Video není dostupné.
Omlouváme se.

DC MAGOTI ARUDI MSIKITI ULIOLAZA WATOTO 90+, ACHANGIA MIFUKO 300 YA CEMENT “MMETEKELEZA AGIZO HARAKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 07. 2024
  • Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama, ametoa mifuko 300 ya cement kwenye vituo viwili vinavyotoa mafundisho ya Dini ya Kiislamu ikiwemo kituo kilichopo Msikiti wa Masjid Salaf uliopo Kiluvya Madukani, hatua hii inakuja siku mbili tangu aagize kituo hicho kifungwe na kuwarejesha Watoto zaidi ya 90 kwa Wazazi wao hadi watakapojenga mabweni na kupewa kibali maalum cha kuendesha mafunzo hayo, hii ni baada ya kubaini Watoto hao wanalazwa katika eneo dogo Msikitini na wengine nje ya Msikiti huku mazingira wanayopikia chakula na yanayowazunguka yakiwa hatarishi na machafu.
    DC Magoti ambaye amefika Msikitini hapo akiwa na Sheikh wa Mkoa wa Pwani Sheikh Khamis Mtupa, ametoa mifuko 150 ya cement kwenye Msikiti huo na mifuko mingine 150 kwenye Msikiti mwingine unaoitwa Masijid Abdulaziz Ashlak ambako nako walibaini Watoto wakiwa wanalala kwenye mazingira yasiyo rafiki na salama na akaagiza warejeshwe mwakao “Nimefurahi agizo limetekelezwa ndani ya saa 24, nimeamua kuchangia ujenzi na nitasaidia michakato yote ya hati ya kiwanja na usajil wa kituo”
    Kiongozi wa kituo hicho, Sheikh Abdul Hamid amemshukuru DC Magoti kwa kuwachangia cement huku akimuomba Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na Watanzania wote kwa ujumla kuwachangia pia kila mmoja kwa kile atakachojaaliwa ili wawezeshe kujengwa kwa Hostel ya ghorofa 5 na Watoto warejee kuendelea na masomo… namba za kuchangia ni Tigo Pesa 0719380268 (Jina Abdallah Samudu)

Komentáře • 471

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Před 29 dny +30

    Mimi ni mkristo lakini uyu shekh kiukweli yuko vizuri ni mtu mwenye eshima na mnyenyekevu nimempenda sana mwenyezi mungu ampe maisha marefu.🙏🙏🙏🙏

    • @issaadinaniissa6487
      @issaadinaniissa6487 Před 25 dny +2

      Uislamu sahihi ndio huo unyenyekevu, masalafi ndio hao karibu sana ujifunze mengine mengi

    • @bakarisahede9532
      @bakarisahede9532 Před 25 dny +2

      Charlesmugisha6529 Nikweli nduguyangu hatamimi kanihuzunisha sana huyu sheghe mpole mnyenyekevu duh

    • @Muadhin1
      @Muadhin1 Před 12 dny

      anakukaribisha ukamtembelee

  • @victorterry227
    @victorterry227 Před 28 dny +7

    Shukrani Miradi Ayo kwa kutusapoti sisi waislam katika hili insha-allah Allah akulipe na akujalie ya heri na akuepushe na yashari

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před měsícem +19

    Huyu sheikh muelevu sana msikilivu mungu Awabariki viongozi wote na sheikh wangu ❤❤❤

  • @rashiditembo1574
    @rashiditembo1574 Před měsícem +41

    Mwenyezi mungu akupe maisha marefu DC wangu,na akutangulie katika majukumu yako ya Kila siku.

    • @jojomdosi-ip4rg
      @jojomdosi-ip4rg Před měsícem +1

      Kiongozi mwenyezimungu hakujalie hakupe maisha marefu hakupe hulizi wa kutosha kwa kutusitili Aameen ya rabb

    • @KONDOBANNAHMUSIC
      @KONDOBANNAHMUSIC Před 24 dny

      Huyu DC hapo ata akifa Leo ghafla PEPONI anaenda

    • @KONDOBANNAHMUSIC
      @KONDOBANNAHMUSIC Před 24 dny

      ​@@jojomdosi-ip4rgkabisa yani sikutegemea aseeeee kama angerudi kwa staili hiyo huyu BANA mi namuombea aseeee ni mtu mwema

  • @sufianijuma5568
    @sufianijuma5568 Před měsícem +23

    Kwel,Allah amesema kwel ktk Quruan ,Mnaweza mkachukia jambo likawa heri yenu na mnaweza mkapenda jambo likawa shari yenu,Allah tuzidishie subra Waislam na hekma na busara kwan aman kwetu ndo tulio usiwa na mtukufu wa daraja.Allah iongeze nchi yetu muongoze Dc Magot aijue haki na aifuate,Amyn Amyn Amyn.bila kusahau Mpe Hekima na Busara Rais wetu Samiya Suluhu Hassan❤Amyn Amyn Amyn

    • @YohanaThadeo-ki2qg
      @YohanaThadeo-ki2qg Před 29 dny

      Samia

    • @RamaahMtulivu
      @RamaahMtulivu Před 18 dny

      Wallah DC Allah akupe maisha malefu na akuonyeshe haki aamin. Sheykh Allah akulipe Kila kheiri liwe kwako kwa jitihada zako fidunia walikhera aamin.

  • @ZuberJafar
    @ZuberJafar Před měsícem +11

    Takibir takibir anaye mtaka DC aendre n moyo huuu weka laik nyingi kwenye komenti yangu alhu akibal mungu anasababu kufanya k2

  • @user-dq8qu5oy3u
    @user-dq8qu5oy3u Před měsícem +52

    Tunaomba namba ya kutuma michango japo kidogo jambo la kheri Hilo,hongera MKUU WA Wilaya Kwa Moyo Mkuu

  • @Allybinamour
    @Allybinamour Před měsícem +28

    Kwa hapa DC umekua kiongozi unaepaswa kua mfano wakuigwa.
    alhamdulillah kiongozi wewe allah akubarik. asante DC kwa kazi nzur mashallah

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před 29 dny

      SI mnatuita makafir,haya kafiri kawasaidia Kwa hekima ti

    • @Allybinamour
      @Allybinamour Před 29 dny +1

      @@christinewomanoffaith5479 kufanya wema hakuondoi dini ya mtu, na wala si makosa kumsifia kafiir anapofanya jambo la maslah kama hili. na huo ndio uadilifu.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 27 dny

      ​@@AllybinamourNa Wewe kafiruna pia

  • @masoudrashidmohammed4124
    @masoudrashidmohammed4124 Před měsícem +4

    AL hamdulillah namshukuru Allah juzi niliandika comment yng nikasema simlaumu mkuu wa wilaya ktk hili ila nnao walaumu ni matajiri wa kiislamu wapo tyr kutoa mamilioni ya mapesa ktk mipira na baadhi ya mambo ya kipuuzi yasiokua na faida . Sasa kiongozi Magoti hapa umeqapiga pini kubwa sana sasa baada kiongozi wng kutoa cement 150 + 150 sehemu nyengine tutawaona wanaafiki matajiri sasaiv kujitokeza. Mungu akubariki Hon Magoti

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija Před 28 dny +3

    Mashallah Mungu akubariki ulipo towa hicho Mungu azidishe kingine Baada ya dhiki ni faraja Mungu atujaalie subra katik wakati mgumu huwezi juwa nilip litakacho fwata Allahul mustaan

  • @user-kz5en5tq2z
    @user-kz5en5tq2z Před 7 dny

    Mi ni mchungaji nawapongeza sana sheikh kwa unyenyekevu ambao umezaa mema hayo. Viongozi wa dini tujifunze mema, toka kwa mtu yoyote mwenye karama hizo.
    Mmbarikiwe sana Kisarawe na Dc wenu.

  • @Official83640
    @Official83640 Před měsícem +6

    Kuna watu walitafsir vibaya sana leo sura zao wataweka wapi Dc kawaumbua vibaya mno Alhamdulillah Allah afanye wepesi In'shaallah

    • @burhaanmamboleo3551
      @burhaanmamboleo3551 Před 26 dny

      Na ni sura mbaya kweli...na hao hao uliowaita wametafsiri vibaya sauti zao ndy zimefanya huyo jamaa yako akajikosha.....huwezi sema mazingira yale ni mabovu kuliko mahala pa kulala nguruwe....sisi tumesoma shule mbovu vyoo vibovu tena za serikali hakuna aliezivamia usiku wala kuzifunga na hata leo shule za namna hiyo zipo...bado alichokifanya hakijafunika uvundo alioufanya ..

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před měsícem +6

    Mama Samia hili Jambo nilaheri sio mnasapiti mpira tu Jambo la mungu mnaacha nyuma mnasafirisha paka mashabiki naomba mlione nahili la mungu muweke akiba duniani na ahera💪💪💪💪💪

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Před měsícem +22

    Mimi sijui kuongea kiingereza lakini kwa kitendo cha DC MAGOTI najaribu kukiongea nikisema "VERY GOOD DISRICT COMMISIONER MAGOTI " Kumbe ziara yake pale siku za nyuma Alisikitishwa na alichokiona akaona afanye jambo .

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před měsícem +31

    Huyu Mkuu wa Wilaya nimemkubali mapema sana japo Mimi niko Kigoma. Big up DC Petro Magoti

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o Před měsícem

      Kwaio ulijua ukiwa nae mkoa moja ndo utamjua vizuri au

    • @adambakari9276
      @adambakari9276 Před měsícem +1

      Unajua kwann kafanya hvyo huyu kafungia madrasa na waislamu wamekuja juu hapo anajisafisha juz tena katangaza wauza mkaa na pikpik wakamatwe fain milion 1 na vijana wengi wa kisarawe ndo kaz yko

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft Před měsícem

      Na mm nilitaka nishanga yaani kw Maneno yale yakuwaambia watoto waende shule wakasome wapate kuajiriwa kwa kweli ningeshangaa sana kuona uislam ungekaa kimya 😅​@@adambakari9276

    • @w4058
      @w4058 Před 28 dny

      Tupatieni namba ya kuchangia

  • @hamidashaban1203
    @hamidashaban1203 Před měsícem +2

    Allah akubariki DC magoti Allah azidi kukuongoza katika njia iliyonyooka na hiyo sadaka Yako iwe ni nyumba Yako yakuishi akhera.

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj Před 28 dny +2

    Ni Dc mfanowa kuigwa, the best Dc.

  • @SwalahaHusseini
    @SwalahaHusseini Před měsícem +7

    Maashaallah.
    Allah akupe zawasi ya kuingia katika uislamu na akufishe ukiwa katika imani sahihi .

  • @fettyrashid9042
    @fettyrashid9042 Před 29 dny +2

    Allah akujaalie DC Magoti, Lakini pia Ustaadh alikuwa na hekima kwa clip ya kwanza majibu yalikuwa mazuri na pia alikwa msikivu sana Allah atamjaalia Ustaadh wetu❤

  • @user-uw5oh5yy5m
    @user-uw5oh5yy5m Před měsícem +1

    Umeupiga mwingi sana DC kwa kuonesha mfano kwa viongozi wengine ,mungu akubariki sana!!Inshallah jengo litakamilika kwa uwezo wake ALLAH S.W .INNAH BAADA USRI YUSRA🎉🎉🎉

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 Před 29 dny +1

    Tunashukuru sana mkuu wa wilaya kwa hicho ulicho toa.mungu akulipe kila lenye heri na wewe pamoja na familia yako awafanyie wepesi kwa kila jambo.ubarikiwe sana🙏

  • @jeffmwambe7657
    @jeffmwambe7657 Před 28 dny +1

    Asante sana DC huo ndo uongozi na utu maana rengo ni zuri ivyo tuna shukuru kwa saport yako.

  • @SophiaAthumani-ri4lu
    @SophiaAthumani-ri4lu Před měsícem +2

    Asante DC hakika umefanya vema kulichukulia jambo hilo kwa uzito,Sadaka yako ikawe kheri kwa watoto wetu.

  • @shabanimbiaji
    @shabanimbiaji Před 29 dny +1

    SUBIRI NA WEWE MUDA SI MREFU ALLAH ATAKUPA MAKIPO YAKO,,,,SUBHANNALLAH,!!!!!

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 Před měsícem +1

    Maaashaalllllah maashaallah maashaallah maashaallah maashaallah maashaallah maashaallah..........hongeraaa sannaaaa mungu akufanyie wepes....kwajuhudikuuubwaaa ulizofanya mkuu wa wiliyaa...

  • @husseinkadawa2846
    @husseinkadawa2846 Před měsícem +1

    Allahuakbar shekh Allah hatakuacha peke yako na malengo ulio weka yata timia tu kwa uwezo wake ndugu zangu waislam na wale wote tunao amini uwepo wa mungu tuchanga usidharau hela hata buku tuma kwa maana buku kwa watu milioni ni bilioni jambo linaenda nuia sadaka yako tuma huenda na wew ikawa ndo sababu ya kufunguliwa matatizo yako.

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před měsícem +17

    mungu akubaliki sadaka hii itaish miaka na miaka hongera sana unafaa kuigwa

    • @LabiloWabikongo
      @LabiloWabikongo Před měsícem

      mashaallah

    • @stevenmanase8162
      @stevenmanase8162 Před měsícem

      Kesho tuu mnanza kuwaita makafili alaa kumbe kafili anaweza kuwa lulu hivi waisilamu wote leoa wanapompongeza

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před měsícem

      ​@@stevenmanase8162uyo kiongozi yupo apo kwa ajili ya wananchi

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd Před měsícem +2

      kwaiy kwa sababu katoa sadaka Ndio ukafili wake umeisha ukafili haundolew Nasadak Na hata kafili akifanya jema anastahili kushukuliwa japokua ukafili wake upo pale pale mpaka asilim

  • @user-ry8xf1no2s
    @user-ry8xf1no2s Před měsícem +1

    Mashalahaa Alha akufanyiewepesi kwenye uongoziwako
    Mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani ujawaikuniangusha una tupa viongozi makini sana awakulupuki na kupenda laisi wangu Samia

  • @saeedmagoda9651
    @saeedmagoda9651 Před měsícem +1

    Mtangazaji Mungu akubariki kaka unajua kuriport hongera sana kwa taarifa yako

  • @abdulmagido5444
    @abdulmagido5444 Před měsícem +2

    Big up Doto Magoti Allah akuhifadhi

  • @ismailkiwawas5982
    @ismailkiwawas5982 Před měsícem

    Shukran Sana DC jaah bless 👍👍

  • @FghgRyy
    @FghgRyy Před 2 dny

    Takbiiiiiiiirrr
    ALLAHU AKBARU ALLAHU AKBARU ALLAHU AKBARU
    Walillah Llihamdu

  • @allymwinyi970
    @allymwinyi970 Před měsícem

    Ahsante sana Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe. MUNGU akubariki. Tunakuombea MUNGU kwa wema ulioifanyia Madrasa hiyo. Tunaamini huku fanya lile zuio kwa utashi wako, ila kwa utekelezaji wa majukumu yako ya kuangalia maslahi ya baadae ya watoto hao. Tunamwomba MUNGU akuinue kupitia Raisi mwenye huruma kwa watu wa makundi, rangi na dini zote na na hata huruma kwa watu waakundi maalum. Mama yetu Dkt
    SAMIA SULUHU HASSAN. MUNGU anakupenda, wananchi wote wanakupenda. Kuna watu hawakuona Kam unaweza. Kwa Rehma na Huruma ya MUNGU amempa jicho Raisi wetu kukuteua na sisi tunaona. MUNGU akulinde na akulipe heri nyingi. Amin.

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 Před měsícem +4

    Mungu akuzidishie

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo Před měsícem +3

    Ma sha allah
    Tunashukuru kwa kusema alhamdulilahi

  • @user-qw6wv4hf5c
    @user-qw6wv4hf5c Před měsícem +1

    Mwenyezi mungu akujakie ds magoti Kwa moyo waupendo allah akulipe kheri ww na timu yako inshaallah

  • @ashiaabdul887
    @ashiaabdul887 Před měsícem

    Masha Allah DC Allah akufanyie wepesi katika utendaji wako wa kazi .

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 Před měsícem +2

    Siku zile nilijisikia vibaya lakini lengo lako lilikuwa jema kabisa...Mungu akutunze DC

  • @saadallah6287
    @saadallah6287 Před měsícem

    MashaALLAAH sheikh wa huo msikiti yupo smart sana

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt Před měsícem

    Asante sana mkuu huu ndiyo uwongozi mungu akulipe

  • @SalmaSamiry
    @SalmaSamiry Před 28 dny

    Mashaallah allahumma barik mwenyezi mungu awajaalie awape maisha marefu awaepushe na hasadi za walimwengu ameen ameen ameen yaa Allah 🙏

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před měsícem +1

    Hongera sana MH magoti wewe ni mfano wa kuigwa ❤❤❤

  • @HassanJaphari-rx7jy
    @HassanJaphari-rx7jy Před měsícem

    MashaAllah. Hongera sana Dc Petro magoti kwa moyo wako mkunjufu nakuombea kwa Allah akusimamie katika majukumu yako ya kazi inshaAllah. Ameen

    • @stevenmanase8162
      @stevenmanase8162 Před měsícem

      Watu walianza kumdhihaki mh petrol sisi wakristo hatuna baya kazi kazi kwenu sasa ona hata milioni16 mnashindwa kuchangishana mnaomba kwa rais mmekalia kuwa ita watu makafili tuu

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Před měsícem

    Mheshimiwa Petro Magoti ubarikiwe sana. Mungu azidi kukufungulia na akujaalie afya njema.

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 Před měsícem

    ❤❤❤❤ mashallah mwenyezi mungu ampe maisha marefu na afya njema inshallah

  • @mayaniphilipo9256
    @mayaniphilipo9256 Před měsícem +2

    Hongera Sana Mheshimiwa
    Nimependa Ulivyorejea
    Mwanzo Ulinishangaza Kwa Lugha Zako
    Ila Hakuna Aliyekamilika
    Allah Atusamehe, Atuongoze Na Atufanyie Wepesi Kwenye Harakati Zetu
    BIG UP DC

  • @user-hb7mq8lg9e
    @user-hb7mq8lg9e Před měsícem

    DC Asante Sana..🙏🙏🙏

  • @SuleimanIbrahim-lp7qs
    @SuleimanIbrahim-lp7qs Před měsícem

    Asante sasa R C mungu akulinde kwaulichokifanya

  • @AbuujureyjKhaniy
    @AbuujureyjKhaniy Před 28 dny +1

    Usimjaji mtu kwa muonekan wake hakik Dc umekuwa mwema na umetend haki mungu akutangulie
    Shekh uwaz na ukweli wake mungu kamfungulia upande mwengine hakika ukweli ni baraka nyoote Allah akutangulie

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4u Před 29 dny

    asantesana mkuuwa wilaya munguakujaliye kwaupendowako akuogezeumrimrefu akuhfadhiwewe na familiyayako

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf Před měsícem +1

    Honger mhshmiwa

  • @zaituniNkupa
    @zaituniNkupa Před 28 dny

    Hongera mkuu wa wilaya umefanya jambo jema mno. Mungu akubaruki

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt Před měsícem

    MashaAllah.mkuuu.wawilaya.Allah.akupemwisho.mwema.naimani.mola.wetu.anaweza

  • @user-xv7mo8tw7c
    @user-xv7mo8tw7c Před 28 dny

    Masha Allah tunahtaj viongoz kama wey mungu akupe afya

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow Před měsícem

    MashaaAllah tabaaraka llah Alhamdulillahi

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz Před měsícem

    Asante sana muheshiwa 🙏🙏

  • @RahimaMct-ik8mr
    @RahimaMct-ik8mr Před 29 dny

    Allahu akbar DC mungu Allah akuhifadhi❤❤❤

  • @lukumanisharifu
    @lukumanisharifu Před měsícem

    Safi sana DC huo ndio uungwana mungu akupe Imani sabiti

  • @allyjumakukulo4972
    @allyjumakukulo4972 Před měsícem

    Masha Allah allah akuongoze na akufanyie wepes upate neema ya uislam

  • @WardaDonyi
    @WardaDonyi Před měsícem

    Hakika DC Magoti were ni kiongozi bora sana. ALLAH akubariki ulipotoa

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo Před měsícem

    Allahu akbar
    Mungu akupe hidaya mkuu
    Shukran sn

  • @issarashid7707
    @issarashid7707 Před 29 dny

    Mungu akusimamie katika kazi zako ..Kwa hakika huo ndio mfano mzur

  • @SophiRamadhani
    @SophiRamadhani Před 29 dny

    Mama msikivu na mtendaji. Mwenyezi Mungu amuongoze kwa hili liwe jepesi Insha Allah

  • @gmelectronics1997
    @gmelectronics1997 Před 22 dny

    Taqabal Minah wa aminkum JAMIYAHTUL muslimunah..kila apangalo mungu hua lina kheri kubwa

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 Před měsícem +7

    Mungu anatufundisha katika quran kua na subra katika kila Jambo. "Waeza chukia Jambo kumbe Lina kheir nawe na ukapenda Jambo kumbe Lina shari nawe.Awali wengi tuliona Shari kumbe mbeleni DC Magoti ameleta faida kwetu.Kaka Magoti mungu akupe umri mrefu na akufanyie wepesi katika maisha yako.Yaraby mpe furaha kama alivyo tufariji.

    • @abuuhafswa
      @abuuhafswa Před měsícem

      ila kutoa siyo tatizo msinganganie sadaka mnazopewa tuu . angalia na dosari aliyoiweka kwenye dini . yapasa atuombe radhi

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft Před měsícem

      ​@@abuuhafswaDosari kubwa sana kwa kweli nilishangaa sana yale sio maneno yakuwaambia watoto, eti watoto wazuri mama samia anawapenda amewajengea shule nzuri zenye ubora ili muene mkasome muwe watumimishi kama hawa niliokuja nao so kungangania kulala hapa mahala hapafai, kwakwelu nilimshangaa sana ana maanisha nini kuwaambia vile watoto na kuwashushia lawama wazazi kua wamewatelekeza watoto wao wamewatupa kama hawana uchungu nao, yan imeniuma sana ivi unazani mm kama mzazi unakuta nimepeleka mtoto wangu hapo na naona video ya mazingira kama hio na maneno kama hayo alafu naambiwa mtoto anarudishwa nyumban unazani ntajiskiajee ?? Mwengine anaweza akagairi kabisa kumrudisha mtoto hapo atamtaftia sehem nyengine kbs na kuichukia dini, na kwa hao watoto walio rudishwa sizan kama watarudi kwa idadi sawa kama walivyoondoka wengi watabak makwao,
      mm ninachojua kama yeye kiongozi alipoona hilo tu angechukua maamuz ya kusaidia ujenzi watoto wakae mahal salam kam wanavyofanya makanisani ila kwasbb ameona ni waislam hawana wakuwasemea amejifanya yeye kama hajali kinachoendelea hapo wala hakina maana anawaambia watoto waende shule waende shule wakati watoto karibia wote hapo wanaenda shule na wanarud hapo kupata elimu ya dini ila yy akataka kufikisha ujumbe waonekane kana kwba waislam wamewarundika watoto hapo kama kuwakusanya ty kwa kwel. Iliniuma sana ile vd jinsi alivyoongea 😢

    • @user-ow7pl6tz2c
      @user-ow7pl6tz2c Před měsícem +1

      nikweli alisema vibaya sana naamekosea sana waislam na hiyo sio lizaa yake itakua amepokea maagizo kutoka juu

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft Před měsícem

      @@user-ow7pl6tz2c safi

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před měsícem

    Maashaallah. Allah akutoe kwenyegiza akuoete kwenyemwanga yaraby. Mjaalie huyo baba atukiewitowako. Amyn

  • @iddikibwana9185
    @iddikibwana9185 Před měsícem +2

    Masha Allah

  • @ChidyKenny-dc1ue
    @ChidyKenny-dc1ue Před měsícem

    Mungu amzidishie dc

  • @khalfanabeid5998
    @khalfanabeid5998 Před měsícem

    Allah ampe maisha marefu na anyanyue uchumi wa nchi yetu kupitia hili. Amin.

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 Před 26 dny

    Maa shaa allah

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4u Před 29 dny

    masha allah kajitahifi mkuwamkowa.naselekari yetuwendwa

  • @StewadKizenganya-sk6sg
    @StewadKizenganya-sk6sg Před měsícem

    ALHAMNDULILAh ,mungu anawaongoza watu kwanafsi zetu huku mwili ukitumikishwa

  • @user-yj3gy4jc1t
    @user-yj3gy4jc1t Před měsícem

    Maashaallah nimefirahi sana

  • @user-hy1bp7sp6z
    @user-hy1bp7sp6z Před 17 dny

    Mashaallah Allah haitupi Qura'an alishaahidi

  • @JumaJuma-i2g
    @JumaJuma-i2g Před měsícem +1

    hapo safi hongera mkuu wa wilaya

  • @Anza_tz
    @Anza_tz Před měsícem +1

    Hii inaitwa wajibisha alafu fundisha kwa hekima safi sana mkuu wa wilaya ni Jambo jema Sana la kuigwa na kufuatwa

  • @aloyceponela3249
    @aloyceponela3249 Před měsícem

    Dc mungu akupe maisha marefu

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Před měsícem +2

    Hongera mheshimiwa kwa moyo wa kutowa msaada

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 Před měsícem +1

    Mungu akubariki mkuu wa willaya

  • @ZulfaMajaliwa
    @ZulfaMajaliwa Před měsícem

    Mashaalha alhaa awape kher viongoze wetu

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 Před měsícem +4

    Kitu cha maana sana na cha muhimu barikiwa DC maana niliwaza sana ni bora watoto au vijana kujua DIN kuliko kuwa mtaani au kuwa waharifu

  • @alihabib2270
    @alihabib2270 Před měsícem

    SAFI SANA DC MAGOTI, HAKIKA WEWE NI KIONGOZI MUADILIFU NA MUWAJIBIKAJI. MWENYEZI MUNGU AKULINDE NA AKUONGOZE KATIKA MAJIKUMU YAKO YA KUIJENGA JAMII.

  • @shabanimbiaji
    @shabanimbiaji Před 29 dny

    SUBIRI NA WEWE MUDA SI MREFU ALLAH ATAKUPA MAKIPO YAKO,,,,SUBHANNALLAH

  • @KulthumRashidmusa
    @KulthumRashidmusa Před měsícem

    Mashallah.nimefurahi.sana

  • @user-fh5xt9pr3v
    @user-fh5xt9pr3v Před měsícem

    Mungu akubar8ki

  • @nasrasalumu7005
    @nasrasalumu7005 Před 28 dny

    DC wewe ni mfano wakuigwa kabisa mungu akuongoze hivyo hivyo kiongozi wangu mkuu wa wilaya safi kabisa na shekhe mungu akulipe kwa hekma wewe muelewa na msikivu na wewe mungu akuongoze hivyo hivyo na akujaalie mwisho mwema inshallah

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 Před měsícem

    Mungu Akubariki Inshallah 🙏🏾🙏🏾

  • @fahamimiraji2338
    @fahamimiraji2338 Před 10 dny

    Allah alifanyie wepesi inshaallah

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo Před měsícem +2

    Mkuu tunashukuru
    Mungu akubariki

  • @ShamsiMikdad-bj7me
    @ShamsiMikdad-bj7me Před měsícem

    Masha allah

  • @yasirsaid8464
    @yasirsaid8464 Před 27 dny

    MAA SHAA ALLAH ALLAH Awabariki wote

  • @maimunamsakamali9152
    @maimunamsakamali9152 Před měsícem +1

    ManshaAllah

  • @rahmaismaily3358
    @rahmaismaily3358 Před měsícem +2

    Kila penye uzito Kuna wepesi.... alhamdulillah

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Před měsícem

    Amina

  • @arafakhamis3336
    @arafakhamis3336 Před 29 dny

    Mashallah

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l Před měsícem

    Mungu akujalie sana kuona tatizo na kulitatua sio kuhukumu haijawahi tokea hili ungeeishia tu sehemu

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 Před měsícem +1

    Mashaalah muungu akulipe kwa wema wako

  • @abuusuhayl7830
    @abuusuhayl7830 Před měsícem +1

    Mashaa Allah..wale walio kejeli na kutoa maneno ya kifedhuli wamefedheheka wao

    • @hemedahmed3094
      @hemedahmed3094 Před měsícem +1

      مَا كَانَ لِلْمُشْرِكِينَ أَنْ يَعْمُرُوا مَسَاجِدَ اللَّهِ شَاهِدِينَ عَلَىٰ أَنْفُسِهِمْ بِالْكُفْرِ ۚ أُولَٰئِكَ حَبِطَتْ أَعْمَالُهُمْ وَفِي النَّارِ هُمْ خَالِدُونَ
      إِنَّمَا يَعْمُرُ مَسَاجِدَ اللَّهِ مَنْ آمَنَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَأَقَامَ الصَّلَاةَ وَآتَى الزَّكَاةَ وَلَمْ يَخْشَ إِلَّا اللَّهَ ۖ فَعَسَىٰ أُولَٰئِكَ أَنْ يَكُونُوا مِنَ الْمُهْتَدِينَ

  • @abdulkarimabdallah9536

    Allah akulinde ktk uongoz wko mku wa wilaya yakisarawe wewe nikiongoz wakuigwa ktk uongoz

  • @constantinochalle856
    @constantinochalle856 Před měsícem

    Good boss