EXCLUSIVE: MJUE JOB NDUGAI "SPIKA ALIYEJIUZULU" Tangu AONDOKE HAJULIKANI ALIPO"na ASIKIKI KABISA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 06. 2024
  • Fuatilia Mkasa Huu Mwanzo Mwisho Hapo Tutakufahamisha NI wapi Spika ALIYEJIUZULU Kwasasa Yupo wapi Na kwanini Amekaa KIMYA Kipindi chote hichi
    • MAKALA ZA VIONGOZI🥂
    #simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #exclusive #millardayo #dullysantz #santzmedia #ccm #efm #history
  • Zábava

Komentáře • 77

  • @Zengeni-gz8fe
    @Zengeni-gz8fe Před 14 dny +6

    Job NDUGAI.kasimu majaliwa.poul makonda.❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉hawa watu wakivaa viatu vya MAGUFURI vitawatosha kabisa..havita wabana wakuwapwaya..wanastahili kabisa kukaa kiti cha urais.nawapenda sana hawawatu🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @MartineShija
    @MartineShija Před 18 dny +9

    Ndugai Oyeee

  • @hassanially8381
    @hassanially8381 Před 12 dny +4

    Hili taifa bado siamini na sipati picha...!
    Wananchi
    Vs
    Wenye nchi
    😢😢😢😢😢😢😢

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz Před 15 dny +4

    Mmmh tanzania hiyooo jamani. Mungu utuhurumie.

  • @godfreyMethew3689
    @godfreyMethew3689 Před 16 dny +8

    Tumemchoka mama tunatam atoke halaka

  • @mambas264
    @mambas264 Před 8 dny +2

    Hakuna mkopo mzuri mama. Unatudhalilisha

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Před 8 dny +2

    Ndugai ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c Před 26 dny +7

    Ndugai alisema ukwel, na alisema kua nchi itauzwa, kwasabab aliyaona ndio maana aliyatamka, ndio haya yanayoonekana leo hii nazan mnafaham yaliopo bandalin na nengneo

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i Před dnem +1

    Yaani kusema ikweli kutoka moyoni mm sitaki kuwa mtumwa wa mwarabu wala wamzungu hata wa mwafrika mwenzangu uzeni nchi kopeni kopeshaneni stakubali kutumikia binaadamu. Yeyote yule kwa cheo dini wala kwadiasa

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i Před dnem +1

    Mama kaupigaa mwingii fimbo mliotupigia watanzania inawapiga wenyewe wspiga makofi ndugai kafichua siri bila mwenyewe kujua

  • @rodrickkimaro-fb5tn
    @rodrickkimaro-fb5tn Před dnem +1

    Yuko wapi ndugai mbona simsikii ,makonda naye bungeni mbona hatumsiki mbona msukuma tunamuona na wengine

  • @David-if6nk
    @David-if6nk Před 16 dny +6

    Sijawahi kuona kiongozi fala kama huyu mama

    • @KatabaroCleophace
      @KatabaroCleophace Před 15 dny

      Utapigwa mnada wewe Nyamaza tu hii ni Tanzania

    • @DottoMussa-ro6rw
      @DottoMussa-ro6rw Před 15 dny

      4 sure

    • @user-xl4io3or7r
      @user-xl4io3or7r Před 15 dny

      Kiswahili kina maneno mengi Sana ya kukosoa. Ukosoaji huu sio wa kistaarabu. Ni kweli mama huyu anafanya mengi yasiyo ya wananchi

  • @jafetykaberege4948
    @jafetykaberege4948 Před měsícem +4

    JOBU YUSTINO NDUGAI
    MWANASHERIA NGULI
    MBUNGE MIAKA ZAIDI YA 20, NAIBU SPIKA, SPIKA NA KADHALIKA.

  • @RichardMgweno
    @RichardMgweno Před 4 dny +1

    Ndugai maendeleo hayana chama ukweli chama chako hakitaki kweli mfano Tanzania bila rushwe inawezekana wakati haiwezekani lakini hakuna hata aliyekusapoti wote tumbo mbele

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 26 dny +5

    Ndugai jiwe

  • @imaniandrea-ib6fy
    @imaniandrea-ib6fy Před 16 dny +4

    ndugai anafaa kua rais tunaomba 25 agombee

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Před 19 dny +2

    Hapa kuna KICHWA !! Watu kama hawa hatutawasahau .😊

  • @PaulMsema
    @PaulMsema Před 17 dny +3

    Anafaa kuwa rais, maana anauchungu na nchi yake hataki mizigo ya kukopa

  • @joelinzumi4494
    @joelinzumi4494 Před 6 dny +2

    Awelaisi watanzania atatuokowa Mimi nijoeli maulidi nzumi nikomkowa warukwa

  • @janethchidobe5919
    @janethchidobe5919 Před 8 dny +1

    bora mgogo chukuwa uraisi tumechoka😢

  • @issaYusuf-u7w
    @issaYusuf-u7w Před 15 dny +2

    Watanganyika wanaongozwa na Mzanzibari imekua zogo.Hebu tusubirieni tumalize miaka yetu. 2030, tutakuachieni kiti Chenu. Lkn kwa sasa muachieni Mama atengeneze Historia

  • @AbubakariBausi-zd6xf
    @AbubakariBausi-zd6xf Před 5 dny +1

    Job uko sawa

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Před 8 dny +1

    Mtu anaelipenda taifa lake kama ndugai anakuwa ndio adui yake

  • @EdigivaKacheina
    @EdigivaKacheina Před 11 dny +2

    daaaaaahh

  • @AbbasiMohamed-o7h
    @AbbasiMohamed-o7h Před 20 dny +4

    Ndugai anayopitia ndio majibu yawatu kama yy hapa duniani ni mmoja ya watu washenzi wakubwa wapatapo nafasi za uongozi

  • @CashKassim
    @CashKassim Před 10 dny +1

    Sisi watanzania wafiki sana tulishangilia kujiuzulu kwake,leo tunammic kwa umuhimu wake,watu wenye maono hawadumu huwaga wanahujumuwa bora mzee ndugai ulikufa umesimama kuliko kuishi umepiga magoti

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb Před 16 dny +1

    Mama kakope achana nae huyo ameshazoea kubwabwaja aliwahi kusema (akitaka asitake ataongezewa muda)

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Před 8 dny +1

    Mwenye haki hawezi nyamaza kwa kilio cha watu wake hawezi kamwe

  • @CashKassim
    @CashKassim Před 10 dny +1

    Tuheshimu maoni ya mtuu anachokiona na kutafakari mwanaume hawi na misimamo yahuku na huku amekufa na tai shingoni one day tutamkumbuka kama shujaa kueleza hisia zake juu kesho ya watanzania,viongozi nyumbu wapo kujipendekeza,ziro brain

  • @busaleh5494
    @busaleh5494 Před 8 dny +1

    Ndugai akasimamie mbuga za wanyama pori. Amuache mama apige kazi❤❤

  • @malkiasimitoi5438
    @malkiasimitoi5438 Před 12 dny +2

    Mnafiki ndugai alidhani watanzania watamuunga mkono kwa ujinga wake,wakati wa awamu ya 5 walipora,waliua,walikopa na walifanya kila baya lakini sasa mishahara yao inawarudia wenyewe,
    Mwisho wa ubaya ni aibu

    • @hassanially8381
      @hassanially8381 Před 12 dny +2

      Acha kujiuza ili ununuliwe na wenye mamlaka...!
      Unajichelewesha

  • @geofreybakina6010
    @geofreybakina6010 Před 24 dny +2

    Uongozi ni kiti cha daladala huenda akapandia hapo mbele kwa mara nyingine coz huyo ni miongoni mwa wasafiri wazuri tu, tena akiwa miongoni mwa watakaokaa seat ya mbele kabisa 😢😮😮😮

  • @janethchidobe5919
    @janethchidobe5919 Před 8 dny +1

    yani simuerewi jamani

  • @FaruhMarite
    @FaruhMarite Před 11 dny +1

    Hao miamba wanafanya nn uko waliko ile hali nchi inateketea kwa uongozi wa kifala wa bibi huyu isietambua matakwa ya watu wanaowaomgoza

  • @andrewassey5108
    @andrewassey5108 Před 19 dny +2

    Leo mama anasema amechoka kukopa.

  • @ekadomwambene899
    @ekadomwambene899 Před 8 dny +1

    Ya ndugai yapo kutimia yule alikua na maono malefu

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol Před 28 dny +2

    Ndugay yupo na atajitokeza

  • @ramadhaniyahaya7286
    @ramadhaniyahaya7286 Před 6 dny +1

    Ngonjela kwenye hotuba inakela sana

  • @antonyndinga8890
    @antonyndinga8890 Před 10 dny +1

    Spika alikuwa SITA tuu

  • @user-lg5my3hx2t
    @user-lg5my3hx2t Před 8 dny +1

    Napenda awe raisi

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Před 8 dny +1

    Eti mzima kama ni mzima mwache ajisemee kwa nini mwamsemea

  • @EmmanuelBanzi
    @EmmanuelBanzi Před 10 dny +1

    Chukua fom ya uraisi wewe au makonda au msukuma apakazitu magufuli afi

  • @amossamson8955
    @amossamson8955 Před 16 dny +2

    Agombee urais

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv

    WATANZANIA TUJUE HAKUNA DENI RAISI DUNIANI CHUKULIA MFANO HAI WWE NENDA KAKOPE DENI HZTA KWA LAFIKIYAKO KAMA UTAKUA NA AMANI NA UHURU KWA HUYO LAFIKI YAKO NI VITU AMBAVYO HAVIITAJI HATA ELIMU KUBWA HATA WWE ULIYE ISHIA CHEKECHEA UNA JUA MAZALA YA MADENI

  • @MaikoMkwawa-fk9tc
    @MaikoMkwawa-fk9tc Před 16 dny +1

    Siasa ni mchezo mchafu sana

  • @eliasnicolaurobath6864
    @eliasnicolaurobath6864 Před 13 dny +1

    Taifa retu ra tanzania wapo watu wa kushangaza sana na ndio taifa ra kwanza duniani kuwa na mabwana ndio mpaka siku ya kiama mtanzania ukimuongoza wewe mpe maziwa sukari ugari basi hapo unakuwa umempata kwa rorote na atakutetea hata kama unamchapa viboko hao ndio watanzania

  • @josephmulula440
    @josephmulula440 Před 13 dny +2

    Anaongea ukweli

  • @saadallah6287
    @saadallah6287 Před dnem +1

    Watu wanafiki sana yeye huyo huyo kabla ya mma ndiyo aliyekuwa anapitisha mikopo leo kageuka nawatu nao eti wanamsapoti acheni udini vilaza nyinyi

  • @user-yi1oi8rs6v
    @user-yi1oi8rs6v Před 12 dny +1

    Mnaongea km msiojitambua.
    Msitukere na hyo mpuuzi.
    Hamkumbuki alivyoshiriki kuihujumu katiba ya nchi?
    1. Alitumika kuwepo na rais wa kudumu.
    2. Alifuta ubunge wa mtu bila sheria.
    3. Alizuia gharama za matibabu ya mbunge bila sheria.
    4. Alifukuza bdh y wabunge wa upinzani bungeni bila sheria.
    5. Alimfanyizia Prf. Mussa Asadi.
    Hafai hata kuwa baba nyumbani kwake. Acha ale mavuno aliyoyapanda. Hao n watu walkoshindwa kulitafsiri neno (KESHO) yetu hatuijui.

  • @MartineShija
    @MartineShija Před 18 dny +5

    Ndugai Oyeee

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před 20 dny +4

    Ni kweli rais wa mpito ,2O25 mama kapumzike.

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 Před 9 dny +1

    NDUGAI ALIVUNA ALICHOPANDA MALIPO NI HAPA HAPA TU KIPINDI CHA MWENDAZAKE ALITESA BAADHI YA WATU😮😮