Hallelujah napenda jina Yesu jina Hilo Lina nguvu sana mapepo wakisikia hio jina wanasarenda praise God
Baba MUNGU akubariki nabarikiwa sana na injili Yako,uishi Kwa utukufu wa MUNGU afya idumu kwako amen
nabarikiwa sana na neno lako Mtumshi Mungu azid kukuweka dunian ili tuzid kushuhudia matendo ya Bwana yalivyo makuu hakika Mungu amekutuma wewe Ameeen 🙏🙏
Bwana YESU azidi kukutunza sana sana mtumishi wa Mungu alie hai
Amina, mchungaji Mungu akubariki kwa kutupa siri za adui
Kwa kweli siboeki kamwe kukuskiza mtumishi wa Mungu...kujifunza pia,Mungu azidi kukubariki na kukupigania🙏
Hakika Mungu ni mkuu hafananishwi na chochote.
Amen mtumishi wa mungu nmebarikiwa na mafundisho Yako Leo🙏🙏
Uyo yesuuuuu uyomwana wimana yadufiriyekumusaraba jewe ndamuvuga hose yaranyemeje aminaaa
Shukrani baba mcungaji. MUNGU akuzidishie upako
Bwana Yesu asifiwe asante mtumishi wa Mungu kwa kutuvusha namshukuru Mungu nimepona kwa sababu niko na Yesu kristo jamn me shetan alikuwa amenikamata nikaumwa vidonda vya tumbo kumbe vilikuwa vy kipepo lakini ahimidiwe Bwana Yesu mpaka sasa siwemwi tena hilo gonjwa kwasababu nina Yesu kristo ambaye yuko ndani yangu
Barikiwa pastor kwa injili iliyo hai
Yesu aratabara Hallelujah
Ubarikiwe mtumishi wa mungu aliye hai.
Komando wa YESU umependeza SANA na mavazi YAKO. Umebarikiwa na familia YAKO.
Asante Kwa kutufundisha ili tutoke Kwa vifungo vya dini
Ubarikiwe mtumishi nabarikiwa sana nawee
Karibu kambini kambiyawarundi kibondo
Amen,,Nabarikiwa na mafundisho Yako ...Maana Siri hizi nilikuwa sizijui ,,,Ah M ungu ni. Mwema
Amen hongereni sana Kwa Injili ya YESU
Hongera kwa kumtambulisha kristo Yesu
Mungu akubariki mtumishi nabarikiwa sana nikiwa kenya
Hallelujah napenda jina yesu, jina na nguvu zote
Amen in Jesus name thanks my deer Fred.
Sabini na tisa tuli omba Mungu afanye miujija kwa kufungua watu wa mefungwa na shetani ha tu kujua kama tu tapataji sa ushida huu umenipa jibu Mungu apewe sifa na utukufu ju ya ushida huu
Unanikumbusha wakati fulani nilikuwa na vita kubwa sana na mtu wa free mason, walinishambulia kwenye ndoto ila nikawashinda kisha nikasikia mmoja wako alisema huyu tumfanye abackslide ndio tumweze. Hapo ninajua kumbe shetani atakuweza tu ikiwa haujasimama vema katika wokovu wako.nilijifunza kutengeneza na Mungu wangu kila siku.
Amen mtumishi wa Mungu watu hatutaki kusoma Neno Ili tupate nguvu ilioko kwenye Neno Mungu Akubariki sana sana uendelee kutututoa kwenye ujinga wa kuamini mafuta kuliko nguvu ya Mungu iliotuokoa
Mungu akubariki sana Mchungaji Yesu amekuokoa kwa kusudi lake zidi kutumika kwake unatufundisha ya sirini
Asante amieli katekela mungu akubaliki
Mungu akubariki sana karibu mlimba❤
Ahsante yesu kwa damu yako ya samani
Bwana Yesu asifiwe. MCHJ AMIELI KATEKELA NAKUAMINIA KABISA MUDA MREFU. HERI YA PASAKA 2024
Hongera mtumishi, kumbe ww ni muha💞💞ulakoze
Amen yesu akubaliki sana
Bwana Yesu atukuzwe sanaaa.
AMINA KUBWA ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU
Mahubiri yako ni mazuri sana kwangu nabarikiwa sana
Ushuhuda wako mtumishi nauelewa sana,ingawa sijafika huko ulikokuwa,mimi Yesu ameniokoa sana.
Amina mtumishi wa Mungu
Amina mtumishi wa Yesu
Mbarikiwe sana watumishi wamungu
Ubarikiwe mtumishi
Hallelujah amen amen amen amen
Nakupata baba
Ameen.True Gosple
Amen AMEN nimebarikiwa sana kwa mafundisho yako Mtumishi wa Mungu tafadhali naomba nambari yako ya simu Mtumishi Katekela maana nasumbuliwa sana na pressure kwa miaka kadhaa ningependa kuomba pamoja nawe please
Mungua Akubariki baka siku yamwisho ubate uzima wa milele
Ndio mwanaume mumoja tu aliyeshinda kifo na mauti,mwamba wa miamba,ubarikiwe pasta
MUNGU ukurinde na akubebe
Mtumish karibu dodoma
Ameen and ameen be blessed
Amina mtumishi
Amina
Nasema Amina kubwaa
Karibu Kenya,
AMEN
AMEN🎉🎉🎉🎉🎉
Ume ni fulahisha ume changanya kiha na ki swahili ubalikie sana
Amen 🙏
Ila usiwe unatoka kutenda dhambi kisha uitishe huo moto, utachomeka mwenyewe.
Aleluyaaaah muchungaji.... Ubarikiwe
Natamani kukusikia ana kwa ana karibu kwetu voi Kenya
Amen
amenii
Aminaaaaa
Ameeeen
Ameeen
Ameen
Asante Sana mtumishi Kwa ujumbe mzuri
Sasa mutumishi mbona🎉warikata mudawakuomba bado haujatu ombeya kwakusimamisha nyota naminiritamanikuombewa nakudayi uniombeye MUNGU akuongoze
ameen Bwana yesu abewasifa
Amieli ushuhuda wako umenitoa machoz
We
Huyo,mimi bado nina shaka naye!
Mafundisho yake ya kinyota nyota,na za kimajini majini!
Huyu,aendelee kufundishwa Imani hii,bado anachanganya maneno.
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
Amenii kubwa
.uwe munatuombeya nasisi tunahomba msahada
Haku kaa hapo birikani miak38. Alikua naugojwa nda ya mwili wake kwa miaka 38. Wewe soma Bibilia il uelewe.
Maomba ya wazazi wako ndiyo yaliyokuokoa
Sawa Ila Nayeye ILIBIDI AMTAKE YESE MWENYEWE. BAADA YAKIMUONA UMAUTI UTAMJIA AKIRUDI KUZIMU BILA KUIFANIKISHQ KAZI ILIMBIDI AOMBE MSAADA kwa YESU Amsaidie nakumtetea
Ukija dodoma ntakua wa kwanza kuokoka
OKoka saa hii kabla hajaja, aliyohubiri humu yatosha wewe kumpa Yesu maisha yako. Akija huko wee hudhuria mkutano Kama mlokole.
Aminaaaa!! Hakika Yesu ni Bwana.
Wewe ni muongo wa kweli hakuna kitu Kama hio ati eti ulikua umekaa kuzimu? Acha Uongo. Uongo. Mtupu
Uwongo , hadaa miujiza feki na hadithi za Abunuasi ndio mnataka kuwarithisha vijana wetu? Badala ya kujitawala wengi wao hugeuzwa mazombi wakidai ndio roho mtakatifu. vijana tumieni vizuri akili zenu ili muijue kweli na kuwa huru.
Katekela wewe ni mkweli kabisaa
MUNGU awabariki kwa injili
Ubarikiwee sana
Amina
Amen
AMEN
Aminaaaaa
Ameeen
Ujumbe wako ni mzito sana❤❤❤❤❤
Amen
Amen
Amen
Amen
Mchungaji Amiel Bwana Mungu akubariki Sana,injili yako na ipenda sana.ubarikiwe kabisa