DUDUBAYA AFICHUA YA MWAMPOSA, NGUVU ZA GIZA, KUUZA MAFUTA NA MAJI, ONA FACT ZAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024

Komentáře • 97

  • @JoycePius-em9ki
    @JoycePius-em9ki Před měsícem +5

    Kaka dudu baya uko vizur mungu akuweke miaka mia mbil

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před měsícem +5

    Huyu dudu ninamuekewa anatema madini kweli kweli big up dudu 😂

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před měsícem +11

    Amina kaka yangu mungu aendelee kukibariki

  • @NiceWatson
    @NiceWatson Před měsícem +4

    Mwamposa ni mtume mzur Alerujha Alerujha Alerujha wamuache kabisaaaa mtume wetu Mungu asante kwa mtu mwema kwetu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🏻🙏

    • @rechokusilimka5739
      @rechokusilimka5739 Před měsícem

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂niko pale nimekaa😂😂😂

    • @chrisshonga
      @chrisshonga Před 17 dny

      Mmemsahau kumuamini MUNGU na sasa hivi mnamuamini mwanadamu! NENO liko pale pale na litabaki pale pale milele AMELAANIWA AMTUMAINIAE MWANADAMU

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 Před měsícem +11

    BABA nae unatakiwa UweuNampa nafasi yake haujaja duniani kupitia Mama pekeyake SEMA hivi nimekuja duniani kupitia BABA na Mama hizi kauli zakusifia Mama tuu bila BABA sizipende 🙏

    • @FiollaIsaya
      @FiollaIsaya Před měsícem

      It is what it is mwanaume haujui uchungu Wala maumuvu ya mimba

    • @JohnJoseph-qq7ow
      @JohnJoseph-qq7ow Před měsícem

      Ultimately mwenyewe mimba​@@FiollaIsaya

    • @levygasper7438
      @levygasper7438 Před měsícem

      @@FiollaIsaya kwani ww mwanaume??Nami nasema hivi mwanamke hayajui maumivu tunapitia mwanaume ili mtoto akuweufikiye uutuzima

    • @FiollaIsaya
      @FiollaIsaya Před měsícem

      @@levygasper7438 sio kweli wanaume kazi yao kujaza mimba kinacho endelea tumboni Kwa mwenzio hawakijui maumuvu na kutokulala usiku yeye hajui ,kuchwanwa chwana leba mwanaume hajui maumuvu yake pili mwanaume wengi pia siku hizi hukimbia mimba anae hangaika ni mama so mwanaume hawezi beba uzito wa mwanamke hata chembe

  • @ndorobocarworks-dx4pf
    @ndorobocarworks-dx4pf Před měsícem +3

    Braza dudu nakukubali sana tangu nipo mdogo enz zile una ngoma inaitwa nakupenda tu minywele tifutifu ukitema mate yanadunda nikiisilizaga pale clouds miaka ile ila asa tatizo bro dudu ukiulizwa swali moja majibu kiroba

  • @zakariakapinga9862
    @zakariakapinga9862 Před měsícem +4

    jamaa ana hilca na silca za uchungaji ndani yake

  • @japhetferuzi1219
    @japhetferuzi1219 Před měsícem +4

    Uko vizuri mtumishi

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před 27 dny

    Kaka dudu uko vizuri sn,✔️ Mungu azidi kukubariki sn.

  • @emmanuelshilagi3302
    @emmanuelshilagi3302 Před měsícem +2

    kwanini usiwe Mchungaji dudu Baya maana nimekufahanu mapema nikiwa mdogo sana lakini nakuona saiz siyo yule wa zamani Bro natamani umtumikie Mungu na atafanya makubwa sana

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před měsícem +2

    Like kapelo lako liko wapi linakupendeza mno Mr konk

  • @sekelagatusekelege9325
    @sekelagatusekelege9325 Před měsícem +2

    Ashukuriwe Mungu anayeweza kudhihirisha kweli kupitia waja wake

  • @nurdinally3451
    @nurdinally3451 Před měsícem +5

    Mbona kanyoka jamaa anaongea kweli mnao mtukana mko sawa kweli

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 Před měsícem

      Mh hiyo haithibtsh kwmb amzungumziaye n wa Mungu, ukimsikiliza vzr, utagundua yko vzr, ila sasa afny nn au aende kwa nan kwke n changmoto kdg ndy maana unamsikia akikanganya ht zle pande 2 za imani ambzo km unazijua vzr sio za mmoja.

  • @chrisdeoglatias8665
    @chrisdeoglatias8665 Před měsícem +2

    Yuko vzr dudubaya jpo nahc n vtu vchche tu aviweke sawa ili awe sawasawa zaidi.Ana kitu kzr sn jpo awe tu specific cs kukangny huk kdg na huk kdg hs kwa miungu wawili ndy shida.Binafs nataman ht nipate namb yke kuwasiliana nae nje ya mtandao.Maana ujasiri tuu alionao kumkir Mungu pkyke kw kizaz hk tyr ni ushnd mkubw kilichobak n kuweka tu saw baadh y mambo.Ni mtumish mzr sn isipokuw machche tu kuyaweka sawa

  • @mussaisaac
    @mussaisaac Před měsícem +2

    Amelaaniwa mtu yule amtegemeae mwanadamu kuombewa sio shida Yesu mwenyewe aliwaambia wanafunzi wake iweni na imani kubwa.

    • @SimonHaule-tp3ny
      @SimonHaule-tp3ny Před měsícem

      Hujalielewa andiko hilo,

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 Před měsícem

      ​@@SimonHaule-tp3nyyaani mnachekesha sana kwa sababutu A mtuakisoma andiko lilivupnajidai hatukaelews

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh Před měsícem +1

    Mwamba ulipata lanayamungu hebu jalibu kuunzisha kanisa mungu akubaliki unajichelewashwa

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Před měsícem +4

    Hongera sana Mchungaji Dudu baya

  • @user-qe6ym5no8l
    @user-qe6ym5no8l Před 14 dny

    Amina brow

  • @SaiSitta-kj7wh
    @SaiSitta-kj7wh Před 21 dnem

    Uko sawa mtakatifu

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Před měsícem

    Nyimbo zako tu nyingi zinaonekana we ni mtumishi wa Mungu kwa sisi wenye macho ya roho tunajua

  • @ianak4
    @ianak4 Před měsícem +1

    Unaombewa kwa Jina la Yesu au ili mradi umeombewa tu? Na hata kama ni kwa Jina la Yesu, unafahamu kuwa kuna mbwa mwitu waliovaa ngozi ya kondoo nao watakuwekea mikono na kisha utaitikia tu "Amen" na kujimaliza? Sio kila anayeliitia Jina la Bwana ni wake (na anasema wapo wengi ila Yeye hawatambui), na ndio maana tunaangamia kwa kulipotosha Neno na kukosa maarifa. Kuwa makini kipenzi cha Mungu, kaa kwenye mstari ulionyooka ili usikumbwe na mabalaa (maagano) na usiwe chukizo kwa Mungu. Peace.

  • @AyubaYahyazawad
    @AyubaYahyazawad Před 12 dny

    Ndiyo ukiombewa ukapona endelea na maombi usilale mbaya wako halali we utalalaje

  • @Magreth-e2q
    @Magreth-e2q Před 17 dny

    Dudubaya. Mbona. We were. Wanasema. Nimkorofi

  • @KenethKibona
    @KenethKibona Před měsícem

    Upo vizuri

  • @JulianaMwanjala
    @JulianaMwanjala Před měsícem +1

    Ubarikiwe sana mwanangu Dudu baya

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 Před měsícem +2

    Dudu baya amefanya sana ushoga kwahiyo kisaikolojia kichwani ni taka taka tu😂😂

  • @jonasmbala1326
    @jonasmbala1326 Před měsícem

    usimhukumu mwenzio usije kuhukumiwa kwani maisha yake siku zote binadam hubadilika ndio maana tumezaliwa na kukuwa na tabia nazo zinabadilika pia sasa ww unayebeza Dudu baya kubadilika msikilize maneno yake vzr ndio utajua kwamba ww unayemtusi ndio utabaki na yako ilamwenzio yuko hatua nyingine na Mungu wake Acha kuhukum yy kajutia alikotoka ndio maa ana anatangaza wokovu

  • @user-ld3yh5kv5n
    @user-ld3yh5kv5n Před měsícem

    Jamaa alienda kuomba msaada

  • @EvaristoMwasenga
    @EvaristoMwasenga Před měsícem

    Leo kama nimemwewa sana

  • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
    @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly Před měsícem

    Dudubaya na wengine mtaongea mengi,but Mwamposa ni Mtumishi wa Mungu aliyekubali kutumika na Mungu aliye HAI.
    Hivyo kama mnadhan ni nguvu za giza katumieni nq nyinyi basi.

    • @wilhelminshauri7410
      @wilhelminshauri7410 Před měsícem

      Bahati mbaya sana hakuna mtume au nabii ndio maana kuna roho mtakatifu

  • @HusseinJamal-v9v
    @HusseinJamal-v9v Před měsícem

    Kaongea ukwel,mengne tumuachie mungu tusijudge vibaya

  • @ianak4
    @ianak4 Před měsícem +1

    Kingine, huyo unayemkimbilia kama unavyosema anaamini katika huo utatu mtakatifu unaouamini wewe? Soma sana Neno na liamini, wewe kama wewe pia una uhusiano mkubwa na wa kipekee sana na Mungu, usipende kukimbia kimbia huku na huko na kusahau Mungu amekuambia "atakufunza na kukuonesha njia unayopaswa kufuata, na atakushauri kwa uangalifu mkubwa" Zaburi

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před měsícem +1

    Konki tunakupendaga Sana

  • @TumainiMchomvu-zv3sv
    @TumainiMchomvu-zv3sv Před měsícem

    Jamaaa anaa akili sana

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 Před měsícem +2

    Dudu baya kapungua sana, ni bora akabidhi maisha yake kwa Yesu

    • @joycelaura4611
      @joycelaura4611 Před 20 dny

      mwili huo ndio mzuri ule alibongeka sana mwili mkubwa sio afya ndgu

  • @MOHAMEDYUSUPH-oq1th
    @MOHAMEDYUSUPH-oq1th Před měsícem

    Oyo jamaa c almpiga Mr nice uyo njaa tu

  • @user-zo1ym2te7r
    @user-zo1ym2te7r Před měsícem +1

    Mulicho andika nakinachoongelewa tofaut

    • @RajabuJumanne-pl8ir
      @RajabuJumanne-pl8ir Před měsícem

      Nikweli kichwa cha habari na yanayoongelewa ni vitu viwili tofauti, hilo nitatizo la waandishi wakibongo.

  • @annanamuyala
    @annanamuyala Před měsícem

    Kweli kaka nikufanya kazi kwa iman utabarikiwa

  • @andyjk5974
    @andyjk5974 Před měsícem +3

    jinsi waadrica walivyo pumbazwa wanakua defensive balaa. tutaliwa sana Waafrica kwa ujinga wetu. delusuonal brainwashed. kanunueni mafuta na udongo. kama mnadhania ulaya waliombewa ndio wakafikia hapo

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 Před měsícem +1

      Acha waendelee kununua mafuta na udongo mwamposa aendelee kuongeza mahoteli , alafu wao wakae na mafuta na udongo, watu hawaelewi😮

  • @profamanzala1693
    @profamanzala1693 Před 21 dnem

    Alleluia

  • @Dominant97
    @Dominant97 Před měsícem

    Exactly

  • @AnastinaIshisha-lt2rn
    @AnastinaIshisha-lt2rn Před měsícem

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ubalikiwe

  • @TumainiMchomvu-zv3sv
    @TumainiMchomvu-zv3sv Před měsícem

    Tesha tumia akiliiii

  • @user-ib3tc4dc4s
    @user-ib3tc4dc4s Před měsícem +1

    Dudu maisha yamemshinda na analaana ya kumpiga mr nice na alimvunja kiuno laana inamuandama ana wivu huyooo

  • @HalimaNgenzi
    @HalimaNgenzi Před měsícem +3

    Ww huna akili na hata hvyo unaonekana una mapepo mrudie mung ww ni tomaso

  • @NiceWatson
    @NiceWatson Před měsícem

    Navona inawachona sana hii ya juzi Baba mwamposa kujjaza watu ya usiku usio sahaulika Alerujha Alerujha Alerujha

  • @LobikiekiMarko
    @LobikiekiMarko Před měsícem +1

    UMEMALIZA DARASA LA TATU🤑🤑🤑🤑

  • @VeloniceDonard
    @VeloniceDonard Před měsícem +1

    Ww hakili zako haziko vinzur Kaz ya kujadil ya wenzio yako umeyaweka wap toa na yako tuone

    • @joycelaura4611
      @joycelaura4611 Před 20 dny

      da wewe unachelewa kuelewa kwan mbona kaongea vzr tu jmn si anahojiwa

  • @user-sh6ch6ex1h
    @user-sh6ch6ex1h Před měsícem +1

    OILIchaFu

  • @norahfrank
    @norahfrank Před měsícem +1

    Ukweli. Utabaki kuwa kweli.wote wanaokosoa huduma,mf. Mwamposa ni wale wasiojua maandiko na wengi ni wachawi wenyewe.wanasoma bibilia na kuondoka na vipande tu.ni aibu sana hata kwa huyu msemaji

  • @kingdavidmoto6149
    @kingdavidmoto6149 Před měsícem

    Dudubaya umekuwa mchungaji

  • @user-gp1hi7sw5k
    @user-gp1hi7sw5k Před měsícem

    Acha kutukana waganga

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Před měsícem +1

    Wewe mwamposa kanunua gari la wagonjwa unafanya mchezo mpeni jizo hela watoto wake wapo mbea baadae wataishi maisha mazuri baadae

  • @Furahazawadi-ym4be
    @Furahazawadi-ym4be Před měsícem

    Miyesisikiye anamusema mumbaya mwaposa dudu

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před měsícem

    aka yake Imemponza😂😂OIL CHAFU HUWA HAINA MVUTO

    • @selemanshaban7496
      @selemanshaban7496 Před měsícem

      Shetan ww mvuto gan unataka awe nao Ili iweje

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS Před měsícem

      @@selemanshaban7496 umekurupuka tu MVUTO wa jina. OIL CHAFU SIO JINA ZURI KUJIITA. NDO HIVYO

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Před měsícem

    Dudu afungue kanisa sasa

  • @user-jj3os9bx6m
    @user-jj3os9bx6m Před měsícem

    Toka hapa chizi

  • @Laizer3
    @Laizer3 Před měsícem +2

    Mambobya dini hamna ajuae ukweli.

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed Před měsícem

    Dudubaya we mtu wamungu tangu llini sauti sura vyote vinekufa na gongo

    • @SimonHaule-tp3ny
      @SimonHaule-tp3ny Před měsícem

      Yesu alisema mwenye afya hamhitaji tabibu,bali mgonjwa,udhaifu wake ndy unaomsogeza jirani na Mungu.

  • @Magreth-e2q
    @Magreth-e2q Před 17 dny

    Dude. Having. Mwaposa. Ameowa

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo Před měsícem

    Konk 3 master Putin 🎉🎉🎉

  • @user-tr4ib1pr1t
    @user-tr4ib1pr1t Před měsícem

    Umeokoka?

  • @nicholasmkama2877
    @nicholasmkama2877 Před měsícem

    Acha uongo wewe.kila mwanadamu ni mtu wa mungu.ila hujawa mwana wa mungu.ulichelewa kuacha Bangi na Gongo.make bado afya na akili haijakaa vizuri.kazi ya mungu huiwezi.endelea na uchawa.

  • @calistusmahombo-ty8ni
    @calistusmahombo-ty8ni Před měsícem

    Ufunuo 22:17-18

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz Před měsícem +1

    Jesus is everything

  • @user-xl5xi1uq9z
    @user-xl5xi1uq9z Před měsícem

    Mbona sauti inaonyesha imekauka kwa ajili ya bangi na pombe kali ,afu una maneno ya kiuni tu eti konki master hatar

    • @napendahuruma3320
      @napendahuruma3320 Před měsícem

      Hanywi pombe wala havuti bangi wala sigara so usimjaji mtu kama humjui

  • @augustinemainde
    @augustinemainde Před měsícem +5

    Dudu baya Kama unaweza na wewe tumia nguvu za Giza uvute watu acheni ujinga wenu,na wivu wenu

  • @PatrickTeshaTesha-zp4ld
    @PatrickTeshaTesha-zp4ld Před měsícem

    𝕄𝕥𝕦𝕞𝕚𝕤𝕙𝕚 𝕨𝕒 𝕨𝕒𝕝𝕖𝕧𝕚😂

    • @napendahuruma3320
      @napendahuruma3320 Před měsícem

      Hanywi hata pombe uliza tunaomjua so usimuelezee mtu kama humjui

  • @Dominant97
    @Dominant97 Před měsícem

    Saui ya kiroho iyo mkuu plus madini ulonayo utasaidia watu,fungua kanisa achana na makuu ya dunia

  • @brown5418
    @brown5418 Před měsícem

    Endelea kusubiri Mungu anakusudi na wewe