#LIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 101

  • @markombilinyi7409
    @markombilinyi7409 Před 23 dny +16

    Ahsante Mwabukusi kwa kuactivate kazi za TLS, wengi hatukujua TLS ni nini na inakazi gani. kwa muda mfupi tumeanza kuona matunda ya TLS.

  • @amurimafimbo2449
    @amurimafimbo2449 Před 23 dny +7

    UBARIKIWE SANA NDUGU RAIS MWABUKUSI..HONGERA SANA..MIMI NA FAMILIA YANGU YOTE TUNAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AKULINDE NA PIA AKUPE AFYA NJEMA..TUNAKUPENDA SANA.❤❤❤

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Před 23 dny +12

    Mungu ni mwema, kumpata mtu huyu ni baraka kwa tusio na sauti.

  • @user-qx6nj3me8x
    @user-qx6nj3me8x Před 22 dny +5

    Yani Mungu ni mkubwa sana kwetu watanzania tumepata kiongozi bora sana tumtumie

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 Před 18 dny

      Mungu ametupatia huyu kiongozi Mwabukusi ili awe sauti ya wasiyosikilizwa,awe mtetezi wa wanyonge, hivyo mtu kama huyu anatakiwa kulindwa kwa maombi, kwa mbinu zote na kwa ghalama zote. Tusiongee tu kwamba tumepata kiongozi huku hatumlindi! Mwabukusi anatakiwa kulindwa sana! Kumbuka hawa mashetani walichomfanyia JPM-walimsaliti wenyewe ndani ya serikali!

  • @fabby1181
    @fabby1181 Před 23 dny +5

    Mimi nilikuwa nafahamu kidogo kuhusu section 4, kwa sasa ninaiona TLS kuwa kimbilio la watanzania, Mungu awape ujasiri Yuko pamoja

  • @RenatusMatungwa-o7c
    @RenatusMatungwa-o7c Před 22 dny +6

    Nimefurahi sana huyu jamaa kuwa rais wa TLS sifa yake kubwa hapendi ubabaishaji

  • @EarnestMwangombola
    @EarnestMwangombola Před 23 dny +7

    TLS, ina mambo mengi ya kutupa majibu ya kisheria pale yunapokosa majibu kwa mfano:-
    1. Je, sheria inasemaje kuhusu upotevu wa fedha ya umma kama unavyobainika na CAG?
    2. Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU, Ina faida gani kwa umma kama wezi waliobainishwa na CAG, hawawezi kuwashughulikia?
    3. Mikataba mingi tuliyoingia tuko kulipa hasara ya faini iliyotusababishia. Je, si vema sasa kutaka mikataba yote irejewe na TLS ili ihakikiwe uhalali wake, kuliko kuendelea kuifumbia macho na kutusababishia hasara?
    4. Kuna rasimu za katiba kama tatu hivi serikalini, je, sheria inasemaje pale serikali inapokataa matakwa ya watu?
    Ni tumaini langu kuwa TLS itatusaidia kutujibia maswali tuliyonayo kisheria.

  • @paritsaruni5019
    @paritsaruni5019 Před 23 dny +4

    Haki haki haki. Mungu wetu ni Mungu wa haki toka enzi na enzi. Amen!

  • @muhsinyusuph6456
    @muhsinyusuph6456 Před 23 dny +10

    TLS bora tunaanza kuiona.section 4 now

  • @madamajohn3615
    @madamajohn3615 Před 22 dny +3

    Tunataka wasomi wenye kujitambua kama ninyi hivo mungu ibariki Tanganyika❤

  • @fabianmahenge301
    @fabianmahenge301 Před 22 dny +2

    TLS congratulations for incredible response....... Kuweni na tahadhari kubwa kwa kinachoitwa wasiojulikana (unknown people existing in this state).

  • @godfreyoscar3489
    @godfreyoscar3489 Před 23 dny +5

    Good start

  • @innocentlethisia416
    @innocentlethisia416 Před 22 dny +1

    Kimbe TLS ni ni jicho au ni mbadala wa bungee jaman TLS OHEEE we love you mabukusiiii
    Afya yako istawiii

  • @AnthonyRutakwa-b8j
    @AnthonyRutakwa-b8j Před 22 dny +3

    Wakili msomi raise wa tls mtu wa mungu kweli unajenga taifa juu ya elimu unayoitoa Kwa umma juu ya Sheria za nchi tunakutakia heri ktk harakati hizi

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 Před 23 dny +6

    SECTION 4 🎉🎉🎉

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Před 23 dny +9

    Ben Saanane ana niliza kila siku.

    • @verdianabanabi2205
      @verdianabanabi2205 Před 23 dny +2

      Siyo wewe tu ni wengi wanaowalilia wengi walipotezwa waikabe serikali waseme wako wapi.

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Před 23 dny +3

      Ina umiza zaidi unapoona kuna watu wanaipigia Kura CCM PAMOJA NA UOVU HUU WA KUTISHA!!! UNAPOIPIGIA KURA CCM NI SAWA NA KURIDHIA UOVU HUU UENDELEE!!!

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 Před 23 dny +5

    Bm Rais wetu hili ndilo kusudi la MUNGU kukuweka hapa watanyoka hawa,ww ndiyo mkombozi kwa Watanganyika na hakika Tanganyika inapata uhuru kamili,tunakusubiri siku chache uwe Rais wa nchi ya Tanzania/Tanganyika.

  • @khalidmamdadi1072
    @khalidmamdadi1072 Před 22 dny +2

    Asante muheshimiwa Rais

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 Před 23 dny +5

    Kumbe waziri hana mamlaka ya kufuta vijiji loooo😂

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 Před 23 dny +5

    Sasa TLS imeamka na inatenda wajibu wake

  • @melubonyange6355
    @melubonyange6355 Před 23 dny +5

    Asante TLS

  • @azizali5759
    @azizali5759 Před 22 dny +2

    Allah afanye wepesi katika jambo hili

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d Před 23 dny +3

    Mungu akuongoze papo abandu haba bakanjakanunu uje masso

  • @hamisimwinzagu6624
    @hamisimwinzagu6624 Před 23 dny +9

    Ivi hakuna njia m'badala ya kuwaburuza mahakama za kimataifa maana vinginevyo hakuna muhafaka utakao wafamya wananchi wa ngorongoro wabaki apo wataondolewa tu ivyo naomba isiwe siasa wasaidiwe hao wamasai wabaki kwenye ardhi yao

    • @jumas.sendekwa2788
      @jumas.sendekwa2788 Před 22 dny

      Hivi unadhani zilipo hifadhi nyingine hakukuwa na watu? Kwani Wamasai wao ni special sana? Kwani kati ya Wamasai na wanyama waliopo Ngorongoro nani walio kwenye ardhi yao ya asili? Kwani nchi imejaa mpaka watishie uhifadhi wa Ngorongoro?

    • @RenatusMatungwa-o7c
      @RenatusMatungwa-o7c Před 22 dny

      ​@@jumas.sendekwa2788mbona unazungumza ujinga ww hebu jenga hoja wamasai wanahamishwa kwa maslahi ya nani?

    • @hamisimwinzagu6624
      @hamisimwinzagu6624 Před 22 dny

      @@jumas.sendekwa2788 special ndio nn kama unajua Sana kiingereza sentensi yako yote ya maneno ungeongea iko kiingereza mboni kipande Tu cha neno ondoka gizani uko jitambue kidogo

    • @thanksrjhood9508
      @thanksrjhood9508 Před 22 dny

      Cradle of mankind Iko wapi kama watu cyo makazi yao ya asili?

    • @jumas.sendekwa2788
      @jumas.sendekwa2788 Před 22 dny

      @@thanksrjhood9508 makazi yao ya asili yawe hifadhini? Hivi wana harakati mnadhani hifadhi nyingine watu hawakuzipisha? Kwa hiyo unataka Ngorongoro ife?

  • @innocentlethisia416
    @innocentlethisia416 Před 22 dny +2

    Mwabukusi cc kama watanzania na wapenda TANZANIA TUNAKUELEWA NA SI HILO TUUUU MUNGU MUNGU MUNGU AKUPE AFYA NJEMA NA UMAHIRI ILI UTUFIKISHE PAHALI PEMA

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn Před 23 dny +3

    Watanzania ni kanuni hawasomi. Na hadi ikatamkwa kwamba ukitaka kumficha kitu mtanzania weka kwenye maandishi. Naam bwa. Mwabukusi una kazi kubwa sana ya kuwaambia waandishi wasome. Kama ilivo kwa watanzania wengine nao hawasomi na infact kiuandishi ni kwamba kanumi inamtaka mwaandishi habari asome/ajihabarishe vya kutosha kabla ya kwenda kuandikia jambo (prepare and umderstand if not fully but to a good extent the issue you intend to make coverage). Matokeo ya kuto kusoma, waandishi wakija kwenye tukio la msomi kama huyu wanauliza maswali yasiyo na viwango hadi Mwabukisi anawashangaa na anawashauri wakasome! Otherwise hongera sana rais TLS, kupitia msimamo wako, umma utapata sehemu nyingine ya kwenda kufutwa machozi.

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 Před 23 dny +2

    Wakili msomi BM.Mh Rais wa TLS wape somo hawa hawajui wanajua lzm washike adabu,maana wanajifanya viziwi na vipovu huku wakijua wanavunja msingi ya sheria .

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před 23 dny +5

    Mahakama yetu

  • @SimonDiagi
    @SimonDiagi Před 22 dny +2

    Mara paaap kawa rais wetu,weeeeeeeeee

  • @erickkigugange5209
    @erickkigugange5209 Před 23 dny +3

    TLS tulikuwa hatujui ni nini na inafanya kazi gani, kupitia kwa Mwambukusi tumeanza kuelewa.

  • @JumaSafari-x5l
    @JumaSafari-x5l Před 23 dny +3

    Kwa nini vitu kama hivi awarushi tv za wananchi wasio na cm palasa

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 22 dny +2

    Mheshimiwa Rais-TLS tunaomba kujua je,mmewatembelea wale waliofika eneo lililotengwa na kuhamishiwa kwa nguvu mkalitathmini na kujiridhisha kuwa linatosheleza watu hao elfu50 na zaidi wanaenea pamoja na mali zao? Kuwanyima haki ya kupiga kura na kufungia huduma za msingi,serikali imetumia kifungu gani cha sheria na katiba iliyopo?

  • @akimAkimuWA-m3t
    @akimAkimuWA-m3t Před 23 dny +4

    Okoenitaifa tunawategemeasan. nizambikubwa watu kuteseka kwenyeinchiyao

  • @WinfridaKagaruki
    @WinfridaKagaruki Před 22 dny

    Nimependa SANA tls

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru1356 Před 22 dny +2

    Uwekezaji popote duniani haukuwahi kuwa laana kwa wakazi na maeneo yao na mali zao

  • @Bwigane1
    @Bwigane1 Před 22 dny +2

    Mungo akubariki wewe na uongozi mzima wa TLS

  • @genesfocus4145
    @genesfocus4145 Před 23 dny +4

    Kwani naye Mbunge wa Ngorongoro amehama naye kwa hiari?

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před 23 dny +2

    Kazi unayo mwabukusi!!!!

    • @andrewkissava9184
      @andrewkissava9184 Před 22 dny

      Kazi gani anayo ,au unalo jambo nyuma ya Pazia cremence Ole wako adhurike mwabukusi ,hakika cremence utatwambia kwanza mkono wa MUNGU na uwe mzito kwako cremence

  • @pakyanyamkinga8390
    @pakyanyamkinga8390 Před 23 dny +3

    Huyu muliza maswali akasome sheria ajue utawala unaendeshwaje.

  • @RockusssySanka
    @RockusssySanka Před 22 dny +1

    Mimi sijajua kwa nini Mwandishi a asema " TLS ya Rais Mwabukusi ....
    Je, ni sahihi kuelezea namna hiyo ?
    Kuna ubaya gani ukisema TLS yatoa tamko ?
    Rais yuko TLS kwa dhamana tu na siyo yake yeye Mwabukusi .
    Ukiingia kwa ndani unaona Kuna namna ya kumchonganisha na Wanajamii hii .

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 22 dny +1

    MUNGU TUSAIDIE HAWA WANAOKWENDA KUCHUNGUZA HUJUMA HII WASITENDWE LOLOTE LILILO OVU. NCHI YETU ITAWALIWE NA HAKI .

  • @FarianManase
    @FarianManase Před 18 dny

    Kuanzia hawa wanasheria rais wa tls,madeleka,kibatala naanza kuisoma sheria

  • @DavidDavid-i1t
    @DavidDavid-i1t Před 16 dny

    Hata rais angekua anahotubia hivi tungefika mbali sana

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před 22 dny

    Muda umefika haki , haki, haki.

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před 22 dny

    Aisee Samia utatunyoosha hakiamungu

  • @emanuellyatuu731
    @emanuellyatuu731 Před 22 dny +2

    Hakim huinua taifa Bali dhambi Ni aibu kwa watu wote

  • @richardmagaka9525
    @richardmagaka9525 Před 22 dny

    Sema ukamataji wenye lengo ovu ndo huwa ni waki magumashimagimashi hivi maana kuna polisi wenye weredi kabisa wanafuata Sheria na utaratibu wa ukamataji hata kama wanahofia kuwajulisha viongozi wa eneo husika ili wasije kutoa siri huwa wanakwenda kwa kiongozi wanakwenda nae kwenye eneo au kwa mtuhumiwa

  • @KasongoRugina
    @KasongoRugina Před 22 dny +1

    Chuma hicho

  • @oneandonly9816
    @oneandonly9816 Před 22 dny +1

    Rais anatakiwa kuomgea kama huyu baba sio Rais anayeziba masikio!!

  • @SimonDiagi
    @SimonDiagi Před 22 dny +1

    Wamasai wanaonewa sana

  • @MasudSalum-o4o
    @MasudSalum-o4o Před 22 dny +1

    Mh kwani tunakubali kukamatwa huwa ni kutekwa tu

  • @EzekielSitayo
    @EzekielSitayo Před 22 dny

    Tls imepata rais mwenye sifa na kibali kutoka kwa MUNGU

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 Před 22 dny

    🙏🙏🙏🙏👍

  • @danielmwanga5231
    @danielmwanga5231 Před 23 dny

    🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏💪

  • @Yomiyomi6897
    @Yomiyomi6897 Před 23 dny +1

    Usitukane. Pinga kwa hoja.

    • @c.l.g.mchurch6426
      @c.l.g.mchurch6426 Před 22 dny +1

      Tulia dawa ipitee umeshiba damu chuma hicho kinatowa madini😅

  • @danielmwanga5231
    @danielmwanga5231 Před 22 dny

    🙏👍🙏🏽💪❤️

  • @jumas.sendekwa2788
    @jumas.sendekwa2788 Před 22 dny

    Hivi sote tukiamua kurudi kwenye hifadhi wazazi wetu waliohamishwa bila kulipwa hata mia tena kwa vichapo. Kutakuwa na hifadhi Tanzania?

    • @andrewkissava9184
      @andrewkissava9184 Před 22 dny

      Toka hapo juma mdini mkubwa kwanza ondokekeni tanganyika mwende kwa huyo mama yenu huko kwenye maji huko kwenye vizuwa mkale pweza

  • @pauloisso5815
    @pauloisso5815 Před 22 dny +2

    Kama haumuelewi huyu mwabukusi wewe ni kichaa kabisa

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i Před 23 dny

    Wenye macho walishindwa.sembuse kipofu

  • @BobNgagi2023
    @BobNgagi2023 Před 23 dny

    Wewe Mwabukusi ni nani hadi uiburuze Serikali ? Unajitekenya na kucheka mwenyewe , TLS ni ujinga ujinga tu 😂

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 Před 23 dny +2

    Wakili msomi BM.Mh Rais wa TLC wape somo hawa hawajui wanajua lzm washike adabu,maana wanajifanya viziwi na vipovu huku wakijua wanavunja msingi ya sheria .

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 Před 23 dny +3

    Wakili msomi BM.Mh Rais wa TLC wape somo hawa hawajui wanajua lzm washike adabu,maana wanajifanya viziwi na vipovu huku wakijua wanavunja msingi ya sheria .