Rais Magufuli ''TRAFIKI aliyegonga YUPO WAPI akiwa AMELEWA/Pole kwa msiba wa MUME WAKO''
Vložit
- čas přidán 26. 11. 2019
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi mbalimbali waliomsubiri njiani akilekea Mkoani Shinyanga
- Zábava
.......kwa kweli....uliwafungua macho Waafrika kwa mapenzi yako kwa nchi yako.
Viongozi kama huyu eti kuna kundi la watu na baadhi ya viongozi wanamsema maneno ya ovyo,kweli ubinadamu kazi. Mungu akuhifadhi Bosi wetu.
Naam,hata nami nastaajabu sana
This kind of leadership is what the western countries do not want to see happening in Africa ...where citizens are made aware of their rights .......His Excellency President Dr John Pombe Joseph Magufuli....Happy living with Angels........You are one of the best president in the world......hoping one day will travel to your home place in Chato
Unfortunately died😭😭😭
❤
Kwa kweli mungu awe nawe mh Rais kweli wanyonge tuna kiongozi
Rais wetu jamani mpaka nimelia mungu akuweke mahali Pema peponi
Napendaga kuangalia hii clip inanigusa sana,kuna anaejua kesi ya hawa kina mamma zilishia wapi? Au aliondoka Magu na kesi zikayeyuka? Ningefurahi kujua hilo nisameheni kama nimemkwaza mtu.
Kinzuri hakidumu Go well JPM 😢
Mkulugenzi umesoma mbk la ngapi mbona unaonekana ujui hesabu?🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Mungu ametushushia neema ya rais mwema anayejali wanyonge mungu mlinde jpm mpe maisha marefu mtetezi wetu
Mungu nakuomba uilaze paala pema pepon amen👏
Hivi nani atakusahau uliguxa kila sekta
Tunakukumbuka mzee wetu pumzika kwa aman
Walikumaliza bure tanzania na Africa hakutapatikana rahisi kama ww hadi kiama
Unaemsikiliza magufuli hadi leo tujuane
2024❤❤❤❤
i wish we have such leaders in Kenya
leadership is a spirit. Being a leader, you are the Representative of God. Haki na wajibu sawa ni sehemu pekee katika maeneo yako ya uongozi
Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu zaidi mheshimiwa raisi,nakupenda sana sana
Rais tumepata
Wema hawana maisha, rais huyu basi tu..kwa kuwa Mungu alimpenda zaidi tushukuru kwa kila jambo..Riho take ipumzike kwa amani. HUTAFUTIKA KATIKA MIOYO YETU
Dah Mungu jamani kwanini lakini uliruhusu haya.
Mungu alikumbuke roho yako popote pale ulipo Rais wangu ingawa mimi sio Mtanzania. Nilikuwa nakupenda sana.
Daaaa rais wangu rest in peace king
🥲🥲🥲 namkimbuka huyu mzee daah aisee
Mungu akutie nguvu rais wetu uishi miaka mingi na yenye heri duniani
SOTE NIWAJA NAKWAKWE TUTAREJEA,😢😢😢
Du? Kumpata tena wa hivi la?
Was so nice President...Mungu amlaze mahali pema.
Basi2,jamani moyo unavyoniumaga,jamn
Hakika tumedhurumiwa lakini kazi ya mungu haina makosa, Rip jpm
Bwana magufuri❤❤❤❤❤
Ira tanzania inahera kweli izo nihera nyingiiii sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮
KAHAMA INAHITAJI KUKOMBOLEWA. KAHAMA HAINA STENDI HADI LEO.
Baba uekima naloho zawatu mungu akulaze pahala pemapepon amen
Nampenda sanaa huyu mimi jmn
Eee Mungu tunaomba Makonda awe ndio Magufufuli mfufue jamani jamaniiiiiiiiiiiiiiiiii
Ni mashaka na hangaiko wema hawana maisha 😭😭😭😭
Tutakukumbuka daima ww ulikuwa jembe kweri😂😂😂😂😂
Matofali elfu mbili ni 2m in TZ
Huku kenya tofali elfu mbili ni 100k
Mungu akulaze mahal pema pepon
I wish we had such leader in Kenya. Uongozi ndio hiyo inafanya kila mtu achangamke. Sio kuogopa wenzako et walikufanyia campaign na huku umasikini unakidhiri. Kama umechaguliwa,
Makonda ulimpandikiza hii aina ya uongozi wakisikiliza kelo za wananchi
Sad sana
Was such a good leader but some forces did their thing
Mungu akailaze Roho ya Raisi huyu wa tz mahali pema peponi😢😢
Hapa mungu alilaze roho yako salama
Ila jaman wazungu washenzi sana.
Can Africa get this kind of leader any time soon real????😢😢RIP sir
Unfortunately, it is his fellow countrymen who felt threatened by his success, and silenced him!
Tanzania ilikosa mtu kabisa na sidhani kama itakuja siku moja ipate kama yeye. Hakuna alie kamilika lakini Magufuli alikuwa chuma.
Kweli tulipatapigo
Umetisha baba
Mgu akuraze mahari peponi amina
Dah nmekukumbuka Mzee , MUNGU azidi kukuhifadhi
Ulikuwa wa mungu naye alikuwa anakutumia usiadie usiadie watu wake baada ya kazi akakuchua ukae nae
RIP MH JPM
R.I.P King Msukuma Never Forget ...
Nukuomba mungu utukumbuke nasi tupate kiongozi nkama huyu, RlP baba
Hatutakuja kupata MTU kama wewe mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yetu.ila Samia uliemuacha Kawa fisadi kupindukia na watu wake
Ilikua lazima afe lala lala lala tu,
RIP our legend
Jembee.Muamuzi wa Israeli.Hakika Roho ya upendo inatakiwa watu wajifunze hapa
Wema hawadumu 😭😭😭
Hakuna kama wewe rais wangu
Bn
Ok
Ukweli unauma mungu akulaze pema
The best president and lion of tanzania😊😊😊
Munge ni mwema siku zote. Lala salama Magufuli
Zakayo jifunze from magufuli😂😂😂
mungu akulaze mahali pema
Kwakwel had leo siaminigi ❤😂😂 pumuzika baba
Rip Jpm, bibi tozo yupo bize hana muda.
Daaa tutampata wapi kama huyu jmn jmn inauma sna sna
Magu wetu ttakpenda daima
💞
I nchi haiwezi kuisha madudu ht ck moja
Mungu atajibu tu ipo siku
Very true
Naumia sana nikimkumbuka jpm
Mwili unasisimka
Kwakweli Janani Mungu atutue nguvu ni ngumu kujizuia Maumivu yaliyotupata kumkosa Rais mzalendo kama huyu Janani viongozi wengine fuateni nyayo zake kizuri kinajiuza
All africa legend,RIP
People's leader.may his soul RIP
the strong leader where no one in Africa countries will appear again
Tunakukumbuka milele pumzika salama baba
Umetuacha wakati ndo kwanza tulikuwa tumekumiss
Magufuli baba wawanyonge
The peoples president continue resting in peace baba wa taifa
Rest eternally one of the African Heroes🫡🫡
Magu anatembea na karcureta kichwani jmn msimtanie
He was a good man
😭😭😭
😢
Baba nenda salama
Ukweli..ujava...raisi..wetu
sasa huyu President wetu wa Tanzania alienda wapi? au alitutoroka ghafla? nimemtafuta na kuulizia kimya tuu
😭😭😭😭😭
AeeeAw
Rip dad
Really president Rip😢
Rest in peace our king
RIP our African president
Rip magufuli
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭