![Focus Digito TV](/img/default-banner.jpg)
- 612
- 1 428 391
Focus Digito TV
Tanzania
Registrace 17. 10. 2019
Focus Digito TV is one of the Best info-edu-tainment Online Media Conveying Content and adding values to them for the public interest aiming at retrieving Smiles and Give Hope to Our Loved and Valued Subscribers, Followers and Viewers in a more digitalized modern way.
Focus Digito TV ni Tv ya Mtandaoni inayowasilisha Maudhui yanayohusu Mitindo ya Maisha na Burudani yenye lengo la Kurejesha Tabasamu na Kukupa Tumaini wewe mfuatiliaji wetu wa thamani sana kwa njia ya kidigitali yaani kisasa zaidi inayoenda na wakati.
#FocusDigitoTV #FocusDigitoUpdates
Focus Digito TV ni Tv ya Mtandaoni inayowasilisha Maudhui yanayohusu Mitindo ya Maisha na Burudani yenye lengo la Kurejesha Tabasamu na Kukupa Tumaini wewe mfuatiliaji wetu wa thamani sana kwa njia ya kidigitali yaani kisasa zaidi inayoenda na wakati.
#FocusDigitoTV #FocusDigitoUpdates
Utashangaa! Usiyoyafahamu Kuhusu Imani ya Rastafarian | Nguvu ya Nywere na Yaliyojificha Kiimani
Yafahamu yaliyojificha kwenye imani ya Rastafarian, Kiongozi wa Rastamen mkoani Iringa afunguka yote.
Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku.
Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani.
Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments.
#FocusDigitoTV
..................
Tufuatilie Zaidi kupitia:
INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
We Love You | Tunakupenda
Regards
Team FocusDigitoTV
Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku.
Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani.
Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments.
#FocusDigitoTV
..................
Tufuatilie Zaidi kupitia:
INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
We Love You | Tunakupenda
Regards
Team FocusDigitoTV
zhlédnutí: 50
Video
Kijana Dereva wa Lori Afariki Kwenye Ajali akiwa Kenya Kikazi | Boss wake Aongea kwa Uchungu Msibani
zhlédnutí 523Před 2 hodinami
Kijana anayejulikana kwa Jina la Augustino Bruno Kindole mwenye umri wa miaka 28 mkazi wa Kijiji cha Wangama Kata ya Luhota wilaya ya Iringa mkoani Iringa ambaye ni Dereva wa gari (Lori) aina FAW mali ya kampuni ya John Galt Hauliers amefariki Dunia katika ajali iliyotokea Jumapili ya Julai 21, 2024 akiwa kikazi na Lori hilo la mizigo nchini Kenya akitokea nchini Tanzania. Mkurugenzi wa Kampuni...
Mwenezi Ryata Aunguruma Mafinga Awaeleza Wananchi Kazi Zinazofanywa na Rais Samia Kuleta Maendeleo
zhlédnutí 239Před 4 hodinami
Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa Iringa Joseph Ryata kupitia mkutano wa hadhara amezungumza na wananchi wa mji wa Mafinga wilaya ya Mufundi mkoani Iringa akiwaelezea kazi zote kubwa anazofanya Rais Samia Suluhu Hassan katika harakati za kuwaletea Maendeleo Watanzania kwenye kila sekta. Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku. Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazu...
Dickson Mwipopo Akabidhi Kompyuta 3 Kusaidia Utoaji Huduma za Afya Mafinga-Iringa
zhlédnutí 22Před 4 hodinami
Mkurugenzi wa Shule za Real Hope zilizopo katika Mji wa Mafinga Wilayani Mufindi mkoani Iringa na Mjumbe wa Kamati ya Siasa CCM Mkoa wa Iringa, Dickson Mwipopo amekabidhi Kompyuta (Desktops) tatu (3) aina ya Dell zenye thamani ya zaidi ya milioni 5 msaada wenye lengo la kuongeza nguvu ya utoaji huduma bora za afya kidigitali katika hospitali ya Mji wa Mafinga. Akikabidhi Kompyuta hizo kwa Mkuru...
Kisa Uchaguzi Wameanza Kufanya Matukio Ya Kishetani | Ulawiti, Ushoga, Ubakaji na Mauaji Yalaaniwa
zhlédnutí 23Před 7 hodinami
CCM wilaya ya Mufindi Yalaani na kukemea Vikali Ulawiti, Ushoga, Ubakaji na Mauaji ambapo Katibu Mwenezi CCM wilaya ya Mufindi Dickson Lutevele amesema baadhi ya matukio hayo yanahusishwa katika harakati za baadhi ya Viongozi kutaka Kushinda Uchaguzi kwa kutumia nguvu ya matendo ya kishetani akitaka jamii ifungue macho kukemea maovu hayo na ikiwezekana isaidie Serikali kwa kuwataja wahusika wa ...
CCM Mufindi Watuma Salamu za Moto CHADEMA | Villa Ajibu Hoja za CHADEMA Anazodai Zinapotosha Jamii
zhlédnutí 545Před 7 hodinami
Salamu za Moto kwa CHADEMA wilaya ya Mufindi, Katibu Mwenezi CCM Wilaya ya Mufindi, Dickson Lutevele Afunguka ajibu Hoja za CHADEMA anazodai kuwa zinalengo la kupotosha jamii, Asema Mufindi wamejipanga Hawatishwi na SACCOS ya Watu 18. "Umati huu wa wanachama wa Chama cha Mapinduzi tumekutana pamoja ili tutume salamu kwa ndugu zetu kwamba tumejipanga na kwamba wana Mufindi sio wajinga wanajua ma...
Mwonekano wa Manispaa ya Iringa Mida ya Usiku
zhlédnutí 36Před 7 hodinami
Manispaa ya Iringa Inavyoonekana Usiku Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku. Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani. Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments. #FocusDigitoTV .................. Tufuatilie Zaidi kupitia: I...
Somo la Uhuru na Uzalendo | Harakati za Nyerere Kuikomboa Tanzania likifundishwa na Wiston Mwinuka
zhlédnutí 89Před 7 hodinami
Mwezeshaji wa Mafunzo Wiston K. Mwinuka akifundisha vijana historia ya CCM na namna Mwalimu Julius Nyerere alivyopambana kuleta uhuru na kusimama katika nafasi ya Uzalendo kuleta mabadiriko nchini Tanzania. WistonSubscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku. Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani. Fo...
AfroRoots Kuwakutanisha Wafanyabiashara, Viongozi wa Serikali na Wadau wa Maendeleo Iringa
zhlédnutí 73Před 9 hodinami
Kuelekea Tukio la "The Night Of Networking" litakalofanyika Julai 27, 2024 Maeneo ya Iringa Sunset Hotel katika Manispaa ya Iringa tukio litakalowakutanisha wadau mbalimbali wa maendeleo, Wakurugenzi na Viongozi wa Serikali, Uongozi wa Taasisi ya AfroRoots umezungumza na Waandishi wa Habari kuelezea yote yaliyopangwa kufanyika siku hiyo na namna yatakavyokuwa na mguso wa kipekee kwa mtu mmoja m...
Wazawa wa Iringa Waishio Dar es salaam Wakabidhi Viti 254 Shule ya Sekondari Kiwele Kalenga Iringa
zhlédnutí 427Před 9 hodinami
Umoja wa Wana Kiwele ambao ni wananchi wazaliwa wa Kata ya Kiwele wilaya ya Iringa mkoani Iringa waishio jijini Dar es salaam wamekabidhi msaada wa viti vya kukalia 254 kwa ajili ya matumizi ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kiwele iliyopo katika Kata ya Kiwele jimbo la Kalenga mkoani Iringa. Akikabidhi Viti hivyo kwa Mkuu wa Wilaya Kheri James ambaye alikuwa mgeni rasmi katika makabidhiano ha...
Kundi la Viongozi CHADEMA Wamfuata Msigwa CCM | Wavua Sare na Kutupa Chini Kadi za CHADEMA
zhlédnutí 3KPřed 12 hodinami
Wanachama Zaidi ya 15 pamoja na Viongozi wa CHADEMA wameamua Kuhamia CCM kumfuata Mch. Peter Msigwa wakati wa mkutano wa hadhara uliombana na mapokezi ya Mchungaji Msigwa kwa lengo la kutambulishwa rasmi mbele ya wananchi, wanachama na viongozi wa CCM Mkoa wa Iringa. Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku. Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Ha...
Msigwa Atema Nyongo za CHADEMA Kweupe | Ayaanika Mapya ya Mbowe Hayajawahi Kusemwa
zhlédnutí 2,6KPřed 12 hodinami
Mch. Peter Msigwa Atema Cheche kwa mara ya kwanza baada ya kupokelewa rasmi na Wananchi, wanachama na viongozi wa CCM Mkoa wa Iringa. Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku. Msigwa azitaja sababu zote zilizomfanya aondoke CHADEMA, amuita Mbowe "Mr. Nkurunziza", asema CHADEMA sio Chama cha Siasa bali ni SACCOS ya mtu. Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri ya...
Sholo Mwamba Aondoka na Kijiji Iringa | Apiga Show ya Kibabe kwenye Mapokezi ya Msigwa
zhlédnutí 521Před 12 hodinami
Show ya Kibabe ya Sholo Mwamba msanii maarufu wa Muziki wa Singeli kwenye Hafla ya Kumpokea Mch. Peter Msigwa CCM mkoa wa Iringa. Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku. Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani. Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyle...
Kishindo cha Mapokezi ya Msigwa CCM Iringa | Aripoti Mkoani Baada ya Kuachana na CHADEMA
zhlédnutí 1,5KPřed 12 hodinami
Mch. Peter Msigwa alivyopokelewa na Viongozi, wanachama wa CCM na wananchi wa mkoa wa Iringa katika Uwanja wa Mwembetogwa uliopo katika manispaa ya Iringa Julai 20, 2024. Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku. Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani. Focus Digito TV is here to provide you with ...
Amsha za Jogging Clubs Iringa | DC Kheri James Ahimiza Mazoezi Kufanyika Kila Jumamosi.
zhlédnutí 29Před 12 hodinami
Mkuu wa wilaya ya Iringa awahimiza wananchi na watumishi wa Serikali kushiriki mazoezi ya mwili na viungo ili kuimarisha afya zao ambapo ametangaza siku ya jumamosi kuwa siku rasmi ya mazoezi katika manispaa ya Iringa. Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku. Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Buruda...
Wakubali Kujitoa TASAF ili Wengine Wafaidike Iringa | Miradi ya Wanufaika Yawavutia Viongozi
zhlédnutí 111Před 14 hodinami
Wakubali Kujitoa TASAF ili Wengine Wafaidike Iringa | Miradi ya Wanufaika Yawavutia Viongozi
Eng. Fatma Rembo Awafunda Wanawake UWT Kilolo-Iringa "Tuache Wivu, Tuinuane, Tugombee Uongozi"
zhlédnutí 53Před 16 hodinami
Eng. Fatma Rembo Awafunda Wanawake UWT Kilolo-Iringa "Tuache Wivu, Tuinuane, Tugombee Uongozi"
Kijana afunga King'amuzi cha AYO TV ya Millard Ayo kwenye Bajaj Yake | Sikia Yote aliyosema
zhlédnutí 1,4KPřed 19 hodinami
Kijana afunga King'amuzi cha AYO TV ya Millard Ayo kwenye Bajaj Yake | Sikia Yote aliyosema
Vijana wa 'Timiza Gospel' Watoa Msaada wa Vifaa Vya Usafi Hospitali ya Frelimo Iringa
zhlédnutí 102Před dnem
Vijana wa 'Timiza Gospel' Watoa Msaada wa Vifaa Vya Usafi Hospitali ya Frelimo Iringa
Msigwa Kuhamia CCM sawa na Chama Kuhamia Simba - Jesca Msambatavangu
zhlédnutí 83Před dnem
Msigwa Kuhamia CCM sawa na Chama Kuhamia Simba - Jesca Msambatavangu
Mamilioni Ya Pesa Yatolewa Ujenzi wa Ofisi ya CCM Kata ya Mlandege Manispaa ya Iringa
zhlédnutí 55Před 14 dny
Mamilioni Ya Pesa Yatolewa Ujenzi wa Ofisi ya CCM Kata ya Mlandege Manispaa ya Iringa
Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Kujengwa Kilolo Iringa | Ufafanuzi Watolewa
zhlédnutí 118Před 14 dny
Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Kujengwa Kilolo Iringa | Ufafanuzi Watolewa
Kiwanda Cha Kuchakata Parachichi Kujengwa Mufindi Iringa | Naibu Waziri Viwanda Exaud Kigahe Aeleza
zhlédnutí 53Před 14 dny
Kiwanda Cha Kuchakata Parachichi Kujengwa Mufindi Iringa | Naibu Waziri Viwanda Exaud Kigahe Aeleza
Waziri Mkuu Akasirika Awatumbua Watumishi Wawili Hapo Hapo Ziarani Kilolo Mkoani Iringa
zhlédnutí 618Před 14 dny
Waziri Mkuu Akasirika Awatumbua Watumishi Wawili Hapo Hapo Ziarani Kilolo Mkoani Iringa
Msigwa Aripoti CCM Iringa Mjini | Aahidi Kuitumikia CCM kwa Nguvu Zote kama Alivyokuwa CHADEMA
zhlédnutí 8KPřed 14 dny
Msigwa Aripoti CCM Iringa Mjini | Aahidi Kuitumikia CCM kwa Nguvu Zote kama Alivyokuwa CHADEMA
Waziri Mkuu Acharuka Aagiza Madawati Yarudishwe kwa Fundi | Akataa Nyumba za Mil 100 Mufindi Iringa
zhlédnutí 272Před 14 dny
Waziri Mkuu Acharuka Aagiza Madawati Yarudishwe kwa Fundi | Akataa Nyumba za Mil 100 Mufindi Iringa
Nchi Yetu Imepata heshima kuwa Mwenyeji AFCON | Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Afunguka
zhlédnutí 151Před 14 dny
Nchi Yetu Imepata heshima kuwa Mwenyeji AFCON | Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Afunguka
Waziri Mkuu Majaliwa Atoa Maagizo Haya kwa TAMISEMI, Wizara na Halmashauri Utunzaji wa Mazingira
zhlédnutí 35Před 14 dny
Waziri Mkuu Majaliwa Atoa Maagizo Haya kwa TAMISEMI, Wizara na Halmashauri Utunzaji wa Mazingira
Waziri Mkuu Majaliwa : Iringa Irudisheni Timu ya Lipuli Ligi Kuu
zhlédnutí 130Před 14 dny
Waziri Mkuu Majaliwa : Iringa Irudisheni Timu ya Lipuli Ligi Kuu
Majaliwa Afunguka Mikakati ya Serikali Kukuza Utalii Iringa Kuboresha Vivutio na Miundombinu
zhlédnutí 21Před 14 dny
Majaliwa Afunguka Mikakati ya Serikali Kukuza Utalii Iringa Kuboresha Vivutio na Miundombinu
Blessed love 💚💛❤️
Blessed
Poleni😢lkn mbona boss anakaa mwigizani wa wrong house 🤔
mtuu na nusu mwenezi wa mkoa wa Iringa @ryata🎉🎉🎉 #samiahassan asantee Kwa kuendelea kumwamini🙏🏽🙏🏽
Jah Rastafari 👑👑👑👑
We mwongo tu
❤tunashukuru kwa ufafanuzi
Jmn inaumaa tumemzka Jana jamn
inaskitsha msgwa amekuwa mbeba mabango ya laisi duu
safi sana kiongozi wangu muadilifu ushindi ni lazima samia oyeeeeeeeee
Msigwa hata yeye anajua amepotea ndiyo maana analopoka manene ovyo ovyo
Mwendawazimu yule hana akili anasumbuliwa na njaa.
Nibibi yangu kabisaaaaaa ❤❤❤
SWALA WATANZANIA KUTUMBULIWA KWA NAPE MAKAMBA. TUJIULIZE KWA NINI KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZU? AU RAIS MNAFIKI
NAPE KATENGENEZA MIFUMO CODI ZINAKWENDA NYINGINE KWENYE MIFUMO YAO
CCM BABA MAKAMBA TUNYONYE ASALI
MAKAMBA NAPE WATU WANALIPA KODI ZINAKWENDA KWENYE MIFUMO YAO YA ELECTRONIC
LAKINI LEO KINAMAKAMBA WANAIBA MABILIONI
Msigwa Karibu sana CCM
Safi Comrade
Semaji la Chama tawala likuunguruma
Tena wewe ikitokea ukawa rais utakuwa kama akina kagame maana hutaki kukaa bila cheo ulipokuwa na vyeo hukuhama baada ya kukosa kura hayo madhaifu ya chadema ndio umeyaona huna jipya na huko ulikoenda hutatoboa
Wewe ongea ushauri utakao mpa rais kuhusu tozo,,kupanda kwa mafuta na ugum wa maisha yetu hayo ya chadema uachane nayo ukiachana na mke ukaanza kumpakazia kuwa alikuwa na madhaifu huo ni ujinga na kujiabisha mwenyewe
Mbona chadema wanaisema ccm hawatangazi sera zao Kazi Yao kutukana tu
Achana,na,chadema,ongea,Sera,za,ccn😊
bwege tu
HUO NDO MWISHO WAKO WADANGANYE HAO MATAHIRA WASIO JIEREWA
Msigwa wewe unafanana na mwanamke anayeachika na kuanza kutoa siri za ndani hata ccm asikuhusishe siri za chama ipo siku tena utatoka nje tena na kuanza kusema siri za ccm, wewe huaminiki hata kidogo ni mda wa ccm kuchukua tahadhari
Wat tumetok mbar san
Msukuma ni msomi kuliko msigwa
Awo mavi
Hongereni sana na Mungu mwema awabariki
Ni afadhali kumsikiliza kuku aina ya JOGOO akiwika atakusaidia kwenda na wakati , kuliko hawa waumwa njaa wa vyama vyote .
Ivi kati ya msigwa na josephu msukuma nani mwenya akili,,
Maigizo haya ifike wakati tufanye vitendo ili adabu iwepo
Furahini kwa shibe ya muda mfupi nchi inaenda hii
Utakuwa namajigambo na amani hapo ulipo tu,ila ukitoka hapo huna amani nje na ndani ya nafsi yako
Hameni sana namponde sana Chadema,ila ukweli utabaki palepale ccm ndiyo inayofanya maisha magumu uugue au ufiwe ndo utajua unadaiwa hata maiti ya babako au mamako au yoyote yule kututoa mochwari
Mungu anawaumbua wanafki hizo kadi Chadema hatuzitumii muda sana uliopota
Musigwa mbona utwambii alingumu turionayo na kingine unasema utarii utwambii faida yabafari kigine wesilituganya kumbe na wewe undanganywa lakini ujue nijaa tu iyo inakusubua
DP world imeanza kazi. Vita imeanza na Bado.
Hao watakuwa na mgawo, wa balance ya DP world
MwenyeziMungu amlaze mahali pema Nelson Mandela, alitokea kwenye familia Bora naalikuwa naelim nakazi nzuri lakini aliacha Raha zote akaamua kuwapigania masikini naakakubali kukaa Gerezani ili taifa likombolewe
Angeshinda uchaguzi Kanda ya nyasa asingehama
Muondoke tu2 wanafiki nyinyi
ujinga
Njaa kali
Hapa ndo Rowasa atakumbukwa sana kwa heshima aliyoiacha Ccm na chadema
Msigwa oyeeeeeh
Watajuwa hawajui hyo ni yke