RUTO KUPINGA USHOGA NDIO CHAZO CHA MADAMANO EV PASCHAL CASSIAN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 06. 2024
  • #0766998994 #call0688199370 #0788871769
  • Zábava

Komentáře • 108

  • @marrymakoi1588
    @marrymakoi1588 Před 19 dny +2

    Asante kwa kuwasaidia jirani zao neno laMungi lasema mpende jirani yako kama nafsi yako. Tunawapenda Wakenya

  • @annmuriithi1701
    @annmuriithi1701 Před 29 dny +9

    Amieli katekela alisema haya mambo unasema na akasema siku zimekwisha kurundi kwa yesu mara ya pili kumekalibia kwa hivyo tukeshe tukiomba

  • @mengindegeya2780
    @mengindegeya2780 Před měsícem +7

    Brother mungu akusaidie watu wakuelewe maana hali tete!!!

  • @TatuOmar001
    @TatuOmar001 Před 24 dny +2

    Mimi ni mkenya nakubaliana wewe mtumishi wa Mungu 🙏👍👏👏👏❤

  • @nemuelochego4157
    @nemuelochego4157 Před 25 dny +3

    Hii Ni uongo Paschal...We are Kenyans and we know what is behind Kenyan protests

  • @peterpreacher2025
    @peterpreacher2025 Před 29 dny +5

    Mimi kama mkenya na mkristo ninayekupenda,kwa mara ya kwanza nakupinga kwa hili,,,natamani ungeishi kenya ukaelewa ugumu tulionao hasa kwa hili la finance bill,,,na nakuomba ukipata nafasi jisomee hiyo finance bill mwenyewe uielewe,,,na habari ya ushoga naomba ujue Ruto ndiye anayejipendekeza pakubwa kwa marekani kuhusu hili,,,,hapa mtumishi umeenda sana,,,, tunaelewa tunachopitia

    • @alicejumaa89
      @alicejumaa89 Před 29 dny

      Huyu jamaa views na likes zinampotosha siku hizi ..kusifia viongozi wajinga ashazoea.

  • @nancykirigo5874
    @nancykirigo5874 Před měsícem +6

    Wacha uongo Pascal mtumishi nakupenda please keep off this heavy taxes to Kenya's ushoga ulipitishwa.

  • @adylineamutamwa959
    @adylineamutamwa959 Před 29 dny +3

    Huyu ruto alipochaguliwa n Mungu alirudi kusahau Mungu wake Sai amemezwa na dunia kwa hiyo wakenya tumuombee Sana asiendelee asikubali

    • @FruitfulMpanduji
      @FruitfulMpanduji Před 16 dny

      Wake ya tubuni Kwa ajiri ya nchi yenu . Mnadanganywa kumchukia raising wenu..msikubali kuuwanavnyiyi Kwa nyinyi ..na wakubwa wenu wanalundwa na mabodigard

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official1 Před 24 dny +2

    Ushoga ni Kenya uongo ni Kenya 🇰🇪 uuaji ni Kenya 🇰🇪 Kenya wanamdanganya hadi mungu ooooh cassian mambo ya Kenya huyawezi ulikua wapi walipo pitisha hii sheria 😂😂😂😂😂😂

  • @jestinakalage1442
    @jestinakalage1442 Před 29 dny

    Ubarikiwe sana kwa ufafanuzi huu:: MBINGU zizidi kukulinda

  • @user-lx1vn4bq8j
    @user-lx1vn4bq8j Před 29 dny +2

    Sema yòte juu wakenye wamesahau chakufanyaa na wanakufa na hawaoni kwamba wanaharibu maishayao

    • @alicejumaa89
      @alicejumaa89 Před 29 dny

      Kina nani hao wanaoharibu maisha yao.. pambaneni na tz yenu acheni udaku. Nonsense

  • @user-lx1vn4bq8j
    @user-lx1vn4bq8j Před 29 dny +1

    Amen lord

  • @SuzyDidas
    @SuzyDidas Před 29 dny +2

    Mtumish unayoyasema ni kweli kabisa maana vitu vinavyoendelea sasa havieleweki kabisa

  • @dimojaydan6344
    @dimojaydan6344 Před 25 dny

    AMEN mungu akuinue zaidi

  • @user-lx3bw1uk3e
    @user-lx3bw1uk3e Před měsícem +4

    Ruto alipo pata urais ushoga ulipitishwa sai watu wanaandamaana na uchumi ndio uko juu sana lakini si ushoga,ushoga ulipitshwa mwaka jana.

    • @alicejumaa89
      @alicejumaa89 Před 29 dny

      Aliyeulazimisha ni huyo nabii Ruto 😂😂😂

  • @enochzakayo
    @enochzakayo Před 26 dny

    very true mchungaji coz those guys had the flags to support during demonstrations ,Mungu tuhurumie kabisaa

  • @emmanuelodiga9020
    @emmanuelodiga9020 Před 24 dny +2

    Habari Mtumishi, kwenye ili fatilia vizuri, mahakama ya Kenya ilipitisha sheria ya Ushoga na adi leo ni sheria na inafanya kazi. Pia GMO ruto ndie alieleta wakishirikiana na Bill Gates, kwa hiyo utetezi wako kwa ruto haiko sawa. Fanya utafiti vizuri

  • @SuzyDidas
    @SuzyDidas Před 29 dny +1

    Mungu atuhurumie jaman

  • @faithmutua77
    @faithmutua77 Před 29 dny +2

    Nikweli mtumishi 🙏🙏🙏

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q Před 25 dny +1

    TULIA KWANZA MSIKILIZE SANA ROHO WA MUNGU USISIKILIZE WATU NA. MITANDAO, NDIPOSA ULETE SOMO LENYE MASHIKO, NA KUWA MSAADA KWA JAMII NA TAIFA NA ULIMWENGU MZIMA , TUNAKUPENDA SANA

  • @elishamalunde1106
    @elishamalunde1106 Před 25 dny +1

    Ningumu mashoga kumuelewa mtumishi casian

  • @marrymakoi1588
    @marrymakoi1588 Před 19 dny

    Wakenya jirani zetu kamani acheni vurugu mtaisha roho zetu zinauma sana. Kumbukeni nchi nyingi za Afrika anakabiliwa na hali ngumu ya maisha sio Kenya tu watu wanapambana na maisha na sio kukaa barabara kwa maandamano.

  • @marrymakoi1588
    @marrymakoi1588 Před 19 dny

    Hakika huyu ndiye mtumishi. Barikiwa uongezeke baba

  • @JosphatChai-om6lt
    @JosphatChai-om6lt Před 24 dny +2

    Hakuna kitu unajua kuhusu Kenya kuwa mpole mchungaji

  • @marrymakoi1588
    @marrymakoi1588 Před 19 dny

    Sawa kabisa mtumishi wa Mungu ni kweli Ruto anateseka sana lakini Mungu atampigania atavuka tu

  • @user-mo6hw6fx4s
    @user-mo6hw6fx4s Před měsícem +1

    sema mtumishi iliwapone 😢😢

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official1 Před 24 dny

    Hapa Kenya 🇰🇪 nikwetu na ushoga ulipitiswa hadi pendera inapeperwa iko juu cassian sisi ndio tunajua haya rais ako chini ya maji alikubali haya yote hadi amepewa pesa na hayo mataifa cassian ooooh nakupenda lakini haya uyanenayo yamekushinda Acha mungu anayajua yote kuliko wewe😢😢😢😢

  • @NzukoMwenge
    @NzukoMwenge Před 29 dny +1

    Hizo ni pigo kwa rutho ili Aachekuingiliya vita vya Congo n'a ku chekeleya Congo hiyo nionyo Mungu anamupa arudiliye njiya sahihi mchungaji . Sio mambo ya ushoga Mungu anaendeleya kuteteya Congo 🇨🇩

    • @alicejumaa89
      @alicejumaa89 Před 29 dny

      Ushoga aliyeuleta Kenya ni Ruto. Huyu mtumishi hajui anaongea nini. Uhuru Kenyatta alishaukataa kitambo.. anataka ruto ampe pesa sahau hiyo.

  • @brianshomi722
    @brianshomi722 Před 27 dny +1

    Watakaokupinga ni waliopo gizani TU😢

  • @wairimukimiri1603
    @wairimukimiri1603 Před 22 dny

    Mm ni mkenya na usiongee uwongo please, ruto alipitisha sheria ya ushoga kenya, angalia Uganda hakuna ushoga, Ruto anapitia haya yote juu ya ushoga aliptisha na Mungu hapendi uchafu

  • @marymutavi
    @marymutavi Před 18 dny

    Ruto alipitisha hio ushoga hakukataa😢😢

  • @owenomwanawayesu6961
    @owenomwanawayesu6961 Před 29 dny

    Mtumishi Pascal nakupenda sana lakini wacha kumtetea Muongo,Mfisadi…maana anawaonga wajumbe wapitishe miswada bungeni,amekuwa na kiburi…anavaa saa ya million kumi iwe aje!huo ni ukiristo?

  • @user-lk5it5zy6m
    @user-lk5it5zy6m Před 29 dny

    Ni kweli

  • @GiliardKashimba
    @GiliardKashimba Před 21 dnem

    Ndio nimekwelewa sasa hivi lakini mwanzoni ulikwaunasema kama mwana siasa

  • @PaulinaNyanzalashija
    @PaulinaNyanzalashija Před 21 dnem

    Na huko kenya panakuhusu cassian achana na nchi za watu huko kenya kuna manabii kokii

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 Před 24 dny

    Kama ingekua Africa tunaweza kujitawala bila kutegemea misaada yao wasingeweza kuchochea vurugu

  • @mohamedikinu9502
    @mohamedikinu9502 Před 22 dny

    Nchi yeyote ambayo ina uhusiano na Marekani ujue ipo kwenye ajenda ya ushoga unakosea mtumishi

  • @janemwangi1288
    @janemwangi1288 Před 16 dny

    Ruto aliuza kenya na ushoga ashapitisha.wamtetea nini?

  • @Ufunuo97
    @Ufunuo97 Před 26 dny

    Unatafta kutukanwa tuuuu, mambo mengne vungaaa, esatafrica uganda tuuuh ndo wamekataa ushogaa,

  • @collya4551
    @collya4551 Před 20 dny

    Uongo.. huo . Sisi wakenya tunapigania ushuru umezidi huku kenya

  • @babugilbert6922
    @babugilbert6922 Před 29 dny

    Kitu Cha kwanza Ruto anaunga mkono ushoga ndio maana korti ya Kenya ilipitisha huo mswada wa ndoa za kijinsia Uhuru ndio alikataa wewe mtumishi hapo nimekukosoa

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před 22 dny

    Mungu atampiganie Rais Ruto, amtegemeae bwana hawataaibika kamwe. Ruto Mungu yuko upande wake, pastor umesema ukweli kabisa, Ushoga ndio Agenda. Nasimama na Ruto na wewe

  • @happnesskitumbo5713
    @happnesskitumbo5713 Před 27 dny

    Walio wa rohoni wanaweza kukuelewa.

  • @dfremac
    @dfremac Před 25 dny

    WW NILIKUWA NAKUPENDA BT UMEANZA KUONGEA UONGO MKUBWA KEEP OFF KENYA LINE. HUJUI TUNACHOPITIA WEWE.

  • @shukulanigodwithyou7898

    Ruto mwisho atahukumiwa ayache kuunga mukono ku wenye wNashamburiya Congo kupitiya chama cha ugaidi cha m23 kagame na museveni

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula Před měsícem +2

    Mtumishi wa mungu siku zote twakufatilia vzr sana unatupa neno na mafundisho mema sana lkn kwa hili umenoa tazama ww hapo ulipo nji yako imetulia hakuna ushoga na kama upo n ule wa kujificha tu huku mambo n live alafu sasa hii kitu imefanya wakenya waandamane sio ushoga n uchumi na huyo mswada wake angelikua anawapa wakenya nafasi na kuwaskiliza hayo yote yasingetokea lkn kwa yy kua kichwa ngumu ndio unaona vitu kaa hv kwanza kbs tengeza kwako anza na kwako ww kama kiongozi uone hili jambo linafaa kama linafaa lisonge mbele kama halina maana life kingine waingeza watawezaje kuwashawishi wakenya wote kufanya maandamano wakati yy ndie huenda huko na sio ss wao hata hawatujui labda wangempa supot yy kwa kila kitu anachotaka kiwe waingeza hawana mda ya kuwashawishi wana nji labda kiongozi na sio wana nji

    • @shigongoshuli6320
      @shigongoshuli6320 Před měsícem +2

      Yamkini kuna kitu nyuma ya huo mswada.Yamkini misaada ya nje mfano mikopo imezuiliwa kwa kutokubari mashariti hayo ya ushoga na yamkini ugumu wa maisha umeanzia hapo hatimaye miswada ya kuumiza inaibuka .you never know😢

  • @mtumewawengi_onlineTV
    @mtumewawengi_onlineTV Před 24 dny +1

    Mbona uganda mseveni hajakubali na bado hawana maandamano

  • @badmeetsevil7643
    @badmeetsevil7643 Před 22 dny

    Zakayo mwengine huyu mnafik tu ww achana na kenya ww mchawi tu ww

  • @fridalyanguka1733
    @fridalyanguka1733 Před 24 dny

    Watu weusi mrudieni Muumba wa kweli (Loba)

  • @silivestatesha9262
    @silivestatesha9262 Před 21 dnem

    Anapinduliwa sasa hana muda atakimbia kenya huzakayo

  • @EdwinEdward-ze2eq
    @EdwinEdward-ze2eq Před 29 dny

    Unajua mwanadamu uwa anaenda kichwa kichwa bila kujua tu

  • @vomalizavomaliza746
    @vomalizavomaliza746 Před 18 dny

    Kwenda huko hunawaurinza wakenya nini

  • @owenomwanawayesu6961
    @owenomwanawayesu6961 Před 29 dny

    Ushoga ndio chanzo maana yeye ndiye aliruhusu mahakama kuu kuukubali.Anakataa hadharani na kukubali sirini.
    Ushoga ndio chanzo maana yeye ameukubali kisiri na akawa rafiki ya mashoga(USA).

  • @benardcharo4332
    @benardcharo4332 Před 29 dny

    Je? Huyu Paschal anaroho wa mungu?

  • @dorcasmukhanji5231
    @dorcasmukhanji5231 Před 18 dny

    Wewe muongo Ruto ni mja Mungu wapi?
    Ruto;;;,,,,,,Mwizi
    Ruto, , Muongo
    Ruto,,,,,,,,mnafiki
    Ruto,,,,,likes revenge
    Ruto,,,Soho mbaya
    Hizi sofa zote hata ashetani anashangaa

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 Před 26 dny

    Hakupiga wala kukubali yye

  • @expertsmovespodcast1830

    Maraisi wengi wanaopenda kusafiri walikubari kisirisiri ,wameruhusu makampuni hayo kuingia na kupewa maiofisi ndani ya hizo nchi Ila Marais wanaongea kwa ku act kwenye vyombo vya habari kama wamekataa .

  • @janemwangi1288
    @janemwangi1288 Před 16 dny

    Ruto ameshapitisha lgbtq kenya.mbona wadanganya?raira na uhuru ndio wachocheao but ushoga umepitishwa na huyo huyo ruto.

  • @user-lx1vn4bq8j
    @user-lx1vn4bq8j Před 29 dny

    Na ubarikiwe mutumishi wa mungu

  • @shukulanigodwithyou7898

    Ruto arifanya kosa kusikiriza shauli ya ndugu yake Kagame yeye arihuriza kagame vipi Rwanda anaendereya akamwambia kuhusu kodi enda ugapandisha kodi kuwana inchi soyo ushoga sababu nirafiki na wakubua ya washoga usiseme yivo , na yiko anamusikiriza sana na kagame ni mutu wakuraaniwa Mungu anataka amuhukumu kwadamu arie mwaga , sikiya nathani si mars yakwanza wanageshi wako Congo kuunga mukono mageshi yarwanda hiyo nikosa kubua Mungu anataka ahukumu na wewe hukataa wewe ninani mbere ajirepushe namambo yakuunga mukono m23 inayo wuwa nana inchi ya CONGo

  • @caromafumbo6088
    @caromafumbo6088 Před 26 dny

    Wacha uongo umelipwa

  • @TumbaMbayo
    @TumbaMbayo Před 22 dny

    Ruto muizi toka kule weye mujinga

  • @renatus5687
    @renatus5687 Před 23 dny

    Ww nae uo ni upeo wako ndo umeishia hapo walofanya ukamjua mungu ndo unaowapinga maana hata bible ndo wameandika wao na Kenya maandamano ni kawaida Yao usije Fanya watu wakaacha kufanya kazi kisa tuko siku za mwisho usisahau mwaka 2000 pia ilikua mwisho wa Dunia iliishia wapi iyo

  • @alimau7939
    @alimau7939 Před 23 dny

    Kama ruto anapinga ushoga marekani ameenda kufanya nini wacha uboya ww

  • @Betty-bp4gp
    @Betty-bp4gp Před 20 dny

    NA VILE NAKUPENDA SURELY UNATETEA RUTO? UNATOA JA SHO BURE.DLT THIS THING

  • @dorcasmukhanji5231
    @dorcasmukhanji5231 Před 18 dny

    Wacha uongo

  • @michaelmwamanda8418
    @michaelmwamanda8418 Před 25 dny

    Lakini na wewe nilopokajitu 😓

  • @petersaitotilaizar9176

    Nilikuwa nakuchukulia kama mtumishi but wewe nimtumishi mwango

  • @alicejumaa89
    @alicejumaa89 Před 29 dny

    Pascal cassian kabla ufanye video yoyote omba kwanza mungu akuongoze na wala sio kupayuka kwa kuwa uko na camera ikiwa hujui unasema nini na watu wanapitia nini hususan.. maana ni kiki unatafuta ndio ruto akupe pande lkn hata hujui shida ni nini. Ongelelea mwamposa wenu Kenya haikuhusu.

  • @ABIGAIL67-tria
    @ABIGAIL67-tria Před měsícem +1

    Leave the Kenyans completely,,,,,we were born with our understanding....
    You have been exposing pastors and gospel singers so badly...
    *So you and Ruto are the only holy ones who fear GOD and walk in the ways of GOD.... right???*

  • @SuzyDidas
    @SuzyDidas Před 29 dny

    Sasa kama hatutanunua au kuuza tutafanya nn ss kama wakristo

    • @annmuriithi1701
      @annmuriithi1701 Před 29 dny

      Hapo ndipo bibilia inasema atakaye fumilia mpaka dakika ya mwisho ataokoka heri kufa kuliko kuichukua hiyo machro chip ama hiyo namba ya huyo mtu kiongozi wa new world order

    • @annmuriithi1701
      @annmuriithi1701 Před 29 dny

      Kufumilia mpaka kufa

  • @anntaaka5631
    @anntaaka5631 Před 29 dny

    Wewe pascal kasiani hua unaribia watu majina na watumishi wa Mungu kumbe ni content hua unatengeneza wewe ni shoga mwanzo alafu Kenya ifwate sisi tunapigania usharu Kenya alafu uje from no where eti tunapigania ushoga weweqe

  • @BerylSeer1
    @BerylSeer1 Před měsícem +2

    Wewe wacha kuchafulia wakenya Jina, wewe unajua chenye kinafanyika huku,,, ebu mkuwe na information before mtengeneze video, Ata pesa haramu hazisaidii.... Videos mnatengeneza ndio mpate views na pesa, Mungu Aliye Hai awakemee!! Mimi kama mkenya sitaruhusu huu ujinga!!

    • @bonifacematuku2000
      @bonifacematuku2000 Před měsícem

      Akome kabisa hatukubali ii ujinga kama wakenya.

    • @user-tt7cu2et1x
      @user-tt7cu2et1x Před měsícem

      Wew unayejuwa mbona usipige got kuombea inch yako na kiongoz yako..na cyo kujaaa mabarabaran kutukana matus mabaya je?Wew uko sahih

    • @user-tt7cu2et1x
      @user-tt7cu2et1x Před měsícem

      Mashogaa wengi utokea kenya..asa mombasa😢😢😢

    • @shigongoshuli6320
      @shigongoshuli6320 Před měsícem

      Yamkini kuna kitu nyuma ya huo mswada.Yamkini misaada ya nje mfano mikopo imezuiliwa kwa kutokubari mashariti hayo ya ushoga na yamkini ugumu wa maisha umeanzia hapo hatimaye miswada ya kuumiza inaibuka .you never know😢

    • @danielgarry538
      @danielgarry538 Před měsícem

      Beryl kwa hiyo wewe huoni vita ni ya kiroho unaona maandamano na kumuondoa Ruto ndio itakuwa amani ya Kenya? Hapo angalia Sana usimhukumu mtumishi wa Mungu kwa haraka hebu chunguza vizuri....

  • @ministerwillan
    @ministerwillan Před 26 dny

    Tafadhali mtumish nawe nakweshimu lakin umeanza kukosa maadil ruto alikubali ruto si mtu wa mungu kabisa you preach gospel what's you are saying ur wrong

  • @aliaden5512
    @aliaden5512 Před 15 dny

    Watanzania elimu ndogo

  • @anntaaka5631
    @anntaaka5631 Před 29 dny

    Kumbe wewe muongo hivyo Mimi nilikua napenda kufatilia maneno yako nikidhani ni ukweli kumbe ni owongo kumbe ni content hua unatengeneza vile nimeona umetoa ujumbe wa uongo huu naku unfollow sai Kenya ushoga Ulisha kubalika sijwi waongelea Nini, kumbe wewe ni ovyo kiasi hiki ongea na ubaki uko uko Tz usitubutu kuja Kenya utabondwa hakuna siku nitasikiza maubiri yako ya content ovyo kumbe wewe ni bro wa Ruto

    • @GladTolage
      @GladTolage Před 29 dny

      Sasa nyie ma commenter wenzangu huo uongo mnaousemea ni upi imani yenu ndogo Kama hamuelew mtuache tunaoelew

  • @enochzakayo
    @enochzakayo Před 26 dny

    very true mchungaji coz those guys had the flags to support during demonstrations ,Mungu tuhurumie kabisaa

  • @GladTolage
    @GladTolage Před 29 dny +2

    Sasa nyie mnaosema ni uongo uongo gani mnaosemea kama hamuelew mtuache tunaoelew na sio kucomment ujinga nyie mnajikuta akina nani mpka mnamtishia mta unfollow umewah kumsaidia nn huyo.

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 Před 26 dny

    Huyu ruto unayemtaja hapo hujasema kiburi chake ndicho kinacho mponza anapoongea na wakenya mdomo yake mchafu yeye yanamkutu kwa kujisahau

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k Před 25 dny

    Ruto alikosea kuruhusu kuandikishwa LGBTQ kuwa na uhuru kufanya mambo yao wew umekurupuka.