 dny

    lissu Tumbo hilo Fanya Mazoezi br

  • @hebronmwambola1525
    @hebronmwambola1525 Před 28 dny

    Wakubwa kuwa makini na namna ya kuendesha mambo na hasa makundi ya vyama vya siasa

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 Před 29 dny

    Tupo pamoja

  • @salumrashid5329
    @salumrashid5329 Před 28 dny

    Hamna jipya apo

  • @AloyceBascaa
    @AloyceBascaa Před 29 dny

    Kulikuchaga😢

  • @danielkanso
    @danielkanso Před 29 dny +1

    Duuu watawala wetu wana kazi kweli naona hiyo Kiki imetengenezwa na msigwa na spika

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k Před 29 dny +1

    Ngoja tuone

  • @mariapopitolo5408
    @mariapopitolo5408 Před 29 dny

    Pamoja mwamba tunakuelewa sana

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Před 28 dny

    ao polisi wana pigwa na kikokotoo lakini wala awa komi ccm piga ao na kikokotoo ao

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Před 29 dny

    Aibu kubwa sana kwa nchi

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 Před 29 dny +4

    Raisi ajae anti pasi

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz Před 29 dny

    Mama mama ni mamako,🎉

  • @meckmussa1840
    @meckmussa1840 Před 28 dny

    Polisi nao

  • @MsompolwaShipela
    @MsompolwaShipela Před 29 dny

    Hii vip hawa wanahamu ya vita SI waende huko wanakopigana ukren huo ni ushamba mkubwa mno

  • @zebedayokatamaduni9676

    Makamanda wetu ❤

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před 29 dny +4

    Mheshimiwa Mwenyekiti Mbowe upo tukisikie neno.

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Před 28 dny

    Wametumwa na msigwa hao msigwa kawageuka

  • @alexjulius6354
    @alexjulius6354 Před 29 dny

    😢

  • @PasakaNicholas-wm5mn
    @PasakaNicholas-wm5mn Před 29 dny +4

    Tunataka Tanganyika yetu

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz Před 29 dny

    Sasa Wewe nikija😅😅😅

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale Před 29 dny

    UWOGAAAA UMEINGIAAAA

  • @oscar-pc6fz
    @oscar-pc6fz Před 29 dny

    ❤❤❤❤

  • @ChukiMjinga-jw2ql
    @ChukiMjinga-jw2ql Před 29 dny

    Washa moto tuwe skauti safi

  • @mountoftransfigurationchur2879

    Pipoooooooooooz

  • @HassanKibwana-h3w
    @HassanKibwana-h3w Před 29 dny

    Saf sana chadema

  • @user-nz9eb4ud6y
    @user-nz9eb4ud6y Před 29 dny

    Mpo wachache mno inatakiwa tuwe kama Bangladesh Sasa sisi utasikia chakufia!

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Před 28 dny

    Mbona vyama vingine hamdili navyo,kila siku CHADEMA tu?

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 Před 29 dny

    Mbona mlisema mama anaupiga mwingi😂😂

  • @GeorgeSagumo
    @GeorgeSagumo Před 29 dny +4

    Msiiigwamsiiigwa Kawa chawaa

  • @DianaElias-d1v
    @DianaElias-d1v Před 29 dny

    Police wa nchi hii masikin wakubwa halafu wanatumika kipuuz

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise Před 29 dny +1

    Tulia naona anapata presha

  • @RESTITUTAMOLLED-mp3pp
    @RESTITUTAMOLLED-mp3pp Před 29 dny

    kwa hali hii ccm mmeshajimaliza wenyewe,tunataka haki itendeke,tumechoka watanzania maonevu mengi kila kukicha,chadema songa mbele Mungu hatawaacha,ameni

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o Před 29 dny

    mzalendo wa kweli

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 Před 29 dny

    Tunaipa chadema

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před 29 dny

    Huwa naumia Sana hivi sisi wanyonge tutasemea wapi

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 29 dny

    Kwa muitikio mdogo ivo wa wana chadema kwakweli sidhani kama vijana wapo tayari kwa mabadiliko watz ni woga sn sn sn sn

  • @propKibali
    @propKibali Před 29 dny

    NINA UHAKIKA MAMA HAJAHUSIKA KATIKA HILI, NI WAHAINI CHINI YAKE KUMHARIBIA! JINA!