Kupiga Miayo katikati ya maombi ni dalili ya shambulizi la kiroho kupitia mhuri wa moto•Mch.Katekela
Vložit
- čas přidán 9. 07. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Barikiwa sana Mchungaji Katekela, mahubiri yako ni mema sana yanagusa maisha ya watu. Nimepokea maombi uliyoyaomba pamoja nasi. Bwana YESU ametenda.
Amen amen ,amiel kwa ufafanuzi wa leo wa undani nime soma mengi kuhusu huu mhuri ubarikiwe mtumishi
kwa mafundisho haya, mungu yu pamoja nasi hakika anatupenda, kakuleta tupate maarifa tusiangamie tena ktk jina la yesu kristo.
Barikiwa sana Mtumishi wa BWANA YESU KRISTO! Yaan mafundisho Yako, yamenifunza sana
Asante sana mtumishi wa Mungu
Yesu akutunze mtumishi wa Mungu, naimani kupitia somo hili na maombi haya nitakuja na ushuhuda🙏
Mimi nikiomba napata miayo mfululizo nachukizwa sana na hali hii Yesu nakuomba uniponye
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu katakela
Amen
Be blessed more pastor amiel katekela nakupendea ivyo kwa mafundisho mazuri ya mungu nakuongea ukweli aki nabarikiwa sana na neno zuri la mungu
Mwenyezi Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu nimejikuta siku hizi nikiwa naomba napiga miayo ikiambatana na machozi yaani mfano wako imejikuta imetoka kwangu
Mwenyezi Mungu atulinde na mishale itokayo kwenye Giza.
Amina mubarikiwe zaidi nazaidi watumishi wa MUNGU
Amen pastor,nasikia kutoka kitale , Kenya,ngombe yangu ilikufa kwa mafundo
Mafundo ndio nini
Hakika Mungu ni mwema kwa watu wake hata mm leo niliyefuatilia kipindi hiki leo nimefunguliwa milele nilikuwa sielewi sasa nimepata ufumbuzi, hawata nipata tena kwa jina la Yesu.
Mungu akubariki mtumishi wa mungu
Ahsante Sana mtumishi ubarokiwe,hata mm nasum buliwa kwenye. Eneo Hilo,
Amina nimepokea
Amen mtumishi wa mungu.
Amen mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana na mafundisho haya NAMI nimefunguliwa nasikiliza kutoka Nairobi Kenya.
Ruth nakujua nini,,majina kama yakutokea taita tavete...au
Be blessed pastor
Barikiwa
Amen 🙌
Asante Yesu napokea🎉
Mama mkwe aliniambia nitakufanya kitu ujute maisha yako yote.kisa kwanini naomba sana namharibia.fist bone wangu akafa .2bone kisukari wa miaka12uzazi umegoma .umri wangu umenitupa mkono
Ubarikiwe pastor
Asante Mtumishi
Napokea
Ameeeeen
Mbarikiwe sana
Msafili plz tell mtumishi if he teaches hio mihuru,when we find tuko nayo, he should be given us solutions coz we can't all reach himcto pray for is,we are in kenya
Hata mimi nimefungwa nisaidie nitoke nimefungwa ni miaka kumi sasa nimelimitiwa ,kila nilichochuma
Mungu tusaidie
Amina , hiyo nimeshuhudia kwenye shamba langu nililima miaka miwili nikaweka na mbolea na lilikuwa karibu ekari moja niliambulia kupata mahindi lita 10 miaka yote miwili yote.
lita 10 unapimaje??
ndoo ya lita kumi unaifahamu ndo yalijaa humo tu.@@trophywilson7211
Yani mchungaji vile niona tu haya maubiri miau ikakuta mara hiyo hiyo eee Mungu ninusuru
Ibarikiwe mtumishi kwamaan mm kila nikiomba lazima miayo ijee na kuna wakati inaambatana na miayo na machozi
Kweli kbxa hata mm
Hata mimi kweli Mungu atusaidie sana katika jina la yesu🎉
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉@@user-ww7jr4vm5u
Nimekuelewa baba
I mean kow to pray to break it
Hello ❤❤❤❤❤❤
Naamini nimepokea na nimepona
Lakini maombi ya nguvu za damu ya Yesu Christ inavunja hizo nguvu zoto za kichawi
ndiyooo
Iko wapi Kwa maandiko
Mtumishi uliwahi kuwa muslimu?
Mch KATEKELA NAOMBA NAMBA YAKO NI MUHIMU SANA.
Hauitwi Mrundi unaitwa Muundi
Kwa lugha yako,ila wengine tunajua ni murundi.
Mtumishi hii ibada unaifanyia wapi?
Unapokuwa kwenye maombi ya vita halafu mtu anashikwa vichomi vikali mbavuni pande zote maana yake nini mchungaji?
Amen
Hakika Mungu ni mwema kwa watu wake hata mm leo niliyefuatilia kipindi hiki leo nimefunguliwa milele nilikuwa sielewi sasa nimepata ufumbuzi, hawata nipata tena kwa jina la Yesu.
Amen