BABA nae unatakiwa UweuNampa nafasi yake haujaja duniani kupitia Mama pekeyake SEMA hivi nimekuja duniani kupitia BABA na Mama hizi kauli zakusifia Mama tuu bila BABA sizipende 🙏
@@levygasper7438 sio kweli wanaume kazi yao kujaza mimba kinacho endelea tumboni Kwa mwenzio hawakijui maumuvu na kutokulala usiku yeye hajui ,kuchwanwa chwana leba mwanaume hajui maumuvu yake pili mwanaume wengi pia siku hizi hukimbia mimba anae hangaika ni mama so mwanaume hawezi beba uzito wa mwanamke hata chembe
Braza dudu nakukubali sana tangu nipo mdogo enz zile una ngoma inaitwa nakupenda tu minywele tifutifu ukitema mate yanadunda nikiisilizaga pale clouds miaka ile ila asa tatizo bro dudu ukiulizwa swali moja majibu kiroba
kwanini usiwe Mchungaji dudu Baya maana nimekufahanu mapema nikiwa mdogo sana lakini nakuona saiz siyo yule wa zamani Bro natamani umtumikie Mungu na atafanya makubwa sana
Mh hiyo haithibtsh kwmb amzungumziaye n wa Mungu, ukimsikiliza vzr, utagundua yko vzr, ila sasa afny nn au aende kwa nan kwke n changmoto kdg ndy maana unamsikia akikanganya ht zle pande 2 za imani ambzo km unazijua vzr sio za mmoja.
Yuko vzr dudubaya jpo nahc n vtu vchche tu aviweke sawa ili awe sawasawa zaidi.Ana kitu kzr sn jpo awe tu specific cs kukangny huk kdg na huk kdg hs kwa miungu wawili ndy shida.Binafs nataman ht nipate namb yke kuwasiliana nae nje ya mtandao.Maana ujasiri tuu alionao kumkir Mungu pkyke kw kizaz hk tyr ni ushnd mkubw kilichobak n kuweka tu saw baadh y mambo.Ni mtumish mzr sn isipokuw machche tu kuyaweka sawa
Unaombewa kwa Jina la Yesu au ili mradi umeombewa tu? Na hata kama ni kwa Jina la Yesu, unafahamu kuwa kuna mbwa mwitu waliovaa ngozi ya kondoo nao watakuwekea mikono na kisha utaitikia tu "Amen" na kujimaliza? Sio kila anayeliitia Jina la Bwana ni wake (na anasema wapo wengi ila Yeye hawatambui), na ndio maana tunaangamia kwa kulipotosha Neno na kukosa maarifa. Kuwa makini kipenzi cha Mungu, kaa kwenye mstari ulionyooka ili usikumbwe na mabalaa (maagano) na usiwe chukizo kwa Mungu. Peace.
usimhukumu mwenzio usije kuhukumiwa kwani maisha yake siku zote binadam hubadilika ndio maana tumezaliwa na kukuwa na tabia nazo zinabadilika pia sasa ww unayebeza Dudu baya kubadilika msikilize maneno yake vzr ndio utajua kwamba ww unayemtusi ndio utabaki na yako ilamwenzio yuko hatua nyingine na Mungu wake Acha kuhukum yy kajutia alikotoka ndio maa ana anatangaza wokovu
Dudubaya na wengine mtaongea mengi,but Mwamposa ni Mtumishi wa Mungu aliyekubali kutumika na Mungu aliye HAI. Hivyo kama mnadhan ni nguvu za giza katumieni nq nyinyi basi.
Kingine, huyo unayemkimbilia kama unavyosema anaamini katika huo utatu mtakatifu unaouamini wewe? Soma sana Neno na liamini, wewe kama wewe pia una uhusiano mkubwa na wa kipekee sana na Mungu, usipende kukimbia kimbia huku na huko na kusahau Mungu amekuambia "atakufunza na kukuonesha njia unayopaswa kufuata, na atakushauri kwa uangalifu mkubwa" Zaburi
jinsi waadrica walivyo pumbazwa wanakua defensive balaa. tutaliwa sana Waafrica kwa ujinga wetu. delusuonal brainwashed. kanunueni mafuta na udongo. kama mnadhania ulaya waliombewa ndio wakafikia hapo
Ukweli. Utabaki kuwa kweli.wote wanaokosoa huduma,mf. Mwamposa ni wale wasiojua maandiko na wengi ni wachawi wenyewe.wanasoma bibilia na kuondoka na vipande tu.ni aibu sana hata kwa huyu msemaji
Acha uongo wewe.kila mwanadamu ni mtu wa mungu.ila hujawa mwana wa mungu.ulichelewa kuacha Bangi na Gongo.make bado afya na akili haijakaa vizuri.kazi ya mungu huiwezi.endelea na uchawa.
Kaka dudu baya uko vizur mungu akuweke miaka mia mbil
Huyu dudu ninamuekewa anatema madini kweli kweli big up dudu 😂
Amina kaka yangu mungu aendelee kukibariki
Mwamposa ni mtume mzur Alerujha Alerujha Alerujha wamuache kabisaaaa mtume wetu Mungu asante kwa mtu mwema kwetu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🏻🙏
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂niko pale nimekaa😂😂😂
Mmemsahau kumuamini MUNGU na sasa hivi mnamuamini mwanadamu! NENO liko pale pale na litabaki pale pale milele AMELAANIWA AMTUMAINIAE MWANADAMU
BABA nae unatakiwa UweuNampa nafasi yake haujaja duniani kupitia Mama pekeyake SEMA hivi nimekuja duniani kupitia BABA na Mama hizi kauli zakusifia Mama tuu bila BABA sizipende 🙏
It is what it is mwanaume haujui uchungu Wala maumuvu ya mimba
Ultimately mwenyewe mimba@@FiollaIsaya
@@FiollaIsaya kwani ww mwanaume??Nami nasema hivi mwanamke hayajui maumivu tunapitia mwanaume ili mtoto akuweufikiye uutuzima
@@levygasper7438 sio kweli wanaume kazi yao kujaza mimba kinacho endelea tumboni Kwa mwenzio hawakijui maumuvu na kutokulala usiku yeye hajui ,kuchwanwa chwana leba mwanaume hajui maumuvu yake pili mwanaume wengi pia siku hizi hukimbia mimba anae hangaika ni mama so mwanaume hawezi beba uzito wa mwanamke hata chembe
Braza dudu nakukubali sana tangu nipo mdogo enz zile una ngoma inaitwa nakupenda tu minywele tifutifu ukitema mate yanadunda nikiisilizaga pale clouds miaka ile ila asa tatizo bro dudu ukiulizwa swali moja majibu kiroba
😀😀😀
jamaa ana hilca na silca za uchungaji ndani yake
Uko vizuri mtumishi
Kaka dudu uko vizuri sn,✔️ Mungu azidi kukubariki sn.
kwanini usiwe Mchungaji dudu Baya maana nimekufahanu mapema nikiwa mdogo sana lakini nakuona saiz siyo yule wa zamani Bro natamani umtumikie Mungu na atafanya makubwa sana
Like kapelo lako liko wapi linakupendeza mno Mr konk
Ashukuriwe Mungu anayeweza kudhihirisha kweli kupitia waja wake
Mbona kanyoka jamaa anaongea kweli mnao mtukana mko sawa kweli
Mh hiyo haithibtsh kwmb amzungumziaye n wa Mungu, ukimsikiliza vzr, utagundua yko vzr, ila sasa afny nn au aende kwa nan kwke n changmoto kdg ndy maana unamsikia akikanganya ht zle pande 2 za imani ambzo km unazijua vzr sio za mmoja.
Yuko vzr dudubaya jpo nahc n vtu vchche tu aviweke sawa ili awe sawasawa zaidi.Ana kitu kzr sn jpo awe tu specific cs kukangny huk kdg na huk kdg hs kwa miungu wawili ndy shida.Binafs nataman ht nipate namb yke kuwasiliana nae nje ya mtandao.Maana ujasiri tuu alionao kumkir Mungu pkyke kw kizaz hk tyr ni ushnd mkubw kilichobak n kuweka tu saw baadh y mambo.Ni mtumish mzr sn isipokuw machche tu kuyaweka sawa
Amelaaniwa mtu yule amtegemeae mwanadamu kuombewa sio shida Yesu mwenyewe aliwaambia wanafunzi wake iweni na imani kubwa.
Hujalielewa andiko hilo,
@@SimonHaule-tp3nyyaani mnachekesha sana kwa sababutu A mtuakisoma andiko lilivupnajidai hatukaelews
Mwamba ulipata lanayamungu hebu jalibu kuunzisha kanisa mungu akubaliki unajichelewashwa
Hongera sana Mchungaji Dudu baya
Amina brow
Uko sawa mtakatifu
Nyimbo zako tu nyingi zinaonekana we ni mtumishi wa Mungu kwa sisi wenye macho ya roho tunajua
Unaombewa kwa Jina la Yesu au ili mradi umeombewa tu? Na hata kama ni kwa Jina la Yesu, unafahamu kuwa kuna mbwa mwitu waliovaa ngozi ya kondoo nao watakuwekea mikono na kisha utaitikia tu "Amen" na kujimaliza? Sio kila anayeliitia Jina la Bwana ni wake (na anasema wapo wengi ila Yeye hawatambui), na ndio maana tunaangamia kwa kulipotosha Neno na kukosa maarifa. Kuwa makini kipenzi cha Mungu, kaa kwenye mstari ulionyooka ili usikumbwe na mabalaa (maagano) na usiwe chukizo kwa Mungu. Peace.
Ndiyo ukiombewa ukapona endelea na maombi usilale mbaya wako halali we utalalaje
Dudubaya. Mbona. We were. Wanasema. Nimkorofi
Upo vizuri
Ubarikiwe sana mwanangu Dudu baya
Dudu baya amefanya sana ushoga kwahiyo kisaikolojia kichwani ni taka taka tu😂😂
Ulilala naye akakupa utamu wa ushoga anacheka kwa raha alizo Kupa hongera
@@zebedayokatamaduni9676😅
usimhukumu mwenzio usije kuhukumiwa kwani maisha yake siku zote binadam hubadilika ndio maana tumezaliwa na kukuwa na tabia nazo zinabadilika pia sasa ww unayebeza Dudu baya kubadilika msikilize maneno yake vzr ndio utajua kwamba ww unayemtusi ndio utabaki na yako ilamwenzio yuko hatua nyingine na Mungu wake Acha kuhukum yy kajutia alikotoka ndio maa ana anatangaza wokovu
Jamaa alienda kuomba msaada
Leo kama nimemwewa sana
Dudubaya na wengine mtaongea mengi,but Mwamposa ni Mtumishi wa Mungu aliyekubali kutumika na Mungu aliye HAI.
Hivyo kama mnadhan ni nguvu za giza katumieni nq nyinyi basi.
Bahati mbaya sana hakuna mtume au nabii ndio maana kuna roho mtakatifu
Kaongea ukwel,mengne tumuachie mungu tusijudge vibaya
Kingine, huyo unayemkimbilia kama unavyosema anaamini katika huo utatu mtakatifu unaouamini wewe? Soma sana Neno na liamini, wewe kama wewe pia una uhusiano mkubwa na wa kipekee sana na Mungu, usipende kukimbia kimbia huku na huko na kusahau Mungu amekuambia "atakufunza na kukuonesha njia unayopaswa kufuata, na atakushauri kwa uangalifu mkubwa" Zaburi
Konki tunakupendaga Sana
Jamaaa anaa akili sana
Dudu baya kapungua sana, ni bora akabidhi maisha yake kwa Yesu
mwili huo ndio mzuri ule alibongeka sana mwili mkubwa sio afya ndgu
Oyo jamaa c almpiga Mr nice uyo njaa tu
Mulicho andika nakinachoongelewa tofaut
Nikweli kichwa cha habari na yanayoongelewa ni vitu viwili tofauti, hilo nitatizo la waandishi wakibongo.
Kweli kaka nikufanya kazi kwa iman utabarikiwa
jinsi waadrica walivyo pumbazwa wanakua defensive balaa. tutaliwa sana Waafrica kwa ujinga wetu. delusuonal brainwashed. kanunueni mafuta na udongo. kama mnadhania ulaya waliombewa ndio wakafikia hapo
Acha waendelee kununua mafuta na udongo mwamposa aendelee kuongeza mahoteli , alafu wao wakae na mafuta na udongo, watu hawaelewi😮
Alleluia
Exactly
❤❤❤❤❤❤❤❤ubalikiwe
Tesha tumia akiliiii
Dudu maisha yamemshinda na analaana ya kumpiga mr nice na alimvunja kiuno laana inamuandama ana wivu huyooo
Ww huna akili na hata hvyo unaonekana una mapepo mrudie mung ww ni tomaso
Navona inawachona sana hii ya juzi Baba mwamposa kujjaza watu ya usiku usio sahaulika Alerujha Alerujha Alerujha
Msikilizeni alichokiongea ni positive
UMEMALIZA DARASA LA TATU🤑🤑🤑🤑
Ww hakili zako haziko vinzur Kaz ya kujadil ya wenzio yako umeyaweka wap toa na yako tuone
da wewe unachelewa kuelewa kwan mbona kaongea vzr tu jmn si anahojiwa
OILIchaFu
Ukweli. Utabaki kuwa kweli.wote wanaokosoa huduma,mf. Mwamposa ni wale wasiojua maandiko na wengi ni wachawi wenyewe.wanasoma bibilia na kuondoka na vipande tu.ni aibu sana hata kwa huyu msemaji
Dudubaya umekuwa mchungaji
Acha kutukana waganga
Wewe mwamposa kanunua gari la wagonjwa unafanya mchezo mpeni jizo hela watoto wake wapo mbea baadae wataishi maisha mazuri baadae
Miyesisikiye anamusema mumbaya mwaposa dudu
aka yake Imemponza😂😂OIL CHAFU HUWA HAINA MVUTO
Shetan ww mvuto gan unataka awe nao Ili iweje
@@selemanshaban7496 umekurupuka tu MVUTO wa jina. OIL CHAFU SIO JINA ZURI KUJIITA. NDO HIVYO
Dudu afungue kanisa sasa
Toka hapa chizi
Mambobya dini hamna ajuae ukweli.
Dudubaya we mtu wamungu tangu llini sauti sura vyote vinekufa na gongo
Yesu alisema mwenye afya hamhitaji tabibu,bali mgonjwa,udhaifu wake ndy unaomsogeza jirani na Mungu.
Dude. Having. Mwaposa. Ameowa
Konk 3 master Putin 🎉🎉🎉
Umeokoka?
Acha uongo wewe.kila mwanadamu ni mtu wa mungu.ila hujawa mwana wa mungu.ulichelewa kuacha Bangi na Gongo.make bado afya na akili haijakaa vizuri.kazi ya mungu huiwezi.endelea na uchawa.
Ufunuo 22:17-18
Jesus is everything
Mbona sauti inaonyesha imekauka kwa ajili ya bangi na pombe kali ,afu una maneno ya kiuni tu eti konki master hatar
Hanywi pombe wala havuti bangi wala sigara so usimjaji mtu kama humjui
Dudu baya Kama unaweza na wewe tumia nguvu za Giza uvute watu acheni ujinga wenu,na wivu wenu
Braza samahani naomba ukasome warumi 10:2-3
Ivi uyu alisikia intervew au unafata zako iyo capshen tu😂
Kweliiiiiiiiii jee?
𝕄𝕥𝕦𝕞𝕚𝕤𝕙𝕚 𝕨𝕒 𝕨𝕒𝕝𝕖𝕧𝕚😂
Hanywi hata pombe uliza tunaomjua so usimuelezee mtu kama humjui
Saui ya kiroho iyo mkuu plus madini ulonayo utasaidia watu,fungua kanisa achana na makuu ya dunia
Endelea kusubiri Mungu anakusudi na wewe