MBOWE ATIKISA MOSHONO ARUSHA, AIVAA SERIKALI YA CCM | TANZANITE YAZUA BALAA |AZUNGUMZIA UKUTA WA JPM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 29

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před měsícem +9

    Hongera sana kamanada wamewakaangia watoto wetu sumu ya elimu miaka msingi watoto wao wakalisha keki ya elimu nje na ndani ya nchi

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 Před měsícem +4

    Tunakuelewa sanaaa baba"tumechoka na hyaa mambwa ya ccm

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před měsícem +6

    Arusha wamenifurahisha

  • @wemakingdaily1462
    @wemakingdaily1462 Před měsícem +4

    MUNGU IBARIKI TANGANYIKA

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 Před měsícem

    Shikilieni Hayo Mnayoyasema.Iko Siku Nchi Punde Itakua Chini Yenu.Tumuombe Mungu Hili Litokee.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před měsícem +5

    Iko hivi watoto wa kasimu majaliwa viongozi wote.wa serekali wao wanasoma elimu mnchanyiko wa kingereza ya juu ila kwetu walikuwa elimu ili watoto wao watutawale kisultanj baba raisi mtoto raisi uongozi kifamilia ktk nchi yetu

  • @shillabajumuzi
    @shillabajumuzi Před měsícem +3

    Ongera kamanda endelea kugusa elimu ilani iwe elimu elimu tupate somo la elimu

  • @VenassJoseph
    @VenassJoseph Před měsícem

    Sema mheshimiwa

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Před měsícem +2

    Arusha ni wanamabadiliko wa kweli

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před měsícem +2

    Kweli kbx, ukienda mashulen ya private walimu ni wakenya. Pia tusome kiswahili hadi 4m4 wakati hukumu mahakaman hutolewa kwa kingereza, na miswaada bungeni hupitishwa kwa kingereza. Upuz kweli kupeleka mbunge wa lasaba bungeni

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Před měsícem

    Nwenyekii wa kudum

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r Před měsícem

    Yani nikiliona jitu linasema Mimi ni ccm namwona tahira sana

  • @HumphreyNyiti
    @HumphreyNyiti Před měsícem

    Huyu mwamba sna akili sana

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc Před měsícem

    YAANI WEWE MBOWE UNANIFURAHISHA SANA NA HOTUBA ZAKO, WAPE VIDONGE VYAO MACCM

  • @evaemil856
    @evaemil856 Před měsícem

    Du watu wanapiga miayo kuonyesha njaa, na wengi wamekunja nyuso kuonyesha maumivu ya maisha na hasira ya hali ngumu ya maisha na tax juu. Mali Ya serikali msichome, ni kuitoa CCM na Chama tawala kitakachokuja kitamiliki magari hayo na hizo nyumba. Magari mengi yatauzwa kwa wananchi kwa pesa halali kulingana na thamani ya gari.

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Před měsícem

    Mwamba Kazini

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před měsícem

    Mifumo ya elimu yetu umetisoofisha halafu viongozi hawataki kufanya mabadiliko ila wanapeleka watoto wao kusoma shule za kiingreza mungu anawaona. Ukitaka kuwa taifa wanyime elimu bora

  • @user-pp1cq9op5y
    @user-pp1cq9op5y Před měsícem

    Eti makonda atalipia maholi ya harusi wanatuona hatuna akili angesema atatupuguzia ugumu wa maisha tungemuelewa

  • @widimaelimushi
    @widimaelimushi Před měsícem +1

    Unaelimisha vizuri wajinga wengi hawaelewi Ni mbumbu.

  • @frankcharles3980
    @frankcharles3980 Před měsícem

    CHAMA DUME CHAMA IMARA KABISA WANANCHI TUBADIRIKE TUSIWE MISYUKA

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Před měsícem +3

    Arusha mmeletewa makonda awapumbaze.
    Nyie watu muwe na akili.tuliwaamini sana watu wa Arusha kwa mabadiliko msituangushe.
    2025 hakikisheni mnaisafisha arusha

  • @jacksonmwakosha3655
    @jacksonmwakosha3655 Před měsícem

    Wambie mweshimiwa mbowe make tuliopitia tunajuta sana lkn watanzania tunalingia kiswahili wakati tunaabika sana

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Před měsícem

    Du watu wanatamani kulia.

  • @saidmwakasekela4589
    @saidmwakasekela4589 Před měsícem

    Cff

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před měsícem

    Kamati ya ukombozi au kusakaka majambazi wa Taifa?