CHADEMA Iringa Watoa Tamko na Msimamo Sakata la Msigwa Kuhamia CCM "Aache Kuitaja CHADEMA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • Viongozi CHADEMA Iringa Mjini wakiongozwa na Mwenyekiti wao Frank Nyalusi Wametoa Tamkon lao huku wakielezea msimamo wao juu ya Sakata la Mchungaji Peter Msigwa kuachana na Chama hicho na kuamua kujiunga na CCM.
    "yeye ameachana na CHADEMA, aache kuitaja" -Amesema Frank Nyalusi.
    Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku.
    Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani.
    Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments.
    #FocusDigitoTV
    ..................
    Tufuatilie Zaidi kupitia:
    INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
    Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
    Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
    We Love You | Tunakupenda
    Regards
    Team FocusDigitoTV
    MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA BAADA YA KUJIUNGA NA CCM, ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA AONDOKE CHADEMA
    MSIGWA AMLIPUA VIBAYA MBOWE BAADA ya KUHAMIA CCM - AFICHUA MADUDU ya CHADEMA - ''HATUNA
    MSIGWA AFUNGUKA SABABU YAKUITOSA CHADEMA KUHAMIA CCM "MIMI NI MTU MZIMA
    DR.SLAA ANAONGEA SAKATA LA MSIGWA KUHAMIA CCM ZAKARIA OBAD WA CHADEMA KUFICHUA MAZITO
    CHADEMA waionya CCM baada ya kumpokea Mchungaji Peter Msigwa.

Komentáře • 86

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji4886 Před 4 dny +11

    Chadema nichuo kikuu mungu ibariki Chadema naviongozi ote wachadema ote

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Před 3 dny +3

    Mungu awabariki Sana Wana lringa mjini kupigania haki kunahitaji moyo imara Sana ,Nchi hii inahitaji ukombozi wakina ,Mungu awatetee watu wake

  • @eliaskhamis1546
    @eliaskhamis1546 Před 4 dny +12

    Umenena vyema sana Mwenyekiti NYALUSI

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Před 2 dny

      hakuna mwanachama makini anayeweza kuama chama kumfuata mtu. Msigwa kamfuata mama kesho mama hayuko atarudi chadema!!??

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn Před 3 dny +6

    Safi Sana kamanda

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 Před 3 dny +3

    Kamwene Iringa, nashukuru kuona bado mko imara sana, nawasilimu kutokea Bukoba.

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok Před 4 dny +7

    Safi sana Nyalusi tena wewe ndo unafaa kuwa mbunge wa jimbo hilo la Iringa mjini baada ya huyo mroho wa madaraka kukisaliti chama

  • @andrewassey5108
    @andrewassey5108 Před 4 dny +9

    Msigwa ni msaliti aishie mbaliiiiii

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 Před 4 dny +5

    Ubarikiwe sana Mwenyekiti

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t Před 4 dny +7

    Mmeni furahisha sana hongereni

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 Před 4 dny +6

    Asante kiongoz

  • @tumainikibona5252
    @tumainikibona5252 Před 4 dny +3

    Nyalusi uko imara sana hongera

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před 4 dny +4

    Wana Iringa hakikisheni Msigwa ajione kuwa CHADEMA haikuwa yeye. Ni msaliti ameshikwa matiti tu kalegea, akavulie gauni lake huko alikoenda.

  • @efatauroki867
    @efatauroki867 Před 4 dny +6

    Muhongeaji yuko vizuri inaonekana uyu jamaa akawa no1 tz kwa kutetea wanyonge ila hajapata chaneli tu

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Před 2 dny +1

    Nyalusi pamoja na hayo maneno utashangaa kesho tunakusikia upo ccm

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda Před 14 hodinami +2

    Point kubwa

  • @ofreyking5975
    @ofreyking5975 Před 4 dny +8

    Safi sana msigwa mroho wa madaraka aende zake alishindwa had uchungaji

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před 4 dny +3

    Unaweza ukaanza vizuri ukamaliza vibaya Kwa haya mateso ccm wanayotutesa na musigwa anaenda kuwafunga mkono huu uchungajiwake umevamiwa na shetani asipofunga na kuomba majibu mutayaona

  • @VedastoKiungo
    @VedastoKiungo Před 4 dny +3

    Nimekuelewa mzee

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 3 dny +2

    Wana Iringa Msigwa alikua chain ya viungo vingi,na mnyororo mmoja ukikatika chama kinaunga tena mwingine, kinaendelea...mbinu zozote za ccm za vitisho, hongo,utekaji,nk ili kuua vyama haitafanikiwa!

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 Před 3 dny +2

    Safi kabisaa

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 Před 4 dny +2

    Safi sana Mwenyekiti

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw Před 3 dny +1

    Kiongozi aliyekuwa na mvuto kwa watu alikuwa Lowasa aliondoka CCM na watu Chadema ikapata wabunge 48 Msigwa kaondoka yeye na familia yake.

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 Před 4 dny +4

    Iringa msituangushe, vanya lukolo

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 Před dnem

    MBONA CDM WANAITAJA CCM! MUACHENI MSIGWA ASEME NINYI ENDELEENI NA YENU

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 2 dny

    njaaa hatrr sanaa

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji4886 Před 4 dny +2

    Msigwa siyo mungu

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 2 dny +1

    Kupitia msigwa imenifanya nisimwamini mtu Yan msigwa ww Ni kigeugeu umesha fungwa mdomo huko uliko kwenda

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před 3 dny +1

    msigwa maamuzi yake ni ya kibnafisi hats hakufikiria familia yake maana haitaaminiwa kwenye taasisi kubwa za nadani na nchi na nje ya nchi kwa mantiki ni damu ya kizazi kischo na msimamamo

  • @OswadSanga-hb2vi
    @OswadSanga-hb2vi Před 4 dny +1

    Ukweli ni kwamba msigwa kufeli uchaguzi unahama chama tumpuuze msigwa watanzania

  • @salehmdemu5722
    @salehmdemu5722 Před dnem

    Mchungaji msaliti ,,njaa kali

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn Před 3 dny +1

    Amelamba Dora 300000 toka ccm msigwa huyo ili kusariti chadema

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 Před 2 dny

    Safi kabisaaaa

  • @jmastertz161
    @jmastertz161 Před 3 dny +1

    aende tu yule kwanza mubifsi sana yule

  • @JohnKuyumbe
    @JohnKuyumbe Před 3 dny +1

    Mnaojielewa bakieni kujenga demokrasia

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před 4 dny

    Sana sana atakalolifanya siku anakuja kwa mkutano atakuwa amewanunua wanaCCM watakuja kujidai wanagama CDM kujiunga CCM kumbe niwalewale!!!

  • @kibemassao6478
    @kibemassao6478 Před 4 dny +4

    Bro unajua kuongea...

  • @AnordKirizestom
    @AnordKirizestom Před 4 dny +9

    Nataka kadi ya chama naipataje? Nipo mkoa wa kagera wilaya muleba namba yangu ni 0657952339

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Před 4 dny +1

      Hongera Sana Anord Kwa UZALENDO wako, wewe una Kili kubwa ndiyo maana umetambua kuw CHADEMA ndiyo chama cha siasa pekee IMARA nhini kuing'oa ccm na CCM inajua hivyo ndiyo sababu inazuia Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi paka SASA!!! Nina uhakika wahusika wakiona.namba ya simu yako watakuhudumia.

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Před 4 dny +1

      Arnod nimesahau Jambo muhimu sana nalo ni usiache kujiandikisha Kwa ajili ya kupiga Kura kwa 2024 na 2025 Kura yako 1 Kwa CHADEMA no mtaji mkubwa Sana. Tuko pamoja. NAIPENDA NA KUIKUBALI SANA CHADEMA CHINI YA KAMANDA MH. MBOWE MWENYEKITI BORA WA SISA SAFI NCHINI!!!

    • @andersonnyahove2867
      @andersonnyahove2867 Před 10 hodinami

      Anord unaishi wapi nikuelekeze namna ya kupata kadi mpya za chadema na CDME no mpya? Mm ni kati ya wanaosajili ila nlipenda ufanyie uliko ili iwe rahsi kupata kadi na kulipia hkohko

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 Před 2 dny

    Ccmm wamemchoka jeska 🤣🤣 mchungaji changamkia fursa 🤣🤣 waweza teuliwa au kuwa nbunge 😢😢 CCCM oyeeed 🤣🤣🤣😆

  • @MonayLai
    @MonayLai Před 4 dny +1

    yaani kwa changamkeni mpate mtu makini jimbo liko wazi hili ushindi wa bureeeeeeeeeeeee 😆😆

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 3 dny

    Kwa hayo yaliyofanyika awamu. Ya tano wew uliyafurahia kama mwanadamu lakini mungu hakufurahia ndo maana alimuondoa magufuli haraka sana

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 Před 3 dny

    Chadema ni jiko la viongozi.CCM tuwe makini.Wanaweza kuhamia wote kwetu ili kutusukuma nje kindakindaki

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 Před 3 dny

    Huyo si mchungaji tena, kakosa uvumilivu, njaa nayo imechangia

  • @jacksonchatanda9683
    @jacksonchatanda9683 Před 3 dny

    kiongozi naona mafua yamekubana sana, au homa ya kuondoka msigwa😷😷😷😷😷

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před 3 dny

    Hao ni watu ambao wanaweza kukiuza

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 Před 4 dny +1

    Niwaambie kitu msimtaje taje tena

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi Před 2 dny

    .mnazirizi sakosi yenu

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před 3 dny +1

    kwanza sio mhehe ni mngoni mhehe ninavyo mjua mkwawa hakubali kuuza utu wake

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Před 2 dny

    Ukweli hata hicho kikao hakingekuwepo mmekaa kwasababu ya msigwa kuondoka Nijuavyo mimi chadema iringa mkoa ilikuwa ni msigwa hata kwenye taifa msigwa chadema imepata pigo

  • @ndalahwakulwa4517
    @ndalahwakulwa4517 Před 2 dny

    Petro ni ULANZI
    Ni mlevi😂

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 Před 3 dny

    Kutaja CCM nikuipenda

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv

    MSIGWA ULISHINDWA KUYATAMBUA HAYA USIFANYE MAAMZ YEYOTE YALE UKIWA NA HASILA AU FULAHA ILIYO PITILIZA MAZALA YAKE UTAKUJA JUTIA

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 Před 4 dny

    Mwenzako msigwa alisema nyumba itiwe moto akihama wewe unasema utakua wa mwisho

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz Před 4 dny

    Sura yako mtu njaa kali sana ww wanunulika haraka ww wacha sifa

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Před 2 dny

    Chadema ni meli mbovu wala rushwa ninyi kwa mujibu wa mwenyekiti wenu! Chadema cyo chama chako msigwa atakitaja tu kwa unafiki mlionao

  • @eliasmakoye3939
    @eliasmakoye3939 Před 3 dny

    CDM mazambi ni mengi

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl Před 4 dny

    Hi I

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 Před 4 dny

    Jengeni chama kama taasisi, acheni kuabudu watu

  • @user-qp7ym1lb8y
    @user-qp7ym1lb8y Před 22 hodinami

    Pointi

  • @user-rx8uf5ov5q
    @user-rx8uf5ov5q Před 4 dny

    Nawaunga mkono kaondoka na njaa zake

  • @yohanamsongole6489
    @yohanamsongole6489 Před 4 dny

    Lakini naona wengine wamekunja sula

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji4886 Před 4 dny +1

    Kiongozi mwenye hofu na mungu ataheshim maandiko matakatifu

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi Před 3 dny

    Tafuta sera

  • @Aman-kp4wl
    @Aman-kp4wl Před 4 dny

    Wewe.ninyalisi?mbona tulikua tunakusikia alikubania msaliti

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 Před 4 dny

    Video mbovu inakata

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d Před 4 dny

    Inaonyesha mmeumia sana Kuhama kwa msigwa nyie bakini na sakosi yenu Mwenzanu kaona mbali

    • @barakalameck7342
      @barakalameck7342 Před 4 dny +2

      Kwanini hakuona mbali mda wote mpaka aje aondoke wakati wakushindwa uchaguzi..huyo nimroho wamadaraka.

  • @NDEWARA
    @NDEWARA Před 4 dny

    CHADOMOOOO😂😂

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz Před 4 dny

    Ww unaushahidi kuwa ccm inateka watu ww una jua mengi ulezee viombo vya usalama zaidi ingikuwa wakati awamu ya 5 saa hii umesahaulika hauko tena raia uko polisi waeleza vizuri

  • @vascomwalongo451
    @vascomwalongo451 Před 3 dny

    Nop.
    Hakuna Upinzani Tz.

  • @pancrasluoga4584
    @pancrasluoga4584 Před 4 dny

    Mbona maneno yanajirudia

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před 4 dny

      Acha nongwa. Hulazimishwi kusikiliza umejileta mwenyewe.

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz Před 4 dny

    Chadema sio chama demokrasia ni cha mbowe ww humtaki msigwa kiti cha iringa mjini cha msigwa wacha tisha toto hiyo ww ata mavi ya msigwa huyawezi paka ww

  • @MonayLai
    @MonayLai Před 4 dny +2

    nawaunga mkono yaani kama ndio wamewaza kumsimamisha heri wamwache tu yule mama wa watu sijui mtambakavangu Iringa tunawajua hamyumbishwagi atapigwa asubuhi kura za chap chap

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před 4 dny +1

    Unaweza ukaanza vizuri ukamaliza vibaya Kwa haya mateso ccm wanayotutesa na musigwa anaenda kuwafunga mkono huu uchungajiwake umevamiwa na shetani asipofunga na kuomba majibu mutayaona

    • @sophiemsuya6507
      @sophiemsuya6507 Před 3 dny +1

      Tumempa pole Mchg Msigwa. Angeondoka mapema au angesubiri hata ipite miezi 6 ndipo aondoke, ila kwa Sasa inamaanisha alitaka kujimilikisha uenyekiti wa kanda ndo kakosa, ameamua kutimiza ndoto zake za kutangatanga.