MAPYA YAIBUKA KUTEKWA KWA DEUSDEDITH | NAMBA ILIYOKO POLISI INATUMA UJUMBE WA KUKIMBIA NCHI, MAAJABU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 18

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 Před 14 dny

    Wew ndo haupo salama maana unafosi madalaka kama utaishi milele unapoteza mda nasiasa badala ya kutumia mda wako. Kumuomba Mungu akusamehe. na. Akupe mwisho mwema. Kwan hela ya siasa. Si Salama sana Kwa kila mwenye hofu ya Mungu

  • @SaimonMwashinga
    @SaimonMwashinga Před 12 dny

    Iv mnaoshabikia kutekwa watu ninyi ni watu gani

  • @kennycathles
    @kennycathles Před 17 dny

    #Free SOKA

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Před 15 dny

    Sasa uoga ni wanini mbona Hawa vijana ni wadogo sn

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 22 dny +1

    Mafisiemu bana. Kws hiyo yanaona kuna amani

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před 21 dnem

    Mbona msiwe wakali mtoke barabarani tatizo mmezidi mdomo action hakuna mtakamatwa mpk mfurah na badoo

  • @DeusSoka
    @DeusSoka Před 21 dnem

    Free DEUSDEDITH SOKA FREE DEUSDEDITH SOKA FREE DEUSDEDITH SOKA

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před 22 dny +1

    Hatari ni mungu tu

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 22 dny +1

    MBONA MAMBO YA AIBU HIVII USALAMA UPO WAPI

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před 22 dny +2

      Usalama wa inchi hi kazi Yao kulinda viongozi wa ccm sisi watu wakawaida tumlilie mungu tu

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd Před 22 dny +1

    fanyeni uchunguzi wenyewe, police ndio wa usika alafu unataka police wawajibike?

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 22 dny +1

    Mabolice hayawezi kufanya upelelwzi kwa sababu ndio. Waliowateka

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před 22 dny

    Uko mbali na MIC?????

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps Před 22 dny +2

    Police ndio watu wanajiita ,wasiojulikana muuwaji wakuu Tanzanian

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 Před 22 dny

    😭😭😭😭

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před 22 dny

    Targeted!

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 21 dnem

    Jamani wamuache kwani upinzani si wa Dunia nzima msiuwe watu hovyo Polisi