PAMECHIMBIK! MWABUKUSI AKIRI WAMAASAI WANYANYASWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Chama cha Wanasheria Tanganyika(TLS), kimetoa rai kwa serikali ya Tanzania kuonyesha nia yake ya dhati kwa kurudisha huduma zote za kijamii kwa wananchi wa Ngorongoro kwa kuwa ni haki yao
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 15

  • @ShamsiKasoma-fn4cl
    @ShamsiKasoma-fn4cl Před 22 dny +3

    Watanzania niwaoga sana cc jaman selikari yetu msitupe ujasiri wa kufanya mambo ya ovyo tusikilizwa ili tuendelee kua kimya

  • @AbdulazizMohammed-wi8qz
    @AbdulazizMohammed-wi8qz Před 21 dnem +2

    Mama aachie nchi wanaume

  • @malackedson7706
    @malackedson7706 Před 21 dnem +2

    Hatutaki mzazibar.

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 21 dnem +2

    Huyu mzanzibari hakuna kumpa kura

  • @ManPro-ng3op
    @ManPro-ng3op Před 21 dnem +1

    Samia na majariwa washenzi yaani Bola waalabu kuliko wamasai

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Před 22 dny +1

    Laaaaaana iende katika viongoz wote na familia zao, wenye uonevu ktka inch hiii ya tz .ukweli huruma saana

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 Před 22 dny +1

    Mearabu yupo hapo anachunglia kama mjusi

  • @daudimilya
    @daudimilya Před 22 dny +1

    🙏🙏🙏🙏

  • @PasakaNicholas-wm5mn
    @PasakaNicholas-wm5mn Před 22 dny +3

    Aibu kwa Samia na ccm

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 21 dnem

    Viva masai

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv

    ILA HUYU MAMA ANAZAMBI SANA ATAFIKA KWA MUNGU AMECHOKA SANA

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 Před 22 dny

    Sijuwi hawa chadema wapo wapi???wanasai ngorongoro wanazulu miwa haki yao.mchana kweupe.chadema wanapiga keleke katiba.wanashindwa kuwasaidia wamasai na nchi yaoo.waache umbeya

    • @elioimer8423
      @elioimer8423 Před 22 dny

      Wehu wako wengi. Chadema ina husika vipi na matatizo ya Ngorongoro

    • @ayubumbaras776
      @ayubumbaras776 Před 21 dnem +1

      Chadema ndio wanaondesha selikari

    • @josephatbwakome5711
      @josephatbwakome5711 Před 21 dnem

      Uliza serikali ya CCM iko wapi wananchi wa Ngorongoro wanateseka