PAMECHIMBIK! MWABUKUSI AKIRI WAMAASAI WANYANYASWA
Vložit
- čas přidán 11. 09. 2024
- Chama cha Wanasheria Tanganyika(TLS), kimetoa rai kwa serikali ya Tanzania kuonyesha nia yake ya dhati kwa kurudisha huduma zote za kijamii kwa wananchi wa Ngorongoro kwa kuwa ni haki yao
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Watanzania niwaoga sana cc jaman selikari yetu msitupe ujasiri wa kufanya mambo ya ovyo tusikilizwa ili tuendelee kua kimya
Mama aachie nchi wanaume
Hatutaki mzazibar.
Huyu mzanzibari hakuna kumpa kura
Samia na majariwa washenzi yaani Bola waalabu kuliko wamasai
Laaaaaana iende katika viongoz wote na familia zao, wenye uonevu ktka inch hiii ya tz .ukweli huruma saana
Mearabu yupo hapo anachunglia kama mjusi
🙏🙏🙏🙏
Aibu kwa Samia na ccm
Viva masai
ILA HUYU MAMA ANAZAMBI SANA ATAFIKA KWA MUNGU AMECHOKA SANA
Sijuwi hawa chadema wapo wapi???wanasai ngorongoro wanazulu miwa haki yao.mchana kweupe.chadema wanapiga keleke katiba.wanashindwa kuwasaidia wamasai na nchi yaoo.waache umbeya
Wehu wako wengi. Chadema ina husika vipi na matatizo ya Ngorongoro
Chadema ndio wanaondesha selikari
Uliza serikali ya CCM iko wapi wananchi wa Ngorongoro wanateseka