Mungu Ibariki Afrika Wabariki viongozi Wake.. Wape Busara zaidi zakutuongoza.Wape Afya na Nguvu .Wape Amani katika familia zao. Wapate kututumikia kwa Amani na Utulivu.......(Machozi yamenitoka Walai! Utunzi Bora Sana Mpoto Mungu Awape Busara zaidi zakuijenga Nchi yetu kwa Tunzi zenu Bora Awape Afya njema Ninyi na familia zenu.Mungu tunakushukuru na Tunasema.. Amin Rab Amin In sha Allah Allah Atufanyie Wepesi sote hapa Duniani na kesho Akhera In sha Allah.
Ulitakaje? Ulishasikiaga Jeshi la Tanzania limemuonea Mtu?au kushuudia kwa macho yako mawili? Acha Maneno yako bwana...Amani na Utulivu Mungu Ameishikilia kwa kupitia Wao..Uoni mifano kwa Nchi zingine?
Utunzi mzuri.Tukitunze na kukienzi Kiswahili. Ni Tunu ya Taifa letu. Hongera Mpoto
Hongera sana kwa jwtz, hongera kaka mpoto kwa utunzi mzuri
Na sisi watu wa Kibiti tunasema Asante Jwtz. Tunamshukuru Amri jeshi mkuu
Asante Mrisho hii ndio Sanaa ya mafunzo vina na mizani vimezingatiwa
Utumzi mzuri, kwenye hii nchi kitu cha kwanza nachokipenda ni JWTZ🎉🎉
Mungu Ibariki Afrika Wabariki viongozi Wake.. Wape Busara zaidi zakutuongoza.Wape Afya na Nguvu .Wape Amani katika familia zao. Wapate kututumikia kwa Amani na Utulivu.......(Machozi yamenitoka Walai! Utunzi Bora Sana Mpoto Mungu Awape Busara zaidi zakuijenga Nchi yetu kwa Tunzi zenu Bora Awape Afya njema Ninyi na familia zenu.Mungu tunakushukuru na Tunasema.. Amin Rab Amin In sha Allah Allah Atufanyie Wepesi sote hapa Duniani na kesho Akhera In sha Allah.
Namuona mzee wa msoga kuleni nchi tu mfalume wa wafalume anawasubiri
Amani na Upendo Tanzania 🇹🇿
Hakuna kitu hapo badala uwakemee juu ya utekaji wew unasifia
Nani aliekuuliza
Bona Wewe Ujatekwa.?
@@husseinshabani9522sio lazima atekwe yeye akitekwa hata NDUGU yako yeyote Itatosha tu
Asante mama kutoka mkoani Ruvuma kutuzalia hichi kichwa Cha mrisho mpoto
CHaWA pro max mzee yusufu bwana eti eeeeh bora yeshee
Msimtanie Mungu ninyi wazalimu
Tanzania nzima huyu ndie msanii ninae mkubali na kumuerewa
Kama mmeona ka memo alikopewa chalamila na mama apo mwanzani.. tujuene hapa
Sio memo karanga
Sio rais huyo aliyempa
Mtoto wa mama uyoo
❤
Huyu jamaa ni M bunifu sana! Kila muda Anabadiri muonekano😂
Ongera tc mpoto
HAHAHA MJOMBA KAWA CHAWA
Yes
Chawa mpoto naye anataka atauliwe!
Ahsante JWTZ 🫡🫡
Wewe chawa
ACHA ROHO MBAYA... MUACHE MNDEGEREKO ATEKELEZE WAJIBU WAKE WA KULITUMIKIA TAIFA LAKE KWA SANAA YAKE...
Ulitakaje? Ulishasikiaga Jeshi la Tanzania limemuonea Mtu?au kushuudia kwa macho yako mawili? Acha Maneno yako bwana...Amani na Utulivu Mungu Ameishikilia kwa kupitia Wao..Uoni mifano kwa Nchi zingine?
Mrisho anajua sanaa
Kipaji mjomba sio mchezo hongera sana
Come on Mrisho hujawahi kukosea...
Naipenda taifa langu nalipenda jeshi langu
Hili ni jabali la utunzi wa mashari
Utunzi mkubwa sana huu. One day nitafanya kitu na wewe anko #mpoto🔥🔥
Mpoto amekuwa bonge la chawa.
😂
Ulitakaje?
Naipenda inchi yangu ma kujivunia
Anaetoa baraka ni mmoja tu ambaye Mungu pekee mpito usimpake mafuta mfalme wakati mauaji yanaendelea nchini na utekaji watu
Yaani Hawa chawa Hawa ni hatari sana
Abdala twalipo yao of tunduru safi mpoto najeshi letu nizaidi ya majeshi africa asanteni
Tunduru hii hii ninayoijua
Nilitaka Kuongea Kitu Nimeona Ila Nikikumbuka Walipo Wakina Nyundo Na Hata Wakili Cna Bora Nikae Tu Kimya 😅😅😅
Tanzania inavituko jamani wasanii wao sasa 😂😂😂
Ila moto,,au basi,,,?????? Kawa????
Imetulia .
❤❤
Weka ujimbe wako usiojielewa tu lakini mwenzio anapiga hela😂
Khaaaaa si aimbeeee kwani ameambiwa aongeeee
Uko birthday
Shida hao waganga wa kienyeji wanaokutuma utembee pekupeku. 😅
Mrisho mpoto state functions zote ni zake hana mpinzani kwa hio sector😂
Chawa yupo kazin
😮😮😮
Unaimba wimbo upi mboto
Nchi huru watu wanatekwa kila aiku
Chawa promax 😂
Amani karume afya yake ina dorola
Age binadam ni kama jani
Sio afya kudorora ni umri eti karume mkubwa
Machawa wako kazini😂
Nchi ya maigizo watu wanatekwa Na nchi Na ushenzi nchi nzima wao wako ikulu wanaburudika
Ulitakaje?
We ushakuwa chawa una jipya mbuzi 🍌 🍌
Ulitakaje?
Useless.njaa
Kila mwenye tumbo ana njaa we haujapata tu nafasi ku express njaa yako
Huna lolote"njaa tu
Kila mwenye tumbo ana njaa hata wewe ni haujapata nafasi tu ya kuonyesha njaa yako
We Umeshiba?
❤