PROF. KABUDI AIBUA HISIA ZA WATU, RAIS SAMIA ASHANGAZWA, HISTORIA NZITO YA SINGIDA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 58

  • @JumaMartin-e4v
    @JumaMartin-e4v Před 8 dny +9

    Namuona mweshimiwa mwigulu akifatilia nakusikiliza kwa umakin chuma kinaunguruma mwenyez mungu ampe umri mrefu afya njema profesa

  • @deborahmgedzi632
    @deborahmgedzi632 Před 3 dny +2

    Pumzikane Salama. Mungu Baba Mwenyezi Atashughulika na watu Wote. waliohusika na vifo vyote.

  • @kananipius2649
    @kananipius2649 Před 9 měsíci +4

    You must be genius, honorable Kabudi

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k Před 7 dny +4

    Mmmh kweli ww ni profesa,nimekukubali.

  • @melchiadgodwine9192

    Honorable Kabudi,wewe unastahili kuitwa profesa

  • @piusmapunda5900
    @piusmapunda5900 Před 6 dny +2

    Participatory Rural Appraisal - kumbe ilibuniwa Singapore. Well done Professor Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi, msomi nguli na mbobezi duniani.

  • @joyceKingu
    @joyceKingu Před 10 měsíci +3

    Prof Kabudi I salute you for the valuable history knowledge you are imparting . Umetuheshimisha sana mkoa wa singing
    Asante

  • @cstephano
    @cstephano Před 16 dny +5

    kabudi🔥🔥🔥🔥 absolutely genius 🔥🔥🔥

  • @eddahkobong271
    @eddahkobong271 Před 10 měsíci +3

    Kweli Professor Kabudi ni safi anaeleza vizuri sana . Ni kweli mkumbuke sana

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před 7 dny +3

    Jamaa aliwapa somo wa Kenya

  • @SauloJohn-z5z
    @SauloJohn-z5z Před 4 dny

    Nakukubali mzee

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg Před 10 měsíci +3

    We jembe we ukweli ni mzalendo kweli pia una upendo mungu akulinde ❤❤❤❤❤

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 Před 10 měsíci +2

    I saute you sir

  • @susujeremiah195
    @susujeremiah195 Před 4 dny

    Huyu ni Prof kweli

  • @nsubilimwampeta9920
    @nsubilimwampeta9920 Před 7 dny +2

    School dem Prof.

  • @sadiibrahimu4303
    @sadiibrahimu4303 Před 9 měsíci +1

    Hani sana

  • @user-ju5ph3jp6f
    @user-ju5ph3jp6f Před 2 dny

    Wewe ni hazina kubwa sana hapa kwetu

  • @hellenshani1614
    @hellenshani1614 Před 6 dny

    Ndugu yetu kumbe. Mimi nimeishi sana Isuna.

  • @hassansempoi106
    @hassansempoi106 Před 6 dny +1

    Msimsahau jabari wa lugha ya kiswahili Joram Nkumbi,mwana wa Singida.

    • @user-pm7yo3xi3h
      @user-pm7yo3xi3h Před 3 dny

      Jabali la kiswahili litoke singida. Kiswahili kwao pwani ya zanzibar na majabali ya kiswahili ni waswahili watu wa pwani.

  • @nyambegamatoro6817
    @nyambegamatoro6817 Před dnem

    Mh. Umesheheni elimu ya kutosha. Usiache kuzuru taasisi za elimu ya juu ili kuwamegea nasaha na shehena ya historia maridhawa uliosheheni.

  • @hassanmoalimmuse6014
    @hassanmoalimmuse6014 Před 10 měsíci +2

    Umemsahau Tundulisu

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 Před 5 dny

    Samia hajabugi kwa kabudi mtu na nusu kabudi njoo njoo njoo🎉🎉 endelea 🎉

  • @user-hj2jf4fd9t
    @user-hj2jf4fd9t Před 5 dny

    Huyu baba namkubari sana

  • @josephkafumu3006
    @josephkafumu3006 Před 3 dny

    Da haki nilishabakizaga kukusikilizaga wewe tu

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 Před 7 dny

    ❤❤❤❤👏👏👏👏💯

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara1950 Před 4 dny

    Waweza kuwa raisi wa nchi hii una akili sana. hongera mwanafalsafa.

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 Před 4 dny

    Kabudi wewe ni Mtu makini sana na Hazina ya Taifa hili. Wanaokuzarau ipo watakuelewa tu

  • @SuleimaniKimwagas
    @SuleimaniKimwagas Před 4 dny

    Huyu mzee anavitu vingi sana ila cjajua kwann rais alitengua uteuzi wake

  • @djpassovertz..tunaishimaramoja
    @djpassovertz..tunaishimaramoja Před 10 měsíci +1

    Singida my singida..Tunawezatengeneza Kitabu kikubwa ambacho wanafunzi wote wa mkoa wa singida ikiwezekana tanzania nzima waisome hii historia na kujua kua tumetoka wapi na tupowapi..Mkalama-ibaga ndo kwetu.

    • @Wiope430
      @Wiope430 Před 7 dny

      Vizuri sana. Sasa munasubiri ndugu, mpaka awe ametoweka ndipo mutaandika!

  • @user-ru7zb6bu2m
    @user-ru7zb6bu2m Před 10 měsíci +1

    Mzee joseph sinde warioba butiku imekaaje

  • @JumaMartin-e4v
    @JumaMartin-e4v Před 8 dny +1

    Huyu mzee ni hazing kubwa kwa watanzania. Nanivema andike kitabu kinacho elezea historia kiundan vijana wetu wapate kuijua historia ya nchi yao kama jinsi profesa kabud anavyo ieleza historia hatua had hatua. Mwisho niiombe serekali wamuangalie mzee huyu kama dhahabu kwa nchi yetu.

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 Před 10 měsíci +1

    Wewe unajidan'ganya kua na ndugu Oman😇,

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Před 10 měsíci +1

    Please Rais mkumbuke Kabudi jua mumefanya kazi wote Enzi za JPM.

  • @reubenjonathan-u4t
    @reubenjonathan-u4t Před 5 dny

    Mkojo isije Iramba ibaki kwa wanyaturu

  • @wachimbo21
    @wachimbo21 Před 2 dny

    Halafu mtu hajui hata historia ya mkoa wake anajihita mzalendo wa nchi na huyu tumwambiaje anajua mambo kibao

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 Před 5 dny

    Mtu na nusu

  • @mariaanthoniangowi9376

    Mavichwa hayo manayo peperusha ni Kodi zetu wadhulumu nyie

  • @reubenjonathan-u4t
    @reubenjonathan-u4t Před 5 dny

    Mbojo

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Před 10 měsíci

    Huyu ni kichaa usomi wa bure amenities kukaririshwa ujinga na kuniita msomi ..mavi

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před 10 měsíci +2

      Usikimbie ukweli, leta unachojua

    • @selemanshidda9688
      @selemanshidda9688 Před 10 měsíci

      Unapingaje jambo bila ya wewe kuleta lako tulijuwe? Mbona wewe hujatuambia lako kabla ya yeye kutuambaia lake!! Jenga hoja kisomi!! Acha ujinga!! Huyu ni msomi wa ngazi ya utafiti (PhD)!! Hasemi jambo bila kulifanyia utafiti kwanza. Analifanyia utafiti kwanza jambo na akiridhika ndio analitolea maelezo. Huo ndio usomi wa ngazi ya Uprofesa!! Ninakupa siku tano ili na wewe utuletee la kwako!! Usipofanya hivyo basi tutajua kuwa wewe una chuki binafsi!!! Yaani una wivu mbaya kuhusu kisomo chake!!! Na wewe kasome kama yeye!!!

    • @geey7893
      @geey7893 Před 12 dny

      Wewe unajua kukata mauno tu huna akili hata ya kujieleza

    • @user-id6xo9td6k
      @user-id6xo9td6k Před 7 dny

      Wivu tu

    • @elipidtesha5466
      @elipidtesha5466 Před 7 dny

      Tusiwe na tabia za kuzarau wasom.
      Matokeo ya wivu umbumbumbu na kukosa mwelekeo
      Profesa kabud.ni msomi mbobevu hazina ya taifa na dira ya historia ya nchi hii

  • @SauloJohn-z5z
    @SauloJohn-z5z Před 4 dny

    Nakukubali mzee