SUGU AONGOZA MKUTANO WA HADHARA JIMBO LA RUNGWE MKOANI MBEYA SUGU AAPA KUMNG'OA TULIA MBEYA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024
  • IPINDA ONLINE TV........Asante kwa kuchagua Ipinda online tv.......Usisahau kusubscribe Channel yetu

Komentáře • 59

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Před 17 dny +9

    Asante muuguzi, jasiri mpenda haki. Wanawake ndio tunaopewa kanga tuamke tukashone madelaaa ❤❤❤❤❤❤❤

  • @ibrahimusanga1269
    @ibrahimusanga1269 Před 6 dny

    Asante sana kura zote zako chama.watu wanabomolewa nyumba zao alafu niendelee kuchagua chama cha mafisadi kweli?

  • @IssaJohn-kk8pb
    @IssaJohn-kk8pb Před 16 dny +2

    Mko vizuri kiwira nimewapenda sana na sisi musoma tupo nanyi

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd Před 17 dny +4

    kazi nzuri xana.

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s Před 15 dny +1

    Kiwila mmeamka. Safi saaana. Elim mmepata. Na mmeitendea haki nawasndishi wa Habari mko vizuri Leo saafi Sana

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Před 17 dny +6

    Kanda ya nyasa mmepata mwenyekiti wa kanda imara mheshimiwa Joseph mbilinyi sugu sio akina msigwa wanaoangalia vyeo

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d Před 6 dny

    Hongera mbowe

  • @HassanYellows
    @HassanYellows Před 17 dny +5

    Mtaa kwa mtaa sugu,Bampa to bampa jongwe,paka kieleweke

  • @daudibukuku6490
    @daudibukuku6490 Před 17 dny +2

    Ama kweli Kiwira mmetisha!!! Lakin hata kwenye matokeo ya wanafunzi nako mnaongoza hongera!! Sanaa!!

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Před 16 dny +2

    Hilo Gwanda limekukaa kiongozi!

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 Před 4 dny

    Ahsante sana CHADEMA...❤️❤️❤️.
    Pipooooooooooooz..🤣🤣❤️❤️❤️.

  • @fabianmahenge301
    @fabianmahenge301 Před 16 dny +2

    Mwambigija uje Geita uwashe full Light......Kuna vipofu wanahitaji upako wako.

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Před 17 dny +1

    Mwenyezi mungu akulinde sana sugu nakukubali sana tangia upo bungeni. Tunahitaji viongozi wa aina yako sio hao wa kuhongwahongwa wasio na msimamo akina msigwa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 14 dny +1

    CCM INATUONA SISI WATUMWA WAO CCM WANACHUMIA MATUMBO YAO TU. HONGERENI KIWIRA WENGINE JOFUNZENI KUTOKA KIWIRA. MUNGU AWABARIKI SANA.

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Před 14 dny +1

    Safiiiiiiii

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 16 dny +2

    Ccm wakae vizuri uchaguzi huu si mchezo

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd Před 17 dny +4

    MATUNDA YA MH. FREEMAN MBOWE MWENYEKITI TAIFA AMEIJENGA CHADEMA KWA GHARAMA KUBWA KWA HALI NA MALI, NYOMI HIYO KIWIRA MWANKENJA, SIYO MOSHI MJINI. HUYO NDIYE MH. MBOWE ANAKATA KILIMI LIMI CHA WAPIGA PROPAGANDA OOH CHAMA CHA WACHAGA HAPO NI KILIMANJARO? NCHI NZIMA CHADEMA NI IMARA KABISA!!

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o Před 17 dny +2

    Nguvu ya mwanamke ni hatari katika mabadiliko ya nchi...!! 😊😊

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 Před 17 dny +4

    Wakajiandikishe kwenye daftari la wapiga kura .

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h Před 17 dny +3

    Mtu anae shabikia ccm ajauguza ndugu yake akampeleka hospital ya serikali hazina dawa shule za watoto wa masikini wanao nyonywa kodi na ccm dalasa moja watoto mia 50 watoto eluf moja mia 6 shule nzima matundu yavyoo kumi 5 alafu anae enda kuzindua matundu yavyoo anatembelea v8 milioni mia 5 gali inayo zidi galama zaujenzi washule nzima alafu mjinga anasimama anasema kidumu chama chamapinduzi tunalaana kwakweli

  • @kulwasalum3597
    @kulwasalum3597 Před 14 dny +1

    Paka mwenye malengo , hamtafuni panya mwenye mimba....!!
    Duuuh.......!!!!

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Před 17 dny

    Safi sana mama yetu muuguzi kwa kazi nzuri

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před 17 dny +1

    fcm wame hemka wametumia Hela kumpata mmja lakini cdm hawatumii Hela wanapata wacuasi wengi

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Před 16 dny

    Big up chdm

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 14 dny

    Hongera lakini kwa nini hamongelei kuhusu muungano wa unafiki kuwa tumeungana Tanganyika na Zanzibar ni kweli? Kwa sababu Zanzibar ina serikali yake ina bunge lake, huwezi kuchukuwa kiwanja Zanzibar lakini wao wazanzibar wanachukuwa viwanja na mashamba. 0bado wanaleta wabunge zaidi ya 70. Kwenye bunge la Tanganyika. Na wanalipwa kwa nini unafiki wa aina hiyo? Mbona hamongerei KATIBA ni lazima tupate KATIBA MPYA.

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 Před 2 dny

    Kazikazi mking ndani ya uwanaja

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 16 dny +2

    Msigwa rafiki yangu umepotea

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Před 17 dny

    Nawapongeza sana Makanda

  • @mwajemwafula5777
    @mwajemwafula5777 Před 14 dny

    Wanyakyusa ni hatari sana awayumbishwi na kitu😅❤❤

  • @SadamuNjau
    @SadamuNjau Před 3 dny

    Kiukweli kwamaosipitali hakuna huduma unIshia kulipia failitu hakunadawa hakuna kaulinzuri

  • @LazaroMwakasege
    @LazaroMwakasege Před 5 hodinami

    Sasahivi wanadanganya watu kwa kuwapa pikipiki na flana

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Před 15 dny

    Sisi mpaka bandari inauzwa tunacheka huu ni ujinga wa kiwango Cha juu

  • @JeremiahMwakanyamale
    @JeremiahMwakanyamale Před 2 dny

    Et kisa wameajiliwa na serikali ndo hawawezi kufanya mapinduzi..wanageuzwa chawa wa serikali. Wafanyakazi niwasomi lakini akilizao hazina uhuru,wametekwa kifikra....waamsheni jamani.

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Před 14 dny +1

    Ccm wanawaogopa chadema ndio mana wanakimbilia kuwanunua chadema kwanini awanunui vyama vingine

    • @jumakisailo8496
      @jumakisailo8496 Před 4 dny

      Ni sahihi kabisa, kinachoumiza zaidi ni kuchota pesa zetu na kuongeza Kodi za ajabuajabu Ili wawanunue wanasiasa maarufu wa vyama shindani ili waendelee kushika Dola watunyanyase na kutunyonya sisi wananchi, hili halikubaliki hata kidogo, tumechoka...tumechoka...tumechokaaaaa...😭😭😭😭😭....Ewe mwenyeeziMungu wafanyie wepesi ndugu zetu wote wanaopambania nchi yetu tuondokane na ukoloni mamboleo. In-shaallah..❤️❤️❤️. Mungu hashindwi na jambo lolote.

  • @ecodreamafrica3060
    @ecodreamafrica3060 Před 12 dny

    Ipinda ni wapi huko jamani.

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Před 15 dny

    Upambe ndio ajila ccm imeharibu nchi

  • @franciscowilliam2575
    @franciscowilliam2575 Před 16 dny

    Hii mashine (mwambigija)ni noma

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 Před 17 dny +1

    Mbeya naona kinaeleweka kweli siyo wakimbizi.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 14 dny

    I have been worching election in Tanzania from 1995 Antilles up to 2020 ccm win election by police force not bailot box vote no l disagree when cames to vote ccm use so much police force stick to leadership but now on this election caming on local gavment election will be toto war between ccm and opposition chadema but potability of ccm use military force and police force because of fear local gavment election by opposition ccm will use force but africa team worching in Africa election this time even world community they have to reject same of ccm gavment condition

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s Před 15 dny

    Mhakikishe mmejiandikisha daftari la wapiga kura

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda Před 17 dny

    Asante sana mama akili kubwa sana

  • @AbnerKennedy
    @AbnerKennedy Před 17 dny +2

    Mzee wa upako. ✌️

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před 15 dny

    Chadema juuuuu

  • @GaradiGaradi-zq1wf
    @GaradiGaradi-zq1wf Před 15 dny

    Ulinzi shilikishi mwananchi kulipa police wameshindwa?

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 Před 17 dny +1

    Ccm ni maboyaaa

  • @OswardMandikilo
    @OswardMandikilo Před 16 dny

    Chadema ndio ukomboz

  • @user-ew8be9rb6k
    @user-ew8be9rb6k Před dnem

    Empty kabisa

  • @AbdulSwigo
    @AbdulSwigo Před 16 dny

    Kiwila xhikamoo!!

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 Před 17 dny

    Tozoooooo

  • @GaradiGaradi-zq1wf
    @GaradiGaradi-zq1wf Před 15 dny

    Democrasia ndio hii sio uhuni uhuni

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před 17 dny

    chadema waakili sana wamemuo doa mamluki msgw

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 Před 17 dny

    Ila wanake wa huko mnakaza sana😂😂

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před 17 dny

    Nendeni mkahutubie mbarali na chunya

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Před 16 dny

    Hapo amna wasani kutadeki ccm haiwezi

  • @frankminga9307
    @frankminga9307 Před 16 dny

    Nyasa imekwishaiva nendeni mkaamshe mikoa mingine iliyolala

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před 17 dny

    Bajeti ya wake wa wastaafu ni Bomu ifutwe haraka iwezekanavyo na manunuzi ya magari ya serikali yapunguzwe au kufutwa kabisa.!!

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 Před 2 dny

    Duuuu kazikazi wanambwela mbwela,Acheni kumbwelambwela