"Tulimchoka MCHUNGAJI MSIGWA Ni Kama MGONJWA ALIYEFARIKI" SAADA MWENYEKITI BAWACHA AMPANIKIA MSIGWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 07. 2024

Komentáře • 30

  • @philemonsnyanda9450
    @philemonsnyanda9450 Před 16 dny +3

    Dada uko vizuri hongera sana

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 Před 16 dny +3

    Msigwa hana tofauti na mchungaji Tito

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 Před 16 dny +2

    Vizurii sana Aunt

  • @AmosiAmosi34nyeriga
    @AmosiAmosi34nyeriga Před 16 dny +2

    Dada uko vizr kwakujibu

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 Před 15 dny +1

    Dada unamajibu sahihi sana. 🎉

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 Před 16 dny +2

    Mtu jasiri ni yule anayepambana na changamoto na sio kukimbia changamoto

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 4 dny +1

    Kweli kabisa dada

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 Před 14 dny +1

    Sister una akili nyingi. Hongera sana

  • @knight6757
    @knight6757 Před 16 dny +2

    🤑...Tumbo....

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa Před 16 dny +2

    Acha azunguke watakao mfwata wabovu kama yeye

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 16 dny +1

    Anatafuta kama atapata nafasii ya ubunge kwa tuketi ya ccm.

  • @frankpeter-of8xp
    @frankpeter-of8xp Před 16 dny +1

    Jadilini mambo mengine msigwa achaneni nae.

  • @ajmstationery6157
    @ajmstationery6157 Před 15 dny +1

    Naona hadi mtangazaji anakosa maswali

  • @WazaeliStefano
    @WazaeliStefano Před 16 dny

    Kwahiyo chadema imekuwa sakos baada kushindwa uchaguzii inamaana wakati akiwa kiongozi alikuwa ana ongoza sakos

  • @PascalNgwenga-vs1eu
    @PascalNgwenga-vs1eu Před 16 dny +1

    Hv kwann mtu akihama chadema mnaponda, nakubaliana na msigwa hatuna hoja

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 Před 16 dny

    CCM siipendi! Lakini chadema siipendi kuliko ccm,,, watanzania ndio hawa hawa,, hawata badilika,,hata muasisi wa chadema, alikua fisadi mkuu wa zamani ndani ya CCM, hata kufikia hatua ya kupishana na nyerere. Kwahiyo hata chadema ni majambazi wakuu, walokimbia kutoka mpango wa iba kidogo kutoka CCM, na wamejipanga, kuhamishia bank kuu ya tanzania kuipeleka kilimanjaro. Na wanaoisukuma chadema kwenda mbele, ni kama ngazi ya kuwafikiaha wahusika

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 Před 16 dny +2

    Mbona kim Johung raisi waChina n raisi wa kudumu kutokana na wanavyo muamini watu wake na sisi Mboye ndiyo mwenyekiti wetu wa kudumu mpaka MWENYEZI MUNGU aseme basi sio nyinyi wezi wa kura

    • @knight6757
      @knight6757 Před 16 dny

      KIM JOHUNG🤔

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Před 16 dny

      Msenge wewe, mwenyekiti adumu milele! Amekua baba ako? Baba ndie atae dumu milele,, chadema ni chama cha matapeli kuliko matapeli wa CCM.

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa Před 16 dny

    Dada uko vizuli mikono

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Před 16 dny

    Kama msigwa nimchungaji nashindwa kuelewa waumini wake huwa anawahubiria kitu gani au Alisha mwasi Mungu?

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Před 16 dny

    Swali langu Ni hili Msigwa Ni mchungaji wa kanisa gani?

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole3971 Před 15 dny

    Wanachadema wa kike na kiume wako vizuri, imara na thabiti wako sawasawa hata ccm wanalijua hilo.

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 16 dny

    Wapo wengi wataingia kwenye chama hicho.

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Před 16 dny

    mtangazaji umeongwa kila kitu wewe ni Msigwa tu

  • @user-xi2mf4xh7r
    @user-xi2mf4xh7r Před 15 dny

    Kujadili mambo ya kina Msigwa ni kukosa mada ongeleeni mambo ya msingi siyo matangopori ya kina Msigwa,zitto aliondoka chadema,Wilbrod slaa aliondoka, na wengine wengi chadema vp imeteteleka?acheni kumzunguzia Msigwa mbona kila wakati msigwa kwani Msigwa nani?kafukia talanta huyo kwenye uwanja wa siasa kwisha habari yake subirini mtaona yake,subirini mtaona kitakachoendelea juu yake kwani ninani aliyetoka chadema halafu akawa na kibali kwa wananchi?awaulize covd 19 kama wanaweza wakauzika kwa wananchi kwa habari ya siasa kwisha habari yake

    • @rashidissa5887
      @rashidissa5887 Před 14 dny

      Uko sawa. Nami suala la Msigwa linanitia kichefuchefu.Ameshaendaaaaaa. To hell with him

  • @AmosiAmosi34nyeriga
    @AmosiAmosi34nyeriga Před 16 dny

    Dada uko vizr kwakujibu

  • @nelsonshillah6618
    @nelsonshillah6618 Před 14 dny

    Mara nyingi wanachama wa chadema huwa wako imara mno ndiyo maana huwa wakija ccm wanapata uongozi