KIMENUKA ACT WATOA KAULI KWA TAHARUKI ILOSAMBAA MAZRUI KUFUKUZWA ACT

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024
  • TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
    #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Komentáře • 63

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 Před 16 dny +2

    maendeleo ndio muhimu,hizi kelele za kwenye majukwaa zimeanza miaka nenda na hakuna liwalo,wanasiasa nyote waropokaji tu

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim Před 18 dny +4

    Mazurui anapenda kuropokwa, hapimi Cha kuongea ,hutoa tu yaliomo mdomoni.😂

    • @Jal210
      @Jal210 Před 12 dny

      Mazurui anasema ukweli

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 Před 18 dny +3

    Zitto kabwe katiba mpyaaaaaaa 😂😂😂 hii ni longo longo ya ki si hasa 😂 nyambafu zetu 👎👎👎

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před 17 dny +3

    Mh Jussa ananikosha ... sichoki kumsikiliza .. May Allah amhifadhi .. Allahumma ameen

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi Před 18 dny +2

    Wewe. Unaesema. Siorahi. Tambua. Mungu. Hashindwi. Nakitu. Kma. Unamafuta. Kweye. Akiliyako

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z Před 15 dny +1

    Kwani kusifia kitu ambacho kinaonekana kuna ubaya gani mie ndio mana siasa za kitanzani wala sizitaki ni siasa za kibwege tu

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před 18 dny +5

    kwani kuna ubaya gani kusifia Maendeleo na wakati yanaonekana?

  • @user-vm7mh2yo8p
    @user-vm7mh2yo8p Před 8 dny

    Kumbe uyu jmaaa yupo dk mwiny 5 tenaaaaaaaa

  • @issakhamis9581
    @issakhamis9581 Před 18 dny +4

    Upo saw kamanda

  • @Jal210
    @Jal210 Před 12 dny

    Kasema ukweli maendeleo yanawndelea na yanaonekana msema ukweli mpenzi wa mungu,

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před 18 dny +2

    Hawajakufahamu kabisaa

  • @MAGARITanzania
    @MAGARITanzania Před 18 dny +2

    Zanzibar maendeleo yapo wazi hayataki tochi, mtu asiyeona basi hataki tu kuyaona.

  • @user-hj4zt1kw4i
    @user-hj4zt1kw4i Před 18 dny +2

    Wataka awe shemeji yako?
    Taja mahar ya dada yako

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z Před 15 dny

    Huyu jussa hana tofauti na wahubiri dini mana huyu kila kukicha anahubiri anacho kiongea wala hakieleweki

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l Před 15 dny

    ATOKE HADHARANI MWENYEWE MAZURUI ASEME SIO ASEMEWE. HAJAFA, YUHAI KWA NINI AWALISHE MANENO ? YEYE ALISEMA HADHARANI ATOKE HADHARANI ANAOGOPA NINI

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 18 dny +2

    Acha matusi mtu mzima hovyo

    • @Rukaiya-lt3hm
      @Rukaiya-lt3hm Před 14 dny

      Maalim alitukanwa sana mbona haukuumia ww

  • @mbarakahaji4302
    @mbarakahaji4302 Před 18 dny +1

    Wewe ndio muflis wa siasa

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid Před 18 dny +1

    Mm mwenye nashanga mazuri alipigwa na ccm mpaka kutupwa Leo hii aingie ccm yani negelimuona si mtu kwli ukiangalia jisi walivyokua na mwalimu seif kukilea chama hadi hii atoke

    • @alimohammedomar3412
      @alimohammedomar3412 Před 16 dny

      Usishangae kwani hata Juma Othman alipigwa hadi akachakaa lakini baadae alirudia ccm na kupewa ubalozi kwa tamaa yake

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před 17 dny

    Kiukweli mazruui hasomeki 😂😂😂

  • @FamilyVideos-pt1mo
    @FamilyVideos-pt1mo Před 15 dny

    Hivi bado znz kuna ccm?

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 Před 18 dny +1

    Cuf au 😂😂😂😂

  • @jumA-th7rs
    @jumA-th7rs Před 11 dny

    Nyie hamueleweki mnataka nn. Eleweni Zanzibar hamuipati ngoo kama kupewa ilikua mpewe na karume lakini kashindwa na Hakuna hata nchi moja iliolisema hili.

    • @jumamuhd620
      @jumamuhd620 Před 11 dny

      Km anatoa babaako haipatikani lkn km mtoaji ni mungu basi mungu anampa amtakae bl y hesabu

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 18 dny +1

    Acha dharau masikini wewe

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 16 dny

    Mazrui anajitambua kuliko wewe!!

  • @alinasor8553
    @alinasor8553 Před 15 dny

    Iyo siasa

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 18 dny

    Sio Rahisi kuing'oa chama changu .wewe ongea kujifurahisha lakkini ni kitu ambacho hakiwezekani

  • @user-ri1yr8ks7y
    @user-ri1yr8ks7y Před 17 dny

    Hy

  • @KhamisMwafrika
    @KhamisMwafrika Před 16 dny

    hatumtaki tena huyobwana kashakupa fupa

  • @umsalim6515
    @umsalim6515 Před 18 dny +1

    Acheni bwabwaja, chama kilikuwa na nguvu kilipokuwa cha wazanzibar halisi, CUF, tangu mlipokipeleka bara mkawapa kanisa basi bwabwaja tu. Tizameni shughuli nyingi za makanisa rangi zao zipi ?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 18 dny

    aunajiangaisha bure siyo rahisi kuitoa Ccm Zanzibar tutawstoa mnio kwetu bara mpaka mtakoma madukavyenu mtahama nayo huko kwenu hamtoshi na bara ndiko kwenye biasha jaribuni muone cha moto

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Před 18 dny +1

      Margaret,bila ya nguvu ya vyombo vya dola(polisi na jeshi),hamna ccm

    • @KibondoPaje222
      @KibondoPaje222 Před 17 dny +1

      HUO NI UFALA WAKO KAMA HUKO MLIKO KAMA KUZURI MBONA WAMEJAAAA HUKU VICHOGOOOO

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 Před 18 dny +2

    BARUDHUL WW NN ASIYEKUJUWA

    • @Aisha-lj8bu
      @Aisha-lj8bu Před 18 dny +1

      Sw yy nibaradhuli naww nibashawake mjinga ww

  • @Jal210
    @Jal210 Před 12 dny

    Pimbi ni wewe mjinga huna adabu

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před 18 dny +1

    Wanafiki wakubwa, watu wmeuwawa nyie mnakimbilia nafasi tatu, Acha Meiny aendelee kuwa Ris wetu

  • @Jal210
    @Jal210 Před 12 dny

    Muflusi ni wewe mpumbavu

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z Před 15 dny

    Hayo maneno ya kisiasa tu unakumbuka mzigwa aliongea nini wakati yupo kule na kujiunga CCM hayo ni maneno ya kisiasa tu na huenda pia huyo MH manzruwi pia akahamia CCM pia nae nyie wana siasa mnaaninika basi nyie si wapiga dili tu Tanzania kuna siasa kuna wapiga dili

  • @KhamisMwafrika
    @KhamisMwafrika Před 16 dny

    amenunuliwa kashapewa pesahuyo

  • @user-bi1tz8jp9f
    @user-bi1tz8jp9f Před 18 dny +2

    Kumbe jussa wamjua mtume,naona hujaowa mpaka leo

  • @shekhanalyz1683
    @shekhanalyz1683 Před 15 dny

    Siasa hizo zimeshapitwa na wakati kama kiongozi anafanya vizur mpeni maua yake haijalisha chama tawala au upinzani kama mbunge wa upinzani anafanya vizuri mpeni mau kama tawala mpeni maua.