MBOWE AKINUKISHA ARUSHA MJINI, AIVAA SERIKALI YA CCM, MATUMIZI MABAYA, AMTAHADHARISHA RAIS SAMIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 34

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 Před měsícem +2

    Duhuuuuuuu! Serikali ya anasa nihatari magari 150 kweli viongozi wa maccm mnatupeleka wapi watanzania tuamke maandamano ni muhimu sana bora tume kama kenya

  • @ErickTesha-wn7ek
    @ErickTesha-wn7ek Před měsícem +1

    Kweli sasa wanaume tumehudhuria mkutano vzr sana

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před měsícem +1

    Mazoea ya matumizi mabaya magari ya viongozi Africa ndio.maana wingereza kwenye msiba wa qween alizazabet waliwapakia kwenye mabasi walilalamika lakini walikwenda wenyewe na aibu zao

  • @richardhoseni2643
    @richardhoseni2643 Před měsícem

    Watawala mnacheza na maisha ya watanzania magari 150 kwenye msafara ni kufuruuuuu na mna viburi kwa sababu ya jeshi la polisi na wanajeshi ila nawaambia iko majeshi yatanyoosha mikono na kussarender hapo ndo mtaelewa nguvu ya umma

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 Před měsícem +1

    Mwizi ni yule chawa wa ccm

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz Před měsícem

    Mmhhh mungu wangu tuhurumie tusaidie sana.eee

  • @user-bq5hs3wu7o
    @user-bq5hs3wu7o Před měsícem

    Watanzani wengi bado mazusu wasipo badilika sijui nani kawaloga

  • @lemakhalfan8564
    @lemakhalfan8564 Před měsícem

    Ccm oyeeee chadema sera akuna

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Před měsícem

    ACHAUNGO KITI CHENU CHAKWANZA NI KIGOMA DOCTA KABURU

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před měsícem

    Nkurunzinza umechokwq waachie vijana

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před měsícem

      We maraga, Tunis akılı na toa point badala ya kukutupuka. McMahon ni McMahon hata skips kWa mavi habadiliki. Chawa ni chawa tu. Fıkra finyu ni kula mna lamba viongozi kama mazezeta yasiyojifahamu yasiyo na elimu yasiyo na uhuru wala uwezo wa kujifikiria wao wenyewe. Na chura wao.

  • @elviswebbo1164
    @elviswebbo1164 Před měsícem

    Mbowe demokrasia ianzie kwako....miaka na miaka mwenyekiti wewe tu mzee?
    😅😅😅😅

    • @user-pp1cq9op5y
      @user-pp1cq9op5y Před měsícem

      Akili ndogo pumbavu

    • @elviswebbo1164
      @elviswebbo1164 Před měsícem

      @@user-pp1cq9op5y Mbowe ruhusu Demokrasia CDM mzee acha kunitukana! Ni wewe tu unayeweza kutawala mzee?

    • @jumannerizimbura6750
      @jumannerizimbura6750 Před měsícem

      Wanataka atoke, wanunue CDM ... HAKUNA KINGINE

    • @ErnestiSulle-w9k
      @ErnestiSulle-w9k Před měsícem

      Wewe mpuuzi jiangalie Sana kw umri ulionao nisingetegemea uongee. hivo

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 Před měsícem

      Njoo ugombeee wewe umekatazwa kwani au uchawa unakuwashaa

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před měsícem

    Mwizi tu wewe

    • @user-jx5ze9wz8e
      @user-jx5ze9wz8e Před měsícem

      Wew jee unapenda sana mateso eee mbuwa wewe sana utaki ukwel lakin tunasema kama vip kufaa mjinga wewe mtu mzima ofyo tu

    • @PhilipoMwita-b2x
      @PhilipoMwita-b2x Před měsícem

      Dah ndugu yangu ungeacha ushabiki ukakaatu ukatafakari...ungeachana na kuinga ccm

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 Před měsícem

      Uchawa unakusumbua kwani wezi huwaoni??????

    • @mlyamalitv1789
      @mlyamalitv1789 Před měsícem

      Huyo haitegemei mtu.

    • @ceciliamagalabajimmy4391
      @ceciliamagalabajimmy4391 Před měsícem

      Mbowe ni mwiba, ndio maana wangependa aondoke ili iwe rahisi kwao. Mbowe tuvushe kwanza baba. Mungu akubariki na kukulinda.