MBOWE AKIWASHA, OCD WA HAI WA WAKATI WA MAGUFULI, AKUTANA NAYE AMKIMBIA, "MLIWASAIDIA HAWA KIJANI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 46

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Před měsícem +9

    Kila mara ni kumkashfu Mbowe, wewe ulitoa nini ! Big up Freeman, together we can.

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 Před měsícem +6

    Mungu akutunze mpambanaji

  • @user-kj5jp2ii5n
    @user-kj5jp2ii5n Před měsícem +10

    Kwa maoni yangu huyu jamaa anastahili heshima kubwa kabisa nchi hii kuliko hata Nyerere!
    Hii kazi ni kubwa kuliko hata aliyo ifanya Nyerere kwa sababu wazungu walikuwa wastaarabu ukiwalinganisha na hawa watawala wa sasa anao pamba nao!

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před měsícem

      Huwezi mfananisha kiongozi msaka tonge na Nyerere hiyo helicopter analipiwa na mama Samia. Hata msigwa alipiga kelele siku ya pili akajiunga na CCM. Huyu si ndio alimkaribisha mama Samia kwenye mkutano mkuu wa chadema. Sasa hivi anajenga magorofa hela anapata wapi anagaiwa keki maana ndio ilikuwa kilio chake. Magufuri ndio alikuwa kiongozi mwaminifu alikuwa hapendi wezi na Mbowe ni mmoja wapo. Kama anadhurumu ndugu zake mali za ulithi ataweza kulinda mali za taifa?

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale Před měsícem +1

      sahihi!

  • @deomponzi2459
    @deomponzi2459 Před měsícem +5

    Mbowe heshima yako mkuu wewe ni kamanda

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081 Před měsícem

    Wew una akili kabsa mpka umuongee maguful lala salam maguful baba

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 Před měsícem +2

    Nyi ikwai ndii😂😂😂😂😂😂

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d Před 23 dny

    Kamanda apeqe maua yake umenifuraxha vitanda 60 si mchezo ccm wametoa vingapi

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před měsícem

    4R lazima zihubiriwe kwa nguvu. Watz hawajazifahamu

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Před měsícem +2

    Duuh

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před měsícem

    Uungwana ni kuzuia kutukanana na kukwazana siasa za uungwana zitawale.

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před měsícem +1

    Kiswahili kinanisumbua sana hivi akiuliza "UONGO AU KWELI " jibu "KWELI" sasa hii "KWELI' maana yake nini. KWELI ni Uongo au SIo KWELI.

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d Před měsícem

    Mbowe apeqe maua yake

  • @Naomianthonyreige
    @Naomianthonyreige Před měsícem

    Tanganyika ni wajinga, hamjagundua Bado Nia ya mama, mama ana Nia mbaya sana, mpaka tunyooke, tukishtuka tuvunje muungano.

  • @edenusmrosso9225
    @edenusmrosso9225 Před měsícem +1

    Mimi mchaga niliajiriwa wakati wa Magufuli

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před měsícem

    Huyu mzee Kwayu alinyanyasika .

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před měsícem

    Ulitowa siulikuwa ni mbunge Matusi hayo ndiyo Wananchi wanakuona mjinga kabisa .

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 Před měsícem

    Hili jamaa liongo na linaukabila ile mbaya halifai anafikili Kilimanjaro itampeleka ikulu never.

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před měsícem +1

    SIASA ZA MAJI TAKATAKA

  • @eliasmakoye3939
    @eliasmakoye3939 Před měsícem

    Siasa hizi za ukabila hazifai ndani ya nchi hii ulisikia wapi rais katangaza kuwa watu wa Moshi wasiajiliwe? Mboe acha ukabila

  • @geey7893
    @geey7893 Před měsícem +1

    Mpumbavu huyu Mzee kumanina, Nimeajiriwa na jamaa zangu wa3 wachaga Kwa pamoja kipind Cha Magu

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před měsícem

      Chuki itakuua mwenyewe.

    • @geey7893
      @geey7893 Před měsícem

      @@TM-zs3rm Kama vile yeye anavomchukia Marehemu.

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před měsícem

    Muongo mkubwa fatani mkubwa huyo bora uendelee na biashara zako. Muongo mkubwa sana

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před měsícem

      Kafilwe ccm

    • @frankkimaro1354
      @frankkimaro1354 Před měsícem

      Mwoga mama yako

    • @joojombi2341
      @joojombi2341 Před měsícem

      @@frankkimaro1354 kumbe wee umezaliwa na punda huna mama. Maandazi wahed usokua na adabu hata mama yako wamtukana kenge wahed